Jitibu Kiasilia

Jitibu Kiasilia Tunatibu kwa seli za mimea,kuanzia chanzo cha tatizo na kuliondoa kabisa.,,
magonjwa yote ,figo,tezi dume,sukari ,presha nk.

KWA WANAWAKE PEKEE.JE?UNACHANGAMOTO YA UZAZI?Ipo tiba inatibu changamoto zifuatazo.;1. Kukosa au kuvurugika kwa ovulatio...
19/03/2026

KWA WANAWAKE PEKEE.
JE?UNACHANGAMOTO YA UZAZI?
Ipo tiba inatibu changamoto zifuatazo.;
1. Kukosa au kuvurugika kwa ovulation

Ovari kushindwa kutoa yai kila mwezi. Hii inaweza kusababishwa na matatizo ya homoni k**a Polycystic O***y Syndrome (PCOS).

2. Kuziba kwa mirija ya uzazi

Mirija ya uzazi (fallopian tubes) inaweza kuziba kutokana na maambukizi au magonjwa k**a Pelvic Inflammatory Disease (PID), hivyo yai na mbegu za kiume kushindwa kukutana.

3. Uvimbaji au uvimbe kwenye mfuko wa uzazi

Hali k**a Uterine Fibroids (vimbe kwenye mfuko wa uzazi) zinaweza kuzuia ujauzito au kusababisha mimba kuharibika.

4. Ugonjwa wa Endometriosis

Endometriosis hutokea pale tishu zinazofanana na za mfuko wa uzazi zinapoota nje ya mfuko wa uzazi na kuleta maumivu na matatizo ya uzazi.

5. Mzunguko wa hedhi usio wa kawaida

Hedhi kuchelewa sana, kukosa hedhi, au kupata hedhi isiyo ya kawaida inaweza kuashiria matatizo ya homoni.
6.Kukosa hamu ya tendo na maumivu wakati wa tendo
7.Ukavu kwenye uke.
8.Mimba kutoka kabla haijafika miezi mitatu.
9.Maumivu makali wakati wa hedhi.
Inatumika sachet 1 kwa siku box 1 linatumika siku 10.
Upate box 3, bei ya box 1 ni shilingi alfu 60.
Unaweza kununua box moja moja ama ununue box 3 ( dozi ni mwezi mmoja tu)
Kila kitu kitakaa sawa.
Kuipata piga 0794897240
Ilala,Buguruni Malapa stend/ Uhuru road.

KWA WANAWAKE PEKEE.JE?UNACHANGAMOTO YA UZAZI?Ipo tiba inatibu changamoto zifuatazo.;1. Kukosa au kuvurugika kwa ovulatio...
18/03/2026

KWA WANAWAKE PEKEE.
JE?UNACHANGAMOTO YA UZAZI?
Ipo tiba inatibu changamoto zifuatazo.;
1. Kukosa au kuvurugika kwa ovulation

Ovari kushindwa kutoa yai kila mwezi. Hii inaweza kusababishwa na matatizo ya homoni k**a Polycystic O***y Syndrome (PCOS).

2. Kuziba kwa mirija ya uzazi

Mirija ya uzazi (fallopian tubes) inaweza kuziba kutokana na maambukizi au magonjwa k**a Pelvic Inflammatory Disease (PID), hivyo yai na mbegu za kiume kushindwa kukutana.

3. Uvimbaji au uvimbe kwenye mfuko wa uzazi

Hali k**a Uterine Fibroids (vimbe kwenye mfuko wa uzazi) zinaweza kuzuia ujauzito au kusababisha mimba kuharibika.

4. Ugonjwa wa Endometriosis

Endometriosis hutokea pale tishu zinazofanana na za mfuko wa uzazi zinapoota nje ya mfuko wa uzazi na kuleta maumivu na matatizo ya uzazi.

5. Mzunguko wa hedhi usio wa kawaida

Hedhi kuchelewa sana, kukosa hedhi, au kupata hedhi isiyo ya kawaida inaweza kuashiria matatizo ya homoni.
6.Kukosa hamu ya tendo na maumivu wakati wa tendo
7.Ukavu kwenye uke.
8.Mimba kutoka kabla haijafika miezi mitatu.
9.Maumivu makali wakati wa hedhi.
Inatumika sachet 1 kwa siku box 1 linatumika siku 10.
Upate box 3, bei ya box 1 ni shilingi alfu 60.
Unaweza kununua box moja moja ama ununue box 3 ( dozi ni mwezi mmoja tu)
Kila kitu kitakaa sawa.
Kuipata piga 0794897240
Ilala,Buguruni Malapa stend/ Uhuru road.

UGONJWA WA FIGO KUFELI AU KUSHINDWA KUFANYA KAZI(KIDNEY FAILURE),CHANZO,DALILI,NA MATIBABUUgonjwa wa kufeli kwa figo ni ...
14/03/2026

UGONJWA WA FIGO KUFELI AU KUSHINDWA KUFANYA KAZI(KIDNEY FAILURE),CHANZO,DALILI,NA MATIBABU

Ugonjwa wa kufeli kwa figo ni ugonjwa ambao huwapata watu wengi na sababu kubwa zikitokana na mtindo mbaya wa maisha ikiwemo ulaji mbaya,matumizi ya pombe kupita kiasi,Uvutaji wa Sigara, tatizo la kuwa na uzito mkubwa kupita kiasi,matumizi ya baadhi ya dawa,kutokufanya mazoezi n.k

KUFELI KWA FIGO KUNAWEZA KULETA MATATIZO mbali MBALI MWILINI K**A
1-Uvimbe wa Miguu n.k
2- viwango vya asidi kuongezeka,
3-viwango vya potasiamu kuongezeka
4-viwango vya kalsiamu kuongezeka
5-viwango vya phosphate kuongezeka

AINA MBILI KUU ZA KUFELI KWA FIGO
(i) Figo kushindwa kufanya kazi ndani ya mda mfupi kwa kitaalam tunaita Acute kidney Failure,

(ii) Figo kushindwa kufanya kazi au kuwa na ugonjwa sugu wa figo ambapo kitaalam hujulikana k**a Chronic kidney failure ambao mara nyingi hauwezi kutibika kabsa.

SABABU ZA FIGO KUFELI
1.Kisukari ni miongoni mwa sababu kubwa zinazochangia kutokea kwa ugonjwa wa kufeli kwa figo,
3.Ugonjwa wa Presha au Shinikizo la damu usipodhibitiwa vizuri,huweza kuwa chanzo kikubwa cha ugonjwa wa kufeli kwa figo au figo kushindwa kufanya kazi,
4. uvimbe kwenye figo zote mbili na mara nyingi ugonjwa huu unaweza kurithiwa kutoka kwa wazazi.
5. Sababu zingine za kutokea kwa Ugonjwa wa kufeli kwa figo ni pamoja na;
6.Umri mkubwa wa figo au Figo kuzeeka
7.Tatizo la kufunga kwa mishipa iendayo kwenye figo
8.Uwepo wa mawe ya Figo(Kidney Stones)
9.Tatizo la figo kushambuliwa na magonjwa ya mara kwa mara

DALILI ZA UGONJWA WA KUFELI KWA FIGO-KIDNEY FAILURE
(1) Tatizo la Kuvimba uso,Miguu na tumbo
Japo si kila uvimbe hutokana na tatizo la kufeli kwa Figo(kidney failure).
(2) Tatizo la Kukosa hamu ya chakula, kichefuchefu, na kutapika
(3) Kupata tatizo la presha au Shinikizo la damu
(4)Tatizo la ukosefu wa damu
(5) Tatizo la kupata maumivu ya mgongo,kujikuna na maumivu ya miguu (cramps) pamoja na Maumivu wakati wa kukojoa

DALILI ZINGINE ZINAZOHUSU MKOJO NI PAMOJA NA
1. Kiwango cha Mkojo kupungua
2. Kupata Muwasho wakati wa kukojoa
3. kukojoa mara kwa mara
4. kukojoa damu au usaha
5. Ugumu wa kukojoa

KWA USHAURI ZAIDI/ELIMU/TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255794897240
Dar es salaam

1. Kukosa au kuvurugika kwa ovulationFAIDA ZA LADIES COFFEE.,KWA KINA MAMA.( 0794897240)Ovari kushindwa kutoa yai kila m...
12/03/2026

1. Kukosa au kuvurugika kwa ovulation
FAIDA ZA LADIES COFFEE.,KWA KINA MAMA.( 0794897240)
Ovari kushindwa kutoa yai kila mwezi. Hii inaweza kusababishwa na matatizo ya homoni k**a Polycystic O***y Syndrome (PCOS).

2. Kuziba kwa mirija ya uzazi

Mirija ya uzazi (fallopian tubes) inaweza kuziba kutokana na maambukizi au magonjwa k**a Pelvic Inflammatory Disease (PID), hivyo yai na mbegu za kiume kushindwa kukutana.

3. Uvimbaji au uvimbe kwenye mfuko wa uzazi

Hali k**a Uterine Fibroids (vimbe kwenye mfuko wa uzazi) zinaweza kuzuia ujauzito au kusababisha mimba kuharibika.

4. Ugonjwa wa Endometriosis

Endometriosis hutokea pale tishu zinazofanana na za mfuko wa uzazi zinapoota nje ya mfuko wa uzazi na kuleta maumivu na matatizo ya uzazi.

5. Mzunguko wa hedhi usio wa kawaida

Hedhi kuchelewa sana, kukosa hedhi, au kupata hedhi isiyo ya kawaida inaweza kuashiria matatizo ya homoni.
6.Kukosa hamu ya tendo na maumivu wakati wa tendo
7.Ukavu kwenye uke.
Mawasiliano,0794897240
Ubungo ,mabibo Dar.

09/03/2026

Je unasumbuliwa na viashiria vya kansa ya t**i ama kansa yoyote.
Tiba asilia zimeonesha matumaini kwa wagonjwa wengi.
Jipe matumaini mapya,tunatoa huduma ya tiba kwa cell za mimea.

Zijue dalili za ugonjwa wa SARATANI ,ya mat**i ambazo ni  Mabadiliko ya ukubwa wa mat**i au chuchu, Wekundu kwenye ngozi...
09/03/2026

Zijue dalili za ugonjwa wa SARATANI ,ya mat**i ambazo ni Mabadiliko ya ukubwa wa mat**i au chuchu, Wekundu kwenye ngozi ya mat**i au chuchu, Maumivu yasiyo ya kawaida katika mat**i, kutokwa na majimaji katika chuchu na Uvimbe kwenye t**i.
Karibu tukuhudumie kwa tiba za cell,mapema kabla hali haijakuwa tofauti,unapotibu tatizo mapema,inakuwa rahisi kupona.
Kansa inapona kabisa.
Piga simu,upate ushauri na tiba.
0794897240
0716535237
Dar es salaam.Mabibo na Buguruni.

KISUKARIBLOOD SUGAR       0794897240.Tiba ya kutibu chanzo sasa inapatikana ,majibu siku3, mpaka 7, utaona utofauti mkub...
08/03/2026

KISUKARI
BLOOD SUGAR 0794897240.
Tiba ya kutibu chanzo sasa inapatikana ,majibu siku3, mpaka 7, utaona utofauti mkubwa sana.

Sukari inapona ,usisikilize maneno ya mitaani.
Kitu cha msingi wahi tiba.,ni dhamu ,ya mlo ,mpaka upone.

Utakula vitu upendavyo.
Kupona ni hakika,.

Hili ni miongoni mwa matatizo ambayo yanatokana na upungufu wa kinga mwilini,

Ifahamike kisukari kina mpata mtu ni kutokana na zile kinga za mwili kushindwa kufanya kazi yake vizuri,

Na ili kinga za mwili ziweze kufanya kazi yake vizuri inahitajika mfumo wa taarifa uwe imara,

Mfumo wa taarifa ndio unao ongoza mwili mzima kwa mfano umwagaji wa insulin kutoka kwenye kongosho inahitajika taarifa moja kwa moja kutoka kwenye ubongo,

Kazi ya figo ni kudhibiti kiwango cha sukari mwilini, maji, chumvi, madini, na acid,

Na katika mwili wa binaadam chumvi ikiingia mwilini inahesabika k**a sukari baada ya madini joto baadhi kuchukuliwa,

Tuangalie moja kwa moja sasa sababu zinazo perekea tatizo hili la kisukari na sukari inabidi iwe 5 tu mwilini haitakiwi kushuka wala kupanda,

Kuna aina mbili ya kisukari hypergreshimier
Hypogreshimier

Yaani sukari kupanda na kushuka

SABABU ZA KISUKARI
1. Msongo wa mawazo
2. Ulaji wa vyakula vyenye sukari kwa wingi
3. Kushuka kwa kinga za mwili
4. Virusi vya ukimwi
5. Presha
6. Uchujaji katika figo kushuka

DALILI ZA KISUKARI
1. Kuhisi njaa mara kwa mara
2. Kuhisi mkojo mara kwa mara
3. Mkojo kunata k**a asili ya sukari
4. Mkojo kua wa njano
5. Macho kua ya chano
6. Kuchoka mara kwa mara
7. Mwili kuishiwa nguvu
8. Kuhisi kiu mara kwa mara
9.ganzi

USHAURI
1. Epuka kula vyakula vyenye sukari
2. Fanya mazoezi
3. Kunywa maji ya kutosha
4. Epuka mawazo
5. Epuka umezaji wa dawa za kemikali kwa muda mrefu

Kisukari kinatibika
Karibu tukupatie huduma bora za matibabu

Wasiliana nasi sasa
0794897240

Dar es salaam.

Maumivu Makali ya Pingili za Mgongo: Sababu, Dalili, na Namna ya Kupunguza MaumivuMaumivu ya pingili za mgongo (vertebra...
07/03/2026

Maumivu Makali ya Pingili za Mgongo: Sababu, Dalili, na Namna ya Kupunguza Maumivu

Maumivu ya pingili za mgongo (vertebral pain) ni tatizo linaloathiri watu wengi, hususan wale wanaofanya kazi zinazohitaji kukaa muda mrefu, kuinua vitu vizito, au wale wenye matatizo ya kiafya k**a mishipa ya fahamu iliyoshinikizwa (nerve compression), kupungua kwa ute wa pingili (disc degeneration), au kuumia kwa mifupa ya mgongo (vertebral fractures).

Dalili za Maumivu ya Pingili za Mgongo

✅ Maumivu makali au yanayodumu kwa muda mrefu katika sehemu ya chini, ya kati, au ya juu ya mgongo.
✅ Maumivu yanayosambaa kwenye miguu au mikono, hasa ikiwa mishipa ya fahamu imeathirika.
✅ Kupungua kwa uwezo wa kupinda au kusimama wima kwa muda mrefu.
✅ Hisia za kufa ganzi au kuwaka moto kwenye miguu au mikono.

Sababu Zinazochangia Maumivu ya Pingili za Mgongo

✔ Kuvimba kwa pingili (Herniated Disc): Pingili ya mgongo inaweza kutoka nje ya nafasi yake ya kawaida na kushinikiza mishipa ya fahamu.
✔ Kukak**aa kwa misuli ya mgongo: Msongo wa misuli unaweza kusababisha maumivu makali ya mgongo.
✔ Osteoarthritis na Uvimbe wa Pingili: Ugonjwa wa mishipa ya mgongo unaweza kusababisha pingili kuchakaa na kusababisha maumivu sugu.
✔ Majeraha au Ajali: Kupata ajali au kuumia wakati wa michezo kunaweza kusababisha matatizo ya pingili.

Njia za Kupunguza Maumivu ya Pingili za Mgongo

✔ Mazoezi ya viungo na kunyoosha mwili – Husaidia kupunguza shinikizo kwenye pingili za mgongo.
✔ Tiba ya joto na baridi – Maji ya moto au barafu yanaweza kusaidia kupunguza maumivu na uvimbe.
✔ Matumizi ya virutubisho vya afya – Baadhi ya virutubisho k**a vile calcium, magnesium, na glucosamine vinaweza kusaidia kuimarisha afya ya mifupa na pingili.
✔ Dawa za kupunguza maumivu – Ikiwa maumivu ni makali, daktari anaweza kupendekeza dawa maalum.
✔ Tiba ya mwili (Physical Therapy) – Inapendekezwa kwa wale wenye maumivu sugu yanayodumu kwa muda mrefu.

Ikiwa unakabiliwa na maumivu ya pingili za mgongo, ni muhimu kutafuta ushauri wa mtaalamu wa afya kwa uchunguzi sahihi na tiba bora zaidi.

Unahitaji msaada wa tiba sahihi za seli( jitibu kiasilia) kusaidia afya ya mgongo wako? Wasiliana nami kwa ushauri wa kitaalamu!

📞0794897240
Dar es salaam.

*  TIBA HII YA KISUKARI NA YA PRESHA,INAZIDI KUFANYA MAAJABU KWA MATOKEO CHANYA KWA WAGONJWA WA SUKARI NA  PRESHA.Ukinie...
07/03/2026

* TIBA HII YA KISUKARI NA YA PRESHA,INAZIDI KUFANYA MAAJABU KWA MATOKEO CHANYA KWA WAGONJWA WA SUKARI NA PRESHA.
Ukinieleza sukari,presha nakuelewa,vizuri.
Ni tiba nzuri mno mengi piga simu tuongee,ushauri walo hakika utapona siku 90 tu ,kwa mpya ,katika ugonjwa huu kimbilia tiba adili kisha upate elimu ndipo ununue.
KISUKARI AINA ZOTE & , PRESHA NA MOYO

0794897240, Dar es salaam .unaweza kununua ya mwezi,mmoja moja ama unavyotaka .
HARAKA ,UANZE TIBA.DOZI HII UNAPONA KATI YA IKU 30 MPAKA 90 MIEZI 3.LAKINI NDANI YA SIKU ,7 NA KUFATA MAELEKEZO YANGU UTAPONA.TUNATIBU CHANZO,.
DAR ES SALAAM,BUGURUNI.

DAWA HII NI MCHANGANYIKO WA MITI DAWA MIKUBWA YENYE UWEZO MKUBWA WA KUTIBU NA KUMALIZA
TATIZO LA SUKARI
DAWA ZA ASILI ZENYE NGUVU YA KUBADILISHA CELL ZILIZOKUFA NA ZENYE UGONJWA ,,NA KUWEKA MPYA. KIWANGO CHA SUKARI NDANI YA DAMU KUSAFISHA DAMU VIZURI
INATIBU MAUMIVU YA MUDA MREFU YA MIFUPA KUTOKANA NA SUKARI KUTAWALA MWILINI
INATIBU AINA ZOTE ZA SUKARI )

DAWA YA PRESHA NA MOYO
Ni mchanganyiko wa dawa kubwa zenye uwezo mkubwa wa kutibu maradhi ya moyo na pressure
1. Dawa inatibu na kukontroo presha
ya kupanda na kushuka
2. Inatibu maumivu ya moyo Kuzibua mirija ya moyo
Moyo kuwa mpana na kushindwa kufanya kazi vizuri
3. Inaondoa ganzi mwili
Kutoa kolestro, Inaongeza joto katika mishipa ya damu, Kusafisha damu na kutoa mafuta katika moyo na kwenye damu Inatibu matatizo yote ya moyo, Inatibus aina zote zinazopelekea moyo kushindwa kufanya kazi vizuri

PIGA SIMU KAWAIDA 0794897240
Dar es salaam.
Mabibo/ Na Buguruni.

Address

Dsm
Dar Es Salaam
255

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Jitibu Kiasilia posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram