Chita michuzi

Chita michuzi UKURASA WA TAARIFA MBALIMBALI ZA KIAFYA NA KUJULISHANA JUU YA VIATARISHI MBALIMBALI VYA MAGONJWA !

HUSUSANI MAGONJWA YA AFYA YA AKILI YA UTATUZI WAKE ASANTENI!!DR NYABUYA ,MD

Kurasa 2:🧠🧠🧠SONONA🧠🧠🧠🧠🧠🧠SWALI LA KUJIULIZA JE WEWE NA MIMI TUPO SALAMA ?Twende pamoja Kurasa ya pili Ni nini  Haswa chan...
21/11/2025

Kurasa 2:🧠🧠🧠SONONA🧠🧠🧠🧠🧠🧠

SWALI LA KUJIULIZA JE WEWE NA MIMI TUPO SALAMA ?
Twende pamoja

Kurasa ya pili
Ni nini Haswa chanzo cha sonona ?
Kitaalamu kabisa ugonjwa huu unasababu mbalimbali kuu yani za kibiologia , kisaikologia lakini pia za kijamii
KIBIOLOGIA:
🦠🦠🦠Sababu za kurithi yaani genetic factors kulingana na tafiti za kisayansi zenye ushahidi wa kisayansi kuna uhusiano mkubwa wa ugonjwa wa sonona na vinasaba ni hivi kuna nafasi kubwa k**a wazazi wako walishawai kupitia ama kuugua maradhi haya basi na wewe upo kwenye nafasi kubwa ya kuweza kuumwa ama kuonesha dalili hizo
🫄🏿🫄🏿🫄🏿Kipindi cha ujauzito wako kuna ushaidi pia wa kisayansi ambao unaonesha kipindi cha ujauzito mama anayepitia hali ya sonona ana nafasi kubwa kuzaa mtoto ambaye baadaye anaweza kupata shida hii ili nitalieleza private kwa anayetaka kufahamu zaidi
🥃🥃🥃🍻🍺🍺Matumizi ya vileo k**a vile pombe kupitiliza ,sigara ,bangi, mirungi , ugoro na matumizi ya vileo vingine ambazo upelekea magonjwa katika mifumo yetu ya ubongo katika kutafsiri, kuamua na kutenda
😱Magonjwa ya muda mrefu k**a vile kisukari , hypertension, magonjwa ya tezi hyperthryodism ,hypothyroidism, cancer , HIV na magonjwa yanayoweza kuathiri mifumo ya fahamu na ubongo
🎃🎃UMRI japenye umri hakuna specific age unayoweza kusema hii ndio sababu ya magonjwa ya sonona japo kwa tafiti za hivi karibuni inaonesha kundi la vijana linaathirika zaidi kuliko kundi lolote na tafiti zaidi zinendelea kuthibitisha jambo ili
KISAIKOLOGIA:
Kupitia kipindi kigumu kwenye maisha k**a vile msiba, kukosa kazi , ajali mbaya ya kukatisha uhai , kupitia manyanyaso ya kimwili ama kihisia k**a vile kubakwa kupigwa , vita
Kufeli kimaisha ,kibiashara, kielimu ,yatima ,kutengwa na familia, ukimbizi ,
KIJAMII:
Changamoto za mahusiano uchumba na ndoa hapo ndio changamoto nyingi utokea
Maisha magumu kukosa maitaji ya msingi k**a vile chakula,maladhi na mavazi
Mimba za utotoni ama mimba zisizotarajiwa haswa kwa vijana wetu
Tuendelee

Kurasa 1 - SONONA 📚📚SONONA –🎯DEPRESSION Kurasa wa kwanzaDEFINITON –SONONA NI NINI?SONONA- kwa kitaalamu tunaita “depress...
21/11/2025

Kurasa 1 - SONONA 📚📚

SONONA –🎯DEPRESSION
Kurasa wa kwanza
DEFINITON –SONONA NI NINI?
SONONA- kwa kitaalamu tunaita “depression” ni hali ya mtu kuwa na dalili kuu ambazo ni kuto kuona thamani ya maisha au pia kuwa na hali ya huzuni muda wote siku mzima hali au dalili hizi uhambatana na hali k**a vile ; 💤💤💤kukosa usingizi au kupata usingizi kwa tabu,
🥜🍞🥞 kukosa hamu ya kula au kula kupita kiasi ,
🚧🚧🚧kushindwa kufanya kazi ,
👹👹👹mawazo ya kukatisha uhai wake( kujiua),
🙎🏿🙎🏿🙎🏿kupendelea kukaa peke yake mara kwa mara ,
😩😩😩kuongea peke yake ,
😄😄😄kucheka peke yake ,
😎😎😎kukonda ama kupungua kwa uzito kwa haraka sana ,
🤯🤯🤯kuto jijali mwenyewe binafsi k**a vile kuoga,kupendeza,kuchana nywele kunikia vizuri ,dalili zingine ni kujiona mwenye makosa (fell guilty)
📚📚📚TAKWIMU📚📚📚
SONONA ni moja ya magonjwa tishio sana kulingana na shirika la afya la duniani yaani WHO inaonekana kati ya watu million 332 duniani kote wanadalili za magonjwa ya sonona
Tukutane kurasa ya 2 tuendelee kupata elimu
Like 👍🏿
Comments ✍🏿
Chita Michuzi
Person consultation+255 710224
Emails address: nyabuyagodfrey@gmail.com

Kurasa 1 : 🌍UELEWA 🌍AFYA YA AKILI NI NINI?🤔Afya ya akili ni neno pana linalohusisha magonjwa yanayohusiana na athari kat...
20/11/2025

Kurasa 1 : 🌍UELEWA 🌍
AFYA YA AKILI NI NINI?🤔
Afya ya akili ni neno pana linalohusisha magonjwa yanayohusiana na athari katika mfumo mzima wa akili🧠🧠 yaani
🩵Mitazamo
🙂‍↕️Tafisiri
💫Maamuzi (hatua)
Tabia ya nje
🧠🧠🧠Akili ni nini?🧠🧠
Kulingana na tafsiri ya
💡TUKI📚 (Kmausi ya Kiswahili sanifu)neon akili utafriwa k**a “Uwezo wa kufikiri, kuelewa, kutambua, na kuhukumu mambo kwa busara.” Pia hutumika kumaanisha fahamu, ufahamu, au uamuzi wa busara.
💡Pia kulingana na tafsiri ya BAKITA📚( Baraza la Kiswahili Tanzania) inasema akili ni BAKITA (Baraza la Kiswahili la Taifa)
Tuendelee pamoja kwenye kurasa inayofuata .....🧠🧠
like👍🏿
comments ✍🏿

Kurasa 2 :🧠🧠UELEWA🧠✍🏿✍🏿Sasa kulingana na tafsiri hii tunaona ni kwa muhimu gani AFYA YA AKILI ni muhimu haswa kwa maslah...
20/11/2025

Kurasa 2 :🧠🧠UELEWA🧠
✍🏿✍🏿Sasa kulingana na tafsiri hii tunaona ni kwa muhimu gani AFYA YA AKILI ni muhimu haswa kwa maslahi mapana ya maisha ya kila siku
🤔🤔JE, MAGONJWA YA AFYA YA AKILI UMPATA NANI?🤔🤔
Naam, wote ni wahanga kila mtu ana nafasi ya kupata changamoto ya magonjwa ya afya ya akili hapa naomba nieleweke watu wote na mtu yoyote anaweza kupata changamoto hii ya afya ya akili
🤯🤯KUNDI LIPI LIPO HATARINI ZAIDI ?
Kulingana na tafiti mbalimbali ya kimataifa na kitaifa kwa ujumla nitawasilisha baadhi ya makundi ambayo yapo kwenye hatari kubwa zaidi ya kupata changamoto ya afya ya akili
🏃🏿Wakimbizi
🧟Waraibu wa vileo
👱🏿Wanawake
🌈Makundi tengwa k**a vile watu wanashiriki mapenzi ya jinsia moja
🌀Makundi ya waliopitia changamoto za utotoni k**a vile kubakwa, kupigwa , kutengwa ,
👩‍❤️‍💋‍👨Watu ambao watu wa familia yake walishawai kuugua maradhi ya afya ya akili
🚀Makundi ya watu waliopo kwenye vita
🧑🏿‍🦲🧑🏿‍🦲🧑🏿‍🦲Makundi ya vijana miaka 18-45
🧓🏿🧓🏿🧓🏿🧓🏿Makundi ya wazee kuanzia miaka 70 na kuendelea

🤔🤔💡💡💡💡DALILI KUU NI ZIPI ZA CHANGAMOTO YA AFYA YA AKILI?
Dalili za changamoto na maradhi ya afya ya akili ni k**a ifuatavyo :
🟥Kujitenga au kukaa peke yake mara kwa mara
🟥🟥Kuhisi sauti zinakuongelesha haswa wengine ambazo awasikiii kwa kitaalamu tunaita auditory hallucination
🟥🟥🟥Ama kuona vitu ambavyo wengine awavioni k**a vile maruerue ama vitu visivyoeleweka
🟥🟥🟥🟥Kuamini wewe ni mtu mkubwa ama unakipaji kikubwa sana
🟥🟥🟥🟥🟥Tabia zisizo za kawaida k**a vile kuvua nguo adharani, kutukana ama lugha zisizo staha kwa watu ,na nyingine nyingi k**a kutembea tembea bila malengo yoyote
🟥🟥🟥🟥🟥🟥Kuhisi watu wanakuona mbaya ama kuhisi watu wanakuonea vibaya k**a vile kurogwa
Mengine tutazidi kuona tukianza kuangalia moja baada ya tatizo lingine ………….
KARIBU kujifunza zaidi
Kurasa 3
Like 👍🏿
Comments ✍🏿✍🏿✍🏿✍🏿📚

Kurasa 3 : 🧠🧠 UELEWA 💡JE NI NINI KISABABISHI CHA MAGOJWA YA AKILI?🤔🤔Tutagawa kwenye makundi matatu📚Kibiologia 💤Kisaokolo...
20/11/2025

Kurasa 3 : 🧠🧠 UELEWA

💡JE NI NINI KISABABISHI CHA MAGOJWA YA AKILI?🤔🤔
Tutagawa kwenye makundi matatu
📚Kibiologia
💤Kisaokolojia
🔥🔥Kijamii
📚📚📚KIBIOLOGIA📚📚
🚨Kurithi vinasaba (genetic factors)🎯
🦠🦠Magonjwa ya virusi, bacteria pamoja na parasite wanaoathiri mfumo wa ubongo
🚧🛑Ajali zinazohusisha kichwa k**a vile ajali za kichwa
🍻🍺Matumizi ya vileo kupitiliza k**a vile pombe ,bangi , mirungi, ugoro, na madawa ya kulevya k**a vile co***ne ,heroine

🌀KISAIKOLOGIA
🌵Kupitia changamoto za kimaisha k**a vile maisha magumu,
💔💔❤️‍🩹Changamoto za kimahusiano 🥵🥵kuachwa , taraka na manyanyaso
😎😎Kufeli kimasomo au kimaisha
😩😩Kupitia kipindi kigumu cha maisha
KIJAMII
🙂‍↕️🙂‍↕️Mvunjiko wa kifamilia baba na mama
🤯Malezi yasio fata maadili k**a vile ulevi
,
Karibuni tuendelee kujifunza
Like 👍🏿
Comments ✍🏿✍🏿 below
Like page Chita Michuzi
For consultation
Phone call+255 710224
Soon tutafungua channel for more videos

18/11/2025

Msongo wa mawazo - SONONA

Individual consultation
Tel No:+255 718710224
Email address: nyabuyagodfrey@gmail.com

14/11/2025

I care for you __

14/11/2025

KARIBUNI TENA KWA MARA NYINGINE
TATUAANZA HIVI KARIBUNI KUTOA ELIMU JUU YA CHANGAMOTO MBALIMBALI JUU YA MAGONJWA YA AFYA YA AKILI

Address

Ubungo
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Chita michuzi posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Chita michuzi:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram