Datty health care

Datty health care karibu kutatuwa changamoto za kiafya kupitia virutubisho Tiba

01/09/2025
🌟 OFA KABAMBE YA UPIMAJI MWILI MZIMA 🌟Kwa gharama nafuu ya Tsh 30,000 tu!👉 Je, umekuwa ukihangaika na changamoto za kiaf...
19/08/2025

🌟 OFA KABAMBE YA UPIMAJI MWILI MZIMA 🌟
Kwa gharama nafuu ya Tsh 30,000 tu!
👉 Je, umekuwa ukihangaika na changamoto za kiafya bila kupata suluhisho la kudumu?
👉 Unahitaji kuhudumiwa kwa haraka na kwa uhakika?
Habari njema!
Katika kituo chetu cha afya Datty Healthcare, tunakupatia huduma ya upimaji mwili mzima ikiwemo:
✔ Mifupa na misuli
✔ Mfumo wa mmeng’enyo
✔ Afya ya uzazi (wanaume & wanawake)
✔ Mfumo wa fahamu
✔ Ngozi na upumuaji
✔ Macho, masikio
✔ Presha, ini, figo, tezi dume
✔ Saratani & vidonda vya tumbo
…na mengine mengi 🩺
💡 Faida unazopata:
✅ Utambuzi wa mapema wa maradhi
✅ Huduma za haraka na za kitaalamu
✅ Matibabu yenye uhakika kwa magonjwa sugu k**a kisukari, presha, bawasiri, pumu, matatizo ya uzazi na mengine.
📍 Tupo Dar es Salaam (huduma zinapatikana pia mikoani)
📞 Piga sasa: +255 767 642 440
✨ Afya yako ni urithi wako – chukua hatua leo! ✨

🌸 Je, ndoto yako ya kuwa mzazi imechelewa kutimia? 🌸Kila mwezi unasubiri kwa matumaini, lakini matokeo hayabadiliki… 😔Ha...
16/08/2025

🌸 Je, ndoto yako ya kuwa mzazi imechelewa kutimia? 🌸
Kila mwezi unasubiri kwa matumaini, lakini matokeo hayabadiliki… 😔

Habari njema 👉 tatizo la uzazi linaweza kutibika!
✔ Vipimo vya kitaalamu vya kisasa
✔ Ushauri wa moja kwa moja na daktari bingwa
✔ Suluhisho maalum kwa wanandoa wenye changamoto za kupata mtoto

✨ Kila hadithi ya mtoto inaanza na hatua moja ya ujasiri. ✨

📍 Tembelea kituo chetu cha afya Datty Healthcare, Posta – Dar es Salaam
📞 Piga: +255 767 642 440 – msaada wako unaanza leo.


🌸 UNATAFUTA MTOTO BILA MAFANIKIO? 🌸Habari njema kwa kina mama!K**a umekuwa ukipitia changamoto ya kushika mimba kwa muda...
16/08/2025

🌸 UNATAFUTA MTOTO BILA MAFANIKIO? 🌸
Habari njema kwa kina mama!
K**a umekuwa ukipitia changamoto ya kushika mimba kwa muda mrefu, sasa unaweza kujaribu njia rahisi na salama ya asili inayosaidia kusafisha kizazi na kuongeza nafasi ya kupata mtoto.
✅ Matumizi ya matembele na majani ya viazi lishe (viazi vitamu)
✅ Inasaidia afya ya kizazi na kuimarisha mfumo wa uzazi
✅ Inatolewa na wataalamu wenye uzoefu
📍 Tembelea kituo chetu cha afya Datty Healthcare, Posta – Dar es Salaam
📞 Piga: +255 767 642 440 kwa maelezo zaidi
Tunaamini kila mama ana haki ya furaha ya uzazi! ❤️


UMETAFUTA MTOTO MUDA MREFU UMEKOSA? TUMIA NJIA HII👇🏽👇🏽👇🏽Kinamama Wamekuwa Wakikabiliwa Na Shida Nyingi Katika Maisha Yao...
29/07/2025

UMETAFUTA MTOTO MUDA MREFU UMEKOSA? TUMIA NJIA HII
👇🏽
👇🏽👇🏽

Kinamama Wamekuwa Wakikabiliwa Na Shida Nyingi Katika Maisha Yao Ya Kila Siku Ikiwamo Ya Uzazi. Wanapokabiliwa Na Changamoto Hiyo Wanakuwa Tayari Kufanya Lolote Wanaloambiwa Na Wataalamu Wa Masuala Ya Afya Iwe Wale Wa Tiba Asilia Au Za Kisasa Ambalo Litawawezesha Kushika Ujauzito.

Wakati Wa Mahangaiko Hayo Ya Kutafuta Mimba Kuna Wakati Wanajikuta Wana Dalili Zote Za Ujauzito K**a Kujaa Maziwa Au Kujisikia Kichefuchefu Lakini Wanapokwenda Kupimwa Huambiwa Hawana Mimba. Hii Humuumiza Sana Yule Ambaye Alikua Na Mategemeo Fulani Tena Hasa K**a Ametafuta Muda Mrefu

Majibu Hayo Huwachanganya Wengi Na Wengine Hupelekea Kupoteza Ndoa Zao, Naami Wewe Unaesoma Hapa K**a Haijawahi Kukukta Basi Unaweza Usielewe Hii Hali

Habari Njema Kwa Kinamama Wanaotafuta Uzazi Wazingatie Hili Wanaweza Kuondokana Na Tatizo Lao La Kutafuta Mtoto Na Hivyo Kufurahia Maisha Yao Ya Ndoa Na Watoto Wao.

Sasa Basi Chukua Matembele Changanya Na Majani Yaliyokomaa Ya Viazi Lishe (Wengine Husemea Viazi Vitamu) , Yaoshe Vizuri Na Yaanike Kivulini. Yakisha Kauka Yasage Unga Wake Tengeneza Uji Changanya Na Ufuta Na Mtama Ama K**A Ukikosa Tumia Kimoja Wapo.

Kunywa Bakuli Mbili Kwa Siku Kwa Maana Ya Moja Asubuhi Kabla Ya Kula Chochote Na Nyingine Jioni Napo Usile Chochote. K**a Chakula Kula Mchana. Hii Nzuri Sana, Ina Safisha Kizazi Na Kumfanya Mama Aweze Kubeba Mimba Kwa Urahisi.

Tumia Dozi Hii Kati Ya Siku 30 Hadi 46. Kumbuka Unaweza Kuchanganya Ufuta Na Mtama Na Kusaga Pamoja Unga Utakaotumika Kuandaa Uji Kwa Ajili Ya Kutakasa Kizazi.

Pia Ponda Mchanganyiko Sawa Wa Majani Ya Viazi Lishe Na Matembele Yakiwa Mabichi Mwanamke Aliyeongezwa Njia Ya Uzazi Ayabandike Sehemu Zake Za Siri K**a Anavyofanya Wakati Wa Hedhi Yanasaidia Kuponyesha Haraka Jeraha Husika.

Ikiwa Una Tatizo Lolote La Kiafya, Karibu Katika Kituo Chetu Cha Kutolea Huduma Za Afya Kariakoo , Dar Es Salaam. Tunajali Mgonjwa Wa Aina Yoyote,

Pia Unaweza Kunipigia Kwa +255 767 642 440 Iwapo Unataka Ufafanuzi Wa Jambo Au Namna Ya Kufika Katika Kituo Chetu.

Karibu tukuhudumie
11/12/2023

Karibu tukuhudumie

Anza mwaka ukiwa na AFYA NJEMA🧖
24/11/2023

Anza mwaka ukiwa na AFYA NJEMA🧖

NANI MWINGINE ANGEPENDA KUJIPATIA  OFA YA  UPIMAJI MWILI MZIMA NA KUHUDUMIWA KWA HARAKA..K**a una changamoto  yeyote ya ...
04/10/2023

NANI MWINGINE ANGEPENDA KUJIPATIA OFA YA UPIMAJI MWILI MZIMA NA KUHUDUMIWA KWA HARAKA..

K**a una changamoto yeyote ya kiafya, unahitaji kupata suluhisho la uhakika na kuhudumiwa kwa haraka.

Inawezekana umepoteza muda mwingi na fedha nyingi kutatua tatizo hilo lakini hakuna matokeo chanya uliyopata mpaka sasa.

K**a unatafuta sehemu inayotoa uhakika wa matibabu na kukuhudumia kwa haraka.

Fika Katika kituo cha afya cha GCAT HEALTH CARE,
Tuna huduma ya upimaji mwili mzima kwa sh 20,000 tu na kuhudumiwa kwa haraka!

Utafanyiwa Upimaji Katika Mifumo Yote Ya Mwili Katika:
✳Mifupa.
✳Mmeng'enyo wa chakula.
✳Uzazi kwa kina mama.
✳Uzazi kwa kina baba.
✳Fahamu.
✳Ngozi.
✳Upumuaji.
✳Macho.
✳Masikio.
✳️vidonda vya tumbo.
✳️kansa ainazote
✳️Ini .
✳️presha .
✳️Tezi Dume.
✳️Bawasiri.
✳️mifupa, misuli na pingili
Pia matibabu na tiba za magonjwa na maradhi mbalimbali zinapatikana k**a Kisukari, Saratani, Presha, Bawasiri, Vidonda vya tumbo, Tezi dume, Ngiri, Moyo kutanuka, Matatizo ya kibofu na mkojo, Maumivu makali ya nyonga, miguu, mgongo, mifupa, Miguu kuwaka moto na kuvimba, Uvimbe, Aleji, Bandama, Pumu, Matatizo ya kupooza ,Uzazi, Figo, Macho, Meno, Homa ya ini. Uzito na Unene.

Zipo shuhuda nyingi kutoka kwa watu mbalimbali ambao waliteseka kwa muda mrefu wameweza kupona na kupata nafuu baada ya mateso ya muda mrefu kutokana na magonjwa na maradhi yaliyokuwa yanawasumbua.

▪ Hebu fikiria unapata suluhisho la uhakika la tatizo lako baada ya mateso ya muda mrefu.

▪ Hebu fikiria ile furaha utakayokuwa nayo baada ya kugundua umepona.

▪ Utaweza kuokoa fedha zako kwa kupata matibabu ya uhakika na kuhudumiwa kwa haraka.

▪ Utaondokana na maumivu ya tatizo hilo kwa kupata suluhisho la uhakika la tatizo hilo.

Tupo Dar-es-Salaam, Na mikoani pia

Tafadhali wasiliana nasi kwa namba ya simu:+255767642440

P.S Thamani ya kipimo hiki ni sh 50,000 Lakini Lakini ndani ya mwezi huu utaipata kwa Ofa ya sh 20,000 Tu!

Address

Posta
Dar Es Salaam

Telephone

+255767642440

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Datty health care posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram