Jitibu Kiasilia

Jitibu Kiasilia Tunatibu kwa seli za mimea,kuanzia chanzo cha tatizo na kuliondoa kabisa.,,
magonjwa yote ,figo,tezi dume,sukari ,presha nk.

*KWA CHANGAMOTO YA SUKARI*Piga,:0794897240.Tiba yenu asilia ya seli ipo, ya kushusha kuondoa sukari,kwenye damu na kukar...
27/02/2026

*KWA CHANGAMOTO YA SUKARI*
Piga,:0794897240.
Tiba yenu asilia ya seli ipo, ya kushusha kuondoa sukari,kwenye damu na kukarabati kongoshokwa tiba hii, ,na kukutoa katika mwili iwe ya kawaida,presha moja kwa moja .Muda miezi 3, yaani siku 90,( tutibu ugonjwa kikamilifu) majibu siku 7 mpaka 14, Ila tutaendelea mpaka upone.Hilo kopo ni dozi ya mwezi 1 tu ,bei 150,000/ mimea 8 ipo hupo.Nipackage maalum.
Nipigie 0794897240
Buguruni ,Uhuru road.Dar es salàam.

Chango la uzazi ni maumivu ya nyonga, kiuno, mgongo, chini ya kitovu, wengine hutokea mguu mmoja na baada ya mda  linaha...
27/02/2026

Chango la uzazi ni maumivu ya nyonga, kiuno, mgongo, chini ya kitovu, wengine hutokea mguu mmoja na baada ya mda linahamia mguu mwingine, na wengine kwenye makalio.
0716535237.
Yaweza kuwa kabla ya period, wakati wa period au hata baada ya period.

Wengine hucheza tumboni k**a mtoto. Hali hii huzuia mimba na ikitokea umebeba mimba halijapona vizuri mimba huharibika ndani ya miezi mitatu ya awali

Wenye changamoto ya P.I.D (uchafu ukeni), fangasi (maji maji au miwasho ukeni), UTI ya kujirudia rudia hukabiliwa na chango la uzazi mara kwa mara kitendo kinachopelekea maumivu makali kabla na wakati wa hedhi.

NYONGEZA: Chango la uzazi halina kipimo hospitali bali tunalibaini kutokana na dalili zake.

Wakati mwingine chango la uzazi hufanana dalili na uvimbe kwenye kizazi hivo kubaini kuwa ni chango na siyo uvimbe unashauriwa kupima kipimo cha tumbo yaani Ultrasound.
Mawasiliano 0794897240.
Dar es salaam./Buguruni.

SIKOSELI AMA SELIMUNDU.Niugonjwa wa kukauka damu mwili ,kwa muda Fulani anakuwa ni wakuongezwa damu.0794897240Tuba IPO i...
26/02/2026

SIKOSELI AMA SELIMUNDU.
Niugonjwa wa kukauka damu mwili ,kwa muda Fulani anakuwa ni wakuongezwa damu.
0794897240

Tuba IPO inayoanzia katika ,vinasaba cell,tissue organization na mwili mzima.
Hapa lengo kukarabati cell mundu hizo,,,changamoto zo zote zinazomtokea mgonjwa Hutu zitakwisha.
Zipo tiba aina 2 utachagua .Ufanyaji kazi ni sawa utofauti moja ni ya Tanzania engine ,ya malasya.
Tuwasiliane,,,0794897240.

Dar es salaam ,Tanzania..

*YAJUE MAUMIVU YA KIUNO, MGONGO NA NYONGA NA TIBA YAKE* Tatizo hili huweza kumpata mtu yeyote. Maumivu ya kiunohuanza ch...
24/02/2026

*YAJUE MAUMIVU YA KIUNO, MGONGO NA NYONGA NA TIBA YAKE*

Tatizo hili huweza kumpata mtu yeyote. Maumivu ya kiuno
huanza chini ya mgongo na kuk**ata katika vifupa vilivyo kwa chini
karibu na makalio. Maumivu haya husambaa kulia na kushoto na
wakati mwingine huteremka hadi mapajani. Pamoja na kuwepo katika
vifupa hivyo pia ndani zaidi huweza kusababisha maumivu haya
yatoke kwa ndani na kusambaa nje yaani katika eneo la kiuno.

Maumivu ya nyonga huweza kutokea sambamba na maumivu ya
kiuno au nyonga yakawa peke yake. Nyonga huunganisha miguu Na
mifupa ya mapaja inayotengeneza kiuno. Nyonga ndiyo inayofanya
utembee, inakuwezesha kutoka sehemu moja hadi nyingine, Kukaaaa
kuruka…

SABABU ZINAZOPELEKEA MAUMIVU YA KIUNO NA NYONGA
1⃣.kujichua muda mrefu hupelekea maumivu hayo (musterbation).
2⃣.Namna ya kulala (style) /godoro linaweza kukusababishia maumivu hayo
3⃣.Kubeba mizigo kwa kuinama na mzigo.
4⃣.mawazo (stress) nyingi
5⃣.kulala kwa muda mrefu na matumizi mabaya ya MTO ,
6⃣. U . T . I sugu , UTI sugu hupelekea maumivu hayo
Zipo dawa za kutibu magonjwa yote ya mkojo na kibofu
Na pia magonjwa ya zinaa
7⃣. Umri _kuzeeka ,,,
8⃣.Kutofanya mazoez Mara kwa Mara

Je ukipuuza maumivu haya haya na kuyachukulia ni suala la kawaida unaweza kuathirika kivipi?Hupelekea kushindwa kufanya tendo LA ndoa
hupelekea kupooza kwa baadhi ya viungo vya mwili hupelekea kuwahi kufika kileleni mapema wakati wa tendo na kushindwa kurudia .Unaweza kushindwa kutembea kabisa /kunyanyuka, utakaa ukiwa umelalaHupelekea ganzi ya baadhi ya viungo Kuzidi kusambaa kwa maumivu mwili mzima hasa sehem zenye joint

kwa ushauri na tiba za maradhi mbalimbali wasiliana nasi.
what's app /call.
0794897240,Dar es salaam.

Maumivu Makali ya Pingili za Mgongo: Sababu, Dalili, na Namna ya Kupunguza MaumivuMaumivu ya pingili za mgongo (vertebra...
24/02/2026

Maumivu Makali ya Pingili za Mgongo: Sababu, Dalili, na Namna ya Kupunguza Maumivu

Maumivu ya pingili za mgongo (vertebral pain) ni tatizo linaloathiri watu wengi, hususan wale wanaofanya kazi zinazohitaji kukaa muda mrefu, kuinua vitu vizito, au wale wenye matatizo ya kiafya k**a mishipa ya fahamu iliyoshinikizwa (nerve compression), kupungua kwa ute wa pingili (disc degeneration), au kuumia kwa mifupa ya mgongo (vertebral fractures).

Dalili za Maumivu ya Pingili za Mgongo

✅ Maumivu makali au yanayodumu kwa muda mrefu katika sehemu ya chini, ya kati, au ya juu ya mgongo.
✅ Maumivu yanayosambaa kwenye miguu au mikono, hasa ikiwa mishipa ya fahamu imeathirika.
✅ Kupungua kwa uwezo wa kupinda au kusimama wima kwa muda mrefu.
✅ Hisia za kufa ganzi au kuwaka moto kwenye miguu au mikono.

Sababu Zinazochangia Maumivu ya Pingili za Mgongo

✔ Kuvimba kwa pingili (Herniated Disc): Pingili ya mgongo inaweza kutoka nje ya nafasi yake ya kawaida na kushinikiza mishipa ya fahamu.
✔ Kukak**aa kwa misuli ya mgongo: Msongo wa misuli unaweza kusababisha maumivu makali ya mgongo.
✔ Osteoarthritis na Uvimbe wa Pingili: Ugonjwa wa mishipa ya mgongo unaweza kusababisha pingili kuchakaa na kusababisha maumivu sugu.
✔ Majeraha au Ajali: Kupata ajali au kuumia wakati wa michezo kunaweza kusababisha matatizo ya pingili.

Njia za Kupunguza Maumivu ya Pingili za Mgongo

✔ Mazoezi ya viungo na kunyoosha mwili – Husaidia kupunguza shinikizo kwenye pingili za mgongo.
✔ Tiba ya joto na baridi – Maji ya moto au barafu yanaweza kusaidia kupunguza maumivu na uvimbe.
✔ Matumizi ya virutubisho vya afya – Baadhi ya virutubisho k**a vile calcium, magnesium, na glucosamine vinaweza kusaidia kuimarisha afya ya mifupa na pingili.
✔ Dawa za kupunguza maumivu – Ikiwa maumivu ni makali, daktari anaweza kupendekeza dawa maalum.
✔ Tiba ya mwili (Physical Therapy) – Inapendekezwa kwa wale wenye maumivu sugu yanayodumu kwa muda mrefu.

Ikiwa unakabiliwa na maumivu ya pingili za mgongo, ni muhimu kutafuta ushauri wa mtaalamu wa afya kwa uchunguzi sahihi na tiba bora zaidi.

Unahitaji msaada wa tiba sahihi za seli( jitibu kiasilia) kusaidia afya ya mgongo wako? Wasiliana nami kwa ushauri wa kitaalamu!

📞0794897240
Dar es salaam.

Je, unachangamoto ya PID sugu ama UTI sugu,maumivu ya kiuno ,mgongo,sukari presha hii ,kiumbo syrup inashusha haraka ,sa...
23/02/2026

Je, unachangamoto ya PID sugu ama UTI sugu,maumivu ya kiuno ,mgongo,sukari presha hii ,kiumbo syrup inashusha haraka ,sana,.

0794897240,
Piga .

K**a umetumia tiba za hospital na bado UTI inakuteseka ama PID ,hapo tunaita unaita unaita Sugu ,sio Kali bali ni UTI sugu ama PID SUGU.,vikiambatana na harufu Kali mbaya sehemu za siri.
Suluhisho lako ni hii dawa hapo chini .Inaitwa kiumbo syrup inaujazo wa mls 500 sawa na nusu Lita kwa bei ya shilingi 35,000 tu,shida yako inakuwa imekwisha.

Kwa maradhi mengine watahitajika kupata tiba aina ikingine ya kukarabati vyanzo vya tatizo na hio ikiwapo ,ila hayo maradhi mawili yanayosababishwa na bacteria hio ,nikiboko,utatumia urudi hospital uniambie majibu kwa waliopona ,ni kiboko ya hayo maradhi sugu na sumbufu.
Kwa huduma ya haraka nipigie simu number,0794897240
Dar es salaam
Buguruni.
Uje ofisini.
Kutuma tunatuma.

*⚫TATIZO LA UBOHO(BONE MARROW  NA AFACELL PLUS + MORINGA STEMCELL , INAWEZAJE KUMSAIDIA MTU MWENYE TATIZO HILO!?✅Tatizo ...
12/02/2026

*⚫TATIZO LA
UBOHO(BONE MARROW NA AFACELL PLUS + MORINGA STEMCELL , INAWEZAJE KUMSAIDIA MTU MWENYE TATIZO HILO!?

✅Tatizo la uboho wa mfupa (bone marrow) linaweza kutokana na sababu mbalimbali, na plant stem cells zinaweza kusaidia kwa njia fulani, hasa kwa kuboresha afya ya seli na kuupa mwili mazingira bora ya kujijenga upya. Hapa kuna maelezo kwa pointi kumi:

Sababu za matatizo ya uboho (Bone Marrow Problems):

1. *Magonjwa ya kurithi* k**a sickle cell anemia na thalassemia.

2. *Mionzi* (radiation) au tiba ya saratani k**a chemotherapy inayoharibu seli za uboho.

3. *Magonjwa ya kinga mwilini k**a lupus* ambapo mwili unashambulia uboho.

4. *Maambukizi* makali k**a virusi vya hepatitis au HIV.

5. *Sumu* k**a kemikali za viwandani (benzene, arsenic).

6. *Upungufu wa lishe* muhimu k**a vitamini B12, folate, na madini ya chuma.

7. *Ulevi wa muda mrefu* ambao huathiri uzalishaji wa seli.

8. *Magonjwa ya saratani**ya damu k**a leukemia na lymphoma.

9. *Dawa kali* k**a zile za kutibu arthritis au kifafa.

10. *Uzee,* ambapo uzalishaji wa seli hupungua taratibu.

Jinsi Afacell plus Moringa Stem Cell inavyoweza Kusaidia yafuatayo.

1. *Kuboresha uhai wa seli*: Zinasaidia kulinda seli dhidi ya uharibifu unaosababishwa na sumu au mionzi.

2. *Antioxidant ya asili*~: Huzuia uharibifu wa seli unaosababishwa na radicals huru.

3. *Kuamsha upya seli zilizochoka:* Huchochea seli za mwili kufufua ufanisi wake.

4. *Kusaidia kinga ya mwili*: Zinaboresha mfumo wa kinga na kuimarisha ulinzi wa uboho.

5. *Kuchochea mzunguko mzuri wa damu,* ambao ni muhimu kwa uboho kufanya kazi vizuri.

6. *Kuboresha lishe ya seli*: Hutoa virutubisho muhimu kusaidia uboho kufanya kazi.

7. *Kurekebisha DNA:* Baadhi ya mimea huwa na uwezo wa kusaidia marekebisho ya DNA ya seli.

8. *Kupunguza uchochezi (inflammation):* Husaidia kupunguza hali za uchochezi kwenye uboho.

9. *Kuchochea uzalishaji wa seli mpya*: Huweka mazingira bora kwa uboho kuzalisha seli mpya za damu.

10. *Kutoa msaada wa kiafya bila sumu:?* Plant stem cells ni salama, bila athari kali k**a tiba

*Tupo Ubungo,Mabibo hostel jengo LA Mkulima house*
Mawasiliano;
0794897240
Dar es salaam.

KUVIMBA MIGUU, SABABU NA TIBA YAKE Miguu kuvimba husababishwa na kutuama kwa maji kwenye chembe hai za miguu, huweza kus...
07/02/2026

KUVIMBA MIGUU, SABABU NA
TIBA YAKE

Miguu kuvimba husababishwa na kutuama kwa maji kwenye chembe hai za miguu, huweza kusababishwa na matatizo katika mfumo wa mishipa ya damu, mirija ya mitoki au tatizo katika figo. Unaweza kuvimba miguu kwa sababu pia ya kukaa ama kusimama mda mrefu sehemu moja.

VISABABISHI VYA KUVIMBA MIGUU
Kuna aina mbili za visabaishi, aina ya kwanza ni kutokana na kuvia kwa maji na aina ya pili kutokana na michomo kwenye chembe hai maeneo ya miguu. Maelezo zaidi yanapatikana kwenye aya zinazofuata.

1-Kuvimba miguu kutokana na mkusanyiko wa maji kwenye tishu za miguu
2-Kufeli ghafla kufanya kazi kwa figo
3-Magonjwa ya kuta za moyo
4-Kufeli sugu kufanya kazi kwa figo
5-Kufanyika makovu kwenye ini
6-Kufeli kwa moyo
7-Matibabu ya dawa za homoni
8-Kuziba kwa mishipa ya ngiri
9-Kuharibika kwa mishipa midogo ya ndani ya figo
10-unywaji wa Dawa za kutuliza maumivu ki Holela
11-Michomo kwenye kuta za moyo
12-Ujauzito
13-Madawa k**a madawa ya kisukari na shinikizo la damu
14-Kusimama kwa mda mrefu, kukaa kwa mda mrefu k**a kwenye ndege na gari
15-Magonjwa ya mishipa ya damu
16Mishipa ya damu ya vein kushindwa kurudisha damu kwenye moyo

KUVIMBA MIGUU KUTOKANA NA MAGONJWA YA MICHOMO KINGA

A-Kuvunjika kwa mfupa
B-Maambukizi kwenye ngozi
Gauti
C-Maambukizi kwenye vidonda vya miguuni
D-Maambukizi kwenye vijifuko vya maji katika maungio ya miguu
E-Misuguano ya mifupa katika maungio
F-Baridi yabisi
G-Jeraha kwenye maungio ya visigino

MATIBABU YA NYUMBANI (HOME REMEDIES )

Matibabu yafuatayo yanaweza kufanywa na mtu yeyote akiwa nyumbani endapo ana tatizo la miguu kuvimba. Matibabu haya yanaweza kutumiwa tu endapo umeongea na daktari wako kwamba yapi ni yapi yanakufaa Zaidi kulingana na hali yako.

MJONGEO
Ukijongesha misuli kwenye maeneo ambayo yana uvimbe, mfano uvimbe kwenye kiwiko cha mguu au kwenye goti unatakiwa jongesha misuli ya miguu. Kufanyisha mazoezi miguu kwa kutembea mwendo au kukunja na kunyoosha kwa muda wa dakika 15 hadi 30 kunaweza saidia kupunguza uvimbe.

KUNYANYUA MIGUU JUU DHIDI YA
MWILI

Hakikisha unanyanyua miguu yako juu ya usawa wa moyo mara kwa mara, unaweza kufanya hivi ukiwa umelala wakati wa mchana au usiku. Kuwezesha kunyanyua miguu juu, wakati umelala weka mto chini ya miguu ili miguu iwe juu Zaidi ya mwili.

KUKANDA MIGUU
Kanda kwa kukamua miguu kuelekea juu kwenye magoti, tumia nguvu kidogo isipite kiasi, hii inasaidia kusukuma maji na damu yaliyozidi kuelekea kwenye.

MGANDAMIZO KWENYE MIGUU
Unaweza tumia soksi maalumu za kugandamiza miguu yako .Soksi hizi husaidia miguu isiendelee kuvimba Zaidi na pia inapunguza uvimbe. Daktari wako atashauri matumizi ya hizi soksi na namna unavyowezazipata.

KINGA MIGUU NA MAJERAHA
Hakikisha eneo la miguu yako limekuwa safi na halijakauka, na usiliweke katika mazingira ya kupata jeraha. Ngozi ikikauka au kupata majeraha ni rahisi kupata maambukizi. Siku zote yalinde maeneo yaliyovimba kwa kuvaa vituvya kukinga kupata majeraha.

ZINGATIA
Wakati huo wa safari epuka kuvaa kwa muda mrefu nguo zinazobana sehemu za mapaja na k**a umnene kupita kiasi fanya mazoezi mara kwa mara ili kupunguza uzito. Lakini yote hayo ukiyafanya na miguu kuendelea kuvimba ni vema ukamuona daktari ili akupime na kisha kukupa dawa stahiki ili upone kabisa.

TIBA YAKE
ikiwa umesumbuliwa na tatizo hili basi wasiliane nasi ili upate dawa ambazo zinatibu na kumaliza kabisa matatizo hayo kabisa

KWA TIBA NA USHAURI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255794897240
Mabibo ,Dar es salaam.

– MSAADA KWA WENYE BAWASIRI 🔥Unasumbuliwa na bawasiri (hemorrhoids), maumivu, kuwashwa au kutokwa damu wakati wa choo?💚 ...
07/02/2026

– MSAADA KWA WENYE BAWASIRI 🔥
Unasumbuliwa na bawasiri (hemorrhoids), maumivu, kuwashwa au kutokwa damu wakati wa choo?
💚 AFA CELL Moringa Extract imeundwa kusaidia mwili wako kwa njia ya asili.
✨ Inasaidiaje?
✅ Husaidia kuboresha mzunguko wa damu
✅ Husaidia kupunguza uvimbe na maumivu
✅ Husaidia kusafisha mfumo wa mmeng’enyo wa chakula
✅ Huimarisha kinga ya mwili na afya ya tumbo
🌿 Imetengenezwa kwa viambato asilia k**a:
AFA (Blue Green Algae)
Phycocyanin
Polysaccharides
Moringa Extract
📦 Pakiti 15 (sachets) – Rahisi kutumia kila siku
👉 Inafaa kwa:
✔ Wenye bawasiri ya ndani au nje
✔ Wanaokaa muda mrefu
✔ Wenye matatizo ya choo kigumu
📞 Wasiliana nasi sasa upate AFA CELL Moringa Extract,0794897240
Afya bora huanza na chaguo sahihi 🌱

DALILI ZA CHEMBE YA MOYO1.Maumivu ya kifua upande wa kushoto chini ya ziwa ambayo husambaa Hadi bega la mkono wa kushoto...
07/02/2026

DALILI ZA CHEMBE YA MOYO
1.Maumivu ya kifua upande wa kushoto chini ya ziwa ambayo husambaa Hadi bega la mkono wa kushoto na Nyuma ya Mgongo.

2.Mapigo ya Moyo kwenda mbio baadhi ya nyakati

3.Kupumua kwa Shida au kubanwa na Pumzi hasa usiku ukiwa umelala

4.Kuishiwa nguvu

5.Kichwa Kuuma mara kwa mara

6.Presha kupanda

7.Kuoanda Ganzi na Vichomi Kwenye vidole vya miguu na mikono

K**a unapata Dalili hizi wasiliana nasi haraka tukupatie Ushauri na Tiba uweze kupona kabisa .
Mawasiliano,0794897240
Tupo,Mabibo,Dar es ,salaam.,

Address

Dsm
Dar Es Salaam
255

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Jitibu Kiasilia posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram