Naomi Afya Halisi

  • Home
  • Naomi Afya Halisi

Naomi Afya Halisi Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Naomi Afya Halisi, Medical and health, .

Kwanini uendelee kuteseka na changamoto ya kisukari, shinikizo la damu, mifupa kwa ujumla, vidonda vya tumbo, Mambo ya uzazi wanawake na wanaume UTI, fungus PID na changamoto zote za uzazi?.wasiliana nasi kwa ushauri PIGA au watsap 0752400155

"AFYA BORA YA MTOTO WAKO INAANZA HAPA! 👶✨JE, MWANAO ANACHANGAMOTO HIZI?~Pumu ya kifua~pumu ngozi, ~Matege ~Henia~ Kukosa...
23/06/2025

"AFYA BORA YA MTOTO WAKO INAANZA HAPA! 👶✨
JE, MWANAO ANACHANGAMOTO HIZI?

~Pumu ya kifua
~pumu ngozi,
~Matege
~Henia
~ Kukosa choo
~ Lishe duni
~Utindio WA ubongo
~Kutokupenda Kula
~ aleji itokanayo na vyakula
~Kifafa
~Homa ya manjano

Habari njema nikwamba tunayo tiba na MSAADA wa kitaalamu kwa changamoto hizi. Wasiliana nasi leo – afya ya mtoto wako nimuhimu Sana na nijukumi lako!"

📞 Wasiliana nasi sasa kwa 0752400155
📍Tunapatikana WhatsApp n
🟢 Tunatibu Kwa bidhaa zisizo na kemikali sumu NI za asili zilizotengenezwa Kwa mfumo WA vidonge. Nisalama Sana kwa afya ya mtoto.

Je unachangamoto yoyote ya masala ya uzazi Kwa wanawake na wanaume? Karibu ujipatie suluhisho la uhakika na lakudumu tun...
18/06/2025

Je unachangamoto yoyote ya masala ya uzazi Kwa wanawake na wanaume? Karibu ujipatie suluhisho la uhakika na lakudumu tunatibu kuanzia CHANZO cha tatizo PIGA au watsap namba 0752400155

*BACTERIAL VAGINOSIS* *Ugonjwa huu* kwa jina lingine unaitwa ‘ *Vaginitis* ’, mwanamke hutokwa na uchafu mweupe ukeni we...
14/06/2025

*BACTERIAL VAGINOSIS*

*Ugonjwa huu* kwa jina lingine unaitwa ‘ *Vaginitis* ’, mwanamke hutokwa na uchafu mweupe ukeni wenye harufu ya shombo la samaki ‘ *fishy odor* ’.

Kwa kawaida mazingira ya ukeni ni tindikali(kwa ajili ya ulinzi asili wa uke) lakini katika hali hii mazingira hayo huwa Alkali na katika vipimo vya maabara kuna aina ya chembechembe ziitwazo ‘ *clue cells* ’ huwa zinaonekana.

*JINSI TATIZO LINAVYOTOKEA*
Tatizo hili hutokea sana kwa wanawake wengi wenye hali ya kutokwa na majimaji ukeni.
Katika hatua za awali, takribani asilimia hamsini ya wanawake wenye tatizo hili hawaoneshi dalili, ‘ *Asymptomatic* ’.

Ugonjwa huu ni matokeo ya mabadiliko ukeni, ‘Changes of Vaginal Bacterial Flora’ ambapo bakteria wakazi ‘ *Lactobacilli* ’ hutoweka ambao ni walinzi hivyo husababisha pia tindikali hapo kutoweka na aina nyingine ya bakteria wabaya kuanza kuzaliwa.

Bakteria hawa wapo wengi k**a vile ‘Gardenella Vaginalis’, ‘Ureaplasma’, ‘Mycoplasma’ na wengineo.

Kutokea shombo la samaki husababishwa na uwepo wa kundi la bakteria waitwao ‘Anaerobic’.
*Ugonjwa huu wa ‘Bacterial* Vaginosis’ husababishwa na mwanamke kushiriki ngono na mwanaume zaidi ya mmoja, kufanya ngono na mwanaume mpya au mpenzi mpya,

kusafisha sana uke ‘ *Vaginal* *douching* ’ na kubadilika kwa mazingira ya ukeni.

*USHAURI*
Tatizo hili lipo ukeni,k**a ukihisi una dalikibza tatizo hili...ni vizuri kufanya vipimo hospital kwa ajili ya uchunguzi zaidi

Ubaya wake ni ukiacha tatizo kwa muda bila kutibu,tatizo huanza kuingia ndani ya kizazi na kusababisha PID

Wasiliana Na Dr Naomi Kwa Matibabu👉 *watsap no.255752400155*

Piga simu 0752400155

*MAMBO 10 YANAYOSABAISHA MIWASHO UKENI-TIBA YAKE* *Miwasho ni hali ya* kutamani kujikuna au kujikuna kwenye uke hali hii...
10/06/2025

*MAMBO 10 YANAYOSABAISHA MIWASHO UKENI-TIBA YAKE*

*Miwasho ni hali ya* kutamani kujikuna au kujikuna kwenye uke hali hii hupelekea hali ya kuhisi raha na baadae michubuko na maumivu wakativwa tendo la ndoa

*Kuna mambo kadhaa* yanayoweza kusababisha miwasho ukeni, ikiwa ni pamoja na

1. *Maambukizi ya Fangasi (Candidiasis)* Haya ni maambukizi ya kawaida yanayosababishwa na fangasi aina ya Candida, ambayo husababisha miwasho, uchafu mweupe.

2. *Maambukizi ya Bakteria (Bacterial Vaginosis)* Maambukizi haya husababishwa na kuongezeka kwa bakteria mbaya na hupatikana na dalili k**a vile harufu mbaya, miwasho, na uchafu wenye rangi ya kijivu.

3. *Magugu (Trichomoniasis)* Hii ni maambukizi ya zinaa yanayosababishwa na vimelea vinavyoitwa Trichomonas vaginalis. Husababisha miwasho, uchafu wa kijani au njano, na harufu mbaya.

4. *Ugonjwa wa Uchafu wa Mkojo (Urinary Tract Infection)* Ingawa hii ni maambukizi kwenye mfumo wa mkojo, inaweza kusababisha maumivu na miwasho katika maeneo ya karibu na uke.

5. *Matumizi ya Bidhaa Zenye Kemikali* Sabuni zenye harufu kali, sabuni za kuoshea uke, kuweka mate,mafuta ya kulainisha, na bidhaa nyingine za usafi zinaweza kusababisha mizio au miwasho.

6. *Mabadiliko ya Homoni* Wakati wa ujauzito, hedhi, au kukoma kwa hedhi, mabadiliko ya homoni yanaweza kusababisha uke kuwa kavu na kuwasha.

7. *Nguo za Ndani* Mavazi ya ndani yenye nyuzi za sintetiki(nylon)au zinazobana sana zinaweza kusababisha joto na unyevunyevu, ambayo ni mazingira mazuri kwa fangasi na bakteria kukua.

8. *Maambukizi ya Kingono* Maambukizi yanayotokana na mawasiliano ya kingono (STIs) k**a vile herpes, gonorrhea, na chlamydia yanaweza kusababisha miwasho.

9. *Alerji* Alerji kwa kondomu, shahawa za mwanaume, au hata baadhi ya dawa za kutuliza maumivu zinaweza kusababisha miwasho.

10. *Magonjwa ya Ngozi* Magonjwa ya ngozi k**a eczema, psoriasis, au lichen sclerosus yanaweza kuathiri eneo la uke na kusababisha miwasho.

piga au watsap no. 0752400155

*Mwanamke hii nayo ni kitu ya kukosa?*Ukavu ndo sababu kubwa ya kutokufurahia tendo la ndoaUkiagiza dawa leo unaanza kup...
10/06/2025

*Mwanamke hii nayo ni kitu ya kukosa?*

Ukavu ndo sababu kubwa ya kutokufurahia tendo la ndoa

Ukiagiza dawa leo unaanza kupata ute kesho

*Faida za huo ute*

👉Ulinzi wa asili wa uke wako

👉Ladha raha na utamu wa tendo

👉Mimba inashima kwa haraka

👉 ukiwa na ute usio na rangi huwezi kupata uchafu mweupe

👉Huwezi kupata michubuko kwa babi

👉Mr Nae Lazima ataenjoy mtelezo

👉Ukiwa na ute mzuri huwezi kupaya harufu mbaya

👉Kama una uti pia inaondoa

Dawa yenye matokeo ya haraka inapatikana kwangu tu
piga au watsap👉 0752400155

Hii kitu Ni mkombozi wa mwanamke inamfanya mwanamke awe mwanamke hasaainaitwa (vaginal protection?) JIPATIE yakwako Sasa...
09/06/2025

Hii kitu Ni mkombozi wa mwanamke inamfanya mwanamke awe mwanamke hasaa
inaitwa (vaginal protection?) JIPATIE yakwako Sasa USIENDELEE KUTOKEA na uchafu ukeni MIWASHO na shombo. itakufanya uwe na uke msafi na salama.

*MAFUTA YA SAMAKI BORA ZAIDI DUNIANI KWA AJILI YA AFYA  YA MTOTO WAKO ... MAFUTA ASILIA YENYE FATTY ACIDS ZOTE 8 MUHIMU ...
01/06/2025

*MAFUTA YA SAMAKI BORA ZAIDI DUNIANI KWA AJILI YA AFYA YA MTOTO WAKO ... MAFUTA ASILIA YENYE FATTY ACIDS ZOTE 8 MUHIMU ZA MWILI.:*

🍇KUSAIDIA UKUAJI WA UBONGO WA MTOTO KUANZIA AKIWA MCHANGA NA KUMFANYA KUWA MCHANGAMFU NA MWEPESI SANA KUJIFUNZA ,KUELEWA NA KUTOKUSAHAU DARASANI .

🍇KUIMARISHA KUJENGEKA KWA MIFUPA NA KUEPUSHA MATEGE YA MUDA MREFU.

🍇HUSAIDIA KWA WATOTO WALIOCHELEWA KUTEMBEA.

🍇KWA MAMA MJAMZITO HUEPUSHA MIMBA KUHARIBIKA NA KUJIFUNGUA MTOTO MWENYE KASORO.

🍇HUWEZESHA HATUA ZA UKUAJI WA MTOTO KWA HARAKA BILA KUCHELEWA.

🍇HUWEKA NGOZI YA MTOTO VIZURI NA KUEPUSHA PUMU YA NGOZI NA ALLERGIES

🍇KUONGEZA UONO (AFYA YA MACHO) NA KUBORESHA MILANGO YOTE YA FAHAMU KUFANYA KAZI.

🍇NI TIBA KWA WATOTO WANAOKOJOA HOVYO KITANDANI ANZA KUTUMIA LEO.

TUPIGIE AU WHATSAPP NO 0752400155

OFFER OFFER OFFER..... .JIPATIE KIRUTUBISHO HIKI MUHIMU KWA BEI YA OFFER Husaidia seli kupokea virutubisho kwa ufanisi z...
18/05/2025

OFFER OFFER OFFER..... .JIPATIE KIRUTUBISHO HIKI MUHIMU KWA BEI YA OFFER

Husaidia seli kupokea virutubisho kwa ufanisi zaidi.
🌟 Huondoa tatizo la stress.
🌟 Hubalance lishe mwilini.
🌟 Husaidia wanawake wenye matatizo ya hedhi.
🌟 Huimarisha mzunguko wa damu.

Kupata kirutubisho hiki cha TRE EN EN,

wasiliana nasi sasa! 👇
📞 0752400155

Tunapatikana Sinza Africa sana, Dar es salaam Tanzania

Mwili ukiwa na sumu nyingi viungo vya NDANI vinaathirika na KUWA na muonekano HUO hapo chini kulia. Usikubali kuendelea ...
02/05/2025

Mwili ukiwa na sumu nyingi viungo vya NDANI vinaathirika na KUWA na muonekano HUO hapo chini kulia. Usikubali kuendelea kuishi na sumu mwilini karibu nikupe suluhisho lakudumu
0752400155

🌟 Husaidia seli kupokea virutubisho kwa ufanisi zaidi.🌟 Huondoa tatizo la stress.🌟 Hubalance lishe mwilini.🌟 Husaidia wa...
10/03/2025

🌟 Husaidia seli kupokea virutubisho kwa ufanisi zaidi.
🌟 Huondoa tatizo la stress.
🌟 Hubalance lishe mwilini.
🌟 Husaidia wanawake wenye matatizo ya hedhi.
🌟 Huimarisha mzunguko wa damu.

Kupata kirutubisho hiki cha TRE EN EN,

wasiliana nasi sasa! 👇
Piga/Watsap no. 0752400155

Tunapatikana Sinza Africa sana, Dar es salaam Tanzania

*OFA OFA OFA🔥🔥🔥**Kwa Wale Waliohitaji Matibabu Yangu**Kuna Punguzo Kubwa la Bei**Ofa ni ya Siku 5 tu**Kuanzia Jumatatu T...
03/03/2025

*OFA OFA OFA🔥🔥🔥*

*Kwa Wale Waliohitaji Matibabu Yangu*

*Kuna Punguzo Kubwa la Bei*

*Ofa ni ya Siku 5 tu*

*Kuanzia Jumatatu Tar 3 mpaka Ijumaa Tar 7*

*Punguzo La 20%*

*Weka Oda Yako Mapema usikose Hii*

Piga au watsap no. 0752400155

Address


Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Naomi Afya Halisi posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

  • Address
  • Telephone
  • Alerts
  • Claim ownership or report listing
  • Want your practice to be the top-listed Clinic?

Share