Madam rosemary

  • Home
  • Madam rosemary

Madam rosemary tunatoa huduma za afya ka changamoto zote za kimfumo

20/07/2024
Je wew unahisi upo stage ipiπŸ‘‡πŸ‘‡
06/07/2024

Je wew unahisi upo stage ipiπŸ‘‡πŸ‘‡

πŸ‘«πŸ§πŸ§β€β™‚οΈπŸ’ͺπŸ’ͺ
03/07/2024

πŸ‘«πŸ§πŸ§β€β™‚οΈπŸ’ͺπŸ’ͺ

Usisubiri hadi tatizo liwe kubwa wahi upate suluhisho,
28/06/2024

Usisubiri hadi tatizo liwe kubwa wahi upate suluhisho,

Jipime presha yako asubuhi. Muda sahihi wa kujipima presha ya damu ni asubuhi kabla ya kula chochote au kunywa kitu king...
17/06/2024

Jipime presha yako asubuhi.

Muda sahihi wa kujipima presha ya damu ni asubuhi kabla ya kula chochote au kunywa kitu kingine chochote isipokuwa maji tu,

Lishe sahihi na mabadiliko ya mtindo wa maisha vinaweza kusaidia mwili kuwa na msukumo wa damu (presha) ya kawaida na kupunguza hatari ya madhara makubwa yatokanayo na presha ya juu..

VYANZO VYA MAMUMIVU YA MGONGO.β–‘UAMBUKIZO KWENYE UTI WA MGONGO.β–‘ KUVUNJIKA PINGILI AU MGONGO ,HII HUTOKANA NA AJALI.β–‘ UZI...
17/06/2024

VYANZO VYA MAMUMIVU YA MGONGO.

β–‘UAMBUKIZO KWENYE UTI WA MGONGO.
β–‘ KUVUNJIKA PINGILI AU MGONGO ,HII HUTOKANA NA AJALI.
β–‘ UZITO MKUBWA.
β–‘ UCHAKAVU WA MIFUPA.
β–‘ UMRI MKUBWA.
β–‘ KWA MWANAMKE KUFIKA UKOMO WA HEDHI, HII HISABABISHA MAUMIVU SEHEHMU MBALI MBALI YA MWILI.
β–‘ MKAO AU MLALO USIOFAA.
β–‘ UPUNGUFU WA MADINI NA VITAMINI MUHIMU ZINAZOJENGA NA MIFUPA.

SULUHISHO LIPO BILA UPASUAJI.

MKOA WOWOTE ULIOPO HUDUMA ITAKUFIKIA

KWA MAWASILIANO ZAIDI PIGA.
0654693617

TATIZO PINGILI  ZA UTI  WA MGONGO WA CHINI.Tatizo hili huathiri baadhi ya pingili za chini ambazo ni L4,L5 NA S1.VYANZO ...
16/06/2024

TATIZO PINGILI ZA UTI WA MGONGO WA CHINI.
Tatizo hili huathiri baadhi ya pingili za chini ambazo ni L4,L5 NA S1.

VYANZO VYA TATIZO.
● KULIKA NA KUSAGIKA KWA GEGEDU ,GEGEDU MFUPA LAINI UNAOZUIA MSUGUANO KATI YA PINGILI NA PINGILI.
● KUISHA KWA UTE UTE, HII K**A GRISI AMBAYO INA LAINISHA MIFUPA.
● UZITO MKUBWA.
● KUPUNGUA KWA MADINI NA VITAMINI MUHIMU ZINAZOJENGA NA KUIMARISHA MIFUPA.
●UCHAKAVU WA MIFUPA HUTOKANA NA UMRI UKIENDA.
● MAGONJWA YA MIFUPA YAANI ARITHRITIS.

SULUHISHO LIPO UTAPONA KABISA.

NITAKUPATIA DAWA LISHE AMBAZO ZITAMALIZA TATIZO KUANZIA KWENYE CHANZO.
● ZITAPUNGUZA UZITO NA KUKUPA LISHE KAMILI.
● ZITAJAZA UTE UTE NA GEGEDU KIASILIA.
●ZITAKUPA MADINI MUHIMU ZINAZOJENGA NA KUIMARISHA MIFUPA.
● ZITAMALIZA MAUMIVU KABISA.
●ZITAONDOA UCHAKAVU WA MIFUPA .
●ZITAFUNGUA CHEMBE HAI ZAKO,TISHU ,OGANI ,MIFUMO NA KUONDOA SUMU MWILINI ,MATATIZO YOTE YANAANZA NA UHARIBIFU WA CHEMBE HAI.

UTAPATA HUDUMA MKOA WOWOTE ULIOPO.

TUPO KIMARA STOP OVER DAR ES SALAAM.

0654693617

π——π—”π—Ÿπ—œπ—Ÿπ—œ 𝗭𝗔 π— π—œπ—™π—¨π—£π—” 𝗑𝗔 π— π—”π—¨π—‘π—šπ—œπ—’ πŸ‘‡πŸŒΏ Kusagika kwa Pingili za Mgongo🌿 Maumivu Makali ya Kiuno na Mgongo🌿 Mifupa Kusagana🌿 Miguu...
11/06/2024

π——π—”π—Ÿπ—œπ—Ÿπ—œ 𝗭𝗔 π— π—œπ—™π—¨π—£π—” 𝗑𝗔 π— π—”π—¨π—‘π—šπ—œπ—’ πŸ‘‡
🌿 Kusagika kwa Pingili za Mgongo
🌿 Maumivu Makali ya Kiuno na Mgongo
🌿 Mifupa Kusagana
🌿 Miguu Kuwaka Moto
🌿 Kuhisi Ganzi
🌿 Maumivu ya Shingo, Kiuno
🌿 Kukosa Uteute kwenye Magoti
🌿 Kushindwa Kutembea n.k

𝗦𝗔𝗕𝗔𝗕𝗨 π—­π—œπ—‘π—”π—­π—’π—¦π—”π—•π—”π—•π—œπ—¦π—›π—” π— π—”π—§π—”π—§π—œπ—­π—’ 𝗬𝗔 π— π—œπ—™π—¨π—£π—” (π—’π—˜π—§π—˜π—’π—£π—’π—₯π—’π—¦π—œπ—¦) πŸ‘‡
✍️ Magonjwa ya figo.
✍️ Upungufu wa hormone za estrogen hii ni kwa wanawake hasa wale wenye (Menopause) kikomo cha hedhi
✍️ Upasuaji na kuondolewa (ovaries) mayai ya uzazi kwa wanawake
✍️ Anorexia uzito mdogo kupita kias APA ni kwa wale wanaopenda sana kujinyima kula kupita kiasi wakikwepa kunenepa sana na kufanya mazoezi kupita kiasi.

𝗔𝗧𝗛𝗔π—₯π—œ π—­π—œπ—‘π—”π—­π—’π—¦π—”π—•π—”π—•π—œπ—¦π—›π—ͺ𝗔 𝗑𝗔 π—–π—›π—”π—‘π—šπ—”π— π—’π—§π—’ 𝗭𝗔 π— π—œπ—™π—¨π—£π—” 𝗑𝗔 π— π—”π—¨π—‘π—šπ—œπ—’ πŸ‘‡
πŸ€ Mifupa kuvunjika kwa urahisi.
πŸ€ Kupinda Mgongo wakati wa Uzeeni
πŸ€ Maumivu makali ya Mifupa hasa Katika uti wa mgongo, Mabegani, Kifuani na katika Nyonga.
πŸ€ Ulemavu wa Kudumu
πŸ€ Kupata Tatizo la Kiharusi (Stroke)
πŸ€ Kifo πŸ˜₯

π—žπ—ͺ𝗔 π—§π—œπ—•π—” 𝗑𝗔 𝗨𝗦𝗛𝗔𝗨π—₯π—œ π—­π—”π—œπ——π—œ
Tembelea Ofisi Zetu Zilizopo Nchi Nzima au Tupigie Sasa Kupitia

☎️0654693617

*HIZI NI FAIDA ZA KUTUMIA DETOXLIVE* je, unajua maisha tunayoishi tunakula vyakula vyenye sumu ambavyo huongeza sumu mwi...
23/05/2024

*HIZI NI FAIDA ZA KUTUMIA DETOXLIVE*

je, unajua maisha tunayoishi tunakula vyakula vyenye sumu ambavyo huongeza sumu mwilini?

*Je, unajua faida ya product ya Detoxlive capsules?*

βœ…Huondoa sumu mwilini.
*βœ… Hunyonya na kuyeyusha mafuta ya vitambi na minyama uzembe na kupunguza uzito mkubwa.*
βœ…Inaimarisha ubongo na kutunza kumbukumbu

*βœ…Inaondoa madhara ya pombe kwa wanywaji na kulinda INI na FIGO.*

βœ…Inaondoa mafuta yaliyozidi mwilini, baada ya kula hutumiwa Kuzuia kuota vitambi.

*βœ…Inaondoa sukari iliyozidi mwilin Na ni nzuri kwa wenye shinikizo la damu (presha)*

βœ…Huondoa hali ya uzee wa sura na mwili kabla ya wakati

βœ…Ina ondoa URIC ACID ilioyozidi mwilini

βœ…Huondoa maumivu ya viungo hasa kwenye maungio kwani unasawazisha kiwango cha uric acid.

βœ…Inaimarisha UTENDAJI KAZI MZURI na kuzuia madhara kwenye FIGO,INI,KONGOSHO,mapafu.
βœ…Inaleta usingizi Mzuri sana.
βœ…Huondoa hali ya uchovu uchovu usio na sababu.....
*Piga namba 0654 693 617 kupata bidhaa zetu au Njoo inbox

Uhusiano wa tezi dume na nguvu za kiume Tezi Dume (Prostate gland)Tezi dume ni sehemu mojawapo ya mfumo wa uzazi wa kium...
23/05/2024

Uhusiano wa tezi dume na nguvu za kiume
Tezi Dume (Prostate gland)
Tezi dume ni sehemu mojawapo ya mfumo wa uzazi wa kiume. Inaundwa na sehemu mbili, lobes, ambazo zimeunganishwa na kufunikwa kwa nje kwa utando wa tishu. Tezi hii ipo mbele kidogo ya puru (re**um) na na chini kidogo ya kibofu cha mkojo. Tezi dume inauzunguka mrija unaounganisha kibofu cha mkojo na uume (urethra). Mojawapo ya kazi za tezi dume ni kutoa majimaji yanayochanganyika na mbegu za kiume (sperms) wakati wa kilele cha tendo la ngono. Mchanganyiko huu wa mbegu pamoja na majimaji hayo hufanya shahawa (semen). Aidha majimaji hayo husaidia kuzipa mbegu za kiume nguvu ya kusafiri kwenye uke mpaka kufikia kwenye mirija ya fallopian tayari kwa utungisho na yai la k**e. Vilevile husaidia kupunguza hali ya kitindikali iliyopo katika uke, ambayo k**a isiporekebishwa, huweza kuua mbegu nyingi za kiume na kufanya utungisho kuwa wa tabu.

Kuvimba Tezi Dume (BPH)
Kwa kadiri mwanaume anavyozeeka, ni jambo la kawaida pia kwa tezi dume kuongezeka ukubwa na kuvimba. Hali hii kitabibu huitwa Benign Prostate Hyperplasia au wengine hupenda kutumia maneno Benign Prostate Hypertrophy kwa kifupi BPH. Kwenye makala hii tutautumia sana ufupisho huu wa BPH ili kurahisisha mambo.

Ukuaji wa tezi dume hupitia hatua kuu mbili. Hatua ya kwanza hutokea kipindi cha balehe wakati tezi dume linapoongezeka ukubwa na kuwa mara mbili ya lilivyokuwa hapo awali. Baada ya hapo ukuaji husimama kwa muda mpaka kijana anapofikisha miaka 25 hadi 30 ndipo hatua ya pili ya ukuaji huanza tena. Ukuaji huendelea kwa viwango na kasi tofauti kati ya mtu na mtu na hatimaye kusababisha
BPH katika umri wa utu uzima.

Wakati tezi dume linapokua na kutanuka, utando wa tishu unaozulizunguka hutanuka pia. Hata hivyo ingawa tezi dume huendelea kukua, hufikia wakati utando wake huacha kutanuka na kufanya tezi dume kubana mrija wa kutolea mkojo kutoka kwenye kibofu. Hali hii husababisha kibofu cha mkojo kuwa na ngozi ngumu. Hali hii hufanya kibofu cha mkojo kuhisi kutaka kutoa mkojo nje hata k**a kiasi cha mkojo ndani yake ni kidogo sana. Hufikia wakati, kibofu huwa dhaifu na kupoteza uwezo wake

Ushauri piga 0654693617

HII NI PRODUCT NZURI SANA HUSUSANI KWA WANAWAKE WENYE CHANGAMOTO ZA UTI SUGU NA FANGASIINASAIDIA KWENDA KUUWA WALE BACTE...
23/05/2024

HII NI PRODUCT NZURI SANA HUSUSANI KWA WANAWAKE WENYE CHANGAMOTO ZA UTI SUGU NA FANGASI

INASAIDIA KWENDA KUUWA WALE BACTERIA WABAYA

INAZUIA MAAMBUZIKIZI KATIKA VIA VYA UZAZI NA SEHEMU ZA UKE WA MWANAMKE

UNAFANYA SEHEMU YA MWANAMKE KUWA SAFI MDA WOTE

INASAIDIA KUONDOA UCHAFU WA FANGASI NA WA PID YAPO KWA PID ITAKUWA SIO DOSE KAMILI

KUZUIA KUSINYΓ€A KWA MISULI YA UKE

HUSAIDIA KWA WALE WANAOPATA MAUMIVU YA UKE KUWA MKAVU

Address

Dar Es Salaam

341

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Madam rosemary posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Madam rosemary:

  • Want your practice to be the top-listed Clinic?

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram