
12/09/2024
TEZI DUME NA MATIBABU YAKE?
Tezi dume ni tezi inayopatikana kwa jinsia ya kiume. Tezi hii ina kazi ya kutengezeza majimaji ambayo husafirisha mbegu za kiume.
KUPANUKA KWA TEZI DUME
Kupanuka kwa tezi dume ni tatizo la kawaida ambalo halisababishwi na ugonjwa wa saratani(kansa).Miaka inavyoenda,ndivyo tezi dume huzidi kuwa kubwa; na hufinya njia ya mkojo na kuziba mkojo.Hivyo mkojo hutoka polepole .
Ugonjwa wa kutanuka kwa tezi dume ni ugonjwa wa wanaume wazee.
DALILI ZA TEZI DUME
1.Kukojoa mara kwa mara, ama kuhisi kukojoa mara kwa mara
2.Kukojoa mara kwa mara wakati wa usiku
3.Kupatwa na uzgumu kutoa mkojo
4.Mchirizi wa mkojo kuwa dhaifu
5.Mkojo kukatakata unapofika karibu a mwisho
6.Kujichafua wakati wa kukojoa
7.Kushindwa kumaliza mkojo kabisa.
8.Kushindwa kukojoa kabisa.
9.Kupata mkojo mchache sana
10) Damu kwenye mkojo inaashiria kensa
MADHARA YA KUCHELEWA KUTIBU TEZI DUME
1) Kushindwa kabisa kukojoa
2) Kupatwa na maambukizi ya UTI
3) Kupatwa na vijiwe kwenye kibofu
4) Uharibifu wa kibofu unaweza kutokea
5) Figo inaweza kuharibika
6) Upungufu wa nguvu za kiume.
TIBA YA HARAKA INAPATIKANA BILA YA UPASUAJI WOWOTE.
Kwa sasa inapatikana kwa bei ya ofa.
Kwa mahitaji tupigie/whatsapp +255 621672394