Maisha halisitz

Maisha halisitz Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Maisha halisitz, Psychologist, Tabata, Dar es Salaam.

K**a unapitia changamoto yoyote katika mahusiano yako, ndoa au mapenzi yako huyaelewi basi karibu kwenye huduma zangu za ushauri pia follow account yangu ya Instagram ya kwa huduma zote

madameNaitwa Richard namtafuta namtafuta binti anaeitwa Elizabeth (Eliza) ni mzazi mwenzngu Alikuja Dar essalam miaka ya...
04/01/2026

madame
Naitwa Richard namtafuta namtafuta binti anaeitwa Elizabeth (Eliza) ni mzazi mwenzngu Alikuja Dar essalam miaka ya 2015 alikuwa akifanya kazi Mitaa ya Lumo chini ya reli wanapaita ujaluoni karibu na kanisa la sabato kwa Mzee mmoja wa kihaya anaitwa baba mugisha au baba Irene…Mara ya mwisho kuwasiliana alikuwa bukoba mtoto huyo wa kiume anaitwa Ivan..

Kipindi hko nmempa Mmba mm nilikuwa nasoma sekondari na yeye alikuja kufanya kazi za ndani sikuweza kumhudumia mtot kwa kuwa nilikuwa Bdo mwanafunz sikuwa na uwezo na familia zikajikuta kweny mgogoro

K**a atapatikana anitafute kwa namba 0678 034823

Madam shikamooMimi kwa majina naitwa NEEMA ni mzaliwa wa MWANZA mwaka 2014  niliacha shule nikiwa from 1 nikaenda kufany...
04/01/2026

Madam shikamoo
Mimi kwa majina naitwa NEEMA ni mzaliwa wa MWANZA

mwaka 2014 niliacha shule nikiwa from 1 nikaenda kufanya kazi za ndani mkoa wa SHINYANGA wilayani SALAWE Kijiji MHANGU kwa boss mmoja anaitwa MARWA ROBART anafanya kazi kwenye mgodi wa MWAKITORYO

Huyo baba ni mkulya sasa nikawa na mahusiano na kijana mmoja jirani alikuwa amepanga hapo jirani na huyo baba alikuwa akiishi na kaka ake jina simjui ila walikuwa wanauza nguo mnadani hapo MHANGU

Huyo kijana ni mkulya yeye aliniambia jina anaitwa CHANGA

Sikubahatika kujua ndugu zake majina bahati nzuri au mbaya nilikosana na boss wangu nikatoka hapo MHANGU kwa kutoroka bila hata kumuaga Wala kumwambia kuwa nilikuwa na ujauzito

NA nilitoka mimba ikiwa na miezi miwili nikaja kwetu mwanza mwaka 2014 mwaka 2015 nikajifungua mtoto wa k**e

Hadi sasa mtoto ana miaka 10 hamjui baba Wala ndugu wa baba ake na mm siwajui 2026 mtoto anaingia dalasa la 6 nilikuwa nakuomba nisaidie nimpate baba wa huyu mtoto hata ndugu zake tu nitashukuru Asante
0689848090 HIZI NO NI ZA KUNIPATA ZA WATU WA MEDIA NISAIDIE MADAM

WANAUME WALIO OA KUTOKA KWENYE GROUP LANGU LA WACHUMBA.. Sijaona wakija kuomba ushauri kwamba wana sumbuliwa..ila sasa m...
03/01/2026

WANAUME WALIO OA KUTOKA KWENYE GROUP LANGU LA WACHUMBA.. Sijaona wakija kuomba ushauri kwamba wana sumbuliwa..

ila sasa majuto k**a ya pogba.. YAPO
"Mke wangu aliniacha nilipofungiwa kujihusisha na soka na kupoteza umaarufu wangu. Alikuwepo tu kwa ajili ya Pesa na Umaarufu wangu."

"Nilitambua jinsi maisha yanavyoweza kuwa matupu na yasiyo na maana nilipofungiwa kucheza mpira wa miguu kwa miaka 4. Mara moja nilipoacha kuwa Pogba mchezaji tajiri na maarufu, watu walianza kuniepuka. Jambo baya zaidi ambalo bado linavunja moyo wangu leo ni kwamba hata mke wangu mwenyewe aliniacha. Kila mtu ambaye alikuwa akinialika kwenye matukio yao ya mitindo na vitu k**a hivyo alisema: "Pogba hana faida sasa."

"Hiyo ilikuwa nafasi nzuri kwangu kuona marafiki zangu wa kweli. Na mke wangu alithibitisha kuwa hakuwahi kunipenda. Lakini sasa nina furaha sana kwa sababu simu yangu haipigiwi tena na marafiki wa uongo. Sasa najua niko peke yangu maishani."

Wakati mwingi, watu huvutiwa na wewe kwa sababu ya mafanikio yako. Usiishi maisha yako ukijaribu kuwaridhisha wengine kwa sababu hakuna anayejali kweli kuhusu wewe ,ila wapo kwa maslahi Yao kivyao kupitia ulivyonavyo wewe na sio utu wako wewe.

Sio kila mtu aliye karibu nawe ni kwa ajili yako. Watu wengine wapo kwa ajili ya kile ulichonacho. Taa zinapozimwa, zile za kweli hubaki.

UTAJIRI HAUKUPI MTU SAHIHI ILA MUNGU NA KUA MAKINI NA WATU ULIO NAO

Ada ya group ni elfu 25 tu unalipia Kwenye voda no 0756802580 then una kuja WhatsApp no 0656832100 jina litakuja la mme wangu emmanuel hosea NAKUUNGA HAPO hapo unachagua wako wa maisha hili group nilakudumu hakuna kutoka Kwenye group mpaka utakapo mpata mwenza wako

2026 WANZAKO TUMECHAGUA GROUP LA WACHUMBA LA MADAM...Hivi unajua kwa nini...Hisia zako zinakwambia mvumilie tu. Hata k**...
03/01/2026

2026 WANZAKO TUMECHAGUA GROUP LA WACHUMBA LA MADAM...

Hivi unajua kwa nini...
Hisia zako zinakwambia mvumilie tu. Hata k**a anakutendea maovu kiasi gani we vumilia kwa sababu ukiachana naye utaumia.

Ila akili yako bado hajashtukia kitu.

Kwamba unaogopa kuumia kwa kuachana naye wakati tayari unaumia ingali uko pamoja naye.

Siku moja akili yako ikipata nguvu dhidi ya hisia zako utawaza hivi,

Hofu yako sio kuumia ukiachana naye. Ila unahisi ukiachana naye ataenda kuwa na mtu mwingine.

Kumbe hofu yako sio suala la kuumia. Ni wivu!

Sasa unahofia nini yeye akiwa na mtu mwingine wakati kwako amekuwa sadaka ya mateso na maumivu?

Unahofia mtu mwingine asiumie?

Rafiki na majirani zako wangekuwa wanajua kiwango halisi cha maumivu na mateso unachopitia kwa kuwa na yeye, kuna mtu angekuonea wivu kwa kuwa na mwanamke mwenye shepu ama sura k**a yake?

Unahisi eti ni mtu bora basi tu atabadilika.. hili sahau hatakuja kubadilika kamwe yupo hivyo kwako kwa sababu wewe siyo yule mtu anayemhitaji kwenye maisha yake unapoteza muda tu... na miaka inaenda unatakiwa ufunge ukurasa wa swala la familia ibaki kutafute hela hela tu k**a aliyoimba mariooo

Chagua amani.

Jehanamu hata ipambwe na dhahabu na almasi, sio sehemu salama wala ya kujivunia!

mlio serious utaratibu ni ule ule unalipia tu elfu 25 ada ya group langu la wachumba kwenye voda no 0756802580 jina litakuja la mme wangu emmanuel hosea kisha njoo inbox kwangu kwenye WhatsApp no 0656832100 Hapo hapo NAKUUNGA kwenye group langu la wachumba ni hakuna kutoka mle mpaka utakapo mpata mwenza wako ndio unatoka sasa βœοΈβœ…

01/01/2026

Binti hakuna utachoka ambulia k**a utajikuta unapuza mwanaume mwenye kukupenda kweli..

Kwanza hua mnawapelekesha
mnajifanyia mnavyotaka
mnawadharau...
mnajipangia mambo hata ukielekezwa una waka kabisa...

ili tu upate space ya kuchezewa na mi dume mingine
upate muda wa kuvaa uchi na kwenda clubs
mwisho wa siku mnaenda kupata magonjwa kupata mimba na kudhalilishwa...

Makosa haya 2026 mabinti msije mchukulia mtu poa anayekupenda.. ILi Hali tu ulimkubalia unampenda pia basi zingatia hilo
happy new year NIMEMALIZA

Naandika salam hizi kwa upendo mkubwa sana moyoni... Siyo jambo la kuuliza juu ya namna nawapenda watu wote mnaonifuatil...
31/12/2025

Naandika salam hizi kwa upendo mkubwa sana moyoni... Siyo jambo la kuuliza juu ya namna nawapenda watu wote mnaonifuatilia maana tupo hapa muda katika nyakati zote..
za huzuni
wasiwasi
imani
furaha na nyakati za matumaini..
Tumekua hapa miaka mingi toka 2016 tunavuka miaka na miaka wengine mmepata ndoa na sasa mna watoto kupitia hapa..
Wengine mmebadilisha maisha kupitia hapa
wengine sasahivi ni matajiri wakubwa kutokea kwenye mafundisho yangu hapa
na wengine sasa hivi mnajitambua kuliko hata neno lenyewe kujitambua...

hii ni furaha yangu kubwa sana kwangu na kwa haya mimi namshukuru Mungu kwa niaba yenu
Allah Asante sana..
Leo nina ujumbe mdogo tu wa kuvukia mwaka..

Mungu anakupenda sana ndio maana mpaka muda huu upo hai..
Mungu anaijua kesho yako ndio maana ulipona kwenye ile ajari kwenye ule ugonjwa waliokukatia tamaa ulivuka.. hata kwenye yale maumivu ya kuachwa vibaya ulijikondea na kulia sana ila Mungu aliruhusu yapite salama na mpaka sasa upo hai
Hii ina maana kwamba Mungu anakesho yako njema mno mkononi mwako..
wewe ndio mfanyabiashara mkubwa kesho haijalishi umetoka kwenye familia gani
ila wewe ndio kiongozi mkubwa kesho
haijalishi sasa ukoje...
ila kesho wewe ndio una nyumba mme/mke bora gari nzuri na familia bora haijalishi umedanganywa na mtu mwingine wa aina gani...

Ndio maana Mungu anaendelea kukuweka hai leo
nani alijua atakua mbunge nani alijua atakua mfanya biashara mkubwa nani alijua atakua mtu wa kusikilizwa kuigwa ki imani na kilimo nani

nani
kua atakua diwani na ataongoza watu mifano ipo mingi unayo mingine hapo kwako..

ila kwa nini wamekua, kwanza ni kwa sababu ya Uhai aliowapa Mungu ndio maana wewe leo upo hai maana kesho ni mtu mwingine kabisa wa mfano kwa majirani mkoa mpaka taifa.. haijalishi sasahivi una hali gani ki uchumi ki elimu hata ki connection Mungu ndio anajua kila kitu..

sasa shika hiki hapa uvuke nacho 2026 "Mungu anasubiri ubadilike kwanza uache kuishi unavyoishi leo amua 2026 utabadilika kwa kila kitu
kisha Mungu utamwona anakupa na kukuweka juu 2026"
ni Dm au nichek WhatsApp no 0656832100 kwa ushauri leo natoa ushauri Bure
Happy new year kwako nawapenda

30/12/2025

WANAUME SHIKAMOO... mme wangu muuza samaki hahahaha ninampenda sana saivi Alisha sahau na bei za samaki

Ukweli hao  Watu wanawasema vizuri na mimi hapa hua napost tu vitu vinavyowasaidia watu wangu basi...na page yao ipo waz...
29/12/2025

Ukweli hao Watu wanawasema vizuri na mimi hapa hua napost tu vitu vinavyowasaidia watu wangu basi...
na page yao ipo wazi unaweza kwenda ipitia kwa mtu mwenye changamoto hiyo

ndio maana leo unawesa shangaa watu wanawexaje kuvaa vile kua na roho ya vile kua hivyo no siyo watu halisi ni viumbe tu
29/12/2025

ndio maana leo unawesa shangaa watu wanawexaje kuvaa vile kua na roho ya vile kua hivyo no siyo watu halisi ni viumbe tu

29/12/2025

πŸ˜‚πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜…πŸ˜…πŸ™ŒπŸ™Œ NIMEFURAHI sijui nimecheka hata sielewi

zama hizi mabinti zangu...mkiwa kwa group k**a hivi..mnaoneoana wauzaji tuno man will be serious with you never..mtakua ...
28/12/2025

zama hizi mabinti zangu...

mkiwa kwa group k**a hivi..
mnaoneoana wauzaji tu
no man will be serious with you never..

mtakua mnagawanmwa k**a digidigi porini tu
ukiwa serious wewe mwenzako anajiona kashatimixa lengo lake hana tena muda na wewe..
UMRI NDIO HUJA KUONYESHA UMUHIMU WA MANENO YANGU

Address

Tabata
Dar Es Salaam

Telephone

+255756802580

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Maisha halisitz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram

Category