Dr Nature

Dr Nature A visionary medical doctor with a passion for transforming lives through healthy lifestyle coaching
(1)

Tuko live 🔥🔥
02/03/2026

Tuko live 🔥🔥

KARIBU KATIKA MKUTANO WA KIDIGITALI WENYE MOTO.Usemao: “Wakati Giza Likinzonga Sana, Neema Huonekana.”Tunayo furaha kukukaribisha katika mkutano huu wa kipek...

Hii ni summary ya somo la jaa.. #  semina kila jioni saa 11:30 live
02/03/2026

Hii ni summary ya somo la jaa..
# semina kila jioni saa 11:30 live

Kila siku kuanzia saa 11:30 jioni. Karibu sana
02/03/2026

Kila siku kuanzia saa 11:30 jioni. Karibu sana

20/02/2026

Mapumziko hadi jumapili..

Ndugu zangu Waislam na Wakristo nawatakiwa funga njema iliyojaa baraka za Mungu.Mbali na faida za kiafya nyingi sana za ...
18/02/2026

Ndugu zangu Waislam na Wakristo nawatakiwa funga njema iliyojaa baraka za Mungu.

Mbali na faida za kiafya nyingi sana za kufunga..

Funga inasaidia kukarabati software ya kiroho kwenye maisha yetu. Tufunge kwa kuzingatia misingi ya kiroho na wala sio kujionyesha

Sali zaidi

Penda zaidi

Saidia zaidi (bila camera)

Tubu kwa dhati

Na Mungu akubariki

*Mental Health ECHO Clinic**Mada*: Unyanyapaa katika Afya ya Akili*Tarehe*: Jumatatu 23/02/2026*Muda:* Saa nane kamili m...
18/02/2026

*Mental Health ECHO Clinic*

*Mada*: Unyanyapaa katika Afya ya Akili
*Tarehe*: Jumatatu 23/02/2026
*Muda:* Saa nane kamili mchana hadi saa tisa mchana
*Link:* https://iecho.org/public/program/PRGM1711449207341HM639NATGQ

Sambaza Tangazo hili kwa Watoa huduma na Wanajamii.

N.B: *_Jisajili kwa ku download application ya iECHO inayopatikana Play Store, kisha fanya Registration, itahitaji uweke email yako.._* ..Click link hii kufikia Aplication husika: https://play.google.com/store/apps/details?id=org.iecho.app

Ukipata changamoto wasiliana na:
1. Chacha Marwa: 0657819706
2. Omary Mbwambo: 0714873954

Kila mtu anapenda kuwa na afya njema..Sio tunaofundisha wala wasio wataalamu, wote tunahitaji kuwa na afya njema.Kulalam...
17/02/2026

Kila mtu anapenda kuwa na afya njema..

Sio tunaofundisha wala wasio wataalamu, wote tunahitaji kuwa na afya njema.

Kulalamika kuwa “WATAALAMU MNATUCHANGANYA”

Ni kweli hakuna hata siku moja wanadamu wote tukakubaliana katika kila kitu.

Lakini yako mengi ambayo yako wazi, umeanza kufanyia kazi kipi?

Nini ambacho kwenye mtindo wako wa
- Ulaji
- kujishughulisha ‘mazoezi’
- stress management
- Kunywa maji
- Kulala nk

Ni nini ambacho unakifanyia kazi?

16/02/2026

Ukisikia Habari ya Msiba Unahisi wewe ndio unakufa!? REFLUX

Book Consultation 0756668742

Sio maarufu sana huku kwetu lakini ukiweza kanunue uongeze hizi faida hizi..Hizi ni zile ambazo zimethibitika sio bla.. ...
16/02/2026

Sio maarufu sana huku kwetu lakini ukiweza kanunue uongeze hizi faida hizi..

Hizi ni zile ambazo zimethibitika sio bla.. bla..

NB: Sio lazima ule almond kupata hizi faida

1. Huboresha cholestrol mbaya na hivyo kukulinda shidi ya magonjwa ya stroke na magonjwa ya moyo

2. Nzuri k**a unataka kupunguza au kutunza uzito mzuri

3. Husaidia afya ya ubongo

4. Inaboresha mbegu za mwanaume💪🏻

5. Ina virutuvisho vinavyosaidia kuzima mioto ‘inflammation’

Ukipita sokoni nunua..
- changanya kwenye nafaka za unga wako

- Weka kwenye smoothie

- Tengeneza unga wake mwenyewe nk

15/02/2026
THIS FRIDAY21:00-22:00PM EAT/MOSCOW TIMEhttps://meet.google.com/enm-mbty-itw   Nifunge/kujinyima Kula? !Kun Faida gani ?...
13/02/2026

THIS FRIDAY
21:00-22:00PM EAT/MOSCOW TIME
https://meet.google.com/enm-mbty-itw

Nifunge/kujinyima Kula?
!Kun Faida gani ?

yatazungumzwa, usikose
FEEL INVITED ,SHARE TO MORE THEN JOIN US 🇹🇿

Address

Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 08:00 - 18:00
Tuesday 08:00 - 18:00
Wednesday 08:00 - 17:00
Thursday 08:00 - 18:00
Friday 08:00 - 18:00
Sunday 08:00 - 18:00

Telephone

+255767759137

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dr Nature posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram

Category

USHUHUDA

Ni rahisi k**a ukifuata maelekezo ni rahisi sana kutibu tatizo la nguvu za kiume! Unaweza ukapona kabisa ukawa k**a zamani au k**a wanaume wengine.