Ushauri na Tiba

Ushauri na Tiba Huduma za afya

JE? WAJUA KUWA MOYO MPANA UNATIBIKA?FAHAMU MZUNGUKO WA DAMU NA CHANGAMOTO ZAKE 👉🏻GANZI👉🏻PRESHA👉🏻SARATANI👉🏻KIHARUSI👉🏻KISU...
25/09/2023

JE? WAJUA KUWA MOYO MPANA UNATIBIKA?

FAHAMU MZUNGUKO WA DAMU NA CHANGAMOTO ZAKE
👉🏻GANZI
👉🏻PRESHA
👉🏻SARATANI
👉🏻KIHARUSI
👉🏻KISUKARI
👉🏻FIGO KUFELI
👉🏻NGUVU ZAKIUME

👉🏻MOYO🫀
✍🏻MOYO nikiungo kinacho sukuma damu mwilini kupitia mishipa ya damu mwilini.

✍🏻MISHIPA YA DAMU (BLOOD VESSELS) ni mirija maalumu ambayo inasambaza damu sehmu zote za mwili

✍🏻DAMU ni kimiminika chenye rangi nyekundu kInachopita kwenye mishipa ya damu. kazi yake nikubeba hewa ya oxygen,chakula,virutubisho, hormones nk nakupeleka sehemu ambako mwili unahitaji

✍🏻MOYO KUPANUKA Ni hali inayosababishwa na ukinzani wa moyo jinsi unavyotoa na kuingiza damu katika mishipa ya moyo na kuelekea sehemu mbalimbali za mwili.

✍🏻 Moyo kupanuka kutokana na kutokana na mazingira ya kusukuma damu kwa nguvu ya ziada tofauti na kawaida, hivyo kusababisha misuli ya moyo kutanuka.

✍🏻Moyo ukiwa mpana hadi uwezo wake wa kusukuma damu unashuka hadi kupelekea kushindwa kabisa kusukuma damu na kupelekea damu safi na chafu huchanganyika

SULUISHO TUNALO
✍🏻tunasuluhisho lachangamoto yako kwenye mfumo wadamu ambalo litaondoa changamoto zote hizo zinatalulika kwamsaada
sm:+255767509843

KISUKARI KINATIBIKA Ni Mshauri na Mtaalam Wa Masuala ya Afya.0767509843KISUKARI ni Nini?¶ Hili linalojulikana kitaalamu ...
11/09/2023

KISUKARI KINATIBIKA
Ni Mshauri na Mtaalam Wa Masuala ya Afya.
0767509843
KISUKARI ni Nini?
¶ Hili linalojulikana kitaalamu k**a Diabetes Mellitus ambalo hutokana na tatizo la kiwango cha sukari kuwa juu katika damu tofauti na hali ya kawaida ya mwanadamu.
KISUKARI husababishwa na nini?
¶Katika mwili wa binadamu kuna kiungo kiitwacho kongosho ambacho kazi yake ni kutengeneza insulin ambayo kazi yake ni kuibadilisha sukari kuwa katika hali ya matumizi ya mwili.
Sasa kongosho ikishindwa kufanya kazi hiyo, basi sukari haimeng'wenyi na kusababisha kukaa katika damu, kuziba baadhi ya mishipa nk.
NOTE: Sasa k**a Sukari ikizidi mfano kwenye chakula, sukari huchukuliwa na kuhifadhiwa katika Ini k**a mafuta k**a akiba itakayofaa wakati inapohitajika wakati ambao mtu ana njaa na hajala, mafuta hutolewa na kuibadilisha kuwa sukari inayoipa mwili nguvu.
DALILI ZA UGONJWA WA KISUKARI.
Baadhi ya dalili za KISUKARI ni pamoja na;
¶ kupata kiu kikali Mara kwa mara.
¶Uchovu mwingi wa mwili.
¶Mwili kudhoofika kukonda.
¶Kusikia njaa kila wakati na Kula sana.
¶Kupata HAJA ndogo mara kwa mara na watoto wadogo hukojoa kitandani.
¶Kuwashwa.
¶Matatizo ya macho kutokuona vizuri.
¶Ganzi.
¶Wanawake kuwashwa katika maumbile yake.
¶Wanaume kukosa nguvu za kiume na wakati mwingine kukosa hamu ya Tendo la ndoa.
¶Kuchelewa kupona vidonda au majeraha katika mwili.
Nk.
KISUKARI kina madhara gani?.
¶ Ngozi haiponi haraka inapopata majeraha.
¶ Kutokuona vizuri, wakati mwingine kuwa kipofu kabisa.
¶Kuumwa mifupa(ganzi,maumivu,udhaifu katika mifupa).
¶Kupoteza kumbukumbu.
¶ Magonjwa ya moyo.
¶Kiharusi.
¶Magonjwa ya Fungus.
¶Magonjwa ya Fizi.
¶Kufa kwa never za fahamu.
NK.
JE,KISUKARI HUTIBIKA?
Kwa maelekezo ya wataalamu wengi husema Kisukari hakitibiki lakini kiuhalisia zipo tiba kwa ajili ya Kongosho, Kinga ya Mwili na Mfumo wa Damu kwa Sukari ambayo tayari inashambulia Mfumo wa Mzunguko wa Damu,
Hivyo Mgonjwa atakapoanza kutumia baada muda mtu huweza kupona.
Zipo bidhaa zakutibu naukapona kabisa
tuwasiliane 0767509843

30/08/2023

Huduma za afya na uchumi

Address

Kimara Stop Over
Dar Es Salaam
123456

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Ushauri na Tiba posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram