10/10/2024
DALILI ZA MWANAUME MWENYE UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
Iko iviπππ
1β£ Kutokuwa na uwezo wa kusimamisha Uume wake barabara k**a msumari wakati wa tendo la ndoa.
2β£ Na hata uume wake ukisimama hubaki kuwa goigoi/legelege na huweza kusinyaa wakati wowote.
3β£ Kumaliza mapema/kufika kileleni mapema kabla ya mke wake.
4β£ Kutokuwa na uwezo wa kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara moja. Hapa mwanaume akishakamilisha mshindo mmoja wa tendo la ndoa basi anakuwa hana tena uwezo wa kurudia mshindo mwingine. Hali hii husababishwa na kutokuwa na msukumo wa damu wa kutosha kwenye mishipa ya kwenye uume.
5β£Uume kusinyaa na kurudi ndani. Hapa uume wa mwanaume unakuwa umesinyaa na kurudi ndani. Uume huu unakuwa hauna uwezo wa kukamilisha tendo la ndoa. Hali hii kwa kiasi kikubwa husababishwa na upigaji wa punyeto kwa muda mrefu pamoja na magonjwa hasa hasa chango la kiume au ngiri.
6β£Mwanaume kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa hata anapokuwa faragha na mke wake.
7β£Mwanaume Kutokuwa na uwezo wa kusimamisha kabisa uume wake. Hali hii inajitokeza pindi tatizo la kutokuwepo kwa msukumo wa damu wa kutosha kwenye mishipa ya uume, linapokuwa limekomaa.
FAHAMU KUWA:πππ
Uume husimama (Hudinda) barabara pale mishipa yake ya damu inapopata msukumo wa kutosha wa damu. Na hili linawezekana pale ambapo mfumo wa mzunguko wa damu (The Blood circulation system) wa mwanaume unapokuwa katika hali nzuri ya kiafya. Mfumo huo unahusisha Moyo na mishipa ya damu.
Vyanzo ni k**aπ
=Magonjwa ya moyo
=Damu kuganda kwenye mishipa ya damu
=Mkusanyiko wa mafuta kwenye damu(High Cholesterol)
=Shinikizo la juu la damu(High Blood Pressure)
=Kisukari
=Unene na kitambi pia
=Mafuta kujaa kiunoni
=Matumizi ya ugoro ama tumbaku
=Kupiga punyeto muda mrefu
=Ulevi wa pombe k**a vile viloba, bia, nk
=Kukosa usingizi
=Kuvimba kwa tezi dume
=Matatizo yanayokuwa kwenye uti wa mgongo
Tutakupatia dawa kwaajili ya changamoto hio na heshima itarud nichek wasap kwenda 0653442044