MoyoMed Hospital

MoyoMed Hospital we care from our heart.

02/11/2024

π—§π—”π—§π—œπ—­π—’ π—Ÿπ—” π—¨π—©π—œπ— π—•π—˜ π—žπ—ͺπ—˜π—‘π—¬π—˜ π—žπ—œπ—­π—”π—­π—œ (π—™π—œπ—•π—₯π—’π—œπ——π—¦)
Hii ni hali ya uvimbe katika mfuko wa uzazi na hali hii ni ngumu sana kujitokeza lakini ni rahisi mno k**a utashindwa kujifatiliza mwana mama,

Uvimbe una sababi nyingi sana hadi kuweza kukua na ifahamike uvimbe huwa kila mwanamke anazaliwa nao ila uvimbe huo unakua mdogo sana na dhamira yake ni kushikilia yai lisicheze sana kipindi litakapo hifadhiwa katika mfuko wa uzazi,

𝗦𝗔𝗕𝗔𝗕𝗨 𝗭𝗔 π—¨π—©π—œπ— π—•π—˜ (π—™π—œπ—•π—₯π—’π—œπ——π—¦) πŸ‘‡
✍️ Kuvurugika kwa homoni
✍️ Kufanya kazi ngumu kupita kiasi
✍️ Matumizi ya uzazi wa mpango
✍️ Uzito kupita kiasi
✍️ Matumizi ya dawa pasi na ushauri au kwa muda mrefu
✍️ Msongo wa mawazo

π——π—”π—Ÿπ—œπ—Ÿπ—œ 𝗭𝗔 π—¨π—©π—œπ— π—•π—˜ (π—™π—œπ—•π—₯π—’π—œπ——π—¦)
Maumivu ya tumbo chini ya kitovu
Kuhisi kitu kinacheza tumboni
Tumbo kua kubwa
Kukosa hedhi
Kupata hedhi na maumivu makali Kupata hedhi mabonge bonge
Tumbo kua zito

DALILI ZA MWANAUME MWENYE UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUMEIko iviπŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡1⃣ Kutokuwa na uwezo wa kusimamisha Uume wake barabara k**...
10/10/2024

DALILI ZA MWANAUME MWENYE UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
Iko iviπŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

1⃣ Kutokuwa na uwezo wa kusimamisha Uume wake barabara k**a msumari wakati wa tendo la ndoa.
2⃣ Na hata uume wake ukisimama hubaki kuwa goigoi/legelege na huweza kusinyaa wakati wowote.
3⃣ Kumaliza mapema/kufika kileleni mapema kabla ya mke wake.
4⃣ Kutokuwa na uwezo wa kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara moja. Hapa mwanaume akishakamilisha mshindo mmoja wa tendo la ndoa basi anakuwa hana tena uwezo wa kurudia mshindo mwingine. Hali hii husababishwa na kutokuwa na msukumo wa damu wa kutosha kwenye mishipa ya kwenye uume.
5⃣Uume kusinyaa na kurudi ndani. Hapa uume wa mwanaume unakuwa umesinyaa na kurudi ndani. Uume huu unakuwa hauna uwezo wa kukamilisha tendo la ndoa. Hali hii kwa kiasi kikubwa husababishwa na upigaji wa punyeto kwa muda mrefu pamoja na magonjwa hasa hasa chango la kiume au ngiri.
6⃣Mwanaume kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa hata anapokuwa faragha na mke wake.
7⃣Mwanaume Kutokuwa na uwezo wa kusimamisha kabisa uume wake. Hali hii inajitokeza pindi tatizo la kutokuwepo kwa msukumo wa damu wa kutosha kwenye mishipa ya uume, linapokuwa limekomaa.

FAHAMU KUWA:πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Uume husimama (Hudinda) barabara pale mishipa yake ya damu inapopata msukumo wa kutosha wa damu. Na hili linawezekana pale ambapo mfumo wa mzunguko wa damu (The Blood circulation system) wa mwanaume unapokuwa katika hali nzuri ya kiafya. Mfumo huo unahusisha Moyo na mishipa ya damu.

Vyanzo ni k**aπŸ‘‡
=Magonjwa ya moyo
=Damu kuganda kwenye mishipa ya damu
=Mkusanyiko wa mafuta kwenye damu(High Cholesterol)
=Shinikizo la juu la damu(High Blood Pressure)
=Kisukari
=Unene na kitambi pia
=Mafuta kujaa kiunoni
=Matumizi ya ugoro ama tumbaku
=Kupiga punyeto muda mrefu
=Ulevi wa pombe k**a vile viloba, bia, nk
=Kukosa usingizi
=Kuvimba kwa tezi dume
=Matatizo yanayokuwa kwenye uti wa mgongo

Tutakupatia dawa kwaajili ya changamoto hio na heshima itarud nichek wasap kwenda 0653442044

Address

Dar Es Salaam
11101

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when MoyoMed Hospital posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram