Rukia Virutubisho

Rukia Virutubisho Ninasaidia wanawake kutatua changamoto ya uzazi kwa kutumia program maalum ya" Mama kijacho"
๐Ÿ“ž0788282112
fb://profile/61560397657722.

Waliotumia hii wanaelewa mt**i wake yaani haicheleweshi, haijalishi umeteseka au Umehangaika Kwa Muda Gani ila hii ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅWas...
01/09/2025

Waliotumia hii wanaelewa mt**i wake yaani haicheleweshi, haijalishi umeteseka au Umehangaika Kwa Muda Gani ila hii ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ

Wasiliana nami kwa Whatsapp number 0788 282 112 , ili kupata fertility booster yako Leo.

K**a ni Unatamani kubeba ujauzito basi  Usikose fertility booster ambayo Itakusaidia kurahisisha safari yako ya ujauzito...
01/09/2025

K**a ni Unatamani kubeba ujauzito basi Usikose fertility booster ambayo Itakusaidia kurahisisha safari yako ya ujauzito.

UKITUMIA FERTILITY BOOSTER UTAENDA KUEPUKANA NA HAYA

โœ… Kuweka sawa mzunguko wako hedhi, hii Itakusaidia wewe kuweza kubeba ujauzito kirahisi
โœ… Kuweka sawa mfumo wako wa Hormones, hivyo Utaweza kupata Ute wa ovulation kirahisi na hatimaye kuconceive.
โœ… Kuimarisha Afya ya mayai ( eggs quality) hii itasaidia kuzuia mimba Kuharibika .
โœ… Kuimarisha Afya na Kinga ya mwili wako, kwani ujauzito sio ugonjwa...Hali k**a kichefu chefu, kutapika, kuvimba baadhi ya sehemu za mwili , kuchoka au Uchovu uliopitiliza nk ukitumia fertility booster aah mbona unafurahia ๐Ÿ˜‰
Na faida nyiingi utazipata endapo utaenda kutumia fertility booster.

By the way k**a Unahitaji fertility booster, basi wasiliana nami kwa Whatsapp number 0788 282 112 ili uanze mwanzo mwema wa safari yako ya Ujauzito karibu.

Hello Naitwa Madam Rukia Virutubisho, Nasaidia wanawake wenye changamoto mbalimbali za Uzazi k**a vile โœ…P.I.Dโœ… Uvimbe kw...
01/09/2025

Hello Naitwa Madam Rukia Virutubisho, Nasaidia wanawake wenye changamoto mbalimbali za Uzazi k**a vile
โœ…P.I.D
โœ… Uvimbe kwenye kizazi ( fibroids)
โœ… Mirija Kuziba
โœ… Uvimbe Maji kwenye kizazi ( Ovarian cyst)
โœ… Kushindwa Kubeba Ujauzito
โœ…Mimba Kuharibika
โœ… Mimba Kutunga Nje Ya mfuko wa Uzazi
โœ… Hormonal Imbalance
โœ… Moral Pregnancies
โœ… Maumivu Makali Wakati Wa Tendo
โœ… Maumivu Makali Wakati Wa Hedhi...nk

Kwa suluhisho Bora la Afya yako, usisite kuwasiliana nami kwa Whatsapp number 0788 282 112 . Karibu.

Ni**le Discharge, ni Hali ambayo maji, Ute, au maji maji aina yoyote hutokea kwenye chuchu ya mwanamke au mwanaume, na h...
01/09/2025

Ni**le Discharge, ni Hali ambayo maji, Ute, au maji maji aina yoyote hutokea kwenye chuchu ya mwanamke au mwanaume, na hii Hali haihusishwi katika Kipindi Cha kunyonyesha au ujauzito.

Ni**le Discharge ni kawaida kutokea kwa mwanamke ila si kawaida endapo ikitokea kwa mwanaume.

Lakini Hali hii ya chuchu kutoa maji au uchafu hutokea sana kwa Wanawake,

AINA ZA MAJI YANAYOWEZA KUTOKA KWENYE CHUCHU

โœ…K**a maziwa โ€“ mara nyingi hutokea kwa sababu ya homoni au mimba.

โœ…K**a damu โ€“ hii mara nyingi siyo ya kawaida na inahitaji uchunguzi.

โœ…K**a usaha โ€“ huashiria maambukizi ya t**i.

โœ…Maji safi au ya njano kidogo โ€“ yanaweza kuwa ya kawaida au kutokana na uvimbe mdogo kwenye t**i.

SABABU ZINAZOWEZA KUSABABISHA CHUCHU KUTOA MAJI.

โœ…Kubonyeza chuchu mara kwa mara

โœ…Mimba au baada ya kuacha kunyonyesha

โœ…Birth control pills ( Vidonge vya Uzazi wa mpango)

โœ…Maambukizi ya t**i

โœ…Uvimbe mdogo ndani ya t**i

โœ…Saratani ya t**i (hasa k**a damu inatoka chuchu moja tu)

By the way, k**a na wewe ni mmoja Kati wanawake wanaopitia changamoto hii basi , tunalosuluhisho kwa ajili yako, kwani wengi wenye changamoto k**a hii niliyowasaidia wamepona , Sasa kwanini isiwe kwako?

Wasiliana nami kwa Whatsapp number 0788 282 112 kwa kunitumia ujumbe NAHITAJI, ili uanze safari yako ya matibabu kupitia Virutubisho vyetu asili.

Fibroids ni Uvimbe Unaokua ndani au juu ya Kuta za mfuko wa Uzazi wa mwanamke ( Uterus) , Kwa kawaida huwatokea wanawake...
31/08/2025

Fibroids ni Uvimbe Unaokua ndani au juu ya Kuta za mfuko wa Uzazi wa mwanamke ( Uterus) , Kwa kawaida huwatokea wanawake wenye umri wa kuzaa kuanzia miaka 15 mpaka 49.

Chanzo au sababu ya Ugonjwa huu haujathibitishwa kwani hakuna kiashiria kinachoonesha kuchochea changamoto hii ila ....

Kuna vichocheo viwili ambavyo hupelekea mwanamke kupata Uvimbe kwenye kizazi, k**a vile
โœ… Kurithi kutoka kwa mama, bibi, au yeyote ambaye mwenye historia ya kuwa na ugonjwa huu.
โœ… Hormonal changes oestrogen na progesterone
Homoni hizi zinasabisha tishu zilizopo ndani ya mfuko wa Uzazi (Uterus) kutanuka wakati wa kipindi Cha mzunguko wa hedhi, kwahiyo hizi homoni zinasabisha fibroids kukua au kuongezeka.

UTAJUAJE K**A UNA FIBROIDS?

โœ… Kutokwa Na Damu Nzito Wakati Wa Hedhi yaani mabonge mabonge
โœ… Kupata Maumivu Makali Wakati Wa Hedhi
โœ… Hedhi Kupitiliza , yaani kupata Hedhi zaidi ya siku 7
โœ… Maumivu Wakati Wa Tendo La Ndoa (Kujamiiana)
โœ… Kutokwa Na Damu Baada ya tendo la ndoa
โœ… Kukosa au kupungua kwa hamu ya tendo ( Hii ni Kwa baadhi ya wanawake)
โœ… Kukojoa mara kwa mara/ kushindwa kuhimili mkojo.
โœ… Kukosa Choo
โœ… Maumivu ya tumbo chini ya kitovu/ Maumivu ya kiuno na mgongo ( inaweza kutokea wakati wa hedhi au wakati wa tendo)
โœ… Kushindwa Kubeba Ujauzito.

NB: mara nyingi viashiria hivi Huwa havitokei kwa wanawake wote , ila ni baadhi ya wanawake ndio Huwa wanapitia Hali hii hii inatokana na nature ya mwili wa mwanamke. Hivyo wengine hugundua wanafibroids mpaka pale wanapoenda kupima hospital.

By the way, k**a na wewe ni mmoja kati ya wanawake ambao wanapitia changamoto hii ya fibroids ni vyema kupata matibabu mapema kwani ni very risk kukaa na ugonjwa bila kuutibia.

Nimesaidia wanawake wengi wenye changamoto k**a hii, hivyo k**a unasumbuliwa na changamoto hii ya Uvimbe kwenye kizazi basi
@ rukia Virutubisho yupo kwa ajili yako kukusaidia

Wasiliana nami kwa Whatsapp number 0788 282 112 , ili kupata suluhisho thabiti na la uhakika .

Endometriosis ni tatizo linalohusisha Tishu kwenye ukuta wa kizazi(Uterus) kukua zaidi kuelekea nje. Ni ugonjwa ambao ti...
31/08/2025

Endometriosis ni tatizo linalohusisha Tishu kwenye ukuta wa kizazi(Uterus) kukua zaidi kuelekea nje. Ni ugonjwa ambao tishu
zinazofanana na utando wa uterasi kukua nje ya uterasi,

Hali hii huweza kusababisha maumivu makali eneo la nyonga kwa mwanamke na kufanya iwe vigumu kwake kubeba ujauzito.

Endometrosis ni tatizo Sugu linalohusishwa na;
Dalili mbali mbali ambazo mwanamke mwenye changamoto hii hupitia k**a vile

โœ… Maumivu Makali Wakati Wa Hedhi
โœ… Kutokwa Na Damu Nyingi au Kidogo Wakati Wa Hedhi
โœ… Maumivu Wakati Wa Tendo La Ndoa
โœ… Maumivu Wakati Wa Kukojoa
โœ… Matatizo ya tumbo k**a Kukosa Choo ( Constipation) , Kuharisha , pamoja na Tumbo kujaa gesi au kuvimba ( bloating)
โœ… Maumivu ya tumbo au mgonjwa wakati wa hedhi
โœ… Kushindwa Kubeba Ujauzito.
โœ… Kupata kichefu chefu, Uchovu pamoja na mfadhaiko au wasi wasi.

NB.: Kwa baadhi ya wanawake Huwa Dalili k**a hizi hawazipati mpaka pale atakapo kuja kugundua anatatizo la kushindwa Kubeba Ujauzito,

K**a na wewe ni mmoja kati ya wanawake Hawa wanaosumbuliwa na changamoto hii , basi Nina suluhisho kwa ajili yako wewe mwanamke unayesoma ujumbe huu , kwani...

Nimesaidia wanawake wengi sana wenye changamoto k**a hii , na wamepona kabisa, Sasa hii ni zamu yako na wewe kuondokana na changamoto hii

Wasiliana nami kwa Whatsapp number 0788 282 112 kwa suluhisho la uhakika.

Tatizo hili la mwanamke kuwa na uke mkavu linawapata wanawake wengi sana kwa hivi sasa, ambapo wengine hupata madhara mb...
30/08/2025

Tatizo hili la mwanamke kuwa na uke mkavu linawapata wanawake wengi sana kwa hivi sasa, ambapo wengine hupata madhara mbali mbali k**a maumivu makali wakati wa tendo la Ndoa N.K.

Tatizo hili huweza kuhusishwa na sababu mbali mbali ikiwemo ile ya baadhi ya magonjwa,mabadiliko ya vichocheo mwilini N.K.

SABABU ZA MWANAMKE KUWA NA UKE MKAVU NI PAMOJA NA;
1. Mvurugiko wa vichocheo mwilini yaani kwa kitaalam Hormone imbalance, hasa hasa vichocheo aina ya ESTROGEN ambavyo huhusika kwa kiasi kikubwa kuleta hali ya unyevu unyevu,ute pamoja na ulainishi ndani ya sehemu za siri za mwanamke.

2. Matumizi ya baadhi ya vitu vyenye kemikali katika kusafisha sehemu za siri za mwanamke Mfano; baadhi ya Sabuni.n.k

3. Kupatwa na maambukizi ya magonjwa mbali mbali ya zinaa K**a vile; Ugonjwa wa kisonono au kaswende.

4. Kupatwa na maambukizi katika njia au mfumo Mzima wa mkojo wa mwanamke yaani Urinary track infection(UTI).

5. Kuwa na tatizo la Fangasi ambazo haziishi,zinazojirudia rudia mara kwa mara licha ya matumizi ya dawa nyingi.

6. Mwanamke kupatwa na maambukizi ya bacteria katika via vyake vya uzazi yaani PELVIC INFLAMMATORY DISEASE(PID) n.k

Kwa Ushauri na TIBA usisite kuwasiliana nami kwa Whatsapp number 0788 282 112 , Nimesaidia wanawake wengi wenye changamoto k**a hii
Kwahiyo Nina uzoefu Mkubwa karibu kwa Afya Bora, kwa tiba sahihi na zenye uhakika.

K**a Umehangaika Kwa Muda Mrefu Kupona Changamoto hizi basi nikutoe hofu na wasi wasi kwani.Ujumbe Huu Hujakutana nao kw...
27/08/2025

K**a Umehangaika Kwa Muda Mrefu Kupona Changamoto hizi basi nikutoe hofu na wasi wasi kwani.

Ujumbe Huu Hujakutana nao kwa bahati mbaya Kwani ni ishara ya wewe Leo kwenda kuondokana na changamoto hizi

โœ…P.I.D Sugu
โœ…U.T.I Sugu
โœ… Fangasi Sugu
โœ… Miwasho ukeni
โœ… Harufu mbaya ukeni
โœ… Vipele Ukeni
โœ… Uvimbe ukeni (Bartholin cyst)
โœ…Ukavu Ukeni
โœ… Maumivu Wakati Wa Tendo La Ndoa
โœ… Maumivu Wakati Wa Hedhi
โœ… Hormonal Imbalance
โœ… Kutokwa Na Uchafu Ukeni
โœ… Kutokwa Na Damu Baada ya tendo nk.

Naelewa unavyojisikia kwani inawezekana pia umetumia mbinu na dawa mbali mbali ili kuweza kuondokana na changamoto hizi lakini ikashindikana.

Nikuhakikishie Leo utaenda Kupona na kubadili historia ya Mimi U.T.I yangu haiponagi "๐Ÿฅฒ

K**a kweli umechoshwa na hizi changamoto za magonjwa basi nitafute

kwa njia ya Whatsapp 0788282112 ..

1. Kuvaa chupi za nylon au zisizo na pamba โ€“ hazipitishi hewa, zinabaki na unyevunyevu.2. Kuvaa nguo za kubana sana (ski...
22/08/2025

1. Kuvaa chupi za nylon au zisizo na pamba โ€“ hazipitishi hewa, zinabaki na unyevunyevu.

2. Kuvaa nguo za kubana sana (skin-tight, leggings, jeans) โ€“ husababisha joto na unyevunyevu kukwama.

3. Kutokubadilisha chupi mara kwa mara โ€“ kuvaa chupi moja siku nzima bila kubadilisha.

4. Kutumia pads/pantiliners kwa muda mrefu bila kubadilisha โ€“ mazingira ya unyevu hufaa fangasi kukua.

5. Kutumia sabuni zenye kemikali nyingi au manukato kuoshea uke โ€“ huua bakteria wazuri wanaolinda uke.

6. Kuvaa nguo za kuogelea au za mazoezi zenye unyevunyevu kwa muda mrefu โ€“ fangasi hupenda unyevu.

7. Kutumia antibiotics mara kwa mara bila ulazima โ€“ huua bakteria wazuri na kuruhusu fangasi kuongezeka.

8. Kula vyakula vyenye sukari nyingi (soda, keki, ice cream) โ€“ sukari huchochea fangasi kuzaliana haraka.

9. Kuchoka au msongo wa mawazo (stress) โ€“ kinga ya mwili ikishuka, fangasi hupata nafasi ya kukua na Kuenea.

10. Kutopumzika vya kutosha na kukosa usingizi , hupunguza kinga ya mwili.

11. Kuvaa pads zenye manukato au bidhaa za harufu Kali k**a wipes , huchochea fangasi kwa kuvuruga microbiome ya uke.

12. Kutojikausha vizuri baada ya kuoga au kukojoa .unyevunyevu hubaki kwenye uke.

13. kutumia vyoo visivyo safi husababisha maambukizi.

14. Kutoosha mikono kabla na baada ya kujisafisha uke , mikono michafu hubeba vijidudu.

15. Kushiriki tendo bila kinga na mtu mwenye maambukizi โ€“ huchochea kuenea kwa fangasi.

Hivyo basi , k**a unachangamoto ya maambukizi ya fangasi Ukeni usisite kuwasiliana nami kwa namba 0788282112 ili kupata suluhisho la kudumu la changamoto hii.

๐Œ๐š๐ฎ๐ฆ๐ข๐ฏ๐ฎ ๐–๐š๐ค๐š๐ญ๐ข ๐–๐š ๐“๐ž๐ง๐๐จ, ๐ค๐ฐ๐š ๐ฃ๐ข๐ง๐š ๐ฅ๐ข๐ง๐ ๐ข๐ง๐ž ๐ฅ๐š ๐ค๐ข๐ญ๐š๐š๐ฅ๐š๐ฆ ๐‡๐ฎ๐ฐ๐š ๐ข๐ง๐š๐Ÿ๐š๐ก๐š๐ฆ๐ข๐ค๐š ๐Š๐š๐ฆ๐š ๐ƒ๐ฒ๐ฌ๐ฉ๐š๐ซ๐ž๐ฎ๐ง๐ข๐š....๐‡๐š๐ฅ๐ข ๐ก๐ข๐ข ๐ก๐ฎ๐ญ๐จ๐ค๐ž๐š ๐ค๐ฎ๐ญ๐จ๐ค๐š๐ง๐š ๐ง๐š ...
20/08/2025

๐Œ๐š๐ฎ๐ฆ๐ข๐ฏ๐ฎ ๐–๐š๐ค๐š๐ญ๐ข ๐–๐š ๐“๐ž๐ง๐๐จ, ๐ค๐ฐ๐š ๐ฃ๐ข๐ง๐š ๐ฅ๐ข๐ง๐ ๐ข๐ง๐ž ๐ฅ๐š ๐ค๐ข๐ญ๐š๐š๐ฅ๐š๐ฆ ๐‡๐ฎ๐ฐ๐š ๐ข๐ง๐š๐Ÿ๐š๐ก๐š๐ฆ๐ข๐ค๐š ๐Š๐š๐ฆ๐š ๐ƒ๐ฒ๐ฌ๐ฉ๐š๐ซ๐ž๐ฎ๐ง๐ข๐š....

๐‡๐š๐ฅ๐ข ๐ก๐ข๐ข ๐ก๐ฎ๐ญ๐จ๐ค๐ž๐š ๐ค๐ฎ๐ญ๐จ๐ค๐š๐ง๐š ๐ง๐š ๐ฌ๐š๐›๐š๐›๐ฎ ๐ฆ๐›๐š๐ฅ๐ข ๐ฆ๐›๐š๐ฅ๐ข ๐ค๐ฐ๐š ๐ฆ๐ฐ๐š๐ง๐š๐ฆ๐ค๐ž, ๐ค๐š๐ฆ๐š ๐ฏ๐ข๐ฅ๐ž

โœ…๐”๐ค๐š๐ฏ๐ฎ ๐”๐ค๐ž๐ง๐ข ๐š๐ฆ๐›๐š๐ฉ๐จ ๐‡๐š๐ฅ๐ข ๐ก๐ข๐ข ๐ก๐ฎ๐ฌ๐š๐›๐š๐›๐ข๐ฌ๐ก๐ฐ๐š ๐ฎ๐ค๐ข๐ฐ๐š ๐ง๐š ๐Œ๐š๐ญ๐š๐ญ๐ข๐ณ๐จ ๐ค๐š๐ฆ๐š ๐‡๐จ๐ซ๐ฆ๐จ๐ง๐š๐ฅ ๐ˆ๐ฆ๐›๐š๐ฅ๐š๐ง๐œ๐ž, ๐š๐ฆ๐š๐ก ๐ค๐ข๐ฉ๐ข๐ง๐๐ข ๐ฎ๐ค๐ข๐ฐ๐š ๐ฎ๐ง๐š๐ง๐ฒ๐จ๐ง๐ฒ๐ž๐ฌ๐ก๐š , ๐ฅ๐š๐ค๐ข๐ง๐ข ๐ฉ๐ข๐š ๐›๐š๐š๐๐š ๐ฒ๐š ๐ฆ๐ž๐ง๐จ๐ฉ๐š๐ฎ๐ฌ๐ž ๐‡๐š๐ฅ๐ข ๐ก๐ข๐ข ๐ก๐ฎ๐ญ๐จ๐ค๐ž๐š.

โœ… ๐Œ๐š๐š๐ฆ๐›๐ฎ๐ค๐ข๐ณ๐ข ๐ค๐š๐ฆ๐š ๐”๐“๐ˆ, ๐…๐€๐๐†๐€๐’๐ˆ, ๐๐ˆ๐ƒ ๐ง๐ค.

โœ…๐Œ๐ข๐œ๐ซ๐จ ๐ญ๐ž๐š๐ซ๐ฌ (๐ฆ๐ข๐œ๐ก๐ฎ๐›๐ฎ๐ค๐จ ๐ค๐ฐ๐ž๐ง๐ฒ๐ž ๐ญ๐ข๐ฌ๐ฌ๐ฎ๐ž ๐ณ๐š ๐ฎ๐ค๐ž,) ๐ง๐š ๐ก๐ข๐ข ๐ก๐ฎ๐ฐ๐ž๐ณ๐ข ๐ค๐ฎ๐ ๐ฎ๐ง๐๐ฎ๐š ๐ฆ๐ฉ๐š๐ค๐š ๐ฉ๐š๐ฅ๐ž ๐ข๐ญ๐š๐ค๐š๐ฉ๐จ๐š๐ง๐ณ๐š ๐ค๐ฎ๐ฎ๐ฆ๐š.

โœ…๐’๐ญ๐ซ๐ž๐ฌ๐ฌ ๐š๐ฎ ๐ฆ๐ฌ๐จ๐ง๐ ๐จ ๐ฐ๐š ๐ฆ๐š๐ฐ๐š๐ณ๐จ ๐ฉ๐ข๐š ๐ก๐ฎ๐ฉ๐ž๐ฅ๐ž๐ค๐ž๐š ๐ฆ๐ฐ๐š๐ง๐š๐ฆ๐ค๐ž ๐ค๐ฎ๐ฉ๐ข๐ญ๐ข๐š ๐ฆ๐š๐ฎ๐ฆ๐ข๐ฏ๐ฎ ๐–๐š๐ค๐š๐ญ๐ข ๐–๐š ๐“๐ž๐ง๐๐จ...๐‡๐š๐ฅ๐ข ๐ฒ๐š ๐ค๐ฎ๐ฐ๐š ๐ง๐š ๐ฆ๐š๐ฐ๐š๐ณ๐จ ๐ข๐ง๐š๐ฌ๐š๐›๐ข๐ฌ๐ก๐š ๐ก๐จ๐ซ๐ฆ๐จ๐ง๐ž๐ฌ ๐ค๐ฎ๐ณ๐š๐ฅ๐ข๐ฌ๐ก๐š ๐œ๐จ๐ซ๐ญ๐ข๐ฌ๐จ๐ฅ ๐š๐ฆ๐›๐š๐ณ๐จ ๐ณ๐ข๐ง๐š๐ฉ๐ฎ๐ง๐ ๐ฎ๐ณ๐š ๐ฆ๐ฌ๐ข๐ฌ๐ข๐ฆ๐ค๐จ ๐ฐ๐š ๐ค๐ข๐ง๐ ๐จ๐ง๐จ ๐ง๐š ๐ค๐ฎ๐Ÿ๐š๐ง๐ฒ๐š ๐ฎ๐ค๐ž ๐ฎ๐ฌ๐ก๐ข๐ง๐๐ฐ๐ž ๐ค๐ฎ๐ญ๐จ๐š ๐ฆ๐š๐ฃ๐ข ๐ฆ๐š๐ฃ๐ข ๐ฒ๐š ๐ค๐ฎ๐ญ๐จ๐ฌ๐ก๐š ๐ฌ๐จ ๐ฎ๐ค๐ž ๐ฎ๐ญ๐š๐ค๐ฎ๐ฐ๐š ๐ฆ๐ค๐š๐ฏ๐ฎ ๐ง๐š ๐ค๐ฎ๐ค๐ฎ๐ฌ๐š๐›๐š๐›๐ข๐ฌ๐ก๐ข๐š ๐ฆ๐š๐ฎ๐ฆ๐ข๐ฏ๐ฎ ๐–๐š๐ค๐š๐ญ๐ข ๐–๐š ๐“๐ž๐ง๐๐จ.

โš ๏ธ ๐Š๐ฐ๐š๐ก๐ข๐ฒ๐จ ๐ฌ๐ฎ๐ฅ๐ฎ๐ก๐ข๐ฌ๐ก๐จ ๐ฌ๐ข๐จ ๐ค๐ฎ๐ญ๐ฎ๐ฆ๐ข๐š ๐ฉ๐š๐ข๐ง๐ค๐ข๐ฅ๐ฅ๐ž๐ซ๐ฌ ๐š๐ฎ ๐ค๐ฎ๐ญ๐ข๐›๐ฎ ๐ก๐ข๐ณ๐จ ๐ข๐ง๐Ÿ๐ž๐œ๐ญ๐ข๐จ๐ง๐ฌ, ๐ข๐ฅ๐š ๐ข๐ง๐š๐ญ๐š๐ค๐ข๐ฐ๐š ๐ฎ๐ฉ๐š๐ญ๐ž ๐“๐ˆ๐๐€ ๐ฅ๐ข๐ฌ๐ก๐ž ๐š๐ฎ ๐•๐ข๐ซ๐ฎ๐ญ๐ฎ๐›๐ข๐ฌ๐ก๐จ ๐ข๐ฅ๐ข ๐ค๐ฎ๐จ๐ง๐๐จ๐ค๐š๐ง๐š ๐ง๐š ๐œ๐ก๐š๐ง๐ ๐š๐ฆ๐จ๐ญ๐จ ๐ก๐ข๐ฒ๐จ ๐ค๐š๐›๐ข๐ฌ๐š.

Wasiliana nami kwa Whatsapp 0788282112 ili uweze Kupona kabisa changamoto hii.

๐Œ๐š๐Ÿ๐ฎ๐ญ๐š ๐ฒ๐š ๐ฆ๐ง๐ฒ๐จ๐ง๐ฒ๐จ (Castor Oil Massage) yaani Mafuta ya Manyonyo Hii ni tiba ya tangu Enzi na Enzi na imewasaidia mama na...
10/08/2025

๐Œ๐š๐Ÿ๐ฎ๐ญ๐š ๐ฒ๐š ๐ฆ๐ง๐ฒ๐จ๐ง๐ฒ๐จ (Castor Oil Massage) yaani Mafuta ya Manyonyo Hii ni tiba ya tangu Enzi na Enzi na imewasaidia mama na Bibi zetu Kwa miaka mingi kutibu chango na maumivu ya tumbo la hedhi

๐‰๐ข๐ง๐ฌ๐ข ๐ข๐ง๐š๐ฏ๐ฒ๐จ๐Ÿ๐š๐ง๐ฒ๐š ๐ค๐š๐ณ๐ข:

๐Ÿคท๐Ÿฝโ€โ™‚๏ธ Mafuta ya castor yana ricinoleic acid ambayo hupenya kupitia ngozi na kusaidia kupunguza uvimbe na maumivu kwa kusaidia mzunguko wa damu katika eneo la tumbo la chini. Hutumika kwa kupaka na kufunika kwa kitambaa cha moto (hot compress).

๐๐š๐ฆ๐ง๐š ๐ฒ๐š ๐Š๐ฎ๐ญ๐ฎ๐ฆ๐ข๐š:

1. Pakaa mafuta ya castor kwenye tumbo la chini (kiunoni).

2. Funika kwa kitambaa cha pamba (cotton) Sawa na taulo wepesi kilicholowekwa maji ya moto (sio moto kupita kiasi).

3. Lala au pumzika kwa dakika 30 hadi 1 saa. 4. Fanya hivyo kila jioni siku mbili kabla ya kuanza hedhi hadi siku ya 2 ya hedhi.

๐Œ๐š๐ฆ๐›๐จ ๐ฒ๐š ๐ค๐ฎ๐ณ๐ข๐ง๐ ๐š๐ญ๐ข๐š: โŒ Usitumie ikiwa una mimba inaweza kuchochea misuli ya uterasi kuachia unapata miscarriage

โœ”๏ธ Epuka kupaka kwenye ngozi iliyojeruhiwa au yenye mapele.

โœ… Inafaa kwa wanawake wasio na matatizo ya ngozi ya mzio (allergic).

K**a unahangaika na changamoto ya Uzazi chango na hormonal imbalances na unahitaji matibabu yatakayokusaidia kufanikisha na suala la Uzazi .

Nipo hapa kukusaidia, kwani nimewasaidia wanawake wengi wenye changamoto k**a hizi na wameweza kurudi Katika Hali Yao ya zamani.

Wasiliana nasi kwa Whatsapp 0788282112

Inawezekana Umehangaika Kwa Muda Mrefu kupambana ili kuweza kutatua changamoto hizi za uzazi โŒMirija Kuziba โŒP.I.D (Pelv...
09/08/2025

Inawezekana Umehangaika Kwa Muda Mrefu kupambana ili kuweza kutatua changamoto hizi za uzazi

โŒMirija Kuziba

โŒP.I.D (Pelvic Inflammatory Disease)

โŒU.T.I (Urinary Track Infections)

โŒ Fangasi Sugu Ukeni (Vaginal Yeast Infections)

โŒ Maumivu Wakati Wa Tendo La Ndoa

โŒ Ukavu Ukeni

โŒKukosa Ute Ukeni

โŒ Hormonal Imbalance

โŒ Maumivu Wakati Wa Hedhi

โŒ. Hedhi Bila Mpangilio

โŒKukosa Hedhi

โŒMimba Kuharibika

โŒ Uvimbe kwenye
kizazi

โŒMimba Kutunga Nje Ya Kizazi. Nk.....

Na mengine meengi...

Sasa k**a umejaribu kutumia Kila aina ya tiba lakini wapi , huwenda pia ushapoteza gharama nyingi sana ili kujitibia lakini mambo yanapoa na kurudi k**a zamani...

Basi hutakiwi Kuikosa program hii ya *WOMEN* HRC ....

Hii ndiyo program imeandaliwa kwa ajili yako wewe mama au dada ambaye unateseka na changamoto hizi za Uzazi lakini hupati matokeo....

Sisi k**a Rukia Virutubisho - Tumekuandalia hii program ambayo inahitaji watu 25 tu...

Kwani mpaka hivi sasa tunavyoongea , nafasi zimebaki chache, kwahiyo wahi Kujiunga na program hii Leo ili na wewe uwende ukarudishe heshima yako ya Uanamke ndani ya ndoa yako....au hutaki mumewe akuite UTAMU WANGU ?๐Ÿ˜‹

Bonyeza kiungo Cha Learn more " ili ujiunge na program ya WOMEN HRC Leo hii.

Address

Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00

Telephone

+255788282112

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Rukia Virutubisho posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram