Kimimbi H clinic tz

Kimimbi H clinic tz Sisi ni wataalamu wa tiba mbadala tiba asili tunatibu magonjwa sugu ya kike na kiume simu 0743068792

WALIOKO KWENYE HATARI YA KUPATA PRESHA.UMRI MKUBWA: wanaume wako katika hatari ya kupata presha kwenye umri wa miaka 45 ...
15/02/2026

WALIOKO KWENYE HATARI YA KUPATA PRESHA.
UMRI MKUBWA: wanaume wako katika hatari ya kupata presha kwenye umri wa miaka 45 na kuendelea na wanawake miaka 65 na kuendelea.

UNENE: kadri unavyozidi kunenepa ndivyo mwili moyo unataka nguvu nyingi kusukuma damu
mwilini hivyo kuongezeka kwa presha.

KUVUTA SIGARA: kemikali ya nikotini huharibu mishipa ya damu na kuongeza hatari ya kuugua ugonjwa wa presha.

KULA CHUMVI NYINGI; sodium hubakiza maji mengi mwilini na kuongeza presha ya damu.

KUNYWA POMBE SANA; kunywa kupita kiasi kwa wanaume na wanawake ni hatari kwa moyo na hupandisha presha ya damu.

MAWAZO MENGI; mawazo mengi humwaga homoni inaitwa adrenaline kwenye damu ambayo huongeza presha ya damu hivyo maisha usiyachukulie serious sana matatizo ni sehemu tu.

DALILI ZA PRESHA
Kichwa kuuma
Kutokwa damu puani.
Kupumua kwa shida.
Kuishiwa nguvu
Moyo kukimbia sana
Kutokwa jasho kwa wingi

RENAMU ni dawa bora sana kuwai kutokea kwa matatizo ya moyo, hii ni dawa asili tupu haina kemikali yoyote.

RENAMU ni dawa inayotibu matatizo ya moyo kutanuka au kujaa mafuta na kemikali yoyote.

RENAMU inauwezo wa kuzibua mishipa ya damu na kufanya damu kutembea kwa vizuri na hivyo mwili kuwa salama.

RENAMU inaondoa presha ya kupanda au kushuka ni dawa bora sana kwa matatizo ya presha.

RENAMU inaondoa tatizo la shambulio la moyo na kuufanya moyo kuwa salama.

RENAMU inatibu maumivu ya kichwa, kizunguzungu, kuisi kupiga kelele au kuchanganyikiwa.

Sisi ni wataalamu wa tiba mbadala tiba asili tunashugulika na kutibu magonjwa sugu k**a.

Magonjwa ya Kisukali, Vidonda vya tumbo, Presh, Uzazi, PID, Hedhi, Pumu, Bawasili, UTI sugu, Maralia sugu, Uvimbe tumboni, fangasi, N.K.

Kwa ushauri au matibabu fika katika clinic yetu Daresalaam kiwalani jirani na Airport.

K**a unapenda kujifunza zaidi juu ya afya yako karibu katika group zetu za whattsap, tuandikie neno NIUNGE. kisha tuma kwenye namba 0743 068792.

Afya salama hukaa katika mwili salama ijali afya yako

15/02/2026
HIPET’OMaumivu ya mgongo, kiuno, migupa, au misuli ni ile hali ya kuhisi maumivu au kutojisikia vizuri, maumivu haya yan...
15/02/2026

HIPET’O
Maumivu ya mgongo, kiuno, migupa, au misuli ni ile hali ya kuhisi maumivu au kutojisikia vizuri, maumivu haya yanatofautiana baina ya mtu na mtu na pia yanategemea sana wapi ilipo shida katika mwili wako.

Hivyo dalili nazo hutegemea na kisababishi na hivyo baadhi ya watu huwa na dalili zinazofanana huku wengine wakiwa na dalili za aina mbali mbali kuanzia mamivu ya mwili, kushindwa kufanya shughuli za kawaida za kila siku kutokana na maumivu, homa na kutetemeka, kupungua nguvu katika misuli ya miguu, miguu kuwaka moto, kuchomwa chomwa mithili ya sindano au miiba, ganzi kwenye miguu.

HIPET'O ni dawa bora kabisa kwa matatizo ya mifupa na maumivu ya misuli, hii ni dawa ya kupaka tu na inaweza kutibu bila hata kuchua, inauwezo wa kuingia kwenye misuli ya ya mwili na kuondoa maumivu.

HIPET'O dawa bora kabisa kwa kuondoa maumivu makali ya viungo, hii inategemea na kazi yako k**a ya kukaa sana kusimama au kutembea kupita kiasi.

HIPET'O inatibu mifupa na maumivu yote iwe kwa sababu za uzito mkubwa au sababu yeyote nyingine, hii dawa nzuri sana hata kwa watu walioteuka kwenye viungo.

HIPET'O ni dawa nzuri sana kwa maumivu ya mgongo na kiuno, maumivu ya mgongo na kiuno kwa sasa yamekuwa ni matatzo makubwa sana watu wengi wanaangaika kila kukicha lakini sasa tumia HIPET’O

HIPET’O ni dawa nzuri sana kwa wagonjwa waliopohoza au palalaizi ikiwa itatumiwa vizuri kumchua mgonjwa wa kupohoza anaweza kuinuka na kuendelea na maisha yake huku akiwa sawa viungo vyake.

HIPET’O ni mchanganyiko wa mimea tiba tulioutengeneza katika mtindo wa mafuta, tumetumia mtindo huu ili iwe nyepesi kutoa matokeo kwa mgonjwa HII NI DAWA BORA SANA.

Sisi ni Kimimbi Herbal Clinic
Wataalamu wa tiba mbadala tiba asili tunashugulika na kutibu magonjwa sugu k**a.

Magonjwa ya Kisukali, Vidonda vya tumbo, Presh, Uzazi, PID, Hedhi, Pumu, Bawasili, UTI sugu, Maralia sugu, Uvimbe tumboni, fangasi, N.K.

Kwa ushauri au matibabu fika katika clinic yetu Daresalaam kiwalani jirani na Airport.

K**a unapenda kujifunza zaidi juu ya afya yako karibu katika group zetu za whattsap, tuandikie neno NIUNGE tuma kwenye namba 0743068792

Afya salama hukaa katika mwili salama ijali afya yako.

DITEZA Dawa bora kabisa kwa matatizo ya mbalimbali ya mwili wa binadam imetengenezwa kwa mimea tiba na haina madhara yoy...
14/02/2026

DITEZA
Dawa bora kabisa kwa matatizo ya mbalimbali ya mwili wa binadam imetengenezwa kwa mimea tiba na haina madhara yoyote kwa mtumiaji.

Sababu kubwa ya kuandaa dawa hii ni kuwasaidia watu wenye uzito mkubwa, vitambi, na unene kupita kiasi, lakini mchanganyiko tulioingiza humu umeonesha kutatua kwa ufanisi na magonjwa mbalimbali katika mwili.

DITEZA Ni dawa yenye uwezo wa kuondoa shida ya kemikali yoyote mwilini inapunguza kiwango cha sumu tunazokula na kunywa kila siku.

Inaondoa sumu za vileo na vyakula ni dawa nzuri kwa mtu yoyote kutumia japo kwa mwezi mara moja hii ni kwa sababu ya kuflash au kuservice mwili wako, kwa kufanya hivyo unaweza kuisaidia figo, ini na viungo vingine katika mwili.

DITEZA Inapunguza kiwango cha mafuta mwilini na kusaudia moyo kufanya kazi zake vizuri na hivyo kukuepusha na magonjwa ya moyo.

DITEZA Ni dawa inayotibu matatizo ya henia yaani ngiri kwa wanaume na chango kwa wanawake, inasaidia kuondoa maumivu ya tumbo hii ni dawa nzuri sana.

DITEZA Ni dawa nzuri sana kwa matatizo ya kukosa choo au kupata choo k**a cha mbuzi inaondoa hiyo shida na kuimarisha mfumo wa tumbo na kukuepusha na matatizo ya bawasili.

Sisi Kimimbi herbal clinic wataalamu wa tiba mbadala tiba asili tunashugulika na kutibu magonjwa sugu k**a.

Magonjwa ya Kisukali, Vidonda vya tumbo, Presh, Uzazi, PID, Hedhi, Pumu, Bawasili, UTI sugu, Maralia sugu, Uvimbe tumboni, fangasi, N.K.

Kwa ushauri au matibabu fika katika clinic yetu Daresalaam kiwalani jirani na Airport.

K**a unapenda kujifunza zaidi juu ya afya yako karibu katika group zetu za whattsap, tuandikie neno NIUNGE tumakwenyenamba0743 068792.

Afya salama hukaa katika mwili salama ijali afya yako.

DALILI ZA TATIZO LA HORMONI IMBALANCE.Kukosa mimba ukiwa ndani ya ndoa au mahusiano zaidi ya mwaka.Chuchu au matiti kuto...
14/02/2026

DALILI ZA TATIZO LA HORMONI IMBALANCE.
Kukosa mimba ukiwa ndani ya ndoa au mahusiano zaidi ya mwaka.

Chuchu au matiti kutoa maziwa wakati hauna mtoto wala mimba.

Kupata hedhi yenye kuambatana na maumivu makali ya tumbo kiuno mgongo maumivu ya kichwa kuhisi kizunguzungu kichefuchefu.

Kupatwa haja ndogo ya Mara kwa mara kichefuchefu miguu kukosa nguvu maumivu ya tumbo makali
Kabla ya kuingia ktk hedhi.

Kuota ndevu wanawake au kuwa na nywele kifuani

Kupata hedhi mfululizo au kidogo kidogo au kwa mwezi Mara mbili.

Hamu ya tendo la ndoa kutokuwepo Kwa mwanamke

Fangasi au mambukizi ya bacteria kwenye via vya uzazi.

Kusimama kwa hedhi zaidi ya miezi kadhaa hadi mwaka.

Kupata dalili ya kuwa mjamzito lkn mimba Huna.

JIMODA ni dawa bora sana kuwai kutokea kwa matatizo ya wanawake, hii ni dawa asili tupu haina kemikali yoyote.

JIMODA inasaidia kwa mwanamke anaepoteza hedhi muda mrefu, inaweza kuweka mpangilio mzuri katika mzunguko wa hedhi

JIMODA inatibu maambukizi yoyote ya bacteria katika via vya uzazi vya mwanamke, na kusafisha kizazi.

JIMODA inatibu matatizo ya homoni kwa mwanamke na kuondoa kabisa tatizo la uzazi.

Hii ni dawa nzuri sana na inamatokeo mazuri sana kwa mtumiaji.

Sisi ni wataalamu wa tiba mbadala tiba asili tunashugulika na kutibu magonjwa sugu k**a.

Magonjwa ya Kisukali, Vidonda vya tumbo, Presh, Uzazi, PID, Hedhi, Pumu, Bawasili, UTI sugu, Maralia sugu, Uvimbe tumboni, fangasi, N.K.

Kwa ushauri au matibabu fika katika clinic yetu Daresalaam kiwalani jirani na Airport.

K**a unapenda kujifunza zaidi juu ya afya yako karibu katika group zetu za whattsap, tuandikie neno NIUNGE. kisha tuma kwenye namba 0743 068792.

Makao makuu Daresalaam Whattsap 0743 068792.

Afya salama hukaa katika mwili salama ijali afya yako.

Asthma ni ile hali ya mtu kupata shida wakati wa kupumua na hutokea pindi mapafu yanapoingiza na kutoa hewa kwa tabu mno...
13/02/2026

Asthma ni ile hali ya mtu kupata shida wakati wa kupumua na hutokea pindi mapafu yanapoingiza na kutoa hewa kwa tabu mnoo na ile hali inayoonekana kwa mgonjwa wa asthma huwa tunaita asthmatic condition.

Sababu za ugonjwa hutokea pindi njia za hewa(air ways) huwa zina sinyaa yaani zinakuwa nyembamba na kushindwa kupitisha hewa vizuri hivyo mahitaji ya hewa mwilini huwa makubwa kuliko njia zake hivyo mapafu hulazimisha kuingiza hewa nyingi mwilini ili kutimiza mahitaji ya oxygen mwilini ili cell zipate mahitaji sasa shinikizo kutokea kwenye njia za hewa ndio tunasema mtu ana tatizo la asthma.

SABABU YA TATIZO
Utu uzima(elder people), matatizo ya presha(blood pressure), magonjwa ya mzio(allergy), matumizi ya vitu vya baridi(cold drink), hali ya hewa ya baridi(cold weather), kupata mashambulizi kwenye mapafu(lungs infection), kurithi(heredity).

NIHETA Dawa bora kabisa kwa matatizo ya kifua na mapafu mchanganyiko wa mimea tiba iliyotengenezwa katika mtindo wa powder.

NIHETA Inatibu matatizo ya pumu kwa uhakika kabisa inauwezo wa kuwasaidia watoto wadogo na watu wazima.

NIHETA Inatibu matatizo ya kukohoa na kifua kikavu hii inasaidia kwa watu wenye shida ya kifua cha mshipa.

NIHETA Inatibu maumivu ya kifua na maumivu makali ya moyo hii ni tiba bora sana kuwai kutokea kwa matatizo haya.

NIHETA Inatibu kubanwa na kifua au kupumua kwa shida hii ni dawa nzuri sana kwa matatizo ya kifua.

Sisi kimimbi herbal clinic wataalamu wa tiba mbadala tiba asili tunashugulika na kutibu magonjwa sugu k**a.

Magonjwa ya Kisukali, Vidonda vya tumbo, Presh, Uzazi, PID, Hedhi, Pumu, Bawasili, UTI sugu, Maralia sugu, Uvimbe tumboni, fangasi, N.K.

Kwa ushauri au matibabu fika katika clinic yetu Daresalaam kiwalani jirani na Airport.

K**a unapenda kujifunza zaidi juu ya afya yako karibu katika group zetu za whattsap, tuandikie neno NIUNGE tuma kwenye namba 0743 068792

Afya salama hukaa katika mwili salama ijali afya yako.

Address

Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 07:00 - 19:00
Tuesday 07:00 - 19:00
Wednesday 07:00 - 17:00
Thursday 07:00 - 19:00
Friday 07:00 - 19:00
Saturday 07:00 - 18:00
Sunday 07:00 - 18:00

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Kimimbi H clinic tz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram