Siraajul Muniyr - Tiba asili

Siraajul Muniyr - Tiba asili Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Siraajul Muniyr - Tiba asili, Medical and health, Dar es Salaam.

YAJUE MAUMIVU YA MGONGO, KIUNO KUSHUKA MPAKA MIGUUNI.💫💫Kiuno na miguu kuuma mpaka unashindwa kutembea si jambo dogo, na ...
26/01/2026

YAJUE MAUMIVU YA MGONGO, KIUNO KUSHUKA MPAKA MIGUUNI.

💫💫Kiuno na miguu kuuma mpaka unashindwa kutembea si jambo dogo, na linaweza kusababishwa na mambo mengi tofauti. Nitakupa sababu kuu kwa makundi, ili upate mwangaza kidogo

⚡1. *Tatizo la mifupa na mgongo* (Spine & joints)

✔ Disc slipped (pingili kusogea) – maumivu huanzia kiunoni kushuka mguuni
✔ Sciatica (mshipa wa mguu kubanwa) – maumivu makali upande mmoja wa mguu
✔ Arthritis – viungo kuchakaa au kuvimba
✔ Kuinama vibaya au kubeba mzigo mzito

👉 *Dalili* :
• Maumivu yanachoma au yanavuta
• Kushindwa kusimama wima
• Mguu mmoja unakuwa mzito

⚡ 2. *Tatizo la misuli*

✔ Misuli kukaza (muscle spasm)
✔ Kuchanika kwa misuli
✔ Kukaa muda mrefu bila kunyoosha mwili

👉 *Dalili* :
• Maumivu yanabana
• Huuma ukijaribu kutembea
• Hupona kidogo ukipumzika

⚡ 3. *Tatizo la mishipa* (Nerves)

✔ Mshipa wa siatika kubanwa
✔ Kisukari (neuropathy)
✔ Upungufu wa vitamin B12

👉 *Dalili* :
• Mguu kufa ganzi
• Kuwashwa k**a moto
• Kuchomwa na sindano

⚡ 4. *Tatizo la mzunguko wa damu*

✔ Damu kuganda kwenye mshipa (DVT)
✔ Damu kufika kidogo miguuni

👉 *Dalili* :
⚠ Mguu mmoja kuvimba
⚠ Kuwa moto
⚠ Maumivu makali ghafla

⚡5. *Maambukizi au uvimbe*

✔ Maambukizi kwenye mifupa
✔ Uvimbe kwenye uti wa mgongo
✔ Saratani (nadra lakini inawezekana)

👉 *Dalili* :
• Homa
• Kupungua uzito
• Maumivu yasiyoisha hata ukiwa umelala.

Kwa ushauri na tiba za maradhi mbalimbali wasiliana nasi
wa.me/255656303019
*~Chief Sang'ida*

🌳 *FAIDA ZA KITUNGUU THOUM* 🌳 Haya ni baadhi ya magonjwa yaliyothibitika kutibika na yanatibika au kukingika kwa kitungu...
20/01/2026

🌳 *FAIDA ZA KITUNGUU THOUM* 🌳
Haya ni baadhi ya magonjwa yaliyothibitika kutibika na yanatibika au kukingika kwa kitunguu thoum:

👉Huondoa sumu mwilini

👉Husafisha tumbo

👉Huyeyusha mafuta mwilini (cholesterol )

👉Husafisha njia ya mkojo na kutibu U.T.I

👉Hutibu amoeba, minyoo na Bakteria wengine

👉Huzuia kuhara damu (Dysentery)

👉Huondoa Gesi tumboni

👉Hutibu msokoto wa tumbo

👉Hutibu Typhoid

👉Huondoa mabaka mabaka kwenye ngozi

👉Hutibu mafua na malaria

👉Hutibu kifua kikuu

👉Hutibu kipindupindu

👉Hutibu upele

👉Huvunjavunja mawe katika figo

👉Hutibu mba kichwani

👉Huupa nguvu ubongo. Kazi nzuri niliyopenda zaidi katika kitunguu thoum.

👉Huzuia meno kung’ooka na kutuliza maumivu

👉Huongeza SANA nguvu za kiume pia hutibu uhanithi (kushindwa kusimama kabisa uume)

👉Hutibu maumivu ya kichwa

👉Hutibu kizunguzungu

👉Hutibu shinikizo la juu la damu

👉Huzuia saratani/kansa

👉Hutibu maumivu ya jongo/gout

👉Huuongezea nguvu mfumo wa mmeng’enyo wa chakula

👉Huongeza hamu ya kula

👉Huzuia damu kuganda

👉Husaidia kutibu kisukari

👉Husaidia kutibu tatizo la kukosa usingizi (ni kweli, na moja ya kazi nyingine ya kitunguu swaumu iliyonishangaza zaidi) pia kinaondoa msongo wa mawazo/stress na kukufanya uishi miaka mingi

👉Huongeza SANA kinga ya mwili na kwa muda mfupi

Naam hayo ni baadhi tuu, kwa ushauri na tiba za maradhi mbalimbali wasiliana nasi.
what's app /call
wa.me/255656303019
~Chief Sang'ida.

💫 *SIRAAJUL MUNIYR HERBS MEDICINE* 💫   *MAAJABU YA MBAAZI*⚡ *MWANAMKE ALIYELOGWA SIKU ZAKE ZA HEDHI HAZIKATI*⚡👉Chimba Mb...
11/01/2026

💫 *SIRAAJUL MUNIYR HERBS MEDICINE* 💫

*MAAJABU YA MBAAZI*

⚡ *MWANAMKE ALIYELOGWA SIKU ZAKE ZA HEDHI HAZIKATI*⚡

👉Chimba Mbaazi upate mzizi wake mkuu uchukue.
👉Katakata mzizi huo changanya na majani ya Mbaazi chemsha.
👉Kunywa dawa yako kwa manuizi ya kuponya tatizo hilo la kutokwa damu muda mrefu.
👉Kunywa dawa yako kikombe kimoja kutwa mara3 muda wa siku 3.

Kwa ushauri na tiba za maradhi mbalimbali wasiliana nasi.
wa.me/255656303019
~*Chief Sang'ida*

💫 *SIRAAJUL MUNIYR HERBS MEDICINE* 💫   *MAAJABU YA MBAAZI*⚡ *KUPENDWA, KUKUBALIKA KATIKA JAMII*⚡👉Tafuta mti wa Mbaazi ul...
05/01/2026

💫 *SIRAAJUL MUNIYR HERBS MEDICINE* 💫

*MAAJABU YA MBAAZI*

⚡ *KUPENDWA, KUKUBALIKA KATIKA JAMII*⚡

👉Tafuta mti wa Mbaazi uliotoa maua kisha chuna kamba zake zianike na utwange kupata unga wake.
👉Unga huo changanya kwenye mafuta yako ya kujipakaa.
👉Hakika utaona maajabu ya dawa hiyoo utapendwa na utakubalika katika jamii.

Kwa ushauri na tiba za maradhi mbalimbali wasiliana nasi.
wa.me/255656303019
~*Chief Sang'ida*

💫 *SIRAAJUL MUNIYR HERBS MEDICINE* 💫   *MAAJABU YA MBAAZI*⚡ *KUMUANGUSHA MTU MBAYA KATIKA ENEO LAKO*⚡👉Ukitaka kumuangush...
05/01/2026

💫 *SIRAAJUL MUNIYR HERBS MEDICINE* 💫

*MAAJABU YA MBAAZI*

⚡ *KUMUANGUSHA MTU MBAYA KATIKA ENEO LAKO*⚡

👉Ukitaka kumuangusha mtu aliyekuja kukufanyia ushirikina au kukuwangia katika eneo lako tumia majani ya mbaazi.
👉Chuma majani 28 ya mbaazi yatwange au yafikiche vizuri weka katika ndoo ndogo ya maji pamoja na chumvi mawe kiganya kimoja na majivu kiganya kimoja na dawa inayoitwa mwavi kijiko kimoja.
👉Tumia kunyasia maji hayo katika nyumba, shamba au eneo lako la biashara kwa manuizi yakoo.
👉Wakati wa kunyasia tumia kivumbasi/mwinula.
👉Ikiwa atakuja kuchezea ama kuwanga mtu katika eneo lako ataanguka hapo na kuanza kulopokwa k**a amechanganyikiwa.

Kwa ushauri na tiba za maradhi mbalimbali wasiliana nasi.
wa.me/255656303019
~*Chief Sang'ida*

☪ *SIRAAJUL MUNIYR HERBS MEDICINE* ☪ *HORMONE IMBALANCE ( KUVURUGIKA/KUTOKUA SAWA KWA HOMONI)*  👉 Hili ni tatizo linalow...
30/12/2025

☪ *SIRAAJUL MUNIYR HERBS MEDICINE* ☪

*HORMONE IMBALANCE ( KUVURUGIKA/KUTOKUA SAWA KWA HOMONI)*
👉 Hili ni tatizo linalowakumba wanawake wengi sana ambalo husababishwa na kiwango kidoga cha homoni ya ESTROGEN

🍀 *SABABU ZA KUVURUGIKA HOMON*🍀
👉Utoaji mimba
👉Kuwa na sumu mwilini
👉Mabadiliko ya hali ya hewa
👉Kutokula mlo kamili au mwenendo mbovu wa maisha
👉Uzito mkubwa
👉Athar za kemikali
👉Matumiz ya kisasa ya uzaz wa mpango

🌱 *DALILI ZA MVURUGIKO WA HOMON* 🌱
👉Maumivu wakat wa tendo la ndoa
👉Mzunguuko wa hedhi kubadilika
👉Kutoshika ujauzito
👉Kupungua kwa hamu ya tendo la ndoa
👉Kuongezeka uzito
👉Kupoteza kumbukumbu
👉Damu kutoka nyingi wakat wahedhi au kutoa damu yenye mabonge mabonge
👉Uke kuwa mkavu au kukosa ute wa uzazi
👉Maumivu chini ya kitovu wakat wa hedhi
👉Allerg ya kuchagua chakula au kuona dalili k**a mama mjamzito nk.

⚡ *MADHARA YA KUTOBALANCE KWA HORMONE* ⚡
👉Kutoshika ujauzito kwa muda mrefu
👉Mimba kuharbika mara kwa mara
👉Kuwa mgumba
👉Uvimbe kwenye via vya uzazi vya mwanamke, o***y sisytem ama fibroids
👉Kuziba kwa mirija ya uzazi
👉Kukosa hedhi
👉Kukosa hamu ya tendo la ndoa
👉Kupata hedhi mara mbili kwa mwezi au hedhi mfululizo
👉Saratan ya kizazi

Kwa ushauri na tiba za maradhi mbalimbali wasiliana nasi
what's app/call
wa.me/255656303019
*~Chief Sang'ida*

🍃 *MCHAICHAI NA FAIDA ZAKE ZA KITIBA* 🍃  *Tumia k**a chai ya kunywa au kuoga kwa tiba ya mwili mzima.*🌿 Faida za Mchaich...
26/12/2025

🍃 *MCHAICHAI NA FAIDA ZAKE ZA KITIBA* 🍃
*Tumia k**a chai ya kunywa au kuoga kwa tiba ya mwili mzima.*

🌿 Faida za Mchaichai:
✅ Hukinga dhidi ya *kansa*
✅ Hutibu *U.T.I sugu*
✅ Huzuia *kutapika*
✅ Hutibu *maradhi ya tumbo*
✅ Huimarisha *kinga ya mwili*
✅ Huzuia *kuharisha*
✅ Hupooza *homa kali*
✅ Husafisha *figo*
✅ Hutibu *baridi yabisi*
✅ Hulainisha *choo kigumu*
✅ Hupunguza *maumivu ya hedhi*
✅ Huweka sawa *shinikizo la damu (presha)*
✅ Huondoa *msongo wa mawazo na usingizi*
✅ Hushusha *cholesterol mbaya mwilini*
✅ Huimarisha *kumbukumbu*
✅ Huondoa *harufu mbaya ukeni*
✅ Huondoa *gesi na mingurumo tumboni*

📞 *Kwa ushauri na tiba mbalimbali:*
*WhatsApp / Simu:* 0656 303 019
*Link:* wa.me/255656303019
*~ Chief Sang’ida ~*

🕊️ *SIRAAJUL MUNIYR HERBS MEDICINE* 🕊️  🌿 *DAWA ASILI YA KUSAFISHA DAMU* 🌿Unasumbuliwa na sumu mwilini, mafuta mengi, ch...
13/12/2025

🕊️ *SIRAAJUL MUNIYR HERBS MEDICINE* 🕊️
🌿 *DAWA ASILI YA KUSAFISHA DAMU* 🌿

Unasumbuliwa na sumu mwilini, mafuta mengi, chunusi, miwasho au uchovu usioeleweka? Njia bora ya kuanza tiba ni *kusafisha damu.* Hapa chini ni mchanganyiko maalumu wa dawa asilia tatu (3) tofauti — tumia njia yeyote moja wapo kati ya hizi kwa ufanisi.

1⃣ *KUZ-BARA ( Arabic Herb)*
*Namna ya Kutengeneza:*
- Chukua *vijiko 7* vya KUZ-BARA
- Chemsha kwa *maji lita 1*
- Iache ipoe kisha chuja

*Matumizi:*
- *Mtoto chini ya miaka 5*: Anywe vijiko viwili *mara 2 kwa siku (2×2)*
- *Mtu mzima*: Kikombe kidogo cha kahawa *mara 2 kwa siku*
- *Muda wa kutumia*: Siku *7 hadi 11*

2⃣ *Tangawizi, Limau na S**i ya Tufaha (Apple Cider Vinegar)*
*Mahitaji:*
- Limau kubwa 1 (kamua maji yake)
- Tangawizi mbichi 1 (pondaponda)
- S**i ya tufaha – vijiko 2

*Namna ya Kutengeneza:*
- Chemsha vyote kwa *maji lita 1*
- Iache ipoe, kisha kunywa

*Matumizi:*
- Kikombe kimoja *mara 3 kwa siku*
- *Muda*: Siku *7 mfululizo*

3⃣ *Maji ya Ndimu (Asubuhi tu)*
- Kamua ndimu/limau mpaka upate maji yake kikombe kimoja.
- Chemsha maji hayo

*Matumizi:*
- Kunywa *asubuhi kabla ya kula chochote*
- Fanya hivyo kwa siku *7*

💡 *Matokeo:*
- Mwili kuwa mwepesi
- Ngozi kung’aa
- Mzunguko wa damu kuimarika
- Kuondoa sumu na kinga dhidi ya maradhi

📞 *Kwa ushauri na tiba mbalimbali*
WhatsApp/Call: *wa.me/255656303019*
*~ Chief Sang’ida*

Leo ni usiku wa mwisho wa full moon wa mwaka 2025.Hakikisha unautumia vema usiku huu kwaajili ya kuachilia vikwazo, mata...
07/12/2025

Leo ni usiku wa mwisho wa full moon wa mwaka 2025.
Hakikisha unautumia vema usiku huu kwaajili ya kuachilia vikwazo, matatizo, maradhi, uliyopitia au kukukwamisha ndani ya mwaka huu.
Na utumie usiku huu vema kudhihirisha malengo yako unayoyataka yatimie ndani ya mwaka ujao.
Hakikisha unaangaliana na mwezi na focus yako iwe katika mwezi na ufanye hayo niliyokwambia.

Kupitia Asili hakuna gumu wala kinachoshindikana Ulimwengu ni Mtamu sana ukiujua amka sasa unafaike na Full moon ya mwisho kwa mwaka 2025.

ASILI INAPONYA ASILI INA NGUVU

☪ *SIRAAJUL MUNIYR HERBS MEDICINE* ☪    *MTUNDWA*⚡Mtundwa [Mpingi, Ntondwa, Mtundakula, Ma'ayangu] huu ni mmea tiba ujul...
05/12/2025

☪ *SIRAAJUL MUNIYR HERBS MEDICINE* ☪

*MTUNDWA*
⚡Mtundwa [Mpingi, Ntondwa, Mtundakula, Ma'ayangu] huu ni mmea tiba ujulikanao kwa jina la kisayansi k**a *"Ximenia caffra"*
⚡Kila kitu katika mmea huu kuanzia matunda yake, majani yake, mti wenyewe na mizizi yake vyote vinafaida na hutumika katika tiba.
⚡Mizizi ya mmea huu inauwezo mkubwa wa-::
👉Kuzibua mirija ya uzazi iliyoziba
👉Kutibu machango
👉Kusaidia kushika ujauzito kwa wepesi.
👉Kutibu magonjwa ya zinaa.
👉Kutibu maradhi ya matumbo pamoja na kuhara.
👉Kutibu malaria na kikohozi.
👉Kutibu ngiri na nguvu za kiume.
👉Kutibu macho.
Nk, nk, nk, faida zake ni nyingi mnoo wacha kwa leo tuishie hapo.

🌱 *MATUMIZI* 🌱
⚡Koroga kijiko kimoja cha unga wa mizizi ya mmea huu kwenye uji ama maziwa ama maji moto kikombe kimoja kisha kunywa.
⚡Utafanya hivyo kutwa mara mbili kwa muda wa siku 7.

Kwa ushauri na tiba za maradhi mbalimbali wasiliana nasi
what's app/call
wa.me/255656303019
*CHIEF SANG'IDA*

🪐 *SIRAAJUL MUNIYR HERBS MEDICINE* 🪐  *FAIDA ZA CACTUS (MTERATERA / MADUNGUSI)*Leo tunakuletea faida muhimu za mmea maar...
30/11/2025

🪐 *SIRAAJUL MUNIYR HERBS MEDICINE* 🪐
*FAIDA ZA CACTUS (MTERATERA / MADUNGUSI)*

Leo tunakuletea faida muhimu za mmea maarufu wa *Cactus*, unaojulikana pia kwa majina ya kienyeji k**a *Mteratera* au *Madungusi*.

🌿 *Faida za Afya:*
Cactus ni chanzo bora cha *vitamini C*, ambayo huongeza uzalishaji wa seli nyeupe za damu—hivyo huimarisha kinga ya mwili na kupambana na magonjwa mbalimbali.

💠 *Husaidia katika:*
✔ Kuimarisha kinga ya mwili
✔ Kuzuia ukuaji wa seli za saratani
✔ Kurekebisha kiwango cha sukari mwilini
✔ Kupunguza msongo wa mawazo
✔ Kuimarisha afya ya moyo
✔ Kupunguza uvimbe na maumivu
✔ Kuondoa sumu mwilini
✔ Kupunguza cholesterol
✔ Kuzuia kiharusi na kipandauso
✔ Kuongeza oksijeni kwenye damu
✔ Kuboresha mmeng’enyo wa chakula

🌿 *Matumizi ya moja kwa moja:*
⚡ *Dawa ya chango*
⚡ *Hutibu miguu inayowaka moto au kufa ganzi:*
- Chukua jani la cactus, lipashe moto kidogo jikoni, mgonjwa aliyesumbuliwa na hali hii akanyage mara 2 kwa siku.

⚡ *Kinga dhidi ya majini na mashetani:*
- Chukua miiba ya cactus, tengeneza usila (kitu cha kuandikia chale), kisha chanjia chale tatu ndogo utosini—ni kinga dhidi ya mashetani.

⚡ *Kutibu kucha zilizo haribika:*
- Paka maji ya cactus kwenye ukucha ulioharibika kwa siku kadhaa.

*Kwa ushauri na tiba mbalimbali, wasiliana nasi:*
wa.me/255656303019
~ *Chief Sang'ida*

☪️ *SIRAAJUL MUNIYR HERBS MEDICINE* ☪️  🌿 *TIBA ASILIA YA MAUMIVU YA KIUNO NA MGONGO* 🌿Ikiwa unasumbuliwa na maumivu ya ...
22/11/2025

☪️ *SIRAAJUL MUNIYR HERBS MEDICINE* ☪️
🌿 *TIBA ASILIA YA MAUMIVU YA KIUNO NA MGONGO* 🌿

Ikiwa unasumbuliwa na maumivu ya mgongo au kiuno kutokana na baridi, uchovu au matatizo ya neva, basi tiba hii ya asili ni suluhisho bora kwa ajili yako:

🔸 *1. Dawa ya Kunywa*
✅ Chemsha magome ya *mkorosho* kwenye maji safi.
✅ Kunywa yakiwa ya vuguvugu kikombe kimoja asubuhi kabla ya chai na jioni.
✅ Fanya hivyo kwa *siku 7 mfululizo*.

🔸 *2. Dawa ya Kujipaka*
Changanya na chemsha pamoja mafuta haya:
- *Mafuta ya simsim (sesame oil)*
- *Habbat Sauda (black seed)*
- *Pilipili mtama (kiasi kidogo)*

✅ Tumia mafuta haya kujichua sehemu zenye maumivu yakiwa ya vuguvugu.
✅ Fanya hivyo *kutwa mara 2*, asubuhi na jioni.

📌 Kwa ushauri na tiba mbalimbali wasiliana nasi:
📞 0656 303 019
📲 WhatsApp: wa.me/255656303019
*~Chief Sang’ida*

Address

Dar Es Salaam
0656303019

Telephone

+255656303019

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Siraajul Muniyr - Tiba asili posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Siraajul Muniyr - Tiba asili:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram