14/01/2026
*MWANAMKE UNAYETAFUTA MTOTO SOMA HII KWA MAKINI*👇👇👇
👉Mwanamke kuingia hedhi kila mwezi haina Maana kwamba ovari zako kila mwezi zinapevusha mayai,
👉Unaweza kuingia hedhi na mzunguko wako huo huo siku za hatari Hakuna yai ambalo lilipevuka(kitaalamu Hali hio huitwa ( Anovulation).
👉Hali hii husababishwa na homoni za upevushwaji mayai kutokuwa katika kiwango toshelevu,
👉Ukipimwa homoni zako za kupevusha Mayai na kutoa Mayai kwenye ovari( Follicle stimulating hormone, na Luteinizing homoni kuelekea katikati ya mzunguko wako zinatakiwa ziwe zimepanda kuashiria yai limekomaa na litatoka kwenye mzunguko huo.
👉Wanawake Wengi wanapata hedhi vizuri namzunguko unakuwa sawa, lakini wanajikuta mimba hazipatikani, na Mara nyingi wakipima wanaambiwa hakuna tatizo, Wengi wanakumbwa na tatizo la mvurugiko wahomoni.
🥰 *HIZI NI DALILI ZINAZOASHIRIA MWANAMKE UNATATIZO KATIKA MFUMO WAKO WA UZAZI.*
1️⃣ Mzunguko wa hedhi usio na kalenda moja ya kuingia hedhi.
2️⃣ Kukosa hamu ya tendo landoa na Maumivu makali wakati watendo la ndoa hii husababishwa na uke kuwa mkavu Sana.
3️⃣ Mzunguko wa hedhi unaoambatana na Dalili mbaya K**a kichefu Chefu, chunusi nyingi, hasira,Maumivu makali, kuharisha.
4️⃣ kupata hedhi nzito na inayo dumu zaidi yasiku 7.
5️⃣ Kutoingia hedhi miezi zaidi ya 3 Huku ukiwa huna mimba na hunyonyeshi na hakuna kitu chochote kinachoelezea kutoingia hedhi.
6️⃣ Mayai kutokukomaa na homoni za kukomaza na kupevusha mayai kuwa chini yaani ( FSH, NA LH.
7️⃣ Kutobeba mimba au Mimba kutoka kila unapobeba mimba.
8️⃣ Uvimbe maji kwenye ovari (Cyst) na uvimbe kwenye kizazi (fibroids)
9️⃣ kutoona mabadiliko yanayoashiria yai Kupevuka katikati ya mzunguko wako (siku zahatari), kupata Dalili k**a, Ute msafi wakuvutika, hamu ya tendo kuongezeka, na pia joto la mwili kuongezeka, Sasa wanawake wengi hawana Dalili za ishara ya yai Kupevuka.
🔟 Mzunguko Mfupi, kuingia hedhi zaidi ya Mara moja katika mzunguko mzuri.
*Je hali yako ya Hedhi ikoje*????
SEBA Herbal clinic