04/01/2026
madame
Naitwa Richard namtafuta namtafuta binti anaeitwa Elizabeth (Eliza) ni mzazi mwenzngu Alikuja Dar essalam miaka ya 2015 alikuwa akifanya kazi Mitaa ya Lumo chini ya reli wanapaita ujaluoni karibu na kanisa la sabato kwa Mzee mmoja wa kihaya anaitwa baba mugisha au baba Ireneβ¦Mara ya mwisho kuwasiliana alikuwa bukoba mtoto huyo wa kiume anaitwa Ivan..
Kipindi hko nmempa Mmba mm nilikuwa nasoma sekondari na yeye alikuja kufanya kazi za ndani sikuweza kumhudumia mtot kwa kuwa nilikuwa Bdo mwanafunz sikuwa na uwezo na familia zikajikuta kweny mgogoro
K**a atapatikana anitafute kwa namba 0678 034823