AFYA BORA Maisha BORA

  • Home
  • AFYA BORA Maisha BORA

AFYA BORA Maisha BORA Virutubisho Tiba. Member Pmg

ILI UWE NA AFYA BORA, MSINGI WAKE NI HUU: KILA SIKU FANYA HAYA1. Kuna umuhimu mkubwa saaana, kufanya mazoezi mepesi ya m...
06/09/2024

ILI UWE NA AFYA BORA, MSINGI WAKE NI HUU: KILA SIKU FANYA HAYA

1. Kuna umuhimu mkubwa saaana, kufanya mazoezi mepesi ya mwili kwa dakika 15 hadi nusu saa ili kutengeneza mzunguko mzuri wa damu na uimara wa mwili wako kwa ujumla. Mazoezi haya siyo yale ya kukimbia hapana, ukiweza simama au ukiweza kaa kwenye kiti, cha msingi unaweza kunyanyua mikono na kushusha mara kadha, ikiwa nipamoja na miguu, chuchumaa simama mara kadha , inama na kuinuka mara kadha.

Ni mazoezi yale ya kufanya hapo hapo ulipo na iwe tabia yako endelevu, isiache kufanya hata siku moja, siyo leo umfanya kesho umeacha, haitaleta matokeo mazuri au afya Bora, naomba jenga tabia hii ya kutoa dakika 15 hadi nusu saa ufanye mazoezi ya mwili kwa afya Bora kuupa mwili wepesi.

Masomo haya yatakuwa endlevu yatatoka kwa wiki mara tatu, naomba usikose somo letu la 2 umuhimu wa kutumia maji k**a tiba. mwendelezo ,ni kila j3, j5, na ijumaa. Asanteni kwa kunifuatilia.

TUZIFAHAM FIGO ZETUFigo Ni Viungo Viwili Katika Mwili Wa Binadamu, Ambavyo Vimesimikwa Chini Ya Mbavu Upande Wa Mgongoni...
23/08/2024

TUZIFAHAM FIGO ZETU

Figo Ni Viungo Viwili Katika Mwili Wa Binadamu, Ambavyo Vimesimikwa Chini Ya Mbavu Upande Wa Mgongoni, Kwa Upande Wa Kulia Na Kushoto.

Figo Hizi Hutumika K**a Chujio La Kuchuja Damu Itakayo Kwenye Moyo Na Damu Hutiririka Hadi Kufikia Lita 180 Kwa Siku Na Damu Hiyo Huingia Katika Figo.

Baada Ya Mchujo Kufanyika, Uchafu Hutolewa Kupitia Kwenye Mirija Na Kuingia Kwenye Kibofu Cha Mkojo Hatimae Kupata Haja Ndogo, Lakini Pia Ile Damu Safi Kutoka Kwenye Figo Hurudishwa Moyoni Tena Ili Kulisha Viungo Muhimu Mwilini.

Kwa Kawaida Figo Hutengeneza Nusu Kikombe Cha Mkojo Kila Dakika Moja.

PONYA NA UIMARISHE FIGO ZAKO. Figo ni chujio lenye muunganiko wa mamilioni ya vichujio vingi vidogo vidogo. Matatizo na ...
17/08/2024

PONYA NA UIMARISHE FIGO ZAKO. Figo ni chujio lenye muunganiko wa mamilioni ya vichujio vingi vidogo vidogo. Matatizo na magonjwa huanza pale figo zinaposhindwa kuchuja. Ukisafisha chujio zote za figo, magonjwa na matatizo yote yanaondoka.

Ugonjwa wa figo ni biashara, usitegemee tangazo kutoka kwenye vyombo husika kuhusu dawa ya kuponya figo. Lengo ni uendelee kuuziwa madawa, uwe mteja wa kudumu. Dawa za kemikali zinakupa unafuu, kupunguza maumivu na kusababisha magonjwa mengine ili uendelee kuwa mteja. Inafahamika wazi kwamba matumizi ya muda mrefu ya dawa za kemikali huleta athari kwenye viungo vyote mwilini, hususani Figo, Moyo, Ubongo, Ini na Mapafu.

SULUHISHO LA KUDUMU

Yeyote yule mwenye matatizo ya figo na magonjwa mengine, tumekuandalia mpangilio wa vyakula (Meal Plan) vinavyoendana na group lako la damu, na dawa za kukusaidia kuondokana na ugonjwa wa figo na maradhi mengine yaliyopo mwilini mwako. Dawa zimetokana na mimea, vyakula na matunda zaidi ya 78. Siyo chungu ni tamu, na utamu wake umetokana na matunda. Hazina kemikali.

Dawa zetu zinaamsha na kurejesha uwezo wa mwili wa Kujikarabati, Kujiponya, Kujiimarisha na Kuondoa matatizo, maradhi na magonjwa yaliyopo mwilini mwako. Mwili wako unarejeshwa kwenye hali yake ya kawaida, na kuishi bila magonjwa. Unakaa kwenye utuuzima na afya njema, huku ukifurahia uumbaji wa Mungu.

Mungu aliuumba mwili wako na uwezo wa Kujikarabati, Kujiponya na Kujiimarisha. Unaumwa kwasababu uwezo huo umepungua. Unapona maradhi yote yaliyopo mwilini mwako kwa sababu uwezo huo umerejea. Uwezo huo unadhohofika au unarejea kutokana na dawa na vyakula, unavyokula kila siku.

LOCATION

Tunapatikana maeneo ya Mbezi Beach kwa Zena, karibu na Shoppers Plaza, Jengo letu ni Mbezi Beach Plaza, Ghorofa ya Pili. Kwa mawasiliano zaidi: +255761648090

Karibu tujifunze namna ya kujiepusha na kutibu magojwa ya Figo.Hallow, let's learn on how to protect and treat kidney fa...
17/08/2024

Karibu tujifunze namna ya kujiepusha na kutibu magojwa ya Figo.

Hallow, let's learn on how to protect and treat kidney failure.

Address

Mbezi Beach Raybow Mzimuni

14121

Opening Hours

Monday 07:00 - 21:00
Tuesday 07:00 - 21:00
Wednesday 07:00 - 21:00
Thursday 07:00 - 21:00
Friday 07:00 - 21:00
Saturday 07:00 - 21:00
Sunday 07:00 - 21:00

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when AFYA BORA Maisha BORA posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

  • Want your practice to be the top-listed Clinic?

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram