Siraajul Muniyr - Tiba asili

Siraajul Muniyr - Tiba asili Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Siraajul Muniyr - Tiba asili, Medical and health, Dar es Salaam.

💫 *SIRAAJUL MUNIYR HERBS MEDICINE* 💫   *MAAJABU YA MBAAZI*⚡ *KUPENDWA, KUKUBALIKA KATIKA JAMII*⚡👉Tafuta mti wa Mbaazi ul...
05/01/2026

💫 *SIRAAJUL MUNIYR HERBS MEDICINE* 💫

*MAAJABU YA MBAAZI*

⚡ *KUPENDWA, KUKUBALIKA KATIKA JAMII*⚡

👉Tafuta mti wa Mbaazi uliotoa maua kisha chuna kamba zake zianike na utwange kupata unga wake.
👉Unga huo changanya kwenye mafuta yako ya kujipakaa.
👉Hakika utaona maajabu ya dawa hiyoo utapendwa na utakubalika katika jamii.

Kwa ushauri na tiba za maradhi mbalimbali wasiliana nasi.
wa.me/255656303019
~*Chief Sang'ida*

💫 *SIRAAJUL MUNIYR HERBS MEDICINE* 💫   *MAAJABU YA MBAAZI*⚡ *KUMUANGUSHA MTU MBAYA KATIKA ENEO LAKO*⚡👉Ukitaka kumuangush...
05/01/2026

💫 *SIRAAJUL MUNIYR HERBS MEDICINE* 💫

*MAAJABU YA MBAAZI*

⚡ *KUMUANGUSHA MTU MBAYA KATIKA ENEO LAKO*⚡

👉Ukitaka kumuangusha mtu aliyekuja kukufanyia ushirikina au kukuwangia katika eneo lako tumia majani ya mbaazi.
👉Chuma majani 28 ya mbaazi yatwange au yafikiche vizuri weka katika ndoo ndogo ya maji pamoja na chumvi mawe kiganya kimoja na majivu kiganya kimoja na dawa inayoitwa mwavi kijiko kimoja.
👉Tumia kunyasia maji hayo katika nyumba, shamba au eneo lako la biashara kwa manuizi yakoo.
👉Wakati wa kunyasia tumia kivumbasi/mwinula.
👉Ikiwa atakuja kuchezea ama kuwanga mtu katika eneo lako ataanguka hapo na kuanza kulopokwa k**a amechanganyikiwa.

Kwa ushauri na tiba za maradhi mbalimbali wasiliana nasi.
wa.me/255656303019
~*Chief Sang'ida*

☪ *SIRAAJUL MUNIYR HERBS MEDICINE* ☪ *HORMONE IMBALANCE ( KUVURUGIKA/KUTOKUA SAWA KWA HOMONI)*  👉 Hili ni tatizo linalow...
30/12/2025

☪ *SIRAAJUL MUNIYR HERBS MEDICINE* ☪

*HORMONE IMBALANCE ( KUVURUGIKA/KUTOKUA SAWA KWA HOMONI)*
👉 Hili ni tatizo linalowakumba wanawake wengi sana ambalo husababishwa na kiwango kidoga cha homoni ya ESTROGEN

🍀 *SABABU ZA KUVURUGIKA HOMON*🍀
👉Utoaji mimba
👉Kuwa na sumu mwilini
👉Mabadiliko ya hali ya hewa
👉Kutokula mlo kamili au mwenendo mbovu wa maisha
👉Uzito mkubwa
👉Athar za kemikali
👉Matumiz ya kisasa ya uzaz wa mpango

🌱 *DALILI ZA MVURUGIKO WA HOMON* 🌱
👉Maumivu wakat wa tendo la ndoa
👉Mzunguuko wa hedhi kubadilika
👉Kutoshika ujauzito
👉Kupungua kwa hamu ya tendo la ndoa
👉Kuongezeka uzito
👉Kupoteza kumbukumbu
👉Damu kutoka nyingi wakat wahedhi au kutoa damu yenye mabonge mabonge
👉Uke kuwa mkavu au kukosa ute wa uzazi
👉Maumivu chini ya kitovu wakat wa hedhi
👉Allerg ya kuchagua chakula au kuona dalili k**a mama mjamzito nk.

⚡ *MADHARA YA KUTOBALANCE KWA HORMONE* ⚡
👉Kutoshika ujauzito kwa muda mrefu
👉Mimba kuharbika mara kwa mara
👉Kuwa mgumba
👉Uvimbe kwenye via vya uzazi vya mwanamke, o***y sisytem ama fibroids
👉Kuziba kwa mirija ya uzazi
👉Kukosa hedhi
👉Kukosa hamu ya tendo la ndoa
👉Kupata hedhi mara mbili kwa mwezi au hedhi mfululizo
👉Saratan ya kizazi

Kwa ushauri na tiba za maradhi mbalimbali wasiliana nasi
what's app/call
wa.me/255656303019
*~Chief Sang'ida*

🍃 *MCHAICHAI NA FAIDA ZAKE ZA KITIBA* 🍃  *Tumia k**a chai ya kunywa au kuoga kwa tiba ya mwili mzima.*🌿 Faida za Mchaich...
26/12/2025

🍃 *MCHAICHAI NA FAIDA ZAKE ZA KITIBA* 🍃
*Tumia k**a chai ya kunywa au kuoga kwa tiba ya mwili mzima.*

🌿 Faida za Mchaichai:
✅ Hukinga dhidi ya *kansa*
✅ Hutibu *U.T.I sugu*
✅ Huzuia *kutapika*
✅ Hutibu *maradhi ya tumbo*
✅ Huimarisha *kinga ya mwili*
✅ Huzuia *kuharisha*
✅ Hupooza *homa kali*
✅ Husafisha *figo*
✅ Hutibu *baridi yabisi*
✅ Hulainisha *choo kigumu*
✅ Hupunguza *maumivu ya hedhi*
✅ Huweka sawa *shinikizo la damu (presha)*
✅ Huondoa *msongo wa mawazo na usingizi*
✅ Hushusha *cholesterol mbaya mwilini*
✅ Huimarisha *kumbukumbu*
✅ Huondoa *harufu mbaya ukeni*
✅ Huondoa *gesi na mingurumo tumboni*

📞 *Kwa ushauri na tiba mbalimbali:*
*WhatsApp / Simu:* 0656 303 019
*Link:* wa.me/255656303019
*~ Chief Sang’ida ~*

🕊️ *SIRAAJUL MUNIYR HERBS MEDICINE* 🕊️  🌿 *DAWA ASILI YA KUSAFISHA DAMU* 🌿Unasumbuliwa na sumu mwilini, mafuta mengi, ch...
13/12/2025

🕊️ *SIRAAJUL MUNIYR HERBS MEDICINE* 🕊️
🌿 *DAWA ASILI YA KUSAFISHA DAMU* 🌿

Unasumbuliwa na sumu mwilini, mafuta mengi, chunusi, miwasho au uchovu usioeleweka? Njia bora ya kuanza tiba ni *kusafisha damu.* Hapa chini ni mchanganyiko maalumu wa dawa asilia tatu (3) tofauti — tumia njia yeyote moja wapo kati ya hizi kwa ufanisi.

1⃣ *KUZ-BARA ( Arabic Herb)*
*Namna ya Kutengeneza:*
- Chukua *vijiko 7* vya KUZ-BARA
- Chemsha kwa *maji lita 1*
- Iache ipoe kisha chuja

*Matumizi:*
- *Mtoto chini ya miaka 5*: Anywe vijiko viwili *mara 2 kwa siku (2×2)*
- *Mtu mzima*: Kikombe kidogo cha kahawa *mara 2 kwa siku*
- *Muda wa kutumia*: Siku *7 hadi 11*

2⃣ *Tangawizi, Limau na S**i ya Tufaha (Apple Cider Vinegar)*
*Mahitaji:*
- Limau kubwa 1 (kamua maji yake)
- Tangawizi mbichi 1 (pondaponda)
- S**i ya tufaha – vijiko 2

*Namna ya Kutengeneza:*
- Chemsha vyote kwa *maji lita 1*
- Iache ipoe, kisha kunywa

*Matumizi:*
- Kikombe kimoja *mara 3 kwa siku*
- *Muda*: Siku *7 mfululizo*

3⃣ *Maji ya Ndimu (Asubuhi tu)*
- Kamua ndimu/limau mpaka upate maji yake kikombe kimoja.
- Chemsha maji hayo

*Matumizi:*
- Kunywa *asubuhi kabla ya kula chochote*
- Fanya hivyo kwa siku *7*

💡 *Matokeo:*
- Mwili kuwa mwepesi
- Ngozi kung’aa
- Mzunguko wa damu kuimarika
- Kuondoa sumu na kinga dhidi ya maradhi

📞 *Kwa ushauri na tiba mbalimbali*
WhatsApp/Call: *wa.me/255656303019*
*~ Chief Sang’ida*

Leo ni usiku wa mwisho wa full moon wa mwaka 2025.Hakikisha unautumia vema usiku huu kwaajili ya kuachilia vikwazo, mata...
07/12/2025

Leo ni usiku wa mwisho wa full moon wa mwaka 2025.
Hakikisha unautumia vema usiku huu kwaajili ya kuachilia vikwazo, matatizo, maradhi, uliyopitia au kukukwamisha ndani ya mwaka huu.
Na utumie usiku huu vema kudhihirisha malengo yako unayoyataka yatimie ndani ya mwaka ujao.
Hakikisha unaangaliana na mwezi na focus yako iwe katika mwezi na ufanye hayo niliyokwambia.

Kupitia Asili hakuna gumu wala kinachoshindikana Ulimwengu ni Mtamu sana ukiujua amka sasa unafaike na Full moon ya mwisho kwa mwaka 2025.

ASILI INAPONYA ASILI INA NGUVU

☪ *SIRAAJUL MUNIYR HERBS MEDICINE* ☪    *MTUNDWA*⚡Mtundwa [Mpingi, Ntondwa, Mtundakula, Ma'ayangu] huu ni mmea tiba ujul...
05/12/2025

☪ *SIRAAJUL MUNIYR HERBS MEDICINE* ☪

*MTUNDWA*
⚡Mtundwa [Mpingi, Ntondwa, Mtundakula, Ma'ayangu] huu ni mmea tiba ujulikanao kwa jina la kisayansi k**a *"Ximenia caffra"*
⚡Kila kitu katika mmea huu kuanzia matunda yake, majani yake, mti wenyewe na mizizi yake vyote vinafaida na hutumika katika tiba.
⚡Mizizi ya mmea huu inauwezo mkubwa wa-::
👉Kuzibua mirija ya uzazi iliyoziba
👉Kutibu machango
👉Kusaidia kushika ujauzito kwa wepesi.
👉Kutibu magonjwa ya zinaa.
👉Kutibu maradhi ya matumbo pamoja na kuhara.
👉Kutibu malaria na kikohozi.
👉Kutibu ngiri na nguvu za kiume.
👉Kutibu macho.
Nk, nk, nk, faida zake ni nyingi mnoo wacha kwa leo tuishie hapo.

🌱 *MATUMIZI* 🌱
⚡Koroga kijiko kimoja cha unga wa mizizi ya mmea huu kwenye uji ama maziwa ama maji moto kikombe kimoja kisha kunywa.
⚡Utafanya hivyo kutwa mara mbili kwa muda wa siku 7.

Kwa ushauri na tiba za maradhi mbalimbali wasiliana nasi
what's app/call
wa.me/255656303019
*CHIEF SANG'IDA*

🪐 *SIRAAJUL MUNIYR HERBS MEDICINE* 🪐  *FAIDA ZA CACTUS (MTERATERA / MADUNGUSI)*Leo tunakuletea faida muhimu za mmea maar...
30/11/2025

🪐 *SIRAAJUL MUNIYR HERBS MEDICINE* 🪐
*FAIDA ZA CACTUS (MTERATERA / MADUNGUSI)*

Leo tunakuletea faida muhimu za mmea maarufu wa *Cactus*, unaojulikana pia kwa majina ya kienyeji k**a *Mteratera* au *Madungusi*.

🌿 *Faida za Afya:*
Cactus ni chanzo bora cha *vitamini C*, ambayo huongeza uzalishaji wa seli nyeupe za damu—hivyo huimarisha kinga ya mwili na kupambana na magonjwa mbalimbali.

💠 *Husaidia katika:*
✔ Kuimarisha kinga ya mwili
✔ Kuzuia ukuaji wa seli za saratani
✔ Kurekebisha kiwango cha sukari mwilini
✔ Kupunguza msongo wa mawazo
✔ Kuimarisha afya ya moyo
✔ Kupunguza uvimbe na maumivu
✔ Kuondoa sumu mwilini
✔ Kupunguza cholesterol
✔ Kuzuia kiharusi na kipandauso
✔ Kuongeza oksijeni kwenye damu
✔ Kuboresha mmeng’enyo wa chakula

🌿 *Matumizi ya moja kwa moja:*
⚡ *Dawa ya chango*
⚡ *Hutibu miguu inayowaka moto au kufa ganzi:*
- Chukua jani la cactus, lipashe moto kidogo jikoni, mgonjwa aliyesumbuliwa na hali hii akanyage mara 2 kwa siku.

⚡ *Kinga dhidi ya majini na mashetani:*
- Chukua miiba ya cactus, tengeneza usila (kitu cha kuandikia chale), kisha chanjia chale tatu ndogo utosini—ni kinga dhidi ya mashetani.

⚡ *Kutibu kucha zilizo haribika:*
- Paka maji ya cactus kwenye ukucha ulioharibika kwa siku kadhaa.

*Kwa ushauri na tiba mbalimbali, wasiliana nasi:*
wa.me/255656303019
~ *Chief Sang'ida*

☪️ *SIRAAJUL MUNIYR HERBS MEDICINE* ☪️  🌿 *TIBA ASILIA YA MAUMIVU YA KIUNO NA MGONGO* 🌿Ikiwa unasumbuliwa na maumivu ya ...
22/11/2025

☪️ *SIRAAJUL MUNIYR HERBS MEDICINE* ☪️
🌿 *TIBA ASILIA YA MAUMIVU YA KIUNO NA MGONGO* 🌿

Ikiwa unasumbuliwa na maumivu ya mgongo au kiuno kutokana na baridi, uchovu au matatizo ya neva, basi tiba hii ya asili ni suluhisho bora kwa ajili yako:

🔸 *1. Dawa ya Kunywa*
✅ Chemsha magome ya *mkorosho* kwenye maji safi.
✅ Kunywa yakiwa ya vuguvugu kikombe kimoja asubuhi kabla ya chai na jioni.
✅ Fanya hivyo kwa *siku 7 mfululizo*.

🔸 *2. Dawa ya Kujipaka*
Changanya na chemsha pamoja mafuta haya:
- *Mafuta ya simsim (sesame oil)*
- *Habbat Sauda (black seed)*
- *Pilipili mtama (kiasi kidogo)*

✅ Tumia mafuta haya kujichua sehemu zenye maumivu yakiwa ya vuguvugu.
✅ Fanya hivyo *kutwa mara 2*, asubuhi na jioni.

📌 Kwa ushauri na tiba mbalimbali wasiliana nasi:
📞 0656 303 019
📲 WhatsApp: wa.me/255656303019
*~Chief Sang’ida*

*YAJUE MADHARA YA KUTUMIA NJIA ZA UZAZI WA MPANGO* ♦️Vidonge vya uzazi wa mpango na sindanoVidonge na sindano huwa na da...
20/11/2025

*YAJUE MADHARA YA KUTUMIA NJIA ZA UZAZI WA MPANGO*

♦️Vidonge vya uzazi wa mpango na sindano

Vidonge na sindano huwa na dawa ambazo zina vichocheo vinavyozuia mayai kupevuka na kutolewa. Pia kemikali hizi hufanya ute ute wa ukeni kuwa mzito sana kiasi ya kuzuia mbegu kuogelea.

*Hasara za vidonge na sindano za uzazi wa mpango*

👉kuvurugika kwa hedhi ama kukosa kabisa hedhi

👉hamu ya tendo la ndoa yaweza kupungua

👉uzito waweza kuongezeka zaidi au kupungua sana

👉kuchelewa kushika mimba ingine baada ya kuacha kutumia

👉kumeza vidonge mara kwa mara na kuchoma sindano kila baada ya miezi mitatu, husababisha kichefuchefu, kuongezeka kwa hamu ya chakula na kuumwa kichwa.

♦️Vipandikizi au vijiti

Vipandikizi ni vijiti vyembamba vidogo vinavyowekwa kwenye sehemu ya juu ya mkono wa mwanamke kwa njia ya upasuaji mdogo. Vijiti vina kichocheo kinachozuia kupevuka kwa mayai.

*Hasara na vijiti.*

👉Vijiti hupadili homoni za mwili

👉inaweza kupelekea ukose hedhi ama hehdi kuvurugika

👉inahitaji upasuaji mdogo wakati wa kupandikiza na kutoa kipandikizi.

👉huleta hasira,huzuni,kunyonyoka nywele,majimaji ukeni na kuongezeka uzito.

♦️Kitanzi au loop

Ni kifaa kidogo kiliyoundwa na aina maalumu ya plastiki ambacho huwekwa kwa utaalamu ndani ya mfuko wa uzazi. Hufanya kazi hadi miaka 10.

*Hasara za kitanzi:*

👉lazima kiwekwe na mtaalamu wa huduma ya afya.

👉mtumiaji hupata damu nyingi ya hedhi kuliko kawaida

👉mtumiaji hupata maumivu makali kabla na wakati wa hedhi

👉uke huwa mlaini muda mwingi na

👉mwanamke hukosa hamu ya tendo.

Kwa ushauri na tiba za maradhi mbalimbali wasiliana nasi.
What's app/call
wa.me/255656303019
*~Chief Sang'ida*

🌱FAIDA ZA UWATU🌱 Mbegu hizi za UWATU hujulikana kwa jina la english k**a FENUGREEK , arabic huitwa HULBA  (حلبة)  na sci...
31/05/2025

🌱FAIDA ZA UWATU🌱

Mbegu hizi za UWATU hujulikana kwa jina la english k**a FENUGREEK , arabic huitwa HULBA (حلبة) na scientific name ni Trigonella foenum-graecum .

Uwatu una faida nyingi sanaa, leo napenda kuwapa faida zake japo kiuchache.
*MAANDALIZI YAKE:*
*Unachemsha k**a Maharage na Unakunywa maji yake.* Kunywa kutwa mara2.
Ama ikiwa umeupata wa unga tumia kijiko kimoja koroga kwenye maji vuguvugu ama uji kikombe kimoja kisha kunywa fanya hivyo kutwa mara2.

👉Kama unashambuliwa na tumbo lisilokuwa na dawa-tumia *UWATU*
👉Kama una *U.T.I* sugu isiyopona. 👉Kama umejifungua kunywa *UWATU* Utasafika haraka na kukauka haraka.
👉Kama Umeharibu *MIMBA* baada ya kusafishwa hospital kunywa *UWATU.* 👉Kama una Blid zaidi ya siku 7 na kuendelea kunywa *UWATU.*
👉Kusafisha Mirija ya *Uzazi* kunywa *UWATU.*
👉Kama haupati Siku zako Kwa Kawaida, Namaanisha Leo *Damu* kesho tone, kesho unapata, kesho kutwa basi kunywa *UWATU.*
👉Kama unaumwa na *Chango* kunywa *UWATU.*
Pia uwatu husaidia kushusha sukari, kuweka homoni sawa kwa wanawake,
Huongeza uzalishaji wa maziwa kwa mama anayenyonyesha.
Huondoa cholesterol na kutibu obesity
Huweza kutibu tezi dume
Huongeza manii na uwezo katika tendo.
📌 *KWA MAMA MJA MZITO HARUHUSIWI KUTUMIA*
⚡ *UWATU pia ni nzuri kwa kusafisha nywele zenye MBA na zinazokatika.*

Kwa ushauri na tiba za maradhi mbalimbali wasiliana nasi
0656303019
What's app/call
wa.me/255656303019
~Chief Sang'ida.

FAIDA ZA MCHAICHAI (LEMONGRASS) Huu Mmea ni Mmea Mkubwa sana ktk sekta ya Afya.Watu wengi wenye hekima wamelima mashamba...
02/02/2025

FAIDA ZA MCHAICHAI (LEMONGRASS)

Huu Mmea ni Mmea Mkubwa sana ktk sekta ya Afya.
Watu wengi wenye hekima wamelima mashamba makubwa ya mchaichai kwa ajili ya tiba.

Huu Mmea kuna Magonjwa unatibu ambayo hayatibiki kirahisi kwa dawa za kisasa.. ila yanakuja kutibiwa na mmea huu , ambao ni maarufu kwa matumizi ya chai

Mmea huu una virutubisho, madini na vitamn k**a ifuatavyo

Energy (Nishati)
• Wanga (Carbohydrates )
• Protein (protini)
• Fat (Mafuta)
• Folates
• Niacin (Vitamn B3)
• Pyridoxine (Vitamn B6)
• Riboflavin (Vitamn B2)
• Thiamin (Vitamin B1)
• Vitamin A 6
• Vitamin C
• Madini ya Sodium 6
• Madini ya Potassium
• Madini ya Calcium
• Una madini ya Copper (shaba)
• Madini ya Iron (chuma)
• Madini ya Magnesium
• Pia madini ya Manganese
• Madini ya Selenium
Na madini ya Zinc

Hivyo huu fanya mmea huu kuwa na faida kubwa mnoo mwilini

Ukianza kuchambua kila kimojawapo hapo , utajikuta mwili umejaa kila hitaji linalohitajika

FAIDA ZA KUTUMIA MCHAICHI

🌹 Ina sifa ya Antidepressant

Matumizi ya Mafuta ya mchaichai huongeza kujistahi, kujiamini, matumaini, nguvu ya kiakili,.. Hii inaweza kusaidia sana kuondoa unyogovu kutokana na kushindwa katika kazi, maisha ya kibinafsi, wasiwasi , upweke, vilio, kifo katika familia, na sababu nyingine nyingi... Mafuta ya asili ya mchaichai ukijipaka tu hata k**a ulikuwa na hofu , msh*tuko k**a wa msiba , hali hiyo ikikutokea paka haya mafuta utakaa sawa

🌹Kupunguza Uzito

Mchaichai una citral, ambayo ni bora dhidi ya fetma.. Inapunguza mkusanyiko wa mafuta ya tumbo na kukuza utumiaji wa nishati iliyohifadhiwa, ambayo husaidia kuzuia kupata uzito unaosababishwa na ulaji mbaya wa chakula bila mpangilio ,Mtu anakula mara tano , badala ya mara moja au mbili kwa siku ,pia huongeza oxidation ya asidi ya mafuta katika mwili.

Ina sifa ya kupambana na Saratani

Citral ni kemikali iliyo ktk Mchaichai, inaweza kuwa na ufanisi katika kuzuia ukuaji wa seli za saratani bila kuathiri seli za afya za mwili. Citral n nzur katika kuzuia ukuaji wa seli za saratani ya ini na kuzuia ukuaji zaidi wa seli za saratani..

🌹Huondoa Matatizo ya Kupumua

Mchaichai hutumiwa sana katika dawa ya Ayurvedic ... Huondoa madhara ya

Address

Dar Es Salaam
0656303019

Telephone

+255656303019

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Siraajul Muniyr - Tiba asili posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Siraajul Muniyr - Tiba asili:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram