SEBA Herbal clinic

SEBA Herbal clinic Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from SEBA Herbal clinic, Medical and health, BUNJU, Dar es Salaam.

Tunasaidia wanawake wenye changamoto ya UZAZI kuwawezesha waweze kubeba ujauzito ndani ya siku 90 tu kwa kutumia FORMULA maalumu ya STEVIA PIGA/WHATSAPP 0763199190

*MWANAMKE UNAYETAFUTA MTOTO SOMA HII KWA MAKINI*👇👇👇👉Mwanamke kuingia hedhi kila mwezi haina Maana kwamba ovari zako kila...
14/01/2026

*MWANAMKE UNAYETAFUTA MTOTO SOMA HII KWA MAKINI*👇👇👇

👉Mwanamke kuingia hedhi kila mwezi haina Maana kwamba ovari zako kila mwezi zinapevusha mayai,

👉Unaweza kuingia hedhi na mzunguko wako huo huo siku za hatari Hakuna yai ambalo lilipevuka(kitaalamu Hali hio huitwa ( Anovulation).

👉Hali hii husababishwa na homoni za upevushwaji mayai kutokuwa katika kiwango toshelevu,

👉Ukipimwa homoni zako za kupevusha Mayai na kutoa Mayai kwenye ovari( Follicle stimulating hormone, na Luteinizing homoni kuelekea katikati ya mzunguko wako zinatakiwa ziwe zimepanda kuashiria yai limekomaa na litatoka kwenye mzunguko huo.

👉Wanawake Wengi wanapata hedhi vizuri namzunguko unakuwa sawa, lakini wanajikuta mimba hazipatikani, na Mara nyingi wakipima wanaambiwa hakuna tatizo, Wengi wanakumbwa na tatizo la mvurugiko wahomoni.

🥰 *HIZI NI DALILI ZINAZOASHIRIA MWANAMKE UNATATIZO KATIKA MFUMO WAKO WA UZAZI.*

1️⃣ Mzunguko wa hedhi usio na kalenda moja ya kuingia hedhi.

2️⃣ Kukosa hamu ya tendo landoa na Maumivu makali wakati watendo la ndoa hii husababishwa na uke kuwa mkavu Sana.

3️⃣ Mzunguko wa hedhi unaoambatana na Dalili mbaya K**a kichefu Chefu, chunusi nyingi, hasira,Maumivu makali, kuharisha.

4️⃣ kupata hedhi nzito na inayo dumu zaidi yasiku 7.

5️⃣ Kutoingia hedhi miezi zaidi ya 3 Huku ukiwa huna mimba na hunyonyeshi na hakuna kitu chochote kinachoelezea kutoingia hedhi.

6️⃣ Mayai kutokukomaa na homoni za kukomaza na kupevusha mayai kuwa chini yaani ( FSH, NA LH.

7️⃣ Kutobeba mimba au Mimba kutoka kila unapobeba mimba.

8️⃣ Uvimbe maji kwenye ovari (Cyst) na uvimbe kwenye kizazi (fibroids)

9️⃣ kutoona mabadiliko yanayoashiria yai Kupevuka katikati ya mzunguko wako (siku zahatari), kupata Dalili k**a, Ute msafi wakuvutika, hamu ya tendo kuongezeka, na pia joto la mwili kuongezeka, Sasa wanawake wengi hawana Dalili za ishara ya yai Kupevuka.

🔟 Mzunguko Mfupi, kuingia hedhi zaidi ya Mara moja katika mzunguko mzuri.

*Je hali yako ya Hedhi ikoje*????

SEBA Herbal clinic

*MOLAR PREGNANCY* (Mimba Zabibu/ Mimba hewa: hii ni aina ya mimba ambayo hutokea endapo mbegu ya kiume imerutubisha yai ...
12/01/2026

*MOLAR PREGNANCY* (Mimba Zabibu/ Mimba hewa: hii ni aina ya mimba ambayo hutokea endapo mbegu ya kiume imerutubisha yai la k**e ambalo halina kiini au hata k**a yai hilo lina kiini basi kiini ambacho hakija kamilika vizuri.
Lakini pia huweza kutokea endapo mbegu mbili za kiume kuweza kurutubisha yai moja la k**e kwa wakati mmoja. Matokeo yake kuna kuwa na mgawanyiko usio sahihi wa kondo la nyuma na kijusi pia.

Mimba zabibu ni kati ya aina ya magonjwa ya mimba yanayoweza kujitokeza wakati seli za uzazi (mbegu ya mwanaume na mwanamke) kuungana na kutengeneza mimba isiyokuwa kamilifu.Tatizo hili hujitokeza kwa nadra sana lakini linaweza kuleta changamoto kubwa sana kwa muhusika.

Yai kutokuwa na kiini hutokea hasa pale homoni za kuzalisha mayai zinaposhindwa kupevusha mayai kwa kiwango kinachotakiwa na kuruhusu yai hilo hilo ambalo halijapevuka kukutana na mbegu za kiume kurutubishwa iwe mimba.

*MATIBABU YAKE.*

Ugonjwa huu unaweza kutibika na moja kati ya tiba inayotolewa ni kusafishwa mji wa mimba. Tiba zake zinakuwa na mafanikio makubwa k**a tatizo hili litajulikana mapema. Pale tatizo linapo chelewa kujulikana, linaweza likaleta madhara makubwa kwa afya ya mama.
Tiba hii itaambatana na kufanyiwa Ultrasound na vipimo vya homoni za mimba kabla na baada ya kusafishwa.

Katika kipindi cha matibabu utashauriwa usibebe mimba kwa mda usio pungua miezi 6 mpaka mwaka mmoja ili kuhakikisha hali ya kizazi ipo salama, homoni ziko salama na utulivu wa fikra wa mama.

*NYONGEZA.*👇

1. Unapojihisi umebeba mimba, fika hospitali mapema kwa ajili ya vipimo.

2. Kumbuka kwamba, sio kila mwenye tatizo hili anakuwa na dalili na sio kila dalili inaashiria tatizo, hivyo njia sahihi ni kufanya vipimo.

2. Ugonjwa huu hauna kinga na k**a ulishawahi upata upo na nafasi nyingine ya kuupata tena.

3. Tumia juisi zetu ili kusafisha kizazi, kuondoa changamoto za Uzazi na kuweka homoni sawa ili ubebe ujauzito kiurahisi na mimba iliyo salama.

4. Anza Kliniki mara baada ya kujua kuwa wewe ni Mjamzito kwani ugonjwa huu usipofanyiwa tiba sahihi unaweza ukabadilika na kuwa saratani (cancer) inayo julikana k**a choriocarcinoma.

Je, uliwahi kupata changamoto ya mimba zabibu (Molar
Pregnancy)?

SEBA Herbal clinic

*JE, HUWA UNAUMWA CHOCHOTE KABLA HUJAINGIA SIKU ZAKO (HEDHI)?.*K**a jibu ni *NDIYO* basi kuna kitu hakiko sawa hata k**a...
12/01/2026

*JE, HUWA UNAUMWA CHOCHOTE KABLA HUJAINGIA SIKU ZAKO (HEDHI)?.*

K**a jibu ni *NDIYO* basi kuna kitu hakiko sawa hata k**a siyo kikubwa lakini kipo na wengi huwasumbua hivo kutokuamini k**a inawezekana kuingia period bila taarifa.

*JIFUNZE KITU HAPA*👇

Period siyo ugonjwa kila mwanamke lazima aingie period awe amejiandaa au hajajiandaa.

Kwa kuwa siyo ugonjwa hautakiwi kupata dalili yoyote, kuumwa popote kuwa umekaribia au upo period. Kitu pekee cha kujua ni mzunguko wako tu kuwa tarehe fulani nitaingia hedhi lakini siyo viashiria vingine kwenye mwili.

Siyo kiuno, siyo tumbo, siyo kichwa, siyo chunusi, siyo maziwa kujaa au kuuma.

Haitakiwi.❌

Ni ugonjwa pekee ndiyo una dalili lakini period siyo ugonjwa.

Ukiona umepata dalili kuwa umekaribia period na ukaingia ujue kuna kitu hakipo sawa hata k**a siyo kikubwa lakini kipo.

Watu hawaamini k**a unaweza kuingia period bila kuumwa chochote lakini baada ya kutumia juisi wameamini.

*Mfano:*👇

Ukiumwa tumbo, kiuno, nyonga, ukikaribia au ukiwa period *hilo ni chango la Uzazi.* juisi ya bamia na chai ya mchaichai inakuhusu.

Ukiona maziwa yamejaa, yanatoa maji maji, yanauma au yanatoa maziwa kabisa ukikaribia au ukiwa period hiyo ni mvurugiko wa homoni. Tena ni prolactin homoni ipo juu ndiyo maana inafanya maziwa yaume, wengine kujaa, wengine kutoa maji maji na baadhi kutoa maziwa maziwa kabisa ilihali siyo WAJAWAZITO wala hawanyonyeshi hasa wanapokaribia au wawapo period.

Kwa ufupi *period siyo ugonjwa hivyo hutakiwi kupata dalili yoyote au maumivu yoyote kuwa umekaribia kuingia period au upo period.*🙏

NINI KIFANYIKE?.

1. Tibu chango la uzazi kwa kutumia juisi ya bamia na chai ya mchaichai. Vile vile juisi ya bamia husaidia homoni kuwa sawa ikiwemo kutokupata chunusi kabla au kipindi cha period.

2. K**a umeingia period maumivu ni makali tumia hii k**a huduma ya kwanza; (Tengeneza chai ya mchaichai mwingi, maji kikombe kimoja, ukichemka chuja weka kwenye kikombe kisha kamulia limao moja zima. Weka asali vijiko viwili unywe 1x3 kwa siku 3 mfululizo).

Kwa mwenye vidonda vya tumbo asiweke limao bali atumie mchaichai pekee na asali.

3. K**a maumivu ya hedhi yako yanasababishwa na uvimbe kwenye kizazi au kwenye mayai hakikisha unajitibu huo uvimbe kwani ndiyo chanzo cha tatizo.

4. UTI, FANGASI na P.I.D ni vyanzo vikubwa vya maumivu ya tumbo, nyonga na hata kiuno kipindi cha hedhi hivo jitibu chanzo.

Je, umejifunza kipi leo kwenye makala hii?.

SEBA Herbal clinic

AINA 6 ZA UGUMBA— ELEWA UNAPOKWAMA WAPIWanawake wengi wanahangaika kupata ujauzito kwa miaka bila kujua ukweli huu: ugum...
11/01/2026

AINA 6 ZA UGUMBA— ELEWA UNAPOKWAMA WAPI

Wanawake wengi wanahangaika kupata ujauzito kwa miaka bila kujua ukweli huu: ugumba una aina tofauti, na kila aina ina chanzo chake. Ukikosa kuelewa aina uliyonayo, matibabu yanakuwa ya kubahatisha.

Hizi ndizo aina 6 za ugumba k**a zinavyotambulika kitaalamu👇

1️⃣ Ugumba wa Kwanza (Primary Infertility)
Hutokea pale ambapo mwanamke hajawahi kushika mimba kabisa, licha ya kufanya tendo bila kinga kwa muda mrefu (zaidi ya mwaka). Mara nyingi huhusishwa na kutokutoka kwa yai, homoni kuvurugika, PCOS au mirija ya uzazi kuziba kimya kimya.

2️⃣ Ugumba wa Pili (Secondary Infertility)
Huu ni pale ambapo ulishawahi kushika mimba (kujifungua au hata mimba kuharibika), lakini sasa mimba haipatikani tena. Sababu zake kubwa ni PID, mabaki ya mimba, maambukizi ya mara kwa mara na homoni kuharibika baada ya uzazi wa kwanza.

3️⃣ Ugumba wa Mwanaume (Male Infertility)
Si mwanamke peke yake. Ugumba huu hutokana na mbegu chache, dhaifu, zisizo na umbo sahihi au kutokuwepo kabisa kwa mbegu (azoospermia). Zaidi ya 40% ya changamoto za mimba hutoka kwa mwanaume.

4️⃣ Ugumba wa Mwanamke (Female Infertility)
Hutokana na matatizo ya ovulation, mirija ya uzazi kuziba, fibroids, polyps, endometriosis, PID na matatizo ya homoni. Dalili zake mara nyingi hupuuzwa hadi tatizo linapokuwa kubwa.

5️⃣ Ugumba Usioelezeka (Unexplained Infertility)
Vipimo vinaonekana kawaida, lakini mimba bado haiji. Mara nyingi huhusishwa na mabadiliko madogo ya homoni, kinga ya mwili, msongo wa mawazo au sababu zisizo rahisi kugundulika.

6️⃣ Ugumba wa Pamoja (Combined Infertility)
Hutokea pale ambapo mwanaume na mwanamke wote wawili wana changamoto za uzazi kwa wakati mmoja. Hapa, kumtibu mtu mmoja pekee hakutoshi—mfumo mzima lazima urekebishwe.

👉 Ukweli muhimu: Aina nyingi za ugumba zinaweza kutibika endapo tutatibu chanzo cha Tatizo

*Je kwa upande wako unadhani nini kinasababisha usibebe ujauzito*🤷‍♂️🤷‍♂️🤷‍♂️
SEBA Herbal clinic

*Wale wooote wanaotaka niwasimamie waweze kubeba ujauzito mwaka huu Njooni inbox Sahizi*👇👇👇*Ukifika inbox Jitambulishe J...
05/01/2026

*Wale wooote wanaotaka niwasimamie waweze kubeba ujauzito mwaka huu Njooni inbox Sahizi*👇👇👇

*Ukifika inbox Jitambulishe Jina lako mkoa ulipo changamoto yako nitakushauri cha kufanya*

*Wahi inbox Sahizi*

*Namba yangu hii Dr Sebastian 0763199190*

SEBA Herbal clinic

*MWAKA 2026 umeanza kwa kishindo Sana Huyu alitumia Juisi na  Vidonge vya STEVIA mfululizo kwa siku 60 tu Tayari kashabe...
02/01/2026

*MWAKA 2026 umeanza kwa kishindo Sana Huyu alitumia Juisi na Vidonge vya STEVIA mfululizo kwa siku 60 tu Tayari kashabeba ujauzito*

*Huu mwaka nataka wanawake 2000 tuu nitawasimamia kila mmoja atabeba ujauzito*🥰🥰🥰

SEBA Herbal clinic

*MWAKA 2025 Tumeweza kusaidia wanawake zaidi ya 1500+ wananyonyesha Hongereni sana wote mnaonyonyesha na nyie wajawazito...
02/01/2026

*MWAKA 2025 Tumeweza kusaidia wanawake zaidi ya 1500+ wananyonyesha Hongereni sana wote mnaonyonyesha na nyie wajawazito*

*MWAKA HUU 2026 Nahitaji watu 2000 tu Watu serious ambao watakuwa Tayari, Kufatisha mafunzo yetu na kusimamiwa waweze kubeba ujauzito kirahisi*

*Chakufanya andika Jina lako mkoa ulipo na namba ya simu nitakupigia mimi mwenyewe DR SEBASTIAN*

*Mwisho wa kujiandikisha ni Tarehe 04/01/2026*

*MFANO*👇👇👇

1:*Naitwa Selina Napatikana Mwanza 0763199190*
2:
3:
4:
5:
6:
7:
8:
9:
10:
11:
12:
13:
14:
15:
16:
17:
18:
19:
20:

SEBA Herbal clinic

*Historia Haijaandika chochote kuhusu watu waliokata Tamaa**Huyu Dada anaitwa Naomi nae alikuwa anatafta mtoto kwa mda m...
30/12/2025

*Historia Haijaandika chochote kuhusu watu waliokata Tamaa*

*Huyu Dada anaitwa Naomi nae alikuwa anatafta mtoto kwa mda mrefu k**a wewe*

*Utofauti kati ya wewe na huyu Dada Naomi ni maamuzi tuu yeye Aliamua kutumia juisi ya bamia na juisi ya vitunguu swaumu mfululizo kwa siku 90 na Sasa Hatimae kapata mtoto wa k**e*

*Hata k**a huoni period, Hata k**a Huoni ute wa Uzazi, Hata k**a umekata Tamaa kabisa amka Anza kutumia juisi zetu mwaka 2026 utanyonyesha mtoto wako*

SEBA Herbal clinic

Usichukulie poa wala kuvumilia maumivu makali wakati wa hedh huwa yanaashiria kuwa kuna kitu hakiko sawa.Chukua tahadhar...
27/12/2025

Usichukulie poa wala kuvumilia maumivu makali wakati wa hedh huwa yanaashiria kuwa kuna kitu hakiko sawa.

Chukua tahadhari kwani huashiria changamoto nyingi katika mfumo wa uzazi k**a vile:

1. Kuvurugika kwa homoni za uzazi ( hormonal imbalance)

2. Vimbe maji kwenye vifuko vya mayai ( ovarian cyst)

3. Uvimbe kwenye kuta za kizazi (Endometriosis).

4. Chango la Uzazi (hii huwasumbua wanawake 8 kati ya 10).

Hali hii huchangia sana mwanamke kutokupata ujauzito kwa wakati.

Kubaini k**a kuna uvimbe maji yaani ovarian cyst au vimbe kwenye kizazi ni lazima kupima kipimo cha *Ultrasound* sababu dalili zingine huweza kufanana na dalili za tatizo jingine hivo kupitia kupima unakuwa na uhakika wa kinachosumbua.

*NYONGEZA*👉 Kuhusu chango la Uzazi huwa halina kipimo hivo hubainika kulingana na dalili zake.

Chango la uzazi ni maumivu ya nyonga, kiuno, mgongo, chini ya kitovu, wengine hutokea mguu mmoja na baada ya mda linahamia mguu mwingine, na wengine kwenye makalio.

Yaweza kuwa kabla ya period, wakati wa period au hata baada ya period.

Wengine hucheza tumboni k**a mtoto. Hali hii huzuia mimba na ikitokea umebeba mimba halijapona mimba huharibika ndani ya miezi mitatu.🥲🤦‍♂️😪

Baada ya kubaini kinachokusumbua basi tibu chanzo utakuwa poa.🥰

SEBA Herbal clinic

 Herbal clinic Tunawatakia Heri Kwenye Siku hii ya Christmas..Ikawe ya Heri kwako na kwa Familia Yako.. SEBA Herbal  cli...
25/12/2025

Herbal clinic Tunawatakia Heri Kwenye Siku hii ya Christmas..

Ikawe ya Heri kwako na kwa Familia Yako..

SEBA Herbal clinic

*Mafanikio siyo rahisi unahitaji kujitoa kwa 100%**Huyu Dada anaitwa Vaida alitumia juisi zetu na vidonge vyetu kwa miez...
24/12/2025

*Mafanikio siyo rahisi unahitaji kujitoa kwa 100%*

*Huyu Dada anaitwa Vaida alitumia juisi zetu na vidonge vyetu kwa miezi minne akabeba ujauzito baada ya miezi mitatu mimba ikaharibika*🙂🙂🙂

*Akanitafta akaniambia mbona mimba imeharibika nikamwambia usijari Anza kutumia juisi upya jipange upate vidonge upya utabeba ujauzito na mimba haitaharibika Tena*

Baada ya miezi miwili akanijulisha kwamba ni
Mjamzito nikamwambia asinywe pombe asifanye kazi ngumu asipande Bodaboda na asitumie dawa yoyote bila kuniambia

*Hatimae Leo Amejifungua mapacha🥰🥰🥰 weka hili akilini mwako ili ufanikiwe unatakiwa kujitoa kwa 100%*

SEBA Herbal clinic

23/12/2025

*Wale wooote walioingia period Leo waje inbox*

*Ukija inbox Sema umeingia period lini ili nikuhesabie siku Za hatari Angalizo waje walioingia Leo tuu*🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️

SEBA Herbal clinic

Address

BUNJU
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when SEBA Herbal clinic posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to SEBA Herbal clinic:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram