Kimimbi H clinic tz

Kimimbi H clinic tz Sisi ni wataalamu wa tiba mbadala tiba asili tunatibu magonjwa sugu ya kike na kiume simu 0743068792

01/04/2026

Haya hapa madhara ya kusafisha uke

SABABU ZA MAUMIVU YA TUMBO KWA MJAMZITOUPUNGUFU WA DAMUKiinitete kinapojipandikiza katika kuta za ndani za mfuko wa uzaz...
31/03/2026

SABABU ZA MAUMIVU YA TUMBO KWA MJAMZITO
UPUNGUFU WA DAMU
Kiinitete kinapojipandikiza katika kuta za ndani za mfuko wa uzazi kinaweza kusababisha maumivu ya tumbo, ambayo huchukua muda wa siku mbili au tatu na kiasi kiasi kidogo cha damu hutoka.

MIMBA KUTUNGA NJE YA MFUKO WA UZAZI
Wajawazito mara nyingi hufanya makosa kwa kufikiri kuwa wameingia katika siku zao k**a kawaida. Mimba iliyotunga nje ya mfuko husababisha maumivu ya tumbo na damu kutoka.

UVIMBE TUMBONI
Uvimbe ni sababu kubwa sana ya maumivu ya tumbo kwa mjamzito Hata hivyo, unaweza kupungua au kuisha kabisa kwa kunywa dawa.

KIDOLE TUMBO
Kidole tumbo (Appendicitis) hujitokeza kwa uwiano sawa k**a wanawake ambao hawana ujauzito.

TOISI Dawa bora kabisa kwa matatizo ya tumbo kwa mjamzito imeandaliwa kwa mimea tiba iliyotengenezwa katika mtindo wa powder.

TOISI Inaondoa maumivu ya tumbo kipindi cha ujauzito kwa mwanamke hii inaweza kuondoa tishio la kutoka kwa mimba kwani maumivu ya tumbo kipindi cha ujauzito ni hatari kwa afya ya mtoto tumboni.

TOISI Inaongeza kiwango cha damu kwa watu wote hii ni dawa nzuri sana kwa wajawazito kwani tatizo la kupungua damu na hatari hiyo haitakuwepo.

TOISI Inauwezo wa kurudisha nguvu za mwili zilizopotea kwa magonjwa mbalimbali.

TOISI Inatibu henia(ngiri) hii ni dawa nzuri sana.

Sisi kimimbi herbal clinic nataalamu wa tiba mbadala tiba asili tunashugulika na kutibu magonjwa sugu k**a.

Magonjwa ya Kisukali, Vidonda vya tumbo, Presh, Uzazi, PID, Hedhi, Pumu, Bawasili, UTI sugu, Maralia sugu, Uvimbe tumboni, fangasi, N.K.

Kwa ushauri au matibabu fika katika clinic yetu Daresalaam kiwalani jirani na Airport.

K**a unapenda kujifunza zaidi juu ya afya yako karibu katika group zetu za whattsap, tuandikie neno NIUNGE tuma kwenye namba 0743 068792

Afya salama hukaa katika mwili salama ijali afya yako

30/03/2026
PID inaweza isilete dalili zo zote mbaya baadhi ya wanawake hawapati dalili zo zote, pale zinapojitokeza zinaweza kuwa- ...
28/03/2026

PID inaweza isilete dalili zo zote mbaya baadhi ya wanawake hawapati dalili zo zote, pale zinapojitokeza zinaweza kuwa- MAUMIVU – Yanayoweza kuwa madogo au makali maeneo ya chini ya tumbo au nyonga.

UCHAFU- usio wa kawaida au mzito ambao unaweza kuwa na harufu mbaya.

KUTOKWA DAMU- Kusiko kwa kawaida, hasa wakati wa tendo la ndoa, au katikati ya siku za hedhi.

MAUMIVU- Maumivu makali wakati wa kushiriki tendo la ndoa.

HOMA- Homa kali au wakati mwingine kusikia baridi.

MAUMIVUWAKATI WA KUJISAIDIA HAJA NDOGO- wakati wa haja ndogo, haja ndogo ya mara kwa mara au haja ndogo kutoka kwa shida.

CHANZO CHA PID
Kuna bakteria wa aina nyingi wanaoweza kusababisha PID, lakini maambukizi ya gonorrhea na chlamydia ndiyo yanayoonekana zaidi.

Bakteria hao huambukiza wakati tendo la ndoa linapofanyika bila ya kutumia kinga, bakteria hawa huingia kwenye viungo ya uzazi vya mwanamke pale ulinzi wa kwenye shingo ya kizazi(cervix) unapovurugwa.

Hii inaweza kutokea mathalani, wakati wa hedhi na baada ya kuzaa, mimba kuharibika au kutoa mimba.

GAPOX ni dawa bora sana kuwai kutokea kwa matatizo ya wanawake, hii ni dawa asili tupu haina kemikali yoyote.

GAPOX inasaidia kwa mwanamke anaekwenda hedhi muda mrefu, inaweza kukata na ikawa sawa kabisa na kuweka mpangilio mzuri katika mzunguko.

GAPOX inatibu maambukizi yoyote ya bacteria katika via vya uzazi vya mwanamke, na kuondoa fangasi pamoja na kutibu PID.

GAPOX inatibu matatizo ya homoni kwa mwanamke na kuondoa kabisa tatizo la uzazi.

Sisi kimimbi herbal clinic wataalamu wa tiba mbadala tiba asili tunashugulika na kutibu magonjwa sugu k**a.
Kisukali, Vidonda vya tumbo, Presh, Uzazi, Hedhi, Pumu, Bawasili, UTI sugu, Maralia sugu, Uvimbe tumboni, N.K.

Kwa ushauri au matibabu fika katika clinic yetu Daresalaam kiwalani jirani na Airport.
K**a unapenda kujifunza zaidi juu ya afya yako karibu katika group zetu za whattsap, tuandikie neno NIUNGE. kisha tuma kwenye namba +255743068792

SABABU YA MAUMIVU YA MGONGO NA KIUNO:Maumivu ya mgongo ni ile hali ya kuhisi maumivu au kutojiskia vizuri, maumivu haya ...
19/03/2026

SABABU YA MAUMIVU YA MGONGO NA KIUNO:
Maumivu ya mgongo ni ile hali ya kuhisi maumivu au kutojiskia vizuri, maumivu haya yanatofautiana baina ya mtu na mtu na pia yanategemea sana wapi ilipo shida katika mgongo wako

Hivyo dalili nazo hutegemea na kisababishi na hivyo baadhi ya watu huwa na dalili zinazofanana huku wengine wakiwa na dalili za aina mbali mbali kuanzia mamivu ya mgongo, kushindwa kufanya shughuli za kawaida za kila siku kutokana na maumivu, homa na kutetemeka, kupungua nguvu katika misuli ya miguu, miguu kuwaka moto, kuchomwa chomwa mithili ya sindano au miiba, ganzi kwenye miguu.

POTEGA Dawa bora kabisa kuwai kutokea kwa matatizo ya mifupa ni mchanganyiko wa mimea tiba iliyotengenezwa katika mtindo wa powder.

POTEGA Inatibu maumivu ya miguu pamoja na ganzi miguuni hii ni dawa nzuri sana kwa matatizo hayo.

POTEGA Ni dawa yenye uwezo wa kupambana na maumivu ya mgongo na kiuno kwa kuongeza kiwango cha fluid kwenye maungio ya mwili.

POTEGA Inaimarisha misuli ya mwili na kuongeza uimara wa mifupa hii ni dawa bora sana.

KIMIMBI HERBAL CLINIC
Wataalamu wa tiba mbadala tiba asili tunashugulika na kutibu magonjwa sugu k**a.

Magonjwa ya Kisukali, Vidonda vya tumbo, Presh, Uzazi, PID, Hedhi, Pumu, Bawasili, UTI sugu, Maralia sugu, Uvimbe tumboni, fangasi, N.K.

Kwa ushauri au matibabu fika katika clinic yetu Daresalaam kiwalani jirani na Airport.

K**a unapenda kujifunza zaidi juu ya afya yako karibu katika group zetu za whattsap, tuandikie neno NIUNGE tuma kwenye namba 0743 068792

Afya salama hukaa katika mwili salama ijali afya yako.

CHANZO CHA UGUMBA NA TIBA YAKEMaambukizi kwenye pumbu(testicular infections) kitaalamu tatizo hili huitwa Orchitis.Maken...
19/03/2026

CHANZO CHA UGUMBA NA TIBA YAKE
Maambukizi kwenye pumbu(testicular infections) kitaalamu tatizo hili huitwa Orchitis.

Makende kuwa ktk jotoridi la juu(overheating).

Kansa ya pumbu(testicular cancer).

Matatizo ya mbegu za kiume kurudi nyuma ndani ya kibofu badala ya kumwagika nje ya uume(retrograde ej*******on).

Pumbu kushindwa kushuka sehemu yake na kubakia tumboni wakati wa maendeleo ya mtoto tumboni kabla ya kuzaliwa (undescended testicles) kitaalamu Cryptoorchidism.

Matatizo ya kurithi(genetic abnormalities) mfano tatizo linalofahamika kitaalamu k**a Klinefelter’s syndrome.

Tatizo la kukosa au kuwa na kiwango cha chini cha kichochezi kinachoitwa Testosterone.

Tatizo la mishipa ya damu inayotoa damu kwenye mapumbu(testicular vein) kutanuka.

CHITA Ni dawa bora sana kuwai kutokea kwa matatizo ya wanaume hii inatibu kabisa tatizo la kushindwa kumpa mimba mwanamke.

CHITA Ni mchanganyiko wa mimea tiba iliyotengenezwa katika mtindo wa syrup, inaongeza maji maji ya uzazi kwa kila mpigo katika tendo la ndoa.

CHITA Inaongeza ubora wa mbegu za kiume, dawa hii ni kwa matatizo ya watu wenye mapungufu ya mbegu au ulemavu wa mbegu za kiume.

Sisi ni wataalamu wa tiba mbadala tiba asili tunashugulika na kutibu magonjwa sugu k**a.

Magonjwa ya Kisukali, Vidonda vya tumbo, Presh, Uzazi, PID, Hedhi, Pumu, Bawasili, UTI sugu, Maralia sugu, Uvimbe tumboni, fangasi, N.K.

Kwa ushauri au matibabu fika katika clinic yetu Daresalaam kiwalani jirani na Airport.

K**a unapenda kujifunza zaidi juu ya afya yako karibu katika group zetu za whattsap, tuandikie neno NIUNGE tuma kwenye namba 0743 068792 whattsap

Afya salama hukaa katika mwili salama ijali afya yako.

UGONJWA WA KISUKARI Ugonjwa wa kisukari husababishwa na kuzidi kwa sukari au chumvi mwilini, kwa sababu asilimia 90% ya ...
18/03/2026

UGONJWA WA KISUKARI
Ugonjwa wa kisukari husababishwa na kuzidi kwa sukari au chumvi mwilini, kwa sababu asilimia 90% ya mwili ni maji na kwa kawaida sukari kataka mwili haitakiwi kufika 10 zaidi ya hapo na ikitikea sukari ikifika 10 au zaidi ya 10 basi hapo ndio tunasema mtu huyu anaumwa kisukari.

SASA KWANNI MTU ANAUMWA KISUKARI?
zipo sababu nyingi sana na hizi ni moja wapo÷
1.Kongosho kushindwa kuzalisha insulin katika kiwango kinachotakiwa.

2.Kwa sababu za kurithi.

3.Matumizi ya pombe au sigara kupita kiasi.

4.Uzito kupita kiasi na ulaji wa chakula usiozingatia afya.

5.Matatizo ya figo au umri mkubwa kuanzia miaka 45 na kuendelea.

DEROPI Dawa bora kabisa kuwai kutokea imetengenezwa kwa mimea tiba ilioytengenezwa katika mtindo wa powder.

DEROPI Inatibu matatizo ya kisukari kwa wanaume na wanawake hii dawa imefanya vizuri sana katika clinic zetu.

DEROPI Ni dawa ya kutibu kisukari tu na mchanganyiko wake ni mimea tiba inayoshugulika na sukari ya aina yeyote inayotegemea insulin na isiyotegemea insulin hii ni dawa nzuri sana.

Sisi kimimbi herbal clinic wataalamu wa tiba mbadala tiba asili tunashugulika na kutibu magonjwa sugu k**a.

Magonjwa ya Kisukali, Vidonda vya tumbo, Presh, Uzazi, PID, Hedhi, Pumu, Bawasili, UTI sugu, Maralia sugu, Uvimbe tumboni, fangasi, N.K.

Kwa ushauri au matibabu fika katika clinic yetu Daresalaam kiwalani jirani na Airport.

K**a unapenda kujifunza zaidi juu ya afya yako karibu katika group zetu za whattsap, tuandikie neno NIUNGE tumakwenyenamba0743 068792.

Afya salama hukaa katika mwili salama ijali afya yako.

Address

Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 07:00 - 19:00
Tuesday 07:00 - 19:00
Wednesday 07:00 - 17:00
Thursday 07:00 - 19:00
Friday 07:00 - 19:00
Saturday 07:00 - 18:00
Sunday 07:00 - 18:00

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Kimimbi H clinic tz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share