SEBA Herbal clinic

SEBA Herbal clinic Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from SEBA Herbal clinic, Medical and health, BUNJU, Dar es Salaam.

Tunasaidia wanawake wenye changamoto ya UZAZI kuwawezesha waweze kubeba ujauzito ndani ya siku 90 tu kwa kutumia FORMULA maalumu ya STEVIA PIGA/WHATSAPP 0763199190

*MOLAR PREGNANCY* (Mimba Zabibu/ Mimba hewa: hii ni aina ya mimba ambayo hutokea endapo mbegu ya kiume imerutubisha yai ...
26/02/2026

*MOLAR PREGNANCY* (Mimba Zabibu/ Mimba hewa: hii ni aina ya mimba ambayo hutokea endapo mbegu ya kiume imerutubisha yai la k**e ambalo halina kiini au hata k**a yai hilo lina kiini basi kiini ambacho hakija kamilika vizuri.
Lakini pia huweza kutokea endapo mbegu mbili za kiume kuweza kurutubisha yai moja la k**e kwa wakati mmoja. Matokeo yake kuna kuwa na mgawanyiko usio sahihi wa kondo la nyuma na kijusi pia.

Mimba zabibu ni kati ya aina ya magonjwa ya mimba yanayoweza kujitokeza wakati seli za uzazi (mbegu ya mwanaume na mwanamke) kuungana na kutengeneza mimba isiyokuwa kamilifu.Tatizo hili hujitokeza kwa nadra sana lakini linaweza kuleta changamoto kubwa sana kwa muhusika.

Yai kutokuwa na kiini hutokea hasa pale homoni za kuzalisha mayai zinaposhindwa kupevusha mayai kwa kiwango kinachotakiwa na kuruhusu yai hilo hilo ambalo halijapevuka kukutana na mbegu za kiume kurutubishwa iwe mimba.

*MATIBABU YAKE.*

Ugonjwa huu unaweza kutibika na moja kati ya tiba inayotolewa ni kusafishwa mji wa mimba. Tiba zake zinakuwa na mafanikio makubwa k**a tatizo hili litajulikana mapema. Pale tatizo linapo chelewa kujulikana, linaweza likaleta madhara makubwa kwa afya ya mama.
Tiba hii itaambatana na kufanyiwa Ultrasound na vipimo vya homoni za mimba kabla na baada ya kusafishwa.

Katika kipindi cha matibabu utashauriwa usibebe mimba kwa mda usio pungua miezi 6 mpaka mwaka mmoja ili kuhakikisha hali ya kizazi ipo salama, homoni ziko salama na utulivu wa fikra wa mama.

*NYONGEZA.*πŸ‘‡

1. Unapojihisi umebeba mimba, fika hospitali mapema kwa ajili ya vipimo.

2. Kumbuka kwamba, sio kila mwenye tatizo hili anakuwa na dalili na sio kila dalili inaashiria tatizo, hivyo njia sahihi ni kufanya vipimo.

2. Ugonjwa huu hauna kinga na k**a ulishawahi upata upo na nafasi nyingine ya kuupata tena.

3. Tumia juisi zetu ili kusafisha kizazi, kuondoa changamoto za Uzazi na kuweka homoni sawa ili ubebe ujauzito kiurahisi na mimba iliyo salama.

4. Anza Kliniki mara baada ya kujua kuwa wewe ni Mjamzito kwani ugonjwa huu usipofanyiwa tiba sahihi unaweza ukabadilika na kuwa saratani (cancer) inayo julikana k**a choriocarcinoma.

Je, uliwahi kupata changamoto ya mimba zabibu (Molar Pregnancy)?

SEBA Herbal clinic

*Njia rahisi ya kupata unachokitaka ni kutokukata Tamaa na kujaribu Tena kwa mara ya mwisho**Salma ametafta mtoto kwa md...
16/02/2026

*Njia rahisi ya kupata unachokitaka ni kutokukata Tamaa na kujaribu Tena kwa mara ya mwisho*

*Salma ametafta mtoto kwa mda mrefu bila mafanikio ila hakukata Tamaa Alieendelea kutumia juisi zetu na vidonge vyetu na Hatimae amepata mtoto wa k**e*

*K**a bado unapata period basi siku yako yaja*

*Amka unywe juisi amka umeze vidonge vyetu Mwakani utanyonyesha*

SEBA Herbal clinic

Anza siku yako kwa kujihesabia baraka na mazuri machache uliyonayo kuliko kuwaza changamoto nyingi ulizonazo.Unachokiwaz...
10/02/2026

Anza siku yako kwa kujihesabia baraka na mazuri machache uliyonayo kuliko kuwaza changamoto nyingi ulizonazo.

Unachokiwaza huongezeka zaidi. Ukiwaza changamoto basi utavutia kuwa na changamoto nyingi zaidi lakini ukiwaza mafanikio utavutia mafanikio zaidi.🀰🀱

Tangu umeanza kutumia juisi mpaka leo ni kipi unajivunia zaidi?.

SEBA Herbal clinic

*Kila ukikaribia kukata Tamaa Jaribu kwa mara ya mwisho**Yawezekana hiyo mara ya mwisho ndo mda wako wa kupata mapacha**...
06/02/2026

*Kila ukikaribia kukata Tamaa Jaribu kwa mara ya mwisho*

*Yawezekana hiyo mara ya mwisho ndo mda wako wa kupata mapacha*

*Usikubari kukata Tamaa mpaka uwe umepata hitaji la moyo wako*

*Amka unywe juisi na vidonge mda ushafika*πŸ˜‚πŸ˜‚
SEBA Herbal clinic

*Kila mwezi Wa 29/11 Huwa ni Birthday OFFA**Mwaka jana nilitoa OFFA na moja ya watu waliochukua Dawa kwa Bei Bei ya pung...
29/01/2026

*Kila mwezi Wa 29/11 Huwa ni Birthday OFFA*

*Mwaka jana nilitoa OFFA na moja ya watu waliochukua Dawa kwa Bei Bei ya punguzo ni Huyu Dada anaitwa CHRISTINA*

*Yeye alitafta mtoto kwa miaka 5 Bila mafanikio alivyonitafuta alikuwa amekata Tamaa*

*Nikamshauri aanze kutumia juisi ya bamia na juisi ya vitunguu swaumu na vidonge vya STEVIA atapata mtoto*

*Yeye alichukua Dose ya siku 30 tuu na Hatimae amebeba ujauzito*

*Usikate Tamaa wakati wa MUNGU ndo wakati sahihi*

*Imagine kwa Laki moja tuu kabeba ujauzito*

*Vipi umekumbuka kunywa juisi Leo Je umekumbuka kunywa vidonge Leo au umekata Tamaa*

SEBA Herbal clinic

Licha ya kuwa kiungo muhimu cha kipekee kwenye vyakula hasa mboga; Kitunguu swaumuπŸ§„ ni mojawapo ya tiba mbadala ya nguvu...
29/01/2026

Licha ya kuwa kiungo muhimu cha kipekee kwenye vyakula hasa mboga; Kitunguu swaumuπŸ§„ ni mojawapo ya tiba mbadala ya nguvu katika kutibu maambukizi ya wadudu/bakteria kwenye njia ya mkojo (kibofu).

Ni dawa nzuri dhidi ya bakteria na virusi na hivyo kuwa nzuri zaidi katika kutibu UTI na fangasi ya kujirudia rudia.

*Faida zake mwilini.*

1. Inatibu UTI, fangasi na harufu mbaya ukeni.

2. Inatibu homoni ya maziwa kuwa juu (Prolactin Homoni). Maziwa kujaa, kuuma, kutoa maji maji na baadhi kutoa maziwa maziwa kabisa ilihali siyo WAJAWAZITO wala hawanyonyeshi hasa wanapokaribia au wawapo period.

3. Inapunguza uzito wa mwili.

4. Inatibu kansa ya titi/ziwa.

5. Inazibua mirija iliyoziba au iliyojaa uchafu.

6. Inatibu matatizo ya moyo mfano moyo kwenda mbio.

7. Kinaondoa sumu ya uzazi wa mpango.

*NAMNA RAHISI YA KUTUMIA.*πŸ‘‡

Kila siku meza na maji punje za vitunguu swaumu 3 asubuhi na 3 jioni kwa siku 30 mfululizo.

Tumia vitunguu swaumu vya asili vile vidogo vidogo ni vizuri zaidi kuliko vile vikubwa vyeupe.

SEBA Herbal clinic

*TATIZO LA PUMU (ASTHMA) NA TIBA YAKE.*Ugonjwa wa pumu ni ugonjwa ambao huathiri sehemu ya kupitisha hewa kwenda kwenye ...
27/01/2026

*TATIZO LA PUMU (ASTHMA) NA TIBA YAKE.*

Ugonjwa wa pumu ni ugonjwa ambao huathiri sehemu ya kupitisha hewa kwenda kwenye mapafu ya binadamu zinazojulikana kitaalamu k**a bronchioles.

Hali hii hupelekea kupungua kwa njia ya kupitishia hewa, hali ambayo humfanya muathirika kushindwa kuvuta na kutoa hewa nje na hivyo kupumua kwa shida sana. Hali hii inaweza kudumu kwa muda mfupi au mrefu kiasi cha kuhitaji tiba ili kumuwezesha mgonjwa kupata nafuu.

*JINSI YA KUTIBU TATIZO LA PUMU NDANI YA SIKU 60 TU NA UTAPONA KABISA BILA KUTUMIA DAWA YOYOTE.*

Chukua vitunguu swaumu punje 20 na Tangawizi kubwa moja visage vyote kwa pamoja kisha changanya na asali vijiko vitatu.

Asubuhi lamba kijiko kimoja na jioni kijiko kimoja mfululizo kwa siku 60 tu utakuwa umepona pumu.

Unaweza kusaga kwa kutumia blenda, kinu hasa kinu kidogo, kisagio cha nyanya/karoti.

*ANGALIZO:* Usiweke maji wala sukari kwenye mchanganyiko huu.❌

SEBA Herbal clinic

*Huyu Dada anaitwa Pendo saru ni Mtangazaji wa channel Ten kutoka Tabora* *Alikuwa na changamoto ya mirija kuziba na Hos...
20/01/2026

*Huyu Dada anaitwa Pendo saru ni Mtangazaji wa channel Ten kutoka Tabora*

*Alikuwa na changamoto ya mirija kuziba na Hospital aliambiwa hawezi kupata mtoto Labda apandikize*

*Alitumia zaidi ya Milioni 20 kupandikiza si mnajua Kupandikiza ilivyo Gharama eeeh*

*Lakini hakufanikiwa kubeba ujauzito so sad*😞😞😞

*Alivyokuja kwetu nikamwambia kwa 340,000 tu tunazibua mirija na unapata mtoto alishangaa Sana*

*Akaanza kutumia juisi ya bamia na juisi ya vitunguu swaumu na vidonge vya STEVIA mfululizo kwa siku 90 tuu na Hatimae amepata mtoto wa kiume huyo unaemuona pichani*

*Haijarishi umeambiwa nini Hospital labda uwe umekatwa mirija yoote miwili ndo huwezi kupona kwa juisi zetu na vidonge vyetu ila hata k**a una mrija mmoja unabeba ujauzito*

*Je una swali lolote ndugu yangu????*

SEBA Herbal clinic

*Je umetafta mtoto kwa mda mrefu bila mafanikio*????*K**a umejibu ndio Fanya hivi Anza kutumia juisi ya bamia na juisi y...
20/01/2026

*Je umetafta mtoto kwa mda mrefu bila mafanikio*????

*K**a umejibu ndio Fanya hivi Anza kutumia juisi ya bamia na juisi ya vitunguu swaumu kila siku kwa siku 90*

*Ukipata hela agiza vidonge vya STEVIA navyo vitumike mfululizo kwa siku 90*

*Kabla ya mwezi Wa nne Tayari utakuwa Mjamzito*

*Hongera Sana Madam kwa kutumia juisi zetu na vidonge vyetu na Hatimae amepata mtoto wa k**e*

SEBA Herbal clinic

KUNYWA MAJI YA LIMAO/NDIMU  KILA SIKU ASUBUHI.Inashauriwa kunywa maji mengi wakati wa asubuhi ni vizuri. Lakini kunywa m...
19/01/2026

KUNYWA MAJI YA LIMAO/NDIMU KILA SIKU ASUBUHI.

Inashauriwa kunywa maji mengi wakati wa asubuhi ni vizuri. Lakini kunywa maji ya limao/ndimu asubuhi ni vizuri zaidi.

Kila mtu anaweza kunywa maji asubuhi lakini wengi husema wakinywa maji asubuhi kabla hawajala chochote tumbo linaunguruma, kichefuchefu na hata kujisikia vibaya.πŸ€“

LAKINI ukinywa maji ya limao/limao hutajisikia vibaya tumbo, hutapata kichefuchefu na hata tumbo halitavuruga.πŸ₯°

FAIDA ZA KUNYWA MAJI YA LIMAO/NDIMU KILA SIKU ASUBUHI.

1. Hutibu UTI.
2. Hutuliza maumivu ya kichwa, nyonga au tumbo likikushika ghafla.
3. Ni kinga dhidi ya saratani (kansa).
4. Husafisha damu.
5. Husaidia kupunguza uzito.
6. Husaidia kuleta hamu ya chakula.
7. Huondoa harufu mbaya mdomoni.
8. Inaboresha kinga ya mwili.

FANYA HIVIπŸ‘‡

Chemsha maji kidogo saizi ya kikombe kimoja.

Yakipata uvuguvugu epua weka kwenye kikombe halafu kata limao/ndimu nusu kamulia kwenye hayo maji unywe kila siku asubuhi.

SEBA Herbal clinic

*UVIMBE MAJI (PCOS)*Polycystic Ovarian Syndrome (PCOS).Hivi ni vimbe vidogo vidogo kwenye mfuko wa mayai (vimbe maji) ha...
18/01/2026

*UVIMBE MAJI (PCOS)*

Polycystic Ovarian Syndrome (PCOS).

Hivi ni vimbe vidogo vidogo kwenye mfuko wa mayai (vimbe maji) havijawa uvimbe kamili vikipimwa huonekana k**a malengemalenge vinaweza kuwa vingi vingi vimekusanyana bado lakini havijawa Ovarian Cyst tayari ambavyo ni uvimbe kwenye mfuko wa mayai (Ovaries).

Mwanamke mwenye tatizo hili anapitia ugumu wa kubeba ujauzito kwa wakati au anaweza kubeba ujauzito lakini ukatoka yaani mimba ikaharibika. Maumivu haya huambatana na maumivu mengine ya chango la uzazi ndiyo maana mimba zinaharibika hata mwezi mmoja hazijafikisha.

Na hivyo vyote chanzo chake kikuu ni mvurugiko wa homoni yaani homoni imbalance na maambukizi katika kizazi k**a vile UTI, FANGASI, MIWASHO UKENI na baadae P. I. D.

Je, unamjua mwanamke mwenye tatizo hili?. πŸ§β€β™‚οΈπŸ§β€β™‚οΈπŸ§β€β™‚οΈ

SEBA Herbal clinic

*JINSI YA KUMALIZA TATIZO LA UKAVU UKENI NA KUONGEZA UTE UKENI ILI USIUMIE TENA WAKATI WA TENDO LA NDOA.*πŸ’‹πŸ’‹πŸ’‹MAHITAJI.πŸ‘‡Ta...
17/01/2026

*JINSI YA KUMALIZA TATIZO LA UKAVU UKENI NA KUONGEZA UTE UKENI ILI USIUMIE TENA WAKATI WA TENDO LA NDOA.*πŸ’‹πŸ’‹πŸ’‹

MAHITAJI.πŸ‘‡

Tango moja
Juisi fresh ya ukwaju glass moja.

Unanunua ukwaju unaloweka afu unachuja juice yake, baada ya hapo ndo unachukua matango pamoja na hii juice unaviweka kwenye Brenda unasaga kwa pamoja.

Usiweke kingine zaidi ya hivyo tu na usichuje.πŸ₯›

ANGALIZO: Usinunue ya dukani hakikisha umetengeneza mwenyewe nyumbani kwako.

Kisha saga/blend kwa pamoja na utapata juisi safi kabisa. Kunywa juisi hii asubuhi glass moja na jioni glass moja.

Tengeneza na tumia juisi hii angalau mara nne kwa wiki, utaleta majibu....πŸ₯°πŸ’‹

Unaweza pia kumuandalia mume wako juisi hii itamsaidia kumuimarisha zaidi k**a mwanaume.πŸ’ͺπŸ€œπŸ€›

Vilevile unaweza kuwafundisha pia wengine somo hili ili nao wafaidike. Kwa pamoja tusaidiane kuepuka fedheha ndogo ndogo kwenye ndoa zetu.πŸ₯³πŸ₯³

SEBA Herbal clinic

Address

BUNJU
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when SEBA Herbal clinic posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to SEBA Herbal clinic:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram