Mwanamke-elimu-uzazi

  • Home
  • Mwanamke-elimu-uzazi

Mwanamke-elimu-uzazi Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Mwanamke-elimu-uzazi, Medical and health, .

Kutana na Naturopathic Doctor wetu apa akupe tiba asilia☘️ Anatibu Magonjwa ya binadamu kwa dawa za asili pekee☘️Magonjw...
03/12/2024

Kutana na Naturopathic Doctor wetu apa akupe tiba asilia
☘️ Anatibu Magonjwa ya binadamu kwa dawa za asili pekee
☘️Magonjwa k**a;
1.PID
2.UTI sugu
3. Nguvu za kiume
4. Fangasi sugu
4. Presha
5. Sukari
☘️ Pia kuondoa kitambi,
☘️ Kuongeza makalio
Na magonjwa mengine mengi!
☘️ Cha msingi, chukua namba wasiliana nasi tukupe huduma.

☘️ NDIOLAGE TREATMENTS ndio mkombozi wako! Unasubiri nn? Free consultation, Tiba asilia, Kuwa imara na mwenye nguvu mpya...
03/12/2024

☘️ NDIO
LAGE TREATMENTS ndio mkombozi wako!
Unasubiri nn?
Free consultation, Tiba asilia, Kuwa imara na mwenye nguvu mpya🙏❤️

Unawaza utatibu vp PID SUGU?  ☘️ UMETUMIA SANA DAWA AINA ZOTE LAKINI HAUPONI PID? ☘️ NDIO PID ITASABABISHA USIZAE🥹💔☘️NDI...
03/12/2024

Unawaza utatibu vp PID SUGU?
☘️ UMETUMIA SANA DAWA AINA ZOTE LAKINI HAUPONI PID?
☘️ NDIO PID ITASABABISHA USIZAE🥹💔
☘️NDIO PID INATIBIKA NA UTAKUA NA KIZAZI CHENYE AFYA🥰❤️🙏
☘️PID inatibiwa kwanza kwa kuua bacteria walioshambulia na kwa kuimarisha kinga zako za mwili na kinga za kizazi chako
☘️ Njoo, ongea nami nikutibu step by step ad upone! Usiumize tena kichwa🙏
📞0767797000

PID ni nini?  Tunaujua k**a PELVIC INFLAMMATORY DISEASE☘️ Ni ugonjwa unaosababishwa na bacteria unaoshambulia via vya uz...
03/12/2024

PID ni nini?
Tunaujua k**a PELVIC INFLAMMATORY DISEASE
☘️ Ni ugonjwa unaosababishwa na bacteria unaoshambulia via vya uzazi kwa mwanamke, kuanzia kwenye kizazi, mirija ya kizazi na mayai
☘️ Unasababishwa sanasana na bacteria aina ya Gonococco, na Clamydial, wengine ni k**a E. Coli na Staphylococci
☘️Hivyo Magonjwa k**a vile;
1. Sexually transmitted diseases
2. UTI
Yasipotibiwa kwa haraka na kwa kuzingatia dose yanaweza kusababisha ukapata PID
☘️ Visababishi vingine ni k**a;
1. Kujiingizia vidole ukeni, au kujisafisha ukeni kwa kemikali ambazo zitauka kinga zako za ukeni na kupelekea kushambuliwa na ayo maradhi kwa haraka zaidi
2. Kueka njia ya uzazi wa mpango ya kitanzi bila kutumia usafi, hii hupelekea kuchukua bacteria kutoka kwny va**na na kuwapandisha juu kwenye kizazi
☘️ dalili za PID ni;
1. Kuumwa tumbo chini ya kitovu
2. Homa
3. Kutokwa na uchafu ukeni wenye rangi ya kijani au manjano wenye harufu
4. Maumivu wakati kufanya tendo la ndoa
5. Maumivu ya mgongo
☘️ Athari za PID
Infertility 💔
MATIBABU YAKE YAPO NA UNATIBIKA,

Unasumbuliwa na PID na hujui tatizo ni nn? ☘️ Hutakiwi kuogopa tenaMadhara makubwa ya PID ni infertility (kutokuzaa) Ila...
30/11/2024

Unasumbuliwa na PID na hujui tatizo ni nn?
☘️ Hutakiwi kuogopa tena

Madhara makubwa ya PID ni infertility (kutokuzaa)

Ila sisi LAGE TIBA ASILI ni suluhisho lako, njoo tukupe tiba ya asili ambayo itaimarisha kinga zako za mwili usipate tena iyo changamoto, na tiba iyo itakuponesha kabisa na utakuwa na kizazi chenye afya☘️

Ni mwanamke na unakutana na hii changamoto ya fangasi ya kujirudia mara kwa mara?🍀 umehangaika sana na dawa za hospitali...
30/11/2024

Ni mwanamke na unakutana na hii changamoto ya fangasi ya kujirudia mara kwa mara?

🍀 umehangaika sana na dawa za hospitalini, miti shamba na bado tatizo linazidi kuwa kubwa???

🍀 Usiogope, LAGE TIBA ASILI ndio suluhisho lake
Usihangaike, njoo tukutibu na tatizo halitojirudia tena🫰🏻☘️

Huna haja ya kujitesa sana na gym🫰🏻 🍀Mkombozi wa vitambi niko hapa📞0767797000
23/11/2024

Huna haja ya kujitesa sana na gym🫰🏻
🍀Mkombozi wa vitambi niko hapa
📞0767797000

Address


Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mwanamke-elimu-uzazi posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

  • Want your practice to be the top-listed Clinic?

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram