SEBA Herbal clinic

SEBA Herbal clinic Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from SEBA Herbal clinic, Medical and health, BUNJU, Dar es Salaam.

Tunasaidia wanawake wenye changamoto ya UZAZI kuwawezesha waweze kubeba ujauzito ndani ya siku 90 tu kwa kutumia FORMULA maalumu ya STEVIA PIGA/WHATSAPP 0763199190

*Jinsi ya kuongeza Nguvu Za kiume na uwingi wa mbegu kwa mwanaume*1: *Tengeneza juisi yenye mchanganyiko huu  twende, ma...
28/09/2025

*Jinsi ya kuongeza Nguvu Za kiume na uwingi wa mbegu kwa mwanaume*

1: *Tengeneza juisi yenye mchanganyiko huu twende, maziwa, mihogo mibichi, karanga mbichi na kipande cha n**i*

2: *Tengeneza juisi ya vitunguu swaumu, Tangawizi changanya na asali*

K**a wewe ni mwanaume jaribu kutumia hizo juisi utanishukuru baadae πŸ₯‚πŸ₯‚πŸ₯‚

FORMULA YA ASUBUHI YA KUONGEZA TESTOSTERONE NA NGUVU ZA MISHIPA YA UUME (Kitaalamu)....Viambato Muhimu...(Ingredients) v...
28/09/2025

FORMULA YA ASUBUHI YA KUONGEZA TESTOSTERONE NA NGUVU ZA MISHIPA YA UUME (Kitaalamu)....

Viambato Muhimu...(Ingredients) vinapatikana sokoni....

↳ Kitunguu saumu vipande 4–5

↳ Tangawizi kipande kidogo (inch 1)

↳ Kitunguu chekundu nusu

↳ Asali kijiko 1

↳ Malimao mawili...

Namna ya Kutengeneza, Na Matumizi ya Mchanganyiko wako....πŸ‘‡

1. Menya na katakata tangawizi, kitunguu na vitunguu saumu vipande vidogo....

2. Weka kwenye chupa ndogo safi ya glasi...

3. Kamulia maji ya limao juu yake.

4. Ongeza kijiko kimoja cha asali mbichi.

5. Funga vizuri na acha mchanganyiko ukae dakika 30.

6. Kunywa asubuhi kabla ya kifungua kinywa (kijiko 1–2 tu).

Faida za Kitaalamu, Ukizingatia Combo hii....

↳ Testosterone Boost, Vitunguu na tangawizi huchochea uzalishaji wa testosterone asilia...

↳ Afya ya mishipa, Husaidia kuimarisha mzunguko wa damu kwenye uume, kuondoa uchovu na kuimarisha nguvu.

↳ Detox ya asubuhi, Husaidia kusafisha mfumo wa mmeng'enyo na kuamsha mwili.

NB: Tumia mchanganyiko huu kwa siku 7–14 mfululizo, kisha pumzika kwa siku 3 kabla ya kuendelea....

Epuka matumizi ya madawa BOOSTER za nguvu za kiume Ni Hatari kwa Afya Yako....Imarisha saikolojia yako, Imarisha Testosterone Hormone, Fanya Mazoezi, Nguvu za kiume sio ugonjwa kwamba unahitaji DAWA...Upone.. 🫡

Utafiti unasema karafuu husaidia usagaji mzuri wa chakula tumboni na ni nzuri kwa matibabu ya maumivu ya tumbo, tumbo ku...
28/09/2025

Utafiti unasema karafuu husaidia usagaji mzuri wa chakula tumboni na ni nzuri kwa matibabu ya maumivu ya tumbo, tumbo kujaa gesi na kiungulia. Hivyo, ni miongoni mwa kiungo muhimu katika vyakula kutokana na vinasaba vya aina ya eugnol vilivyomo ndani yake.

LEO TUJIFUNZE FAIDA KUU 6 ZA KUTUMIA KARAFUU KILA SIKU KATIKA AFYA YA UZAZI WA MWANAMKE.

1. Karafuu hupevusha mayai hivo kurahisisha zoezi la kubeba ujauzito.

2. Karafuu in**ibua mirija.

3. Karafuu inazuia na kutibu kansa ya kizazi.

4. Karafuu inayeyusha uvimbe wowote kwenye kizazi (Fibroids & Ovarian Cyst).

5. Karafuu husawazisha homoni mfano huweza kutumika kurudisha period iliyokata mda mrefu au wanaopata period kidogo/matone inatakiwa watumie karafuu kwa wingi.

6. Karafuu husaidia upate ute wa uzazi.

MAHITAJIπŸ‘‡πŸ‘‡

Mchaichai + Tangawizi moja + mdalasini vijiko viwili + karafuu kijiko kimoja + asali kijiko kimoja= Chai ya viungo.

Chemsha vyote kwa pamoja vikichemka chuja kwenye kikombe kimoja weka asali kijiko kimoja.

Kunywa chai hii asubuhi kikombe kimoja na jioni kikombe kimoja kwa siku 30 mfululizo.

NYONGEZA: Kwa wenye vidonda vya tumbo chemsha k**a maelekezo yanavyoelekeza lakini usiweke tangawizi.

Faida ipi imekuvutia zaidi kati ya hizo?.
Herbal Clinic.

*Tumpongeze madam Herieth kutoka Kigoma kwa kutumia juisi zetu na vidonge vyetu Vya STEVIA na Sasa ananyonyesha**Wewe ul...
27/09/2025

*Tumpongeze madam Herieth kutoka Kigoma kwa kutumia juisi zetu na vidonge vyetu Vya STEVIA na Sasa ananyonyesha*

*Wewe uliekata Tamaa amka Anza kutumia juisi upya Anza kutumia vidonge vya STEVIA upya muujiza wako uko njiani*

SEBA Herbal clinic

JE, ULIAMBIWA MIRIJA YAKO IMEZIBA, IMEJAA UCHAFU au UNAOGOPA KUPIMA?.😳K**a jibu ni NDIYO fanya hivi:πŸ‘‡1. Hakikisha unajit...
26/09/2025

JE, ULIAMBIWA MIRIJA YAKO IMEZIBA, IMEJAA UCHAFU au UNAOGOPA KUPIMA?.😳

K**a jibu ni NDIYO fanya hivi:πŸ‘‡

1. Hakikisha unajitibu tatizo la uchafu ukeni kwani ni moja ya vyanzo vikubwa vya tatizo la kuziba mirija au mirija kujaa uchafu.

Lakini haimanishi kuwa kila aliye na tatizo hili la uchafu ana changamoto ya mirija kuziba pia.

2. Hakikisha period yako inatoka damu nyingi angalau pedi 3 mpaka 4 kwa siku sababu mabaki ya damu ya period huweza kugeuka uchafu uwezao kuziba mirija.

3. Chukua tangawizi kubwa moja na vitunguu swaumu punje 20 kisha saga kwa pamoja kwa maji lita moja na uchuje vizuri.

Kunywa juisi hii 1x3 usiweke chochote kwani husaidia kuzibua mirija iliyoziba na kusafisha mirija yenye uchafu.

4. Tumia chai ya mchaichai + tangawizi kipande kimoja + mdalasini kijiko kimoja + karafuu kijiko kimoja + asali kijiko kimoja = chai ya viungo asubuhi kikombe kimoja na jioni kikombe kimoja kila siku 1x2.

5. Kila siku meza vitunguu swaumu punje 3 asubuhi na punje 3 jioni kila siku. Meza vile vitunguu swaumu vidogo vidogo vya asiliβœ… siyo vile vikubwa nyeupe.❌

NYONGEZA: Hakuna dalili za moja kwa moja kujua mirija kuziba au kujaa maji bali kupitia vipimo pekee. Ambapo mirija kujaa maji, uchafu au kuvimba inaweza kuonekana kwenye kipimo cha Ultrasound.

Lakini mirija kuziba huonekana kwa kipimo cha Hysterosalpingography (HSG) ambacho ni kipimo maalumu cha kujua k**a mirija imeziba.

Herbal Clinic

JINSI YA KUYEYUSHA na KUTIBU UVIMBE KWENYE KIZAZI (Fibroids/mayoma na Ovarian Cyst) KWA KUTUMIA JUISI PAPAI BILA KUFANYA...
26/09/2025

JINSI YA KUYEYUSHA na KUTIBU UVIMBE KWENYE KIZAZI (Fibroids/mayoma na Ovarian Cyst) KWA KUTUMIA JUISI PAPAI BILA KUFANYA OPARESHENI.

1. Chukua papai moja lioshe vizuri kata nusu. Kisha hiyo nusu ikate vipande vidogo vidogo na maganda yake na mbegu zake saga vyote kwa pamoja kwenye blenda.

Asubuhi kunywa glass moja na jioni glass moja kila siku mfululizo mpaka utakapopona uvimbe.

NB: Huruhusiwi kuweka chochote kwenye juisi hii.❌

2. Chukua mbegu zingine nyingi za papai zikaushe ndani (kivulini) na uwe wameza na maji punje 5 asubuhi na punje 5 jioni.

ANGALIZO:πŸ‘‰ Kwa wanaotumia juisi ni muhimu kutokulisaga sana ili kutunza ubora na wingi wa virutubisho vyake.

Herbal clinic .

*JINSI YA KUYEYUSHA UVIMBE WOWOTE KWENYE KIZAZI BILA KUTUMIA DAWA WALA OPARESHENI*TUMIA JUISI YA VITUNGUU MAJI VIWILI PE...
26/09/2025

*JINSI YA KUYEYUSHA UVIMBE WOWOTE KWENYE KIZAZI BILA KUTUMIA DAWA WALA OPARESHENI*

TUMIA JUISI YA VITUNGUU MAJI VIWILI PEKEE.

Unachukua vitu maji viwili pekee unavimenya na Unakatakata vipande vidogo vidogo unablend/ unasaga au una twanga kwenye kinu.

Tumia maji nusu lita na ukimaliza unachuja vizuri makapi unatupa unakunywa glass moja mchana pekee kwa siku 30 mfululizo.

*_Ukimaliza tu kuiandaa unakunywa hapo hapo isikae mda mrefu haijatumika._*

_Juisi hii huruhusiwi kuweka chochote._❌❌

Herbal Clinic

*Kati ya watu waliopitia changamoto ya kupata mtoto ni huyu Dada AGUSTA**Nilichojifunza kutoka kwake ni kwamba huruhusiw...
25/09/2025

*Kati ya watu waliopitia changamoto ya kupata mtoto ni huyu Dada AGUSTA*

*Nilichojifunza kutoka kwake ni kwamba huruhusiwi kukata Tamaa mpaka uwe umefanikisha jambo lako*

*Ametumia juisi na vidonge vyetu mfulizo kwa zaidi ya miezi minne na hatimae ananyonyesha*

*Usikate Tamaa wakati wa MUNGU ndo wakati sahihi*

Herbal Clinic

Address

BUNJU
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when SEBA Herbal clinic posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to SEBA Herbal clinic:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram