26/01/2024
faith health care ,Ugonjwa wa presha sim wa.me/255748073179
Dalili za Ugonjwa wa presha mara nyingi hazipatkani kirahisi ila dalili zifuatazo mara nyingi huwa ni tatizo lapresha
1) Kichwa kuuma
2)Kutokwa damu puani
3)Kupumua kwa shida
4)Moyo Kukimbia sana
5)Kutokwa jasho kwa wingi nk .
Ili kujikinga nugonjwa huu wa presha
1)Epuka unywaji wa pombe kupita kiasi kwani unywaji wa pombe kupita kiasi huathili mifumo mingi ya mwili
2)Fanya mazoezi dkk 30 - 45 kwasiku kwani ufanyaji wamazoezi utakusaidia kupunguza mafuta yaliyo Ganda ndani ya mishipa ya damu na cholesterol ambayo ni hatari sana kwa afya
3 Acha kula nyama nyekundu na mafuta yawanyama kwani hivi huongeza unene na mafuta mengi mwilini badala yake kula nyama nyeupe namafuta ya mimea
Nyama nyeupe k**a vile
Sungura
Kuku
Bata
Njiwa
Samaki nk...
Mafuta ya mimea k**a vile
Mafuta ya Alizeti
Mafuta ya samaki
Mafuta ya n**i
Mafuta yamawese
Mafuta ya karanga nk...
K**a unatatizo la presha fika ofcn kwetu upate matibabu wengi wame pona