Upendo Afya Tz

Upendo Afya Tz Upendo Afya Tz, Tunasaidia Watu Wenye Changamoto Mbalimbali Za Afya. Ikiwemo Changamoto ya uzazi .

UGONJWA WA PRESSURE (SHINIKIZO LA DAMU ) NA TIBA YAKENini maana ya shinikizo la damu?Ni msukumo wa damu ulio juu kuliko ...
24/09/2024

UGONJWA WA PRESSURE (SHINIKIZO LA DAMU ) NA TIBA YAKE

Nini maana ya shinikizo la damu?

Ni msukumo wa damu ulio juu kuliko inavyotakiwa kwa muda mrefu. Msukumo wa damu huhitajika mwilini ili kusambaza damu,virutubishi,vitamin,protein,madini, oksijeni N.K Kuvipeleka sehemu mbali mbali za mwili nakutoa uchafu.

SABABU ZA MTU KUUGUA UGONJWA WA PRESSURE (SHINIKIZO LA JUU LA DAMU)
☑Uvutaji sigara
☑ Unene na uzito kupita kiasi
☑Unywaji wa pombe
☑Upungufu wa madini ya potassium
☑ Upungufu wa vitamin D
☑Umri mkubwa
☑Ongezeko la kemikali kwenye figo (renin)
☑Kushindwa kufanyakazi kwa kichocheo kiitwacho insulin

*Uanishaji wa shinikizo la damu
☑Presha ya kawaida

24/08/2024

IJUE XPOWER COFFEE FOR MEN ☕ Kutoka BFSUMA

Hii ni kahawa iliyotengenezwa Kwa mchanganyiko Wa vitu Zaidi ya vinne yani;

1. Fresh maca

2. Ginseng powder

3. Tongkat ali

4. Epimedium

Viambata hivi vimetoka nchi za
KOREA,CHINA,USA,INDIA,PERU

⚫FAIDA ZA KUTUMIA X POWER MAN COFFEE.

1.Kuimarisha misuli ya uume kuwa bora zaidi na Nguvu mara dufu wakati Wa tendo.

2.Kuupa mwili Nguvu zaidi

3.Kusaidia kurudia tendo la ndoa mara nyingi zaidi yani ukimaliza mshindo Wa kwanza unauwezo Wa kuendelea zaidi.

4.Kumpa mtu hamu ya tendo la ndoa hata k**a iliisha kabisa.

5.Kuondoa uchovu na stress,kuzuia hatari ya kupata Magonjwa ya moyo.

6.Kuilinda na kuipa afya tezi ya mwanaume

7.Kuufanya uume usimame barabara k**a msumari

8.Kusafisha mishipa ya damu

9.Kuongeza ubora Wa mbegu za mwanaume na kuzifanya ziwe na kasi zaidi.

💰Utaipata Kwetu Kwa OFA ya Tsh 80,000/=✅...Badala Ya Tsh 115,000/=❌....Utakuwa Umeokoa Kiasi Cha Tsh 35,000/= Ukinunua Leo...Wahi Sasa OFA Hii Ni Ndani Ya Masaa 24 Tu.

☎️ Wasiliana Nasi Kwa Namba 0787103271.

*FAHAMU FAIDA YA KUTUMIA DETOXILIVE SOFT GEL**Ni Mimi Mshauri Makini +255787103271DETOXILIVE ni Bidhaa BORA na ya ASILI ...
21/08/2024

*FAHAMU FAIDA YA KUTUMIA DETOXILIVE SOFT GEL*

*Ni Mimi Mshauri Makini +255787103271

DETOXILIVE ni Bidhaa BORA na ya ASILI iliyotokana na mchanganyiko wa MIMEA na MATUNDA mbali mbali ambavyo vimekua vikitumika kutibu Maradhi SUGU katika nchi mbalimbali Duniani.

*Bidhaa Hii ni Muhimu sana Kwa kila BINADAMU kutokana na kazi zake MWILINI na KATIKA organs K**a vile FIGO, INI, BANDAMA, MAPAFU, KONGOSHO, UBONGO NK.*

_FAIDA ZAKE MWILINI_

1) Inaondoa sumu zote mwilini, Ni Nzuri Kwa HOMA ya Ini.

2) Inaimarisha ubongo na kutunza kumbukumbu.

3) Inaondoa madhara ya pombe kwa wanywaji na kulinda INI na FIGO.

4) Inaondoa mafuta mabaya (Choresterol) yaliyozidi Mwilini, baada ya kula hutumiwa Kuzuia kuota vitambi.

5) Inaondoa sukari iliyozidi mwilini Na ni nzuri kwa wenye shinikizo la damu (Blood Pressure).

6) Inaleta usingizi Mzuri sana.

7)Ina ondoa URIC ACID mwilini.

8)Inaimarisha UTENDAJI KAZI MZURI na kuzuia madhara kwenye FIGO, INI, KONGOSHO, MAPAFU NA BANDAMA.

KUPATA BIDHAA HII NIPIGIE NAMBA 0787103271

31/07/2024

HII NI MAALUM KWA WANAWAKE WOTE WANAOJALI USAFI UKENI.

FEMICARE CLEANSER:Ni Dawa au TIBA Asilia Iliyotengenezwa Maalum kwaajili ya kuwasaidia Wanawake wote wanaopata changamoto za Magonjwa mbalimbali Ukeni.

➡️Dawa hii anaweza Kutumia Mwanamke yeyoye mwenye changamoto au asiyekuwa na changamoto Kwa ajili ya usafi pamoja na kujikinga na Magonjwa mbalimbali Ukeni.

➡️Ndani ya Dawa hii Kuna Viambata Vifuatayo
1️⃣ Natural essential oil from plant.
2️⃣Amino acid.
3️⃣Rejuvenating minerals 4️⃣ Vegetable anti-Oxidant...

➡️Kwahiyo Kupitia viambata hivi FEMICARE CLEANSER itakusaidia katika mambo yafuatayo:-

1⃣Kuondoa harufu mbaya ukeni, uchafu na kuongeza bacteria walinzi, ni nzuri kwa wanaoshare vyoo

2⃣Kutibu Fangasi sugu ukeni, na U.T.I sugu

3⃣Ni nzuri sana kwa wenye P.I.D akitumia na yunzi.

4⃣Kuondoa maumivu wakati wa tendo la ndoa na kurudisha ute ute unaohitajika

5⃣Inafanya uke kuwa msafi na mkavu muda wote.

6⃣Inazibua Mirija ya Uzazi iliyoziba.

7⃣Inakaza misuli ya uke uliolegea na kuwa tight.

8⃣Inaondoa maumivu ya tumbo chini ya kitovu. (chango)

9⃣ Inaondoa michubuko ukeni.

1️⃣0️⃣Inarejesha Ute Ute UKENI na kumaliza changamoto ya uke mkavu.

💰 Utaipata Kwetu Kwa Tsh 45,000/=

☎️ Wasiliana Nasi Kwa Namba 0787103271.

Changamoto ya nguvu za kiume inawakumba watu wengi sana, Unaweza kugundua k**a unachangamoto hiyo kwa kuangalia dalili z...
27/03/2024

Changamoto ya nguvu za kiume inawakumba watu wengi sana,
Unaweza kugundua k**a unachangamoto hiyo kwa kuangalia dalili zifuatazo;
1. Kupungua kwa hamu ya ngono: Mtu anayepungua nguvu za kiume mara nyingi atapoteza hamu ya ngono au kushindwa kufurahia tendo hilo k**a zamani.

2. Kupoteza uwezo wa kudumisha uume wima: Wakati mwingine, mtu anaweza kupata ugumu wa kudumisha uume wima wakati wa tendo la ngono, au hata kupoteza nguvu za kiume kabisa kabla ya kumaliza tendo.

3. Kupata shida katika kufikia kilele: Upungufu wa nguvu za kiume unaweza kusababisha kuchelewa kufikia kilele au hata kushindwa kufikia kilele kabisa wakati wa tendo la ngono.

4. Kupungua kwa ubora wa manii: Mtu anayepungua nguvu za kiume mara nyingi atapata shida katika uzalishaji au ubora wa manii, ambayo inaweza kusababisha matatizo ya uzazi.

5. Kupata shida katika mahusiano ya kimapenzi: Upungufu wa nguvu za kiume unaweza kusababisha matatizo katika mahusiano ya kimapenzi, kutokana na kushindwa kutosheleza mpenzi au kutokuridhika na tendo la ngono.

Ni muhimu kuomba ushauri wa kitaalamu kutoka kwa daktari au mtaalamu wa afya ikiwa unakabiliwa na dalili hizi ili kupata matibabu sahihi na kurejesha nguvu za kiume.

Kwa ushauri na TIBA pig sim no 0787103271

Changamoto ya nguvu za kiume ni hali ambayo mwanaume hawezi kudumisha au kufikia ereksheni ya kutosha kwa kufanya tendo ...
24/03/2024

Changamoto ya nguvu za kiume ni hali ambayo mwanaume hawezi kudumisha au kufikia ereksheni ya kutosha kwa kufanya tendo la ngono au kushiriki katika shughuli za ngono. Hii inaweza kusababishwa na sababu mbalimbali ikiwa ni pamoja na sababu za kiafya, kimwili, kihisia, au kihisia. Baadhi ya sababu za kawaida za changamoto za nguvu za kiume ni pamoja na:

1. Matatizo ya afya k**a vile kisukari, shinikizo la damu, au ugonjwa wa moyo.
2. Matumizi ya dawa fulani ambazo zinaweza kusababisha matatizo ya nguvu za kiume.
3. Kuzeeka, ambapo uzalishaji wa homoni za ngono unapungua na hivyo kusababisha upungufu wa nguvu za kiume.
4. Msongo wa mawazo au matatizo ya kihisia yanayoweza kusababisha kukosa hamu au uwezo wa kufanya ngono.
5. Tabia mbaya za maisha k**a vile uvutaji wa sigara, ulaji mbaya, au matumizi ya pombe unaweza kusababisha matatizo ya nguvu za kiume.

Kwa mujibu wa takwimu, changamoto za nguvu za kiume huathiri wanaume wengi duniani kote na inaweza kuathiri sana ubora wa maisha yao. Ni muhimu kuzungumza na daktari wako ikiwa unakabiliwa na changamoto za nguvu za kiume ili kupata ushauri na matibabu sahihi. Matibabu ya changamoto za nguvu za kiume yanaweza kujumuisha mabadiliko ya mtindo wa maisha, dawa za kutibu ugonjwa wa kimsingi, mazoezi ya mwili, au tiba ya kihisia kulingana na sababu ya msingi ya tatizo hilo.

Kwa ushauri wasiliana nasi kwa sm no 0787103271

14/01/2024

JE, UNASHINDWA KUHIMILI TENDO LA NDOA KUTOKANA NA SABABU ZIFUATAZO??

- Uzee
- Kisukari
- Kujichua/Punyeto
- Ngono zembe
-Wasiwasi
- Hasira
- Msongo wa mawazo (Stress)
- Huzuni
- Hofu na mashaka
- Kutokujishughulisha na mazoezi
- Shinikizo la juu la damu
- Ugonjwa wa moyo
- Uvutaji sigara/tumbaku
- Utumiaji uliozidi wa kafein.
- Kudhurika kwa neva au uti wa mgongo
- Madawa ya kulevya
- Kupungua kwa homoni ya testerone
- Athari kutoka kwa baadhi ya dawa za hospitali au mitishamba
- Pombe

JE, SULUHISHO NI LIPI??

NIMEKUANDALIA PACKAGE MAALUMU Kwa Waathirika Wenye Upungufu/Matatizo Ya Nguvu Za Kiume. Dawa hii hufanya kazi zifuatazo:-

✅Huongeza Hamu Na Uwezo Wa Kufanya Tendo La Ndoa
✅Hufungua Mirija Midogomidogo Ya kibofu Kwenye Uume Ambayo Hufa Kwa Ajiri Ya Umri Na Kisukari/Presha
✅Huondoa Uchovu

✅Huongeza Wingi Wa Afya Wa Mbegu Za Kiume
✅Huondoa Tatizo La Maumivu Uume Ukiwa Umesimama
✅Humfanya Mwanaume Akae Muda Mrefu Kwenye Tendo
✅Huongeza Kinga Kwenye Via Vya Uzazi
✅Humfanya Mwanaume Arudie Tendo Bila Kuchoka Na Kwenye Ubora Wa Hali Ya Juu
●Huondoa sumu mwilini na katika mfumo wa uzazi
✅Huondoa Tatizo La Uume Kusimama Ukiwa Legelege
✅Huondoa Tatizo La Uume Kurudi Ndani Na Kuwa K**a Wa Mtoto
✅Huondoa Tatizo La Upungufu Wa Nguvu Za kiume Na Ugumba Kwa Wanaume
●Ni nzuri kwa ulinzi wa maambukizi sehemu za siri.

Kupata PACKAGE hii wasiliana nasi kwa simu namba 0787103271

NB:
PACKAGE HII HAINA MADHARA KWA MTUMIAJI

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Upendo Afya Tz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share