hepatitis a,b,c,d and e solutions

hepatitis a,b,c,d and e solutions TUNATIBU HEPATITIS (HOMA YA INI) AINA ZOTE A,B,C,D na E KARIBU NIKUSAIDIE
WASILIANA NASI +255653390434

02/01/2025

Wai matibabu ya hepatitis mapema
Wasiliana nasi 0653 390 434

UGONJWA WA HOMA YA INI - HEPATITIS ๐Ÿฉบ

DALILI
Dalili za Ugonjwa wa HOMA YA INI na Jinsi Unavyoambukizwa (Ugonjwa huu ni hatari kuliko UKIMWI) โš ๏ธ

Homa ya Ini ni ugonjwa unaoambukizwa kwa njia ya virusi ambavyo vikishaingia mwilini hushambulia ini kabla ya kugeuka maradhi sugu. Virusi hivyo vinaitwa Hepatitis virus (vipo vya aina nne: Hepatitis A, B, C, na D) ๐Ÿฆ . Ila B na C ni hatari zaidi.

Virusi hivyo husambazwa kwa njia ya damu au majimaji mengine ya mwilini, mfano mate au jasho ๐Ÿ’ง. Watu takriban 1,000,000 wanapoteza maisha duniani kote kutokana na ugonjwa wa Homa ya Ini (Hepatitis) ๐ŸŒ.

Ugonjwa huu k**a haujatibiwa hutengeneza uvimbe katika ini na kusababisha kansa ya ini na baadaye kifo โšฐ๏ธ.

CHANZO
Katika maeneo hatari zaidi duniani, Virusi vya Hepatitis B (HBV) kwa kawaida husambazwa kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto wakati wa kuzaliwa au kutoka kwa mtu mmoja hadi mwingine hususan nyakati za utotoni ๐Ÿ‘ถ.

K**a ilivyo kwa UKIMWI, virusi vya Homa ya Ini pia huambukizwa kwa njia ya kujamiiana, mate, jasho, na mwingiliano wowote wa damu ๐Ÿฉธ.

NJIA KUU ZA MAAMBUKIZI

Kujamiana bila kinga ๐Ÿ˜ท

Kunyonyana ndimi ('denda') ๐Ÿ‘…

Mama mwenye ugonjwa kumwambukiza mtoto wakati wa kujifungua ๐Ÿคฐ

Kuchangia damu isiyo salama ๐Ÿฉธ

Kuchangia vitu vya ncha kali k**a sindano, wembe n.k. โœ‚๏ธ

Kuchangia miswaki ๐Ÿชฅ

Kuchangia taulo na mwenye ugonjwa huo ๐Ÿšฟ

Kubadilishana nguo au kukumbatiana wakati mkiwa mnavuja jasho ๐Ÿงฅ

DALILI
Hata hivyo, watu wengine husumbuliwa na homa kali na dalili ambazo hudumu kwa wiki kadhaa. Dalili hizo ni:

Uchovu ๐Ÿ˜ด

Kichefuchefu ๐Ÿคข

Mwili kuwa dhaifu ๐Ÿ›Œ

Homa kali ๐Ÿค’

Kupoteza hamu ya kula ๐Ÿฝ๏ธ

Kupungua uzito โš–๏ธ

Maumivu makali ya tumbo upande wa ini ๐Ÿค•

Macho na ngozi kuwa vya njano ๐Ÿ‘๏ธ๐Ÿ‘จโ€๐Ÿฆณ

Mkojo mweusi ๐Ÿšป

Kwa wagonjwa wengine, virusi vya Hepatitis B hukua hadi kusababisha ini kuharibika kabisa (cirrhosis of the liver) au saratani ya ini (liver cancer) ๐Ÿฅ.

KINGA

Chanjo ๐Ÿ’‰

Kutumia kinga wakati wa kujamiana ๐Ÿ›ก๏ธ

Kuacha kuchangia vitu vya ncha kali k**a sindano, wembe n.k. โœ‚๏ธ

Kutochangia miswaki ๐Ÿชฅ

Kuwa na mpenzi mmoja mwaminifu ๐Ÿ’‘

Kutochangia damu isiyo salama ๐Ÿฉธ

ipo โœ…
๐Ÿ“ž Wasiliana nami kwa nambari za WhatsApp:
0653 390 434
Follow hepatitis a,b,c,d and hepatitis a,b,c,d and hepatitis a,b,c,d and e solutions

โœ๏ธ TIBU HOMA YA INI NDANI YA WIKI 12NB:     NI MUHIMU KUJUA WINGI WA VIRUSI.                               VYA HEPATITIS...
20/12/2024

โœ๏ธ TIBU HOMA YA INI NDANI YA WIKI 12
NB:
NI MUHIMU KUJUA WINGI WA VIRUSI. VYA HEPATITIS ILI KUPATA MATIBABU YALIO SAHIHI.

๐ŸŽ—Kwa Hepatitis B, kiwango cha viral load kinapimwa kwa kipimo cha IU/mL (International Units per Milliliter). Madhara yanategemea kiwango cha virusi kilichopo kwenye damu. Hapa ni viwango vya viral load na athari zake:

1. Chini ya 2,000 IU/mL:

๐ŸŽ—Kiwango hiki ni cha chini sana.

Madhara kwa ini ni madogo au hayapo kabisa.

๐ŸŽ—Wagonjwa wengi walio na kiwango hiki hawahitaji matibabu, lakini uchunguzi wa mara kwa mara ni muhimu.

2. 2,000 - 20,000 IU/mL:

๐ŸŽ—Kiwango hiki kinaonyesha uwepo wa maambukizi yanayoanza kuathiri ini.

๐ŸŽ—Hali inaweza kusababisha uharibifu wa ini kwa muda mrefu (chronic hepatitis), hasa k**a kuna dalili za kuvimba kwa ini.

3. Zaidi ya 20,000 IU/mL:

๐ŸŽ—Kiwango hiki ni hatari zaidi, hasa ikiwa linaendelea kwa muda mrefu.

๐ŸŽ—Madhara yanaweza kuwa makubwa, ikiwa ni pamoja na cirrhosis (kovu kwenye ini) au sarcoma ya ini (liver cancer).

๐ŸŽ—Hali hii mara nyingi huhitaji matibabu ya haraka.

4. Juu sana (zaidi ya milioni 1 IU/mL):

๐ŸŽ—Kiwango hiki ni cha juu mno, na ini huathiriwa kwa kasi kubwa.

Kuna uwezekano wa dalili kali, k**a vile manjano, uchovu, na maumivu ya ini.

Kwa kifupi:

๐ŸŽ—Chini ya 2,000 IU/mL: Hatari ya madhara ni ndogo.

๐ŸŽ—Zaidi ya 20,000 IU/mL: Hatari ya madhara makubwa k**a uharibifu wa ini huongezeka sana.

๐ŸŽ—Matibabu na uchunguzi wa mara kwa mara ni muhimu kuzuia madhara ya muda mrefu. Tafadhali shauriana na daktari ili kujua hatua bora kulingana na hali yako. Je, ungependa maelezo zaidi kuhusu matibabu?
Wasiliana nasi
0653 390 434
Andika dr nkupigie

Wai matibabu ya hepatitis mapema Wasiliana nasi 0653 390 434UGONJWA WA HOMA YA INI - HEPATITIS ๐ŸฉบDALILIDalili za Ugonjwa ...
19/12/2024

Wai matibabu ya hepatitis mapema
Wasiliana nasi 0653 390 434

UGONJWA WA HOMA YA INI - HEPATITIS ๐Ÿฉบ

DALILI
Dalili za Ugonjwa wa HOMA YA INI na Jinsi Unavyoambukizwa (Ugonjwa huu ni hatari kuliko UKIMWI) โš ๏ธ

Homa ya Ini ni ugonjwa unaoambukizwa kwa njia ya virusi ambavyo vikishaingia mwilini hushambulia ini kabla ya kugeuka maradhi sugu. Virusi hivyo vinaitwa Hepatitis virus (vipo vya aina nne: Hepatitis A, B, C, na D) ๐Ÿฆ . Ila B na C ni hatari zaidi.

Virusi hivyo husambazwa kwa njia ya damu au majimaji mengine ya mwilini, mfano mate au jasho ๐Ÿ’ง. Watu takriban 1,000,000 wanapoteza maisha duniani kote kutokana na ugonjwa wa Homa ya Ini (Hepatitis) ๐ŸŒ.

Ugonjwa huu k**a haujatibiwa hutengeneza uvimbe katika ini na kusababisha kansa ya ini na baadaye kifo โšฐ๏ธ.

CHANZO
Katika maeneo hatari zaidi duniani, Virusi vya Hepatitis B (HBV) kwa kawaida husambazwa kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto wakati wa kuzaliwa au kutoka kwa mtu mmoja hadi mwingine hususan nyakati za utotoni ๐Ÿ‘ถ.

K**a ilivyo kwa UKIMWI, virusi vya Homa ya Ini pia huambukizwa kwa njia ya kujamiiana, mate, jasho, na mwingiliano wowote wa damu ๐Ÿฉธ.

NJIA KUU ZA MAAMBUKIZI

Kujamiana bila kinga ๐Ÿ˜ท

Kunyonyana ndimi ('denda') ๐Ÿ‘…

Mama mwenye ugonjwa kumwambukiza mtoto wakati wa kujifungua ๐Ÿคฐ

Kuchangia damu isiyo salama ๐Ÿฉธ

Kuchangia vitu vya ncha kali k**a sindano, wembe n.k. โœ‚๏ธ

Kuchangia miswaki ๐Ÿชฅ

Kuchangia taulo na mwenye ugonjwa huo ๐Ÿšฟ

Kubadilishana nguo au kukumbatiana wakati mkiwa mnavuja jasho ๐Ÿงฅ

DALILI
Hata hivyo, watu wengine husumbuliwa na homa kali na dalili ambazo hudumu kwa wiki kadhaa. Dalili hizo ni:

Uchovu ๐Ÿ˜ด

Kichefuchefu ๐Ÿคข

Mwili kuwa dhaifu ๐Ÿ›Œ

Homa kali ๐Ÿค’

Kupoteza hamu ya kula ๐Ÿฝ๏ธ

Kupungua uzito โš–๏ธ

Maumivu makali ya tumbo upande wa ini ๐Ÿค•

Macho na ngozi kuwa vya njano ๐Ÿ‘๏ธ๐Ÿ‘จโ€๐Ÿฆณ

Mkojo mweusi ๐Ÿšป

Kwa wagonjwa wengine, virusi vya Hepatitis B hukua hadi kusababisha ini kuharibika kabisa (cirrhosis of the liver) au saratani ya ini (liver cancer) ๐Ÿฅ.

KINGA

Chanjo ๐Ÿ’‰

Kutumia kinga wakati wa kujamiana ๐Ÿ›ก๏ธ

Kuacha kuchangia vitu vya ncha kali k**a sindano, wembe n.k. โœ‚๏ธ

Kutochangia miswaki ๐Ÿชฅ

Kuwa na mpenzi mmoja mwaminifu ๐Ÿ’‘

Kutochangia damu isiyo salama ๐Ÿฉธ

ipo โœ…
๐Ÿ“ž Wasiliana nami kwa nambari za WhatsApp:
0653 390 434
Follow hepatitis a,b,c,d and hepatitis a,b,c,d and e solutions

09/12/2024

0653390434
Inasababishwa na virusi aina 5 A,B,C,D,E
Virusi hivi vikiwa vingi hufanya ini kusinyaa na kudhindwa kufanya kazi yake

Sababu kubwa Huwa ni mtindo wa maisha
ambayo si salama
vyenye sumu nyingi
damu

sundano ambazo si salama
mjamzito kwa 90% humuambukiza mtoto akiwa tumboni,akijifungua au akimnyonyesha

Virus wa kundi A,E huenezwa kwa njia ya kunnywa maji ambayo si salama na vyakula ambavyo si salama

Hapa mtu Huwa anatapika sana na kuharisha
Virus DCB
kwa njia ya kuongezewa damu yenye kirusi
na mtu mwenye virus hivyo
watu ambao wanatabia ya kujidunga
mjamzito mtoto akiwa tumboni,akijifungua na akimnyonyesha 90% anaweza kumuambukiza

CB
Vikiingia kwenye damu k**a KINGA zako zikishindwa kupambana na Hawa virus ๐ŸฆŸ๐Ÿฆ  changamoto hii inaweza kukupata


kutumia pombe
vyakula vyenye sumu nyingi ,mafuta mengi ,chumvi nyingi
maji salama

Kwa wenye hii changamoto kuna TIBA ya miezi 2 mpaka mitatu jitahidi KUWAHI TIBA mapema
TUPIGIE no 0653 390 434

Andika Dr nikupigie

UGONJWA WA HOMA YA INI - HEPATITIS ๐ŸฉบDALILIDalili za Ugonjwa wa HOMA YA INI na Jinsi Unavyoambukizwa (Ugonjwa huu ni hata...
05/12/2024

UGONJWA WA HOMA YA INI - HEPATITIS ๐Ÿฉบ

DALILI
Dalili za Ugonjwa wa HOMA YA INI na Jinsi Unavyoambukizwa (Ugonjwa huu ni hatari kuliko UKIMWI) โš ๏ธ

Homa ya Ini ni ugonjwa unaoambukizwa kwa njia ya virusi ambavyo vikishaingia mwilini hushambulia ini kabla ya kugeuka maradhi sugu. Virusi hivyo vinaitwa Hepatitis virus (vipo vya aina nne: Hepatitis A, B, C, na D) ๐Ÿฆ . Ila B na C ni hatari zaidi.

Virusi hivyo husambazwa kwa njia ya damu au majimaji mengine ya mwilini, mfano mate au jasho ๐Ÿ’ง. Watu takriban 1,000,000 wanapoteza maisha duniani kote kutokana na ugonjwa wa Homa ya Ini (Hepatitis) ๐ŸŒ.

Ugonjwa huu k**a haujatibiwa hutengeneza uvimbe katika ini na kusababisha kansa ya ini na baadaye kifo โšฐ๏ธ.

CHANZO
Katika maeneo hatari zaidi duniani, Virusi vya Hepatitis B (HBV) kwa kawaida husambazwa kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto wakati wa kuzaliwa au kutoka kwa mtu mmoja hadi mwingine hususan nyakati za utotoni ๐Ÿ‘ถ.

K**a ilivyo kwa UKIMWI, virusi vya Homa ya Ini pia huambukizwa kwa njia ya kujamiiana, mate, jasho, na mwingiliano wowote wa damu ๐Ÿฉธ.

NJIA KUU ZA MAAMBUKIZI

Kujamiana bila kinga ๐Ÿ˜ท

Kunyonyana ndimi ('denda') ๐Ÿ‘…

Mama mwenye ugonjwa kumwambukiza mtoto wakati wa kujifungua ๐Ÿคฐ

Kuchangia damu isiyo salama ๐Ÿฉธ

Kuchangia vitu vya ncha kali k**a sindano, wembe n.k. โœ‚๏ธ

Kuchangia miswaki ๐Ÿชฅ

Kuchangia taulo na mwenye ugonjwa huo ๐Ÿšฟ

Kubadilishana nguo au kukumbatiana wakati mkiwa mnavuja jasho ๐Ÿงฅ

DALILI
Hata hivyo, watu wengine husumbuliwa na homa kali na dalili ambazo hudumu kwa wiki kadhaa. Dalili hizo ni:

Uchovu ๐Ÿ˜ด

Kichefuchefu ๐Ÿคข

Mwili kuwa dhaifu ๐Ÿ›Œ

Homa kali ๐Ÿค’

Kupoteza hamu ya kula ๐Ÿฝ๏ธ

Kupungua uzito โš–๏ธ

Maumivu makali ya tumbo upande wa ini ๐Ÿค•

Macho na ngozi kuwa vya njano ๐Ÿ‘๏ธ๐Ÿ‘จโ€๐Ÿฆณ

Mkojo mweusi ๐Ÿšป

Kwa wagonjwa wengine, virusi vya Hepatitis B hukua hadi kusababisha ini kuharibika kabisa (cirrhosis of the liver) au saratani ya ini (liver cancer) ๐Ÿฅ.

KINGA

Chanjo ๐Ÿ’‰

Kutumia kinga wakati wa kujamiana ๐Ÿ›ก๏ธ

Kuacha kuchangia vitu vya ncha kali k**a sindano, wembe n.k. โœ‚๏ธ

Kutochangia miswaki ๐Ÿชฅ

Kuwa na mpenzi mmoja mwaminifu ๐Ÿ’‘

Kutochangia damu isiyo salama ๐Ÿฉธ

ipo โœ…
๐Ÿ“ž Wasiliana nami kwa nambari za WhatsApp:
0653 390 434
Follow hepatitis a,b,c,d and e solutions

๐—ฆ๐—”๐—•๐—”๐—•๐—จ ๐—ฌ๐—” ๐—ž๐—œ๐—ก๐—š๐—” ๐—ฌ๐—” ๐— ๐—ช๐—œ๐—Ÿ๐—œ ๐—ž๐—จ๐—ฆ๐—›๐—จ๐—ž๐—” โœ…-Magonjwa k**a vile kisukari ,pesha na nkโœ…Ulaji mbovuโœ…Mfumo wa mmengenyo wa chakulaโœ…Uk...
03/12/2024

๐—ฆ๐—”๐—•๐—”๐—•๐—จ ๐—ฌ๐—” ๐—ž๐—œ๐—ก๐—š๐—” ๐—ฌ๐—” ๐— ๐—ช๐—œ๐—Ÿ๐—œ ๐—ž๐—จ๐—ฆ๐—›๐—จ๐—ž๐—”
โœ…-Magonjwa k**a vile kisukari ,pesha na nk
โœ…Ulaji mbovu
โœ…Mfumo wa mmengenyo wa chakula
โœ…Ukimwi
โœ…Hepatitis B
โœ…Kutopata muda wa kupumzika
โœ…Umri
โœ…Utumiaji wa dawa za kizungu muda mrefu

Whatsapp 0653 390 434
Follow AFYA YETU SOTE

Ndiyo, HOMA ya Ini (hasa Hepatitis B na C) inaweza kuwa hatari zaidi kuliko Ukimwi (HIV) katika baadhi ya vipengele. Hii...
03/12/2024

Ndiyo, HOMA ya Ini (hasa Hepatitis B na C) inaweza kuwa hatari zaidi kuliko Ukimwi (HIV) katika baadhi ya vipengele. Hii ni kwa sababu ya athari zake kwenye ini, na jinsi ugonjwa huu unavyoweza kuenea haraka bila dalili za awali, na hatimaye kusababisha matatizo makubwa k**a kansa ya ini na cirrhosis.

Hepatitis B inaweza
kuambukizwa kwa urahisi kupitia damu ambayo ndio njia Kuu na WAKATI mwingine maji maji ya mwilinina , sawa na HIV. Utofauti ni kwamba , virusi vya Hepatitis B vinaweza kusalia mwilini kwa muda mrefu bila kujulikana na kuvuruga ini hatua kwa hatua, hali inayosababisha hatari ya madhara ya kudumu.

Kwa hivyo, ingawa HIV pia ni hatari kwa afya ya mtu, Hepatitis B inaweza kuwa hatari zaidi kwa kuathiri moja kwa moja ini, kiungo muhimu cha mwili, na kupelekea matatizo ya afya yanayoweza kuwa hatari kwa maisha.

Wasiliana nasi kupata uduma 0653 390 434
Follow AFYA YETU SOTE

02/12/2024

Tibu kirahisi sana hepatitis A kwa mda wa mwezi mmoja tuu,
Wasiliana nasi 0653 390 434
Follow AFYA YETU SOTE

01/12/2024

Hepatitis C, is a disease that affect and damages our liver. Here's what causes it and how to stay safe.

*KUNYWA MAJI KWA WINGI KUNAFAIDA KADHAA K2A WAGONJWA WA HEPATITIS**1. KUBOLESHA UTENDAJI KAZI WA INI**2. KUDUMISHA UNYEV...
29/11/2024

*KUNYWA MAJI KWA WINGI KUNAFAIDA KADHAA K2A WAGONJWA WA HEPATITIS*

*1. KUBOLESHA UTENDAJI KAZI WA INI*

*2. KUDUMISHA UNYEVU*

*3. KUSAIDIA USAGAJI WA CHAKULA*

*4. KUPUNGUZA UCHOVU*

*5. KUSAIDIA UONDOAJI WA SUMU MWILINI*

Wasiliana nasi 0653 390 434

Homa ya Ini inayosababishwa na Virusi vya A na E huambukizwa kwa njia ya kunywa maji na chakula kilichochafuliwa na kiny...
28/11/2024

Homa ya Ini inayosababishwa na Virusi vya A na E huambukizwa kwa njia ya kunywa maji na chakula kilichochafuliwa na kinyesi chenye maambukizi ya virusi ("faecal-oral transmission") ambapo dalili zake zinafanana kwa kiasi kikubwa na za Magonjwa ya Kuhara

Homa ya Ini inayotokana na virusi aina ya B, C na D huambukizwa kwa njia zifuatazo;
๐Ÿ’Kuongezewa Damu yenye Virusi vya Ugonjwa,
๐Ÿ’Kujamiana,
๐Ÿ’Utumiaji usio salama wa Sindano,
๐Ÿ’Kujichoma na vitu vyenye ncha kali,
๐Ÿ’Majimaji ya Mgonjwa kumpata mtu mwingine k**a ana kidonda
๐Ÿ’kutoka kwa Mama kwenda kwa Mtoto wake wakati wa kujifungua

K**a wewe ni Miongoni mwa wanaopata dalili hizo hapo juu wasiliana nami kupitia
0653390434 kupata suluhisho.

Homa ya INI ni matokeo ya INI kuathrika aidha huyo mtu atakuwa na matatizo ya Ini hasa  yafuatayo๐Ÿ“ŒMaambukizi kwenye INI,...
28/11/2024

Homa ya INI ni matokeo ya INI kuathrika aidha huyo mtu atakuwa na matatizo ya Ini hasa yafuatayo

๐Ÿ“ŒMaambukizi kwenye INI, Ugonjwa common sana ni Hepatitis B (unaotokana na virus HBV) ambapo Kuna stage mbalimbali za Ini kuathrika na kuleta homa na matatizo mengine:

Stage 1 : Fatty Liver
Stage 2 : Liver Fibrosis
Stage 3 : Liver Cirrhosis
Stage 4 : Liver Cancer

Wasiliana nami kupata suluhisho kwa kutupigia kupitia

WASILIANA NASI KUPATA TIBA+255653390434

Address

Kimara Stopover
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when hepatitis a,b,c,d and e solutions posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram