Dr yasin

Dr yasin Dr of veteranian medicine

*Lesson 3; Banda bora la kuku*Banda bora ni banda ambalo linakidhi mahitaji ya kuku wako na liendane na idadi ya kuku un...
13/06/2022

*Lesson 3; Banda bora la kuku*

Banda bora ni banda ambalo linakidhi mahitaji ya kuku wako na liendane na idadi ya kuku unaofuga.
Umuhimu wa banda bora;
Banda bora linasaidia kupunguza changamoto za magonjwa

Sifa za banda bora.
I. Lijengwe sehemu isoyotuama maji
II. Likinzane na uelekeo wa upepo na mvua
III. Liruhusu mzunguko wa hewa
IV. Liwakinge kuku wako dhidi ya baridi
V. Liwe na vichja kwaajili ya kupumzika, kufanya mazoezi na kulala, pia Liwe na viota vya kutagia ambavyo huwekwa kuku wakifikisha miezi 3
VI. Liwe rahisi kusafishika
VII. Liendane na idadi ya kuku bandani
Hapa sasa watu wengi hua wanafeli na kujisababishia changamoto za magonjwa, kudonoana na kula mayai.
Kuku anahitaji sehemu ya kutosha ili aweze kuwa huru na kufanya mazoezi ndio maana wanaofuga huria au nusu ndani nusu nje wanapata matokeo mazuri.
Kila aina ya kuku anahitaji nafasi yake.
1m square inahitaji kuku chotara 4/5
1m square inahitaji kuku wa mayai 6/8
1m square inahitaji kuku wa kienyeji/nyama 8.
Mfano unataka kujenga banda la kuku chotara 100, unachukua 100÷4=25m square au 100÷5=20m square, sasa hii 25/20m square ndio ukubwa wa banda. 25=6.25x4 na 20=5x4.
Ukizingatia vipimo utapunguza changamoto.

*UMUHIMU WA VIOTA*

Viota ni mahali ambapo kuku hutaga mayai, kuatamia na kuangua vifaranga. Hii inamaanisha kuwa viota ni sehemu muhimu sana ya kuzingatia ili kuweza kupata mayai mengi yaliyo salama pamoja na vifaranga.

_Aina za viota_

Kuna makundi mawili ya viota vinavyotumiwa na kuku pamoja na ndege wengine wafugwao.

1. Kiota kilicho tengenezwa na kuku mwenyewe

Hii ni aina ya viota ambavyo kuku huchagua mahali pa kutaga na kuhifadhi mayai. Inaweza kuwa mahali popote ambapo kuku ataona mayai hayataweza kudhurika au kuonekana. Kwa mfano, vichakani, stoo au kona yenye giza.

Njia hii si nzuri kwani husababisha upotevu wa kuku na uharibifu wa mayai.

Kwa kutagia stoo au sehemu iliyojificha ya ndani, japokua ni sehemu salama ambayo haiwezi kufikiwa kirahisi na wezi au wanyama, maya

24/04/2022
01/12/2021

Oda mpya ya vifaranga vya broiler

Vinapatikana kptl sinza bamaga dar es salaam

Tarehe 15/January/2021

Karibu kptl0753946907
18/11/2021

Karibu kptl
0753946907

Je unatamani kufuga na ujui sehemu ya kupata vifaranga na chakula chake pamoja na vifaa vya kisasa kwaajili ya ufugaji w...
13/11/2021

Je unatamani kufuga na ujui sehemu ya kupata vifaranga na chakula chake pamoja na vifaa vya kisasa kwaajili ya ufugaji wenye tija?
Jibu ni moja tu kptl kampuni namba moja kwa usambazaji wa vifaaa Bora vya ufugaji na usambazaji wa vifaranga vya aina zote

Order ya broiler
24-12-2021
02_01_2022

Order ya layers
03/12/2021

Order ya kuroiler
06/12/2021

Karibuni sana
Tunapatikana sinza bamaga dar es salaam
0753946907

Vinapatikana kptl sinza dar es salaamPiga 0653370611Kwa maelezo zaidi
02/11/2021

Vinapatikana kptl sinza dar es salaam
Piga
0653370611
Kwa maelezo zaidi

Vifaranga wa broiler wanapatikana Kptl kwa bei rahisi sana,Ukiweka oda yako utapata kwa wakati,Piga simu ,tuma sms Whats...
30/10/2021

Vifaranga wa broiler wanapatikana
Kptl kwa bei rahisi sana,
Ukiweka oda yako utapata kwa wakati,

Piga simu ,tuma sms WhatsApp
0653370611/0683350611

Pata vifaranga vya broiler, layers and kuloiler kutoka kuku project.Piga 0653370611/0683357029
28/10/2021

Pata vifaranga vya broiler, layers and kuloiler kutoka kuku project.

Piga
0653370611/
0683357029

26/10/2021
Note
18/10/2021

Note

Je wajua
14/10/2021

Je wajua

Karibuni sana kwenye management mbalimbali za wanyama.,K**a vileCastration mbwa , nguruwe,ngo'mbe ,mbuzi,na kondooo.Deho...
08/10/2021

Karibuni sana kwenye management mbalimbali za wanyama.,
K**a vile
Castration mbwa , nguruwe,ngo'mbe ,mbuzi,na kondooo.
Dehorning
Kwa ngo'mbe na mbuzi,
Vaccination,
Kwa mbwa na kuku
Debeaking kwa kuku
Dystocia tuna solve
Wound management
Na
Tunatibu wanyama wote,
Tunakuja popote ulipo
Wasiliana nasi kwa namba zifuatazo,
Call 0653370611
WhatsApp 0683357029

Address

Dar Es Salaam

Telephone

+255683357029

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dr yasin posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Dr yasin:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram