Afya Talk Clinic

Afya Talk Clinic Karibu Afya Talk Clinic. Tunatibu changamoto zifuatazo Fangus ukeni (PID)

Umekuwa ukisumbuliwa na changamoto za uzazi mfano PID, UTI, uvimbe kwenye kizazi na matatizo yote k**a hayo tupigie 0743...
09/09/2024

Umekuwa ukisumbuliwa na changamoto za uzazi mfano PID, UTI, uvimbe kwenye kizazi na matatizo yote k**a hayo tupigie 0743654357

Karibu AfyaTalk clinic center tutibu P.I.D wasiliana nami kwa njia ya watsup 0682884540  Suluhisho limepatikana sasa
27/08/2024

Karibu AfyaTalk clinic center tutibu P.I.D wasiliana nami kwa njia ya watsup 0682884540 Suluhisho limepatikana sasa

Karibu tukuhudumie leo wewe mwenye changamoto ya P.I.D wasiliana nami kupitia wasup no 0682884540
21/08/2024

Karibu tukuhudumie leo wewe mwenye changamoto ya P.I.D wasiliana nami kupitia wasup no 0682884540

.                    ❤AFYA YA UZAZI❤                        USHAURI NA TIBALIJUE TATIZO LA PID(PELVIC INFLAMMATORY DISEA...
21/08/2024

. ❤AFYA YA UZAZI❤
USHAURI NA TIBA

LIJUE TATIZO LA PID(PELVIC INFLAMMATORY DISEASES)
MAAMBUKIZI KATIKA VIA VYA UZAZI(nyonga)

PID:Ni gonjwa ambalo limekuwa janga kwa wanawake zaidi tatizo hili la PID limekuwa likitesa watu wengi na wakiznguka huku na kule kutafta tiba lakini haoni mafanikio yoyote yale.

PID :Ni tatizo ambalo husababishwa na bacteria atarishi katka mfumo wa uzazi bacteria hushambulia zaidi katka maeneo ya nyonga(via vya uzazi).

VISABABISHI /VICHOCHEZI VYA PID
-U.T.I SUGU
-UTOAJI WA MIMBA
-FANGASI SUGU UKENI
-MATUMIZI YA DAWA ZA KUZUIA MIMBA
-WAKATI WA KUZAA
-MAGONJWA YA ZINA K**A KASWENDE,GONOREA n.k

DALILI ZA PID(PELVIC INFLAMMATORY DISEASES)
-kupata maumivu makali chini ya kitovu
-kutokwa na uchafu ukeni weny harufu mbaya
-kutokwa na uchafu na damu wakat wa tendo
-kutokwa na damu nyng katikati ya mwezi
-kupata maumivu makali upande moja chini ya kitovu
-homa za mara kwa mara
-kichefu chefu cha mara kwa mara k**a mama mjamzito
-kupata maumivu,vichomi na kuhisi vitu hutembea kwa ndan kwa upande mmoja

MADHARA YA PID
-MIRIJA YA UZAZI KUZIBA
-KUTO SHIKA MIMBA
-KUWA NA TATIZO LA UKE MCHAFU
-KUPATA MAUMIVU MAKALI CHINI YA KITOVU

Tuma neno AfyaTalk PID kwenda whatsApp number 0682884540
Wai mapema AfyaTalk clinic center utasaidiwa

Karibu tutibu P.I.D wasiliana nami  kupitia wasup namba  0682884540 (AfyaTalk clinic center)
21/08/2024

Karibu tutibu P.I.D wasiliana nami kupitia wasup namba 0682884540 (AfyaTalk clinic center)

Karibu tutibu changamoto ya uzazi  kwa mawasiliano zaidi piga no 0743654357 .AfyaTalk clinic center ipo kwaajili yako ……...
21/08/2024

Karibu tutibu changamoto ya uzazi kwa mawasiliano zaidi piga no 0743654357 .AfyaTalk clinic center ipo kwaajili yako ……..afya yako furaha yako

PID PELVIC INFLAMMATORY DISEASE (P.I.D).Maambukizo kwenye via vya uzazi (PID) imekuwa maarufu sana katika jamii yetu mio...
21/08/2024

PID PELVIC INFLAMMATORY DISEASE (P.I.D).

Maambukizo kwenye via vya uzazi (PID) imekuwa maarufu sana katika jamii yetu miongoni mwa wanawake wengi huambukizwa PID.
Vimelea aina ya Neisseria Gonorhoere Chlamydia Trachomatis ndivyo vinavyo ongoza kusababisha PID kwa kinamama.

MWANAMKE ANAAMBUKIZWA VIP PID
Kuna njia kadhaa ambazo hupelekea mwanamke kuambukizwa PID
📌Kutoa mimba (Abortion)
📌Maambukizo katika njia za uzazi Mara baada ya kujifungua
📌Matumizi ya njia za uzazi wa mpango k**a vidonge,kitanzi,sindano n.k
🩸.Kukaa na infection k**a u.t.i na fangas sugu kwa mda mrefu bila kutibiwa

DALILI ZA PID NI ZIPI
Moja ya dalili za PID kwa mwanamke ni

🌷Kutokwa na uchafu mweupe k**a mziwa mtindi sehemu za siri sometimes inaweza kuwa rangi ya kijani,kahawia,brown hata njano.
🌷 Maumivu chini ya kitovu,nyonga na kiuno
🌷 Maumivu wakati wa tendo la in
🌷 Kukosa hamu ya tendo la ndoa

MADHARA YA KUKAA NA PID PELVIC INFLAMMATORY DISEASE

Maambukizo kwenye via vya uzazi ni makubwa sana
🌱 Husababisha Kizazi kulegea
🌱 Husababisha polycystic ovarian syndrome na ovarian cysts uvimbe kwenye mayai
🌱 Hormone kushindwa imbalance
🌱 Husababisha Kizazi kujaa maji maji sometime unakuta chupi imelowa
🌱 Husababisha saratani ya shingo ya Kizazi
🌱 Husababisha mimba kuporomoka kabla ya mda
I’m(miscarriage)
🌱 Husababisha UGUMBA (infertility)

Ni Fact mwanamke mwenye PID hulalamika kutokunasa ujauzito kwa haraka hi ni Kwasababu PID huathiri kizazi na Utafiti unaonyesha Katika wanawake 8 wenye PID Mmoja anakuwa MGUMBA sikutishi Ila nimekupa Fact

Nitumie Ujumbe whatsapp Tuzungumze nikushauri vizur zaidi ndg ikibidi nikupe suluhuhisho sahihi la Tatizo lako, wasiliana nami kupitia wasup no:0682884540

21/08/2024
Pelvic Inflammatory Disease (P.I.D) inatibika.karibu kwa tiba na ushauri.Piga simu namba 0682884540.
21/08/2024

Pelvic Inflammatory Disease (P.I.D) inatibika.
karibu kwa tiba na ushauri.
Piga simu namba 0682884540.

Pelvic Inflammatory Disease(P.I.D) INATIBIKA. Karibu kwa tiba na ushauriPiga simu namba 0682884540.
21/08/2024

Pelvic Inflammatory Disease(P.I.D) INATIBIKA.
Karibu kwa tiba na ushauri
Piga simu namba 0682884540.

Address

MAKAMBA
Dar Es Salaam
255

Telephone

+255743654357

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya Talk Clinic posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Afya Talk Clinic:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram