Dr Edson hepasolution

Dr Edson hepasolution wahi sasa upate suluhisho la uhakika kutoka kwa doctor makini sana
WhatsApp+255653390434

16/10/2024
*Dalili za UTI (Ugonjwa wa Maambukizi ya Njia ya Mkojo):*1. Maumivu au kuchoma wakati wa kukojoa.2. Hamu ya kukojoa mara...
07/10/2024

*Dalili za UTI (Ugonjwa wa Maambukizi ya Njia ya Mkojo):*

1. Maumivu au kuchoma wakati wa kukojoa.

2. Hamu ya kukojoa mara kwa mara lakini mkojo unaotoka ni kidogo.

3. Mkojo wenye harufu kali au unaobadilika rangi, kuwa wa kijani, mawingu, au wa damu.

4. Maumivu ya tumboni sehemu ya chini au mgongoni, hasa pembeni ya mgongo.

5. Homa au baridi, wakati mwingine ikifuatana na kutetemeka.

6. Uchovu wa jumla au kuhisi hali ya kukosa nguvu.

*Sababu za UTI:*

1. Bakteria kuingia kwenye njia ya mkojo, mara nyingi bakteria wa Escherichia coli (E. coli) kutoka kwenye utumbo.

2. Kukaa na mkojo kwa muda mrefu kwenye kibofu cha mkojo.

3. Kutumia vifaa vya kupitisha mkojo (catheter) kwa muda mrefu.

4. Kukosa usafi wa sehemu za siri au kutokufuta vizuri baada ya kukojoa.

5. Kuzuiwa au kukwama kwa mkojo kutokana na matatizo k**a mawe kwenye figo au tezi dume kubwa kwa wanaume.

*Madhara ya UTI isipotibiwa:*

1. Maambukizi kwenye figo (Pyelonephritis), ambayo yanaweza kuleta madhara makubwa.

2. Kuumia kwa figo kutokana na maambukizi sugu au makali.

3. Kuharibika kwa mfumo wa mkojo k**a maambukizi yatasambaa.

4. Kutokea kwa maambukizi ya damu (Sepsis) ambayo yanaweza kuhatarisha maisha.

5. Upungufu wa nguvu mwilini kutokana na mwili kushambuliwa na maambukizi.

*Ni muhimu kutafuta matibabu mapema ili kuzuia madhara makubwa.*

Wasiliana nasi+255653390434

01/10/2024

Nimekuwa nikiwasaidia watu wengi sana wenye Changamoto ya *KISUKARI* hasa wanaopitia Changamoto zifuatazo.

1.miguu kuwaka moto na kupata Ganzi
2.uoni hafifu
3.presha
4.kiharusi
5.upungufu wa nguvu za kiume
6.ukosefu wa hamu ya tendo la ndoa
7.mwili kuishiwa nguvu...

*USIKATWE MGUU , MKONO AU KIUNGO CHOCHOTE KWA SABABU YA KISUKARI .*

K**a wewe ni mgonjwa wa kisukari na una kidonda ambacho kimekuhangaisha sana kwa mda mrefu bila ya kupata ufumbuzi basi ujumbe huu ni muhimu sana kwako .

Tunatoa huduma BURE kumuona DAKTARI kwa wangonjwa wa kisukari, Utalipia tu dawa na nutritional suppliment, pamoja na huduma za kusafisha kidonda.

Kwa Mawasiliano Piga

0653390434

WhatsApp ANDIKA NENO DAKTARI Nitakupigia

11/09/2024

Usiendelee kuteseka na changamoto zote za uzazi kwa mwame k**a kukosa momba , PID, UTI, uvimbe kwenye uzazi na meñgine mengi
/WhatsApp 0653 390 434

Je unapitia changamoto ya ngozi? Kutokana na Allergies, reaction za dawa, kinga ya mwili kuwa chini  .. Aina ya magonjwa...
01/09/2024

Je unapitia changamoto ya ngozi? Kutokana na Allergies, reaction za dawa, kinga ya mwili kuwa chini ..

Aina ya magonjwa ya ngozi huwashambulia watu wengi wanaposhindwa kubaini chanzo cha tatizo
tujipende ni muhimu kubaini chanzo cha tatizo kisha suluhisho la kudumu.

Usipuuze dalili, karibu WhatsApp kupata usaidizi.
0653390434

COMPLETE THE HEPATITIS B AND C CHALLENGE IN 12 WEEK Restore health and hope for the good of your life:HEPATITIS IS CURED...
28/08/2024

COMPLETE THE HEPATITIS B AND C CHALLENGE IN 12 WEEK

Restore health and hope for the good of your life:
HEPATITIS IS CURED:

HEPATITIS B :- It is a liver disease caused by the Hepatitis B virus.

The virus has the ability to spread and infect 100 times more people than the HIV virus.

The following are some of the ways of transmission of the hepatitis virus which include:-

[1] From mother to child.

[2] Having s*x with someone infected with the hepatitis virus.

[3] Donating sharp tools like needles especially to drug users or tattoo artists, toothbrushes.

[4] Transfusion of blood that has an infection with the INI type of Hepatitis virus.

[5 ] Kunyonyana Ndimi Denda' by a person infected with the hepatitis virus.

[6] Sharing a towel with a person with this disease.

[7] Changing clothes with a person with this disease or hugging when you are sweating.

Professional studies show that the virus is more dangerous than HIV because it can live outside the human body (that is, outside the blood system) for seven to eight days.

The human immunodeficiency virus (HIV) cannot live outside the bloodstream for even one minute.

A person with hepatitis has a shorter life expectancy than someone with AIDS.

In that sense, those infected with the hepatitis virus die very quickly if they are not treated early, then they live much shorter than those with HIV.

SOME SYMPTOMS RESULTING FROM HEPATITIS B AND C

[1] Constant fatigue

[2 ] Nausea.

[3] The body becomes weak and lacks strength.

[4 ] Severe fever.

[5] Loss of appetite.

[6] Weight loss.

[7] Severe abdominal pain on the side of the liver.

[8] Eyes and skin to be yellow.

[7 ] Black urine/urine having a dark color like coca-cola.

There are some patients with hepatitis who stay for a long time [many years] without seeing any symptoms of hepatitis, for a period of time if the liver continues to deteriorate, they will eventually develop severe liver disease and cause the liver to completely fail to function. It can also lead to death if not treated. accurate and early.
This step is called "Fulminant liver failure".

Symptoms become apparent many years after a person is infected.

For those infected with type C virus, drug treatment for 8 weeks ends the problem [Complete recovery] .

And for people with type B virus, drug treatment is for 12 weeks or 16 weeks, it kills all the viruses. [Full recovery]

SOME EFFECTS OF HEPATITIS IF YOU DONT GET EARLY TREATMENT

[1] INI complete failure to work (liver failure).

[2] Liver cancer (hepatoma).

[3] The kidneys are swollen and full of water

[4] Abdominal pain that does not go away

[5] Abdomen, face and legs swollen.

[6 ] Frequent and severe hunger.

[7] Yellow eyes and dull skin

[8] Patient Loss of life

COUNSELING AND TREATMENT

WhatsApp 0653390434

24/08/2024

KISUKARI
BLOOD SUGAR

Hili ni miongoni mwa matatizo ambayo yanatokana na upungufu wa kinga mwilini,

Ifahamike kisukari kina mpata mtu ni kutokana na zile kinga za mwili kushindwa kufanya kazi yake vizuri,

Na ili kinga za mwili ziweze kufanya kazi yake vizuri inahitajika mfumo wa taarifa uwe imara,

Mfumo wa taarifa ndio unao ongoza mwili mzima kwa mfano umwagaji wa insulin kutoka kwenye kongosho inahitajika taarifa moja kwa moja kutoka kwenye ubongo,

Kazi ya figo ni kudhibiti kiwango cha sukari mwilini, maji, chumvi, madini, na acid,

Na katika mwili wa binaadam chumvi ikiingia mwilini inahesabika k**a sukari baada ya madini joto baadhi kuchukuliwa,

Tuangalie moja kwa moja sasa sababu zinazo perekea tatizo hili la kisukari na sukari inabidi iwe 5 tu mwilini haitakiwi kushuka wala kupanda,

Kuna aina mbili ya kisukari hypergreshimier
Hypogreshimier

Yaani sukari kupanda na kushuka

SABABU ZA KISUKARI
1. Msongo wa mawazo
2. Ulaji wa vyakula vyenye sukari kwa wingi
3. Kushuka kwa kinga za mwili
4. Virusi vya ukimwi
5. Presha
6. Uchujaji katika figo kushuka

DALILI ZA KISUKARI
1. Kuhisi njaa mara kwa mara
2. Kuhisi mkojo mara kwa mara
3. Mkojo kunata k**a asili ya sukari
4. Mkojo kua wa njano
5. Macho kua ya chano
6. Kuchoka mara kwa mara
7. Mwili kuishiwa nguvu
8. Kuhisi kiu mara kwa mara
9.ganzi

USHAURI
1. Epuka kula vyakula vyenye sukari
2. Fanya mazoezi
3. Kunywa maji ya kutosha
4. Epuka mawazo
5. Epuka umezaji wa dawa za kemikali kwa muda mrefu

Kisukari kinatibika
Karibu tukupatie huduma bora za matibabu

Wasiliana nasi sasa
+255 0653 390 434

24/08/2024


Hizi ndizo dalili anazokuwa nazo mwanaume mwenye upungufu wa nguvu za kiume,

-uume kusinyaa na kurudi ndani
-uume kusimama legelege
-kukosa hamu ya tendo la ndoa
-kuwahi kufika kileleni wakati wa tendo la ndoa

-kutokuweza kurudia tendo zaidi ya Mara moja

-kuchoka Sana mpaka kulala usingizi baada ya round moja,

Suluhisho la uhakika linapatikana
Piga namba
0653390434

" 🍮KUWAKA MOTO AU KUFA GANZI MIGUU /MIKONO🍮- 🍬(FOOT/PERIPHERAL NEUROPATHY) ni nini🍬  ? 🍯"Katika mwili wa binadamu, kuna ...
31/07/2024

" 🍮KUWAKA MOTO AU KUFA GANZI MIGUU /MIKONO🍮-

🍬(FOOT/PERIPHERAL NEUROPATHY) ni nini🍬 ?

🍯"Katika mwili wa binadamu, kuna tatizo la kiafya ambalo huambatana na dalili za mtu kuhisi maumivu, kuhisi kuwaka moto na kufa ganzi kwa viungo vya pembezoni mwa mwili Kushindwa kushika au kunyanyua Kitu , Kuchoka kwa misuli na kadhalika.

🍯Matatizo haya ya kiafya (miguu/mikono kuhisi ganzi, baridi au maumivu) husababishwa na kuumia au kudhoofika kwa neva za pembezoni mwa mwili (miguuni au mikononi) na hivyo kupoteza uwezo wa kufanya kazi wa neva katika sehemu husika, miguuni au mikononi.

🍯Miongoni mwa mambo ambayo hupelekea neva hizi za pembezoni kudhoofika na kushindwa kufanya kazi vizuri ni haya yafuatayo:

🍯 * Kupungua kwa virutubisho mwilini,hasa mkusanyiko wa vitamini B,(Vitamin B Complex).

🍯* Matumizi ya dawa, mfano dawa za kutibu kifua kikuu au za kupambana na virusi vya ukimwi.

🍯 * Uzito mkubwa wa mwili.

🍯* Ugonjwa wa kisukari(diabetic neuropathy).

🍯* Shinikizo la damu.

🍯 * Unywaji wapombe kupita kiasi.

* Magonjwa ya figo.

🥞Habari njema ni kuwa hilo ni jambo linalotibika na utarudi kwenye hali yako ya kawaida, na kurudisha afya Yako K**a Zamani.

🥫KWA MSAADA ZAIDI NA WA HARAKA TUPIGIE🥫 :-

📞Kupitia Simu namba 👉 0653390434

🍘 TAFADHALI : USISAHAU KU SHARE.🍘

16/07/2024

KISUKARI
BLOOD SUGAR

Hili ni miongoni mwa matatizo ambayo yanatokana na upungufu wa kinga mwilini,

Ifahamike kisukari kina mpata mtu ni kutokana na zile kinga za mwili kushindwa kufanya kazi yake vizuri,

Na ili kinga za mwili ziweze kufanya kazi yake vizuri inahitajika mfumo wa taarifa uwe imara,

Mfumo wa taarifa ndio unao ongoza mwili mzima kwa mfano umwagaji wa insulin kutoka kwenye kongosho inahitajika taarifa moja kwa moja kutoka kwenye ubongo,

Kazi ya figo ni kudhibiti kiwango cha sukari mwilini, maji, chumvi, madini, na acid,

Na katika mwili wa binaadam chumvi ikiingia mwilini inahesabika k**a sukari baada ya madini joto baadhi kuchukuliwa,

Tuangalie moja kwa moja sasa sababu zinazo perekea tatizo hili la kisukari na sukari inabidi iwe 5 tu mwilini haitakiwi kushuka wala kupanda,

Kuna aina mbili ya kisukari hypergreshimier
Hypogreshimier

Yaani sukari kupanda na kushuka

SABABU ZA KISUKARI
1. Msongo wa mawazo
2. Ulaji wa vyakula vyenye sukari kwa wingi
3. Kushuka kwa kinga za mwili
4. Virusi vya ukimwi
5. Presha
6. Uchujaji katika figo kushuka

DALILI ZA KISUKARI
1. Kuhisi njaa mara kwa mara
2. Kuhisi mkojo mara kwa mara
3. Mkojo kunata k**a asili ya sukari
4. Mkojo kua wa njano
5. Macho kua ya chano
6. Kuchoka mara kwa mara
7. Mwili kuishiwa nguvu
8. Kuhisi kiu mara kwa mara
9.ganzi

USHAURI
1. Epuka kula vyakula vyenye sukari
2. Fanya mazoezi
3. Kunywa maji ya kutosha
4. Epuka mawazo
5. Epuka umezaji wa dawa za kemikali kwa muda mrefu

Kisukari kinatibika
Karibu tukupatie huduma bora za matibabu

Wasiliana nasi sasa
+255 653390434

16/07/2024

0653390434
Inasababishwa na virusi aina 5 A,B,C,D,E
Virusi hivi vikiwa vingi hufanya ini kusinyaa na kudhindwa kufanya kazi yake

Sababu kubwa Huwa ni mtindo wa maisha
ambayo si salama
vyenye sumu nyingi
damu

sundano ambazo si salama
mjamzito kwa 90% humuambukiza mtoto akiwa tumboni,akijifungua au akimnyonyesha

Virus wa kundi A,E huenezwa kwa njia ya kunnywa maji ambayo si salama na vyakula ambavyo si salama

Hapa mtu Huwa anatapika sana na kuharisha
Virus DCB
kwa njia ya kuongezewa damu yenye kirusi
na mtu mwenye virus hivyo
watu ambao wanatabia ya kujidunga
mjamzito mtoto akiwa tumboni,akijifungua na akimnyonyesha 90% anaweza kumuambukiza

CB
Vikiingia kwenye damu k**a KINGA zako zikishindwa kupambana na Hawa virus 🦟🦠 changamoto hii inaweza kukupata


kutumia pombe
vyakula vyenye sumu nyingi ,mafuta mengi ,chumvi nyingi
maji salama

Kwa wenye hii changamoto kuna TIBA ya miezi 2 mpaka mitatu jitahidi KUWAHI TIBA mapema
TUPIGIE no #0653390434

30/06/2024

Kwa changamoto ya pressure kalibu sana 0653390434

Dr
30/06/2024

Dr

Address

Kimara
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dr Edson hepasolution posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Dr Edson hepasolution:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram