Naomi Afya Halisi

Naomi Afya Halisi Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Naomi Afya Halisi, Medical and health, Dar es salaam, Dar es Salaam.

Kwanini uendelee kuteseka na changamoto ya kisukari, shinikizo la damu, mifupa kwa ujumla, vidonda vya tumbo, Mambo ya uzazi wanawake na wanaume UTI, fungus PID na changamoto zote za uzazi?.wasiliana nasi kwa ushauri PIGA au watsap 0752400155

30/11/2025

WEWE AMBAYE UNAHITAJI KUPATA DONDOO ZA AFYA NA KUJUA SULUHISHO LAKE KARIBU KWENYE GROUP. BOFYA LINK HAPO CHINI ITAKULETA MOJAKWAMOJA.

Je, unaaumbuliwa na changamoto yakutoka uchafu ukeni na haujui utalitatuaje?, yawezekana uneshaenda huapital Mara nyingi...
30/11/2025

Je, unaaumbuliwa na changamoto yakutoka uchafu ukeni na haujui utalitatuaje?, yawezekana uneshaenda huapital Mara nyingi na tatizo lipo pale pale au linapotea na kurudi, Sasa Nina habari njema kwako ninalo suluhisho lauhakika na lakudumu karibu nikuhudumie. namba yangu Ni. 0752400155 unaweza kutuma ujumbe WhatsApp au kupiga simu

Au bonyeza link ikilete KWENYE group la dondoo za AFYA.
https://chat.whatsapp.com/GnTRpGYExdEGHllLKHIH4g?mode=hqrt1

Ukavu wa uke huleta dhoruba kwenye bahari yetu ya hisia. Kupambana na hali hii kunahitaji uelewa, msaada, na matibabu sa...
30/11/2025

Ukavu wa uke huleta dhoruba kwenye bahari yetu ya hisia. Kupambana na hali hii kunahitaji uelewa, msaada, na matibabu sahihi. Tufanye juhudi kuvunja ukimya na kuleta mwangaza kwenye suala hili la afya ya wanawake.

Sababu za Uke Kuwa Mkavu:

🌸 Kiwango cha Chini cha Estrogen:
* Menopausi: Mabadiliko katika viwango vya homoni, hasa wakati wa menopausi, kunaweza kupunguza uzalishaji wa estrogen, ambayo inachangia unyevu wa uke.
* Baada ya Kujifungua: Baada ya kujifungua, viwango vya estrogen vinaweza kuwa chini, ikisababisha ukavu wa uke.

* Matumizi ya Dawa:
* Dawa za Kuzuia Mimba (P2): Baadhi ya dawa za kuzuia mimba, hasa zile zinazotumika kwa muda mrefu, zinaweza kusababisha ukavu wa uke kwa kubadilisha viwango vya homoni.

* Magonjwa na Hali ya Afya:
* Magonjwa ya Autoimmune: Magonjwa k**a Sjögren’s syndrome yanaweza kuathiri viungo vyote vya mwili, ikiwa ni pamoja na uke.

* Magonjwa ya Ngozi: Baadhi ya magonjwa ya ngozi k**a lichen sclerosus yanaweza kusababisha ukavu wa uke.

* Stress na Msongo

*JE UNAFAHAMU MADHARA YA SUMU MWILINI*Asilimia kubwa ya maradhi yanayowasumbua watu hivi leo yanatokana na sumu zilizopo...
04/11/2025

*JE UNAFAHAMU MADHARA YA SUMU MWILINI*

Asilimia kubwa ya maradhi yanayowasumbua watu hivi leo yanatokana na sumu zilizopo katika miili yao.

*INI(LIVER*) ni kiungo kinachofanya kazi ya kusafisha,kuchuja na kuondoa sumu mwilini, Wakati mwingine INI Linazidiwa nguvu...Inawezekana umewahi kusikia mambo mengi kuhusu sumu kwenye mwili, lakini hufahamu chazo halisi cha sumu hizi.

*VYANZO VYA SUMU*

Miili yetu imekuwa ikipokea sumu na uchafu kila siku kutokana ;
1. Matumizi ya dawa mara kwa mara
2. Matumizi ya pombe (Alcohol) na sigara
3. Mazingira na athari kutokana na maendeleo ya sayansi na teknolojia
4. Ukosekanaji wa lishe na mlo kamili.
5. Matumizi ya madawa makali.
6. Uzito mkubwa
7. Mitindo ya maisha
8. Njia za uzazi wa mpango za kisasa

*DALILI ZA KUWA SUMU NYINGI MWILINI*

1. Matatizo ya ngozi kwa mfano chunusi, vipele nk.
2. Kuwa na uzito wa kupindukia
3. Kutopata choo au kupata choo kigumu
4. Kukosa usingizi Na kujihisi mchovu kupitiliza
5. Kichwa kuuma kila mara
6. Kupata miwasho
7. Maumivu ya viungo K**a vile mgongo,goti, nyonga
8. Kuwa na hasira mara kwa mara.
9. Tumbo kujaa gesi nk

*MADHARA YA MWILI KUJAA SUMU*
1. Kukosa hamu ya tendo la ndoa
2. Kupata maambukizi ya figo
3. Kupata maambukizi ya Ini
4. Hupelekea matatizo ya kutopata watoto (ugumba)
5. Husababisha uvimbe kwa ndani ya kizazi kwa mwanamke.
6. Hupelekea matatizo shinikizo la damu la juu (high blood pressure)
7. Mvurugiko wa homoni na kupelekea hedhi kuvurugika, maumivu ya hedhi na kukosa hedhi ikiwa si mjamzito.
8. Husababisha vimbe mbalimbali mwilini.

*SULUHISHO LA KUDUMU*

Kwa watu wenye changamoto hizo tumewaandalia lishe mbadala yenye virutubisho muhimu ili kuondokana na matatizo hayo.

*FAIDA ZA KUFANYA DETOXIFICATION*

•Husaidia katika kuondoa matatizo ya upataji choo kigumu au mtu anayekosa choo.

•Husaidia katika kuimarisha mfumo wa mzunguko wa damu na upumuaji katika Mwili.

• Husaidia katika kuimarisha mfumo wa uzazi kwa mwanaume na mwanamke pale atakapoitumia na Bidhaa zetu nyingine.

• Huweka hedhi sawa na kuondoa maumivu wakati wa hedhi.

• Husaidia kuongeza virutubisho na kuupa Mwili afya.

Kulainisha Ngozi na kuifanya Ngozi kuwa ng'avu na inayovutia

•Huondoa uchovu Na kuupa nguvu mwili
Huondoa maumivu ya kichwa ya mara kwa mara

Kwa mahitahi tuwasiliane kwa Whatsaap- 0752500155

Piga simu- 0766037887

*FAHAMU DALILI ZA UTI SUGU KWA MWANAMKE* *UTI sugu (chronic uti)* ni hali ambapo maambukizi ya njia ya mkojo hujirudia m...
17/09/2025

*FAHAMU DALILI ZA UTI SUGU KWA MWANAMKE*

*UTI sugu (chronic uti)* ni hali ambapo maambukizi ya njia ya mkojo hujirudia mara kwa mara au yanaendelea kwa muda mrefu licha ya matibabu ya awali.

*UTI sugu ni tatizo* kubwa zaidi ya UTI ya kawaida na inaweza kusababisha madhara makubwa endapo haitatibiwa ipasavyo.

*DALILI ZA UTI SUGU KWA MWANAMKE*

1) Maumivu Wakati Wa Kukojoa.

Mwanawake anaweza kuhisi maumivu makali au hisia ya kuchoma (burning sensation) wakati wa kukojoa, hali hii inajulikana k**a dysuria.

2) Kuhisi Haja Ya Kukojoa Mara Kwa Mara.

Hali hii inajulikana k**a polyuria, ambapo mwanamke anahisi haja ya kukojoa mara kwa mara hata k**a mkojo ni kidogo.

3) Mkojo Wenye Harufu Mbaya Au Wenye Rangi Isiyo Ya Kawaida.

Mkojo unaweza kuwa na harufu kali au rangi ya mawingu (cloud colour).

4) Kukojoa Damu.

Mkojo unaweza kuwa na damu au kuwa na rangi ya waridi/mwekundu hali inayojulikana k**a hematuria.

5) Maumivu Ya Tumbo Chini Ya Kitovu.

Mwanawake anaweza kuhisi maumivu ya tumbo chini ya kitovu ambayo yanaweza kuambatana na maumivu ya nyonga.

6) Maumivu Ya Mgongo.

Hii inaweza kuwa dalili kwamba maambukizi yameenea hadi kwenye figo.

7) Maumivu Wakati Wa Tendo La Ndoa.

UTI sugu inaweza kusababisha maumivu wakati wa tendo la ndoa hali inayojulikana k**a dyspareunia.

8) Uchovu Wa Kudumu.

UTI sugu inaweza kusababisha uchovu usio wa kawaida au hisia za kutojisikia vizuri muda wote.

9) Homa.

Ingawa si kila mara, UTI sugu inaweza kuambatana na homa na wakati mwingine baridi.

*HITIMISHO:*

Ikiwa mwanamke una dalili hizi kwa muda mrefu au zinaendelea kujirudia licha ya matibabu usilifumbie macho Jambo Hilo mkombozi kapatikana Ananda kumaliza kabisa changamoto HIYO.

Wasiliana Na Dr.Naomi hapa👉0752400155

13/09/2025

🌸✨ MKOMBOZI WA MWANAMKE – SULUHISHO LA HAKIKA KWA AFYA YA UKE WAKO ✨🌸

Wanawake wengi hupitia changamoto za uke bila kuzungumza wazi – lakini sasa hakuna haja ya kuteseka kimya!
👉🏽 Vaginal Detox ni tiba ya asili na salama iliyoundwa mahsusi kwa afya ya uke wako.

✅ Inaondoa bakteria ukeni kwa zaidi ya 99% – kuhakikisha unapata usafi na ulinzi wa kweli.
✅ Hutibu na kuondoa fangasi zinazosababisha muwasho na maumivu.
✅ Hufuta kabisa harufu mbaya na kurudisha freshi yako ya k**e.
✅ Huondoa uchafu na taka ukeni na kukupa hisia za usafi wa kudumu.
✅ Ni salama, imethibitishwa na haina madhara kwa mwili.

🌿 Bidhaa hii ni suluhisho rahisi, la asili na lenye matokeo ya haraka kwa mwanamke yeyote anayetaka:
# Uke safi
# Confidence ya kweli
# Harufu nzuri na usafi wa k**e

💖 Kwa wanawake wanaojali afya ya miili yao – hii ndiyo choice sahihi ya kurejesha furaha na amani ya mwili wako.



👉🏽 Agiza sasa na ujionee mabadiliko!
📦 Tunatuma popote ulipo
📲 DM sasa hivi kwa order

Je Mwanamke unatokwa na uchafu namna hii ukeni?  hata mumeo akiingia kwa Bibi anatoka na ukoko wa namna hii? Jamani huo ...
13/09/2025

Je Mwanamke unatokwa na uchafu namna hii ukeni? hata mumeo akiingia kwa Bibi anatoka na ukoko wa namna hii? Jamani huo Ni ugonjwa Ni maambukizi ktk via vya uzazi, mumeo anatakiwa akiingia atoke na shahawa zake na utelezi wako ukiwa mweupe k**a Ute wa yai. Yawezekana unahii changamoto na umetulia tu my dear friend usichukulie poa kadri unavyoendelea kukaa bila kujitibia tatizo linaendelea kuwa kubwa zaidi. sasa basi kwa mwenye hii changamoto anitafute ili nimpatie bidhaa nzuri.
Nina package nzuri Sana ya TSH. 130,000/-
na ya TSH.85,000/-
lakinibkwa ambae Hana hilibtatizo na anataka tu kufanya detox ya uke kujikinga na maambukizi
BIDHAA ya Detox Ni TSH.30,000
nusu TSH.15,000/-
Ukishanunua nitakupa maelekezo ya namna ya kutumia.
TAHADHARI📌 maambukizi kwenye via vya uzazi usiyafumbie macho, usivumilie Pata Tina sahihi mapema.
Tunatibu kuanzia kwenye chanzo Cha tatizo.

Ovarian cysts zinaweza kutokea kutokana na sababu mbalimbali. Hapa kuna baadhi ya visababishi 1. **Ovulation:** Cysts zi...
01/09/2025

Ovarian cysts zinaweza kutokea kutokana na sababu mbalimbali. Hapa kuna baadhi ya visababishi

1. **Ovulation:** Cysts zinazotokea wakati wa mzunguko wa hedhi (functional cysts) k**a vile cyst za follicular au corpus luteum cysts.
2. **Saratani ya Ovari:** Cysts ambazo zinaweza kuwa sehemu ya ugonjwa wa saratani.
3. **Endometriosis:** Endometriomas ni cysts zinazotokea kutokana na tishu za endometriosis kwenye ovari.
4. **Polycystic O***y Syndrome (PCOS):** Kuwa na cysts nyingi kwenye ovari k**a sehemu ya hali hii.
5. **Hali za Hormonal Imbalance:** Mabadiliko katika viwango vya homoni vinaweza kuathiri maendeleo ya cysts.
6. **Magonjwa ya Mfumo wa Uzazi:** Magonjwa k**a ugonjwa wa Pelvic Inflammatory Disease (PID) yanaweza kuchangia cysts.
7. **Matumizi ya Vidonge vya Kuzuia Mimba:** Vidonge vya kuzuia mimba vinaweza kuathiri mzunguko wa ovari na kusababisha cysts.
8. **Uharibifu wa Ovari:** Kuumia au upasuaji kwenye ovari unaweza kusababisha cysts.
9. **Kuchoma kwa Ovari:** K**a cyst imejaa damu au ma

Ovarian cysts ni mifuko yenye maji au majimaji inayounda kwenye ovari. Mara nyingi, cysts hizi ni za kawaida na zinaweza...
01/09/2025

Ovarian cysts ni mifuko yenye maji au majimaji inayounda kwenye ovari. Mara nyingi, cysts hizi ni za kawaida na zinaweza kupotea bila matibabu. Hata hivyo, kuna baadhi ya madhara au hatari zinazohusiana na ovarian cysts ambazo zinapaswa kuzingatiwa:

1. **Maumivu**: Cysts zinaweza kusababisha maumivu ya tumbo, hasa wakati wa hedhi au baada ya tendo la ngono.
2. **Mabadiliko ya Mzunguko wa Hedhi**: Ovarian cysts zinaweza kusababisha mabadiliko kwenye mzunguko wa hedhi, k**a vile kuchelewa au kutokuwa na hedhi.
3. **Kushindwa kwa Ovari**: Katika baadhi ya matukio, cysts zinaweza kusababisha ovari kushindwa kufanya kazi vizuri.
4. **Michezo ya Mwili**: Cysts kubwa zinaweza kuwa na hatari ya kupasuka, ambayo inaweza kusababisha maumivu makali na kutokwa na damu ndani ya tumbo.
5. **Matatizo ya Uzazi**: Ingawa ni nadra, baadhi ya cysts zinaweza kuathiri uwezo wa kupata mimba.

Ikiwa una dalili k**a maumivu makali, mabadiliko ya hedhi, au dalili nyingine za kawaida, ni muhimu kuonana na daktari kwa uchunguzi zaidi

* Mpendwa Mwanamke  ...Kwa hali hii unawezaje kumvumilia👙 mwenza wako...? Kwa sababu hapa akiingiza tu lazima atoke naoo...
01/09/2025

* Mpendwa Mwanamke ...

Kwa hali hii unawezaje kumvumilia👙 mwenza wako...?
Kwa sababu hapa akiingiza tu lazima atoke naoooo😳😳

Unakuta unaambatana na harufu mbaya.!!

Mtu yupo kwenye hali k**a hii alafu anakwambia anatafuta ujauzito... Bila kuondoa kwanza changamoto😲

Hakuna mbegu ya kiume inayoweza kukatiza kwenye uchafu k**a huo na ikaendelea kuwa hai🥹

Kwa hali hii unawezaje kumvumilia👙 mwenza wako...?
Kwa sababu hapa akiingiza tu lazima atoke naoooo😳😳

Hiii siyo period WAPENDWA huo ni uchafu hatua ya 3 ya cancer

Mtu yupo kwenye hali k**a hii alafu anakwambia anatafuta ujauzito...

IVF  ni njia ya kutumia teknolojia kuwasaidia wanandoa ambao hawawezi kupata mimba kupata watoto wao wenyewe. Njia hii n...
01/09/2025

IVF ni njia ya kutumia teknolojia kuwasaidia wanandoa ambao hawawezi kupata mimba kupata watoto wao wenyewe.
Njia hii ndio chaguo la kwanza kwa wanandoa ambao mirija ya uzazi imeziba kwa sababu yoyote ile,

Pia inasaidia k**a mwanaume hazalishi mbegu za kutosha,
Na pia inaweza kutumika k**a mwanamke hataki kuwa kwenye mahusiano lakini anataka kuwa na watoto wake mwenyewe..

Kasoro kubwa ni gharama, kwa hapa Dar gharama yake inaweza kufikia milioni 18 na ushee...!
*Vipi Je utamudu gharama hii?*
*Au tuzidi kuomba Baraka za Mwenyezi Mungu tusifike uku, maana hali zetu wengi mlo Tu shida🙌*

Address

Dar Es Salaam
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Naomi Afya Halisi posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram