suruhisho BORA

suruhisho BORA KWA CHANGAMOTO YOYOTE YA MASWALA YA KIAFYA. UZAZI KWA MWANAMKE NA MWANAUME. KARIBU

0786633516

Tiba iliyobora ni kutibu tu tatizo na sio kuwa na muendelezo katika matumizi yake dawa hii imekuwa ni nguzu ya kurejesha...
21/07/2024

Tiba iliyobora ni kutibu tu tatizo na sio kuwa na muendelezo katika matumizi yake dawa hii imekuwa ni nguzu ya kurejesha furaha ya familia kwa watu wengi sana

Ni vidonge vyenye uwezo mkubwa na kasi kubwa sana ya kurejesha nguvu za kiume kwa kufanya yafuatayo.

Inaongeza uwezo wa kudumu kwenye tendo kwa mda mrefu.

Inaongeza uwingi wa mbegu.

Inaongeza hamu ya kushiriki tendo la ndoa.

Ni nzuri kwa wenye kuhitaji ume kusimama vizuri bila kulegea.

Inaongeza upana na kurefu wa maumbile ya ume wako.

Wasiliana nasi

0786633516.




Wasiliana nasi sasa kuweka afya yako sawa.0786633516.
20/07/2024

Wasiliana nasi sasa kuweka afya yako sawa.


0786633516.



Uhusiano wa matatizo ya nguvu za kiume na presha ya kupanda ni mkubwa sana. Kwa nini kuna uhusiano mkubwa? Presha ya kup...
20/07/2024

Uhusiano wa matatizo ya nguvu za kiume na presha ya kupanda ni mkubwa sana. Kwa nini kuna uhusiano mkubwa? Presha ya kupanda husababisha damu ndogo sana kutiririka ndani ya uume. Uume unatakiwa upokee damu ya kutosha tena yenye kuja kwa nguvu au kasi ili uweze kusimama vizuri na kwa uimara. Presha ya kupanda hudhuru kunyanzi za mishipa ya damu na hivyo kusababisha mishipa hiyo kukak**aa na njia yake ya kupitisha damu kuwa nyembamba zaidi (athererosclerosis). Presha ya kupanda husababisha mishipa ya ateri kushindwa kufunguka vizuri na hata kupelekea kupasuka.


Wasiliana nasi kwa huduma zaidi.


0786633516.

Wanaume wote wanpaswa kufanya uchunguzi wa saratani ya tezi dume kuanzia miaka 50. Kwa wale wenye historia katika famili...
18/07/2024

Wanaume wote wanpaswa kufanya uchunguzi wa saratani ya tezi dume kuanzia miaka 50. Kwa wale wenye historia katika familia wanapaswa kuanza wakiwa na umri wa miaka 45.

Ikiwa ukagundulika tambua kuwa una uwezo wa kuwa unao uwezo wa kujitibia tu bila ya upasuaji.

Wasiliana nami


0786633516




18/07/2024

WEZESHA AFYA KUWA BORA KWA MAISHA UNAYOISHI WEWE.

NI MIMI .
0786633516

wasiliana nasi.

dalili za mimba zinaweza kuwa na mkanganyiko kwani zinafanana na shida nyingine za kiafya. Hali hii utaigunduwa endapo u...
18/07/2024

dalili za mimba zinaweza kuwa na mkanganyiko kwani zinafanana na shida nyingine za kiafya. Hali hii utaigunduwa endapo utakuwa na dalili za mimba lakini kila ukipima hakuna mimba.

Swali:

Endapo nina dalili za mimba na nikipima sina mimba, je, tatizo ni nini?



Jibu:

Endapo una dalili za mimba lakini ukipima hakuna kitu huwenda utakuwa unasumbuliwa na moja kati ya yafuatayo:-

1. Endapo mimba ni changa sana huwenda isionekane kwenye kipimo cha mkojo

2. Endapo una maradhi ya PID unaweza kupata dalili za mimba

3. Kukosa hedhi pekee sio dalili ya mimba inaweza kuwa umekosa kwa sababu nyingine

4. k**a una shida kwenye homoni unaweza kupata dalili za mimba lakini usiwe na mimba

5. endapo una uvimbe kwenye kizazi ama shida nyingine za kwenye kizazi unaweza upate dalili za mimba lakini isiwe mimba.



Nini ufanye:

1. Subiri baada ya wiki angalau moja baada ya kupita kwa tarehe zako za hedhi kisha pima tena

Endapo tatizo likiendelea kujitokeza wasiliana nasi kwa namba
0786633516.

17/07/2024

JE INAWEZEKANA KUISHI BILA MATUMIZI YA DAWA ZA PRESHA NA KISUKARI......????

Ndio inawezekana KABISA💯 Kwani katika miili yetu muumba wetu akutuumba sisi binadamu miongoni mwetu miili yetu iishi kwa matumizi ya dawa. Ni vyema kufata kanuni na taratibu za kujitibu bila ya kufata matumizi Kila siku ya dawa Kwani changamoto nyingine kuanzia katika kuuzoesha mwili wako matumizi ya dawa zenye sumu Kila siku.

Njia 7 za Kudhibiti Presha na Kisukari.

Mtindo wa maisha una jukumu muhimu katika kutibu shinikizo la damu. Hapa kuna mabadiliko kadhaa ya mtindo wa maisha unayoweza kufanya ili kupunguza shinikizo la damu na kuiweka chini.

1:Punguza pauni za ziada na kudumisha Uzito wa Kiafya:
Shinikizo la damu linahusiana na viwango vya juu vya fetma. Mtu mzito mara nyingi hupata shida kudhibiti mahitaji mbalimbali ya afya ya mwili. Pia, unene huweka shinikizo kubwa kwa moyo kusambaza damu kwenye sehemu mbalimbali za mwili, mara nyingi husababisha matatizo ya kupumua, kukosa usingizi, na shinikizo la damu kupita kiasi.

2:Zoezi la kawaida:
Mazoezi ya mara kwa mara na mazoezi makali husaidia kudumisha kubadilika kwa mwili. Vipindi vya Workout hutoa kimetaboliki kubwa na kuwezesha utendaji mzuri wa viungo tofauti vya mwili. Pia, jaribu baadhi ya mazoezi k**a vile kuruka, kurukaruka, kuendesha baiskeli, kukimbia, kuruka, na ambayo yanalenga kupunguza kwa kiasi kikubwa viwango vya shinikizo la damu.

3:Punguza Kiasi cha Unywaji wa Pombe:
Unywaji wa pombe kwa kiasi kikubwa utakufanya uwe katika hatari zaidi ya shinikizo la damu. Njia bora ni kupunguza matumizi ya sawa wakati unajaribu kujiondoa. Mwili wako utazoea kupunguzwa kwa kawaida.

4:Punguza Mkazo Wako:
Mkazo usio wa lazima ni kufanya madhara zaidi kuliko mema. Epuka mafadhaiko kupitia kutafakari na yoga.

Shinikizo la damu ni muuaji wa kimya ambaye anaweza kuathiri ubora wa maisha. Dumisha maisha ya afya ili kuishi maisha ya furaha.

https://wa.me/message/RH7RAUQEMATKH1

Wasiliana nami

Doctor wako kutoka suruhisho_bora❤️

0786633516.

17/07/2024

TEZI_DUME.
Saratani ya tezi dume maana yake ni tezi dume imepata ugonjwa wa saratani..Na hii hutokea pale ambapo chembechembe hai za tezi huasi na kuanza kujigawanya bila kufuata utaratibu wa mfumo wa mwili, chembechembe asi hizi mwishowe hutengeneza vivimbe hatari ndani ya tezi dume na hatimaye husambaa mwilini.

Wasiliana nasi.
0786633516.

Ugonjwa wa kisukari huleta madhara mwilini kwa kuathiri  mishipa ya fahamu, mishipa ya damu na kupunguza kinga ya mwili ...
17/07/2024

Ugonjwa wa kisukari huleta madhara mwilini kwa kuathiri mishipa ya fahamu, mishipa ya damu na kupunguza kinga ya mwili dhidi ya magonjwa.

1. Kwanza huaribu mishipa ya fahamu na hivyo hutoweza kuhisi. Kwa kuharibu mishipa ya fahamu husababisha sehemu zinazotegemea mishipa hii kutokufanya kazi kwa ufasaha.

Kwa mfano, upungufu / kosefu wa hisia miguuni husababisha mwenye kisukari kutokufahamu k**a mguu umekandamizwa k**a kubanwa na kiatu na hivyo kupelekea vidonda.

Vile vile kupungua ufanisi wa kazi za mishipa ya fahamu kwenye mishipa ya damu husababisha wangonjwa wa kisukari kupata matatizo ya presha kushuka na upungufu wa nguvu za kiume.

2. Kisukari pia huaribu mishipa ya damu na -k**a tulivyoona- kusababisha hali inayoitwa artherosclerosis. Hatimaye mishipa ya damu huziba haswa ile ya pembeni ya mwili k**a vile miguu.

Kukosekana kwa damu maana yake sehemu husika hukosa chakula, hewa safi na kinga. Hivyo sehemu hiyo hufa na k**a utapata maambukizi hutapona kwa urahisi. Mara nyingi hii imekuwa sababu kubwa ya wagonjwa wa kisukari kukatwa miguu.

3. Njia ya tatu, sukari huathiri kinga ya mwili kwa kuharibu na kupunguza muda wa kuishi wa seli zinazopambana na magonjwa. Hali hii husababisha mgonjwa wa kisukari kuwa katika hatari ya kupata magonjwa hasa ya kuambukiza kwa urahisi na kushindwa kutibika kwa wakati.

Kwa maoni na ushauri wasiliana nasi.
0786633516.
https://wa.me/message/RH7RAUQEMATKH1

Vidonda vya kisukari vimekuwa sababu inayoongoza kwa kusababisha ulemavu miongoni mwa wagonjwa wa kisukari.Vidonda vya k...
17/07/2024

Vidonda vya kisukari vimekuwa sababu inayoongoza kwa kusababisha ulemavu miongoni mwa wagonjwa wa kisukari.

Vidonda vya kisukari huondosha furaha, amani na hupunguza ubora wa maisha ya wagonjwa wengi wa kisukari. Zaidi ya 15% ya wagonjwa wa kisukari hupata vidonda miguuni au mikononi.

JE UNGEPENDA TUKUSAIDIE KUDHIBITI SUKARI YAKO.....????.

WASILIANA NASI.
0786633516.
https://wa.me/message/RH7RAUQEMATKH1

Njia 7 za Kudhibiti PreshaMtindo wa maisha una jukumu muhimu katika kutibu shinikizo la damu. Hapa kuna mabadiliko kadha...
17/07/2024

Njia 7 za Kudhibiti Presha

Mtindo wa maisha una jukumu muhimu katika kutibu shinikizo la damu. Hapa kuna mabadiliko kadhaa ya mtindo wa maisha unayoweza kufanya ili kupunguza shinikizo la damu na kuiweka chini.

1:Punguza pauni za ziada na kudumisha Uzito wa Kiafya:
Shinikizo la damu linahusiana na viwango vya juu vya fetma. Mtu mzito mara nyingi hupata shida kudhibiti mahitaji mbalimbali ya afya ya mwili. Pia, unene huweka shinikizo kubwa kwa moyo kusambaza damu kwenye sehemu mbalimbali za mwili, mara nyingi husababisha matatizo ya kupumua, kukosa usingizi, na shinikizo la damu kupita kiasi.

2:Zoezi la kawaida:
Mazoezi ya mara kwa mara na mazoezi makali husaidia kudumisha kubadilika kwa mwili. Vipindi vya Workout hutoa kimetaboliki kubwa na kuwezesha utendaji mzuri wa viungo tofauti vya mwili. Pia, jaribu baadhi ya mazoezi k**a vile kuruka, kurukaruka, kuendesha baiskeli, kukimbia, kuruka, na ambayo yanalenga kupunguza kwa kiasi kikubwa viwango vya shinikizo la damu.

3:Punguza Kiasi cha Unywaji wa Pombe:
Unywaji wa pombe kwa kiasi kikubwa utakufanya uwe katika hatari zaidi ya shinikizo la damu. Njia bora ni kupunguza matumizi ya sawa wakati unajaribu kujiondoa. Mwili wako utazoea kupunguzwa kwa kawaida.

4:Punguza Mkazo Wako:
Mkazo usio wa lazima ni kufanya madhara zaidi kuliko mema. Epuka mafadhaiko kupitia kutafakari na yoga.

Shinikizo la damu ni muuaji wa kimya ambaye anaweza kuathiri ubora wa maisha. Dumisha maisha ya afya ili kuishi maisha ya furaha.

Ushauri Zaidi.

Wasiliana nasi:0786633516.
https://wa.me/message/RH7RAUQEMATKH1

Kabla ya yote unapopatwa na tatizo hili kwa muda mrefu ni vizuri ukaonana na daktari uweze kupata uchunguzi wa kutosha k...
17/07/2024

Kabla ya yote unapopatwa na tatizo hili kwa muda mrefu ni vizuri ukaonana na daktari uweze kupata uchunguzi wa kutosha kubaini nini hasa inaweza kuwa ndiyo sababu hasa ya tatizo kwa upande wako. Pia hospital unaweza kupewa vidonge vya uzazi ili kurekebisha hedhi yako.

Ila pia unaweza kutumia vyakula Vifuatavyo k**a njia mbadala ya kurekebisha mvurugiko wa mzunguko wako wa hedhi uwapo katika mazingira yako ya nyumbani.

1:Papai.
Papai ni moja ya chakula kizuri sana katika kutibu tatizo la kuvurugika kwa hedhi. Papai Iina viinilishe muhimu k**a carotene, chuma ( iron), Kalsium (calcium),vitamini A na C ambavyo husaidia kulainisha na kunywea kirahisi kwa kuta za mji wa uzazi.

Unashauriwa kula papai kila siku, nusu papai au papai zima kutegemea na ukubwa wake au uwezo wako. Lakini pia unashauriwa kutumia papai katika mlo wako wa kila siku sio mpaka uugue.

2:Mdalasini.
Mdalasini unayo sifa ya kuondoa tatizo la damu kuganda sifa inayoweza kusaidia kuondoa tatizo la maumivu wakati wa hedhi. Mdalasini ni chanzo kizuri cha nyuzinyuzi (fibers), kalsiamu (calcium), chuma (iron) manganizi (manganese).

3.Jinsi Ya Kutumia Tangawizi Kutibu Mvurugiko Wa Mzunguko Wa Hedhi;
Tengeneza chai ya tangawizi ukitumia tangawizi mbichi, kunywa kikombe kimoja kutwa mara 3 wakati wa siku zako au siku yoyote tu k**a kinga. Kamulia ndimu kidogo ndani yake na utumie asali kupata radha badala ya sukari. Unaweza pia kuongeza tangawizi kwenye vyakula na mboga mboga nyingi unazopika kila siku.

Kwa maoni na ushauri wasiliana nasi
0786633516.

Address

Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when suruhisho BORA posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share