Bright Jamii Initiative

  • Home
  • Bright Jamii Initiative

Bright Jamii Initiative Bright Jamii Initiative is a Non-Governmental Organization that envisions a community where the welfa

Tunafurahia kuona walezi katika vituo vya Makao ya watoto wakiwa na hamasa ya kujifunza na kuimarisha suala zima la male...
29/04/2025

Tunafurahia kuona walezi katika vituo vya Makao ya watoto wakiwa na hamasa ya kujifunza na kuimarisha suala zima la malezi, makuzi na maendeleo ya awali ya mtoto.

Pichani ni timu ya MMMAM mkoa wa Dar es Salaam pamoja na timu ya MMMAM Halmshauri ya Ilala ilipoungana na BJI pamoja na mwandishi kinara wa habari za watoto wadogo kwenye ziara ya kujenga uwezo kwa walezi Makao ya Watoto Mzimbazi Center.



-MMMAM

Usikose kipindi hiki kitakachofanyika kesho tarehe 26.03.2025 asubuhi saa mbili kamili mpaka tatu kamili asubuhi
25/03/2025

Usikose kipindi hiki kitakachofanyika kesho tarehe 26.03.2025 asubuhi saa mbili kamili mpaka tatu kamili asubuhi






ECD Stakeholders Convene Last week, we were among ECD stakeholders that came together at Nashera Hotel, Dodoma as part o...
24/03/2025

ECD Stakeholders Convene

Last week, we were among ECD stakeholders that came together at Nashera Hotel, Dodoma as part of the continued quarterly national review meetings for implementation of the National Multi-sectoral Early Childhood Development Programme 2022/2026.

The meeting drew participants from the Government’s MDAs and CSOs in mainland Tanzania who are in the ECD and child rights sectors. The meeting discussed and adopted many issues, but in particular, on the upcoming “Tanzania Malezi Summit (TMS) 2025.

The Summit, whose climax is on 15th May 2025, seeks to bring together stakeholders from across Tanzania, to reflect on "responsive caregiving" in relation to other 4 components of the nurturing care framework. Parents (families) and children are expected to be part of the Summit’s target participants.








Dear parents, guardians, caregivers, parenting stakeholders, and community in general, kindly
19/03/2025

Dear parents, guardians, caregivers, parenting stakeholders, and community in general, kindly




Today, 19th March 2025, Ministry of Community Development Gender, Women and Special Groups in Collaboration with TECDEN ...
19/03/2025

Today, 19th March 2025, Ministry of Community Development Gender, Women and Special Groups in Collaboration with TECDEN and ECD Stakeholders is conducting a National ECD Stakeholders meeting with the agenda of the implementation of NM-ECDP and planning of the Tanzania Malezi Summit at Nashera Hotel in Dodoma.

"Msingi wa taifa lolote lililo imara unatokana na aina ya malezi na makuzi wanayopatiwa watu wake kwanzia utotoni" Mhe. ...
17/03/2025

"Msingi wa taifa lolote lililo imara unatokana na aina ya malezi na makuzi wanayopatiwa watu wake kwanzia utotoni" Mhe. Albert Chalamila, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam

Ufunguzi wa kikao cha tafakari ya utekelezaji wa Programu Jumuishi ya Taifa ya Malezi, Makuzi, na Maendeleo ya Awali ya Mtoto, Mkoa wa Dar es Salaam!

Happy World's Children's Day!
20/11/2024

Happy World's Children's Day!

🌱 Social emotional skills help to build strong mental health in children.  🎒 Educators and parents, your role is key in ...
10/10/2024

🌱 Social emotional skills help to build strong mental health in children.
🎒 Educators and parents, your role is key in teaching emotional skills.
💬 Teach self-awareness, empathy, and resilience for a brighter future.
💚 Together, we support children’s emotional well-being.

Kwanzia tarehe 4-6 Oktoba mashirika wadau wa Malezi, Makuzi na Maendeleo ya Awali ya mtoto pamoja na Maafisa Ustawi wa J...
05/10/2024

Kwanzia tarehe 4-6 Oktoba mashirika wadau wa Malezi, Makuzi na Maendeleo ya Awali ya mtoto pamoja na Maafisa Ustawi wa Jamii Mkoa na Halmashauri tumekutana kwa ajili ya kutafakari na kuimarisha utekelezaji na uratibu wa Programu Jumuishi ya Taifa ya Malezi Makuzi na Maendeleo ya Awali ya Mtoto.

Happening today!Wadau wa malezi, makuzi na maendeleo ya awali ya mtoto Mkoa wa Dar es Salaam leo tuna jambo letu!       ...
26/09/2024

Happening today!

Wadau wa malezi, makuzi na maendeleo ya awali ya mtoto Mkoa wa Dar es Salaam leo tuna jambo letu!




Envisioning a future where every child's welfare is at the heart of our communities. Through Social Emotional Learning, ...
02/09/2024

Envisioning a future where every child's welfare is at the heart of our communities.

Through Social Emotional Learning, we cultivate kindness, resilience, and empathy in our young ones.

Let's build a better tomorrow, today.

🌟

Speaking the Language of Virtues!Celebrate your child’s acts of kindness and help them understand why being kind matters...
21/08/2024

Speaking the Language of Virtues!

Celebrate your child’s acts of kindness and help them understand why being kind matters.


Address


Opening Hours

Monday 08:00 - 17:00
Tuesday 08:00 - 17:00
Wednesday 08:00 - 17:00
Thursday 08:00 - 17:30
Friday 08:00 - 17:00

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Bright Jamii Initiative posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Bright Jamii Initiative:

Shortcuts

  • Address
  • Opening Hours
  • Alerts
  • Contact The Practice
  • Claim ownership or report listing
  • Want your practice to be the top-listed Clinic?

Share