Afya ya Uzazi

Afya ya Uzazi Tunawasaidia wanawake wenye matatizo ya uzazi pamoja na shida za hedhi kutatua shida kwa kuzingtia afya zao za baadae

UKOSEFU WA NGUVU ZA KIUME:Endapo mwanaume anashindwakusimamisha uume umekukosanguvu ya kutosha kuingia ndani ya uke au k...
27/07/2022

UKOSEFU WA NGUVU ZA KIUME:
Endapo mwanaume anashindwa
kusimamisha uume umekukosa
nguvu ya kutosha kuingia ndani ya uke au kushindwa kurudia tendo
la ndoa baada ya kumaliza bao moja, huyu tuna mwita anaupungufu wa nguvu za kiume
(importency).
Kusima kwa uume kunatokana na mapigo
ya moyo kupanda baada ya mtu kupata
ashki ya kufanya tendo la ndoa(sex
arousal), hivyo basi moyo husukuma
damu nyingi kuelekea sehemu za uzazi
ambayo damu hio huijaza mishipa
midogomidogo ya damu (sponge-like
bodies) inayotengeneza uume(pen*s).
Sababu zinazosababisha tatizo la nguvu za
kiume zinawekwa katika makundi mawili.
MATATIZO YA KIAFYA NI K**A:
>Magonjwa ya kisukari, (diabetes mellitus).
> Ugonjwa wa presha (blood pressure).
> Matatizo ya tezi dume.
> Upungufu au mvurugiko wa uzalishaji
Homoni za uzazi.
> Athari za matumizi ya dawa kwa muda
mrefu (drug side effect).
> Kuvuta sigara na kunywa pombe kupita kiasi.

TATIZO LA KIFIKWA (Psychological reasons)
> Migogoro katika mahusiano,
> Matatizo ya kimaisha,

DALILI ZA TATIZO HILI:
>Kushindwa kusimamisha uume mara kwa
mara,
> Uume kulala(kusinyaa)katikati ya tendo
la ndoa.
> kushindwa kusimamisha ipasavyo.
> Kukojoa haraka mara baada ya kuanza
kujamiiana. Au kukaa muda mrefu sana
bila kukuojoa.
> Maumivu ya misuli ya uume wakati wa
tendo la ndoa.

09/07/2022
Kwa ajili ya wanaume tu..
09/01/2022

Kwa ajili ya wanaume tu..

PID(Pelvic Inflamatory Desease)-Ni maambukizi kwenye via vya uzazi vya mwanamke. Ugonjwa huu huwapata wanawake kwa asili...
09/04/2020

PID(Pelvic Inflamatory Desease)-Ni maambukizi kwenye via vya uzazi vya mwanamke. Ugonjwa huu huwapata wanawake kwa asilimia kubwa kwa sababu maumbile yao na inakua rahisi bacteria kuweze kufikia via vyao vya uzazi.
PID kwa asilimia kubwa inapatikana kupitia magonjwa ya zinaa aina ya kaswende na pangusa.
Ugonjwa huu umesababisha wanawake wengi kuwa wagumba,kushindwa 7 na cansa ya shingo ya kizazi.
Wanawake wengi wamekua wahanga wa ugonjwa huu kwa kutokujua dalili zake na kutibu k**a UTI mwishowe mirija inaharibika na kushindwa kupata watoto.
Dalili zake ni pamoja na;
☘Kuwashwa ukeni
☘Kutokwa na majimaji ya njanoyanayonuka k**a shombo yasamaki
☘Kutokwa na uchafu mweupe k**a maziwa yalioganda, uchafu wa njano au wa kijani ukeni
☘Kuumwa kichwa na kuskia kizunguzungu
☘Kuskia kichefuchefu na kutapika
☘Maumivu chini ya kitovu
☘Kuskia maumivu wakati wa kusex
☘Mwanaume kuchafuka uume wakati wa kusex
Tumekuandalia darasa la bure WhatsApp jinsi ya kutumia lishe bora kuondokana matatizo sugu ya uzazi.

K**a utapenda kupata mafunzo hayo fuata link ifuatayo sasa hivi kabla ya group halijajaa.

Bofya hapa >>>
https://chat.whatsapp.com/LmqxepaJ2sEIvOQGfsdHQg

Ni mimi mwenye kujali mafanikio yako.

*STORY YA MISS AMINATA JINSI ALIVOWEZA KUONDOKANA NA UVIMBE KWENYE KIZAZI* UVIMBENi kuongezeka kusikokua kansa kwa seli ...
06/03/2020

*STORY YA MISS AMINATA JINSI ALIVOWEZA KUONDOKANA NA UVIMBE KWENYE KIZAZI*
UVIMBE
Ni kuongezeka kusikokua kansa kwa seli za uterus bila ya utaratibu maalum.
*Dalili zake*
1. Kutokwa na damu nyingi ya hedhi.
2. Maummivu ya kiuno
3. Kukojoa mara kwa mara
4. Damu ya hedhi kutoka zaidi ya siku saba.
5. Kupata shida wakati wa kukojoa
6. Maumivu ya miguu
7. Kuongezeka ukubwa wa tumbo.

Lakini kabla cjakwambia aliwezaje kutokomeza ugonjwa huo ngoja nikupe MISS AMINATA.

Nilianza kuona dalili za ugonjwa huu mwaka 2013 nilikua nasumbuliwa na tumbo sehemu ya kibofu na nilikuja kugundulika nna uvimbe kwenye kizazi katika hospitali ya mkoa Mtwara LIGULA mwaka 2017 baada ya kuolewa na kuanza kutafuta mtoto kwa muda wa miaka mitatu bila ya mafanikio.

Nilirudi nyumbani huku nikiwa nimepawa dawa za kunywa nikiwa na mtumaini ya tatizo langu kwaisha baada ya kumaliza dozi ile. Ila haikua hivyo niliendelea kusumbiwa tena na maumivu.
Niliendelea kutafuta matibabu katika hospitali tofauti tofauti ila nako sikupata nafuu.

Nilianza kuwa na mawazo nilikua na wakati mgumu kuweza kupambania ndoa yangu isivunjike maana nilisemwa sana na mawifi zangu na hata ndugu zangu hawakuwa upande wangu wakijua mimi ni tasa na sizai mpaka nikawa nafkiria kuenda kwa waganga wa kienyeji ili niondokane na kero hii.

Nilipoamua kuomba ushauri kwa kaka yangu ndipo akanishauri tiba mbadala ya huyu docta

Nikawasiliana nae na kunipa mafunzo pamoja na tiba lishe ambayo imebadisha maisha yangu.

Ambayo imenisaidia kuondoa uvimbe kwenye kizazi naumivu nilikua nayo kupotea.

Saivi nna furaha kwenye ndoa yangu maana ni mjamzito wa miezi sita na namuomba Mungu niweze kujifunga salama.

Na hata wewe unaweza kutokomezakuondokana na magonjwa sugu ya uzazi.

Kwa ushauri na tiba gusa link ya hapo chini ili uwasiliane nasi
Bofya hapa >>> https://wa.me/255656483842

*STORY YA MISS AMINATA JINSI ALIVOWEZA KUONDOKANA NA UVIMBE KWENYE KIZAZI* K**a wewe ni mwanamke na unasumbuliwa na mago...
19/02/2020

*STORY YA MISS AMINATA JINSI ALIVOWEZA KUONDOKANA NA UVIMBE KWENYE KIZAZI*

K**a wewe ni mwanamke na unasumbuliwa na magonjwa sugu ya uzazi na hujapata utatuzi wa tatizo lako kwa muda mrefu basi naomba usome makala hii mpaka mwisho kwa sababu inaweza kuwa makala bora kwa mwaka huu.
Lakini kabla cjakwambia aliwezaje kutokomeza ugonjwa huo ngoja nikupe MISS AMINATA.

Nilianza kuona dalili za ugonjwa huu mwaka 2013 nilikua nasumbuliwa na tumbo sehemu ya kibofu na nilikuja kugundulika nna uvimbe kwenye kizazi katika hospitali ya mkoa Mtwara LIGULA mwaka 2017 baada ya kuolewa na kuanza kutafuta mtoto kwa muda wa miaka mitatu bila ya mafanikio.

Nilirudi nyumbani huku nikiwa nimepawa dawa za kunywa nikiwa na mtumaini ya tatizo langu kwaisha baada ya kumaliza dozi ile. Ila haikua hivyo niliendelea kusumbiwa tena na maumivu.
Niliendelea kutafuta matibabu katika hospitali tofauti tofauti ila nako sikupata nafuu.

Nilianza kuwa na mawazo nilikua na wakati mgumu kuweza kupambania ndoa yangu isivunjike maana nilisemwa sana na mawifi zangu na hata ndugu zangu hawakuwa upande wangu wakijua mimi ni tasa na sizai mpaka nikawa nafkiria kuenda kwa waganga wa kienyeji ili niondokane na kero hii.

Nilipoamua kuomba ushauri kwa kaka yangu ndipo akanishauri tiba mbadala ya huyu docta

Nikawasiliana nae na kunipa mafunzo pamoja na tiba lishe ambayo imebadisha maisha yangu.

Ambayo imenisaidia kuondoa uvimbe kwenye kizazi naumivu nilikua nayo kupotea.

Saivi nna furaha kwenye ndoa yangu maana ni mjamzito wa miezi sita na namuomba Mungu niweze kujifunga salama.

Na hata wewe unaweza kutokomezakuondokana na magonjwa sugu ya uzazi.

Ili kufanikisha hilo tumekuandalia darasa la bure whatsapp.
K**a utapenda kujiunga na mafunzo hayo gusa link ya hapo chini.
Fanya hivo sasa hivi kabla group halijajaa
Bofya hapa>>> https://chat.whatsapp.com/DJypRz0KaSVJIGDbIsG5Dy

PID(Pelvic Inflamatory Desease)-Ni maambukizi kwenye via vya uzazi vya mwanamke. Ugonjwa huu huwapata wanawake kwa asili...
06/02/2020

PID(Pelvic Inflamatory Desease)-Ni maambukizi kwenye via vya uzazi vya mwanamke. Ugonjwa huu huwapata wanawake kwa asilimia kubwa kwa sababu maumbile yao na inakua rahisi bacteria kuweze kufikia via vyao vya uzazi.
PID kwa asilimia kubwa inapatikana kupitia magonjwa ya zinaa aina ya kaswende na pangusa.
Ugonjwa huu umesababisha wanawake wengi kuwa wagumba,kushindwa 7 na cansa ya shingo ya kizazi.
Wanawake wengi wamekua wahanga wa ugonjwa huu kwa kutokujua dalili zake na kutibu k**a UTI mwishowe mirija inaharibika na kushindwa kupata watoto.
Dalili zake ni pamoja na;
☘Kuwashwa ukeni
☘Kutokwa na majimaji ya njanoyanayonuka k**a shombo yasamaki
☘Kutokwa na uchafu mweupe k**a maziwa yalioganda, uchafu wa njano au wa kijani ukeni
☘Kuumwa kichwa na kuskia kizunguzungu
☘Kuskia kichefuchefu na kutapika
☘Maumivu chini ya kitovu
☘Kuskia maumivu wakati wa kusex
☘Mwanaume kuchafuka uume wakati wa kusex
Tumekuandalia darasa la bure WhatsApp jinsi ya kutumia lishe bora kuondokana matatizo sugu ya uzazi.

K**a utapenda kupata mafunzo hayo fuata link ifuatayo sasa hivi kabla ya group halijajaa.

Bofya hapa >>> https://chat.whatsapp.com/DUqC0fKl4ObKU7rMJcyiGO

Ni mimi mwenye kujali mafanikio yako.

PID(Pelvic Inflamatory Desease)-Ni maambukizi kwenye via vya uzazi vya mwanamke. Ugonjwa huu huwapata wanawake kwa asili...
27/01/2020

PID(Pelvic Inflamatory Desease)-Ni maambukizi kwenye via vya uzazi vya mwanamke. Ugonjwa huu huwapata wanawake kwa asilimia kubwa kwa sababu maumbile yao na inakua rahisi bacteria kuweze kufikia via vyao vya uzazi.
PID kwa asilimia kubwa inapatikana kupitia magonjwa ya zinaa aina ya kaswende na pangusa.
Ugonjwa huu umesababisha wanawake wengi kuwa wagumba,kushindwa 7 na cansa ya shingo ya kizazi.
Wanawake wengi wamekua wahanga wa ugonjwa huu kwa kutokujua dalili zake na kutibu k**a UTI mwishowe mirija inaharibika na kushindwa kupata watoto.
Dalili zake ni pamoja na;
☘Kuwashwa ukeni
☘Kutokwa na majimaji ya njanoyanayonuka k**a shombo yasamaki
☘Kutokwa na uchafu mweupe k**a maziwa yalioganda, uchafu wa njano au wa kijani ukeni
☘Kuumwa kichwa na kuskia kizunguzungu
☘Kuskia kichefuchefu na kutapika
☘Maumivu chini ya kitovu
☘Kuskia maumivu wakati wa kusex
☘Mwanaume kuchafuka uume wakati wa kusex
Tumekuandalia darasa la bure WhatsApp jinsi ya kutumia lishe bora kuondokana matatizo sugu ya uzazi bila kuenda hospitali.

K**a utapenda kupata mafunzo hayo fuata link ifuatayo sasa hivi kabla ya group halijajaa.

Bofya hapa >>> https://chat.whatsapp.com/DUqC0fKl4ObKU7rMJcyiGO

Ni mimi mwenye kujali mafanikio yako.

Hello Is-haka Ally hapa, Mkurugenzi wa Afya ya uzazi.K**a ni mwanamke naunasumbuliwa na matatizo sugu ya uzazi na umekua...
24/01/2020

Hello Is-haka Ally hapa, Mkurugenzi wa Afya ya uzazi.
K**a ni mwanamke naunasumbuliwa na matatizo sugu ya uzazi na umekuakua ukisumbuliwa na matatizo haya kwa kipindi kirefu bila ya kupata mafanikio basi nina habari nzuri sana.
Tumekuandalia darasa la bure la wiki nzima WhatsApp jinsi ya kutumia lishe bora kuondokana matatizo sugu ya uzazi bila kuenda hospitali.

K**a utapenda kupata mafunzo hayo fuata link ifuatayo sasa hivi kabla ya group halijajaa.

Bofya hapa >>> https://chat.whatsapp.com/DUqC0fKl4ObKU7rMJcyiGO

Ni mimi mwenye kujali mafanikio yako.

Address

Sinza
Dar Es Salaam

Telephone

+255621862069

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya ya Uzazi posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram