Afya_na_mimi

Afya_na_mimi TUNAWASAIDIA NA KUSHAURI WATU JUU YA AFYA YA UZAZI NA UZITO ULIOPITILIZA

Kwako mwanaume muhimu kusuluhisha changamoto Yako sasa kuepusha msongo wa mawazo juu ya tendo la ndoa kutokwenda vizuri.
03/11/2023

Kwako mwanaume muhimu kusuluhisha changamoto Yako sasa kuepusha msongo wa mawazo juu ya tendo la ndoa kutokwenda vizuri.

When was your last time sitted in a romantic erotic sexual steamed pose like this with your "man or woman"?Think about i...
13/08/2023

When was your last time sitted in a romantic erotic sexual steamed pose like this with your "man or woman"?
Think about it....

1. Huna hamu ya tendo
2. Huna uteute wa kutosha ukeni
3. Zero stamina
4. Zero focus
5. Sekunde 2 umemaliza tendo mpaka Mrs anachukia
anaona k**a unamchafua tu.
6. Hujamini

Suluhisho limepatikana..Tupigie kwa ushauri na elimu zaidi..!

#0763187833

10/08/2023

Kiukweli elimu kuhusiana na hili ni suala la muhimu sana kutokana na ukubwa wa changaomto hii,

Upungufu wa elimu kuhusiana na afya zetu na vyakula tunavyokula ndio changamoto inapoanzia ya suala hilia la nguvu za kiume,
Utumiaji wa vyakula pasi na mfumo mzuri ndio sababu kubwa navo na dhidi juu ya utumiaji wa vyakula vya mafuta watu wengi kuanzia watoto vijana na kuendelea wanapenda sana kutumia vyakula vya mafuta na unakuta mtoto mdogo tu anakutana na changamoto hizi na maradhi tofauti,

Na utumiaii holela wa madawa k**a miti shamba pasi na uchunguzi na pamoja na madawa ya kemikali ndio vijana wengi walipoelekea kwa kuona ni nia sahihi lakin likishamkuta mtu ndipo anaelewa anakuwa k**a gari bovu haliendi mpka lishtuliwe,
Watu tujifunze kujenga afya zetu kwa kueka mfumo mzuri wa chakula na ndio changamoto nyingi zitatuepuka,

Elimu ni kitu kizuri na kukifanyia kazi inavotakiwa, Anza kujenga afya yako na uboreshe mfumo wako wa uzazi, pendelea kutumia matunda na mboga mboga kwa wingi k**a ziada ya chakula chako
Na je kutokana na mfumo wa sasa wa maisha na sayansi hivi vyakula vipo salama kutokana na na jinsi vinavyolimwa na kuhifadhiwa kisasa??

Shirika la afva duniani (WHO) limeliona hili na likashaur i watu wafanye detox ya mwili (Usafi wa mwili) kusafisha mili yetu kwa kutumia virutubisho maalum (supplements) ambavyo vinaziba pengo ambalo tunalikosa kutokana na vyakula tunavyokula kwani hatuwezi kuacha kula bali ni ziada na vitaweza kusasafisha sumu na kuondoa chanzo cha tatizo lako
Kupitia suala la za kiume na changamoto zake ..
tumekuandalia package maalum ambayo bora na salama kwako acha kutumia chemical kuwa play boy mzuri kwa virutubisho salama.

Je unapitia nini 👇

•Unawahi kufika kileleni
•Maumivu katika tendo
•Uume kulegea katika tendo
•Unakosa hamu ya tendo
•Uume umepinda
•Umeme unakata gafla

Suluhisho lako powa lipo na utakuja kutushukuru

Tuzungumze👇

📞0782385750 Au WhatsApp: #0763187833..

TUNAWASAIDIA NA KUSHAURI WATU JUU YA AFYA YA UZAZI NA UZITO ULIOPITILIZA

Ukosefu wa nguvu za kiume unaweza kuathiriwa na mambo mengi, ikiwa ni pamoja na viwango vya maji. Upungufu wa maji mwili...
10/08/2023

Ukosefu wa nguvu za kiume unaweza kuathiriwa na mambo mengi, ikiwa ni pamoja na viwango vya maji. Upungufu wa maji mwilini unaweza kupunguza ujazo wa damu na kuathiri hisia, na mtiririko wa damu uumeni na hivyo kushindwa kudumisha usimamaji wa
uume..
Upungufu wa nguvu za kiume ni wakati mwanamume anapata shida kufikia uwezo wa kudumisha usimamaji wa uume wakati wa tendo la ndoa, au kufika haraka kileleni, au kushindwa kurudia mzunguko wa pili kwa muda muafaka.
Inakadiriwa wanaume asilimia 75 kote duniani wana changamoto ya upungufu wa nguvu za kiume. Sababu mbalimbali zinaweza kusababisha upungufu wa nguvu za kiume ikiwa ni pamoja na ukosefu wa maji mwilini ya kutosha.

WANAUME WANAUME WANAUME!!!🥇Wanaume wengi wanadhani kwamba kufanya tendo kwa nguvu au harakaharaka ndio utamu wa penzi hu...
06/07/2023

WANAUME WANAUME WANAUME!!!
🥇Wanaume wengi wanadhani kwamba kufanya tendo kwa nguvu au harakaharaka ndio utamu wa penzi hutokea na mwanamke akuheshimu.
HAPANA
🥇Tendo inatakiwa kuridhisha watu wote wawili wewe na mwenza wako na ni kwa kuiali pia kufanya taratibu, hatua kwa hatua ili kujenga hisia.
🥇Watu wengi ambao hutazama video za ngono au (po*******hy), huiga uzungu, staili, uwezo wa wachezaji picha hizo za uchi na kudhani kwamba ndio ujanja au ndio inavyopaswa kufanywa kumbe wanajidanganya.
🥇Wasiliana na mwenza wako, msikilize, usifanye kwanguvu maana ataumia na utajiumiza na wee pia maana utakapomuita siku nyingine hatokuja na kusingizia sababu ambazo ni ongo ili kukukwepa.
A Hakuna mwanamke yoyote anayekimbia utamu ulipo, wanasema "Fuata nyuki ule asali". Kuwa utaratibu pupa inaharibu…

Hello my beautiful people..Naomba kutoa nafasi hizi chache za watu walio na utayar wa kutengeneza kipato cha ziada kwa k...
01/07/2023

Hello my beautiful people..Naomba kutoa nafasi hizi chache za watu walio na utayar wa kutengeneza kipato cha ziada kwa kutumia muda wao wa ziada bila kuingilia ratiba zao za kila siku..usisite kuni Dm Au kupiga moja kwa moja kwenda number ..

+255782385750

Dondoo za leo kwa wanaume..Angalia uwekezaji wako katika maisha usijesahau kile kinachomfanya mwanamke atulie ni pamoja ...
16/06/2023

Dondoo za leo kwa wanaume..

Angalia uwekezaji wako katika maisha usijesahau kile kinachomfanya mwanamke atulie ni pamoja na ufanisi katika tendo la ndoa.
Usije zingatia kutafuta pesa ukasahau mfumo wa uzazi na mwenza akatumia pesa zako kula na waliolinda afya zao wakitafuta pesa.
Have a blessed weekend..

#0782385750

Dawa 6 zinazopunguza nguvu za kiume na hutumiwa sanaTafiti mbalimbali zimegundua dawa ambazo zina athari kubwa juu ya ng...
15/06/2023

Dawa 6 zinazopunguza nguvu za kiume na hutumiwa sana

Tafiti mbalimbali zimegundua dawa ambazo zina athari kubwa juu ya nguvu za kiume na hutumiwa mara kwa mara.
Hapa chini ni dawa zinazopaswa kuepukwa na wanaume, ili wasipoteze nguvu zao za kiume.
Maisha ya kitandani ni moja ya mahitaji makubwa ya mwanadamu, lakini wakati mwingine huja na changamoto.
Sababu mbalimbali zinaweza kusababisha vikwazo hivi, lakini baadhi ya sababu zinahusishwa na aina sita ya dawa k**a ilivyotangazwa na Shirika la Habari la ANI, ambalo lilitayarisha taarifa maalum juu ya mada hii.
⚡️Dawa ya kutuliza maumivu
Watu wengi hawasiti kutumia dawa za kutuliza maumivu hata kwa maumivu wanayohisi ni madogo.
Lakini, je, unajua kwamba dawa zilezile za kutuliza maumivu zinaathiri uanaume wako na kuufanya usiwe na matokeo mazuri kitandani?
⚡️Dawa za kutuliza maumivu huzuia kuundwa kwa seli za uzazi na huvuruga homoni nyingi ambazo ni muhimu katika kufanya tendo la ndoa kati ya wanaume na wanawake.
⚡️Dawa ya kuzuia wasiwasi (anti-anxiety)
Watu wengi wanaolalamika kuhusu matatizo ya akili na kuwa na wasiwasi hutumia dawa ili kukabiliana na hofu.
Walakini, dawa k**a hizo hupunguza hamu ya tendo la ndoa.
⚡️Dawa hizi zinaweza kusababisha mtu kupoteza hamu ya kufanya mapenzi.
Wakati mwingine hata husababisha wanaume kupoteza fahamu zao kabisa.

⚡️Dawa ya kutibu kuganda kwa damu
⚡️Dawa zinazotumika kutibu kolesto, ambayo ni mgando wa damu, pia zina mchango mkubwa katika kupunguza nguvu za kiume.
Wataalamu wa matibabu wanasema kuwa dawa hizi huingilia utendaji wa seli za uzazi.
Utafiti: Dawa hii ilikuwa itibu tatizo la moyo 'bahati mbaya' ikageuka tiba ya upungufu wa nguvu za kiume
Tanzania:
⚡️Dawa za kuongeza nguvu za kiume zatambuliwa na serikali
Utafiti unaonyesha kuwa dawa zinazotumika kutibu kuganda damu wakati mwingine husababisha matatizo kwa wanaume wanapolala kitandani na wake zao.

⚡️Dawa za msongo wa mawazo (Sonona)

⚡️Dawa, zinazojulikana k**a "benzodiazepines," mara nyingi hutumiwa kutibu magonjwa ya wasiwasi, k**a vile wakati mtu anaogopa vitu ambavyo havipo na yuko peke yake.
Magonjwa mengine ambayo hutumia dawa hizi ni pamoja na kukosa usingizi na maumivu ya misuli.
Lakini, upande wa madhara ni kwamba huathiri utendaji wa seli za uzazi wa kiume na hisia.

⚡️Dawa ya Kuzuia Shinikizo la damu
Wagonjwa wanaotumia dawa za shinikizo la damu wanaweza pia kukumbana na changamoto nyingine ambayo ni kupungua kwa nguvu zao.

⚡️Dawa hizi zinaingiliana moja kwa moja na mishipa ya damu na pia hufanya kazi na mfumo wa neva.
Wataalamu wengine wameongeza kuwa yapo hata matatizo ambayo wanawake wenyewe wanakumbana nayo na dawa hizo ambazo zinahusiana na viungo vya uzazi.

⚡️Dawa za Kifua Kikuu

⚡️Dawa za dukani k**a vile dawa za kupuliza katika pua zilizoziba na dawa za kwaida za kupunguza kuziba kwa pua zina athari zake.
zinaweza kusababisha matatizo katika tendo la ndoa kwa wanaume na wanawake.

Hii ni kwa sababu mili yetu huhifadhi na kuchoma calorie k**a mafuta.UHUSIANO WA CALORIE NA UZITO WA MWILI.Kwa kawaida, ...
15/06/2023

Hii ni kwa sababu mili yetu huhifadhi na kuchoma calorie k**a mafuta.
UHUSIANO WA CALORIE NA UZITO WA MWILI.
Kwa kawaida, kila chakula kina kiwango chake cha calorie. Hivyo unapokula chakula, unaingiza mwilini calorie kadhaa, na mwili wako pia unatumia calorie katika kuweka uhai.

JE, WINGI (UJAZO) WA CHAKULA HUMAANISHA CALORIE NYINGI?
Hapana, kila chakula, tunda, kinywaji au mboga mboga zina kiwango chake.
Tazama mfano huu...
Unaweza ukala bakuli zima kubwa la mboga za majani hadi ukashiba, na ukawa umekula calorie 400 tu.
Unaweza kula kipande kimoja cha kuku wa kukaanga, ukawa

Hivyo utaona ya kwamba, kwenye kupakua chakula, wanga unatakiwa we kiasi kidogo, lakini mboga mboga na matunda ndio viwe kwa kiwango kikubwa. (tofauti na ambavyo tumezoea ya kwamba chakula ndio kinakua king na mboga kua kidogo)..

Upungugu wa nguvu za kiume, unaweza kusababishwa na sababu mbalimbali za kimwili na kisaikolojia. Miongoni mwazo ni uvut...
03/04/2023

Upungugu wa nguvu za kiume, unaweza kusababishwa na sababu mbalimbali za kimwili na kisaikolojia. Miongoni mwazo ni uvutaji wa sigara. Uvutaji sigara unaweza kuharibu mishipa yako ya damu, na hivyo kusababisha upungufu wa nguvu za kiume, kwa sababu ili uume usimike barabara inahitahitajika usambazaji bora wa damu wa ateri kwenye uume. Upungufu wa nguvu za kiume
Uvutaji sigara huharibu mzunguko wa damu kwa njia nyingi, na kusababisha shida nyingi za kiafya k**a vile ugonjwa wa moyo, mshtuko wa moyo na kiharusi. Uvutaji wa sigara unaua kabisa nguvu za kiume.

Kusimama kwa uume kunawezekana tu wakati mishipa ya damu kwenye uume inapoongezeka na kujaa damu. Uvutaji sigara huvuruga mishipa ya damu katika eneo hilo la mwili, kumaanisha kitendo hicho hakiwezi kutokea kila mara.

Hata kwa wanaume wenye umri mdogo k**a miaka 20 sigara inaweza kabisa kuteketeza nguvu za kiume, ikiwa ni pamoja na kupunguza sana hamu ya tendo la ndoa.
Ugumba
Matumizi ya tumbaku yanaweza kuathiri vibaya uzazi kwa wanaume na wanawake. Wavutaji sigara wa kiume na wa k**e wana takriban mara mbili ya kiwango cha ugumba kinachopatikana kwa wasiovuta.

Uvutaji sigara unahusishwa na changamoto za uzazi kwa njia kadhaa. Uvutaji sigara huharibu DNA katika mayai na manii, jambo ambalo linaweza kusababisha matatizo ya uzazi. Aidha, wanawake wanaovuta sigara wanaweza pia kuwa na dirisha fupi la kupata mimba kwa sababu kemikali zinazopatikana katika bidhaa za tumbaku, ikiwa ni pamoja na nikotini, sianidi na monoksidi kaboni, huongeza kasi ya kupoteza mayai na kusababisha wavutaji kupata hedhi mapema kuliko wasiovuta. Upungufu wa nguvu za kiume uliotajwa hapo juu unaweza pia kuchangia kushindwa kushika mimba. KOSA KUBWA WANALOFANYA WANAUME WENGI
Wanaume wengi wanapopungukiwa nguvu za kiume hukimbilia kutafuta dawa za kuongeza nguvu za kiume, na siyo kutibu chanzo cha tatizo. Hili ni KOSA KUBWA sana!

Ni kosa kubwa kukurupuka kubugia dawa za nguvu za kiume bila kujua chanzo cha tatizo na bila kujua hiyo dawa inakwenda kutibu eneo au kitu gani mwilini. Kwa njia hiyo, utamaliza miaka hata zaidi ya 100 na hata miaka elfu moja na hautapona!

Upungufu wa nguvu za kiume lazima utibiwe kuanzia chanzo cha tatizo; kwa maana ya kwamba mzizi wa tatizo sharti ung'olewe kwanza!

Mathalani, k**a tatizo ni la homoni ijulikane kwanza; k**a ni tatizo la tezi ijulikane kwanza, kisha matibabu sahihi yaelekezwe katika maeneo hayo. Hayo ndiyo matibabu, na si vinginevyo.

09/12/2022

Kwa dalili hizo na nyingine nyingi usinyamaze..wengi waliopuuza wamelazimika kutumia gharama nyingi mno hadi Leo..
Kwasababu tatizo hili linapozembewa hupelekea vimbe na hata kabsa ya shingo ya uzazi na hivyo kufanya ugumu katika kushika
..usisubiri kujisaidia kwa gharama ..Fanya maamuzi sasa..

📌Tupo kwenye offer ya detox kwa msimu huu wa sikukuu…kwa watu kumi wa mwanzo ndani ya siku hizi tatu(3)..Karibu ubadilishe historia kwa mwaka 2023 ujao..tupo tayar kukusaidia.

📌kuwahi kwako Ndio kupata kwako ..tupigie sasa :;+255 763 187 833..

Au tutumie ujumbe whatsap direct..
Karibu sana!

06/12/2022

KARIBUNI SANA AFYA NA MIMI PAGE..
HAPA UTAPATA ELIMU JUU YA AFYA YA UZAZI NA UZITO KWA UJUMLA..MUHIMU ZAIDI UTAPATA USHAURI WA AFYA YAKO..WASILIANA NASI. #0763187833.

26/11/2022

Haya hapa ni Madhara ya Kuwa na Uzito Mkubwa(Overweight,Obesity),

Katika makala hii tumechambua baadhi ya madhara ambayo huweza kukupata k**a una tatizo la Uzito mkubwa au Uzito kupita kiasi(Overweight/Obesity)

1. Kuwa kwenye hatari ya Kupatwa na Ugonjwa wa Presha(High blood pressure),

Hali ambayo pia huweza kusababisha madhara mengine k**a vile;stroke n k

2.Tatizo la Kiharusi au STROKE

3. Kuwa kwenye hatari ya kupatwa na shambulio la Moyo(Heart attack),

Hii huweza kuchangiwa kwa kiasi kikubwa na shida ya high blood pressure,Cholestrol pamoja na blood sugar

4. Kuwa kwenye hatari ya kupatwa na magonjwa ya Ini ikiwemo Ini kushindwa kufanya kazi(Liver failure), hasa kutokana na kujengwa kwa Mafuta mengi(Excess fat) kwenye eneo hili

5. Kuwa kwenye hatari ya kupatwa na Saratani mbali mbali ikwemo; Saratani ya Ini,Figo,Utumbo mpana pamoja na kongosho

6.Kuwa kwenye hatari ya kupatwa na shida ya mawe kwenye figo, mawe kwenye vifuko vya nyongo(Gallstones) n.k

7. Kuwa kwenye hatari ya kupata Ugonjwa wa Kisukari..

8.kutoweza vizuri

Karibu!!

KARIBUNI SANA KATIKA PAGE HII..HAPA MTAPATA ELIMU NA USHAURI JUU YA CHANGAMOTO YA SECTOR YA UZAZI NA UZITO ULIOPITILIZA.
26/11/2022

KARIBUNI SANA KATIKA PAGE HII..
HAPA MTAPATA ELIMU NA USHAURI JUU YA CHANGAMOTO YA SECTOR YA UZAZI NA UZITO ULIOPITILIZA.

Address


Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya_na_mimi posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Afya_na_mimi:

  • Want your practice to be the top-listed Clinic?

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram