Siraajul Muniyr - Tiba asili

Siraajul Muniyr - Tiba asili Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Siraajul Muniyr - Tiba asili, Medical and health, Dar es Salaam.

🌱FAIDA ZA UWATU🌱 Mbegu hizi za UWATU hujulikana kwa jina la english k**a FENUGREEK , arabic huitwa HULBA  (حلبة)  na sci...
31/05/2025

🌱FAIDA ZA UWATU🌱

Mbegu hizi za UWATU hujulikana kwa jina la english k**a FENUGREEK , arabic huitwa HULBA (حلبة) na scientific name ni Trigonella foenum-graecum .

Uwatu una faida nyingi sanaa, leo napenda kuwapa faida zake japo kiuchache.
*MAANDALIZI YAKE:*
*Unachemsha k**a Maharage na Unakunywa maji yake.* Kunywa kutwa mara2.
Ama ikiwa umeupata wa unga tumia kijiko kimoja koroga kwenye maji vuguvugu ama uji kikombe kimoja kisha kunywa fanya hivyo kutwa mara2.

👉Kama unashambuliwa na tumbo lisilokuwa na dawa-tumia *UWATU*
👉Kama una *U.T.I* sugu isiyopona. 👉Kama umejifungua kunywa *UWATU* Utasafika haraka na kukauka haraka.
👉Kama Umeharibu *MIMBA* baada ya kusafishwa hospital kunywa *UWATU.* 👉Kama una Blid zaidi ya siku 7 na kuendelea kunywa *UWATU.*
👉Kusafisha Mirija ya *Uzazi* kunywa *UWATU.*
👉Kama haupati Siku zako Kwa Kawaida, Namaanisha Leo *Damu* kesho tone, kesho unapata, kesho kutwa basi kunywa *UWATU.*
👉Kama unaumwa na *Chango* kunywa *UWATU.*
Pia uwatu husaidia kushusha sukari, kuweka homoni sawa kwa wanawake,
Huongeza uzalishaji wa maziwa kwa mama anayenyonyesha.
Huondoa cholesterol na kutibu obesity
Huweza kutibu tezi dume
Huongeza manii na uwezo katika tendo.
📌 *KWA MAMA MJA MZITO HARUHUSIWI KUTUMIA*
⚡ *UWATU pia ni nzuri kwa kusafisha nywele zenye MBA na zinazokatika.*

Kwa ushauri na tiba za maradhi mbalimbali wasiliana nasi
0656303019
What's app/call
wa.me/255656303019
~Chief Sang'ida.

FAIDA ZA MCHAICHAI (LEMONGRASS) Huu Mmea ni Mmea Mkubwa sana ktk sekta ya Afya.Watu wengi wenye hekima wamelima mashamba...
02/02/2025

FAIDA ZA MCHAICHAI (LEMONGRASS)

Huu Mmea ni Mmea Mkubwa sana ktk sekta ya Afya.
Watu wengi wenye hekima wamelima mashamba makubwa ya mchaichai kwa ajili ya tiba.

Huu Mmea kuna Magonjwa unatibu ambayo hayatibiki kirahisi kwa dawa za kisasa.. ila yanakuja kutibiwa na mmea huu , ambao ni maarufu kwa matumizi ya chai

Mmea huu una virutubisho, madini na vitamn k**a ifuatavyo

Energy (Nishati)
• Wanga (Carbohydrates )
• Protein (protini)
• Fat (Mafuta)
• Folates
• Niacin (Vitamn B3)
• Pyridoxine (Vitamn B6)
• Riboflavin (Vitamn B2)
• Thiamin (Vitamin B1)
• Vitamin A 6
• Vitamin C
• Madini ya Sodium 6
• Madini ya Potassium
• Madini ya Calcium
• Una madini ya Copper (shaba)
• Madini ya Iron (chuma)
• Madini ya Magnesium
• Pia madini ya Manganese
• Madini ya Selenium
Na madini ya Zinc

Hivyo huu fanya mmea huu kuwa na faida kubwa mnoo mwilini

Ukianza kuchambua kila kimojawapo hapo , utajikuta mwili umejaa kila hitaji linalohitajika

FAIDA ZA KUTUMIA MCHAICHI

🌹 Ina sifa ya Antidepressant

Matumizi ya Mafuta ya mchaichai huongeza kujistahi, kujiamini, matumaini, nguvu ya kiakili,.. Hii inaweza kusaidia sana kuondoa unyogovu kutokana na kushindwa katika kazi, maisha ya kibinafsi, wasiwasi , upweke, vilio, kifo katika familia, na sababu nyingine nyingi... Mafuta ya asili ya mchaichai ukijipaka tu hata k**a ulikuwa na hofu , msh*tuko k**a wa msiba , hali hiyo ikikutokea paka haya mafuta utakaa sawa

🌹Kupunguza Uzito

Mchaichai una citral, ambayo ni bora dhidi ya fetma.. Inapunguza mkusanyiko wa mafuta ya tumbo na kukuza utumiaji wa nishati iliyohifadhiwa, ambayo husaidia kuzuia kupata uzito unaosababishwa na ulaji mbaya wa chakula bila mpangilio ,Mtu anakula mara tano , badala ya mara moja au mbili kwa siku ,pia huongeza oxidation ya asidi ya mafuta katika mwili.

Ina sifa ya kupambana na Saratani

Citral ni kemikali iliyo ktk Mchaichai, inaweza kuwa na ufanisi katika kuzuia ukuaji wa seli za saratani bila kuathiri seli za afya za mwili. Citral n nzur katika kuzuia ukuaji wa seli za saratani ya ini na kuzuia ukuaji zaidi wa seli za saratani..

🌹Huondoa Matatizo ya Kupumua

Mchaichai hutumiwa sana katika dawa ya Ayurvedic ... Huondoa madhara ya

Je, unamafuaJe una homaJe unahisi kuumwa Au unahisi homaAu baridi kaliAu mwili haupo sawa, kabisaNenda kachukue limao ki...
02/02/2025

Je, unamafua
Je una homa
Je unahisi kuumwa

Au unahisi homa
Au baridi kali
Au mwili haupo sawa, kabisa

Nenda kachukue limao kipande kimoja,
kata na kipande nusu cha chungwa chemsheni kwenye maji moto

kunywa kikombe 1 kila siku jioni kikombe kimoja tuu, kwa kila jioni au usiku utaamka mwepesi k**a karatasi mpya

k**a umenielewa share k**a utafanya hivi weka LIKE ...

🪐 *SIRAAJUL MUNIYR HERBS MEDICINE* 🪐  *CACTUS*Leo tunakuletea faida za mmea huu ujulikanao kwa majina Cactus / Mteratera...
27/01/2025

🪐 *SIRAAJUL MUNIYR HERBS MEDICINE* 🪐

*CACTUS*
Leo tunakuletea faida za mmea huu ujulikanao kwa majina Cactus / Mteratera/ Madungusi.

🌱Mti huu ni chanzo bora cha vitamini C, ambayo huongeza uzalishaji wa seli nyeupe za damu ambazo husaidia mwili kupigana na virusi mbalimbali na kuboresha kinga ya mwili wako.
🌱Kutokana na umahiri wake katika kuongeza vitamini C mwilini:-
👉Huzuia ukuaji wa saratani.
👉Huimarisha utendaji wa moyo
👉Huponesha msongo wa mawazo
👉Huweka sawa sukari mwilini
👉Huzuia uvimbe kukua
👉Hulinda mwili dhidi ya oxidant, huimarisha mmeng'enyo wa chakula.
👉Hupunguza cholesterol na kuongeza oxygen kwenye damu.
👉Huzuia kiharusi na kipanda uso.
👉Huondoa sumu mwilini.

⚡Ni dawa nzuri sanaa ya chango
⚡Ni dawa ya miguu kufa ganzi na kuwaka moto.
Chukua jani lake lipashe jikoni lipate moto na akanyage mwenye matatizo hayo, afanye hivyo kutwa mara2.
⚡Ni kinga nzuri sanaa dhidi ya mashetani na majini wabaya.
Chukua miiba yake tengeneza usila kisha chanjia utosini chale tatu hatokuingia jini wala shetani.
⚡Ukipaka maji yake kwenye ukucha ulioharibika utapona.

Kwa ushauri na tiba za maradhi mbalimbali wasiliana nasi
What's app/call
wa.me/255656303019
*~Chief Sang'ida*

KWAHERI KISUKARI, MAFUTA KWENYE INI NA MAUMIVU YA VIUNGO.       INGREDIENTS.Turmeric: A peeled and chopped piece for its...
23/01/2025

KWAHERI KISUKARI, MAFUTA KWENYE INI NA MAUMIVU YA VIUNGO.

INGREDIENTS.

Turmeric: A peeled and chopped piece for its potent anti-inflammatory and antioxidant properties.
Cloves: A handful (Indian or traditional) to boost blood circulation and regulate blood sugar.
Dried Oregano: One teaspoon to detoxify the liver and fight inflammation.
Hibiscus Flowers: A handful to support liver health and reduce inflammation.
Water: Half a liter for brewing this powerful infusion.

🌳 *SIRAAJUL MUNIYR HERBS MEDICINE* 🌳 ✨ _KUINUA MIZIMU YA UTAMBUZI_ ✨⚡Tunakuletea njia mujarabu ya kuinua mizimu ya utamb...
20/01/2025

🌳 *SIRAAJUL MUNIYR HERBS MEDICINE* 🌳
✨ _KUINUA MIZIMU YA UTAMBUZI_ ✨
⚡Tunakuletea njia mujarabu ya kuinua mizimu ya utambuzi.
⚡Dawa hii hufungua panel na kuwa na uwezo mkubwa wa utambuzi wa mambo mbalimbali, liwe jambo lililo mbali nawe ama lililo karibu.
⚡Utakua na uwezo wa kutambua mambo yaliyopita, yaliyopo na yajayo kwa uhalisia wake.

🌴 *MAHITAJI* 🌴
👉Majani ya mkaratusi
👉Kivumbasi / Mwinula
👉Mdoktori
👉Kasela
👉Shilonge
👉Ubongo wa njiwa
👉Ubongo wa sungura
👉Ubongo wa kuku mweupe
👉Ubongo wa mbeshi.

Dawa hizo utachanganya na hivyo vingira vyake kwa utaratibu maalumu wa uandaaji wa dawa za kuamsha mizimu na kufungua fahamu.

🌿 *MATUMIZI* 🌿
Utakua waoga dawa hiyo na kuvuta kwenye kiko ama kuvuta k**a sigara .
Fanya hivyo kutwa mara mbili siku sabaa.

Kwa ushauri na tiba za maradhi mbalimbali wasiliana nasi
0656303019
wa.me/255656303019
*~Chief Sang'ida*

🌳 *SIRAAJUL MUNIYR HERBS MEDICINE* 🌳  ⚡ *UTWAARID* ⚡NI DAWA MUJARABU KWA MATATIZO KWA:;;--👉BAWASIRI👉KUKOSA CHOO      🌴 *...
27/07/2024

🌳 *SIRAAJUL MUNIYR HERBS MEDICINE* 🌳
⚡ *UTWAARID* ⚡
NI DAWA MUJARABU KWA MATATIZO KWA:;;--
👉BAWASIRI
👉KUKOSA CHOO

🌴 *MATUMIZI* 🌴
👉KOROGA KIJIKO KIDOGO(CHA CHAI) KWA MAJI MOTO AU MAZIWA AU UJI KIKOMBE KIMOJA KUTWA X 3 SIKU 14.
*NB* :UTATUMIA PAMOJA NA MAFUTA YA NYONYO KUPAKA SEHEMU HUSIKA

Kwa ushauri na tiba za maradhi mbalimbali wasiliana nasi
+255655821550 ama
wa.me/255656303019
~CHIEF SANG'IDA.

☪ *SIRAAJUL MUNIYR HERBS MEDICINE* ☪🌳 *UNGA WA KOMAMANGA* 🌳⚡HIZI NI BAADHI YA FAIDA ZINAZOPATIKANA KATIKA MAGANDA  NA MI...
10/02/2024

☪ *SIRAAJUL MUNIYR HERBS MEDICINE* ☪
🌳 *UNGA WA KOMAMANGA* 🌳
⚡HIZI NI BAADHI YA FAIDA ZINAZOPATIKANA KATIKA MAGANDA NA MIZIZI YA MKOMAMANGA⚡
👉Tumbo kujaa gesi, acid
👉Vidonda vya tumbo
👉Cycititis, kuhara damu
👉Kubalance hormones, kupevusha mayai
👉Kutibu mawe kwenye figo, minyoo aina ya tegu
👉Hutibu uvimbe wa wengu (spleen)
👉Huongeza nguvu za kiume
👉Hutibu magonjwa ya kusendeka (magonjwa ya muda mrefu) k**a vile kisukari, saratani ya tezi dume na saratani mbalimbali, baridi yabisi, gout,
👉Huondoa sumu za kemikali mbalimbali katika mwili
👉Hutibu homa ya ini

Kwa ushauri na dawa za maradhi mbalimbali wasiliana nasi
What's/call
wa.me/255656303019
*~Chief Sang'ida*

🌳 *UFAHAMU UVIMBE KWENYE KIZAZI NA TIBA YAKE* 🌳⚡UVIMBE KWENYE KIZAZI (FIBROID) NI NINI?👉Fibroid ni uvimbe ambao hutokea ...
02/02/2024

🌳 *UFAHAMU UVIMBE KWENYE KIZAZI NA TIBA YAKE* 🌳
⚡UVIMBE KWENYE KIZAZI (FIBROID) NI NINI?

👉Fibroid ni uvimbe ambao hutokea kwenye tumbo la kizazi ambao unaweza kuwa ndani ya kizazi(ukutani mwa kizazi) au ndani ya nyama ya kizazi na nje kwenye ukuta wa kizazi.

🌱 *AINA ZA FIBROID* 🌱
👉1.Submucosal fibroids(ndani ya kizazi)
👉2.intramural fibroid(ndani ya nyama za kizazi)
👉3. Subserosal(nje ya kizaz)

*WATU WALIO KATIKA HATARI YA KUPATA FIBROID*
👉1.Mwanamke ambae hajawahi kupata mtoto mpaka umri mkubwa.
👉2.hedhi iliyoharibika mzungukowake.
👉3.mnene.
👉4.kuingia hedhi mapema.
👉5.walio kati ya umri wa kubalehe na ukomo wa hedhi.

⚡⚡ *NB* ;;Fibroids sio kansa ni uvimbe wa kawaida tu ambao unakua kwa kutegemea kichocheo cha estrogen hormone ndio maana kuanzia kubalehe mpaka kukoma kwa hedhi ndio wako hatarini.

⚡Na mara nyingi uvimbe huu huongezeka kukua sana hasa wakati wa ujauzito kwani vichocheo hivi huongezeka wakati huo kulinda makazi ya mtoto.

⚡Ni watu waliofikia kikomo cha hedhi hawapati fibroids au kitaalam leomyoma.

🍀 *DALILI ZA FIBROIDS* 🍀
👉1. Kutokwa damu kwenye via vya uzazi katikati ya mwezi.
👉2. kutokwa na uchafu wenye harufu mbaya au ambao hauna harufu lakini mwingi na mweupe.
👉3. Maumivi ya kiuno hasa wakati wa hedthi ambayo husababishwa na kizazi kujaribu kusukuma huo uvimbe, wengi hupata maumivu makali sana.
👉4.Tumbo kuuma sana chini ya kitovu.
👉5. Hedhi zisizokuwa na mpango
👉6. Maumivu wakati wa tendo la ndoa
👉7. Kukosa hamu ya tendo la ndoa
👉8.kupata hedhi nzito ambayo hupelekea kupoteza damu au kupata maumivu ya hedhi
👉9.kupata CHUNUSI
👉10.maumivu ya kiuno
👉11.kujihisi kujaa sehemu ya chini ya kitovu
👉12.kushindwa kupata ujauzito au kupoteza ujauzito

✂Uvimbe unapokua mkubwa unaweza kusababisha dalili zifuatazo.

👉1. Kukojoa mara kwa mara kwani uvimbe unakandamiza kibofu cha mkojo
👉2. Mkojo kubaki kwenye kibofu cha mkojo
👉3.Haja kuwa ngumu
👉4. Miguu kuvimba
👉5. Kupungukiwa damu

⚡⚡ *NAMNA FIBROIDS HUZUIA NA KUMUATHIRI MWANAMKE NA KUMSABABISHIA ASISHIKE UJAUZITO*
👉1. Fibriods zikikua sana zinakandamiza mishipa ya kupitisha mayai kutoka kwenye kiwanda yani ovari
👉2. Uvimbe pia unazuia yai lililorutubishwa kuji

🌳 *KUFUTA CHALE ZA WACHAWI NA KUUWA UCHAWI MWILINI* 🌳  ⚡ *MAHITAJI* ⚡👉Majani ya nchani ya mnofu wa kuku👉Majani ya mbaazi...
25/01/2024

🌳 *KUFUTA CHALE ZA WACHAWI NA KUUWA UCHAWI MWILINI* 🌳
⚡ *MAHITAJI* ⚡
👉Majani ya nchani ya mnofu wa kuku
👉Majani ya mbaazi
👉Jivu la jikoni
👉Chumvi ya mawe
👉Ndimu sabaa

⚡ Twanga pamoja vitu vyote hivyo kisha msugulie mgonjwa mwili mzima kasoro nywele za kichwani tuu.
⚡Akae k**a dakika tano kisha akoge,
⚡Baada ya hapo ponda majani ya mnofu wa kuku peke yake chuja kisha anywe na umfanyie kinga.

Kwa ushauri na tiba za maradhi mbalimbali wasiliana nasi
what's app/call
wa.me/255656303019
*Chief Sang'ida*

🌳 *SIRAAJUL MUNIYR HERBS MEDICINE* 🌳FAIDA YA KIAZI CHA MLANGAMIA ⚡ *MTUTUKANGA* ⚡👉Kufungua uzazi👉Kufunga nyumba 👉kuzindi...
25/01/2024

🌳 *SIRAAJUL MUNIYR HERBS MEDICINE* 🌳
FAIDA YA KIAZI CHA MLANGAMIA
⚡ *MTUTUKANGA* ⚡
👉Kufungua uzazi
👉Kufunga nyumba
👉kuzindika mazao shambani
👉Kuvuta wateja kwe biashara
👉Kwikwi isoisha
👉Kutoa nuksi na mikosi
👉Mvuto na kusafisha nyota
👉Kutoa uchawi mwilini
👉Kinga dhidi ya uchawi

Kwa ushauri na tiba za maradhi mbalimbali wasiliana nasi
what's app/call
wa.me/255656303019
*Chief Sang'ida*🌳 *SIRAAJUL MUNIYR HERBS MEDICINE* 🌳
FAIDA YA KIAZI CHA MLANGAMIA
⚡ *MTUTUKANGA* ⚡
👉Kufungua uzazi
👉Kufunga nyumba
👉kuzindika mazao shambani
👉Kuvuta wateja kwe biashara
👉Kwikwi isoisha
👉Kutoa nuksi na mikosi
👉Mvuto na kusafisha nyota
👉Kutoa uchawi mwilini
👉Kinga dhidi ya uchawi

Kwa ushauri na tiba za maradhi mbalimbali wasiliana nasi
what's app/call
wa.me/255656303019
*Chief Sang'ida*

🍀 *TIBA KWA MTU ANAEKOROMA* 🍀  ⚡MAHITAJI⚡👉Siki ya Tufah kikombe kimoja (250mil )👉Asali mbichi kikombe kimoja (250mil )👉V...
15/01/2024

🍀 *TIBA KWA MTU ANAEKOROMA* 🍀

⚡MAHITAJI⚡
👉Siki ya Tufah kikombe kimoja (250mil )
👉Asali mbichi kikombe kimoja (250mil )
👉Vitunguu Thaum punje kumi .

⚡ Changanya dawa hizo vizuri kisha weka kwenye brenda na uzisage vizuri.

🌱MATUMIZI🌱
Chukua vijiko viwili vya dawa hiyo koroga kwe maji moto kikombe kimoja kisha kunywa ,
Utafanya hivyo kutwa mara tatu siku 5-7.

Kwa ushauri na tiba za maradhi mbali mbali wasiliana nami
What's app/call
wa.me/255656303019
*Chief Sang'ida*

Address

Dar Es Salaam

Telephone

+255656303019

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Siraajul Muniyr - Tiba asili posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Siraajul Muniyr - Tiba asili:

Share