
27/07/2025
Wewe mwanaume ..k**a una mwanamke hajui kushukuru yaani kila unalofanya anaona k**a umefanya kidogo sana ana tamaa ya vikubwa huyo dada achana naye leo hii...
Hivi unajua majukumu yako kwa mwanamke mwenye akili anatakiwa kukuheshimu sana...na kukupa support mno ...
Hebu piga picha hapa
Kutafuta kiwanja mwanaume
👉 kutafuta kazi mwanaume
👉kwenda kazini mwanaume
👉kujenga nyumbani mwanaume...pesa ya Kodi mwanaume
👉pesa ya mahali mwanaume
👉watoto kwenda shule mwanaume
.... kuchimba kaburi mwanaume
👉 Kuhonga wanaume
👉 kununua vijora mwanaume
👉kulisha wakwe mwanaume
👉akirudi nyumbani kusemwa mwanaume.
.. kiukweli ndo maana wanaume wanakufa mapema so kwa majukumu haya....alfu unakuta mdada amekula kande zake anatunisha mashavu kusema wanaume wote. ni mbwa kisa tu umalaya wake wa kutaka alale na kila mtu....wanaume aise MUNGU awazidishie maana kwangu Mimi mama ni mtu wa mhimu sana kwenye maisha yangu ila baba ni zaidi ya mhimu kuliko mama
👇
Group langu la wachumba lipo kwaajili yako ada yake ni ile ile tu elfu 25 w