AFYA ni Utajiri

AFYA ni Utajiri TUNASADIA WATU KUPAMBANA NA CHANGAMOTO ZA AFYA ZA AINA ZOTE KWA KUTUMIA VIRUTUBISHO LISHE.

YES, Inawezekana... K**a kwako huoni uwezekano nina suluhisho lako.. Njoo WhatsApp 0684368585, ama nipigie 0657474100.
20/03/2025

YES, Inawezekana...

K**a kwako huoni uwezekano nina suluhisho lako..

Njoo WhatsApp 0684368585, ama nipigie 0657474100.

⚠ *USIPUUZE HILI – VIDONDA VYA TUMBO VINAWEZA KUKULEMAZA!* ⚠Maumivu makali, kiungulia, gesi, kichefuchefu… Umechoka na m...
12/03/2025

⚠ *USIPUUZE HILI – VIDONDA VYA TUMBO VINAWEZA KUKULEMAZA!* ⚠

Maumivu makali, kiungulia, gesi, kichefuchefu… Umechoka na mateso ya vidonda vya tumbo? Umejaribu dawa nyingi bila mafanikio? *Sasa umefika mwisho wa mateso yako!*

*SULUHISHO LA KUDUMU: "ULCERS FREE PACK"*

✅ Inaondoa bakteria hatari H. Pylori
✅ Inaponya vidonda vya tumbo haraka
✅ Hupunguza gesi na kiungulia mara moja
✅ Haina madhara k**a dawa za hospitali

⏳ *Matokeo ya haraka:*
✔ Dakika 30 – 1 Saa: Maumivu na kiungulia hupungua
✔ Siku 7 – 14: Maumivu makali yanaisha
✔ Siku 90: Vidonda vya tumbo vinapona kabisa!

*OFA MAALUMU LEO!*

💰 Bei ya kawaida: 600,000 TZS
🔥 *Sasa ni 280,000 TZS tu!*
🚚 FREE DELIVERY ndani ya Tanzania!

🔴 *USIKUBALI VIDONDA VYA TUMBO VIHARIBU MAISHA YAKO!*
👉 TUMA *NAHITAJI* Kwenda *WhatsApp No. 0684368585* Kutoa ODA, kuagiza suluhisho lako sasa!

🔹 Habari Rafiki! 🔹K**a ulihifadhi namba 0657474100 na ulikuwa ukifurahia kuona status zangu, basi nina habari mpya kwako...
12/03/2025

🔹 Habari Rafiki! 🔹

K**a ulihifadhi namba 0657474100 na ulikuwa ukifurahia kuona status zangu, basi nina habari mpya kwako! 📢

Sasa napatikana kwa namba hii mpya:
📲 0684368585

Usikose kufurahia maudhui bora, fursa nzuri, na mambo yanayoweza kukufaa! 🎯

👉 Hifadhi hii namba sasa na nitumie "Hi!" ili tuendelee kuwasiliana bila kukosa! ✅

Nitafurahi kuona jina lako tena kwenye simu yangu! 😃

Unataka kupunguza kilo ngapi?? Upo tayari kuwekeza kiasi gani.Karibu tuongee upate unachostahili
02/01/2025

Unataka kupunguza kilo ngapi?? Upo tayari kuwekeza kiasi gani.

Karibu tuongee upate unachostahili

Wewe ndiye unayefuata kipenzi...Tumbo lako likajazwe Neema.. ukaitwe mama ukaitwa Baba ukaitwe Mzazi. **amama
30/12/2024

Wewe ndiye unayefuata kipenzi...

Tumbo lako likajazwe Neema.. ukaitwe mama ukaitwa Baba ukaitwe Mzazi.
**amama




Tatizo hutatuliwa kwa kuondoa chanzo chake.. njoo tuondoe uvimbe kuanzia kwenye chanzo chake.
29/12/2024

Tatizo hutatuliwa kwa kuondoa chanzo chake.. njoo tuondoe uvimbe kuanzia kwenye chanzo chake.



Nitafute kwa sababu nina suluhisho la tatizo lako la UHAKIKA na NAFUU SANA na kwa muda mfupi sana..Haijalishi umekaa na ...
19/11/2024

Nitafute kwa sababu nina suluhisho la tatizo lako la UHAKIKA na NAFUU SANA na kwa muda mfupi sana..

Haijalishi umekaa na tatizo kwa muda wa miaka miganpi, 3, 5, 10, 20 au 30?

Ndani ya siku 90 tu utashuhudia makuu ya Mungu akitenda uumbaji wake Mwilini mwako.

Una amini?? COMMENT "AMEN".

NITAFUTE TUONGEE

Hidden trigger of DIABETES!!Unaweza kuachana na hayo mateso... karibu tuondoe chanzo chake.
23/10/2024

Hidden trigger of DIABETES!!

Unaweza kuachana na hayo mateso... karibu tuondoe chanzo chake.

Ujumbe Muhimu kwa UNAYESUMBULIWA NA KISUKARIWatu wengi wamekuwa wakihangaika na Changamoto ya Kuongezeka kwa sukari kwen...
21/10/2024

Ujumbe Muhimu kwa UNAYESUMBULIWA NA KISUKARI

Watu wengi wamekuwa wakihangaika na Changamoto ya Kuongezeka kwa sukari kwenye damu, kusikia kiu, maumivu ya kichwa, na kushtuka mara kwa mara usiku. maumivu ya miguu, kuchoma na kuungua Kukojoa Mara kwa Mara Maumivu ya mwili, uchovu, na kujisikia vibaya

Wamejaribu Kutumia Njia Mbali mbali k**a kumeza Madawa bila Mafanikio.

Bila Kujua Siri ipo kwenye Lishe watakayotumia ndo Tiba ya Kudumu kwenye Changamoto Yao.

Kwa jina naitwa Amida Makubui

Ninawasaidia Mtu Unayesumbuliwa na Kisukari kutatua Changamoto ya Kuongezeka kwa sukari kwenye damu, kusikia kiu, maumivu ya kichwa, na kushtuka mara kwa mara usiku. maumivu ya miguu, kuchoma na kuungua, Kukojoa wa Mara kwa Mara Maumivu ya mwili, uchovu, na kujisikia vibaya bila ya kujirudia rudia na kutumia madawa ya kemikali Sumu katika maisha yote uliyobakiza hapa diniani kwa kupitia Virutubisho Lishe Maalum kwa ajili ya kutatua changamoto ya sukari mwilini ndani ya muda mfupi sana.

Nataka kuandaa darasa la bure kwa ajili yako la namna ya kutatua changamoto zote zinazosabaishwa na ongezeko la sukari k**a nilivyoorodhesha hapo juu.

K**a utapenda kuhudhuria darasa hilo naomba Bofya whatsApp button hapa chini ili kupata nafasi ya kujiunga na darasa.

kisha nitawasiliana na wewe ili kuelewa vizuri kuhusu changamoto uliyokuwa nayo nipate kukuandalia wewe pamoja na wenzako darasa BURE kabisa kupitia group la watsApp.

bofya WhatsApp button hapa chini mara moja kabla ya group letu kujaa.

Ni mimi mwenye kujali mafanikio yako,

AMIDA MAKUBUI

Mkurugenzi, Bil_Afya.

UNAAMINI KUWA UNAWEZA KUPONA NA KUISHI BILA KISUKARI?? HII NI YAKO!!KISUKARI ni tatizo linalo kera na kutishia amani si ...
21/10/2024

UNAAMINI KUWA UNAWEZA KUPONA NA KUISHI BILA KISUKARI?? HII NI YAKO!!

KISUKARI ni tatizo linalo kera na kutishia amani si tu kwa watu wasio na kisukari bali pia Kwa walio athirika na ugonjwa huu,

Kwa sababu kwa miaka mingi tumekuwa tukiaminishwa kuwa ugonjwa wa kisukari hauponi bali ni kuchagua kuishi nao na kuanza kujiandaa kufa na Kisukari.

Hali hii imetesa mamilioni ya watu hasa wale walio athirika na ugonjwa huu na kuwakosesha amani na kushindwa kabisa kufurahia maisha hapa duniani tena kwa miongo na miongo.

Unajikuta ukipoteza muda na fedha nyingi katika kuhangaika kutafuta tiba ya kudumu ya kuondoa tatizo lako.

Umejaribu kununua bidhaa mbalimbali zinazosemekana kutibu matatizo yako bila mafanikio.

Wataalam wa mtaa pia wamejaribu kuonyesha maua na miti kadhaa ambayo imesemekana kutibu Kisukari hazijafanya kazi kwako.

Kila mara unajikuta unarudi ulipotoka yaani sukari kupanda mara dufu au kukosa utulivu, mara imeshuka zaidi, mara imepanda zaidi.

Pamoja na kufuata masharti yote ya ugonjwa wa kisukari, umeacha kula vitamu vyote pamoja na sukari lakini bado ni tatizo kwako limekosa suluhisho na linakutesa sana.

Umekuwa muhudhuriaji mzuri wa kliniki ya Sukari na kumeza dawa kwa uaminifu,

Lakini umeambulia Upofu, Ganzi, kukosa nguvu za kiume, umeanzisha na kliniki ya Pressure na kliniki ya Figo.

Nijambo la kuvunja moyo, siyo?

Kila wakati unajaribu Tiba mbadala na kila dawa ya asili unayopewa unatumia tena kwa usahihi ili janga hili liondoke kwako lakini itatulia muda mfupi nakurudi tena kwa kasi zaidi tena kuliko mwanzoni.

Inakufanya uhisi kana kwamba unazunguka katika mduara bila muelekeo.

Hii inakufanya ukose amani na kuwa na wasiwasi na hata ukate tamaa yakununua bidhaa nyingine yeyote.

Umekuwa unatamani siku moja uamke ukiwa huru na janga la kisukari, kuwa mtu ambaye hana masharti makali ya nini ale nini asile,

Unatamani siku moja uwe huru na madawa ya sukari na sindano za insulini.

Unatamani upone donda lako kwa haraka sana ili maisha yako ya utafutaji yaendelee k**a kawaida.

Unatamani kuwa huru na Kisukari na madhira yake??

Mkombozi wako nimekufikia, K**a umeona na umesoma mpaka hapa Mungu amenituma kwako leo kukuambia…

Usikate tamaa, kuna njia ya kuvunja mzunguko huu.

Pili na Fina walikuwa k**a wewe, hadi nilipokutana nao na kuwafundisha mbinu sahihi za kuondoa chanzo cha KISUKARI kwanza kabla ya kukimbilia bidhaa.

Sasa sukari zao zimeshuka na kufikia hatua za ambayo inaleta tumaini kubwa sana. Ndani ya siku 7 Fina alitoka 9 hadi 4.8 na ndani ya siku 14 sukari ya Pili ilitoka 19.9 hadi 9,

Shuhuda za hawa wawili utajionea mwenyewe ukifanya maamuzi ya kuja whatsApp

Hawa ni wachache tu kati ya watu niliyowahudumia kwenye kushusha sukari zao na waliokuwa tayari kutoa shuhuda zao..

Ningependa kukufundisha mbinu hizi kwenye Darasa langu la BURE ambalo litakuonyesha jinsi ya kuondokana na sukari na kuishi maisha huru bila mateso na Sukari lakini unapaswa kuamini kuwa INAWEZEKANA..

K**a uko tayari kwa mabadiliko haya, Bofya alama ya WhatsApp Hapa chini ili nikuunge kwenye Group kwa ajili ya kujipata elimu hii.

Kwakuwa nataka kuwa msimamizi mzuri sitakuwa na watu wengi kwenye group hiyo nahitaji watu 10 tu wenye uhitaji kweli.

Wahi nafasi ni chache sana na wahitaji ni wengi sana.

Ni mimi ninayejali afya yako,

Amida Makubui
ni Utajiri.

Address

Dar Es Salaam
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when AFYA ni Utajiri posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to AFYA ni Utajiri:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram