Maisha halisitz

Maisha halisitz Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Maisha halisitz, Psychologist, Dar es Salaam.

K**a unapitia changamoto yoyote katika mahusiano yako, ndoa au mapenzi yako huyaelewi basi karibu kwenye huduma zangu za ushauri pia follow account yangu ya Instagram ya kwa huduma zote

Wewe mwanaume ..k**a una mwanamke hajui kushukuru yaani kila unalofanya anaona k**a umefanya kidogo sana ana tamaa ya vi...
27/07/2025

Wewe mwanaume ..k**a una mwanamke hajui kushukuru yaani kila unalofanya anaona k**a umefanya kidogo sana ana tamaa ya vikubwa huyo dada achana naye leo hii...

Hivi unajua majukumu yako kwa mwanamke mwenye akili anatakiwa kukuheshimu sana...na kukupa support mno ...
Hebu piga picha hapa
Kutafuta kiwanja mwanaume
👉 kutafuta kazi mwanaume

👉kwenda kazini mwanaume

👉kujenga nyumbani mwanaume...pesa ya Kodi mwanaume

👉pesa ya mahali mwanaume

👉watoto kwenda shule mwanaume
.... kuchimba kaburi mwanaume

👉 Kuhonga wanaume

👉 kununua vijora mwanaume

👉kulisha wakwe mwanaume

👉akirudi nyumbani kusemwa mwanaume.
.. kiukweli ndo maana wanaume wanakufa mapema so kwa majukumu haya....alfu unakuta mdada amekula kande zake anatunisha mashavu kusema wanaume wote. ni mbwa kisa tu umalaya wake wa kutaka alale na kila mtu....wanaume aise MUNGU awazidishie maana kwangu Mimi mama ni mtu wa mhimu sana kwenye maisha yangu ila baba ni zaidi ya mhimu kuliko mama
👇


Group langu la wachumba lipo kwaajili yako ada yake ni ile ile tu elfu 25 w

Wadada wasaidieni wakaka kusoma hiiKaka Mwanamke anapokua mjamzito nikipindi ambacho anaitaji ukaribu wako wa hali ya ju...
27/07/2025

Wadada wasaidieni wakaka kusoma hii
Kaka Mwanamke anapokua mjamzito nikipindi ambacho anaitaji ukaribu wako wa hali ya juu.

Wapo wanawake ambao wakiwa wajawazito huwa visirani ,unapaswa kumsoma mkeo ujauzito wake unampekaje .

Mwanamke mjamzito anaweza kua napenda hiki anachukia hiki ,haimaanishi kua ndio hapendi moja kwa moja nijambo la msimu tu.

Wapo ambao wakiwa wajawazito huwachukia Sana waume zao na kuona K**a vile wanaharufu flani mbaya mbaya tu ,hiyo nihali yamda usimkimbie ukaenda kutafuta mchepuko ukijua ndoa ndio imekufa nijambo lamda tu.

Hakikisha Mwanamke anapokua mjamzito unamuonesha upendo na ikiwezekana uwe unatoka nae out matembezi kumfanyisha mazoezi hiyo itamsaidia kwenye wakati wake wakujifungua ajifungue salama.

Usimpigie mkeo makelele Wala usiinue mkono wako kumpiga maana anawakati mgumu anaopitia .

Kipindi Cha ujauzito nikipindi kigumu Sana kwa Mwanamke hivyo msogelee Sana na uhakikishe unampa tendo la ndoa lenye kumtosheleza aridhike.

Msaidie kazi ndogo ndogo za nyumbani apate mdamzuri wakupumzika.

Wapo wanawake ambao kipindi Cha ujauzito wanakua na mhemko mkali Sana (nyege) hivyo usishangae chukulia kawaida na umpee ,staily ambayo haita mumiza yeye namtoto.


Post iliyopita umeiona lakini??? Mwenzenu mwingine kavishwa pete ya uchumba kutoka Kwenye group langu la wachumba ...wewe bado una ng'aang'aa tu badala ulipie uje upate mtu sahihi humo

Endelea kuwaona wenzio tu wamevyalishwa....ngoja miaka ikuache ngoja uchelewe kupeleka watoto shule ngoja upweke ukutafu...
27/07/2025

Endelea kuwaona wenzio tu wamevyalishwa....ngoja miaka ikuache ngoja uchelewe kupeleka watoto shule ngoja upweke ukutafune..huku ni elfu 25 tu watu wanapata wennza wao

Kila siku nawaambia Hupaswi kuruka post yoyote hapa...hii page ni yenu someni kila kitu
26/07/2025

Kila siku nawaambia Hupaswi kuruka post yoyote hapa...hii page ni yenu someni kila kitu

Usiangalie jana yako uliyo haribu, iangalie leo yako ambayo una nafasi ya kutengeneza upya ulicho kiaribu, kwa lengo la ...
26/07/2025

Usiangalie jana yako uliyo haribu, iangalie leo yako ambayo una nafasi ya kutengeneza upya ulicho kiaribu, kwa lengo la kuiandaa kesho iliyo bora zaidi, kwasababu Mungu aliweka nguvu ya msamaha ikiwa ni k**a sehemu ya kujitakasa na kuanza upya ikiwa bado unapumua basi una nafasi ya kurekebisha na kutengeneza mazur zaidi, hakuna msafi ambaye hajawahi kupita kwenye uchafu na hakuna kichafu ambacho hakitokuja kua ki safi


Taarifa ...mlio lipia group langu la wachumba nitawaunga jioni sasahivi nina kazi nyingi msiwaze jioni mtakua kwenye group tayari

Niseme kitu asubuhi hiiWatu hawajui, lakini ukweli ni kwamba…Wanaume wengi hawafi kwa ajali wala magonjwa. Wanaume wanak...
26/07/2025

Niseme kitu asubuhi hii

Watu hawajui, lakini ukweli ni kwamba…
Wanaume wengi hawafi kwa ajali wala magonjwa. Wanaume wanakufa kwa msongo wa mawazo, ukimya, na presha ya maisha.

Mwanaume haambiwi "pole", haambiwi "utashinda", haambiwi "jipumzishe kwanza"… badala yake, kila mtu anamuangalia k**a mti wa miujiza – wa kutoa pesa, upendo, msaada, na subira bila kuchoka.

Anapoamka asubuhi, anawaza:
“Leo nile nini? Niwapelekee nini wazazi? Nitatuma vipi pesa ya mtoto wa dada? Nina deni la nyumba, nina shati moja limechakaa…”

Lakini bado atavaa tabasamu.
Ataandika "good morning" status.
Ataambia watu, “tuko vizuri bana.”

Hawajui kwamba mwanaume huyu usiku analala kitandani na macho wazi. Anaota ndoto ambazo hazitimii. Anavuta pumzi nzito lakini hakuna anayemsikiliza. Ataomba ushauri, atadharauliwa. Ataomba msaada, ataambiwa “we si mwanaume wa kweli.”

Na mbaya zaidi...
Wanaume wengi wanajitahidi sana kwa wanawake ambao hata hawajui kuthamini. Wanatoa kila walichonacho kwa mtu ambaye hayuko tayari hata kumshika mkono wakati anadidimia.

Mwanaume anapokata tamaa, hulii. Ananyamaza. Akinyamaza – anaumia. Akiumia sana – anakufa kimya kimya.

Leo, msalimie mwanaume kwa upendo. Muambie umeona juhudi zake. Mpe moyo. Msaidie hata kwa neno. Usingoje afe ndio umwite “shujaa”.
Maana hata simba, akiumia sana – hujificha porini afe mwenyewe bila kelele💯✍️🙌


Ushauri au group la wachumba ni hela yako tu...
Usiishie kusoma shuuda tu watu wananufaika na huduma hizi njoo lipia ni elfu 25 tu

K**a una tamani kufikia hatua hiiNakuombea ikawe hivi mapema sana upendavyoLakini nikwambie kitu ...kufikia hapaUnahitaj...
26/07/2025

K**a una tamani kufikia hatua hii

Nakuombea ikawe hivi mapema sana upendavyo

Lakini nikwambie kitu ...kufikia hapa
Unahitaji mtu sahihi tu
Aliye tayari kwa muda huu na hatua hii..

Achana huyo dada/kaka anayejiona hana uwezo kwa sasa kuingia kwenye familia ...anayedhani anahitaji utajiri fulani ili aoe sasa ...

Kumbe utajiri wake upo baada.. Ya kuingia kwenye ndoa

K**a una mtu anashinda kila siku anakuambia yeye bado ana mambo mengi ana sema ana umri mdogo anasubiri ajira ili aoelewe au kuoa basi jua

Hii hatau utaishia kuiona hapa hapa kwenye page yangu watu wanaoa na kuolewa...
Maana watu waliopo kwenye group langu la ni walio tayari kwa muda umri na uchumi ...wanahitaji tu mke /mme na hawana habari zingine ...

Ndio maana kila siku nakuambia achana na huyo chuma ulete wako ...hebu lipia group langu la wachumba utanishukuru..

SABABU ZA KWANINI HAJAKUOA NA AMEOA ALIEKUTANA NAE NDANI YA MWEZI MMOJA.Kuna sababu kadhaa zinazoweza kumfanya Mwanaume ...
25/07/2025

SABABU ZA KWANINI HAJAKUOA NA AMEOA ALIEKUTANA NAE NDANI YA MWEZI MMOJA.

Kuna sababu kadhaa zinazoweza kumfanya Mwanaume aachane na Mwanamke aliye naye kwa muda mrefu (hata miaka mitatu) na kuamua kumuoa Mwanamke mwingine ambaye amekutana naye kwa muda mfupi (k**a mwezi mmoja tu).

Nimekuwa nikikutana na Maswali na Vilio vya Wanawake wengi wakibubujikwa na machozi dhidi ya walio kuwa wenza wao na kulalamoka kuhusu kudanganywa na kufichwa kweli ambayo imekuja kuwaumiza na kuacha makovu Mioyoni mwao.

Leobnawapa majibu ya kwanini Mwanaume wako au aliekuwa Mwenza/Mchumba alikuacha licha ya kudumu nae kwa Muda mrefu na akamuoa Mwanamke mwengine tena aliekutana nae ndani ya Mwezi mmoja

Zifuatazo ni baadhi ya sababu hizo
1. Mahitaji ya kihisia hayakutimizwa.

Mwanaume anaweza kuwa kwenye uhusiano mrefu lakini anahisi hajapokea Mapenzi/Upendo, Heshima, Uelewa au Msaada wa kihisia anaohitaji.

Mwanamke mpya anaweza kuonekana kumwelewa zaidi na kumpa kile alichokuwa anakosa kwa muda mrefu kutoka kwako hivyo hata sekunde moja ikamtosha kujua alikuwa mahali ambapo hakustahili.

2. Uhusiano kukosa Uelekeo/Dira kuifikia ndoa.

Wapo Wanaume wanaodumu kwa muda mrefu na Mwanamke huku wakiwa hawana dhamira ya ndoa tangu mwanzo.

Pengine walikuwa kwenye uhusiano kwa Starehe, Urafiki, au Mazoea huku wewe ukiwa unajiaminisha unapendwa na utaolewa na Mwanaume huyo kumbe alipokugusa na kuanza kukuchunguza akaona humfai.

Hivyo akikutana na Mwanamke mpya ambaye anaonyesha kuwa "Mke wa kuoa" anabadilika haraka na kumpa Value kisha anamuoa na huwa hacheleweshi na pengine k**a hana pesa atahakikisha anaanza nae pamoja kwenda kujitambulisha anakwenda akiwa anakumiliki.

3. Mwanamke mpya katimiza matarajio ya ndani ya Mwanaume.

Baadhi ya Wanaume wana “vigezo” vya ndani (vilivyo wazi au visivyo wazi) vya aina ya Mwanamke wanaotaka kumuoa.

Mfano:... Tabia, Maadili, Muonekano, Dini, Malezi, Nidhamu, Heshima n.k. Akimuona Mwanamke mpya anayekidhi hivyo vigezo, anaweza kufanya uamuzi wa haraka na ukashangaa.

4. Shinikizo la familia au jamii.

Kuna nyakati Mwanaume anapokea shinikizo kutoka kwa wazazi....

Utaendelea ....

Mimi heleni mi cheni mikubwaaaa uwiiiii
25/07/2025

Mimi heleni mi cheni mikubwaaaa uwiiiii

Someni hapaVijana wangu ni muda sasa hatujapeana misingi...Ipo hivi.Wanaume wengi wanashindwa bila hata kujua.Si kwa sab...
25/07/2025

Someni hapa

Vijana wangu ni muda sasa hatujapeana misingi...

Ipo hivi.

Wanaume wengi wanashindwa bila hata kujua.
Si kwa sababu hawana nguvu,
Bali kwa sababu wamezoea raha, visingizio na mambo ya kupoteza muda.

Natamani ujumbe huu ukuvushe

Raha ni tamu, lakini usipokuwa makini inaweza kukunyima mafanikio.
Wanaume wengi wanapenda maisha mepesi badala ya kujitahidi.

Jamani raha ni mtego.

Inakufurahisha sasa, lakini baadaye utateseka. Kujitahidi kunauma, lakini majuto yanauma zaidi....hiyari ni yako kuchagua lipi linafaa.

Kujizuia si jambo la hiari ni sehemu ya mwanaume halisi.
Ukishindwa kujizuia kwenye tamaa zako, zitakuangusha.

Mwanaume anayeweza kujiongoza, ndiye anaweza kuwaongoza wengine. Nidhamu ndio msingi wa kuwa mwanaume. Uijenge.

Nidhamu hauzaliwi nayo, inatengenezwa kwa kupitia magumu.
Huwezi kuwa na nidhamu bila kupitia changamoto.

Kila mara unavyojitahidi kushinda uvivu, unakuwa imara zaidi. Tabia za uvivu huzaa wanaume dhaifu.

Huwezi kubadilika k**a bado unaishi kwa mazoea ya zamani.
Hujakwama, unarudia mambo yale yale tu.

Ukibadilisha tabia zako, maisha yako nayo yatabadilika. Kuwa yule mwanaume unayetaka kuwa kwa vitendo.

Ukitumia muda mwingi kwenye simu, unajiharibia. Raha ya haraka sasa inaweza kukuumiza baadaye.

Linda akili na muda wako.
Kuwa laini kwa wanaume kunaonekana ni utulivu, lakini ni kushindwa kwa kimya.
Udhaifu si wema. Ni kujidanganya. Wanaume wanapaswa kuwa na nguvu, waaminifu na wenye msimamo.

Dunia inaheshimu wanaume wa kweli, si walaini.
Visingizio haviwezi kukuficha vinakuonyesha ulivyo.
Kila sababu unayotoa ni njia ya kujificha. Unaweza kuendelea kulalamika au kuamua kubadilika lkn si vyote viwili.

Kubali makosa yako, ndipo utaanza kuwa huru.
Ukikaa kimya na kujituma, utajenga maisha mazuri.
Zungumza kidogo, fanya kazi zaidi. Mafanikio makubwa hujengwa kimya kimya.

Wengine wakitamba wewe endelea kujenga maisha yako. Mafanikio yako yatasema yote.
Huna tatizo la muda una tatizo la kutojua cha kufanya.

Sote tuna masaa 24 kwa siku. Wengine hutumia kujenga maisha, wengine huupoteza. K**a husogei mbele, si kwa sababu huna muda ni kwa sababu huna nidhamu ya kweli.

Ushauri 🙏🙏

Tunakutane kwenye group langu la wachumba WANAUME
25/07/2025

Tunakutane kwenye group langu la wachumba WANAUME

Wa dada TUNAELEWANA
25/07/2025

Wa dada TUNAELEWANA

Address

Dar Es Salaam

Telephone

+255756802580

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Maisha halisitz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category