Tiba lishe

Tiba lishe Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Tiba lishe, Medical and health, ilala boma jengo la mwalimu house ( floor ya 7), Dar es salaam, Dar es Salaam.

Tunatatua changamoto za uzazi kwa mwanamke na mwanaume pamoja na changamoto kama
👉 P.I.D, UTI SUGU
👉 KUVURUGIKA KWA HEDHI
👉 KUTOKUSHIKA UJAUZITO
👉 KUTOKUHIMILI VIZURI TENDO LA NDOA
👉 FANGASI NA MIWASHO UKENI
👉 KUVURUGIKA KWA HOMONI

VIDONDA VYA TUMBO NA GESI TUMBONI  Baadhi ya dalili za vidonda vya tumbo1.Maumivu ya tumbo2.Tumbo kujaa gesi3.Tumbo kuwa...
11/12/2024

VIDONDA VYA TUMBO NA GESI TUMBONI

Baadhi ya dalili za vidonda vya tumbo

1.Maumivu ya tumbo
2.Tumbo kujaa gesi
3.Tumbo kuwaka moto
4.Kiungulia kwenye chembe ya moyo
5.Kichefu chefu
6.Kutapika damu
7.Hamu ya kula kupotea sababu ya maumivu makali
8.Kupata choo kigumu
9.Kupata choo k**a k**asi
10.Uchovu usio na sababu ya msingi
11.Ganzi miguuni na mikononi
12.Kukosa hamu ya kufanya lolote

BAADHI YA DALILI ZA GESI TUMBONI

1.Kuhis unakabwa kooni
2.Tumbo kujaa
3.kiungulia
4.Maumivu ya kifua
5.Kucheu chakula au maji machungu
6.Kushindwa kumeza sababu ya maumivu makali
7.Kuhis kitu kinakwama kooni
8.Kitu kutembea toka kooni mpaka kifuani na kuja kooni tena,mpaka ucheue ndio unapata nafuu

9.Sauti kushindwa kutoka vizuri
10.Kikohozi kisichoisha
11.Kupata shida ya kupumua(Unajihisi kufa kabisa)

12.Mwili kuchoma choma..
13.Miguu na mikono kupata ganzi.

Mvurugiko wa  hedhi ni tatizo ambalo huanza ghafla au polepole ambalo mwanzo mwanamke alikuwa atapata siku zake katika u...
05/12/2024

Mvurugiko wa hedhi ni tatizo ambalo huanza ghafla au polepole ambalo mwanzo mwanamke alikuwa atapata siku zake katika utaratibu aliouzoea, mara haelewi mzunguko wake unavyoenda

🧵 Mvurugiko wa hedhi ni pale mwanamke anaanza kuona siku zake bila mpangilio maalimu na matokeo yake ni kuwa atashindwa kutimiza malengo yake ya uzazi.

🧵Mvurugiko wa hedhi unaweza kupelekea tu ukapata hedhi wakati ambao hukutarajia, jambo ambalo linakufanya ubaki na uwoga na huelewi nini cha kufanya kwani ulikuwa hujajiandaa kwa tukio hilo

🧵 Wakati mwingine unaweza kupitiliza mwezi au miezi kadhaa bila kuona kabisa siku zako na hata ukipima ujauzito unakuwa huna ujauzito wala dalili za ujauzito huna

MADHARA YA KUVURUGIKA KWA MZUNGUKO WA HEDHI
🫒 Madhara ya kuvurugika kwa mzunguko wa hedhi kwa mwanamke ni k**a yafuatayo
👉 Kushindwa kupata ujauzito
👉 Inachochea maambukizi kwenye kizazi k**a P.I.D na UTI
👉 Kuziba kwa mirija ya uzazi
👉 Inapelekea saratani kwenye kizazi

FAIDA ZA KUWA NA MZUNGUKO WA HEDHI ULIO SAWA
Mzunguko wa hedhi ulio sawa utamsaidia mwanamke kufanya yafuatayo
👉 Kupata ujauzito alioupangilia
👉 Kuepuka ujauzito ambao hukupangilia
👉 Kuepeka changamoto za mfumo wa uzazi k**a mirija kuziba na uvimbe kwenye kizazi
👉 Kuepuka maumivu ya kiuno na chini ya kitovu wakati wa hedhi.
👉 Kumfanya mwanamke kujiamini hata pindi anapoingia hedhi

SABABU ZINAZOPELEKEA MVURUGIKO WA MZUNGUKO WA HEDHI
Ni rahisi kugundua k**a mzunguko wako wa hedhi umevurugika ikiwa tu unafahamu vizuri mzunguko wako wa hedhi ulio sahihi

Kufahamu mzunguko wako kufahamu siku ambayo ulianza kuona damu hadi pale utakapoona tena mzunguko unaofata.

Tatizo linaweza kuanza kwa kuruka kwa hedhi, kukosa hedhi kwa baadhi ya miezi, mwingine anaweza kuingia hedhi mara mbili kwa mwezi mmoja, mwingine damu yake inaweza kutoka kidogo kidogo kila siku, mwingine anaweza kuwa na hedhi ya mabonge mabonge na maumivu pia

Maumivu haya chini ya kitovu huanza chini ya tumbo mpaka miguuni na kiunoni ambayo kitaalamu hujulikana k**a "dymenorrhea "

Zifuatazo ni sababu zinazopelekea kuvurugika kwa mzunguko wa hedhi

👉 Mabadiliko ya mazingira
Mabadiliko ya mazingirs yanaweza kupelekea baadhi ya mifumo ya mwili kubadilika hali ambayo kitaalamu kitaalamu hujulikana k**a " Adaptive mechanism " hasa mwanamke akitokea sehemu za joto kwenda sehemu za baridi au sehemunza baridi kwenda sehemu za joto

👉 Msongo wa mawazo
👉 Hofu
👉 Mabadiliko ya Kisaikolojia
👉 Uvimbe kwenye kizazi
👉 Matatizo kwenye mfumo wa homoni
👉 Matatizo kwenye vifuko vya mayai
👉 Mimba kuharibika
👉 Maambukizi sugu kwenye kizazi mfano P.I.D

JINSI YA KUREKEBISHA MVURUKIKO WA HEDHI
Kabla ya yote unapopatwa na tatizo hili kwa muda mrefu ni vizuri kuonana na daktari uweze kupata uchunguzi wa kutosha kubaini nini hasa inaweza kuwa ndo sababu ya tatizo kwa upande wako kati ya zile nimekuainishia pale juu 👆👆👆

Vyakula/ matunda yafuatayo hurekebisha Mvurugiko wa hedhi ukitumia uwapo katika mazingira ya nyumbani

👉 PAPAI🍐
Papai lina virutubisho muhimu k**a carotene, chuma ( iron ), kalsiumu ( calcium ), vitamin A na C ambavyo kwa pamoja husaidia kurekebisha mvurugiko wa hedhi
Unashauriwa kula papai kila siku, nusu papai au papai zima kutegemea na uwezo wake au uwezo wako wa kula
Pia unashauriwa kutumia papai katika mlo wako wa kila siku siyo mpaka muugue

👉 MDALASINI ☕️
Ina sifa ya kusaidia kuondoa tatizo la damu kuganda, sifa inayoweza kusaidia kuondoa maumivu wakati wa hedhi
Mdalasini ni chanzo kizuri cha nyuzinyuzi ( fibers ), kalsiumu ( calclium ), Chuma ( iron ), manganizi ( manganese )

🍸Jinsi ya kutumia mdalasini
Changanya kijiko kidogo cha mdalasini wa unga na kijiko kidogo kimoja cha asali katika glasi moja ya maji ya uvuguvugu na unywe kutwa mara 2 siku za mwanzoni unapoanza au kukaribia kuingia katika siku zako

👉TANGAWIZI 🫚
Tangawizi ni dawa yenye maajabu katika kutibu changamoto za mfumo wa hedhi.
Tangawizi hufanya kazi muhimu katika kushusha kiwango cha homoni inayosababisha maumivu wakati wa hedhi iitwayo " prostaglandin "

Tangawizi pia husaidia kuondoa uchovu uletwao na mzunguko wa hedhi katika siku za mwanzo wa hedhi au siku mbili hivi kabla hujaingia hedhi.

Kubwa zaidi hufanya mzunguko wa hedhi usio sawa kuwa sawa

🍸Jinsi ya kutumia Tangawizi kutibia Mvurugiko wa hedhi

Tengeneza chai ya Tangawizi, ukitumia tangawizi mbichi, hakikisha chai yako inakuwa kali kwa kuweka tangawizi nyingi, kamulia ndimu kidogo ndani yake na utumie asali kupata ladha badala ya sukari.
Kunywa kikombe kimoja kutwa mara 3 fanya hivo siku yeyote tu k**a kinga kwenye mwili wako.
Pia unaweza kuongeza Tangawizi kwenye chakula na mboga nyingi unazopika kila siku

👉 MREHANI ( BASIL )
Mrehani ni mmea mwingine mzuri sana katika kuondoa maumivu wakati wa hedhi na kurekebisha mzunguko wa hedhi kwa ujumla

Mmea huu unatumika sana jikoni kwenye mahoteli ya kitalii Dar es salaam na Zanzibar kwani unao sifa kuu ya kuzuia na kuondoa maumivu mwilini

🍸 Jinsi ya kutumia mrehani katika mvurugiko wa hedhi

Chukua kijiko kimoja cha majani ya mrehani yaliyokatwa katwa na kisu ( chop ) na weka kwenye kikombe kimoja cha maji ya moto, funika vizuri na usubiri ipoe, ikishapoa kunywa yote na ufanye zoezi hili kutwa mara 3
Pia unaweza kutengeneza juisi ya majani haya kwa kuyabona kwenye kinu au kusaga kwenye blenda ya umeme kisha chota vijiko 2 vya chai na uweke kwenye kikombe cha maji ya moto na unywe yote, fanya zoezi hiki kutwa mara 3

Unaweza pia kuongeza majani ya mrehani kwenye vyakula vingi unavyokula kila siku k**a wafanyavyo kwenye mahoteli makubwa.

👉 MAJI YA KUNYWA🥛
Matatizo ya kiafya karibu yote mwilini chanzo chake kikubwa ni mwili kutokuwa na maji ya kutosha, jitahidi ujijengee desturi ya kunywa maji mengi, walau lita 2-3 kila siku

✍️HITIMISHO
Mvurugiko wa mzunguko wa hedhi mara nyingine husababishwa na mvurugiko wa homoni

Mvurugiko wa homoni kwa mwanamke ni kitendo cha kuongezeka au kupungua kwa homoni katika mwili wa mwanamke.

Hivyo ikiwa changamoto yako ya mvurugiko wa hedhi imetokana na mvurugiko wa homoni, Nashauri utumie virutubisho vilivyotokana na matunda na mimea, Virutubisho hivi vitamaliza kabisa changamoto yako na kukufanya uwe katika hali yako ya wali ya kupata hedhi katika mpangilo mzuri

Kupata Virutubisho hivyo wasiliana kwa kupiga/WhatsApp kupitia namba 0776250309

⚠️ "YAFUATAYO NI MADHARA YA KUJICHUA AU PUNYETO➡️Uume kusinyaa kila ukijaribu kubadilisha style au mtindo. . ➡️Uume kusi...
03/12/2024

⚠️ "YAFUATAYO NI MADHARA YA KUJICHUA AU PUNYETO

➡️Uume kusinyaa kila ukijaribu kubadilisha style au mtindo. .
➡️Uume kusimama kwa ulegevu baada ya kumaliza bao la kwanza. .
➡️Kupata bao lenye maumivu hasa kuanzia bao la pili na kuendelea. .
➡️Kukosa hisia kabisa baada tu ya kufika kileleni safari ya kwanza

➡️Kuchoka sana baada ya kufanya mapenzi. .
➡️Uume kutosimama ukiwepo na mwenza wako lakini akiondoka unaona unapata hamu na uume unasimama vizuri. .
➡️Kufika kileleni haraka sana na baada ya kufika unashindwa kurudia tena. .
➡️Kushindwa kumuandaa mpenzi wako, kuhofia utafika kileleni kabla ya mchezo. .
➡️Kutoa mbegu hafifu hadi kusababisha kushindwa kumpa mkeo ujauzito. .

📌Zingatia kuacha Kufanya Kitendo Cha kujichua Kwani itakusaidia sana kurudisha Urijali Wako.

📌K**a Umeathiriwa Na Kujichua Hakikisha Unamuona Mtaalamu Akusaidie KUACHA na KUTIBU hayo madhara.

☎️ 0776250309

UVIMBE KWENYE VIA VYA UZAZ (FIBROIDS)Uvimbe kwenye Kizazi kwa Kitaalam Hujulikana k**a “FIBROIDS”- ni aiana ya Uvimbe am...
02/12/2024

UVIMBE KWENYE VIA VYA UZAZ (FIBROIDS)
Uvimbe kwenye Kizazi kwa Kitaalam Hujulikana k**a “FIBROIDS”- ni aiana ya Uvimbe ambao hutokea katika kuta za ndani za Mji wa mimba(Kizazi) au Uterus,au katikati ya kuta za Mji wa mimba,hivo kuleta madhara mengi. Kuta hizo za Mji wa mimba au Uterus zimegawanyika katika Maeneo au sehemu kuu Tatu.

(i) Endometrium
Ukuta wa Ndani kabsa.
(ii) Myometrium: Ukuta wa katikati:
(iii) Serosa: ukuta wa Nje ya Uzazi:

Sasa basi Kutokana na Mgawanyiko huo wa kuta za Mji wa mimba(Uterus), hapo ndipo aina za Uvimbe wa Kizazi au Fibroids zikatokea.

AINA ZA UVIMBE KWENYE KIZAZI.
Kuna aina kuu Tatu za Uvimbe wa Kizazi(FIBROIDS)
1.Submucosal Fibroids- ambayo hii ni Uvimbe wa Kizazi lakini unatokea sehemu ya Ndani ya Kizazi
2.Intramural fibroids- hii ni aina ya Uvimbe wa Kizazi unaotokea sehemu ya katikati ya Kizazi
3.Subserosal Fibroids-aina hii ya Uvimbe wa Kizazi hutokea sehemu ya Nje ya Kizazi.

Kumbuka: Uvimbe kwenye kizazi pia huweza kutokea katika maeneo mbali mbali ya ya mfumo wa uzazi wa mwanamke
Mfano.
1.Kuna Uvimbe unaotokea kwenye wa vifuko vya mayai yaani kitaalam Hujulikana k**a Ovarian Cysts.

2.Kuna uvimbe unaoweza kutokea kwenye Mirija ya Uzazi,na kuleta tatizo la kuziba kwa Mirija ya Uzazi.


CHANZO CHA UVIMBE KWENYE KIZAZI AU FIBROIDS
Hakuna sababu ya Moja kwa moja ya mtu kupata Tatizo hili la Uvimbe wa kwenye kizazi,Japo kuna vitu ambavyo huweza kuchangia mtu kupata Uvimbe kwenye Kizazi, K**a vile;
Matumizi ya dawa ambazo zina vichocheo vingi ndani yake,hasa vile vinavyohusika na Ukuaji wa seli hai za mwili k**a vile progesterone,estrogen,n.k
Tatizo la Unene pamoja na Uzito kupita kiasi
Matumizi ya Njia mbalimbali za Uzazi wa Mpango
Unywaji wa Pombe na matumizi ya vyakula vyenye sukari nyingi pamoja na Proteins.
Magonjwa ya mlefu hasa PID na homone imbalance n.k


KUNDI LA WATU AMBAO WAPO KATIKA HATARI YA KUPATA TATIZO LA UVIMBE WA KIZAZI
1.Umri wa kuanzia kubalehe au kuvunja Ungo mpaka ukomo wa hedhi
2.Mwanamke ambaye hajawahi kupata mtoto hadi kufikia umri mkubwa
3.Watu wanene na wenye Uzito Kupita Kiasi
4.Wanawake waliowahi kupata matatizo ya PID na homone imbalance.
5.Kuwa na historia ya Tatizo la Uvimbe wa Kizazi katika Familia yenu( japo hii haijadhibitiswa kisayansi.)



DALILI ZA TATIZO LA UVIMBE WA KIZAZI
Hizi hapa ni baadhi ya Dalili ambazo huweza Kujitokeza kwa mtu mwenye tatizo la Uvimbe kwenye kizazi;
1.Kutokwa na Damu ya Hedhi au kupata period katikati ya mwezi
2. Maumivu makali ya Tumbo hasa wakati wa Hedhi,kwani tumbo la Uzazi hujaribu kuusuka Ule Uvimbe kutoka Nje,Kitendo hiki huleta maumivu makali
3. Kupata maumivu makali ya Tumbo na Kiuno wakati wa Tendo la Ndoa
4. Kutokwa na Uchafu mwingi ukeni na wakati mwingine huambatana na harufu kali sehemu za Siri,hasa hasa k**a uvimbe umeziba mirija ya Uzazi(fallopian Tubes)
5. Kutokwa na Damu wakati wa tendo la Ndoa, pamoja na mvurugiko wa Mpangilio wa siku za Hedhi
6.Uvimbe ukiwa Mkubwa sana huweza kuleta dalili k**a hizi;
7.Kukojoa mara kwa mara,kwani nafasi kubwa ya uvimbe husababisha mgandamizo wa kibofu cha Mkojo
8.Mkojo kubakia kwenye kibofu mara baada ya kukojoa
9.Kupata Choo kigumu sana,hata kukuletea maumivu makali sehemu ya Haja kubwa pamoja na Michubuko

MADHARA YA KUWA NA TATIZO LA UVIMBE WA KIZAZI
1.Maumivu makali wakati wa Hedhi na wakati wa Tendo la Ndoa
2.Kutokwa na Uchafu mwingi ukeni na wenye harufu mbaya
3.kutolewa kizazi chote wakati wa matibabu k**a uvimbe umeathiri sehemu kubwa ya Kizazi
4.Tatizo la kushindwa kubeba Ujauzito
5.Mvurugiko wa siku za Hedhi,ikiwemo kupata hedhi katikati ya mwezi

MATIBABU YA UVIMBE WA KIZAZI
Mara nyingi wanawake wengi sana hufanyiwa upasuaji ambapo hujikuta wanapata madhara makubwa sana k**a kupoteza uhai au kupata ulemavu wa kudumu.

Ila tunazo bidhaa za kuwasaidia wanawake wenye uvimbe kwenye kizazi na akitumia vizuri kwa maelekezo maalumu anapona kabiasa bila upasuaji.

Wasiliana nasi kwa piga/WhatsApp 0776250309
Kwa ushauri na tiba

*🤷JE KUNA MADHARA YA KUTOA MIMBA?*Kabla hujafiria kutoa mimba, ni muhimu kufahamu matokeo mabaya kiafya yanayoweza kujit...
30/11/2024

*🤷JE KUNA MADHARA YA KUTOA MIMBA?*

Kabla hujafiria kutoa mimba, ni muhimu kufahamu matokeo mabaya kiafya yanayoweza kujitokeza siku za mbele baada ya kufanya kitendo hichi, hasa kwenye swala zima la uzazi.

*NINI KINATOKEA BAADA YA KUTOA MIMBA?*

Wanawake wengi hupata dalili hizi siku chache baada ya kutoa mimba, dalili ambazo zinaweza kuchukua mpaka siku 21 kuisha

1. kutokwa damu kwa week 2 mpaka 4
2. muumivu ya nyonga
3. mwili kukosa nguvu na kusinzia ovyo
4. kutapika na kizunguzungu```

MADHARA MAKUBWA YANAYOWEZA KUJITOKEZA BAADA YA KUTOA MIMBA NI PAMOJA NA;

▶️majeraha kwenye mlango wa kizazi na kizazi
▶️kutokwa damu kupita kiasi mpaka kuishiwa damu
▶️mimba kushindwa kutoka yote(incomplete abortion) na hivo kuhitaji upasuaji mwingine
▶️maambukizi sugu kwenye via vya uzazi(PID)
▶️makovu kwenye tumbo la uzazi
▶️kufanyika kwa mashimo ndani ya kizazi
-mgonjwa kufariki```

*MADHARA YA MUDA MREFU BAADA YA KUTOA MIMBA*

▶️kujifungua mtoto kabla ya muda wake kutimia(pre-term deliveries
▶️kutoa mimba husababisha kulegea kwa mlango wa kizazi na hivo kuongeza hatari ya mimba zijazo kutoka ama kujifungua kabla ya wakati yaani chini ya week 37.
endapo mtoto atazaliwa chini ya muda wa week 37 anaweza kupata madhara ya kiafya k**a matatizo ya ubongo.
▶️saratani ya matiti: Tafiti zinasema kwamba kutoa mimba kunaongeza hatari ya mwanamke kupata saratani ya matiti.
kuugua magonjwa sugu k**a chlamydia na PID

▶️kupata magonjwa ya akili:
tafiti zinasema kwamba waawake wengi hupata matatizo ya akili baada ya kutoa mimba na dalili k**a
kujutia kutoa mimba
sonona na msongo mkubwa wa mawazo
kupata wasiwasi k**a je watashika tena ujauzito mwingine
kuona aibu na kujihisi wakosaji
kupata mawazo ya kujiua
K**a ulitoa mimba na unaanza kupata dalili hizi hapa juu, chukua hatua mapema, onana na mtaalamu wa afya ya akili kupata ushauri wa kina.````

*KUSHINDWA KUSHIKA UJAUZITO KWA SIKU ZA BAADAE BAADA YA KUTOA MIMBA*

1. Kutokana na athari ya magonjwa k**a PID kwenye kizazi na mirija, inaweza kupelekea mwanamke kushindwa kushika mimba kwa siku za baadae.

2. Kwa mwanamke aliyetolewa mimba hospitali kutokana na changamoto za kiafya, hatari ya kukosa mimba kwa siku zijazo ni kubwa hasa k**a mwanamke husika ana changamoto za kisukari, magonjwa ya figo, ini, moyo na mapafu na kuchanika kwa kizazi.

3. Kushindwa Kushiriki Tendo la Ndoa ipasavyo

*BAADA YA KUTOA MIMBA WANAWAKE HUWEZA KUPATA CHANGAMOTO KWENYE TENDO KUTOKANA NA;*

1.uke kuwa mkavu sana
2.kupungua kwa hamu ya kushiriki tendo
3.kushindwa kufika kileleni na
4.maumivu makali wakato wa tendo.

*K**a unapata dalili hizi na uliwahi kutoa mimba wasiliana nasi na tutakupa ushauri wa kina.* piga /WhatsApp 0776250309

Wanawake wengi wamekuwa wakisumbuliwa na changamoto za uzazi.🧵Leo nitakuelezeeni sababu kuu inayopelekea changamoto za u...
29/11/2024

Wanawake wengi wamekuwa wakisumbuliwa na changamoto za uzazi.
🧵Leo nitakuelezeeni sababu kuu inayopelekea changamoto za uzazi kwa mwanamke 👇👇

🫛 MVURUGIKO WA HOMONI ( HORMONAL IMBALANCE ).
Hii ndo chanzo kikuu cha changamoto za uzazi kwa wanawake.
👉Mvurugiko wa homoni ni hutokea pale homoni zinazohusiana na masula mazima ya uzazi zinazalishwa katika uwiano ambao siyo sahihi ( zinazslishwa kiasi kidogo sana au zinazalishwa nyingi sana kupita kiasi ).
👉 Mfumo wa uzazi wa mwanamke huongonzws na homoni k**a tano ( 5 ), ambazo huzalishwa kwa majukumu tofauti tofauti kwenye uzazi ( nitaelezea zaidi somo linalokuja ). Homoni hizo ni k**a gonadotropin, foliko, lutea, projesteroni na estrojeni, homoni zote hizi zinatakiwa zizalishwe kwenye uwiano unaohitajika na mwili

🧵NINI KINATOKEA ENDAPO KUTAKUWA NA MVURUGIKO WA HOMONI KWENYE MWILI WAKO
👉 Hapa ndo ndo changamoto zote za uzazi huanzia. Mvurugiko wa homoni hupelekea mambo yafuatayo

1. Kuvurugika kwa mzunguko wa hedhi
2.Mimba kuchoropoka mara kwa mara ( Miscarriage ).
3. Kutokushika ujauzito
4.Inachochea magonjwa mengi sana katika mfumo wa uzazi k**a vile maambukizi ya P.I.D , UTI, Uvimbe kwenye kizazi na saratani kwenye kizazi
5. Kukosa hedhi kabisa, hedhi ya muda mrefu sana, hedhi ya mabonge mabonge.

🧵UTAJUAJE K**A UNA MVURUGIKO WA HOMONI ( Dalili )
1. Kutokushika ujauzito
2. Maumivu makali wakati wa tendo la ndoa
3. Uke kuwa mkavu
4. Kuvimba kwa kuta za uke
5 . Kutoka hedhi nzito, kukosa hedhi, hedhi kuruka
Kutoka hedhi mfululizo

🧵 VISABABISHI VYA KUVURUGIKA KWA HOMONI
1.Matumizi ta njia za uzazi k**a sindano, vidonge vya majira na njia nyingine zote za uzazi zinazohusisha kemikali ( hii ndo sababu kubwa sana na nitaielezea vizuri sana somo lijalo).
2. Matumizi ya homoni za bandia
3.kukoma kwa hedhi
4.Matumizi ya tiba za kansa k**a mionzi
5.Ulaji mbovu ( pia nitakuja kuelezea vizuri
6. Kisukari
7. Msongo wa mawazo
8. Kunyonyesha

UTAKUWA UMEONA HADI HAPO NJINSI GANI HILI NDO KIINI YA CHANGAMOTO ZOTE ZA UZAZI.
👉 k**a una ndugu, rafiki ako unatamani ajifunze na apate kuelewa juu ya elimu hii nitumie namba ake ya WhatsApp kwa namba angu 0776250309

Tikiti maji lina faida nyingi kiafya kutokana na virutubisho vyake. Hapa kuna faida kuu za kutumia tikiti maji: ✅Husaidi...
28/11/2024

Tikiti maji lina faida nyingi kiafya kutokana na virutubisho vyake. Hapa kuna faida kuu za kutumia tikiti maji:
✅Husaidia Unyevunyevu Mwilini: Tikiti maji lina zaidi ya 90% maji, hivyo husaidia mwili kuwa na unyevu wa kutosha.
✅Huimarisha Kinga ya Mwili: Lina vitamini C, ambayo inasaidia kuimarisha kinga ya mwili na kupambana na magonjwa.
✅Afya ya Moyo: Lina potasiamu na lycopene, ambazo husaidia kupunguza shinikizo la damu na kuimarisha afya ya moyo.
✅Huongeza Nguvu na Nguvu za Misuli: Tikiti maji lina citrulline, ambayo inasaidia kupunguza uchovu wa misuli na kuboresha mazoezi.
✅Husaidia Mfumo wa Mmeng’enyo: Vlakula vyake (fiber) husaidia usagaji wa chakula na kuzuia kuvimbiwa.
✅Hutunza Ngozi na Nywele: Vitamini A na C kwenye tikiti maji huchangia ngozi yenye afya na ukuaji wa nywele.
✅Hupunguza Maumivu ya Uchochezi: Lycopene na virutubisho vingine vina sifa za kupunguza uchochezi mwilini.
✅Hulinda Macho: Lina beta-carotene, ambayo husaidia kudumisha afya ya macho.

Menorrhagia ( Hedhi yamudamrefu ).Hii ni hali ambayo mwanamke anaingia hedhi lakini  hedhi inachukua muda mrefu sana kuk...
26/11/2024

Menorrhagia ( Hedhi yamudamrefu ).
Hii ni hali ambayo mwanamke anaingia hedhi lakini hedhi inachukua muda mrefu sana kukata. Hii hali hutokea pale mwanamke anaenda hedhi zaidi ya siku 7, jambo ambalo siyo la kawaida

🥬 KUNA SABABU KUU MBILI ZINAZOPELEKEA HEDHI YA MUDA MREFU ( MENORRHAGIA)

👉 Kuvurugika kwa homoni.
Hii ndo sababu kubwa inayosababisha hedhi kuwa ya muda mrefu, uzalishwaji wa homoni za k**e mwilini ukiwa siyo wa uwiano sahihi ( Hormonal imbalance ) hufanya mfumo wa uzazi pia kutokuwa sawa na moja ya madhara ni kuwa na hedhi ya muda mrefu. Hali hii ni kubwa sana kwani inapelekea mwanamke kushindwa kushika ujauzito kabisa

👉 Matatizo kwenye mfuko wa uzazi ( uterus )
Hili changamoto husababishwa sana sana na maambukizi ya bakteria wabaya kwenye mfumo wa uzazi ( P.I.D ), Hivyo uterus inakuwa inashambuliwa na wadudu mwisho wa siku hedhi ikiingia inaenda siku nyingi isivyo kawaida. Hii hali pia inapelekea mwanamke ashindwe kushika na hata akishika ujauzito mimba inatungwa nje na mfuko wa uzazi. Ni changamoto kubwa sana kwa mwanamke

🏺 Mwanamke ukiwa na hali hii chukua hatua mapema kwani linaweza kukupelea kushindwa kushika ujauzito na kukufanya kukosa mtoto

🍇 Kwa ushauri zaidi na suluhisho piga/ WhatsApp 0776250308

ZIJUE FAIDA 5 ZA JUISI YA LIMAO KIAFYA YA MWANADAMU.🍋 Limao lina vitamin C kwa wingi, antioxidants ( vitoa sumu mwilini ...
26/11/2024

ZIJUE FAIDA 5 ZA JUISI YA LIMAO KIAFYA YA MWANADAMU.
🍋 Limao lina vitamin C kwa wingi, antioxidants ( vitoa sumu mwilini ) na madini k**a vile selenium, zinc na Manganese.
Vyote hivyo👆👆👆 husaidia mwili wa mwanadamu kiafya k**a ilivyoainishwa hapo chini👇👇👇👇

1. Kuongeza kinga za mwili
Limao lina vitamin C ya kutosha ambayo inajulikana kwa kuchochea kinga za mwili na kulinda mwili juu ya magonjwa nyemelezi, kunywa juisi ya limao mara kwa mara inaimarisha kinga za mwili na kufanya usipate mafua na maambukizi mengine.

2. Inasaidia katika mmeng’enyo wa chakula.
Citric acidi inayopatikana kwenye limao inachochea uzalishwaji wa gastric juice ( vimeng'enya chakula tumboni ), hivyo inaboresha mmeng’enyo wa chakula na kuondoa hatari ya kupata choo kigumu, tumbo kujaa gesi, kiungulia na kuondosha uvimbe kwenye kuta za tumbo

3. Husaidia kupunguza uzito.
Limao lina pectin fiber na vitamin C ambavyo kwa pamoja usaidia uyeyushaji wa mafuta yaliyoganda kwenye mishipa ( fats ) hivyo hufanya kupunguza uzito uliazidi kupitiliza

4. Husaidia kutoa sumu mwilini ( antioxidant )
Lomao hutumika k**a natural detoxilive juu ya uwezo wake wa kutoa sumu mwilini ( flush out toxins). Kitendo hiki hufanywa na ini ambapo citric acid ya limao hufanya ini lifanye kazi yake vizuri ya detoxification ( kutoa sumu mwilini )

5. Pia husaidia kuzalishwa kwa collagen na protini ambazo zinafanya kazi ya kulinda afya ya ngozi, joint na tissues, hivyo hufanya uwe na ngozi iliyonyooka na isiyo na makunyanzi k**a mzee wa miaka 85

Gusa link hapo chini kujiunga na channel yangu ya WhatsApp kujua mengi kuhusu tiba lishe

https://whatsapp.com/channel/0029VayDLcH65yD3Fmm7CW1T

*TOFAUTI YA P.I.D NA U.T.I.*wengi huchanganya sana aina hizi mbili za maradhi kati ya P.I.D na U.T.I*PID*Pelvic Inflamat...
25/11/2024

*TOFAUTI YA P.I.D NA U.T.I.*

wengi huchanganya sana aina hizi mbili za maradhi kati ya P.I.D na U.T.I

*PID*
Pelvic Inflamatory Desease
haya ni maradhi yanayoshambulia mfumo wa uzazi wa mwanamke... ugonjwa huu huwapata wanawake tu mwanaume hawezi kua na maradhi haya...

Dalili za tatizo hili la PID dalili zake ni KUTOKWA na uchafu MWEUPE au rangi ya kahawia UKENI wenye harufu ya shombo au usio na harufu , kupata miwasho , maumivu ya kiuno / mgongo, kupata maumivu WAKATI WA TENDO, hedhi kuvurugika HAINA tarehe maalum, maumivu makali WAKATI wa hedhi, UTI isiyoisha, kuharibika KWA mfumo wa HOMON,Kutokunasa ujauzito , likiwa SUGU husababisha SARATANI/KANSA ktk shingo ya kizazi au kupata UGUMBA kabisa.

*UTI*
Urinary Tract Infection
hii ni maradhi ambayo hushambulia kuuchafua mfumo wa mkojo.. mfumo wa mkojo kuanzia figo, kibofu cha mkojo, uretha na urethra.. hii huwapata watu wajinsia zote na rika zote

*NI NINI U.T.I*
NA NINI MADHARA YAKE, NA ZIPO AINA NGAPI ZA UTI?

UTi ni ugonjwa ambao unasumbua watu wengi; watoto, vijana na watu wazima.

UTI (Urinary Tract Infection); ni maambukizi kwenye njia ya mkojo. ambayo chanzo chake kikubwa kipo kwenye sehemu ya haja kubwa(anus)au kwenye utumbo mpana(large intestine

*Ugonjwa huu hushambulia*

(1) figo (kidneys);
(2) ureters; ambayo ni mirija inayounganisha figo na kibofu cha mkojo,
kibofu cha mkojo (bladder) na urethra; sehemu inayotoa mkojo toka kwenye kibofu cha mkojo hadi nje ya mwili.

*AINA ZA U.T.I*
A) lower U.T.I
Lower U.T.I ni hatua ya ugonjwa kushambulia maeneo ya urethra na
kibofu cha mkojo (bladder). Katika hatua hizi, mgonjwa atasikia dalili
zifuatazo:
1. Maumivu wakati wa kukojoa
2. Kujisikia kukojoa mara kwa mara lakini kutoa mkojo kidogo tu
3. Damu katika mkojo
4. Mkojo wenye rangi ya chai
5. Mkojo wenye harufu

*Dalili za upper UTI ni*
1. Maumivu ya maeneo ya juu ya mgongo
2. Homa
3. Kusikia baridi
4. Kusikia kichefuchefu
5. Kutapika

*Ukiipuuza U.T.I Unaweza kupata athali kubwa sana k**a zifuatazo*

1.Figo kushindwa kufanya kazi (kidney failure)
hii ni hatari sana ,hutokana na bacteria kushambulia figo
2.Kupatwa magonjwa ya kibofu ,k**a kibofu kuziba ,kushindwa kukojoa ,hii hupelekea MTU kukojoa kwa mirija
3 .maumivu ya mgongo, kiuno na NYONGA
4.kupoteza hamu ya tendo la ndoa.nk.
5.kuharibu homon(hormon inbalance)
6.mimba kuharibika
7.kushindwa kubeba ujauzito.

*Je unasumbuliwa na matatizo haya????*
Wasiliana nasi Sasa tukupatie suluhisho la kudumu piga/ WhatsApp 0776250309

Tunaijali afya YAKO.

*Eewe Mwanamke, k**a unakutana na hizi changamoto, tunayo suluhisho la kudumu kwa ajili yako:-*- P.I.D na U.T.I sugu 😷- ...
23/11/2024

*Eewe Mwanamke, k**a unakutana na hizi changamoto, tunayo suluhisho la kudumu kwa ajili yako:-*
- P.I.D na U.T.I sugu 😷
- Fangasi na miwasho ukeni 🔥
- Kutokwa na uchafu wenye harufu mbaya ukeni 👃
- Maumivu makali wakati wa hedhi 😫
- Uke kuwa mkavu wakati wa tendo 💧
- Mvurugiko wa homoni (Hormonal imbalance) 🔄
- Kukosa hamu/hisia za kushiriki tendo 😔
- Maumivu makali wakati wa tendo 😣
- Kukosa kuona siku zako za hedhi wakati hauna ujauzito ❌👶
- Mzunguko wa hedhi kubadilika kila mwezi 📅
- Dalili za mimba bila kuwa na ujauzito 🤰❌
- Ugumba na kushindwa kushika mimba 🤱
- Uvimbe kwenye kizazi ⚠️
- Uke mpana au legevu ⚖️
*Karibu kwa Tiba bora inayolenga chanzo cha tatizo na kuhakikisha Matokeo ya kudumu bila kujali changamoto ina muda gani.*

*Tutakusaidia kurejesha afya yako!*
Piga/WhatsApp 0776250309 kwa ushauri na tiba

*KUKOSA HAMU YA TENDO LA NDOA KWA MWANAMKE (HYPOACTIVE SEXUAL DESIRE DISEASE/ HSDD)* ↔️Hii hali inaweza kusababishwa na ...
20/11/2024

*KUKOSA HAMU YA TENDO LA NDOA KWA MWANAMKE (HYPOACTIVE SEXUAL DESIRE DISEASE/ HSDD)*
↔️Hii hali inaweza kusababishwa na mambo mbalimbali ya kimwili, kihisia, na kisaikolojia. Baadhi ya sababu zinazochangia hali hii ni pamoja na:-

1. Mabadiliko ya homoni: Hii ni pamoja na mabadiliko yanayotokea wakati wa ujauzito, kunyonyesha, au kipindi cha kukoma hedhi (menopause), ambapo kupungua kwa homoni k**a estrogeni kunaweza kuathiri hamu ya tendo la ndoa.

2. Matatizo ya kiafya: Magonjwa sugu k**a kisukari, shinikizo la damu, au matatizo ya tezi ya thairoidi yanaweza kuathiri hamu ya tendo la ndoa.

3. Matumizi ya dawa: Baadhi ya dawa k**a vile za kutibu shinikizo la damu, unyogovu, au uzazi wa mpango zinaweza kupunguza hamu ya tendo.

4. Magonjwa ya afya ya akili: Msongo wa mawazo, unyogovu, au wasiwasi wa mara kwa mara vinaweza kupunguza hamu ya tendo la ndoa.
Kwa ushauri na tiba piga/ WhatsApp 0776250309

Mwanamke chukua hatua juu ya P.I.D
20/11/2024

Mwanamke chukua hatua juu ya P.I.D

TIBA-MAUMIVU YA MIFUPA NA JOINTS Kutokana na sababu Mbalimbali,Watu wa jinsia zote Hupata Matatizo ya Mifupa Maungio na ...
19/11/2024

TIBA-MAUMIVU YA MIFUPA NA JOINTS

Kutokana na sababu Mbalimbali,Watu wa jinsia zote Hupata Matatizo ya Mifupa Maungio na kadiri umri unavyozidi kwenda ndio watu hupata udhaifu wa mifupa na viungo kupelekea shida k**a gauti,arthritis,Osteoporosis n.k

DALILI ZA TATIZO
●Kupata Maumivu Ya mgongo,Kiuno,Mabega,Magoti Au Shingoni
●Magoti Kupiga Kelele Ukinyoosha mguu Au Kutembea
●Kushindwa Kutembea Kawaida Mpaka Upate Sapoti
●Joints Kuvimba Na Kuuma,Miguu Kufa ganzi
●Kushindwa Kutembea Au Kufanya shughuli Zako Za Kila Siku

SABABU ZA TATIZO
■Kukosa ute ute(synovial fluid)kwenye joints kutokana kuwa na Uric Acid nyingi
■Kuwa Na Uzani mkubwa kupelekea tishu K**a Sponji zinazoitwa gegedu(cartilage kuzidiwa hivyo kupelekea mifupa kusagika
■Upungufu wa madini muhimu Calcium Ambayo hupelekea mifupa Kuwa na Uzani Mdogo
■Kukoma Kwa Hedhi Kwa Akina Mama
■Kufanya Mazoezi Ya Viungo Bila Kuzingatia Lishe Nzuri
■Umri Mkubwa

Mtu mwenye kisukari yupo kwenye hatari kubwa ya changamoto ya miguu/mikono kuwaka moto na kufa ganzi👉 Sukari nyingi kwen...
15/11/2024

Mtu mwenye kisukari yupo kwenye hatari kubwa ya changamoto ya miguu/mikono kuwaka moto na kufa ganzi
👉 Sukari nyingi kwenye damu hupelekea kuharibika kwa mishipa ya fahamu ( nerves ) hivyo kuharibu uwezo wa mwili kusafirisha taarifa kutoka kwenye ubongo na uti wa mgongo ( central nervous system ) kwenda sehemu mbalimbali zs mwili

👉 Vilevile sukari nyingi mwilini ( diabetes ) hufanya midhipa mdogo ya damu ( capillaries ) iharubike hivyo inashindwa kusafirisha oksijeni na chakula ( nutrients ) kwenda semehe za juu k**a mikono na sehemu za chini k**a miguu hivyo hupelekea sehemu hizo kukosa hisia na baadae kufa ganzi na maumivu makali hutokea k**a mtu anaunguzwa na moto

CHANGAMOTO ZINAZOYOKANA NA DIABETIC NEUROPATHY
🍇 Kupotea kwa hisia kwenye miguu/ mikono
🍇 Inachangiza kwa maambukizi ya UTIs
🍇 Inachangiza kushuka kwa presha ya damu
🍇 Inapelekea matatizo kwenye mfumo wa chakula k**a choo kigumu/ kuharisha
🍇 Matatizo ya kutokuhimili tendo la ndoa kwa mwanaume, Pia kukosa uteute ukeni kwa mwanamke

        post
14/11/2024

post

🔴 *MADHARA YA SINDANO ZA KUZUIA MIMBA*👉🏻Usumbufu wa hedhi👉🏻Kuumwa kichwa mara mara👉🏻Kizunguzungu👉🏻Kichefuchefu👉🏻Kuongeze...
14/11/2024

🔴 *MADHARA YA SINDANO ZA KUZUIA MIMBA*

👉🏻Usumbufu wa hedhi
👉🏻Kuumwa kichwa mara mara
👉🏻Kizunguzungu
👉🏻Kichefuchefu
👉🏻Kuongezeka uzito usiokuwa na faida
👉🏻Kupunguza hamu ya tendo la ndoa
👉🏻Kusababisha Uvimbe kwenye kizazi (fibroids)

🔴 *MADHARA YA VIDONGE VYA KUZUIA MIMBA*

👉🏻Huathiri fuko la uzazi kwa ndani na kusababisha uvimbe
👉🏻Kuongeza uzito wa ute utokao katika njia ya uke ili kuzuia mimba kutunga
👉🏻Kuumwa kichwa mara mara
👉🏻Kupata kichefuchefu
👉🏻Kutopata hedhi kwa baadhi ya wanawake
👉🏻Kubadilisha mwenendo wa damu
👉🏻Kuliathiri ini kidogo kidogo
👉🏻Kupata kisukari
👉🏻Kupata ugonjwa wa moyo
👉🏻Kupooza upande mmoja wa mwili.
👉🏻Kupunguza hamu ya tendo la ndoa

*🔴MADHARA YA KIJITI*

👉🏻Husababisha saratani za aina mbali mbali
👉Kuchanganyikiwa kiakili
👉🏻Shinikizo la damu
👉🏻Maumivu makali wakati wa tendo la ndoa.
👉🏻Kusababisha ukavu uliopitiliza kwenye uke hivyo kusababisha vidonda
👉🏻Kupunguza kwa kasi kubwa hamu ya tendo la ndoa

*🔴MADHARA YA KITANZI*

👉🏻Utokaji ovyo wa damu
👉🏻Kutoboka fuko la uzazi
👉🏻Kuongezeka kwa upana wa uke na kuifungua lupa na kufungwa kwa uzazi.
👉🏻Kitanzi kufyatuka na kusababisha upasuaji
👉🏻Kuondoa hamu tendo la ndoa.

K**a umeshaathirika na moja Kati ya njia hizi karibu nikusaidie

Call/WhatsApp0776250309

Mwanaume tumia hivi vyakula kwa ajili ya kuboresha AFYA YA UZAZI na tendo la ndoa
13/11/2024

Mwanaume tumia hivi vyakula kwa ajili ya kuboresha AFYA YA UZAZI na tendo la ndoa

Address

Ilala Boma Jengo La Mwalimu House ( Floor Ya 7), Dar Es Salaam
Dar Es Salaam
0000

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Tiba lishe posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram