Bright Healthcare

Bright Healthcare Tunawasaidia Wanawake Wenye Changamoto Za Kuondoa Kitambi Na Kupunguza Uzito Mkubwa Bila Mazoezi.

MAKOSA 7 AMBAYO HUFANYWA NA MWANAMKE ANAYEHITAJI KUPUNGUA UZITO MKUBWA...Kuna makosa kadhaa ambayo watu wanaohitaji kupu...
26/02/2025

MAKOSA 7 AMBAYO HUFANYWA NA MWANAMKE ANAYEHITAJI KUPUNGUA UZITO MKUBWA...

Kuna makosa kadhaa ambayo watu wanaohitaji kupunguza uzito mkubwa mara nyingi hufanya. Hapa ni baadhi ya makosa muhimu:

1. Kufunga njaa au kukosa milo muhimu: Watu wengi wanapojaribu kupunguza uzito, wanakosa mlo muhimu k**a vile kiamsha kinywa au kula kidogo sana. Hii inaweza kuharibu kimetabolizimu cha mwili na kusababisha kupoteza nishati na hamu ya kula zaidi baadaye.

2. Kutegemea mlo wa chini ya kalori tu: Ingawa kupunguza kalori ni muhimu, kupunguza kalori sana au kufuata mlo wa kali sana kunaweza kusababisha kupoteza misuli badala ya mafuta, jambo ambalo linaweza kudhoofisha mwili na kusababisha athari mbaya kwa afya.

3. Kukosa mazoezi: Kutegemea tu mlo bila kufanya mazoezi kunaweza kupunguza ufanisi wa kupunguza uzito. Mazoezi yanaongeza kiwango cha uchomaji wa mafuta, na pia yanasaidia kuboresha afya ya moyo na mishipa.

4. Kutumia vidonge au virutubisho vya kupunguza uzito bila maelezo ya kitaalamu: Baadhi ya watu hutegemea vidonge vya kupunguza uzito au virutubisho bila kufahamu madhara yake. Hii inaweza kuwa hatari na kuleta matatizo ya kiafya.

5. Kutokuwa na uvumilivu: Kupunguza uzito ni mchakato unaohitaji muda na uvumilivu. Kutaka kuona matokeo haraka sana kunaweza kusababisha kuchoka na kutoridhika, na wakati mwingine watu huacha mpango wa kupunguza uzito.

6. Kudhania kuwa kupunguza uzito ni tu kuhusu kula kidogo: Kupunguza uzito si tu kuhusu kula kidogo; ni muhimu pia kuwa na mpango wa lishe bora, na kuchagua vyakula vya afya ambavyo vitasaidia mwili kutunza virutubisho muhimu.

7. Kutokuwa na malengo ya muda mrefu: Mara nyingi watu wanaangalia kupoteza uzito kwa muda mfupi na kusahau kuwa malengo ya afya ni ya muda mrefu. Ni muhimu kuzingatia kubadilisha tabia za kula na kufanya mazoezi kwa muda mrefu ili kudumisha uzito wa afya.

Kwa hiyo, ni muhimu kuwa na mpango wa kiafya wa kupunguza uzito unaozingatia lishe bora, mazoezi, na uvumilivu, na kuepuka njia za mkato zinazoweza kuwa na madhara kwa afya yako.

Jiunge Kwenye Program Yetu Ya Vyakula Na Vinywaji Kwa Kutuma Neno WEIGHT LOSS Kwenda WhatsApp Au SMS Kwenda Namba 0626027279.....

Tutakupigia Simu Kujua Utaratibu...

JINSI MUONGOZO WA LISHE ULIVYOMSAIDIA MISS HAPPY KUPUNGUZA UZITO NA KUONDOA KITAMBI BILA DIET....Happy Alikuwa Mama Mwen...
29/10/2024

JINSI MUONGOZO WA LISHE ULIVYOMSAIDIA MISS HAPPY KUPUNGUZA UZITO NA KUONDOA KITAMBI BILA DIET....

Happy Alikuwa Mama Mwenye Ndoto Za Kuwa Na Mwili Wa Afya...

Alijaribu Kila Aina Ya Diet Na Mazoezi Lakini Bado Hakufanikiwa....

Alianza Kukata Tamaa Na Kuhisi Kuwa Hakuna Mabadiliko Yanayoweza Kutokea...

Siku Moja, Aligundua Programu Yetu Ya Vyakula Asili Ambayo Ilikuwa Na Ahadi Kusaidia Wanawake K**a Yeye....

Happy Alijitolea Na Ndani Siku Chache, Aliona Mabadiliko Makubwa Sio Mwili Wake Bali Pia Katika Hali Yake Ya Kiakili...

Aliweza Kuvaa Mavazi Aliyoyapenda, Akijisikia Mwenye Nguvu Na Mwenye Furaha...

K**a Wewe Ni Mwanamke Mwenye Ndoto Ya Kuwa Na Mwili Mwenye Afya K**a Madam Happy...

Comment Neno MUONGOZO...

Kwenda Namba https://wa.me/255626027279 Na Programu Yetu Ya Kuondoa Kitambi Na Kupunguza Uzito...

PROWESS LOLOMA
HOME CLINIC WEIGHT LOSS MENTORSHIP.....

MBINU ILIYOMSAIDIA RAFIKI YANGU GABRIEL KUONDOA KINYAMA SEHEMU YA HAJA KUBWA...Nakumbuka Mwaka 2022 Rafiki Yangu Gabriel...
02/08/2024

MBINU ILIYOMSAIDIA RAFIKI YANGU GABRIEL KUONDOA KINYAMA SEHEMU YA HAJA KUBWA...

Nakumbuka Mwaka 2022 Rafiki Yangu Gabriel Alinipigia Simu Huku Akiwa Mwenye Majonzi Makubwa Juu Ya Afya Yake....

Aliniambia Anahisi Kuna Kitu Hakipo Sawa Kwenye Eneo Lake La Haja Kubwa...

Nikashtuka Kidogo๐Ÿ˜ณ Then Nikamuuliza, " Ninaomba Unieleze Kwa Ziada"....

Akaendelea Kuniambia, " Ninapata Miwasho Mikali Katika Eneo Langu La Haja Kubwa, Ninatoa Kinyesi Chenye Damu, Pia Kuna Kinyama Huwa Kinajitokeza Eneo La Haja Kubwa..

Lakini Pia Huwa Ninapatwa Na Maumivu Hasa Wakati Wa Kuketi Kwenye Kiti Nikiwa Ofisini... Hali Inayonifanya Nakosa Amani...

Licha Ya Kutumia Matibabu Na Programu Mbalimbali Lakini Sijapata Matokeo...

Baadaya Ya Mazungumzo Hayo Nikaanza Kumpatia Mbinu Zilizomsaidia Kuondoa Tatizo Hilo Bila Ya Upasuaji Tena Akiwa Nyumbani Na Kwa Ukaribu ZAIDI...

Baadaya Ya Kuzifanyia Kazi Mbinu Gabriel Alianza Kupata Matokeo Ndani Ya Siku 14 Tu...

Hali Iliyopelekea Kurudi Kwenye Afya Yake Njema, Kujiamini Ofisini Na Kuzingatia Majukumu Yake Kikamilifu Bila Kero Za Mara Kwa Mara...

Moja Kati Ya Mbinu Niliyompatia Gabriel Nilimpatia Ratiba Ya Chakula Ili Kulainisha Choo...

Ukitaka Kujua Mbinu Ya Pili Na Ya Tatu..

Comment Neno MBINU Kwenda Namba +255626027279..

Utapata Nafasi Ya Kujiunga Na Darasa Letu La Bure Kufahamu Mbinu Hizo...

PROWESS LOLOMA
ONLINE HEALTH COACH..

UZITO MKUBWA/ULIOPITILIZA NA KITAMBI Uzito mkubwa wa kupindukia ni tatizo kubwa la kiafya katika maisha yetu ya kisasa. ...
07/07/2024

UZITO MKUBWA/ULIOPITILIZA NA KITAMBI
Uzito mkubwa wa kupindukia ni tatizo kubwa la kiafya katika maisha yetu ya kisasa. Tatizo hili la UZITO linaletwa na kuongezeka kwa kiwango cha mafuta mwilini na kuambatana na madhara kadha wa kadha yanayoathir mfumo wa maisha na maendeleo na hata kimahusiano .

โ™ฆMADHARA NA MAGONJWA yanayoweza kuambatana na tatizo la unene/uzito uliopitiliza Ni:
โ–  Kisukari.
โ– shinikizo la damu (hypertension).
โ– Matatizo ya kizazi (Infertility).
โ– kiharusi (Stroke).
โ– Changamoto za uzazi na athari kwa ujauzito Kwa wanawake
โ– Magonjwa ya moyo (Heart Failure).
โ– Kiwango cha juu cha lijamu kwenye damu (Cholesterol).
โ– Saratani ya matiti.
โ– Saratani ya tezi dume (prostate Cancer) Saratani ya utumbo mpana pamoja na maeneo ya haja kubwa (Colorectal Cancer)
โ– Matatizo ya mzunguko na mishipa ya damu k**a vile kuvimba kwa Vena za miguuni ( Varicose veins)
โ– kutokupumua vizuri wakati mtu yupo usingizini. Kutoku perform vizuri kwenye TENDO la Ndio.
โ– Upungufu wa nguvu za kiume na shinikizo la tendo la ndoa
โ–  Ugonjwa wa mifupa k**a yabisi. Nk

โ™ฆKUPUNGUZA UZITO KWA KUFANYA DIET & MAZOEZI
Kiafya ni vizur kutenga muda wako kufanya mazoezi na kuzingatia lishe yaani mlo kamili lakini changamoto inakuja pale ambapo unapungua lakini baada ya muda mwili unarudi hii ni kutokana na UNAPUNGUZA MAFUTA LAKINI HUPUNGUZI KIWANGO CHA ZILE SUMU NA TAKA MWILI ZINAZOPELEKEA UHIFADHI MBAYA WA HAYO MAFUTA.

โœ“โ™ฆKUFAHAMU ZAIDI JIUNGE NA DARASA LETU KWENDA NAMBAโฌ‡โฌ‡

WASILIANA NASI KUPITIA NO;
โ˜Ž๏ธ0760414432

_*UGONJWA WA KUOTA NYAMA NJIA YA HAJA KUBWA*_~ +255626027279 *BAWASIRI* - ( *Hemoroid* ).โ–ถ Ni pale mishipa ya veins ( *n...
06/07/2024

_*UGONJWA WA KUOTA NYAMA NJIA YA HAJA KUBWA*_

~ +255626027279

*BAWASIRI* - ( *Hemoroid* ).

โ–ถ Ni pale mishipa ya veins ( *nyama* ) zinapojitokeza eneo la nje katika njia ya haja kubwa ( *A**s* ) Hali hii humfanya mtu ajisikie hali ya kukera sana na wakati mwingine maumivu makali.

โ–ถ Hali ya kukera hutokea kipindi Mgonjwa anapo jaribu Kwenda chooni kupata haja kubwa ila kwa wengine hali hii huwafanya wapate maumivu kila wakati na kujisikia vibaya sana na kushindwa kufanya mambo mengine.

โ–ถ Mara nyingi bawasiri huendana na kupata Choo Chenye damu.

โ–ถ Kawaida eneo la haja kubwa lina mishipa ya damu mingi aina ya *VEINS* na mishipa hii Ipo juu juu sana. Sasa presha inapoongezeka eneo hili mishipa hiyo hupasuka na hujitokeza kwa nje hivyo huonekana k**a nyama zimejitokeza.

โ–ถ Ingawa wakati mwigine *BAWASIRI* Hujitokeza ndani kabisa ya njia ya haja kubwa hivyo hufanya bawasiri iwe ya ndani bila nyama kutokea nje ya haja kubwa Mtu atajisikia hali ya kukera bila nyama kutoka nje kwa hiyo hii inaitwa BAWASIRI ya ndani.

โ–ถ *SABABU ZA BAWASIRI KUTOKEA* ๐Ÿ•ณ

1โƒฃ *KUPATA CHOO KIGUMU.*

โ–ถ Choo kigumu huongeza presha eneo la haja kubwa hivyo husababisha bawasiri kutokea

โ€ข Hii hutokea zaidi kwa watoto wadogo na watu wenye constipation au wenye tatizo la kutopata choo.

2โƒฃ *UZAZI* - ( *MIMBA* ).

โ€ข Huongeza presha eneo la nyonga hivyo huongeza presha eneo la haja kubwa na Kuongeza nafasi ya kupata bawasiri

3โƒฃ *UZITO MKUBWA* ( *OBESITY* ).

โ€ข Pia huongeza presha eneo la nyonga, hii hupelekea huongeza presha eneo la haja kubwa.

4โƒฃ *KUNYANYUA VITU VIZITO* ๐Ÿ•ณ

โ€ข Pia huongeza presha eneo la haja kubwa na huongeza nafasi ya kupata Bawasiri

โ–ถ Mara nyingi watu wengine hufanyiwa *UPASUAJI* kutatua tatizo hili kwa jinsi lilivyo.

โ–ถ *TIBA YA BAWASIRI BILA UPASUAJI* ๐Ÿ•ณ

โ–ถ Zipo tiba za aina nyingi katika kutatua ugonjwa huu! Ila kwetu sisi tunatumia njia mbadala ambayo huondoa tatizo hilo Kabisa na hutakuwa na haja ya kufanyiwa upasuaji.

๐Ÿ•ณ Usisite Kuwasiliana Nasi Kuhusu Tiba Kwa Njia za Kisasa Kabisa na Ushauri wa Masuala Mbali Mbali Ya Afya.

๐Š๐€๐‘๐ˆ๐๐” ๐๐ˆ๐Š๐”๐’A๐ƒ๐ˆ๐„ ๐๐ˆ๐†๐€ & ๐–๐‡๐€๐“๐’๐€๐๐

Callโž–text&smsโž–whatsapp๐Ÿ‘‡

โž– Ili Kupata Ushauri Bure na Msaada Zaidi Kuhusu Matatizo Mbali Mbali Kiafya - Mawasiliano - +255626027279 au Kuchart Nasi Moja Kwa Moja Watssapp Bofya link hapo chini ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
http://.wa.me/255626027279

โž– SHARE kwenye MA GROUP NA WATU MBALI MBALI UWASAIDIE WENGI WA NAO TESEKA ๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™ kisha tuandikie maoni yako au ushauri hapo chini

๐Š๐€๐‘๐ˆ๐๐” ๐€๐’๐€๐๐“๐„.

TAFADHALI : USISAHAU KU SHARE.

FAHAMU UNDANI KUHUSU UGONJWA WA ACID REFLUX/TINDIKALI YA TUMBO (GERD-GastroEsophagaelRefluxDesease)+255626027279โ€ข Ni tat...
06/07/2024

FAHAMU UNDANI KUHUSU UGONJWA WA ACID REFLUX/TINDIKALI YA TUMBO

(GERD-GastroEsophagaelRefluxDesease)

+255626027279

โ€ข Ni tatizo linalotokea katika mfumo wa mmeng'enyo na kusababisha hitilafu ya chakula au maji kurudi katika koo la chakula (*Umio*) mara baada ya kuwa chakula Hiko kimeshamezwa au Ni kitendo cha kupanda kwa acid ( *tindikali* ) ya tumbo hadi kwenye Koo /Umio la chakula kwa muda mrefu na kusababisha kiungulia ( *HEARTBURN* ).

โ€ข Kiungulia hiki huanza muda mfupi baada kumaliza kula na kuisha baada ya masaa mawili.
โ€ข Pia dalili za tatizo hili kwa watoto hujionesha pale m tototo anapotapika kupita kiasi au kupaliwa mara kwa mara wakati wa kula chakula.

_*Dalili zingine ni k**a*_

โ€ข Tumbo kuunguruma na Kukosa hamu ya kula chakula na kuhisi kichefuchefu.
โ€ข Mdomo kunuka kutokana na kurudi juu kwa chakula cha tumboni chenye tindikali.
โ€ข Kupata hali ya kuunguza kwenye kifua karibu na moyo, hali inayotokea Muda Mfupi baada tu ya kula na kupata shida wakati wa kumeza chakula.
โ€ข Kucheuwa Maji Maji Yenye Tindikali Ukiwa Usingizini Hasa Baada Ya Kulala Muda Mfupi Baada Ya Kula.
โ€ข Kukohoa au kupaliwa mara kwa mara ikiambatana na kuweweseka Kwa Kukosa Pumzi.
โ€ข Mdomo kuwa mchachu muda mwingi.
โ€ขKuvimba Kwa Tezi za Shingoni K**a Vile Tonses na Goita.
โ€ข Mdomo kukauka.
โ€ข Meno kupoteza uimara na kuanza kumomonyoka kutokana na uwepo wa tindikali.
โ€ข Tumbo kujaa Gesi , Kupata Choo K**a Tope Kunakoambatana kujamba sana.
โ€ข Tumbo Kuunguruma Hasa Muda Mfupi Baaada Ya Kula.

โ€ข Tatizo la Acid / Tindikali Ya Tumbo Linatibika na Kupona Kabisa.

-๐Ÿ“ž"Wasiliana nasi kuhusu afya - Kupitia Simu Namba 0626027279

ยฐAu Kuchart Nasi Moja Kwa Moja Watssapp Bofya link hapo chini ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
http://.wa.me/255626027279

, & Usaidie na Wengine

*SABABU ZA MAGONJWA KATIKA MWILI WAKO* 0626 027 279 โ€ข Watu wengi hujikuta katika wimbi zito la MAGONJWA mbali mbali yana...
05/07/2024

*SABABU ZA MAGONJWA KATIKA MWILI WAKO*

0626 027 279

โ€ข Watu wengi hujikuta katika wimbi zito la MAGONJWA mbali mbali yanayo pelekea mateso makubwa na wakati mwingine hata kifo pass na kutahamu vyanzo vya magonjwa yao

โ€ข Leo tunakuletea mada maalum itakayo kueleza mtiririko wa baadhi ya madhara yanayotokea katika viungo mbali mbali vya mwanaadamu na kupelekea orodha ndefu ya magonjwa yasiyo ya kuambukiza na ambayo yanasumbua jamii kwa sasa.

- Hivi ndiyo jinsi tunavyo sababisha magonjwa hayo -

1โ€ข *TUMBO* - Hujeruhiwa wakati huna kifungua kinywa asubuhi , huli chakula kwa wakati , kula bila kuhisi njaa , kuwaza kupita kiasi na kula bila kuzingatia mahitaji ya mwili kwa siku na unywaji usiozingatia usalama wa mwili wako.

2โ€ข *FIGO* - Hujeruhiwa wakati hunywi hata walau glasi 10 za maji ndani ya masaa 24., Unakunywa maji bila kuzingatia BMI ( Urefu + Uzito + Umri + Hali joto + Majukumu yako ) , Unywaji wa Pombe , Soda na Vinywaji vyenye kemikali kupita kiasi , Ulaji was chumvi nyingi na Sukari kupita kiasi.

3. *KITUNZA NYONGO* - Hujeruhiwa wakati ambao hulali hadi saa 11 na hauamki mapema na hasira kupita kiasi na msongo was mawazo.

4. *UTUMBO MDOGO* - Hujeruhiwa unapokula chakula baridi , Vyakula visvyo na nyuzi nyuzi ( *Fiber* ) , Unywaji mdogo wa maji na Ulaji wa nyama nyekundu na matumizi ya Vinywaji baridi kupita kiasi.

5. *UTUMBO MKUBWA* - Hujeruhiwa unapokula vyakula vya kukaanga na vikali , Ulaji chakula kupita kiasi na tabia ya kulalia tumbo.

6. *MAPAFU*: Hujeruhiwa unapovuta hewa yenye wowote ikiwwmo moshi wa sigara, Vumbi ,Harufu za kemikali za viwandani K**a perfumes, Sabuni na madawa ya kuuwa wadudu pamoja na kutumiaji vinywaji vyenye alkohol na kukaa katika mazingira machafu au kuvuta hewa chafu

7. *INI* - Hujeruhiwa Vinywaji Vikali , Madawa ya kutibu magonjwa mbali mbali holela au kutumia , vyakula vya kukaanga, vyenye kemikali (vikali).

8. *MOYO* - Hujeruhiwa unapokula mlo Wenye chumvi nyingi , Sukari kupita kiasi na mafuta yenye kolesteroli kwa kiwango kikubwa (_*mafuta ambayo siyo mazuri yanayoganda*_).

9. *KONGOSHO* - Huumia unapokula vitu vyenye kiwango kikubwa Cha Sukari kupita kiasi mara kwa mara au kutumia mafuta yenye kolesterol kwa kiwango kikubwa au kuruhusu uzito mkubwa kupita kiasi.

10. *MACHO* - Hujeruhiwa unapofanya kazi kwenye mwanga wa simu ya mkononi na skrini ya kompyuta gizani au kutumia vyombo vinavyotoa mwanha mkali bila vifaa vya tahadhari au kuruhusu Moshi Wenye sumu na kemikali machoni.

11. *UBONGO* - Huumia unapowaza kupita kiasi hasasa mambo mengi kupita kiasi kwa wakati mmoja kiasi Cha kukosa muda wa kutosha kulala.

- Sehemu hizi zote za mwili wako hazipatikani Sokoni kuwa makini na uwe na siku njema.

-๐Ÿ“ž"Wasiliana nasi kuhusu matibabu ya matatizo yote ya afya - Kupitia Simu Namba 0626027279

ยฐAu Kuchart Nasi Moja Kwa Moja Watssapp Bofya link hapo chini ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
http://.wa.me/255626027279

, & Usaidie na Wengine

_*POMBE HUUWA MTU MMOJA NDANI YA KILA SEKUNDE KUMI...+255626027279_*Ripoti hiyo ya WHO iliyopewa jina la โ€œKupunguza madh...
05/07/2024

_*POMBE HUUWA MTU MMOJA NDANI YA KILA SEKUNDE KUMI...

+255626027279

_*Ripoti hiyo ya WHO iliyopewa jina la โ€œKupunguza madhara yatokanayo na pombe inaonyesha vifo milioni 3 kwa mwaka*_

โ€ข Sawa na watu milioni 3 hufa kila mwaka kutokana na matumizi mabaya ya pombe, hii ni sawa na mtu mmoja kila baada ya sekunde 10 akiwakilisha karibu asilimia 5 ya vifo vyote.

โ€ข Idadi isiyo na uwiano ya vifo hivi vinavyohusiana na pombe hutokea miongoni mwa vijana, huku asilimia 13.5 ya vifo vyote ikiwa ni kati ya wale walio na umri wa miaka 20-39 wakihusishwa na pombe.

โ€ข Matumizi ya pombe kupita kiasi ni moja ya vichocheo vya magonjwa yasiyoambukiza, ,

โ€ข โ€œMwanamke asizidishe bia moja kwa siku na mwanaume asizidishe bia mbili kwa siku. Wanawake wengi wanapenda mvinyo au wine, anatakiwa anywe mililita 125 za wine sawa na glass kwa siku usizidishe na wanaume 250,โ€ .

โ€ข Ili viungo vya mwili viweze kuchakata sukari vizuri na taka zote zitokanazo na pombe katika viwango, kwa wiki mwanaume asizidishe uniti 14 na mwanamke uniti saba. Uniti moja ni sawa na asilimia 4 ya kilevi.

1. _*Vidonda vya tumbo na Udhaifu wa mwili*_

โ€ข Pombe inaathiri mfumo wote wa mwili kuanzia utumbo ambapo husababisha vidonda vya tumbo hasa inapoingia katika mfumo wa usafishaji mwili au kuchangia kwa kiwango kikubwa utumbo kushindwa kuchakata chakula na kuchukuwa virutubisho , Pia kuondoa kiwango kikubwa Cha virutubisho kupitia mkojo na upelekea miili ya walevi kupita kiasi kuwa dhaifu Sana na kukosa nywele na ngozi zenye muonekano halisi.

2. _*Saratani ya Koo*_

โ€ข Pombe ni kichocheo cha Saratani ya koo inayotokana na kutapika ukali wa pombe unaochoma Koo , Pia inaathiri tezi ya kongosho ambayo inatoa insulin inayosaidia kusaga sukari na usagaji wa sukari ukiathirika kinachotokea mtu anapata ugonjwa wa kisukari,โ€ .

3. Huathiri fahamu na kumbukumbu*_

โ€ข Unywaji Pombe kupita kiasi huathiri mfumo wa fahamu na kumbukumbu Kutokana na ongezeko za sumu mwilini kusababisha damu kusindwa kupenya kwenye Mishipa midogo imidogo yw fahamu na kupelekea baadhi ya maeneo muhimu kukosa hisia ikiwemo uume na hivyo kusababisha tatizo la Upungufu wa nguvu za kiume.

โ€ข Pombe inaathiri ubongo na mara nyingi watu hupoteza kumbukumbu wanapozitumia kupita kiasi โ€œKwenye ubongo pombe huondoa baadhi ya madini,hasa folic acid ambayo ni msaada mkubwa wa utendaji kazi wa shughuli za ubongo..

4. _*Magonjwa ya Moyo*_.

โ€ข Unywaji mkubwa wa pombe husababisha matatizo mbalimbali ya moyo ambapo mishipa ya moyo hudhoofika na kushindwa kusukuma damu. Jambo hili huweza kusababisha damu kuganda na kusababisha kiharusi (_*Stroke*_). Pombe huchangia sana katika kudhoofisha mishipa ya moyo hivyo kupelekea ugonjwa huu wa _*Cardiomyopathy*_ , _*Heart attack*_ , __*Cardiac system failure*_ na mengine hatari.

5.. _*Magonjwa ya ini*_

โ€ข Unywaji wa pombe unaweza kusababisha maradhi ya ini yajulikanayo k**a Cirrhosis; ambayo ni maradhi ya ini kushindwa kufanya kazi yake kutokana na uharibifu wa muda mrefu. Uharibifu huu husababisha seli za ini kuwa makovu na kushindwa kufaya kazi vyema. Utafiti umebaini kuwa pombe huchangia sana katika kuharibu seli hizi za ini.

6. _*Shinikizo la damu*_ ( _*Pressure*_).

โ€ข Unywaji wa pombe hasa kupitiliza umedhibitishwa kuchangia kwa kiasi kikubwa maradhi ya shinikizo la damu. Imebainikia kuwa pombe huathiri mfumo wa usukumaji wa damu mwilini jambo ambalo hupelekea shinikizo la damu na baadae matatizo mengine k**a kushindwa kwa figo, ini ,Kiharusi n.k.

7. _*Magonjwa ambukizi*_

โ€ข Mara nyingi mtu anapokunywa pombe hupoteza uwezo wa kutawala mwili na maamuzi yake. Hivyo ni rahisi baada ya mtu kunywa pombe akafanya au akajiingiza kwenye matendo hatarishi yanayoweza kumfanya kuambukizwa magonjwa k**a vile UKIMWI na magonjwa mengine ya zinaa.

8.. _*Ugonjwa wa ANAEMIA*_

โ€ข Anemia ni ugonjwa unaotokana na kushindwa kwa seli nyekundu za damu kusafirisha oksijeni ya kutosha kwenda kwenye mwili. Hivyo unywaji wa pombe hupunguza uwezo wa seli nyekundu za damu kusafirisha oksijeni ya kutosha hivyo kupelekea ugonjwa wa anemia.

9. _*Madhara ya hapo kwa hapo*_

โ€ข Unywaji wa pombe wa kupita kiasi una madhara ya moja kwa moja kwa afya ya binadamu anayetumia. Baadhi ya madhara hayo ni k**a ifuatavyo:
>Kuharisha
>Kutapika
>Maumivu ya kichwa
>Kuumia kutokana na ajali za magari au pikipiki,kuanguka na kuungua
>Ukatili,kujinyonga,ubakaji na ugomvi
>Kuathirika na sumu katika pombe kutokana na kilevi kilichopitiliza
>Tabia hatarishi kiafya k**a kufanya mapenzi bila kinga au kuwa na wapenzi wengi wa nje.
>kutoka kwa mimba kwa wanawake au kuza watoto kabla ya wakati
>Hupunguza hamu na uwezo kujammiana

10. _*Madhara ya muda mrefu*_

Matumizi ya muda mrefu ya pombe yanapelekea kupata magonjwa sugu na madhara mengine kiafya yakiwemo:-

>Msongo mkubwa wa damu-Presha na magonjwa ya moyo.
>Magonjwa ya ini na magonjwa ya mfumo wa chakula
>Kansa ya matiti,mdomo,koo,ini na kansa ya utumbo
>Kupoteza kumbukumbu na uwezo wa kujifunza (Sababu ya ukosefu wa Vitamini B1)
>Matatizo ya kiakili -Kukosa dira katika maisha ya mbele (Depression)
>Kujenga kasumba ya kutumia pombe (Utumwa wa matumizi ya pombe)
>Vidonda vya tumbo
>Kuongezeka kwa uzito -Kutokana na kiwango cha wanga katika pombe
>Ugonjwa wa mifupa(Osteoporosis)-Pombe inapunguza uwezo wa kalsium kutumika kujenga mifupa
>Matatizo ya Uzazi-Wanaume wanapungukiwa nguvu za kiume na wanawake kushindwa kushika mimba kirahisi.
>Kunywa pombe kidogo kunaweza kupunguza kwa mkiasi kikubwa madhara haya

๐Ÿ•ณ Kwa msaada zaidi :- Tafadhali Usisite Kuwasiliana Nasi Kuhusu Tiba Kwa Njia za Kisasa Kabisa na Ushauri wa Masuala Mbali Mbali Ya Afya.

๐Š๐€๐‘๐ˆ๐๐” ๐๐ˆ๐Š๐”๐’A๐ƒ๐ˆ๐„ ๐๐ˆ๐†๐€ & ๐–๐‡๐€๐“๐’๐€๐๐

Callโž–text&smsโž–whatsapp๐Ÿ‘‡

โž– Ili Kupata Ushauri Bure na Msaada Zaidi Kuhusu Matatizo Mbali Mbali Kiafya - Mawasiliano - +255655562181 au +255769600821

โž– Jiunge na Group letu la Afya la WhatsApp Kwa Kubonyeza Link Hii hapa ๐Ÿ‘‰๐Ÿ‘‰๐Ÿ‘‰.....

โž– SHARE kwenye MA GROUP NA WATU MBALI MBALI UWASAIDIE WENGI WANAO TESEKA ๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™ kisha tuandikie maoni yako au ushauri hapo chini

๐Š๐€๐‘๐ˆ๐๐” ๐€๐’๐€๐๐“๐„.

TAFADHALI : USISAHAU KU SHARE.

*JINSI YA KUONDOA KITAMBI AU KUPUNGUZA MAFUTA TUMBONI KWA WANAWAKE+255626027279- Wanawake wengi miaka ya karibuni wanaka...
05/07/2024

*JINSI YA KUONDOA KITAMBI AU KUPUNGUZA MAFUTA TUMBONI KWA WANAWAKE

+255626027279

- Wanawake wengi miaka ya karibuni wanakabiliwa na tatizo linalofanana na kitambi kwa upande wa wanaume. Hivyo ingekuwa ni wanaume tungesema ni kitambi ambalo nalo ni tatizo kubwa miongoni mwa wanaume wengi nyakati za sasa.

- Kinachowasumbuwa wanawake siyo kitambi tunasema ni mlundikano wa mafuta sehemu ya chini ya tumbo na tumbo kwa ujumla kufikia hali kuonekana k**a ana tumbo kubwa au kuhisi labda ni ujauzito kumbe ni mafuta tu mengi.

- Karibu , tumekuandalia darasa la siku tatu BURE la kuondoa kitambi bila kutumia dawa wala mazoezi kwa Wanawake ...

Tuma Neno DARASA Kwenda Namba Ya WHATSAPP UP+255626027279

Address

MAKUMBUSHO BUS TERMINAL
Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Bright Healthcare posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram