Afya ni maisha

Afya ni maisha Tunatoa elimu ya Afya ya binadamu, vipimo, ushauri na matibabu kwa maradhi sugu kama KISUKARI, UZAZI,

K**a ulishawahi kuhisi dalili moja wapo kati ya hizi au bado unajihisi wewe ni mwanamke lakini hauna uhakika k**a hizo d...
07/12/2024

K**a ulishawahi kuhisi dalili moja wapo kati ya hizi au bado unajihisi wewe ni mwanamke lakini hauna uhakika k**a hizo dalili unazoziona au ambazo zilizowahi kukutokea huko nyuma ni k**a hizi, ni vyema ukaja kuonana na Daktari japo kwa ajili ya kupata USHAURI kwanza.

Usiogope kabisa kuja kuonana na Daktari kwani kuja kuonana na Daktari na kupata ushauri huduma hizi ni bure kabisa ndugu yangu . Karibu sana .

JE , unafahamu Una uzito wa kilo ngapi ? JE, wewe unapenda kupima uzito wa MWILI WAKO mara kwa mara?JE, unakumbuka mara ...
07/12/2024

JE , unafahamu Una uzito wa kilo ngapi ?

JE, wewe unapenda kupima uzito wa MWILI WAKO mara kwa mara?

JE, unakumbuka mara yako ya mwisho kupima uzito ilikuwa lini ?

✍️✍️✍️✍️ Jifunze kitu hapa kuwa kuna umuhimu mkubwa sana wa kufanya vipimo mbalimbali ya MWILI ili ufahamu maendeleo yako kiafya .

🚨 MAJI 💦 ni kitu muhimu Sana MWILINI . Na ili uweze kufahamu unatakiwa unywe MAJI kiasi gani kwa siku, basi Huna budi kufahamu una uzito wa kilo ngapi mara kwa mara . Muhimu Sana hii.

👏👏👏👏 Hongera sana kwako wewe unaeijali Afya yako wakati wote .

Tathimini ya TAKWIMU ya maendeleo ya KIAFYA ya SHIRIKA LA AFYA DUNIANI ( WHO ) limesema kuwa, ni takribani miongo kadhaa...
07/12/2024

Tathimini ya TAKWIMU ya maendeleo ya KIAFYA ya SHIRIKA LA AFYA DUNIANI ( WHO ) limesema kuwa, ni takribani miongo kadhaa hadi sasa watu wanaokula sana vyakula vilivyoandaliwa kutoka viwandani kwa wingi k**a hivi . Mataifa hayo yamekuwa yakikabiliwa na MATATIZO mengi KIAFYA k**a ,;

1️⃣ Ongezeko kubwa sana la uzito wa MWILI.
2️⃣ Magonjwa ya MIFUPA .
3️⃣ KISUKARI .
4️⃣ PRESHA .
5️⃣ SARATANI za sehemu mbalimbali. N. K

💬 Na wewe chukua tahadhari stahiki mapema sana kuanzia sasa. Penda sana kula vyakula vya asili na upunguze au ikibidi ujiepushe kabisa na hivyo vyakula na vinywaji vya viwandani.

HATUA ZA KUFUATA ILI UPATE MSAADA NA UONDOKANE KABISA NA MATATIZO HAYA YA MIFUPA.1️⃣ Onana na Daktari wa MIFUPA .2️⃣ Zin...
01/12/2024

HATUA ZA KUFUATA ILI UPATE MSAADA NA UONDOKANE KABISA NA MATATIZO HAYA YA MIFUPA.

1️⃣ Onana na Daktari wa MIFUPA .
2️⃣ Zingatia Lishe sahihi maalumu ya madini mbalimbali.
3️⃣ Fanya baadhi ya mazoezi maalumu elekezi kwa ajili ya kuimarisha MIFUPA.
4️⃣ Penda kufuatilia na kujifunza zaidi kuhisu Afya yako kupitia vipindi mbalimbali.
5️⃣ Pata muda wa kupumzika .
6️⃣ Penda kufanya vipimo vya MWILI WAKO mara kwa mara .
6️⃣ MATIBABU maalumu ya MASSAGE au REFLEXOLOGY kwa ajili ya kuimarisha Afya ya MIFUPA .

🧰 Yapo mambo mengi sana , lakini ukiyazingatia haya machache niliyokueleza. Matatizo mengi ya MIFUPA kwako yatakuwa ni historia tu ya kuisikia kwa watu wengine lakini siyo wewe .

Karanga ni miongoni mwa VYAKULA BORA vyenye Lishe ya MAFUTA mwilini.  Lishe hii ni maarufu kwa makabila na mataifa tofau...
01/12/2024

Karanga ni miongoni mwa VYAKULA BORA vyenye Lishe ya MAFUTA mwilini.

Lishe hii ni maarufu kwa makabila na mataifa tofauti tofauti duniani kwanieina matumizi mengi sana.

1️⃣ Huweza kutumiwa na baadhi ya watu kwa kuchanganywa na nataka nyingine k**a mahindi na nyingine ili ipatikane lishe ya uji .
2️⃣ Wengine huisaiga au kuitwanga na kuitumia k**a kiungo cha mboga ili mboga iwe na ladha nzuri na tamu zaidi.
3️⃣ Wengine huzikaanga au kuzichemsha na kuzila k**a zilivyo k**a sehemu ya CHAKULA moja kwa moja.

Na matumizi mengine mengi pia .

👉 JE, wewe 🫵 unazifahamu hizi karanga? Na pia kwa upande wa huko kwenu mnazitumiaje?

💬 Unaweza kujibu ili tujifunze sote zaidi.

Kubali kuijali na kuipenda Afya yako ndugu yangu.Ukuta imara wa nyumba hujengwa na matofali imara lakini AFYA YAKO haije...
24/11/2024

Kubali kuijali na kuipenda Afya yako ndugu yangu.

Ukuta imara wa nyumba hujengwa na matofali imara lakini AFYA YAKO haijengwi kwa matofali bali inajengwa na vitu vingi muhimu MWILINI k**a;

1️⃣ MAZOEZI .
2️⃣ MLO KAMILI .
3️⃣ MAJI SAFI NA SALAMA .
4️⃣ MAZINGIRA SAFI NA SALAMA .
5️⃣ USINGIZI MNONO .
6️⃣ KUTUMIA VIRUTUBISHO/ TIBALISHE MBALIMBALI .
7️⃣ KUPIMA AFYA MARA KWA MARA .

💬 Hivi ni baadhi ya vitu muhimu kwa ajili ya kuimarisha Afya yako . Unashauriwa uvizingatie Sana katika maisha yako ili uishi maisha ya Amani na furaha.

❔❓ Ila kuna baadhi ya watu wanavipuuza Sana vitu hivi na ndiyo maana hadi sasa Maisha yao yamejaa MATATIZO kila kukicha .

UNATUMIA SABUNI GANI KUSAFISHIA MWILI WAKO?🟪 Watu wengi hawajui kuwa NGOZI ya MWILI nayo inahitaji matunzo mara kwa mara...
24/11/2024

UNATUMIA SABUNI GANI KUSAFISHIA MWILI WAKO?

🟪 Watu wengi hawajui kuwa NGOZI ya MWILI nayo inahitaji matunzo mara kwa mara . Usipoitunza NGOZI yako hakuna mtu atakaefanya hiyo kazi kwa ajili yako.

💬 🛑👉 MUHIMU SANA :
🟠 Miaka hii ya karibuni tafiti kutoka SHIRIKA LA AFYA DUNIANI ( WHO ) limetoa ripoti muhimu ya wahanga wanaosumbuliwa na haya Maradhi yasiyoambukiza na Maradhi SUGU k**a SARATANI, KISUKARI, PUMU, ANAEMIA, N.K .

👉 TAKWIMI ZINASEMA KUWA 71% HADI 75% YA VIFO VYA WATU DUNIANI KOTE INATOKANA NA HAYA MARADHI SUGU.

🔥🔥🔥🔥 Sasa basi, siku hizi kuna mlipuko wa ugonjwa huu wa SARATANI ya NGOZI . Tatizo hili linasababishwa na vitu mbalimbali k**a;

1️⃣ Mionzi ya jua .
2️⃣ Vipodizi visivyofaa vyenye KEMIKALI NYINGI kutoka viwandani k**a Mafuta ya kujipaka na SABUNI za kuogea.
3️⃣ Vyakula na vinywaji mbalimbali vyenye KEMIKALI vilivyoandaliwa kutoka viwandani k**a soda, juice, n.k

👇👇👇👇👇👇
🟠 Leo nakuachia swali la kujiuliza kuhusu hiyo SABUNI ya kuongea unayoitumia, je ni salama kwa AFYA YAKO YA NGOZI?

NDOTO ya kila MWANAMKE DUNIANI .🫄Kila MWANAMKE anatamani kupata MTOTO wake wa kumzaa yeye mwenyewe 🤱🧑‍🍼 . Japo baadhi ya...
24/11/2024

NDOTO ya kila MWANAMKE DUNIANI .

🫄Kila MWANAMKE anatamani kupata MTOTO wake wa kumzaa yeye mwenyewe 🤱🧑‍🍼 . Japo baadhi ya WANAWAKE huzaliwa na mapungufu tangu wakitoka tumboni kwa mama zao na hali ambayo baadae wakikua huja kuwanyima furaha hii katika maisha yao.

💬👉 K**a na wewe haujabahatika kupata MTOTO basi usiumie, endelea kumuomba MUNGU WAKO akupe uvumilivu huku ukiendelea kufanya juhudi za makusidi ili na wewe ufanikiwe kupata MTOTO wako pia .

🙏🙏🙏 Nawaombea wanawake wote wanaotamani kupata WATOTO basi MUNGU akawape hitajio hilo la MIOYO yao.

JE , UMEKUWA UKISUMBULIWA NA CHANGAMOTO MBALIMBALI ZA KINYWA K**A HIZI ? 1️⃣ MENO KUOZA .2️⃣ MENO KULEGEA .3️⃣ FIZI KUTO...
20/10/2024

JE , UMEKUWA UKISUMBULIWA NA CHANGAMOTO MBALIMBALI ZA KINYWA K**A HIZI ?

1️⃣ MENO KUOZA .
2️⃣ MENO KULEGEA .
3️⃣ FIZI KUTOA DAMU .
4️⃣ KINYWA KUTOA HARUFU MBAYA HATA K**A UMESWAKI .
5️⃣ KUNG'OA MENO MARA KWA MARA .
6️⃣ MENO KUFUBAA .
7️⃣ FANGASI YA KINYWA .

🟠 NA CHANGAMOTO NYINGINE ZOZOTE ZA KINYWA PIA .

✅ TAYARI SULUHISHO LAKE LIPO SASA NA CHANGAMOTO HIZO SIYO TATIZO TENA . K**A UNAMFAHAMU MTU YEYOTE MWENYE CHANGAMOTO HIZO BASI MWAMBIE ASITWSEKE TENA. ANAWEZA KUWASILIANA NASI KWA USHAURI ZAIDI 0768907097

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya ni maisha posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Afya ni maisha:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram