KAP Health Clinic

KAP Health Clinic AFYA YAKO KIPAUMBELE CHETU

WANAWAKE WENGI WAMEKUWA WAKISUMBULIWA NA CHANGAMOTO ZA UZAZI KWA MUDA MREFU,wa.me/0755466196 LEO NIMEKULETEA SULUHISHO Y...
04/09/2023

WANAWAKE WENGI WAMEKUWA WAKISUMBULIWA NA CHANGAMOTO ZA UZAZI KWA MUDA MREFU,
wa.me/0755466196
LEO NIMEKULETEA SULUHISHO YA MATATIZO YA UZAZI ya k**a vile
🌺P.I.D
🌺U.T.I SUGU
🌺MIRIJA KUJAA MAJI
🌺MIRIJA YA UZAZI KUZIBA
🌺KUSHINDWA KUSHIKA MIMBA
🌺FANGASI SUGU
🌺FIBROIDS
🌺OVARIAN CYST.
🌺HARUFU MBAYA SEHEMU ZA SIRI
🌺KUTOKWA NA MAJI YENYE HARUFU MBAYA SEHEMU ZA SIRI.
🌺MIWASHO SEHEMU ZA SIRI
TUPIGIE 0755466196 kwa maelezo zaidi.

OFFER YA UPIMAJI AFYA mwili mzima (TSh 20,000) BADALA YA  (100,000TSH) Tuna toa Tangazo tena wiki ya afya imeanza (07554...
04/09/2023

OFFER YA UPIMAJI AFYA mwili mzima (TSh 20,000) BADALA YA (100,000TSH) Tuna toa Tangazo tena wiki ya afya imeanza (0755466196.
kwa ku ona umuhimu wa upimaji wa mwili mzima( Full body checkup)watu wengi Wana changamoto zakiafya lkn uwezo ni mdogo . Tume amua kutoa offer yau pimaji wa mwili mzima kwa watu ambayo kila mtu ata mudumu tuna hitaji watu 50 tu kwawiki hii ili kupunguza foleni ukihitaji tuma msg au tupigie ufanye appointment ili kuzuia msongamano Magonjwa tunayo dili nayo nik**a vile
Presha
Sukari
U. T. I
Moyo
Mfumo wa uzazi
Vidonda vyatumbo
Kwa wale wanaume wenye mbegu hafifu
Kumbuka tunatoa ushauri bure fika wahi tupigie 0755466196

Tunapatkana Kariakoo Gerezani mtaa wa Swahili na Makamba kwa mawasiliano tupigie0755466196

Simu 0755466196 Bawasili nimoja ya magonjwa yakawaida sana ambayo hutokana na kubadilisha tabia ya ulaji mbovu na mtindo...
04/09/2023

Simu 0755466196 Bawasili nimoja ya magonjwa yakawaida sana ambayo hutokana na kubadilisha tabia ya ulaji mbovu na mtindo wa maisha .Ugonjwa wa bawasili unaathili wengi sana ila sio wengi Wanao jitokeza kupata matibabu asilimia kubwa wanajificha wakizani niugonjwa waaibu . Bawa sili sio Ugonjwa waaibu bawasili sio waajabu naauna tibika nakupona kabisa . Bawasili ni kuvimbimba kwa mishipa ya damu iliyopo ndani katika neo linalo zunguka njia ya haja kubwa au puru. Bawasili huathili mfumo wa mmeng,enyo wachakula hasa utumbo mkubwa chini mwishoni

Tafadhali k**a kuna mtu anatatizo hili muelimishe asijifiche ndani dawa zipo fika kwenye klinic yetu iliyopo Gerezani tupigie 0755466196

Sim no 0755466196 Tezi dume ni sehemu mojawapo ya mfumo wa uzazi wa kiume ,moja wapo ya kazi za tezi dume ni kutoa maji ...
04/09/2023

Sim no 0755466196 Tezi dume ni sehemu mojawapo ya mfumo wa uzazi wa kiume ,moja wapo ya kazi za tezi dume ni kutoa maji maji yanayochanganyika na mbegu za kiume wakati wa kilele Cha tendo,

Unapokaa na tatizo la tezi dume unahatarisha maisha yako kwani husababisha matatizo ya Figo, mkojo kushindwa kutoka, mgandamizo kwenye kibofu Cha mkojo n.k

Tutafute upate suluhisho lilowaponyesha watu wengi,

Tupigie:0755466196

KARIBUNI   tunatibu magonjwa yote sugu k**a vilei.Matatizo ya kisukariii.matatizo  ya kansa iii.matatizo ya vidonda vya ...
04/09/2023

KARIBUNI tunatibu magonjwa yote sugu k**a vile
i.Matatizo ya kisukari
ii.matatizo ya kansa
iii.matatizo ya vidonda vya tumbo
iv.matatizo ya macho
v.matatizo ya uzazi
v.matatizo ya mano
v.kujikojolea kitandani
vi.pia tunazo dawa za kupunguza mwili na uzito
vii.magonjwa ya watu wazima na wazee
tunapatikana mkoa wa dar-es-salaam .Njoo ukutane na madaktari bingwa na wazoefu na wakarimu
huduma nyingine zitolewazo ni pamoja na ;-
head message machine-hii ni mashine nzuri kwa wale wanaosumbuliwa na matatizo ya kichwa kuuma na kukosa usingizi pia huondoa maumivu ya kichwa na shingo

Watu wengi Wana fikiri vidonda vyatumbo havitibiki no simu 0755466196Vidonda vya tumbo vina vyanzo tofauti ili vyote ni ...
04/09/2023

Watu wengi Wana fikiri vidonda vyatumbo havitibiki no simu 0755466196

Vidonda vya tumbo vina vyanzo tofauti ili vyote ni vile vinavyohusiana na mmeng’enyo, vyanzo hivyo ni;

Bakteria waitwao Helicobacter pylori (H. pylori)
Matumizi ya dawa za kupunguza maumivu k**a asprin, (NSAIDs), (Advil, Aleve, na zingine)
Kuwa na mawazo mengi
Kula vyakula vinavyozalisha acid kwa wingi
Kunywa pombe na vinywaji vikali
Uvutaji wa sigara
Kuto kula mlo kwa mpangilio

DALILI ZA VIDONDA VYA TUMBO

Dalili za vidonda vya tumbo hujitokeza baada ya kula au kabla ya kula, ila mara nyingi wengi huwa wanazipuuzia na endelea kukuza tatizo, vidonda vya tumbo vinadalili k**a;

Kupata maumivu ya tumbo yanayokuwa k**a ya moto (kuunguza) baada na kabla ya kula
Kupatwa na kiungulia karibu na chembe ya moyo
Tumbo kujaa gesi na kuvimbiwa
Kichefuchefu na kutapika tena yawezekana kutapika damu
Kupata haja kubwa ya rangi kahawia au nyeusi yenye harufu mbaya sana, pia haja yaweza kuchanganyikana na damu
Kupoteza hamu ya kula na kupungua uzito
Kushindwa kupumua vizuri

SULUHISHO linapatikana
WASILIANA nami kupata muongozo 0755466196 na elimu zaidi juu ya changamoto yako

. KAP Health Clinic  0755466196*MTINDO MBOVU WA MAISHA NA UGUMBA*Mtindo wa maisha unaweza kuathiri uzazi wa mwanamke na ...
04/09/2023

. KAP Health Clinic 0755466196*MTINDO MBOVU WA MAISHA NA UGUMBA*
Mtindo wa maisha unaweza kuathiri uzazi wa mwanamke na mwanamume na kusababisha ugumba. Hapa chini ni baadhi ya mifano ya jinsi mtindo wa maisha unavyoweza kusababisha ugumba:

1. Lishe mbaya: Kula lishe mbaya na yenye kiwango cha chini cha virutubisho kunaweza kusababisha ugumba kwa wanawake na wanaume. Lishe duni inaweza kuathiri uzalishaji wa homoni na kuathiri ubora wa mayai ya mwanamke na manii ya mwanamume.Mfano kula vyakula vya wanga na sukari kupitia kiasi wali, pilau,biriyani,ugali sembe, chapati,keki soda , energy drink n.k. kula vyakula vya protein k**a ndizi,nyama,samaki ,mayai,Matunda na mboga mboga

2. Unene kupita kiasi: Unene kupita kiasi kunaweza kusababisha ugumba kwa wanawake na wanaume. Unene kupita kiasi huongeza hatari ya magonjwa yanayohusiana na uzazi k**a vile ugonjwa wa kisukari na shinikizo la damu, ambayo yanaweza kuathiri uzazi.

3. Uvutaji wa sigara: Uvutaji wa sigara inaweza kupunguza uzalishaji wa homoni ya k**e na kusababisha uharibifu wa mayai ya mwanamke na ubora wa manii ya mwanamume. Inaweza pia kusababisha matatizo ya kiafya k**a vile ugonjwa wa mapafu na magonjwa mengine yanayoweza kusababisha ugumba.

4. Matumizi ya pombe na dawa za kulevya: Matumizi ya pombe na dawa za kulevya kunaweza kuathiri uzazi kwa wanawake na wanaume. Matumizi ya pombe na dawa za kulevya zinaweza kupunguza uzalishaji wa homoni na kuathiri kazi ya viungo vya uzazi.

5. Stress: Stress inaweza kuathiri uzazi kwa wanawake na wanaume. Stress inaweza kupunguza uzalishaji wa homoni za uzazi na kusababisha matatizo ya kiafya ambayo yanaweza kuathiri uzazi.

6. Kutumia dawa: Baadhi ya dawa zinaweza kuathiri uzazi kwa wanawake na wanaume.Uzazi wa mpango na Dawa za kuzuia mimba K**a P2 ni hatari. Kwa mfano, baadhi ya dawa za kulevya za kisasa mfano mzuri ni sh**ha zinaweza kusababisha upungufu wa uzalishaji wa homoni na kuathiri ubora wa mayai ya mwanamke na manii ya mwanamume.

Kwa hiyo, mtindo wa maisha unaweza kuathiri uzazi wa mwanamke na mwanamume. Ni muhimu kuwa na mtindo wa maisha wenye afya, kula lishe bora, kuepuka uvutaji wa sigara na matumizi ya pombe na dawa za kulevya, kupunguza stress, na kushauriana na daktari kabla ya kutumia dawa yoyote. Kufanya hivyo kunaweza kusaidia kupunguza hatari ya ugumba na kukuza uzazi wa afya.

Kwa maswala ya uzazi_uzazi Unataka kubeba ujauzito?Fanya s*x (tendo la ndoa siku sahihi)K**a unataka kubeba ujauzito hak...
04/09/2023

Kwa maswala ya uzazi_uzazi Unataka kubeba ujauzito?
Fanya s*x (tendo la ndoa siku sahihi)
K**a unataka kubeba ujauzito hakikisha zile ziku kadhaa ambazo unakuwa katika ovulation unazitumia vizuri. Usijifunge ukafanya siku ya ovulation peke yake.
Haijalishi unafanya mara ngapi jitahidi ufanye siku sahihi au wakati sahihi. Research zinaonesha kuwa hata ukifanya s*x siku 6 kabla ya siku yako ya ovulation bado una chance ya kubeba ujauzito. Ukifanya ile siku moja tuu ambayo wewe unaiona ni sahihi unaweza kosa chance ya kubeba ujauzito kwa mwezi huo

Vidonda vya tumbo niugonjwa wakawaida  lkn usipo utibia mapema. Madhara yake nimakubwa usipo tibia vidonda kwamda mrefu ...
30/08/2023

Vidonda vya tumbo niugonjwa wakawaida lkn usipo utibia mapema. Madhara yake nimakubwa usipo tibia vidonda kwamda mrefu unaweza kupata bawasili lkn pia unaweza kupata cancer ya utumbo nahapo utakuwa umepata hasara sana zipo dawa zau hakika kutoka bara la Ashia ambazo zitakwenda kuondoa kabisa changamoto ya vidonda vya tumbo. lkn pia k**a huna uhakika ila unahisi unavyo tuta kufanyia vipimo kisha tuta kuandikia dawa . Wale wamkoani tuta kutumia dawa kwauwaminifu . Au k**a unamtu ambaye yupo Daar es salaam unaweza ukamuagiza aone ofc.0755466196

ZIFAHAMU DALILI ZA UGONJWA WA GOITA🥹👌Uvimbe unaonekana eneo la shingo.👌Kusikia kubanwa kooni.👌Kukohoa.👌Shida ya kumeza c...
30/08/2023

ZIFAHAMU DALILI ZA UGONJWA WA GOITA🥹
👌Uvimbe unaonekana eneo la shingo.
👌Kusikia kubanwa kooni.
👌Kukohoa.
👌Shida ya kumeza chakula.
👌Mishipa ya damu ya shingoni inaweza Kuvimba.
👌Shida ya kupumua vizuri.
👌Macho Kuvimba.
👉Kusikia kiu mara kwa mara.
👉Kuishiwa na nguvu.

NJOOO TUZUNGUMZE MATIBABU YAPO NA USHAURI NI BUREE.

Kwanini watu wengi  tatizo la PID no Shida kubwa ya PID ni uchafu ule unaotoka na vimelea vya ugonjwa..Hivyo vimelea ina...
30/08/2023

Kwanini watu wengi tatizo la PID no Shida kubwa ya PID ni uchafu ule unaotoka na vimelea vya ugonjwa..

Hivyo vimelea inabaki kwenye mazingira yako..

Mazingira k**a chupi,mataulo,night dress,khanga,choo au kitu chochote unachotumia kujifuta au kilichogusa huo uchafu n.k..Kwahyo hospital unapewa dawa lakini chanzo cha maambukizi yapo nyumbani..

Unapewa dawa unapona baada ya muda ugonjwa unarudi tena..

Kibaya zaidi vimelea haviwezi kufa kwa sabun za kawaida tunazotumia nyumbani..
Kwahyo ugonjwa utapotea unarud,utapotea na kurud huku ukizidi kukuteketeza..

Nakusababisha matatizo chungu mzima 😥hormonesimbalance 👉🏽mirijakuziba 👉🏽👉🏽mirijakujaamaji ✔️viuvi mbemaji kwenye o***y
Ukipata tatzo lolote kati ya haya inakuwa changamoto mimba kuingia..
NJOO TUZUNGUMZE

SARATANI YA KOO😥 kwa changamoto  miongoni mwa magonjwa ya kutisha. Ingawa baadhi ya wagonjwa wa saratani ya koo wanaweza...
30/08/2023

SARATANI YA KOO😥 kwa changamoto miongoni mwa magonjwa ya kutisha. Ingawa baadhi ya wagonjwa wa saratani ya koo wanaweza kutibiwa na kupona kabisa, kuna mjadala miongoni mwa matabibu juu ya tiba sahihi ya ugonjwa huu. Bila kujali ni aina gani inayotumika, karibu aina zote za tiba za saratani hii huwa na madhara kwa mgonjwa na wakati mwingine kusababisha kifo badala ya kuponya.

Muundo wa Koo
Ili tuweze kujadili vizuri ugonjwa huu, ni vema kwanza tuangalie muundo wa koo. Koo ni sehemu mojawapo ya mfumo wa chakula likiwa na urefu wa takribani sentimita 25 kuanzia mdomoni mpaka kwenye mfuko wa tumbo yaani stomach.

Ukuta wa koo unajengwa na tando (layers). Tando hizi zimetengenezwa kwa aina tofauti ya chembe hai au seli ambazo kila moja ina kazi zake maalum. Sehemu ya ndani kabisa ya ukuta wa koo huitwa mucosa ambayo hufanya kazi ya kulowanisha chakula ili kiweze kupita vizuri kuelekea kwenye mfuko wa chakula.

Chini ya utando huu, kuna utando mwingine unaoitwa submucosa ambao umejaa tezi zenye kuzalisha ute unaoitwa mucus ulio na kazi ya kulainisha koo na kulifanya liwe na hali ya umajimaji muda wote. Utando wa tatu unajulikana k**a muscle layer. Utando huu umejaa misuli inayosaidia koo kusukuma chakula kuelekea tumboni. Utando wa juu kabisa unaolizunguka koo huitwa outer layer ambao una kazi ya kulinda koo kwa ujumla.

AINA ZA SARATANI YA KOO
Kuna aina kuu mbili za kansa ya koo, nazo ni Adenocarcinoma na squamous cell carcinoma. Aina hizi hutofautiana kulingana na jinsi seli zake zinavyoonekana kwenye darubini. Hata hivyo, pamoja na tofauti hizi za kimuonekano, utambuzi na matibabu ya aina hizi za saratani ya koo hufanana.

Aina zote hizi mbili huanza kwanza kuathiri seli zilizo katika utando wa ndani wa ukuta wa koo yaani mucosa kabla ya kusambaa maeneo mengine.

VIHATARISHI VYA KANSA YA KOO
Ingawa chanzo halisi cha kansa ya koo hakijulikani, mambo yafuatayo yanaweza kusababisha mtu kupata saratani ya koo. Hata hivyo, pamoja na kuwepo vihatarishi hivi, ni vigumu kueleza kwa ufasaha kwa nini mtu au watu fulani wanaweza kupatwa na kansa ya koo na mtu mwingine asipate. Vihatarishi hivi ni

Umri: Hatari ya kupata saratani ya koo huongezeka zaidi kwa watu walio na umri wa miaka 65 na kuendelea. Hata hivyo saratani ya koo aina ya adenocarcinoma inaweza kutokea hata kwa wanawake walio na umri kuanzia miaka 40 na kuendelea.
Jinsia: Tafiti nyingi zimeonesha kuwa wanaume wana uwezekano wa kupata saratani ya koo mara tatu zaidi ya wanawake.
Uvutaji sigara: Wavutaji sigara wapo katika hatari ya kupata saratani ya koo ukilinganisha na wasio wavutaji.

Unywaji pombe wa kupindukia.
Unywaji wa pombe kwa kiasi cha chupa tatu na zaidi kwa siku unamuweka mnywaji katika hatari ya kupata saratani ya koo ikilinganishwa na mtu asiyekunywa kabisa pombe. Aidha wanywaji wa kupindukia ambao pia ni wavutaji sigara wana hatari kubwa zaidi ya kupata saratani ya koo ikilinganishwa na wanywaji wa pombe wasio wavutaji sigara. Kwa maneno mengine, unywaji pombe pamoja na uvutaji sigara hufanya kazi kwa pamoja kuongeza uwezekano wa mtu kupata saratani ya koo.
Lishe: Kuna mjadala kuhusu mchango wa aina fulani za vyakula katika kusababisha saratani ya koo. Wakati watafiti wengine wanasema ulaji wa matunda na mboga mboga husaidia kupunguza uwezekano wa kupata saratani ya koo, watafiti wengine wanapinga kuhusu suala hilo.

UNENE KUPITILIZA : Unene wa kupitiliza huongeza uwezekano wa kupata saratani ya koo aina ya adenocarcinoma.
Matatizo ya tumbo: Matatizo sugu katika tumbo yanayosababisha tindikali kurudi kwenye koo (acid reflux) kutoka tumboni husababisha madhara katika seli za koo na hatimaye kupelekea saratani ya koo kwa baadhi ya watu.
Tatizo sugu la kucheua kwa tindikali: Iwapo tatizo la tindikali kucheuliwa kwenye koo litaendelea kwa muda mrefu mpaka kuwa sugu, sehemu ya chini ya koo yaweza kuathiriwa na kusababisha hali ijulikanayo kitaalamu k**a Barrett esophagus. Hali hii huongeza uwezekano wa kutokea kwa saratani ya koo.

DALILI ZA SARATANI YA KOO
Mgonjwa mwenye saratani ya koo katika hatua za awali anaweza asioneshe dalili zozote zile. Hata hivyo, kadiri saratani inavyozidi kukua na kuenea, mgonjwa anaweza kuwa na dalili zifuatazo:

Chakula kukwama kwenye koo
Siku za mwanzo mgonjwa anaweza kushindwa kumeza chakula kigumu kisha cha majimaji na baadaye akashindwa kumeza hata mate
Maumivu wakati wa kumeza chakula hasa chakula kigumu
Maumivu kwenye kifua au mgongoni
Kupungua uzito
Kiungulia
Sauti ya mkwaruzo au kikohozi kikavu cha zaidi ya wiki mbili
Hata hivyo ifahamike kuwa dalili hizi zinaweza kutokea pia kwa baadhi ya magonjwa mengine tofauti na saratani ya koo. Hivyo ni vizuri kuanza tiba mapema kutibu tatizo
Kwa maelezo zaidi

Address

Dar Es Salaam

Telephone

+255755466196

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when KAP Health Clinic posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram