DKT Shedrack

DKT Shedrack AFYA YAKO MTAJI WAKO, TIBA LISHE KWA KESHO YA AFYA YAKO

20/02/2025

*UGONJWA WA KISUKARI*

ambapo kitaalamu tunaita. *DIABETIC MELLITAS*............

Kwa lugha au kingereza chepesi tunaweza sema *High blood sugar*..........

Kwamaana kiwango cha sukari au glukosi kipo juu kwenye damu...........

*Kisukari ni nini❓❓*

*Kisukari* , ni hali ya kiafya inayosababisha kiwango cha juu cha sukari (glucose) katika damu..................

Sukari ni chanzo muhimu cha nishati kwa mwili.............

lakini ili iweze kuingia ndani ya seli na kutumika k**a nishati.............

mwili unahitaji homoni inayoitwa *insulini* ili kuibeba sukari iyo mpaka kwenye seli...........

Seli ushiba ndio nasi au mwili upata nguvu............

Ambapo Sukari iyo au glucose utoka kwenye vyakula tunavyokula kila siku...............

Hasa kutoka kwenye vyakula vya wanga k**a vile Wali , ugali.......
,

Nakadhalika...........

*AINA ZA UGONJWA WA KISUKARI*
*
Kuna aina kadhaa za kisukari.........,

lakini aina kuu zaidi ni.....

A🎴; kisukari cha aina ya 1
*(Diabetic mellitus type 1.... DM type 1 )*

B🎴; na kisukari cha aina ya 2:*(Diabetic Mellitus type 2......Dm type 2)*

Ufafanuzi zaidi kuhusu aina izo za kisukari.........
*
*Kisukari cha Aina ya 1 (DM type 1*)

Pia huitwa kisukari cha kujitegemea.........

na huathiri hasa watu wenywe umri mdogo na watoto..............

Katika kisukari cha aina hii mfumo wa kinga ya mwili hushambulia na kuangamiza seli zinazozalisha insulini katika kongosho..........

Hii inasababisha upungufu mkubwa wa insulini mwilini.............

na wagonjwa wa aina hii ya kisukari wanahitaji sindano ya insulini ili kudhibiti viwango vya sukari kwenye damu...............

*Low or absence of insulin production from the pancrease cells* ..........

_Yaan insulin inakua haizalishwi au huzalishwa kidogo ............_

*Kisukari cha Aina ya 2 ( DM Type 2:)*

Hii ni aina ya kisukari ambayo hutokea mara nyingi zaidi............

Katika aina hii, mwili huzalisha insulini............

lakini seli haziitikii ipasavyo (hali inayoitwa upinzani wa insulini).........
Hii husababisha kuongezeka kwa viwango vya sukari kwenye damu...........

Aina hii ya kisukari inaweza kudhibitiwa kwa kubadilisha lishe........

mtindo wa maisha, na dawa za kudhibiti sukari...........

*Insulin Resistance........*

_yaani insulin uzalishwa vizuri ila ukutana na viziwizi.......
_
Ambapo viziwizi ivo umfanya insulin hasifanye kazi yake vizuri ya kuibeba sukari kuipeleka kwenye seli..........

```Matokeo yake sukari ubaki kwenye damu na uleta mkusanyiko mkubwa wa sukari katika damu``` .....

*DALILI ZA KISUKARI*
*

A🎴;Kupata kiu sana

B🎴; Kukojoa Mara kwa Mara

C🎴; Kupungua Uzito Bila Sababu

C🎴; Njaa Mara kwa Mara

D🎴; Uchovu na Kuchoka

*Nakadharika* ......

Je ni dawa zipi nzuri nikitumia zitanisaidia ❓..................

*MATIBABU YA UGONJWA WA KISUKARI*

Kwanza ni kwenda kituo cha afya ili kupata kipimo zaidi...............

na kufahamu ni aina gani ya kisukari ulicho nacho....................

Pia kutoa dawa ya kuondoa VYANZO vya sukari mwilini...............

Dawa za kutibu Kisukari.......... .

ni zile Dawa ambazo zinazofanya kazi nzuri kwenye mfumo wa Damu.............

Mfano÷
# *LECETHIN* hii ndio chaguo la kwanza( drug of choice) ...............

Pia kutoa dawa zenye kupunguza uzito, mafuta mwalini...............

Na dawa zenye uwingi wa nafaka bubu...........

Mfano #
# *FISH OIL*
#*ANTLIPEMIC*

*Nakadharika* ............

Utoaji wa dawa
Na muunganiko wa dawa ................

tutatoa kulingana history na presentations za mgonjwa ..................

*NJIA ZA KUZUIA KUPATA KISUKARI*

1🎴; Chagua Lishe Bora:

2🎴; mboga na matunda, nafaka nzima mfano dona ,

3🎴; protini , na mafuta yenye afya mzeituni na parachichi).

4🎴; Epuka vyakula vyenye sukari nyingi, wanga wa juu, na vyakula vyenye mafuta mengi

5🎴; Kudhibiti Uzito

6🎴; Fanya Mazoezi:

7🎴; Punguza mawazo

*KWA MAELEZO ZAIDI*

Piga au njoo WhatsApp *0685050815/0776410367*

19/02/2025
19/02/2025

Je, ni matunda gani 5 ambayo huwezi kula usiku?
Karibuni Tujifunze kwa Afya zetu za Sasa na Baadae

Kula matunda fulani usiku kunaweza kusiwe bora kwa afya yako kwa sababu ya kiwango cha juu cha carbohydrate, kalori, sukari, asidi, au mambo mengine ambayo
yanaweza kuharibu usingizi na usagaji wa chakula.

Hapa kuna matunda 5 bora ambayo kwa ujumla inashauriwa kuepukwa kabla ya kulala

1.Ndizi
Ndizi zina lishe lakini zina sukari nyingi asilia na magnesiamu ambayo inaweza kulegeza misuli na inaweza kuwa tatizo kwa watu wenye pumu au matatizo mengine ya kupumua.

2.Mananasi
Mananasi yana sukari nyingi na ni tindikali kabisa. Kula nanasi wakati wa usiku kunaweza kusababisha shida ya usagaji chakula na kunaweza kusababisha kuongezeka kwa asidi.

3.Matunda ya Citrus (Machungwa, zabibu, ndimu)
Haya yana asidi nyingi na yanaweza kusababisha kiungulia au asidi ya reflux ambayo inaweza kuvuruga usingizi wako na kukufanya ukose raha.

4.Tufaha
Tufaha zina nyuzinyuzi nyingi ambazo kwa ujumla ni nzuri kwa usagaji chakula, lakini kuzila usiku kunaweza kusababisha uvimbe au gesi. Hii inaweza kufanya iwe vigumu kupata usingizi mzuri wa usiku.

5.Cherry
Macherri ina melatonin na inaweza kukuza usingizi inapotumiwa kwa kiasi lakini kula cherries nyingi kunaweza kusababisha matatizo ya usagaji chakula k**a vile gesi na uvimbe, jambo ambalo linaweza kutatiza usingizi. Vidokezo vya Kula Matunda Usiku:

Kwa ziada epukana na matunda yenye kalori nyingi k**a vile parachichi blackberries hufanya mchakato wa umeng'enywaji wa chakula kuwa mrefu na kuzalishwa kwa tindikali nyingi pamoja na enzymes.

Ikiwa utachagua kula matunda usiku, basi weka sehemu ndogo ili kupunguza athari mbaya zinazoweza kutokea.

Jaribu kula matunda angalau masaa kadhaa kabla ya kulala ili kuupa mwili wako wakati wa kusaga.

Chagua matunda yaliyo na sukari kidogo na yenye kalori kidogo. Ingawa ni muhimu kuzingatia jinsi mwili wako unavyoitikia vyakula tofauti wakati wa usiku kwa sababu mfumo wa utumbo wa kila mtu ni tofauti. Watu wengine wanaweza wasipate shida zozote na matunda haya.

Kusikiliza mwili wako na kurekebisha mlo wako ipasavyo ni muhimu.

ya tumbo
ya uzazi
ya mifupa

19/02/2025

Je, ni matunda gani 5 ambayo huwezi kula usiku?
Karibuni Tujifunze kwa Afya zetu za Sasa na Baadae

Kula matunda fulani usiku kunaweza kusiwe bora kwa afya yako kwa sababu ya kiwango cha juu cha carbohydrate, kalori, sukari, asidi, au mambo mengine ambayo
yanaweza kuharibu usingizi na usagaji wa chakula.

Hapa kuna matunda 5 bora ambayo kwa ujumla inashauriwa kuepukwa kabla ya kulala

1.Ndizi
Ndizi zina lishe lakini zina sukari nyingi asilia na magnesiamu ambayo inaweza kulegeza misuli na inaweza kuwa tatizo kwa watu wenye pumu au matatizo mengine ya kupumua.

2.Mananasi
Mananasi yana sukari nyingi na ni tindikali kabisa. Kula nanasi wakati wa usiku kunaweza kusababisha shida ya usagaji chakula na kunaweza kusababisha kuongezeka kwa asidi.

3.Matunda ya Citrus (Machungwa, zabibu, ndimu)
Haya yana asidi nyingi na yanaweza kusababisha kiungulia au asidi ya reflux ambayo inaweza kuvuruga usingizi wako na kukufanya ukose raha.

4.Tufaha
Tufaha zina nyuzinyuzi nyingi ambazo kwa ujumla ni nzuri kwa usagaji chakula, lakini kuzila usiku kunaweza kusababisha uvimbe au gesi. Hii inaweza kufanya iwe vigumu kupata usingizi mzuri wa usiku.

5.Cherry
Macherri ina melatonin na inaweza kukuza usingizi inapotumiwa kwa kiasi lakini kula cherries nyingi kunaweza kusababisha matatizo ya usagaji chakula k**a vile gesi na uvimbe, jambo ambalo linaweza kutatiza usingizi. Vidokezo vya Kula Matunda Usiku:

Kwa ziada epukana na matunda yenye kalori nyingi k**a vile parachichi blackberries hufanya mchakato wa umeng'enywaji wa chakula kuwa mrefu na kuzalishwa kwa tindikali nyingi pamoja na enzymes.

Ikiwa utachagua kula matunda usiku, basi weka sehemu ndogo ili kupunguza athari mbaya zinazoweza kutokea.

Jaribu kula matunda angalau masaa kadhaa kabla ya kulala ili kuupa mwili wako wakati wa kusaga.

Chagua matunda yaliyo na sukari kidogo na yenye kalori kidogo. Ingawa ni muhimu kuzingatia jinsi mwili wako unavyoitikia vyakula tofauti wakati wa usiku kwa sababu mfumo wa utumbo wa kila mtu ni tofauti. Watu wengine wanaweza wasipate shida zozote na matunda haya.

Kusikiliza mwili wako na kurekebisha mlo wako ipasavyo ni muhimu.

vya tumbo
ya uzazi
ya mifupa
Tupigie au Njoo WhatsApp kwa namba 0685050815/0776410367

18/02/2025

10/01/2025

*(PUD) VIDONDA VYA TUMBO*

_HAYA NDIO MATOKEO YA KUTOTIBU VIDONDA VYA TUMBO MAPEMA...........
_

```IMEKUWA KAWAIDA KWA BAADHI YA WATU KUENDELEA KUISHI NA VIDONDA HIVI VYA TUMBO............
```
PASIPOKUJUA ATHARI AU MADHARA YAKE, PALEVINAPOENDELEA KUDUMU NA KUWA SUGU..............

*Leo tuangalie Madhara 12 ya Vidonda vya tumbo mwilini,*

1🎴;Bila kuchukua hatua yoyote, kifo hutokea.

2🎴:Kuvuja damu ndani ya mwili (Internal bleeding and serious blood loss*

3🎴;Upungufu wa damu (Anemia)

4🎴;Kutapika damu

5🎴;Kupata kinyesi cheusi k**a cha mbuzi

6🎴;Kuvurugika kwa mfumo wa mmeng’enyo wa chakula (Obstructed digestion)

7🎴;Shida katika kupumua

8🎴; husababisha tatizo la bawasili sababu ya choo kuwa kigumu.

9🎴;Saratani ya utumbo (Stomach cancer)

10🎴; Kuharibu uti wa mgongo

11🎴;Kupungua kwa nguvu za kiume

12🎴;Kufanyika kwa upasuaji mkubwa wa tumbo ili kuondoa eneo lote lililoathirika.

*NB* ; *epuka mambo yanayochochea na kusababisha vidonda vya tumbo*

*POWERED BY*

INTERNATIONAL MBEZI LUIS

**

* HEALTH CARE*

IMEANDALIWA NA÷

*Health Coach*
Luqman Saleh

*The first wealth is health*

Call; 0685050815

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when DKT Shedrack posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram