Maisha NA AFYA

Maisha NA AFYA Huduma ya vipimo, ushauri na matibabu

𝗣𝗔𝗧𝗔 𝗦𝗨𝗟𝗨𝗛𝗜𝗦𝗛𝗢 𝗟𝗔 𝗞𝗨𝗗𝗨𝗠𝗨 - 𝗧𝗜𝗕𝗨 𝗦𝗔𝗥𝗔𝗧𝗔𝗡𝗜 𝗬𝗔 𝗠𝗔𝗧𝗜𝗧𝗜 𝗞𝗪𝗔 𝗠𝗨𝗗𝗔 𝗪𝗔 𝗪𝗜𝗞𝗜 𝟴 𝗛𝗔𝗗𝗜 𝟭𝟮:Saratani ya mat**i ni aina ya kansa inayot...
23/10/2024

𝗣𝗔𝗧𝗔 𝗦𝗨𝗟𝗨𝗛𝗜𝗦𝗛𝗢 𝗟𝗔 𝗞𝗨𝗗𝗨𝗠𝗨 - 𝗧𝗜𝗕𝗨 𝗦𝗔𝗥𝗔𝗧𝗔𝗡𝗜 𝗬𝗔 𝗠𝗔𝗧𝗜𝗧𝗜 𝗞𝗪𝗔 𝗠𝗨𝗗𝗔 𝗪𝗔 𝗪𝗜𝗞𝗜 𝟴 𝗛𝗔𝗗𝗜 𝟭𝟮:

Saratani ya mat**i ni aina ya kansa inayotokea kwenye tishu za mat**i. Saratani hii hutokea pale ambapo seli za mat**i zinapoanza kukua kwa kasi isiyo ya kawaida na kuunda uvimbe (tumor) ambao unaweza kuwa wa hatari au wa kawaida (ambao si kansa). Saratani ya mat**i inaweza kuathiri sehemu mbalimbali za t**i, k**a vile mirija ya maziwa (ducts), vifuko vya maziwa (lobules), au tishu nyingine za mat**i.

𝗕𝗔𝗔𝗗𝗛𝗜 𝗬𝗔 𝗗𝗔𝗟𝗜𝗟𝗜 𝗭𝗔 𝗦𝗔𝗥𝗔𝗧𝗔𝗡𝗜 𝗬𝗔 𝗠𝗔𝗧𝗜𝗧𝗜 𝗭𝗜𝗡𝗔𝗪𝗘𝗭𝗔 𝗞𝗨𝗝𝗨𝗠𝗨𝗜𝗦𝗛𝗔:

➖ Uvimbe au kidonge kinachoweza kuhisiwa kwenye mat**i au karibu na kwapa.

➖ Mabadiliko ya ukubwa au umbo la t**i na maumivu ya mara kwa mara.

➖ Kubadilika kwa ngozi ya t**i, k**a kukunjamana, kuwa na weusi, au kutokea mashimo.

➖ Kutokwa kwa majimaji kwenye chuchu, hasa damu.

➖ Maumivu au usumbufu usio wa kawaida kwenye t**i au chuchu.

𝗕𝗔𝗔𝗗𝗛𝗜 𝗬𝗔 𝗠𝗔𝗗𝗛𝗔𝗥𝗔 𝗬𝗔 𝗦𝗔𝗥𝗔𝗧𝗔𝗡𝗜 𝗬𝗔 𝗠𝗔𝗧𝗜𝗧𝗜 𝗜𝗦𝗜𝗣𝗢 𝗧𝗜𝗕𝗜𝗪𝗔 𝗠𝗔𝗣𝗘𝗠𝗔:

Saratani ya mat**i inaweza kusababisha madhara mbalimbali kwa mwili na afya kwa jumla ya mtu.

Baadhi ya madhara ya saratani ya mat**i ni pamoja na:

➖ Maumivu ya kifua au mat**i - Saratani inaweza kusababisha maumivu katika eneo la mat**i au kifua.

➖ Mabadiliko ya umbo na saizi ya mat**i - Saratani inaweza kufanya mat**i kubadilika kwa ukubwa, kuvimba au kuonekana kwa uvimbe.

➖ Kuathiri afya ya jumla - Saratani ya mat**i inaweza kusababisha uchovu mwingi, kupoteza uzito, na kukosa hamu ya chakula.

➖ Matatizo ya hisia na kisaikolojia - Kupitia matibabu ya saratani kunaweza kusababisha mfadhaiko, wasiwasi, na huzuni.

➖ Kuvimba kwa mikono (Lymphedema) - Wakati mwingine, uvimbe unaweza kutokea kwenye mkono au bega kutokana na kuondolewa kwa nodi za limfu wakati wa upasuaji.

➖ Madhara ya matibabu - Matibabu k**a vile upasuaji, mionzi, na chemotherapy inaweza kuleta madhara makubwa k**a kupoteza nywele, kichefuchefu, na matatizo ya homoni pamoja na kuvunjika kwa mifupa.

𝗡𝗶 𝗺𝘂𝗵𝗶𝗺𝘂 𝗸𝘄𝗮 𝗺𝘁𝘂 𝗮𝗹𝗶𝘆𝗲 𝗻𝗮 𝘀𝗮𝗿𝗮𝘁𝗮𝗻𝗶 𝘆𝗮 𝗺𝗮𝘁𝗶𝘁𝗶 𝗸𝘂𝗽𝗮𝘁𝗮 𝗺𝗮𝘁𝗶𝗯𝗮𝗯𝘂 𝘆𝗮 𝗵𝗮𝗿𝗮𝗸𝗮 𝗻𝗮 𝘂𝘀𝗵𝗮𝘂𝗿𝗶 𝘄𝗮 𝗸𝗶𝗮𝗳𝘆𝗮 𝗶𝗹𝗶 𝗸𝘂𝘁𝗶𝗯𝘂 𝘁𝗮𝘁𝗶𝘇𝗼 𝗻𝗮 𝗸𝘂𝗯𝗼𝗿𝗲𝘀𝗵𝗮 𝘂𝗯𝗼𝗿𝗮 𝘄𝗮 𝗺𝗮𝗶𝘀𝗵𝗮.

Wasiliana nasi kwakupiga simu au kutuma ujumbe mfupi was maandishi kupitia WhatsApp 0745 874 867 +255788874867

16/10/2024

Karibu tukuhudumie

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Maisha NA AFYA posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Maisha NA AFYA:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram