Kimimbi H clinic tz

Kimimbi H clinic tz Sisi ni wataalamu wa tiba mbadala tiba asili tunatibu magonjwa sugu ya kike na kiume simu 0743068792

04/01/2026
DALILI ZA TATIZO LA HORMONI IMBALANCE.Kukosa mimba ukiwa ndani ya ndoa au mahusiano zaidi ya mwaka.Chuchu au matiti kuto...
03/01/2026

DALILI ZA TATIZO LA HORMONI IMBALANCE.
Kukosa mimba ukiwa ndani ya ndoa au mahusiano zaidi ya mwaka.

Chuchu au matiti kutoa maziwa wakati hauna mtoto wala mimba.

Kupata hedhi yenye kuambatana na maumivu makali ya tumbo kiuno mgongo maumivu ya kichwa kuhisi kizunguzungu kichefuchefu.

Kupatwa haja ndogo ya Mara kwa mara kichefuchefu miguu kukosa nguvu maumivu ya tumbo makali
Kabla ya kuingia ktk hedhi.

Kuota ndevu wanawake au kuwa na nywele kifuani

Kupata hedhi mfululizo au kidogo kidogo au kwa mwezi Mara mbili.

Hamu ya tendo la ndoa kutokuwepo Kwa mwanamke

Fangasi au mambukizi ya bacteria kwenye via vya uzazi.

Kusimama kwa hedhi zaidi ya miezi kadhaa hadi mwaka.

Kupata dalili ya kuwa mjamzito lkn mimba Huna.

JIMODA ni dawa bora sana kuwai kutokea kwa matatizo ya wanawake, hii ni dawa asili tupu haina kemikali yoyote.

JIMODA inasaidia kwa mwanamke anaepoteza hedhi muda mrefu, inaweza kuweka mpangilio mzuri katika mzunguko wa hedhi

JIMODA inatibu maambukizi yoyote ya bacteria katika via vya uzazi vya mwanamke, na kusafisha kizazi.

JIMODA inatibu matatizo ya homoni kwa mwanamke na kuondoa kabisa tatizo la uzazi.

Hii ni dawa nzuri sana na inamatokeo mazuri sana kwa mtumiaji.

Sisi ni wataalamu wa tiba mbadala tiba asili tunashugulika na kutibu magonjwa sugu k**a.

Magonjwa ya Kisukali, Vidonda vya tumbo, Presh, Uzazi, PID, Hedhi, Pumu, Bawasili, UTI sugu, Maralia sugu, Uvimbe tumboni, fangasi, N.K.

Kwa ushauri au matibabu fika katika clinic yetu Daresalaam kiwalani jirani na Airport.

K**a unapenda kujifunza zaidi juu ya afya yako karibu katika group zetu za whattsap, tuandikie neno NIUNGE. kisha tuma kwenye namba 0743 068792.

Makao makuu Daresalaam Whattsap 0743 068792.

Afya salama hukaa katika mwili salama ijali afya yako.

Asthma ni ile hali ya mtu kupata shida wakati wa kupumua na hutokea pindi mapafu yanapoingiza na kutoa hewa kwa tabu mno...
03/01/2026

Asthma ni ile hali ya mtu kupata shida wakati wa kupumua na hutokea pindi mapafu yanapoingiza na kutoa hewa kwa tabu mnoo na ile hali inayoonekana kwa mgonjwa wa asthma huwa tunaita asthmatic condition.

Sababu za ugonjwa hutokea pindi njia za hewa(air ways) huwa zina sinyaa yaani zinakuwa nyembamba na kushindwa kupitisha hewa vizuri hivyo mahitaji ya hewa mwilini huwa makubwa kuliko njia zake hivyo mapafu hulazimisha kuingiza hewa nyingi mwilini ili kutimiza mahitaji ya oxygen mwilini ili cell zipate mahitaji sasa shinikizo kutokea kwenye njia za hewa ndio tunasema mtu ana tatizo la asthma.

SABABU YA TATIZO
Utu uzima(elder people), matatizo ya presha(blood pressure), magonjwa ya mzio(allergy), matumizi ya vitu vya baridi(cold drink), hali ya hewa ya baridi(cold weather), kupata mashambulizi kwenye mapafu(lungs infection), kurithi(heredity).

NIHETA Dawa bora kabisa kwa matatizo ya kifua na mapafu mchanganyiko wa mimea tiba iliyotengenezwa katika mtindo wa powder.

NIHETA Inatibu matatizo ya pumu kwa uhakika kabisa inauwezo wa kuwasaidia watoto wadogo na watu wazima.

NIHETA Inatibu matatizo ya kukohoa na kifua kikavu hii inasaidia kwa watu wenye shida ya kifua cha mshipa.

NIHETA Inatibu maumivu ya kifua na maumivu makali ya moyo hii ni tiba bora sana kuwai kutokea kwa matatizo haya.

NIHETA Inatibu kubanwa na kifua au kupumua kwa shida hii ni dawa nzuri sana kwa matatizo ya kifua.

Sisi kimimbi herbal clinic wataalamu wa tiba mbadala tiba asili tunashugulika na kutibu magonjwa sugu k**a.

Magonjwa ya Kisukali, Vidonda vya tumbo, Presh, Uzazi, PID, Hedhi, Pumu, Bawasili, UTI sugu, Maralia sugu, Uvimbe tumboni, fangasi, N.K.

Kwa ushauri au matibabu fika katika clinic yetu Daresalaam kiwalani jirani na Airport.

K**a unapenda kujifunza zaidi juu ya afya yako karibu katika group zetu za whattsap, tuandikie neno NIUNGE tuma kwenye namba 0743 068792

Afya salama hukaa katika mwili salama ijali afya yako.

Address

Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 07:00 - 19:00
Tuesday 07:00 - 19:00
Wednesday 07:00 - 17:00
Thursday 07:00 - 19:00
Friday 07:00 - 19:00
Saturday 07:00 - 18:00
Sunday 07:00 - 18:00

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Kimimbi H clinic tz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram