Agnes herbal supplements

Agnes herbal supplements Agnes herbal supplements 0625 558 700 na 0673 870 150

Je, unajua siri ya kubaki na nguvu na kinga imara? BF Suma   Coffee siyo kahawa ya kawaida; ni mchanganyiko wa kahawa bo...
09/02/2026

Je, unajua siri ya kubaki na nguvu na kinga imara? BF Suma Coffee siyo kahawa ya kawaida; ni mchanganyiko wa kahawa bora na dondoo za uyoga wa ajabu wa Reishi (Lingzhi).
​Faida unazopata:
​✅ Huimarisha Kinga: Husaidia mwili kupambana na magonjwa.
​✅ Huondoa Sumu: Inasaidia kusafisha mfumo wa mwili (Detox).
​✅ Nishati ya Kudumu: Inakupa uchangamfu bila kusababisha mapigo ya moyo kwenda mbio.
​✅ Usingizi Bora: Husaidia kutuliza mfadhaiko (stress) na kuboresha upumzikaji.
​Badili mazoea yako ya asubuhi leo!
📞 Weka oda yako sasa: 0673 870 150 au 0625 558 700
🚚 Tunatuma mikoani kote!

Hongera sana Happy kwa feedback nzuri sana Tupe nafasi ya kutengeneza mwili wa ndoto yako0673 870 150
06/02/2026

Hongera sana Happy kwa feedback nzuri sana

Tupe nafasi ya kutengeneza mwili wa ndoto yako
0673 870 150

Package  hii utaipata kwa 180,000 tu0673 870 150 au 0625 558 700
04/02/2026

Package hii utaipata kwa 180,000 tu
0673 870 150 au 0625 558 700

TUMERIC OILRejareja: 60,000/= TSHJumla 55,000/= TSH kuanzia 550,000/= TSH kuanzia 10 na kuendelea 🌿 Faida za Laverly Whi...
04/02/2026

TUMERIC OIL

Rejareja: 60,000/= TSH
Jumla
55,000/= TSH kuanzia 5
50,000/= TSH kuanzia 10 na kuendelea

🌿 Faida za Laverly Whitening Turmeric Oil 🌿

1. Kung’arisha ngozi (Whitening Glow)
• Hufanya ngozi yako ionekane safi, ang’avu na yenye mvuto.
• Hupunguza ukinzani wa rangi ya ngozi (uneven skin tone).

2. Kuondoa Mabaka Meusi (Dark Spots Remover)
• Inasaidia kupunguza hyperpigmentation na mabaka yanayotokana na jua au chunusi.

3. Kupunguza Mikunjo na Dalili za Uzee (Anti-Wrinkle & Anti-Aging)
• Huzuia ngozi kulegea na kuonekana imechoka.
• Hufanya ngozi ibaki laini na yenye afya.

4. Kulainisha Ngozi (Soft & Smooth Skin)
• Huweka ngozi yako katika hali ya unyevu sahihi na kuifanya soft touch kila wakati.

5. Kutibu Ngozi yenye Chunusi & Makovu
• Huondoa alama za makovu, chunusi na kuzuia kurudi tena.

6. Kusafisha Kwapa Lenye Weusi
• Hufanya kwapa kuwa safi na ang’avu kwa matumizi ya kila siku.

7. Kinga ya Jua (SPF50+)
• Huzuia madhara ya miale ya jua (UV rays) ambayo huleta mabaka na kuharib
0673 870 150 au 0625 558 700

HALFCAST GLOWING OILRejareja: 60,000/= TSHJUMLA: 55,000/= TSH kuanzia 5PCS50,000/= TSH kuanzia 10PCS na kuendelea🥥 Faida...
04/02/2026

HALFCAST GLOWING OIL

Rejareja: 60,000/= TSH

JUMLA:

55,000/= TSH kuanzia 5PCS

50,000/= TSH kuanzia 10PCS na kuendelea

🥥 Faida Kuu za Laverly Cast Oil

❄️ Whitening + Glowing – Weupe mzuri na kung’aa mwili mzima

❄️ ina SPF60 – hulinda ngozi dhidi ya miale ya jua (sunburn)

❄️ Huondoa madoa, chunusi & makovu

❄️ Hufuta freckles na alama nyeusi (dark spots)

❄️ Huimarisha ngozi na kua laini na nyororo

❄️ Huondoa mikunjo (Makunyanzi) na dalili za uzee

❄️ Hurekebisha alama za kukwaruzwa au kuungua

❄️ Husaidia kupunguza green veins & spider veins

❄️ Hutoa unyevu na kuifanya ngozi kuwa soft & smooth

👌🏽 Matokeo ya haraka ndani ya 7 days ukiitumia kwa mpangilio

Contact 0673 870 150 & 0625 558 700

🔥 *Dawa Bora kwa Wanawake!*🔥  Je, unatafuta suluhisho la:  ✔ Usumbufu wa ukimwi na harufu isiyofurahisha?  ✔ Ukame na ma...
01/02/2026

🔥 *Dawa Bora kwa Wanawake!*🔥

Je, unatafuta suluhisho la:
✔ Usumbufu wa ukimwi na harufu isiyofurahisha?
✔ Ukame na maumivu ya ndani?
✔ Ukiukwaji wa pH na uvimbe wa uke?

*Women's Probiotic + Elm** inakupa:
✅ Udumishaji wa unyevu na laini (Intimate Moisture)
✅ Kuzuia harufu mbaya (Odor Control)
✅ Usawa wa pH kwa afya bora
✅ Kudumisha mazingira salama ya uke (Yeast Balance)
✅ Kuimarisha bakteria nzuri (Healthy Flora)
Bei:60,000
📞 *Piga sasa: 0625558700*
📍 Tunapatikana Dar es Salaam, Makumbusho.

*Agnes Herbal Supplements – Afya Yako, Faraja Yako!*

👉nunua leo zipo chache 👈

✅️  Citrate Kids Anti-Stress Gummies zina faida kadhaa kwa watoto✅ Faida za Gummies Hizi kwa Watoto🌸Kupunguza msongo wa ...
01/02/2026

✅️ Citrate Kids Anti-Stress Gummies zina faida kadhaa kwa watoto

✅ Faida za Gummies Hizi kwa Watoto
🌸Kupunguza msongo wa mawazo na kuleta utulivu
Magnesium husaidia katika kusaidia utendaji mzuri wa mfumo wa neva, hivyo inaweza kusaidia kupunguza wasiwasi, kuwasaidia watoto kuwa watulivu zaidi.

🌸Kusaidia usingizi mzuri
Magnesium inasaidia katika kutuliza mwili na akili, hivyo inaweza kusaidia watoto kupata usingizi wa amani.

🌸Kukuza ukuaji mzuri wa mifupa na misuli
Magnesium ni muhimu kwa ukuaji wa mifupa na utendaji wa misuli kwa watoto.

🌸Kusaidia mfumo wa mmeng’enyo wa chakula
Inachangia katika kusaidia misuli ya utumbo kufanya kazi vizuri, hivyo kusaidia kupunguza matatizo k**a constipation (kukosa choo).

🌸Hupunguza tabia za kukosa utulivu
Katika baadhi ya watoto wenye tabia za "hyperactivity" au kukosa umakini (k**a ADHD), magnesium imeonekana kusaidia kuboresha tabia.

Matumizi
Gummies 1 kila siku kwa mtoto wa miaka 2-3
Gummies 2 kila siku kwa mtoto wa miaka 4+

Bei elfu 60,000

✅ Faida za Gummies zenye  , Collagen na Keratin🌸Kwa Nywele🟢 Huzuia nywele kukatika na kupungua🟢 Huchochea ukuaji wa nywe...
01/02/2026

✅ Faida za Gummies zenye , Collagen na Keratin

🌸Kwa Nywele
🟢 Huzuia nywele kukatika na kupungua
🟢 Huchochea ukuaji wa nywele mpya
🟢 Hufanya nywele kuwa nzito, zenye kung’aa na zenye afya
🟢 Husaidia kupunguza upotevu wa nywele (hair loss)

🌸Kwa Ngozi
🟣 Hupunguza mikunjo na kuifanya ngozi kuwa laini
🟣 Husaidia ngozi kuwa na unyevunyevu wa asili (moisturized)
🟣 Huchangia mwonekano wa ngozi kuwa na mng’ao na afya
🟣 Hupunguza dalili za uzee mapema (anti-aging effects)

🌸Kwa Kucha
🔵 Huongeza nguvu na ugumu wa kucha (kucha zisiwe laini au kuvunjika kirahisi)
🔵 Huchochea ukuaji wa kucha kwa haraka zaidi
🔵 Huzuia kucha kuwa na mikwaruzo au rangi zisizo sawa

🌸Kwa Mwili Kwa Ujumla
🟡 Huongeza uzalishaji wa protini ya asili kwenye mwili
🟡 Huimarisha tishu za mwili k**a ngozi, nywele, kucha na joints
🟡 Husaidia kinga ya mwili kwa kusaidia afya ya ngozi

✅️Matumizi;
⚪️Tumia gummies mbili
Bei 65,000

  Nicotinamide Riboside + Resveratrol🔥 *Inasaidia Kukuza NAD+ na Kupunguza Uzeeni!*🔥  Je, unatafuta dawa ya asili ya kuo...
01/02/2026

Nicotinamide Riboside + Resveratrol

🔥 *Inasaidia Kukuza NAD+ na Kupunguza Uzeeni!*🔥

Je, unatafuta dawa ya asili ya kuongeza nishati, kukabiliana na michakato ya uzee, na kukuza afya yako ya ndani?

*Liposomal Nicotinamide Riboside + Resveratrol** ni suluhisho lako!

✔ *Inaboresha viwango vya NAD+* kwa ufanisi zaidi.
✔ Inasaidia kukinga seli dhidi ya uharibifu wa uzee.
✔ Ina resveratrol (900mg) antioxidant yenye nguvu ya kuongeza afya ya moyo na mwili.
✔ *80 capsules* – Vipimo vya kutosha kwa matumizi ya kila siku.

📞 *Piga sasa: 0625558700*
📍 Tunapatikana Dar es Salaam, Makumbusho.
🏢 Agnes Herbal Supplements*

💰 *Bei: TZS 85,000*

Usikose fursa hii ya kujikunulia afya bora na uzima wa muda mrefu! 🚀

*Agnes Herbal Supplements – Afya Yako, Lengo Letu!*

  booster Gummies ⚪️Huongeza hamu ya kula kwa watoto wenye matatizo ya kula au "picky eaters"⚪️inasaidia kugain weight (...
01/02/2026

booster Gummies
⚪️Huongeza hamu ya kula kwa watoto wenye matatizo ya kula au "picky eaters"

⚪️inasaidia kugain weight (ongeza uzito)kwa watoto wenye changamoto ya uzito mdogo.

⚪️Huimarisha mmeng'enyo wa chakula, hivyo kusaidia mtoto kutumia vizuri chakula anachokula

⚪️ Haina sukari - salama kwa meno na afya kwa ujumla

⚪️Inatumia viambato vya asili, mitishamba na chakula halisi

Matumizi;
Mung'unya gummies mbili nusu saa kabla ya kula

Angalizo
Haitumiwi na watoto chini ya mwaka mmoja(miezi 24).
Bei 60,000

Ni supplement nzuri sana kwa ajili ya   mwili,Faida zake🌸Inasaidia kuongeza uzito🌸kuongeza nishati🌸Inasaidia kuongeza ha...
01/02/2026

Ni supplement nzuri sana kwa ajili ya mwili,
Faida zake
🌸Inasaidia kuongeza uzito
🌸kuongeza nishati
🌸Inasaidia kuongeza hamu ya kula
🌸Ina virutubisho muhimu k**a madini na vitamini hivyo husaidia kuongeza kinga ya mwili

Matumizi
Ina supplement 90
Tumia supplement mbili kwa siku

Bei elfu 60,000

  GUMMIES 🌼Kulinda macho dhidi ya mwanga mkali wa jua (blue light),🌼 kupunguza hatari ya magonjwa k**a Age-related Macul...
01/02/2026

GUMMIES
🌼Kulinda macho dhidi ya mwanga mkali wa jua (blue light),

🌼 kupunguza hatari ya magonjwa k**a Age-related Macular Degeneration (AMD) na kuchoka kwa macho.

🌼kwa watoto, vijana na watu wazima: Inasaidia kuona vizuri hasa kwa wale wanaotumia muda mwingi kwenye simu, kompyuta au TV.

🌼Inasaidia kwa kuona kwa usiku (night vision),

🌼inaimarisha kinga ya mwili, na afya ya ngozi.

🌼 kusaidia kujaza upungufu wa vitamini A.

Inawafaa zaidi watu hawa;

⚪️Wanaotumia muda mwingi kwenye skrini

⚪️Wanaotaka kuboresha afya ya macho

⚪️Wenye dalili za upungufu wa vitamin A (k**a macho kutoona vizuri usiku, ngozi kukauka, nk.)

⚪️Wanaotaka kinga ya asili dhidi ya uharibifu wa macho kutokana na mwanga

Matumizi;
Kwa watu wazima tumia gummies mbili kwa siku
Kwa watoto miaka 4 na kuendelea tumia gummy 1

Bei; elfu 60

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Agnes herbal supplements posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram