Daud health service

Daud health service Tunazalisha bidhaa za asili za afya kutoka USA na kusambaza maeneo mbalimbali

𝗙𝗔𝗛𝗔𝗠𝗨 𝗝𝗨𝗨 𝗬𝗔 π—§π—”π—§π—œπ—­π—’ π—Ÿπ—” π—‘π—šπ—œπ—₯π—œ (π—›π—˜π—₯π—‘π—œπ—”) πŸ‘‡Tatizo hili la ngiri hutokea pale ogani au viungo vya tumboni K**a vile utumbo v...
10/10/2024

𝗙𝗔𝗛𝗔𝗠𝗨 𝗝𝗨𝗨 𝗬𝗔 π—§π—”π—§π—œπ—­π—’ π—Ÿπ—” π—‘π—šπ—œπ—₯π—œ (π—›π—˜π—₯π—‘π—œπ—”) πŸ‘‡
Tatizo hili la ngiri hutokea pale ogani au viungo vya tumboni K**a vile utumbo vinapoweza kuingia misuli au tishu zilizowazi katika kuta za tumbo au korodani.

𝗦𝗔𝗕𝗔𝗕𝗨 π—­π—œπ—‘π—”π—­π—’π—ͺπ—˜π—­π—” π—žπ—¨π—¦π—”π—•π—”π—•π—œπ—¦π—›π—” π—§π—”π—§π—œπ—­π—’ π—Ÿπ—” π—‘π—šπ—œπ—₯π—œ (π—›π—˜π—₯π—‘π—œπ—”) πŸ‘‡
Zipo sababu mbalimbali zinazoweza kupelekea mtu kupata tatizo la ngiri k**a zifuatazo.
πŸ‘‰ Umri.
πŸ‘‰ Uzito mkubwa.
πŸ‘‰ Kunyanyua vitu vizito.
πŸ‘‰ Kikohozi cha muda mrefu.
πŸ‘‰ Kukosa choo au kupata choo kigumu (Constipation)
πŸ‘‰ Kurithi yaani hutoka kizazi hadi kizazi ndani ya ukoo.

π——π—”π—Ÿπ—œπ—Ÿπ—œ 𝗭𝗔 π—§π—”π—§π—œπ—­π—’ π—Ÿπ—” π—‘π—šπ—œπ—₯π—œ (π—›π—˜π—₯π—‘π—œπ—”)πŸ‘‡
♦️Tumbo kujaa gesi.
♦️Tumbo kuungurumba mara kwa mara.
♦️Kupata choo kigumu, au kutokupata choo
♦️Maumivu ya mgongo na kiuno.
♦️Maumbile ya kiume kuwa madogo
♦️Kuvimba kwa korodani moja.
♦️Kupotea kwa korodani.
♦️Ngiri maji (korodani kujaa maji Kupata Tatizo la Busha
♦️Maumivu ya korodani zote mbili au moja wapo

Pata suluhisho la matatizo ya MIFUPA na JOINTS ( maungio).Pia maumivu ya mgongo.
08/10/2024

Pata suluhisho la matatizo ya MIFUPA na JOINTS ( maungio).
Pia maumivu ya mgongo.

DALILI ZA FANGASI UKENI1️⃣Kutokwa na uchafu mzito sehemu za siri, yawezekana ukawa ni mweupe, njano, au maziwa 2️⃣Kuwash...
07/10/2024

DALILI ZA FANGASI UKENI

1️⃣Kutokwa na uchafu mzito sehemu za siri, yawezekana ukawa ni mweupe, njano, au maziwa
2️⃣Kuwashwa sehemu za siri
3️⃣Uke kutoa harufu mbaya
4️⃣Maumivu ya tumbo chini ya kitovu
5️⃣Uke kuwa wa ulaini sana
6️⃣Maumivu wakati wa tendo la ndoa
7️⃣Kuvurugika Kwa hedhi
8️⃣Kutokwa majimaji ukeni kupita kiasi
9️⃣Maumivu wakati wa kukojoa na wakati wa choo kubwa
πŸ”ŸHoma, uchovu,kizunguzungu na kukosa hamu ya kula

K**a una dalili kati ya hizo chukuwa hatua sasa

*Madhara ya PID KWA MWANAMKE.*

*PID INAWEZA KUPELEKEA MADHARA KAMAπŸ‘‡πŸ‘‡*
1. Ugumba, utasa,
2. Maumivu ya kudumu ya tumbo la chini na nyonga pamoja
3. Kuvurugika kwa mzunguko wa hedhi.
4. Kansa ya shingo ya kizazi
5. Kuwa na uke mkavu bila hisia za tendo la ndoa.
6. Kuziba Kwa mirija ya UZAZI
7. Kuvurugika Kwa Mimba kila baada ya kutungwa.

ILI KUPATA SULUHISHO PIGA SIMU AU TUMA UJUMBE KUPITIA NAMBA HII 0683702233

Karibu upate tiba ya vidonda vya tumbo Kwa kutumia Virutubisho lishe.Piga/ watsap: 0683702233
03/10/2024

Karibu upate tiba ya vidonda vya tumbo Kwa kutumia Virutubisho lishe.
Piga/ watsap: 0683702233

Karibu upate huduma Bora Kwa Afya yako Kwa kutumia Virutubisho lishe.Tupigie/ Whatsapp: 0683702233
01/10/2024

Karibu upate huduma Bora Kwa Afya yako Kwa kutumia Virutubisho lishe.
Tupigie/ Whatsapp: 0683702233

01/10/2024

Address

Mwenge
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Daud health service posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram