Afya na uzima

Afya na uzima mshauri wa afya

*HOMON IMBALANCE (KUVURUGIKA KWA HOMONI)*:Hili ni tatizo linalowakumba wakina mama(wanawake) wengi ambalo husababishwa n...
24/08/2024

*HOMON IMBALANCE (KUVURUGIKA KWA HOMONI)*
:Hili ni tatizo linalowakumba wakina mama(wanawake) wengi ambalo husababishwa na kiwango kidogo cha hormone ya ESTROGEN.

*VYANZO VYA KUVURUGIKA KWA HORMONE*
➡Utoaji wa mimba
➡Uwepo wa sumu mwilini.
➡kutokula mlo uliokamili au mfumo mbovu wa maisha.
➡Family history(upungufu wa ongezeko ya homoni ya progesterone
➡mabadiliko ya mazingira au hali ya hewa.
➡uzito mkubwa
➡Msongo wa mawazo.
➡Kutofanya mazoezi.
➡Matumizi ya kisasa ya uzazi wa mpango.
➡Kukoma kwa hedhi.

*Dalili za kuvurugika kwa homoni*
✅Maumivu wakati wa tendo LA ndoa.
✅Kutoshika mimba.
✅Mzunguko wa hedhi kubadilika.
✅Kuongezeka uzito.
✅Kupungua hamu ya tendo LA ndoa.
✅Kupoteza kumbukumbu.
✅Hasira za Mara kwa Mara.
✅Damu kutoka nyingi wakati wa hedhi au kutoa damu yenye mabongemabonge
✅Uke kuwa mkavu.
✅kutoka jasho jingi usiku.
✅maumivu chini ya kitovu wakati wa hedhi
✅mzio wa vyakula/Allerg kuchaguachagua vyakula.

*Madhara ya kuvurugika kwa homoni*
✔1)kutoshika ujauzito kwa mda mrefu.
✔2)Mimba kuharibika Mara kwa Mara.
✔3)Kuwa mgumba.
✔4)U.t.I Mara kwa Mara.
✔5)Uvimbe kwenye via vya uzazi vya mwanamke.(fibroids)
✔6)kuziba kwa mirija ya uzazi.
7)saratani. ya mlango wa kizazi. Kwa elim zaidi juu ya afya yako nichek
Kwa namba 0750819298

*Ujumbe muhimu kwa wanawake wote*Wanawake wengi wamekuwa wakisumbuliwa na PID,UTI,Fungus Sugu ,wengine kukosa mimba na k...
24/08/2024

*Ujumbe muhimu kwa wanawake wote*

Wanawake wengi wamekuwa wakisumbuliwa na PID,UTI,Fungus Sugu ,wengine kukosa mimba na kuwa na uvimbe pamoja na saratani kwenye kizazi

K**a wewe ni mmoja wao, ningependa kuongea na wewe.

Kwa jina naitwa Dr Aisha

Ninawasaidia wanawake kutatua changamoto zote tajwa hapo awali bila ya kutumia madawa ya hospital bali kupitia virutubisho maalumu

Wiki hii nataka kuandaa darasa la bure kwa ajili yako la Namna ya kutatua changamoto uliyonayo katika via vya uzazi

K**a utapenda kuhudhuria darasa hilo naomba bonyeza button ya WhatsApp hapo chini

Kisha nitawasiliana na wewe ili kuelewa vizuri kuhusu changamoto uliyokuwa nayo nipate kukuandalia (wewe pamoja na wenzako) darasa bure kabisa kupitia group la watsapp.

Bonyeza button ya WhatsApp apo chini,kulia kabla darassa letu alijajaa

Ni mimi mwenye kujali mafanikio yako,

Wasiliana nasi Whatsapp: 0750 819 298

23/08/2024
Ugonjwa wa mapafu unaweza kuwa na sababu mbalimbali k**a vile maambukizi k**a pneumonia au TB, saratani ya mapafu, pumu,...
22/08/2024

Ugonjwa wa mapafu unaweza kuwa na sababu mbalimbali k**a vile maambukizi k**a pneumonia au TB, saratani ya mapafu, pumu, au matatizo ya moyo.

Ugonjwa wa mapafu unaweza kusababisha madhara mbalimbali kwa mwili. Hapa ni baadhi ya madhara yanayoweza kutokea:

1. Kupungua kwa uwezo wa kupumua. Ugonjwa wa mapafu unaweza kusababisha upungufu wa oksijeni mwilini, ambao unaweza kusababisha kushindwa kwa mfumo wa kupumua.

2. Kupungua kwa ufanisi wa mapafu. Ugonjwa wa mapafu unaweza kusababisha upungufu wa ufanisi wa mapafu kufanya kazi, ambayo inaweza kusababisha kushindwa kwa mwili kuchuja oksijeni kwenye damu.

3. Kukua kwa usumbufu wa mapafu. Ugonjwa wa mapafu unaweza kusababisha kuvimba na uwezekano wa kutengeneza maji kwenye mapafu, ambayo inaweza kufanya kupumua kuwa vigumu.

4. Madhara ya muda mrefu. Kwa baadhi ya hali za mapafu k**a vile saratani ya mapafu au ugonjwa wa pumu, madhara ya muda mrefu yanaweza kusababisha uharibifu wa mapafu
Kwa mawasiliano zaidi+225750819298

Je Wewe Ni mhanga wa UTI Au nduguyo Ni mhanga wa UTI usipite bila kusoma hapaUTI ( Urinary Tract Infection) Ni Ugonjwa w...
22/08/2024

Je Wewe Ni mhanga wa UTI Au nduguyo Ni mhanga wa UTI usipite bila kusoma hapa

UTI ( Urinary Tract Infection) Ni Ugonjwa wa maambukizi katika mfumo wa mkojo.

Dalili za mtu mwenye Ugonjwa wa UTI
1.Kukojoa Mara kwa Mara na maumivu makali wakati wa kukojoa
2.Kuhisi kuunguzwa na mkojo kwenye njia ya mkojo hivyo kutotibika na kurudia Tena
3.Maumivu ya misuli na tumbo
4.Mkojo kuwa na harufu mbaya na kubadilika rangi na kuwa mweusi
5.Maumivu ya misuli na tumbo
6.Maumivu ya mgongoni au kwenye mbavu pia kichefuchefu na kutapika
7.Kushikwa na hamu ya kukojoa ila mkojo unatoka kidogo
8.Damu katika mkojo
9.Kusikia baridi
10.Kusikia kichefuchefu na kutapika
11.Maumivu ya sehemu za nyuma kwa wanaume

MADHARA YA UGONJWA WA UTI
1.Uti inaathiri Urethra kibofu Cha mkojo na Figo
2.Kupata uharibifu wa Figo wa kudumu na kuhitaji tiba maalumu ya kutibu figo
3.Kutokea kuzaa watoto wenye uzito mdogo au wanaozaliwa njiti

MADHARA YA UTI KWA WANAUME
1.Wanaume wanaougua UTI Mara kwa Mara wanakuwa kwenye hatari ya Kupata madhara kwenye tezi dume (Prostatitis)
2.Uvimbe huweza kutokea kwenye tezi dume na kusababisha maumivu Wakati wa haha ndogo au kutoa shahawa
3.Sumu katika damu.Mara chache huweza ikatokea kuwa bacteria wakasambaa kutoka ndani ya Figo na kuingia kwenye mfumo wa damu

Tiba
Dawa yetu ina uwezo mkubwa wa kutibu UTI sugu na inayojirudia rudia na tatizo kuisha kabisa.Dawa yetu kiboko ya UTI na Ina uwezo wa kutumiwa na watu wawili.
Itumie Sasa ulete mrejesho hapa

Whatsap 0750819298

**KWA SASA IMEPEWA JINA K**A DAKTARI WA NGOZI SABAB YA KAZI YAKE MWILINI. HVYO WAHI OFFA HII KIPINDI HKI UIPATE SABUNI H...
21/08/2024

**KWA SASA IMEPEWA JINA K**A DAKTARI WA NGOZI SABAB YA KAZI YAKE MWILINI. HVYO WAHI OFFA HII KIPINDI HKI UIPATE SABUNI HII.

*DAKTARI_WA_NGOZI ANATIC_HERBAL ESSENCE SOAP

0% chemical
-Ni sabuni ya mitishamba iliyotengenezwa na viambata asili k**a ifuatavyo.

💯INGREDIENTS(VIAMBATA)*

1. Wild honey..( asali mwitu)
2. Green tea ...(mchai chai)
3. Grape fruit..(mbegu za mzabibu)

📌KAZI MUHIMU
1. Hupamabana na uzee
na kuondoa makunyanzi
2. Hufanya ngozi kuwa na unyevu unyevu na kuonekana nadhifu
3. Huondoa mapunye, chunusi na mafuta yaliyozidi kwenye ngozi
4. Inafuta uchafu uliopo ndani ya ngozi na uchafu unaosababisha chunusi pamoja na vipele
5. Inaondoa madoa/makovu kwenye ngozi
6.Inaondoa seli za ngozi zilizokufa hvyo kufanya ngozi iwe laini na nyororo
7. Inazibua njia za jasho kwenye vinyoleo hvyo kuthibiti tatizo la harufu mbaya mwilini
8. Inatibu vidonda vya kuungua, jeraha pamoja na vidonda vya kisukari
9. Inatumika k**a mafuta ya kupaka pia
10. Inatunza ngozi ya mtoto

🔥🔥Bei ni 15,000 tu kwa moja
kwa uhitaji wa sabuni hii

Wasiliana nasi 0750819298

PEPTIC ULCERSVIDONDA VYA TUMBOTatizo hili la vidonda vya tumbo kwa sasa ni janga kubwa sana katika jamii watu wengi huku...
21/08/2024

PEPTIC ULCERS
VIDONDA VYA TUMBO

Tatizo hili la vidonda vya tumbo kwa sasa ni janga kubwa sana katika jamii watu wengi hukumbwa na hii changamoto,

Na tatizo hili lina sababu kuu mbili tu, lakini hizo sababu nyingine ni sababu vichochezi vya tatizo hili,

SABABU ZAKE
1. HELICOBACTER PYLORI
Ni bacteria ambae hupatikana kwa njia tofauti tofauti mfano
√. Contaminated of drinks
√. Contaminated of food

Yaani vinywaji au maji yaliyo wazi pamoja na vyakula vilivyo wazi

Lakini pia bacteria huyu unaweza kumpata kupitia kutoka chooni na kutokuweza kunawa mikono kisha ukashika kitu na ukala,

2. HYDRAULIC ACID
Hiki ni kimiminika ambacho kipo tumboni nia na madhumuni yake ni kusaidia usagaji na umeng'enyaji wa chakula tumboni,

Kimiminika hiki au tindikali hii inapo mwagika kwa wingi zaidi ndipo huperekea kuchimba kuta za tumbo na kuperekea athari,

SABABU VICHOCHEZI
1. Umezaji wa dawa pasi na ushauri wa kidaktari
2. Kukaa na njaa kwa muda mrefu
3. Kukosa kula kwa wakati
4. Kula vyakula vichachu kupitiliza
5. Mawazo
6. Mfumo wa taarifa kuvurugika

DALILI ZAKE
1. Maumivu makali ya tumbo
2. Tumbo kuwaka moto
3. Kupata choo chenye marenda renda
4. Kupata choo chenye damu
5. Kiungulia
6. Kichefu chefu
7. Kutapika damu
8. Maumivu kabla na wakati wa kula au baada ya kula

MADHARA
1. Kutoboka kwa kuta za tumbo
2. Uvujaji wa damu tumboni
3. Kupungukiwa damu
4. Kupoteza maisha

USHAURI
vidonda vya tumbo vinatibika wahi sasa kupata matibabu kabla madhara hayajawa makubwa

KARIBU TUKUPATIE HUDUMA BORA YA MATIBABU KUNA DAWA INAITWA EJAMA NI INATIBU NA KUPOTEZA KABISA

WASILIANA NASI SASA
PIGA AU TUMA MESEJI
+255 750819298

WANAWAKE WENGI WAMEKUWA WAKISUMBULIWA NA CHANGAMOTO ZA UZAZI KWA MUDA MREFU,wa.me/255750819298 LEO NIMEKULETEA SULUHISHO...
21/08/2024

WANAWAKE WENGI WAMEKUWA WAKISUMBULIWA NA CHANGAMOTO ZA UZAZI KWA MUDA MREFU,
wa.me/255750819298
LEO NIMEKULETEA SULUHISHO YA MATATIZO YA UZAZI ya k**a vile
🌺P.I.D
🌺U.T.I SUGU
🌺MIRIJA KUJAA MAJI
🌺MIRIJA YA UZAZI KUZIBA
🌺KUSHINDWA KUSHIKA MIMBA
🌺FANGASI SUGU
🌺FIBROIDS
🌺OVARIAN CYST.
🌺HARUFU MBAYA SEHEMU ZA SIRI
🌺KUTOKWA NA MAJI YENYE HARUFU MBAYA SEHEMU ZA SIRI.
🌺MIWASHO SEHEMU ZA SIRI
TUPIGIE 0750819298 kwa maelezo zaidi.

PRESSUREPRESHA Tunapo zungumzia presha tuna maana ya kwamba ule mzunguko sahihi wa mtiririko wa damu hauwendi sawa,Huwen...
21/08/2024

PRESSURE
PRESHA

Tunapo zungumzia presha tuna maana ya kwamba ule mzunguko sahihi wa mtiririko wa damu hauwendi sawa,

Huwenda mtiririko huo umezidi au umepungua maana kua presha za aina mbili tu,

High blood circulation pressure
Hii ni presha ya kupanda
kitaalam tunaita
Hpypertension

Ambayo huwa kuanzia 150 na kuendelea

Low blood circulation pressure
Hii ni presha ya kushuka
Hyportension

Ambayo huwa kua nzia 100 kushuka chini

Kwani kiwango sahihi cha presha ni
Systoric 120 hadi 145
Diastoric 80 tu

Sasa kinapo vurugika nje ya hapo ndipo tatizo hilo huchukua nafasi katika mwili,

SABABU ZA PRESHA
1. Ulaji wa vyakula vya mafuta kupita kiasi,
vitumbua, chipsi, sambusa, maandazi, chapati nk

2. Ulaji wa nyama nyekundu ususani ni wenye miguu minne
Ng'ombe, mbuzi, kondoo, ngurue nk

3. Kutanuka kwa mishipa ya moyo
4. Kutanuka kwa moyo
5. Ulaji wa chumvi nyingi
6. Unywaji wa kahawa kupita kiasi
7. Ulaji wa vitunguu swaum kupita kiasi

DALILI ZA PRESHA
1. Mapigo ya moyo kwenda mbio
2. Kuchoka sana
3. Kizungu zungu
4. Nuru ya macho kushuka kuona kiza
5. Miguu kuwaka moto na ganzi
6. Viungo kupoteza nguvu
7. Moyo kuuma au kichomi kwenye moyo
8. Kiharusi ( stroke kupooza )
9. Ganzi mwilini
10. Maumivu ya kichwa

MADHARA YA PRESHA
1. Kudondoka mara kwa mara
2. Kupoteza kumbu kumbu
3. Kuzimia
4. Kupoteza maisha

USHAURI
WAHI KUPATA MATIBABU PRESHA INAPONA

KARIBU TUKUHUDUMIE
PIGA AU TUMA MESEJI
+255 750819298

Address

Dar Es Salaam

Telephone

+255750819298

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya na uzima posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram