Masua Blog ya Afya

  • Home
  • Masua Blog ya Afya

Masua Blog ya Afya AFYA KWANZA
"Watu Wangu Wanakufa Kwa Kukosa Maarifa"
Pata Maarifa Kuhusu Magonjwa Mbalimbali na jinsi ya kujikinga

Wazee mnaulizwa huku 😂😂
17/07/2025

Wazee mnaulizwa huku 😂😂

17/07/2025

Likizo iishe sasa 😂😂

Hebu mfarijini mwenzenu...!!
17/07/2025

Hebu mfarijini mwenzenu...!!

17/07/2025

Njooni muone uumbaji...niliwahi kuwaambia hapo ndio kwenye vocal cord..ndio sauti huwa inatokea lakini pia hewa huwa inatokea...hapo inaonyesha wakati mtu anavuta hewa ndani na kutoa nje.....sasa wenye ujinga wenu kichwani hapo mnaona ni Kariakoo kumbe ni Magomeni😂😂..!

Labda niwasaidie kidogo muelewe...ni hivi mpaka sasa hakuna chanjo yoyote ya VVU ambayo imegundulika wala kuidhinishwa.....
17/07/2025

Labda niwasaidie kidogo muelewe...ni hivi mpaka sasa hakuna chanjo yoyote ya VVU ambayo imegundulika wala kuidhinishwa... kilichoidhinishwa na WHO ni dawa kinga sio chanjo...kwa hiyo hiki walichoandika sio sahihi... Chanjo kwa kizungu inaitwa Vaccine...kwenye chanjo mara nyingi huwa wanachukua mdudu mwenyewe k**a ni HIV basi anakuwa mdudu wa HIV ambaye ni ama anakuwa amekufa au amepunguzwa makali au wanachukua kisehemu tu cha huyo mdudu ndio anapewa mtu, k**a zile chanjo mnazopelekaga watoto ziko kwenye mfumo huo... chanjo inasisimua mwili unazalisha kinga ya kupambana na wadudu wa chanjo husika.. chanjo inaweza kudumu kwa muda fulani au maisha yote ya mgonjwa...kwa hiyo kwa HIV kwa sasa hakuna chanjo... kwa HIV kuna dawa kinga ambayo mtu anatumia, k**a atafanya makaratee ile dawa inawaua virusi..kwa sasa kuna dawa za aina mbili 2, ya vidonge na ya sindano ambayo nafikiri ndio habari hii inataka kuelezea.. dawa ina kulinda pale unapokuwa unaitumia tu... ukiacha kutumia its fire.... nafikiri nimeeleweka kidogo...!

Wazee wenzangu njooni hapa niwasanunue kidogo...maana najua Explore page kwenye Instagram imechafuka wadada wenye mizigo...
16/07/2025

Wazee wenzangu njooni hapa niwasanunue kidogo...maana najua Explore page kwenye Instagram imechafuka wadada wenye mizigo kiasi kwamba hata mama mjengo akiona atakuuliza kwa hiyo haya ndio unayoangaliaga....sasa kuondoa hayo maroroso uanze upya fanya hivi...!
》Nenda kwenye settings( mistari mitatu juu kulia)...
halafu angalia sehemu imeandikwa What you See....chini yake bonyeza Content preference... itafunguka
》Angalia chini kabisa bonyeza Reset suggested content 》》bonyeza NEXT
》》kisha bonyeza Reset Suggested Content.... baada ya hapo maujinga yote yataondoka...hapo simu unaweza kufungua hata mbele ya mama mkwe 😂😂

Asante...!!

16/07/2025

Mwanangu mdogo mdogo...muone ndugu yako 😂😂

Aisee...🤔
16/07/2025

Aisee...🤔

Huyu ndie Jeffery Epstein- Baba wa Makuwadi Duniani...!"Nimemjua Jeff kwa miaka 15. Anapenda wanawake wazuri wazuri, k**...
16/07/2025

Huyu ndie Jeffery Epstein- Baba wa Makuwadi Duniani...!

"Nimemjua Jeff kwa miaka 15. Anapenda wanawake wazuri wazuri, k**a mimi, lakini yeye nasikia anapenda wasichana wadogo wadogo", hayo yalikuwa maneno ya Donald Trump, Rais wa sasa wa Marekani akizungumza na mwandishi wa Gazeti la New York Times mwaka 2002.

Kuna tofauti kati ya binti mdogo na mwanamke kijana. Jeffery yeye alikuwa wazi kabisa. Alikuwa anapenda vibinti vidogo vidogo. Jeffery alikula mpaka kuku wa dawa. Hiki ndicho kilichomwingiza matatizoni.

Ukiacha yeye mwenye kupenda vibinti vidogo pia alikuwa kuwadi pengine ndie baba wa makuwadi wa dunia hii. Aliwakuwadia wanaume matajiri. Aliwakusanya mabinti wadogo ambao wengi walikuwa hawajatimiza miaka 18 na kuwapa matajiri kula nao raha kwenye jumba lake la kifahari..

Jeffery Epstein ni nani sasa. Jeffery Epstein alizaliwa huko New York, Marekani. Wazazi wake walikuwa Mayahudi. Jeffery alikuwa na kusoma k**a watoto wengine tu. Akaenda chuo Kikuu huko akasoma Fizikia na Hisabati. Jeffery hakumaliza chuo. Akarudi mtaani. Akawa mwalimu wa Hisabati. Baadae mzazi mmoja akavutiwa sana na Jeffery. Akamtafutia kazi kwenye benki ya uwekezaji.

Baada ya miaka kadhaa Jeffery akaanzisha kampuni yake mwenyewe ya usimamizi wa fedha. Hapo ndipo Jeffery akawa tajiri wa kutupwa. Akawa na mihela. Akaanza kutapanya na kujichanganya na matajiri na masupastaa wa Marekani na nje ya Marekani. Mojawapo ya Marafiki zake walikuwa ni Rais Donald Trump, Bill Clinton na Mwana Mfalme wa Uingereza, Prince Andrew. Trump yeye anasema hakuwahi kushiriki kwenye ujinga wa Jeffery Epstein.

Baada ya miaka kwenda mzazi wa binti mmoja wa miaka 14 akalalamika polisi kwamba Jeffery alikuwa amelala na mtoto wake. Polisi walipofanya msako nyumbani kwa Jeffery walikuta picha za mabinti kila mahali.Hapo ndipo matatizo yakaanza. Mashtaka juu ya Mashtaka.

Mwaka 2019 Jeffery alijinyonga akiwa gerezani. Alikuwa akishatakiwa kwa makosa ya kuwafanyisha watoto biashara ya ngono. Jeffery mpaka anafariki hakuwahi kuoa. Aliwahi kuwa katika mahusiano na Miss Sweden pamoja na Ghislaine Maxwell. FBI wamekanusha kwamba Jeffery hakuacha list yoyote yenye majina ya watu aliokua anashirikiana nao..!

Katika mambo ambayo sijawahi kuelewa ni hili...mtoto umemzaa mwenyewe..chuki inatoka wapi kwa damu yako..!?🤔🤔
15/07/2025

Katika mambo ambayo sijawahi kuelewa ni hili...mtoto umemzaa mwenyewe..chuki inatoka wapi kwa damu yako..!?🤔🤔

Hebu msaidieni mwenzenu...!
15/07/2025

Hebu msaidieni mwenzenu...!

Address


Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Masua Blog ya Afya posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Masua Blog ya Afya:

Shortcuts

  • Address
  • Alerts
  • Contact The Practice
  • Claim ownership or report listing
  • Want your practice to be the top-listed Clinic?

Share