18/08/2024
PONYA NA UIMARISHE FIGO ZAKO. Figo ni chujio lenye muunganiko wa mamilioni ya vichujio vingi vidogo vidogo. Matatizo na magonjwa huanza pale figo zinaposhindwa kuchuja. Ukisafisha chujio zote za figo, magonjwa na matatizo yote yanaondoka.
Ugonjwa wa figo ni biashara, usitegemee tangazo kutoka kwenye vyombo husika kuhusu dawa ya kuponya figo. Lengo ni uendelee kuuziwa madawa, uwe mteja wa kudumu. Dawa za kemikali zinakupa unafuu, kupunguza maumivu na kusababisha magonjwa mengine ili uendelee kuwa mteja. Inafahamika wazi kwamba matumizi ya muda mrefu ya dawa za kemikali huleta athari kwenye viungo vyote mwilini, hususani Figo, Moyo, Ubongo, Ini na Mapafu.
SULUHISHO LA KUDUMU
Yeyote yule mwenye matatizo ya figo na magonjwa mengine, tumekuandalia mpangilio wa vyakula (Meal Plan) vinavyoendana na group lako la damu, na dawa za kukusaidia kuondokana na ugonjwa wa figo na maradhi mengine yaliyopo mwilini mwako. Dawa zimetokana na mimea, vyakula na matunda zaidi ya 78. Siyo chungu ni tamu, na utamu wake umetokana na matunda. Hazina kemikali.
Dawa zetu zinaamsha na kurejesha uwezo wa mwili wa Kujikarabati, Kujiponya, Kujiimarisha na Kuondoa matatizo, maradhi na magonjwa yaliyopo mwilini mwako. Mwili wako unarejeshwa kwenye hali yake ya kawaida, na kuishi bila magonjwa. Unakaa kwenye utuuzima na afya njema, huku ukifurahia uumbaji wa Mungu.
Mungu aliuumba mwili wako na uwezo wa Kujikarabati, Kujiponya na Kujiimarisha. Unaumwa kwasababu uwezo huo umepungua. Unapona maradhi yote yaliyopo mwilini mwako kwa sababu uwezo huo umerejea. Uwezo huo unadhohofika au unarejea kutokana na dawa na vyakula, unavyokula kila siku.
LOCATION
Tunapatikana maeneo ya Mbezi Beach kwa Zena, karibu na Shoppers Plaza, Jengo letu ni Mbezi Beach Plaza, Ghorofa ya Pili. Kwa mawasiliano zaidi : 0689 733 855