Emmanuel Health Care

  • Home
  • Emmanuel Health Care

Emmanuel Health Care Medical & Health. NAWASAIDIA WANAWAKE NA WANAUME KUPATA ELIMU, USHAURI NA SULUHISHO JUU YA AFYA YA UZAZI
Whatsapp number( +255)768131097

Karibu upate suluhisho la kudumu na Muongozo bure namna ya kubadili mfumo wa maisha  ili kuepuka kisukari.Kisukari kinat...
14/10/2023

Karibu upate suluhisho la kudumu na Muongozo bure namna ya kubadili mfumo wa maisha ili kuepuka kisukari.

Kisukari kinatibika na kupona. Wasiliana na Mtaalam Wetu wa Afya

☎0768131097

*❇️KISUKARI KINATIBIKA NJOO UPATE UFAFANUZI NA UANZE DOSE❇️*  ❇️ *UNAFAHAMU NINI KUHUSU UGONJWA WA KISUKARI❓*  *Kisukari...
07/10/2023

*❇️KISUKARI KINATIBIKA NJOO UPATE UFAFANUZI NA UANZE DOSE❇️*

❇️ *UNAFAHAMU NINI KUHUSU UGONJWA WA KISUKARI❓*
*Kisukari (Diabetic)ni ugonjwa unaonyesha viwango vikubwa vya* *Glukosi katika Damu. Sababu yake ni uhaba wa Hormone ya Insuline Mwilini Au upungufu wa uwezo wa Mwili wa kukabiliana na Insuline.*

❇️ *VIASHIRIA VYA UGONJWA WA KISUKARI*
✳️ *-Unene uliozidi na kiribatumbo*
✳️ *-Ulaji Mbaya wa chakula*
✳️ *-Baadhi ya Madawa*
✳️ *-Msongo wa Mawazo*
✳️ *-Kutofanya Mazoezi*
✳️ *-Magonjwa yanayoharibu Kongosho* ✳️-Utumiaji wa pombe uliozidi na utumiaj wa sigara*
✳️ *-Historia ya Ugonjwa wa kisukari kwenye familia*
✳️-Umri zaidi ya miaka arobaini kadiri tunavyozeeka na kongosho letu linapunguza uwezo kuzalisha Insuline.*

❇️ *DALILI ZA UGONJWA WA KISUKARI*
✳️ *-Kiu ya mara kwa mara*
✳️ *-Kupungua uzito licha ya kula vizuri*
✳️ *-Njaa Kali haswa mara kwa mara*
✳️ *-Kizun zungu*
✳️ *-Macho kupungua uwezo wa kuona*
✳️ *-Kukojoa kupita kiasi cha kawaida*
✳️ *-Kidonda kisichopona haraka*

piga Kwa ushauri na tiba☎0768131097

DALILI ZA HORMONAL IMBALANCE●maumivu wakati as tendo la ndoa●kutoa jasho usiku●maumivu chini ya kitovu wakati wa hedhi●u...
07/10/2023

DALILI ZA HORMONAL IMBALANCE
●maumivu wakati as tendo la ndoa
●kutoa jasho usiku
●maumivu chini ya kitovu wakati wa hedhi
●upungufu wa hamu ya tendo la ndoa
●mabadiliko ya siku za hedhi na kupata hedhi kwa muda mrefu unaozidi siku 7
●kukosa hedhi kwa muda mrefu na kutoa damu yenye mabonge mabonge ●uchovu wa mara kwa mara
●hasira za mara kwa mara
●kukosa usingizi
●homa za usiku na kizunguzungu cha mara kwa mara
●mzio wa chakula (allergie) kuchagua chakula ovyo
●ongezeko la tumbo na nyama uzembe
●kuharibika kwa ngozi (chunusi)
●maumivu ya viungo
●upungufu wa nywele kichwani
●kusahau sahau
●kupata hedhi wkt wa ujauzito
●maumivu ya kichwa mara kwa mara
●kuwa na tabia ya hamaki (kukosa utulivu)
●kutopata choo kwa wakati
●misuli kudondoka

Je unatamani kujitibu homornal imbalance kwa uhakika karibu nikuhudumie leo

☎0768131097

Ndani ya siku 14 tu, Tatizo la uvimbe kwenye Kizazi linapona bila upasuaji.Wasiliana Nami Sasa☎0768131097
07/10/2023

Ndani ya siku 14 tu, Tatizo la uvimbe kwenye Kizazi linapona bila upasuaji.

Wasiliana Nami Sasa☎0768131097

*Bidhaa yenye matokeo makubwa kwa kukulinda na kukukinga mwanamke dhidi ya UTI & Fangasi. Wasiliana nasi sasa
07/10/2023

*Bidhaa yenye matokeo makubwa kwa kukulinda na kukukinga mwanamke dhidi ya UTI & Fangasi. Wasiliana nasi sasa

NJOO UFUNDISHWE NAMNA YA KUMILIKI BIASHARA YA KIMATAIFA ITAKAYOKUINGIZIA KIPATO TOSHELEVU KWA MTAJI WA TSH. 150,000/= FA...
06/10/2023

NJOO UFUNDISHWE NAMNA YA KUMILIKI BIASHARA YA KIMATAIFA ITAKAYOKUINGIZIA KIPATO TOSHELEVU KWA MTAJI WA TSH. 150,000/=

FAIDA ZA KUFANYA KAZI BIASHARA HII

1. FAIDA YA REJA REJA
kampuni inakuwezesha kujipatia kipato cha papo kwa papo, kila siku kutokana na mauzo ya bidhaa mpaka 20% ya faida kwa kila bidhaa unayouza.

2. BONUS ZA KILA MWEZI.
Bonus/kamisheni ya utendaji, bonus hii inatokana na utendaji wako wewe mwenyewe, na mwisho wa mwezi mahesabu hufungwa na kupata kamisheni kuanzia 5%-28% kutokana na mauzo yako na ya team yako.
Bonus ya ongozi, hii unaipata baada ya kufika katika ngazi ya ongozi (leadership). Ambapo utapata nyongeza ya 3% ya mauzo ya watu ambao hawajafikia ngazi ya ongozi katika team yako.
Gawio LA faida ya ulimwengu. Hapa kampuni inakupa kuanzia 0.75%-3% ya faida ya mauzo yoote yaliyofanyika katika kampuni ya BF SUMA duniani

3. TRIP ZA KIMATAIFA.
Hapa unajipatia nafasi ya kusafiri kwenda likizo ya siku 8 katika nchi moja wapo ambayo imechaguliwa kwa mwaka husika ambapo yaweza kuwa ni Safari yenye thamani ya
Tsh Milioni 9 ($4000) mpaka Tsh Milioni 4.5 ($2000)

4. MAGARI
Hapa kampuni inatoa fursa ya wewe kujipatie gari endapo k**a utakidhi vigezo vya mauzo kwa mwaka kwenye kampuni. Gari yaweza kuwa yenye thamani ya kuanzia Milioni 28 ($12,500) au Luxury Car yenye
Thaman ya kuanzia Milioni 57 ($25,000)

5. NYUMBA
Kampuni inakupa nafasi ya kumiliki nyumba yako yenye thamani ya kuanzia Tsh Milioni 400 eneo lolote chini, pale utakapokidhi vigezo vya mauzo kwa miaka mitatu
tuu.

KUMBUKA:Mafanikio siku zote hayahitaji mtu wa kukata tamaa au ambaye anaogopa kufanya kitu,hivyo usisite kufanya fursa hii kwani ni moja ya njia kubwa sahihi ya kufikia ndoto zako!

KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI KUPITIA ☎️0768131097

Mwanamke mwenye Changamoto ya Uzazi Hakikisha unatumia Uzazi Package.. Nipigie kupata mwongozo wa hii package Mkoa wowot...
05/10/2023

Mwanamke mwenye Changamoto ya Uzazi Hakikisha unatumia Uzazi Package..
Nipigie kupata mwongozo wa hii package Mkoa wowote uliopo Unaipata

☎0768131097

02/10/2023
DALILI ZA KUVIMBA KWA VIFUKO VYA MAYAI YA UZAZI (OVARIAN CYST)Uvimbe kwenye vifuko vya mayai ya mwanamke (o***y), hutoka...
02/10/2023

DALILI ZA KUVIMBA KWA VIFUKO VYA MAYAI YA UZAZI (OVARIAN CYST)

Uvimbe kwenye vifuko vya mayai ya mwanamke (o***y), hutokana na mkusanyiko wa majimaji yanayozungukwa na kuta nyembamba ndani ya vifuko vya mayai ya mwanamke. Uvimbe huu hutokea kwa wanawake wa umri wowote ule na mara nyingi huonekana kwa wanawake waliofikia kikomo cha umri wa kupata ujauzito.

Sababu/ Mambo hatarishi yanayopelekea vimbe katika vifuko vya mayai: .

➢ Matatizo ya homoni hali hii hutokana na matumizi ya vidonge vinavyotumiwa kwa ajili ya kupevusha mayai bila ushauri wa daktari. .

➢ Ujauzito wakati mwingine uvimbe unaojitokeza huweza kukaa kwa kipindi cha ujauzito. .

➢ Endometriosis hii huwa ni hali inayosababisha seli za ukuta wa tumbo la kizazi kuota nje ya kifuko chako cha kizazi. Baadhi ya tishu zinaweza kushik**ana na vifuko vyako vya mayai na kutengeneza uvimbe. .

➢ Kutotibu maambukizi katika mfumo wa uzazi na mkojo k**a maambukizi ya bakteria k**a vile UTI, fangasi, magonjwa ya zinaa k**a pangusa(Chlamydia) au kisonono,

DALILI ZAKE;

➢ Maumivu kwenye nyonga hasa maeneo ulipo uvimbe. .

➢ Tumbo kujaa au kuwa zito.

➢ Tumbo kuunguruma. .

➢ Maumivu na kuhisi homa au kutapika. .

➢ Hali ya homa na uchovu kichefu chefu na kutapika .

➢ Maumivu makali chini ya kitovu pembeni kushoto au kulia au pande zote.

➢ Hedhi kuvurugika.

➢ Maumivu makali wakati wa tendo la ndoa.

Mwanamke asipotibu tatizo hili mapema anaweza kupoteza uwezo wake wa kubeba ujauzito/UGUMBA.

K**a umeshakumbana na madhara haya NATURE'S WAY' HEALTH CLINIC tuna virutubisho lishe/ tiba lishe mzuri sana ya kukusaidia na kuondoa madhara haya. Ni dawa zinazotokana na mimea tiba na matunda pamoja na ushauri wa kitaalamu.

Tupigie📲0768131097

SABABU ZA HEDHI KUBADILIKA BADILIKA;SOMA ZAIDI 👇. ✍️Unakuta mwanamke mweI huu ameingia tarehe20 mwezi ujao akaingia tare...
02/10/2023

SABABU ZA HEDHI KUBADILIKA BADILIKA;
SOMA ZAIDI 👇.

✍️Unakuta mwanamke mweI huu ameingia tarehe20 mwezi ujao akaingia tarehe 30.

➖Hiyo inakuwa vigumu kujua mzunguko wake...

➖Sababu za hedhi kuvurugika mara nyingi inasababishwa na homoni kutoku balance.

➖Homoni kitoku balance ni hali ya homoni flani kuongezeka au kupungua.

➖Hivyo kushindwa kufanya kazi inavyotakiwa.

🟢Sababu za homoni kutokubalance zipo nyingi mfano:-👇

➖Kujikondesha au kunenepa ghafla
➖Stress kuwa nyingi
➖Dawa za uzazi wa mpango k**a vidonge,sindano,njiti n.k

👉Hali hii inaweza kusababisha ugumba pamoja na kushika mimba bila kutatajia.

➖Unapokuwa na tatizo hili unashauriwa kufanya vipimo vya kina.

Baadhi ya vipimo vinafanyika ni homoni za uzazi,Ultrasound,Vipimo vya damu n.k

📌Usitumie dawa bila kufanya vipimo au uchunguzi

👉Na endapo umeshagundua una tatizo hili na kuanza matibabu na bado hujaona matokeo nitafute nikupe suluhisho lake la kudumu👏

📲0768131097

*MAAJABU YA HII BIDHAA MPYA NDANI YA MASAA 24 TU*✨️NMN DUO RELEASE ✨️Hii ni bidhaa mpya ya BF SUMA yenye faida zifuatazo...
02/10/2023

*MAAJABU YA HII BIDHAA MPYA NDANI YA MASAA 24 TU*
✨️NMN DUO RELEASE ✨️

Hii ni bidhaa mpya ya BF SUMA yenye faida zifuatazo.
● Inadumisha, kuboresha na kuimarisha DNA, ndani ya masaa 24
● Inaongeza na kuboresha nguvu katika seli, ndani ya dakika 30
● Ina ufanisi kwa kupambana na uzee (anti-aging)
● Inaipa akili afya, kuifurahisha na kuifanya iwe zalishaji muda wote
● Inalinda macho dhidi ya maradhi mbali mbali
● Inakulinda dhidi ya magonjwa ya moyo, mishipa ya damu na ubongo ( cordiovascular diseases, anorcerebrovascular diseases)
● Inawezesha uzalishaji wa kapilari mwilini
● Inang'arisha ngozi na kuipa unyevu angavu muda wote.

✨️✨️✨️
Kwa kukidhi matumizi ya dual - layer tablet katika uzalishaji , faida kuu imetazamiwa , Rangi ya pink inawakilisha uharaka wa safu( layer ) kuachilia , Ambayo inawezesha utolewaji wa virutubisho vya molecules ndani ya dakika 30 za kumeza, kwa haraka inaongeza NDA+ kwa kuboresha wango cha nguvu. Kwa upande mwingine, white layer (safu nyeupe) inanufaisha ustahimilivu endelevu wa safu kutoa virutubisho, ikipelekea mfumo wa taratibu wa kutolewa kwa virutubisho vya molecules zaidi ya masaa 24 kuinua kiwango cha NDA+

✨️✨️✨️
Jitahidi ujipatie bidhaa hii kwa matumizi tajwa hapo juu, hii si ya kukosa

✨️✨️✨️
*KARIBU UIPATE BADO ZIPO CHACHE NA UTAIPATA KWA BEI YA PUNGUZO*

📲0768131097

Address


Telephone

+255768131097

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Emmanuel Health Care posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Emmanuel Health Care:

  • Want your practice to be the top-listed Clinic?

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram