SEBA Herbal clinic

SEBA Herbal clinic Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from SEBA Herbal clinic, Medical and health, BUNJU, Dar es Salaam.

Tunasaidia wanawake wenye changamoto ya UZAZI kuwawezesha waweze kubeba ujauzito ndani ya siku 90 tu kwa kutumia FORMULA maalumu ya STEVIA PIGA/WHATSAPP 0763199190

FORMULA YA ASUBUHI YA KUONGEZA TESTOSTERONE NA NGUVU ZA MISHIPA YA UUME (Kitaalamu)....Viambato Muhimu...(Ingredients) v...
13/04/2026

FORMULA YA ASUBUHI YA KUONGEZA TESTOSTERONE NA NGUVU ZA MISHIPA YA UUME (Kitaalamu)....

Viambato Muhimu...(Ingredients) vinapatikana sokoni....

↳ Kitunguu saumu vipande 4–5

↳ Tangawizi kipande kidogo (inch 1)

↳ Kitunguu chekundu nusu

↳ Asali kijiko 1

↳ Malimao mawili...

Namna ya Kutengeneza, Na Matumizi ya Mchanganyiko wako....👇

1. Menya na katakata tangawizi, kitunguu na vitunguu saumu vipande vidogo....

2. Weka kwenye chupa ndogo safi ya glasi...

3. Kamulia maji ya limao juu yake.

4. Ongeza kijiko kimoja cha asali mbichi.

5. Funga vizuri na acha mchanganyiko ukae dakika 30.

6. Kunywa asubuhi kabla ya kifungua kinywa (kijiko 1–2 tu).

Faida za Kitaalamu, Ukizingatia Combo hii....

↳ Testosterone Boost, Vitunguu na tangawizi huchochea uzalishaji wa testosterone asilia...

↳ Afya ya mishipa, Husaidia kuimarisha mzunguko wa damu kwenye uume, kuondoa uchovu na kuimarisha nguvu.

↳ Detox ya asubuhi, Husaidia kusafisha mfumo wa mmeng'enyo na kuamsha mwili.

NB: Tumia mchanganyiko huu kwa siku 7–14 tu

*Jinsi ya kuongeza Nguvu Za kiume na uwingi wa mbegu kwa mwanaume*1: *Tengeneza juisi yenye mchanganyiko huu  twende, ma...
13/04/2026

*Jinsi ya kuongeza Nguvu Za kiume na uwingi wa mbegu kwa mwanaume*

1: *Tengeneza juisi yenye mchanganyiko huu twende, maziwa, mihogo mibichi, karanga mbichi na kipande cha n**i*

2: *Tengeneza juisi ya vitunguu swaumu, Tangawizi changanya na asali*

K**a wewe ni mwanaume jaribu kutumia hizo juisi utanishukuru baadae 🥂🥂🥂

*Watengenezeeni waume zenu hii*🙏🙏🙏

*SEBA herbal clinic*

*JE, HUWA UNAUMWA CHOCHOTE KABLA HUJAINGIA SIKU ZAKO (HEDHI)?.*K**a jibu ni *NDIYO* basi kuna kitu hakiko sawa hata k**a...
12/04/2026

*JE, HUWA UNAUMWA CHOCHOTE KABLA HUJAINGIA SIKU ZAKO (HEDHI)?.*

K**a jibu ni *NDIYO* basi kuna kitu hakiko sawa hata k**a siyo kikubwa lakini kipo na wengi huwasumbua hivo kutokuamini k**a inawezekana kuingia period bila taarifa.

*JIFUNZE KITU HAPA*👇

Period siyo ugonjwa kila mwanamke lazima aingie period awe amejiandaa au hajajiandaa.

Kwa kuwa siyo ugonjwa hautakiwi kupata dalili yoyote, kuumwa popote kuwa umekaribia au upo period. Kitu pekee cha kujua ni mzunguko wako tu kuwa tarehe fulani nitaingia hedhi lakini siyo viashiria vingine kwenye mwili.

Siyo kiuno, siyo tumbo, siyo kichwa, siyo chunusi, siyo maziwa kujaa au kuuma.

Haitakiwi.❌

Ni ugonjwa pekee ndiyo una dalili lakini period siyo ugonjwa.

Ukiona umepata dalili kuwa umekaribia period na ukaingia ujue kuna kitu hakipo sawa hata k**a siyo kikubwa lakini kipo.

Watu hawaamini k**a unaweza kuingia period bila kuumwa chochote lakini baada ya kutumia juisi wameamini.

*Mfano:*👇

Ukiumwa tumbo, kiuno, nyonga, ukikaribia au ukiwa period *hilo ni chango la Uzazi.* juisi ya bamia na chai ya mchaichai inakuhusu.

Ukiona maziwa yamejaa, yanatoa maji maji, yanauma au yanatoa maziwa kabisa ukikaribia au ukiwa period hiyo ni mvurugiko wa homoni. Tena ni prolactin homoni ipo juu ndiyo maana inafanya maziwa yaume, wengine kujaa, wengine kutoa maji maji na baadhi kutoa maziwa maziwa kabisa ilihali siyo WAJAWAZITO wala hawanyonyeshi hasa wanapokaribia au wawapo period.

Kwa ufupi *period siyo ugonjwa hivyo hutakiwi kupata dalili yoyote au maumivu yoyote kuwa umekaribia kuingia period au upo period.*🙏

NINI KIFANYIKE?.

1. Tibu chango la uzazi kwa kutumia juisi ya bamia na chai ya mchaichai. Vile vile juisi ya bamia husaidia homoni kuwa sawa ikiwemo kutokupata chunusi kabla au kipindi cha period.

2. K**a umeingia period maumivu ni makali tumia hii k**a huduma ya kwanza; (Tengeneza chai ya mchaichai mwingi, maji kikombe kimoja, ukichemka chuja weka kwenye kikombe kisha kamulia limao moja zima. Weka asali vijiko viwili unywe 1x3 kwa siku 3 mfululizo).

Kwa mwenye vidonda vya tumbo asiweke limao bali atumie mchaichai pekee na asali.

3. K**a maumivu ya hedhi yako yanasababishwa na uvimbe kwenye kizazi au kwenye mayai hakikisha unajitibu huo uvimbe kwani ndiyo chanzo cha tatizo.

4. UTI, FANGASI na P.I.D ni vyanzo vikubwa vya maumivu ya tumbo, nyonga na hata kiuno kipindi cha hedhi hivo jitibu chanzo.

Je, umejifunza kipi leo kwenye makala hii?.

* Herbal clinic.*

*MIWASHO UKENI AU KUTOKA UCHAFU UKENI*Ugonjwa Wa Fangasi Ukeni au Sehemu Za Siri kwa kitaalam hujulikana k**a(Vaginal Th...
11/04/2026

*MIWASHO UKENI AU KUTOKA UCHAFU UKENI*

Ugonjwa Wa Fangasi Ukeni au Sehemu Za Siri kwa kitaalam hujulikana k**a
(Vaginal Thrush)

*Summary: Fahamu kwanza Sehemu za Siri za mwanamke zilivyo pamoja na asili yake*

Ndani ya Sehemu za Siri za mwanamke(UKE) Kuna bacteria wanaojulikana k**a “Lactobacillus Bacteria” Na Fangasi ambao hawaleti madhara yoyote ambao wapo Katika Kiwango Kinacho Lingana au Balanced Mix.

Bacteria Hawa Na Fangasi Hizi Husaidia Sana Kuulinda Uke Na Maradhi Mbalimbali Endapo Uwiano Wake hautavurugika.

Sasa basi hawa Lactobacillus Bakteria Hutoa Acid Ambazo Huzuia Fangasi Kukuwa Au Kuwa Wengi Zaidi.

Ugonjwa Wa Fangasi Za Ukeni Ni Ugonjwa Anaoupata Mwanamke Endapo Fangasi Watakuwa Wengi Zaidi Ya Bacteria Wazuri Waliopo Ukeni Au K**a Ph Ya Ukeni Imezidi Kiwango Cha Kawaida Kinachopaswa(Ph 3.5-4.5 Ndio Kiwango Kizuri Kiafya).

fangasi Za Ukeni Mara Nyingi Husababishwa Na Fangasi Waitwao Candida Albicans, Lakini Wakati Mwingine Ni Aina Nyingine Za Fangasi Na Hizi Ni Vigumu Sana Kutibika

HIZI NI BAADHI YA SABABU ZA KUPATA FANGASI UKENI

1.Mvurugiko wa vichocheo vya mwili au tatizo la Hormone Imbalance(Homoni Za mwili kuwa nyingi Sana Au Kushuka Sana.Hii Inaweza Kusababishwa Na; Ukomo Wa Hedhi,ujauzito,kuwa Katika Siku Za Mwezi au period, Matumizi Ya Dawa Za Kuongeza Kiwango Cha Hormon Za K**e n.k

2. Matumizi Ya dawa aina ya Antibiotics ambazo huuwa Bacteria Wazuri Na Kubadiri PH ya sehemu za Siri za mwanamke(UKE)

3.kufanya Mapenzi Na Mtu Aliye Na Ugonjwa Wa Fangasi Za Sehemu Za Siri Bila Kinga

4.kushuka Kwa Kinga Ya Mwili ambayo husababishwa Na Magonjwa Mbalimbali K**a Ukimwi, Kisukari, Upungufu Wa Madini,vitamini Na Virutubishi Mbalimbali Vya Mwili.

5. Kutokula mlo kamili au Balance diet kumbuka; ulaji Mbaya Hasa Kupendelea Vyakula Vyenye Sukari Kwa Wingi (Sukari Ni Chakula Kwa Fangas Hivyo Huongezeka)

6.kukosa Usingizi Na Msongo Wa Mawazo .

DALILI ZA UGONJWA FANGASI UKENI

Kwa mwanamke ambaye na Fangasi wa Ukeni huweza kupatwa na Dalili hizi zifuatazo;

*(1)KUTOKWA NA UCHAFU UKENI*
Kutokwa na Uchafu wenye Rangi Tofauti Mfano Maziwa,ambapo mara nyingi Hutokea katika Rangi hii.

(2)KUWASHWA SANA SEHEMU ZA SIRI
Pia asilimia kubwa ya Wagonjwa wa Fangasi Ukeni hupata sana miwasho sehemu za Siri

(3)KUOTA VIUPELE UKENI
Kuota viupele vidogo vidogo ukeni,Hii pia ni dalili ambayo hutokea kwa Wagonjwa wa Fangasi ukeni.

(4) KUPATWA NA VIDONDA AU MICHUBUKO SEHEMU ZA SIRI(UKENI)
Hii pia yaweza kuwa Mojawapo ya Dalili z Fangasi ukeni

(5) KUPATA MAUMIVU MAKALI WAKATI WA TENDO LA NDOA
Magonjwa mengi huweza kuleta tatizo hili k**a Vile PID-maambukizi katika via vya Uzazi vya mwanamke,Uti,kuziba Mirija Ya uzazi,Uvimbe wa Kizazi na hata Fangasi pia kuweza kusababisha hali hii

(6) HALI YA NJE YA UKE KUVIMBA NA KUWA NYEKUNDU HASA KATIKA MDOMO NA MASHAVU YA NJE YA UKE
Dalili hii pia huweza kutokea kwa mtu mwenye Fangasi Ukeni ambapo huambatana na Hali ya kuwaka moto sehemu ya Ndani na Nje ya Uke

MADHARA YA FANGASI UKENI

Fangasi ukeni huweza kusabibisha Madhara yafuatayo;

*Mwanamke kushindwa kubeba mimba hasa kwa fangasi Sugu

*Uke Mkavu na maumivu makali wakati wa Tendo la Ndoa

*Harufu mbaya ukeni

*Uchafu mwingi na wenye harufu mbaya kutoka ukeni

*Michubuko na kuwaka moto ukeni

TIBA YA FANGASI UKENI
➡️ Juisi ya bamia na juisi ya vitunguu swaumu Hutibu kabisa changamoto hii

Herbal Clinic

Ujumbe Muhimu Sana Kwa Wanawake Wote Wanaotaka Kubeba ujauzito Kwa Haraka na kiurahisi👇👇👇HATIMAYE! Siri ya kubeba ujauzi...
11/04/2026

Ujumbe Muhimu Sana Kwa Wanawake Wote Wanaotaka Kubeba ujauzito Kwa Haraka na kiurahisi👇👇👇

HATIMAYE! Siri ya kubeba ujauzito kiurahisi Imevujisha Tiba Asilia Ya Kunasa “MIMBA” Ndani Ya Siku 90 Tu...👇👇👇
..Tiba Iliyofichwa Kwa Zaidi ya Miaka 1,300 Kwa Wanawake Wenye Umri wa Miaka 35 - 46+….👇👇👇

(Hata K**a mwanamke ameshajaribu Kila Njia na Amefeli au Mimba Zinaharibika)

Tiba asilia iliyowasaidia zaidi ya wanawake 5000+

Njia ambayo INA GUARANTEE Ndani ya siku 90 utakuwa Tayari mjamzito

Njia ambayo ni rahisi sana kuitumia.

NB: Tangazo hili halitokuwepo online muda wote.

Chukua hatua mara moja kabla Tangazo hili haijaondolewa

Bofya hapo chini kufahamu zaidi sahizi👇👇👇

https://sebaherbalclinic.lpages.co/s

*FAIDA ZA KUTUMIA CHAI YA KARAFUU*1:Huzibua mirija2:Huyeyusha uvimbe3:Hutibu u.t.i sugu fangasi na miwasho4:Husafisha ki...
18/03/2026

*FAIDA ZA KUTUMIA CHAI YA KARAFUU*

1:Huzibua mirija

2:Huyeyusha uvimbe

3:Hutibu u.t.i sugu fangasi na miwasho

4:Husafisha kizazi.
Jinsi ya kuandaa 👇👇👇
*Tengeneza Chai ya tangawizi, mdalasini, mchaichai na karafuu weka asali kunywa kila siku asubuhi na jioni kwa siku 30 mfululizo*
SEBA Herbal clinic

*UZAZI KWA MWANAMKE UTEGEMEA VIUNGO VIKUU VITANO**Ili mwanamke aweze kubeba ujauzito kiurahisi ni lazima hivi viungo vik...
13/03/2026

*UZAZI KWA MWANAMKE UTEGEMEA VIUNGO VIKUU VITANO*

*Ili mwanamke aweze kubeba ujauzito kiurahisi ni lazima hivi viungo vikuu Vitano vya Uzazi viwe vinafanya kazi Vizuri ikiwa kuna kiungo kimoja au viwili havifanyi kazi basi uwezekano wa kubeba ujauzito unapungua na hata ukibeba ujauzito unaweza Kuharibika*😞😞😞

*1: UKE ki kawaida mwanamke harusiwi kupata miwasho wala kutoka uchafu mweupe au wa njano ukeni ikiwa unapata au kutoka uchafu mweupe au wa njano basi uwezekano wa kubeba ujauzito unapungua*

*2: SHINGO YA KIZAZI k**a ukishiriki tendo la ndoa Damu inatoka au unapata maumivu makali basi shingo ya kizazi ina shida*

*3: TUMBO LA UZAZI K**a kila ukiingia period unapata maumivu yoyote ya Tumbo, mgongo, kiuno, nyonga basi kuna shida kikawaida period siyo ugonjwa so huruhusiwi kupata maumivu yoyote wala dalili zozote wakati wa period*

*4:MIRIJA YA FOLLOPIO ili ujue mirija yako imeziba au laah ni lazima ufanye Vipimo na kipimo*
*Hiki huitwa kwa kitaalamu Hysterosalpingography* *(HSG)*

*5: O***Y Kazi kubwa ya o***y ni kuzalisha mayai k**a unapata period kila mwezi na period inaenda siku Tano Basi o***y zako zinafanya kazi vizuri*

*Ikiwa viungo hivi vyote kwa pamoja vinafanya kazi Vizuri Basi utabeba ujauzito kiurahisi ikiwa kuna shida kwenye viungo hivi basi uwezekano wa kubeba ujauzito unapungua*

*Je kwa upande wako unahisi ninini kinakuchelewesha kubeba ujauzito*???

SEBA Herbal clinic

*MOLAR PREGNANCY* (Mimba Zabibu/ Mimba hewa: hii ni aina ya mimba ambayo hutokea endapo mbegu ya kiume imerutubisha yai ...
26/02/2026

*MOLAR PREGNANCY* (Mimba Zabibu/ Mimba hewa: hii ni aina ya mimba ambayo hutokea endapo mbegu ya kiume imerutubisha yai la k**e ambalo halina kiini au hata k**a yai hilo lina kiini basi kiini ambacho hakija kamilika vizuri.
Lakini pia huweza kutokea endapo mbegu mbili za kiume kuweza kurutubisha yai moja la k**e kwa wakati mmoja. Matokeo yake kuna kuwa na mgawanyiko usio sahihi wa kondo la nyuma na kijusi pia.

Mimba zabibu ni kati ya aina ya magonjwa ya mimba yanayoweza kujitokeza wakati seli za uzazi (mbegu ya mwanaume na mwanamke) kuungana na kutengeneza mimba isiyokuwa kamilifu.Tatizo hili hujitokeza kwa nadra sana lakini linaweza kuleta changamoto kubwa sana kwa muhusika.

Yai kutokuwa na kiini hutokea hasa pale homoni za kuzalisha mayai zinaposhindwa kupevusha mayai kwa kiwango kinachotakiwa na kuruhusu yai hilo hilo ambalo halijapevuka kukutana na mbegu za kiume kurutubishwa iwe mimba.

*MATIBABU YAKE.*

Ugonjwa huu unaweza kutibika na moja kati ya tiba inayotolewa ni kusafishwa mji wa mimba. Tiba zake zinakuwa na mafanikio makubwa k**a tatizo hili litajulikana mapema. Pale tatizo linapo chelewa kujulikana, linaweza likaleta madhara makubwa kwa afya ya mama.
Tiba hii itaambatana na kufanyiwa Ultrasound na vipimo vya homoni za mimba kabla na baada ya kusafishwa.

Katika kipindi cha matibabu utashauriwa usibebe mimba kwa mda usio pungua miezi 6 mpaka mwaka mmoja ili kuhakikisha hali ya kizazi ipo salama, homoni ziko salama na utulivu wa fikra wa mama.

*NYONGEZA.*👇

1. Unapojihisi umebeba mimba, fika hospitali mapema kwa ajili ya vipimo.

2. Kumbuka kwamba, sio kila mwenye tatizo hili anakuwa na dalili na sio kila dalili inaashiria tatizo, hivyo njia sahihi ni kufanya vipimo.

2. Ugonjwa huu hauna kinga na k**a ulishawahi upata upo na nafasi nyingine ya kuupata tena.

3. Tumia juisi zetu ili kusafisha kizazi, kuondoa changamoto za Uzazi na kuweka homoni sawa ili ubebe ujauzito kiurahisi na mimba iliyo salama.

4. Anza Kliniki mara baada ya kujua kuwa wewe ni Mjamzito kwani ugonjwa huu usipofanyiwa tiba sahihi unaweza ukabadilika na kuwa saratani (cancer) inayo julikana k**a choriocarcinoma.

Je, uliwahi kupata changamoto ya mimba zabibu (Molar Pregnancy)?

SEBA Herbal clinic

*Njia rahisi ya kupata unachokitaka ni kutokukata Tamaa na kujaribu Tena kwa mara ya mwisho**Salma ametafta mtoto kwa md...
16/02/2026

*Njia rahisi ya kupata unachokitaka ni kutokukata Tamaa na kujaribu Tena kwa mara ya mwisho*

*Salma ametafta mtoto kwa mda mrefu bila mafanikio ila hakukata Tamaa Alieendelea kutumia juisi zetu na vidonge vyetu na Hatimae amepata mtoto wa k**e*

*K**a bado unapata period basi siku yako yaja*

*Amka unywe juisi amka umeze vidonge vyetu Mwakani utanyonyesha*

SEBA Herbal clinic

Anza siku yako kwa kujihesabia baraka na mazuri machache uliyonayo kuliko kuwaza changamoto nyingi ulizonazo.Unachokiwaz...
10/02/2026

Anza siku yako kwa kujihesabia baraka na mazuri machache uliyonayo kuliko kuwaza changamoto nyingi ulizonazo.

Unachokiwaza huongezeka zaidi. Ukiwaza changamoto basi utavutia kuwa na changamoto nyingi zaidi lakini ukiwaza mafanikio utavutia mafanikio zaidi.🤰🤱

Tangu umeanza kutumia juisi mpaka leo ni kipi unajivunia zaidi?.

SEBA Herbal clinic

*Kila ukikaribia kukata Tamaa Jaribu kwa mara ya mwisho**Yawezekana hiyo mara ya mwisho ndo mda wako wa kupata mapacha**...
06/02/2026

*Kila ukikaribia kukata Tamaa Jaribu kwa mara ya mwisho*

*Yawezekana hiyo mara ya mwisho ndo mda wako wa kupata mapacha*

*Usikubari kukata Tamaa mpaka uwe umepata hitaji la moyo wako*

*Amka unywe juisi na vidonge mda ushafika*😂😂
SEBA Herbal clinic

Address

BUNJU
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when SEBA Herbal clinic posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to SEBA Herbal clinic:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram