
01/07/2025
🐫 *SARATANI YA SHINGO _____YA KIZAZI (CERVICAL _____CANCER)
Mob;0716535237.
*🐫 Saratani ya shingo ya kizazi inasumbua sana Wanawake wa umri wote.*
*🐫Huwapata Wanawake wanaonza s*x mapema. Sana na walio kwenye menoupase*
*🐫Madawa ya kuzuia mimba kutoka husababisha (DES)*
*🐫Huleta madhara ya ki hisia (emotionally) na Kimaumbile (physically)*
*🐫Husababisha uke mkavu k**a ukifanyiwa upasuaji.*
*🐫Kuna aina mbili za cervical cancer*
🐫 *SARATANI YA SHINGO YA KIZAZI (CERVICAL CANCER)*
*🔑Saratani ya shingo ya kizazi au Saratani ya *mlango wa kizazi* aina ya saratani inayoshambulia* *seli/chembechembe* zilizomo ndani ya *ngozi laini*( *soft skin tissue* ) *inayozunguka shingo ya kizazi*.
*🔑Saratani ya shingo ya kizazi huanza na kuendelea kwa muda mrefu bila kuonesha dalili zozote*.
*🔑Dalili ambazo zinaweza kujitokeza wakati ugonjwa upo katika hatua za mwisho*
🐫 *CERVIX NI NINI*
*📌 Cervix ni sehemu ya chini ya *Uterus*(pango *Mtoto hukua wakati wa Ujauzito)*.
*📌Cervix ni kitu kinachofanana na *donut* na kinaunganisha *uterus* kwenye mlango wa uke* ( *va**na* )
📌 *Cervix* imezungukwa na *tissues* zilizojengwa na *cells*
*📌 Hizi ndio *cells* zenye *afya ambazo hukua* ( *grow* ) *na Kubadilika kuwa cells zenye Saratani* ( *precancer cells* )
🐫 *SARATANI YA MLANGO WA KIZAZI HUANZAJE*
🔑 *Cervical cancer* ni *kukua kwa cells ambao huanzia kwenye* *cervix* .
*🔑Maambukizi mbalimbali ya kirusi *Human papillomavirus* *(HPV)* ni kisababishi kikuu cha Hii* *Saratani* .
*__🔑HPV ni Maambukizi _____yanayoletwa na ___kujamiiana* *(s*xual _______contact)*
*___🔑Ukiambukizwa HPV __Kinga ya mwili (body ___immune system) huzuia Hawa *virus* kuleta madhara*
*🔑Asilimia ndogo ya watu, Hawa virus huishi kwa miaka Mingo*.
*🔑Hii huchangia mchakato unaosababisha Baadhi ya cells za mlango wa kizazi kuwa cells zenye Saratani*.
🐫 *DALILI ZA SARATANI YA MLANGO WA KIZAZI (SYMPTOMS)*
*🐝Inapoanza, cervical cancer inaweza isionyesha dalili.*
*🐝Inavyoendelea kukua huanza kuonyesha alama ( *sign* ) na dalili* *(symptoms)* zifuatazo:
✅Uchafu kutoka Baada ya kujamiiana ( *va**nal bleeding)*
✅Kutoa majimaji *wakati* wa au *Baada* ya kukosa hedhi ( *menopause* )
*✅Hedhi nzito na ya muda mrefu kuliko kawaida*.( *heavier menstrual bleeding* )
*✅Majimaji, yenye damu mazito yenye harufu mbaya* ( *discharge with foul-smelling)*
✅Maumivu ya Nyonga wakati wa kujamiiana ( *pelvic pain during in*******se)*
*🐫 DALILI ZINGINE NI:*
*✅ Kuharisha* ( *diarrhea* )
*✅ Maumivu wakati wa* kukojoa ( *pain during urinating)*
*✅Mkojo wenye damu kwenye sehemu ya haja kubwa *(re**um)* wakati wa kujisaidia*
*✅Uchovu mkubwa* *(fatigue)*
✅ Kupoteza Uzito ( *weight loss* )
✅Kupoteza hamu ya kula ( *no appetite* )
*✅Kuhisi kuumwa mguu, mgongo, kiungo na chini ya tumbo*
🐫 JE *UNAWEZA GUNDUA CERVICAL CANCER KWA KUINGIZA VIDOLE UKENI*
🤚🏽 *HAPANA (NO* )
*🦂Cell za Saratani ni ndogo sana na ni vigumu kuzihisi mpaka utumie darubini* ( *microscope* )
*🦂 K**a unahisi muinuko (bump) au mlundikano wa kwenye uke, inaweza kuwa dalili kivimbe cha cell ( *polyps* ) au kivimbe maji ( *cysts*. ) NAMBA YA Mshauri Wa Afya
1.0716535237
2.0762749476
Dar es salaam.