Afya ya uzazi

  • Home
  • Afya ya uzazi

Afya ya uzazi NATOA HUDUMA MBALI MBALI ZA USHAURI KIAFYA HUSUSANI CHANGAMOTO ZA WANAWAKE KAMA UZAZI N.K

1 Maambukizi katika mfumo wa uzazi wa mwanamke kwa kitaalamu Pelvic Inflamatory Diseases au kwa kifupi PID, ni moja ya m...
16/04/2024

1 Maambukizi katika mfumo wa uzazi wa mwanamke kwa kitaalamu Pelvic Inflamatory Diseases au kwa kifupi PID, ni moja ya matatizo ambayo huwaathiri sana wanawake. Kwa kawaida maambukizi haya huusisha shingo ya uzazi (cervix) hali ambayo hujulikana k**a cervicitis, nyama ya mfuko wa uzazi (endometrium) ambayo kitaalamu huitwa endometritis, na mirija ya uzazi (fallopian tubes) hali ijulikanayo kitabibu k**a salpingitis.

PID husababishwa na nini?

Pamoja na aina kadhaa za vimelea kuhusishwa na PID, vimelea vya jamii ya Neisseria Gonorrhoeae pamoja na Chlamydia trachomatis ndivyo vinavyoongoza kwa umaarufu zaidi katika kusababisha PID kwa akina mama.

Je mwanamke huambukizwaje PID?

Kuna njia kadhaa ambazo mwanamke anaweza kuambukizwa PID. Njia hizo ni pamoja na

Kufanya ngono isiyo salama
Maambukizi ya njia ya uzazi hasa kipindi mara baada ya kujifungua (au postpartum period)
Maambukizi ya njia ya uzazi mara baada ya kutoa mimba kwa njia zisizo salama (post abortion) au mara baada ya mimba kutoka (miscarriage)
Kutumia vipandikizi vya ndani ya mfuko wa uzazi (IUCD) k**a njia mojawapo ya uzazi wa mpango, na
Kuambukizwa kupitia damu iliyo na vimelea vya PID.
Kwa ushauri Zaid usisite
Call:0755013599
Whatsup:0755013599

TUKUMBUSHANE🌙 TU KWAJILI YA AFYA .Miongoni mwa vyakula ambavyo ni rafiki kwa mgonjwa wa kisukari ambaye anatekeleza ibad...
16/04/2024

TUKUMBUSHANE🌙
TU KWAJILI YA AFYA .
Miongoni mwa vyakula ambavyo ni rafiki kwa mgonjwa wa kisukari ambaye anatekeleza ibada ya Funga kipindi Cha futari ni jioni ni hivi vifuatavyo kwasabababu havitaoandisha sukari na kumletea madhara.

🌿Wanga mwepesi K**a vile Tende, chapati za ngano isiyokobolewa, ndizi mbichi zakuchemsha, viazi vitamu vipande vichache K**a viwili.
🌿Chai isiyo na sukari na maziwa yenye low fats
🌿Mchemsho wa Nyama nyeupe K**a samaki na kuku Ila toa ngozi.
🌿Mbogamboga na matunda yasiyo na sukari K**a vile Parachichi, tango, Matikiti, papai, Apple, Machungwa, strawberry nk.

NB.
Isipokuwa Embe mbivu, ndizi zakuiva na nanasi na juice ya matunda haya yenye sukari nyingi.

🌱.Kula Sana nuts K**a Karanga, Korosho, Almonds, tende hizi unaweza Kunywa na chai.
🌱.Mkate wa brown au Mchele wa brown ni mzuri.
Wasiliana nasi Kwa ushauri na Suluhuhisho kwa wale wenye changamoto ya kisukari ,Uzaz,PID, Fangas Sugu,U.T.I Sugu, Hormonal imbalance,uvimbe

Call me/whtsap 0755013599
🌱🍽️🥣🥝🥑
CHAKULA BORA NI DAWA

UNAJUA FAIDA ZA KUNYWA MAZIWA  MTINDI🥼Zipo faida nyingi tu za kukufanya uweze kutumia maziwa mtindi na hi nimeona niwaju...
16/04/2024

UNAJUA FAIDA ZA KUNYWA MAZIWA MTINDI

🥼Zipo faida nyingi tu za kukufanya uweze kutumia maziwa mtindi na hi nimeona niwajuze tu wadau wa gracious Fertilitysolution maana nawapenda nataka mweze kuelewa moja ya faida za mtindi

HIZI NDO FAIDA ZA MAZIWA MTINDI

🌱Husaidia Sana wale wanaopunguza uzito, K**a uko na program ya kupunguza uzito Katika list ya vitu unavyotakiwa kupata usisahau mtindi

🌱 Husaidia mmeng'enyo wa chakula ,K**a swala la choo kwako Wewe Ni shida wenda digestive system yako haiko normal zile stage 6 za digestive system hazifanyi kazi vizuri

🌱 Husaidia Sana kwenye kujikinga na Fangas hasa wanawake maana Husaidia kubalance pH ya uke kwa Kuweka uwiano mzuri wa bacteria wanahitaji Katika uke, swala la Fangas sugu limekuwa Changamoto Sana now days Miongoni mwa wanawake Wengi wanapitia Changamoto hi Fangas Mara nyingi Husababisha unyevu nyevu sehemu za Siri kwa Mantic hio Husababisha bacteria wabaya kukua kwa wingi na kuharibu uwiano wa bacteria wazuri na hata unyevu nyevu was uke unaohitajika Apo unakuwa sio

🌱in this case mtindi itakusaidia kurekebisha uwiano wa bacteria wazuri na pia kurejesha wale bacteria wazuri kwa ajili ya usalama wa eneo Hilo so umeona uhimu wa Wewe kuanza kutumia maziwa mtindi

MWISHO
🥼K**a utaweza kugandisha mtindi wako mwenyewe Ni nzuri zaidi Kumbuka tu kuzingatia Usafi

NB:Pia Ushauri wangu wa Wewe kunywa mtindi sio Sheria kwa maana ya kwamba Sasa unaumwa na tatizo lako limekuwa chronic unategemea tu unywe mtindi hapana unahitaji dozi ya uhakika kutoka kwa Mtaalamu wa afya kumaliza Hilo Tatizo

Nipigie tuongee nikushauri vizur zaidi ndg ikibidi nikupe suluhuhisho sahihi la Tatizo lako
Call:0755013599
Whatsup:0755013599

💥OFA 💥OFA 💥OFA 💥OFA💥Komesha kabisa matatizo ya uzazi  kwa kutumia tiba haris kutoka kwetu tunatibu changamotoi zituatazo...
16/04/2024

💥OFA 💥OFA 💥OFA 💥OFA
💥Komesha kabisa matatizo ya uzazi kwa kutumia tiba haris kutoka kwetu tunatibu changamotoi zituatazo'
💥P.I.D
💥U.T.I
💥FUNGUS
💥UKE MKAVU
💥KUKOSA HAMU YA TENDO LA NDOA
💥MAUMIVU WAKATI WA TENDO
💥KUTO SHIKA MIMBA
💥MIMBA KUHARIBIKA
Njo whatsapp tukuhudumie bofya kwenye tangazo hapo chini au piga +255 755 013 599

Mlo kamili ni mkusanyiko wa vyakula mbalimbali ambavyo kwa pamoja huimarisha na kuujenga mwili wa binadam na wanataka kw...
13/04/2024

Mlo kamili ni mkusanyiko wa vyakula mbalimbali ambavyo kwa pamoja huimarisha na kuujenga mwili wa binadam na wanataka kwa sababu vinaleta virutubishi vyote vinavyohitajika.
Mkusanyiko wa vyakula vinavyo unda mlo kamili
Kuna makundi matatu ya vyakula, nayo ni:
* 1) vyakula vinavyojenga mwili
* 2) vyakula vinvyoupa mwili nguvu
* 3) vyakula vinavyoupa mwili joto.
Katika makundi hayo tunatoa aina za vyakula, nazo ni:
* 1) protini
* 2) mafuta
* 3) wanga
* 4) vitamini
Nina package nzuri ambazo ni mlo kamili kabisa Kwa sachet moja ina vidonge vi 4 ambavyo vimeconsist mlo wote kamili.
Call/whatsup:0755013599

Dalili Za Ovarian CystsOvarian cysts nyingi hazitambuliwi na hupotea zenyewe bila hata mwanamke mwenyewe kujua kuwa alik...
13/04/2024

Dalili Za Ovarian Cysts

Ovarian cysts nyingi hazitambuliwi na hupotea zenyewe bila hata mwanamke mwenyewe kujua kuwa alikuwa nazo. Wakati cysts zinaonyesha dalili, maumivu maeneo ya tumbo au kwenye nyonga hujitokeza. Maumivu haya husababishwa na:
kupasuka kwa cyst, ukuaji wa haraka na kunyumbuka, damu kutoka kwenye cyst, kujinyonga kwa cyst kwenye mishipa ya damu (torsion).

K**a cyst imekuwa kubwa, dalili nyingine huweza kujitokeza kutokana na msukumo au kujinyonga kwa viungo vingine vya mwili vilivyo karibu (torsion).
Endapo ovari itajinyonga au kuhama kutoka sehemu yake ya awali, mtiririko wa damu kuelekea kwenye ovari hukatwa, na k**a hakuna tiba itakayotolewa, tishu za ovari zinaweza kuharibika au kufa.
Ovarian torsion inachangia asilimia 3 ya upasuaji wa dharura wa viungo vya uzazi vya akina mama. Katika mazingira hayo dalili hizi zinaweza kujitokeza:
kujaa kwa tumbo, kutanuka tumbo, maumivu eneo la chini ya mgongo, chakula kutomeng’enywa tumboni, kusikia umeshiba baada ya kula chakula kidogo tu kusikia haja ndogo kwa ghafla kushindwa kumaliza kabisa haja ndogo Kujisikia haja kubwa kila wakati kupata haja kubwa kwa shida maumivu wakati wa tendo la ndoa


Dalili Za Ovarian Cysts Iliyopasuka

Ovarian cyst iliyopasuka haitoi dalili zo zote, na hasa k**a ni ndogo.
Lakini wakati mwingine kupasuka kwa ovarian cyst kunaweza kusababisha maumivu makali na kuvuja damu ndani kwa ndani. Maumivu ya kupasuka kwa ovarian cyst huja ghafla na hutokea upande mmoja tu.
Maumivu haya huanza wakati wa shughuli fulani k**a mazoezi mazito au yaweza kuanza wakati wa tendo la ndoa. Ovarian cyst iliyopasuka haileti homa.

Kuna aina kuu mbili za ovarian cysts🌹Functional ovarian cysts – hii ndiyo aina inayojitokeza mara nyingi zaidi. Aina hii...
13/04/2024

Kuna aina kuu mbili za ovarian cysts

🌹Functional ovarian cysts – hii ndiyo aina inayojitokeza mara nyingi zaidi. Aina hii ambayo haina madhara ni sehemu ya mzunguko wa kawaida wa hedhi ya mwanamke na huishi kwa muda mfupi.
🌹Pathological cysts – hizi ni ovarian cysts zinazojijenga ndani ya ovari; hizi huweza kuwa hazina madhara au kuleta saratani.


🌹Functional ovarian cysts
Kuna aina kuu mbili za functional ovarian cysts:
1) Follicular cysts
Follicular cysts ni aina mabayo huonekana mara nyingi sana kwa wanawake. Mwanamke ana ovari mbili. Yai huvingirika kutoka kwenye ovari hadi ndani ya mji wa mimba, ambako linaweza kurutubishwa na mbegu za mwanamme. Yai huundwa ndani ya follicle, ambayo huwa na majimaji ili kulilinda yai linalokua. Yai linapoangushwa, follicle hupasuka.

2) Luteal ovarian cysts
Luteal ovarian cysts huonekana mara chache. Baada ya yai kuachiwa, huacha tishu nyuma yake iitwayo corpus luteum. Luteal cysts huweza kutokea pale corpus luteum inapojaa damu. Aina hii mara nyingi hupotea yenyewe baada ya miezi michache. Lakini wakati mwingine huweza kugawanyika, au kupasuka, na kusababisha maumivu na kuvuja kwa damu ndani kwa ndani.


🌹Pathological cysts
Kuna aina mbili za pathological cysts:
1) Dermoid cysts (cystic teratomas)
Dermoid cyst kwa kawaida haina madhara. Hizi ni tishu zinazotokana na seli zinazotengeneza yai. Tishu hizi za ovari huweza kukua na kutengeneza tishu nyingine za mwili k**a nywele, ngozi au meno. Cysts za aina hii hutakiwa kutolewa kwa upasuaji.

Dermoid cyts ni aina ya pathological cysts ambazo huonekana sana kwa wanawake walio chini ya umri wa miaka 30.
2) Cystadenomas
Cystadenomas ni ovarian cysts zinazojengwa kutokana na seli zinazofunika ovari kwa nje. Baadhi huwa zimejaa kitu kizito, k**a k**asi, wakati mwingine hujaa majimaji mepesi.
Badala ya kuota ndani ya ovari, cystadenomas hunata kwenye ovari kupitia kikonyo. Kwa vile huishi nje ya ovari, cystadenomas huweza kukua na kuwa kubwa sana.

Mungu ni mwema
13/04/2024

Mungu ni mwema

Address

Mwenge

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya ya uzazi posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

  • Want your practice to be the top-listed Clinic?

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram