UCR TZ

UCR TZ UPHOLDING COMMUNITY RIGHTS(UCR). inayojihusisha na kuthibiti Majanga na utoaji wa misaada ya kibinadamu Tanzania Bara.(Disaster Management & Humanitarian aid)

17/03/2025
07/03/2025

Smile to donate blood

Maswali Na MajibuKWA NINI UJITOLEE KUCHANGIA DAMU?Hadi sasa hakuna utaalamu wa kuzalisha damu nje ya binadamu. Kwa hiyo,...
05/03/2025

Maswali Na Majibu
KWA NINI UJITOLEE KUCHANGIA DAMU?
Hadi sasa hakuna utaalamu wa kuzalisha damu nje ya binadamu. Kwa hiyo, wewe ni miongoni mwa wanaopaswa kujitolea damu. Unapojitolea damu unashiriki kikamilifu kuokoa maisha ya binadamu

NI MARA NGAPI MTU ANATAKIWA KUCHANGIA DAMU KWA MWAKA?

Mwanamke anaweza kuchangia kila baada ya miezi minne.
Mwanamume anaweza kuchangia kila baada ya miezi mitatu
JE NAWEZA KUAMBUKIZWA VIRUSI VYA UKIMWI WAKATI WA KUCHANGIA DAMU?

Hapana.

Kuchangia damu ni kitendo salama kabisa kwani vifaa vyote vinavyotumikwa ni safi na salama hutumika mara moja kwa mtu mmoja.

JE DAMU YANGU ITAFANYIWA VIPIMO GANI?

Damu itapimwa vipimo vifuatavyo:-

Kiwango cha damu
UKIMWI (VVU)
Kaswende
Homa ya Ini (Hepatitis B na C)
Makundi ya damu.
JE NITAPEWA MAJIBU YA VIPIMO VYA DAMU YANGU?
Ndio

Utapewa majibu yako kupitia mshauri nasaha baada ya kupimwa. Vipimo vyote vya maabara hufanywa kwa usiri wa hali ya juu. Hakuna mtu yeyote atakayeambiwa majibu ya vipimo vyako bila ya idhini yako.

changia damu
changia damu

Je, huwezi kushiriki katika michezo au shughuli nyingine zinazohusisha kutumia nguvu baada ya kuchangia damu?
Kuchangia damu hakuathiri uwezo wa kufanya michezo, mazoezi au shughuli nyingine za mwili. Ushauri unaotolewa ni kuepuka kuinua vitu nzito au mazoezi magumu kwa siku nzima baada ya kutoa damu. Unaweza kuendelea na uinuaji wa vitu vizito au mazoezi magumu kwenye siku inayofuata hasa kwenye mkono uliochomwa sindano.

Je Vigezo/Sifa gani za mtu anayeweza kuchangia damu?
Mtu yeyote, mwanamke au mwanaume anaweza kuchangia damu k**a ana vigezo vifuatavyo:

Umri usiopungua miaka 18 na usiozidi miaka 65

Uzito usiopungua kilo 50

Kwa mwanamke asiwe mjamzito au anaenyonyesha

Asiwe na maradhi ya muda mrefu k**a Shinikizo la damu, Kisukari, Kifafa, Pumu n.k

Awe mzima wa afya njema na asiwe na Homa

Asiwe na mienendo hatarishi ya kupata maambukizi ya magonjwa k**a Homa ya Ini (B&C), UKIMWI (HIV/AIDS)

Mwanamke anaweza kuchangia kila baada ya Miezi

05/03/2025
Taasisi ya Upholding community rights imetoa rai kwa Jamii kuwa na tabia ya kusaidia wenye uhitaji.
04/03/2025

Taasisi ya Upholding community rights imetoa rai kwa Jamii kuwa na tabia ya kusaidia wenye uhitaji.

Maswali Na MajibuKWA NINI UJITOLEE KUCHANGIA DAMU?Hadi sasa hakuna utaalamu wa kuzalisha damu nje ya binadamu. Kwa hiyo,...
04/03/2025

Maswali Na Majibu
KWA NINI UJITOLEE KUCHANGIA DAMU?
Hadi sasa hakuna utaalamu wa kuzalisha damu nje ya binadamu. Kwa hiyo, wewe ni miongoni mwa wanaopaswa kujitolea damu. Unapojitolea damu unashiriki kikamilifu kuokoa maisha ya binadamu

NI MARA NGAPI MTU ANATAKIWA KUCHANGIA DAMU KWA MWAKA?

Mwanamke anaweza kuchangia kila baada ya miezi minne.
Mwanamume anaweza kuchangia kila baada ya miezi mitatu
JE NAWEZA KUAMBUKIZWA VIRUSI VYA UKIMWI WAKATI WA KUCHANGIA DAMU?

Hapana.

Kuchangia damu ni kitendo salama kabisa kwani vifaa vyote vinavyotumikwa ni safi na salama hutumika mara moja kwa mtu mmoja.

JE DAMU YANGU ITAFANYIWA VIPIMO GANI?

Damu itapimwa vipimo vifuatavyo:-

Kiwango cha damu
UKIMWI (VVU)
Kaswende
Homa ya Ini (Hepatitis B na C)
Makundi ya damu.
JE NITAPEWA MAJIBU YA VIPIMO VYA DAMU YANGU?
Ndio

Utapewa majibu yako kupitia mshauri nasaha baada ya kupimwa. Vipimo vyote vya maabara hufanywa kwa usiri wa hali ya juu. Hakuna mtu yeyote atakayeambiwa majibu ya vipimo vyako bila ya idhini yako.

changia damu
changia damu

Je, huwezi kushiriki katika michezo au shughuli nyingine zinazohusisha kutumia nguvu baada ya kuchangia damu?
Kuchangia damu hakuathiri uwezo wa kufanya michezo, mazoezi au shughuli nyingine za mwili. Ushauri unaotolewa ni kuepuka kuinua vitu nzito au mazoezi magumu kwa siku nzima baada ya kutoa damu. Unaweza kuendelea na uinuaji wa vitu vizito au mazoezi magumu kwenye siku inayofuata hasa kwenye mkono uliochomwa sindano.

Je Vigezo/Sifa gani za mtu anayeweza kuchangia damu?
Mtu yeyote, mwanamke au mwanaume anaweza kuchangia damu k**a ana vigezo vifuatavyo:

Umri usiopungua miaka 18 na usiozidi miaka 65

Uzito usiopungua kilo 50

Kwa mwanamke asiwe mjamzito au anaenyonyesha

Asiwe na maradhi ya muda mrefu k**a Shinikizo la damu, Kisukari, Kifafa, Pumu n.k

Awe mzima wa afya njema na asiwe na Homa

Asiwe na mienendo hatarishi ya kupata maambukizi ya magonjwa k**a Homa ya Ini (B&C), UKIMWI (HIV/AIDS)

Mwanamke anaweza kuchangia kila baada ya Miezi

03/03/2025

Donate blood save life

Address

MZAMBARAUNI Street, AT YOMBO VITUKA
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when UCR TZ posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram