Siraajul Muniyr - Tiba asili

Siraajul Muniyr - Tiba asili Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Siraajul Muniyr - Tiba asili, Medical and health, Dar es Salaam.

⚡UTOFAUTI KATI YA KANSA YA T**I NA UVIMBE WA KAWAIDA KWENYE T**I.⚡🍀Uvimbe ambao ni kansa ukuaji wake ni wa kasi sana uki...
28/02/2026

⚡UTOFAUTI KATI YA KANSA YA T**I NA UVIMBE WA KAWAIDA KWENYE T**I.⚡

🍀Uvimbe ambao ni kansa ukuaji wake ni wa kasi sana ukilinganisha na uvimbe wa kawaida.
Mfano:Anaweza kuja rafiki yako anakueleza huu uvimbe upo hapo tangu miaka 5 iliyopita huwa unaongezeka lkn kidogo mno. Hapo utajua sio kansa ni uvimbe wa kawaida tu.
Lakini pia rafiki yako anaweza kuja anakueleza nina uvimbe hapa akifunua unakuta t**i limevimba sana na limekuwa kubwa ukimuuliza tangu lini huu uvimbe mbona unatisha...atakwambia umenianza miezi kumi tu uliopita ila linakuwa kwa kasi sana.
Huo uvimbe lazima ufikilie kuwa ni kansa labda uhakikishwe kwa vipimo vya maabara.

🍀Pia sio kila mtu anaye lalamika t**i limevimba ni cancer sio ukweli.
Inaweza kuwa amepata maambukizi ya bakteria tu na kusababisha kuvimba kwa t**i tunaita mast**is. Au inaweza kuwa ana jipu kwenye t**i (breast abscess)
Hivyo haya yote unatakiwa uhakikishe mgonjwa wako hana ili kuhakikisha kuwa yale unayofikilia kuwa ni kansa ya t**i kuwe na ukweli ndani yake.
🍀Pia unatakiwa kumuuliza chanzo cha t**i kukua au kuvimba kiasi hicho inaweza kuwa kuna ugomvi ulitokea ikapelekea mtu kupigwa na kuumizwa.
Hivyo usifikilie mbali tu kwamba kila uvimbe sasa unawaza huyu mtu ana kansa.

🍀Pia uvimbe wa kansa ukuaji wake ni kasi sana hata ukimuuliza mgonjwa atakusimulia historia fupi ya ugonjwa ukilinganisha na uvimbe mwingine ambao sio kansa.
Sasa nitajuaje kuwa uvimbe huu ni kansa na sio kansa bila vipimo?
Napenda nikwambie kuwa leo basi ukizingatie elimu hii unaweza ukawa tabibu mzuri wa familia yako kupitia elimu hii.
Pia uvimbe ambao ni kansa mwanzoni huwa hauna maumivu kabisa lakini ukisha fika hatua mbaya utakuwa na maumivu makali sana.
Sasa nasema haya kwa sababu ukitaka kujua hii sio kansa mwanzo ni KUTUMIA DALILI YA MAUMIVU.
Unakuta t**i linauma na limeng'aa hapo moja kwa moja utajua kuwa inaweza kuwa ana maambukizi tu yani mast**is au ana jipu kwenye t**i breast abscess.
wa.me/255655821550
Hivyo basi kwa hatua za mwanzo uvimbe wa kansa huwa hauna maumivu yoyote.
Na ukikuta unapata dalili zenye maumivu makali na una kauvimbe na ni siku chache tu kametokea usianze kuhangaika na kupatwa na msongo wa mawazo kuwa una uvimbe k**a

🌱 *FAHAMU KUHUSU KOMAMANGA* 🌱 Tunda la *komamanga* (kwa Kiingereza *pomegranate*, jina la kisayansi huitwa: *Punica gran...
19/02/2026

🌱 *FAHAMU KUHUSU KOMAMANGA* 🌱
Tunda la *komamanga* (kwa Kiingereza *pomegranate*, jina la kisayansi huitwa: *Punica granatum*) ni tunda lenye nguvu kubwa ya kiafya na hutumika sana katika tiba za asili.

🌿 *Maradhi Ambayo Komamanga Hutibu* 🌿

👉1. *Tezi dume (Prostate health):*
- Juisi ya komamanga hupunguza uvimbe na kusaidia kupambana na saratani ya tezi dume.

👉2. *Shinikizo la damu (High blood pressure):*
- Inasaidia kupunguza shinikizo kwa kuboresha mzunguko wa damu.

👉3. *Sukari (Diabetes):*
- Hupunguza kiwango cha sukari mwilini na kuimarisha usikivu wa insulin.

👉4. *Saratani (Cancers):*
- Antioxidants zake huzuia kuenea kwa seli hatari, hasa saratani ya mat**i na tezi dume.

👉5. *Moyo (Heart health):*
- Huzuia mishipa ya damu kuziba na kupunguza cholesterol mbaya.

👉6. *Vidonda vya tumbo (Ulcers):* Tumbo kujaa gesi, pia asidi na kuhara damu
- Maganda yake husaidia kuponya vidonda vya tumbo.

👉7. *Nguvu za uzazi:*
- Huongeza uzalishaji wa shahawa na nguvu kwa wanaume, pia husaidia mzunguko wa hedhi kwa wanawake na kupevusha mayai.

👉8. Kutibu mawe kwenye figo, minyoo aina ya tegu
👉9. Hutibu uvimbe wa wengu (spleen) , pia homa ya ini.
👉10. Huondoa sumu za kemikali mbalimbali katika mwili

*Namna ya Kutumia*

⚡1. *Juisi ya tunda:*
- Kunywa glasi 1 kila siku, hasa asubuhi kabla ya chakula.

⚡2. *Maganda yaliyokaushwa:*
- Saga maganda na chemsha kijiko 1 kwenye kikombe cha maji.
- Kunywa mara 2 kwa siku kwa vidonda vya tumbo au matatizo ya mdomo.
⚡3. *Mbegu mbichi:*
- Tafuna au changanya na asali kwa nguvu za uzazi.

⚡4. *Mizizi:*
- Mizizi yake huchemshwa kwa kuondoa minyoo tumboni na kutuliza homa.

Je, una changamoto yeyote kuhusu afya tuweze kukusaidia??
Iwe changamoto ya kimwili ama kiroho,
0656303019

Kwa ushauri na tiba za maradhi mbalimbali wasiliana nami.
wa.me/255656303019
~ *Chief Sang'ida*

🌳 *KANSA YA TEZI DUME-PROSTATE CANCER* 🌳👉Saratani ya tezi dume ni ugonjwa unaowapata wanaume tu. Hutokana na uvimbe wa t...
18/02/2026

🌳 *KANSA YA TEZI DUME-PROSTATE CANCER* 🌳

👉Saratani ya tezi dume ni ugonjwa unaowapata wanaume tu. Hutokana na uvimbe wa tezi dume.
👉Siyo kila uvimbe wa tezi dume ni kansa bali ni uvimbe unaoanzia pale kwenye tezi na kuenea sehemu nyingine za mwili. Kwa kawaida kansa hutokea pale seli za mwili zinapojizalisha na kuongezeka bila kizuizi kwa namna isiyo ya kawaida.
👉Kansa hii huweza kuenea kwa taratibu kwa baadhi ya watu na kwa wengine huweza huenea kwa haraka zaidi.
👉Uwezekano wa kupata kansa hii huongezeka kwa kadri umri unavyoongezeka.
👉Kama kansa hii itagungulika ikiwa ndani ya tezi yenyewe ni rahisi sana kutibika na kuidhibiti kabisa kwa urahisi.
wa.me/255656303019

*CHANZO CHA KANSA/SARATANI YA TEZI DUME*
👉Madaktari wanakubaliana kuwa hakuna chanzo cha ugonjwa huu kilichobainishwa hadi sasa. Inafahamika tu kwamba kansa hii hutokana na kukua na kuongezeka kwa seli za tezi dume kwa namna isiyo ya kawaida. Kwa kadri seli hizi za kansa zinavyoongezeka hujikusanya na kutengeneza uvimbe (tumor). Seli hizi za kansa zilizotengeneza uvimbe huendelea kuongezeka na kugawanyika na hatimaye huanza kuenea sehemu zingine za mwili. Japo haifahamiki vyema sababu ya uvimbe huu kutokea,kuna sababu hatarishi au sababu sababishi za kutokea kwa saratani hii. Hebu tuzitazame;

⚡Umri mkubwa- uwezekano wa kupata saratani hii huongezeka kwa kadri umri unavyoongezeka. Kwa wanaume wenye miaka 50 au zaidi huwa katika hatari kubwa ya kupata kansa hii. Lakini zaidi ya 60% ya matatizo yote ya kansa ya tezi dume huwapata wanaume wenye umri wa 65 au zaidi.
⚡Historia ya familia- k**a unatokea kwenye familia yenye historia ya ugonjwa huu,mfano baba au kaka akiwa na ugonjwa huu, uwezekano wa kupatwa na saratani hii ni mara mbili zaidi.
⚡Rangi au asili- Wamarekani wenye asili ya Afrika,Wajamaika wenye asili ya Afrika na Waafrika wenyewe wana hatari kubwa ya kupatwa na aina hii ya kansa ya kiume. Watu wa Asia na Hispania kwa upande wao hawako katika hatari hii.
⚡Unene uliopindukia- Watu wanene sana pia wako katika hatari ya kuugua ugonjwa huu wa kansa kuliko watu wenye miili ya kawaida na wasiokuwa na unene mkubwa.
⚡Chakula- Ulaji wa vyakula vya nyama hasa nyekundu na mafuta kwa wi

🌳 *SIRAAJUL MUNIYR HERBS MEDICINE* . 🌳 ⚡ *AL-MUNAWARA*⚡ *NI DAWA INAYOTIBU* , 👉1.GESI, KUSAFISHA MKOJO, KIFUA KUBANA, KI...
14/02/2026

🌳 *SIRAAJUL MUNIYR HERBS MEDICINE* . 🌳
⚡ *AL-MUNAWARA*⚡
*NI DAWA INAYOTIBU* ,
👉1.GESI, KUSAFISHA MKOJO, KIFUA KUBANA, KIKOHOZI, MALARIA.
👉2.VIDONDA TUMBO, TYPHOID, UCHOVU WA MWILI, VIUNGO KUUMA, KICHOCHO
👉3.KASWENDE ,MAUMIVU YA TUMBO, MAUMIVU YA MIGUU.
👉4.MINYOO, AMIBA, FIGO, H. BP.
👉5.KIUNO, MGONGO, NGIRI, CHANGO LA AKINA MAMA.
🍀 *MATUMIZI* .🍀 ✍-KIJIKO CHA CHAKULA KUTWA MARA 3.
✍ - MTOTO KIJIKO CHA CHAI KUTWA MARA 3.
⚡⚡DOZI YA VIDONDA VYA TUMBO CHUPA 4.
⚡⚡MARADHI MENGINE CHUPA 2

☔ *ILI KUIPATA DAWA HII WASILIANA NASI** ☔
what's app/call
+255 655 821 550
Sulayman Sang'ida

YAJUE MAUMIVU YA MGONGO, KIUNO KUSHUKA MPAKA MIGUUNI.💫💫Kiuno na miguu kuuma mpaka unashindwa kutembea si jambo dogo, na ...
26/01/2026

YAJUE MAUMIVU YA MGONGO, KIUNO KUSHUKA MPAKA MIGUUNI.

💫💫Kiuno na miguu kuuma mpaka unashindwa kutembea si jambo dogo, na linaweza kusababishwa na mambo mengi tofauti. Nitakupa sababu kuu kwa makundi, ili upate mwangaza kidogo

⚡1. *Tatizo la mifupa na mgongo* (Spine & joints)

✔ Disc slipped (pingili kusogea) – maumivu huanzia kiunoni kushuka mguuni
✔ Sciatica (mshipa wa mguu kubanwa) – maumivu makali upande mmoja wa mguu
✔ Arthritis – viungo kuchakaa au kuvimba
✔ Kuinama vibaya au kubeba mzigo mzito

👉 *Dalili* :
• Maumivu yanachoma au yanavuta
• Kushindwa kusimama wima
• Mguu mmoja unakuwa mzito

⚡ 2. *Tatizo la misuli*

✔ Misuli kukaza (muscle spasm)
✔ Kuchanika kwa misuli
✔ Kukaa muda mrefu bila kunyoosha mwili

👉 *Dalili* :
• Maumivu yanabana
• Huuma ukijaribu kutembea
• Hupona kidogo ukipumzika

⚡ 3. *Tatizo la mishipa* (Nerves)

✔ Mshipa wa siatika kubanwa
✔ Kisukari (neuropathy)
✔ Upungufu wa vitamin B12

👉 *Dalili* :
• Mguu kufa ganzi
• Kuwashwa k**a moto
• Kuchomwa na sindano

⚡ 4. *Tatizo la mzunguko wa damu*

✔ Damu kuganda kwenye mshipa (DVT)
✔ Damu kufika kidogo miguuni

👉 *Dalili* :
⚠ Mguu mmoja kuvimba
⚠ Kuwa moto
⚠ Maumivu makali ghafla

⚡5. *Maambukizi au uvimbe*

✔ Maambukizi kwenye mifupa
✔ Uvimbe kwenye uti wa mgongo
✔ Saratani (nadra lakini inawezekana)

👉 *Dalili* :
• Homa
• Kupungua uzito
• Maumivu yasiyoisha hata ukiwa umelala.

Kwa ushauri na tiba za maradhi mbalimbali wasiliana nasi
wa.me/255656303019
*~Chief Sang'ida*

🌳 *FAIDA ZA KITUNGUU THOUM* 🌳 Haya ni baadhi ya magonjwa yaliyothibitika kutibika na yanatibika au kukingika kwa kitungu...
20/01/2026

🌳 *FAIDA ZA KITUNGUU THOUM* 🌳
Haya ni baadhi ya magonjwa yaliyothibitika kutibika na yanatibika au kukingika kwa kitunguu thoum:

👉Huondoa sumu mwilini

👉Husafisha tumbo

👉Huyeyusha mafuta mwilini (cholesterol )

👉Husafisha njia ya mkojo na kutibu U.T.I

👉Hutibu amoeba, minyoo na Bakteria wengine

👉Huzuia kuhara damu (Dysentery)

👉Huondoa Gesi tumboni

👉Hutibu msokoto wa tumbo

👉Hutibu Typhoid

👉Huondoa mabaka mabaka kwenye ngozi

👉Hutibu mafua na malaria

👉Hutibu kifua kikuu

👉Hutibu kipindupindu

👉Hutibu upele

👉Huvunjavunja mawe katika figo

👉Hutibu mba kichwani

👉Huupa nguvu ubongo. Kazi nzuri niliyopenda zaidi katika kitunguu thoum.

👉Huzuia meno kung’ooka na kutuliza maumivu

👉Huongeza SANA nguvu za kiume pia hutibu uhanithi (kushindwa kusimama kabisa uume)

👉Hutibu maumivu ya kichwa

👉Hutibu kizunguzungu

👉Hutibu shinikizo la juu la damu

👉Huzuia saratani/kansa

👉Hutibu maumivu ya jongo/gout

👉Huuongezea nguvu mfumo wa mmeng’enyo wa chakula

👉Huongeza hamu ya kula

👉Huzuia damu kuganda

👉Husaidia kutibu kisukari

👉Husaidia kutibu tatizo la kukosa usingizi (ni kweli, na moja ya kazi nyingine ya kitunguu swaumu iliyonishangaza zaidi) pia kinaondoa msongo wa mawazo/stress na kukufanya uishi miaka mingi

👉Huongeza SANA kinga ya mwili na kwa muda mfupi

Naam hayo ni baadhi tuu, kwa ushauri na tiba za maradhi mbalimbali wasiliana nasi.
what's app /call
wa.me/255656303019
~Chief Sang'ida.

💫 *SIRAAJUL MUNIYR HERBS MEDICINE* 💫   *MAAJABU YA MBAAZI*⚡ *MWANAMKE ALIYELOGWA SIKU ZAKE ZA HEDHI HAZIKATI*⚡👉Chimba Mb...
11/01/2026

💫 *SIRAAJUL MUNIYR HERBS MEDICINE* 💫

*MAAJABU YA MBAAZI*

⚡ *MWANAMKE ALIYELOGWA SIKU ZAKE ZA HEDHI HAZIKATI*⚡

👉Chimba Mbaazi upate mzizi wake mkuu uchukue.
👉Katakata mzizi huo changanya na majani ya Mbaazi chemsha.
👉Kunywa dawa yako kwa manuizi ya kuponya tatizo hilo la kutokwa damu muda mrefu.
👉Kunywa dawa yako kikombe kimoja kutwa mara3 muda wa siku 3.

Kwa ushauri na tiba za maradhi mbalimbali wasiliana nasi.
wa.me/255656303019
~*Chief Sang'ida*

💫 *SIRAAJUL MUNIYR HERBS MEDICINE* 💫   *MAAJABU YA MBAAZI*⚡ *KUPENDWA, KUKUBALIKA KATIKA JAMII*⚡👉Tafuta mti wa Mbaazi ul...
05/01/2026

💫 *SIRAAJUL MUNIYR HERBS MEDICINE* 💫

*MAAJABU YA MBAAZI*

⚡ *KUPENDWA, KUKUBALIKA KATIKA JAMII*⚡

👉Tafuta mti wa Mbaazi uliotoa maua kisha chuna kamba zake zianike na utwange kupata unga wake.
👉Unga huo changanya kwenye mafuta yako ya kujipakaa.
👉Hakika utaona maajabu ya dawa hiyoo utapendwa na utakubalika katika jamii.

Kwa ushauri na tiba za maradhi mbalimbali wasiliana nasi.
wa.me/255656303019
~*Chief Sang'ida*

💫 *SIRAAJUL MUNIYR HERBS MEDICINE* 💫   *MAAJABU YA MBAAZI*⚡ *KUMUANGUSHA MTU MBAYA KATIKA ENEO LAKO*⚡👉Ukitaka kumuangush...
05/01/2026

💫 *SIRAAJUL MUNIYR HERBS MEDICINE* 💫

*MAAJABU YA MBAAZI*

⚡ *KUMUANGUSHA MTU MBAYA KATIKA ENEO LAKO*⚡

👉Ukitaka kumuangusha mtu aliyekuja kukufanyia ushirikina au kukuwangia katika eneo lako tumia majani ya mbaazi.
👉Chuma majani 28 ya mbaazi yatwange au yafikiche vizuri weka katika ndoo ndogo ya maji pamoja na chumvi mawe kiganya kimoja na majivu kiganya kimoja na dawa inayoitwa mwavi kijiko kimoja.
👉Tumia kunyasia maji hayo katika nyumba, shamba au eneo lako la biashara kwa manuizi yakoo.
👉Wakati wa kunyasia tumia kivumbasi/mwinula.
👉Ikiwa atakuja kuchezea ama kuwanga mtu katika eneo lako ataanguka hapo na kuanza kulopokwa k**a amechanganyikiwa.

Kwa ushauri na tiba za maradhi mbalimbali wasiliana nasi.
wa.me/255656303019
~*Chief Sang'ida*

☪ *SIRAAJUL MUNIYR HERBS MEDICINE* ☪ *HORMONE IMBALANCE ( KUVURUGIKA/KUTOKUA SAWA KWA HOMONI)*  👉 Hili ni tatizo linalow...
30/12/2025

☪ *SIRAAJUL MUNIYR HERBS MEDICINE* ☪

*HORMONE IMBALANCE ( KUVURUGIKA/KUTOKUA SAWA KWA HOMONI)*
👉 Hili ni tatizo linalowakumba wanawake wengi sana ambalo husababishwa na kiwango kidoga cha homoni ya ESTROGEN

🍀 *SABABU ZA KUVURUGIKA HOMON*🍀
👉Utoaji mimba
👉Kuwa na sumu mwilini
👉Mabadiliko ya hali ya hewa
👉Kutokula mlo kamili au mwenendo mbovu wa maisha
👉Uzito mkubwa
👉Athar za kemikali
👉Matumiz ya kisasa ya uzaz wa mpango

🌱 *DALILI ZA MVURUGIKO WA HOMON* 🌱
👉Maumivu wakat wa tendo la ndoa
👉Mzunguuko wa hedhi kubadilika
👉Kutoshika ujauzito
👉Kupungua kwa hamu ya tendo la ndoa
👉Kuongezeka uzito
👉Kupoteza kumbukumbu
👉Damu kutoka nyingi wakat wahedhi au kutoa damu yenye mabonge mabonge
👉Uke kuwa mkavu au kukosa ute wa uzazi
👉Maumivu chini ya kitovu wakat wa hedhi
👉Allerg ya kuchagua chakula au kuona dalili k**a mama mjamzito nk.

⚡ *MADHARA YA KUTOBALANCE KWA HORMONE* ⚡
👉Kutoshika ujauzito kwa muda mrefu
👉Mimba kuharbika mara kwa mara
👉Kuwa mgumba
👉Uvimbe kwenye via vya uzazi vya mwanamke, o***y sisytem ama fibroids
👉Kuziba kwa mirija ya uzazi
👉Kukosa hedhi
👉Kukosa hamu ya tendo la ndoa
👉Kupata hedhi mara mbili kwa mwezi au hedhi mfululizo
👉Saratan ya kizazi

Kwa ushauri na tiba za maradhi mbalimbali wasiliana nasi
what's app/call
wa.me/255656303019
*~Chief Sang'ida*

🍃 *MCHAICHAI NA FAIDA ZAKE ZA KITIBA* 🍃  *Tumia k**a chai ya kunywa au kuoga kwa tiba ya mwili mzima.*🌿 Faida za Mchaich...
26/12/2025

🍃 *MCHAICHAI NA FAIDA ZAKE ZA KITIBA* 🍃
*Tumia k**a chai ya kunywa au kuoga kwa tiba ya mwili mzima.*

🌿 Faida za Mchaichai:
✅ Hukinga dhidi ya *kansa*
✅ Hutibu *U.T.I sugu*
✅ Huzuia *kutapika*
✅ Hutibu *maradhi ya tumbo*
✅ Huimarisha *kinga ya mwili*
✅ Huzuia *kuharisha*
✅ Hupooza *homa kali*
✅ Husafisha *figo*
✅ Hutibu *baridi yabisi*
✅ Hulainisha *choo kigumu*
✅ Hupunguza *maumivu ya hedhi*
✅ Huweka sawa *shinikizo la damu (presha)*
✅ Huondoa *msongo wa mawazo na usingizi*
✅ Hushusha *cholesterol mbaya mwilini*
✅ Huimarisha *kumbukumbu*
✅ Huondoa *harufu mbaya ukeni*
✅ Huondoa *gesi na mingurumo tumboni*

📞 *Kwa ushauri na tiba mbalimbali:*
*WhatsApp / Simu:* 0656 303 019
*Link:* wa.me/255656303019
*~ Chief Sang’ida ~*

🕊️ *SIRAAJUL MUNIYR HERBS MEDICINE* 🕊️  🌿 *DAWA ASILI YA KUSAFISHA DAMU* 🌿Unasumbuliwa na sumu mwilini, mafuta mengi, ch...
13/12/2025

🕊️ *SIRAAJUL MUNIYR HERBS MEDICINE* 🕊️
🌿 *DAWA ASILI YA KUSAFISHA DAMU* 🌿

Unasumbuliwa na sumu mwilini, mafuta mengi, chunusi, miwasho au uchovu usioeleweka? Njia bora ya kuanza tiba ni *kusafisha damu.* Hapa chini ni mchanganyiko maalumu wa dawa asilia tatu (3) tofauti — tumia njia yeyote moja wapo kati ya hizi kwa ufanisi.

1⃣ *KUZ-BARA ( Arabic Herb)*
*Namna ya Kutengeneza:*
- Chukua *vijiko 7* vya KUZ-BARA
- Chemsha kwa *maji lita 1*
- Iache ipoe kisha chuja

*Matumizi:*
- *Mtoto chini ya miaka 5*: Anywe vijiko viwili *mara 2 kwa siku (2×2)*
- *Mtu mzima*: Kikombe kidogo cha kahawa *mara 2 kwa siku*
- *Muda wa kutumia*: Siku *7 hadi 11*

2⃣ *Tangawizi, Limau na S**i ya Tufaha (Apple Cider Vinegar)*
*Mahitaji:*
- Limau kubwa 1 (kamua maji yake)
- Tangawizi mbichi 1 (pondaponda)
- S**i ya tufaha – vijiko 2

*Namna ya Kutengeneza:*
- Chemsha vyote kwa *maji lita 1*
- Iache ipoe, kisha kunywa

*Matumizi:*
- Kikombe kimoja *mara 3 kwa siku*
- *Muda*: Siku *7 mfululizo*

3⃣ *Maji ya Ndimu (Asubuhi tu)*
- Kamua ndimu/limau mpaka upate maji yake kikombe kimoja.
- Chemsha maji hayo

*Matumizi:*
- Kunywa *asubuhi kabla ya kula chochote*
- Fanya hivyo kwa siku *7*

💡 *Matokeo:*
- Mwili kuwa mwepesi
- Ngozi kung’aa
- Mzunguko wa damu kuimarika
- Kuondoa sumu na kinga dhidi ya maradhi

📞 *Kwa ushauri na tiba mbalimbali*
WhatsApp/Call: *wa.me/255656303019*
*~ Chief Sang’ida*

Address

Dar Es Salaam
0656303019

Telephone

+255656303019

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Siraajul Muniyr - Tiba asili posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Siraajul Muniyr - Tiba asili:

Share