Afya Yangu

Afya Yangu Hi!!karibu Tunatoa huduma ya kutoa sumu mwilini,pia tunatoa huduma ya vipimo vya mwili mzima

FIBROID(UVvimbe kwenye kizazi)Ni hali ambapo kuna kuwa na tishu isiyo yakawaida ndani ya mji wa mimba au karibu kabisa n...
19/07/2025

FIBROID(UVvimbe kwenye kizazi)

Ni hali ambapo kuna kuwa na tishu isiyo yakawaida ndani ya mji wa mimba au karibu kabisa na mji wa mimba(uterus)

☆Uvimbe kwenye kizazi(fibroid) hii ndy aina maarufu ya uvimbe kwenye kizazi unaweza kuitwa pia
-MYOMA
-LEIOMYOMA

SIFA
-Ni vimbe zisizo na kansa
-Hutokana na ukuaji wa ukuta wa kizazi
-Ukubwa wake hutofautiana unaweza kuwa vidogo k**a maharage au ukubwa k**a ndimy
-Huweza kuotandani,nje au kwenye ukuta wa ndani unaobeba mimba

DALILI ZAKE
▪︎Kupata hedhi nzito na yamuda mrefu
▪︎Maumivu kwenye kinena/maumivu wakati wa tendo
▪︎Kupata choo kigumu
▪︎Ugumu wakushika/kuharibika mimba
▪︎kubanwa kwa kibofu cha mkojo/kukojoa mara kwa mara

SABABU
SAbabu za ugonjwa huu hazijajulikana kikamilifu,ila kuna baadhi ambazo zimegundulika ambazo ni
▪︎Homoni(estrogen na progesterone inachangia ukuaji wa fibroid)
▪︎kurithi
▪︎Uzito mkubwa
▪︎Umri wa kuzaa

MADHARA
▪︎Ugumba
▪︎kuchelewa kuzaa au ugumba
▪︎Kansa

NI WATU GANI AMBAO WAKO KWENYE HATARI YA KUPATA UGONJWA HUU!?
Wenye hatari zaidi yakupata ugonjwa huu ni
☆Wanawake wenye umri kuanzia miaka30 hadi 45
☆wenye historia na ugonjwa huu kwenye ukoo wao
☆Uzito uliopitiliza

MATIBABU
Matibabu yake yanategemea na ukubwa,sehemu na dalili zake
-Kufanya vipimo mara kwa mara
-vidonge
-Operesheni
-Mionzi

Hivyo basi wanawake wengi wa kiafrika wannathirika zaidi na huu ugonjwa pasipo kupata matibabu stahiki,hivyo bhc taasisi ya ETERNAL INTERNATIONAL inakuletea ofa kabambe ya madaktari waliobobea waliofunzwa kutoka china pamoja na offer ya kipimo cha mwili mzima kwa bei nafuu kabisa

Unachelewa nini sasa wahi sasa uje ujue afya yako na uanze kujipatia matibabu yaliyo sahihi

Tupo kigogo njia panda,
mawasiliano zaidi tupigie namba 0740 068 897


kukuthamini
NYOTE MNAKARIBISHWAA...

12/07/2025

*✨✨ TANGAZO LA KUPIMA AFYA! ✨✨*
*ETERNAL INTERNATIONAL inakuambia...*
*🛑 Usisubiri hadi hali iwe mbaya! Njoo upimwe mapema!*

*📅 TAREHE 20.05.2025 HADI TAREHE 15.06.2025
*⏰ MUDA: Kila siku asubuhi hadi jioni*
*📍 MAHALI: Popote ulipo, nchi nzima tunahudumia!*
*☎️ MAWASILIANO: 0740 068897

*✅ Tunapima MWILI MZIMA kwa 30,000 tu!*
*Kwa bei hii nafuu, utapata uchunguzi wa kina kwa:*
*Shinikizo la damu ❤️*
*Kisukari 🩸*
*Figo na ini ⚕️*
*Maumivu ya viungo 🦵*
*Matatizo ya tumbo 🤕*
*Uzito na BMI ⚖️*
*Na mengine mengi ya mwilini!*
*⚠️ USIPUUZE dalili!*
*Maumivu madogo yanaweza kuwa ishara ya jambo kubwa.*
*🧪 PIMA, TIBIKA, NA ENDELEA KUISHI kwa amani.*

*ETERNAL INTERNATIONAL inakuletea huduma ya kisomi, ya kitaalamu, na ya kiroho, kwa kutumia* *virutubisho asilia kutoka China – bila sumu, bila maumivu!*

* *
* *
* *
* *
* *
* *
* *

KARIBUNI SANA!!!

Afya yako ni dhamana kwetu🫵
,Tunakupenda...

*✨✨ TANGAZO LA KUPIMA AFYA! ✨✨*  *ETERNAL INTERNATIONAL inakuambia...*  *🛑 Usisubiri hadi hali iwe mbaya! Njoo upimwe ma...
17/05/2025

*✨✨ TANGAZO LA KUPIMA AFYA! ✨✨*
*ETERNAL INTERNATIONAL inakuambia...*
*🛑 Usisubiri hadi hali iwe mbaya! Njoo upimwe mapema!*

*📅 TAREHE 20.05.2025 HADI TAREHE 15.06.2025
*⏰ MUDA: Kila siku asubuhi hadi jioni*
*📍 MAHALI: Popote ulipo, nchi nzima tunahudumia!*
*☎️ MAWASILIANO: 0740 068897

*✅ Tunapima MWILI MZIMA kwa 20,000 tu!*
*Kwa bei hii nafuu, utapata uchunguzi wa kina kwa:*
*Shinikizo la damu ❤️*
*Kisukari 🩸*
*Figo na ini ⚕️*
*Maumivu ya viungo 🦵*
*Matatizo ya tumbo 🤕*
*Uzito na BMI ⚖️*
*Na mengine mengi ya mwilini!*
*⚠️ USIPUUZE dalili!*
*Maumivu madogo yanaweza kuwa ishara ya jambo kubwa.*
*🧪 PIMA, TIBIKA, NA ENDELEA KUISHI kwa amani.*

*ETERNAL INTERNATIONAL inakuletea huduma ya kisomi, ya kitaalamu, na ya kiroho, kwa kutumia* *virutubisho asilia kutoka China – bila sumu, bila maumivu!*

* *
* *
* *
* *
* *
* *
* *

KARIBUNI SANA!!!

Afya yako ni dhamana kwetu🫵
,Tunakupenda...

GCAT HEALTH CARE CLINIC KUTOKA CHINA.👇TUNAKULETEA  WATAALAMU WA UPIMAJI WA MAGONJWA YOTE SUGU YASIYOAMBUKIZA K**A VILE🍇 ...
01/05/2025

GCAT HEALTH CARE CLINIC KUTOKA CHINA.👇
TUNAKULETEA WATAALAMU WA UPIMAJI WA MAGONJWA YOTE SUGU YASIYOAMBUKIZA K**A VILE
🍇 𝗞𝗜𝗦𝗨𝗞𝗔𝗥𝗜
🍇 𝗣𝗥𝗘𝗦𝗦𝗨𝗥𝗘
🍇 𝗣𝗨𝗠𝗨
🍇 𝗠𝗜𝗙𝗨𝗣𝗔
🍇 𝗠𝗜𝗦𝗨𝗟𝗜
🍇 𝗠𝗜𝗦𝗛𝗜𝗣𝗔
🍇 𝗠𝗔𝗖𝗛𝗢
🍇 𝗞𝗔𝗡𝗦𝗔
🍇 𝗜𝗡𝗜
🍇 𝗣.𝗜.𝗗
🍇𝗧𝗘𝗭𝗜 𝗗𝗨𝗠𝗘
🍇𝗠𝗔𝗧𝗔𝗧𝗜𝗭𝗢 𝗬𝗔 𝗠𝗢𝗬𝗢
🍇𝗠𝗔𝗧𝗔𝗧𝗜𝗭𝗢 𝗬𝗔 𝗙𝗜𝗚𝗢
🍇𝗠𝗔𝗧𝗔𝗧𝗜𝗭𝗢 𝗬𝗔 𝗨𝗭𝗔𝗭𝗜
(wanaume, wanawake)
🍇𝗨.𝗧.𝗜 𝗦𝗨𝗚𝗨
🍇𝗙𝗔𝗡𝗚𝗔𝗦𝗜 𝗔𝗜𝗡𝗔 𝗭𝗢𝗧𝗘
🍇𝗩𝗜𝗗𝗢𝗡𝗗𝗔 𝗩𝗬𝗔 𝗧𝗨𝗠𝗕𝗢
🍇𝗠𝗔𝗧𝗔𝗧𝗜𝗭𝗢 𝗬𝗔 𝗡𝗚𝗢𝗭𝗜
KIPIMO HIKI KITA SCAN MWILI WAKO WOTE KWANZIA KICHWANI HADI MIGUUNI,, HIVYO BASI HAKUNA UGONJWA WOWOTE UTAKAOJIFICHA
𝗨𝗦𝗜𝗛𝗔𝗡𝗚𝗔𝗜𝗞𝗘 TENA
NJOO UPATE SULUHISHO LA AFYA YAKO,
KIPIMO HIKI SI CHA WAGONJWA TU BALI NI MTANZANIA YOYOTE ANAETAKA KUJUA UNDANI WA AFYA YAKE
𝗧𝗨𝗡𝗔𝗭𝗢 𝗗𝗔𝗪𝗔 𝗭𝗔 𝗞𝗨𝗧𝗢𝗦𝗛𝗔 ZENYE UWEZO WA JUU SANA KUWEZA KUTATUA CHANGAMOTO YAKO YOYOTE

WAHI SASA NDANI YA MWEZI HUU KWA SIKU 15 TU

HII OFA ISIKUPITE PIGA SIMU/TUMA SMS AU WHATSAPP KWA NAMBA 0740 068 897

HORMONAL IMBALANCE HORMONES ni kemikali zinazounganisha kazi mbalimbali katika mwili kwakusambaza taarifa kupitia damu k...
24/04/2025

HORMONAL IMBALANCE

HORMONES ni kemikali zinazounganisha kazi mbalimbali katika mwili kwakusambaza taarifa kupitia damu kwenda kwenye organs,ngozi,misuli na tissue.ambazo huziamuru nini kifanye nanini kinatokea.

👉HORMONAL IMBALANCE hutokea kuzidi kupita kiasi au kungua kwa homon8

SABABU ZINAZOPELEKEA HORMONAL IMBALANCE
🌿Hedhi isiyo nampangilio
🌿Utasa
🌿Chunusi
🌿Uzito kupitiliza
🌿Kisukari

DALILI ZA HORMONAL IMBALANCE ZINAZOATHIRI UFANYAJI KAZI WA MWILI
🌿Kupungua au kwenda mbio kwa mapigo ya moyo
🌿kupungua kwa uzito/kuongezeka
🌿Uchovu
🌿Choo kuwa kikavu
🌿kuharisha au kuunguruma kwatumbo kupita kiasi
🌿kukaza kwa mikono
🌿Kupanda kwa Cholesterol
🌿Hofu
🌿kushindwa kuvumilia joto au baridi
🌿Ngozi kuwa kavu
🌿Kukojoa mara kwamara

DALILI KWA MWANAMKE
👱‍♀️Chunusi kutokea kwenye sura,kifua na mgongoni
👱‍♀️Kukosa nywele
👱‍♀️kutokwa nadamu nzito ya hedhi
👱‍♀️kuzidi kwa vinyweleo
👱‍♀️Utasa
👱‍♀️Hedhi isiyokuwa na mpangilio
👱‍♀️Kukosa hamu yatendo landoa
👱‍♀️kukosa ute ukeni

DALILI KWA MWANAUME
🙎kupungua kwa vinyweleo
🙎kushindwa kusimamisha
🙎kuongezeka kwa maziwa
🙎utasa
🙎Kukosa hamu yatendo la ndoa
🙎kupungua kwa misuli

SABABU
👉Umaskini
👉Ujauzito
👉kukoma
👉Mawazo
👉Matumizi ya sindano za uzazi wa mpango
👉Matumizi ya madawa

NOTE;UKOMAVU/USUGU WA HORMONAL IMBALANCE UNAWEZA SABABISHA UVIMBE,KUHARIBIKA KWA TEZI NA MATATIZO YA KINGA ZA MWILI.

NAMNA YA KUZUIA
-DUMISHA KUFANYA MAZOEZI
-KULA MLO KAMILI
-PUNGUZA MAWAZO
-PATA MUDA MWINGI WA KULALA
-ACHA MATUMIZI YA TO***CO

Unaweza kudhibiti hili tatizo k**a bado hujachelewa au halijakushambulia hivyo unaweza kulidhibiti kwa hizo njia hapo juu,na k**a unaona dalili mojawapo unatakiwa umuone daktari kwa ushauri na tiba inapohitajika.

Njoo tukuhudumie na ufurahie maisha yako,tunapatikana mikoa yote ya Tanzania na kwa upande wa Dsm tunapatikana njia panda yakigogo

Kwa mawasiliano zaidi tupigie namba 0740 068 897

KARIBUNI SAANAA!!

 Kwa watu wote wenye changamoto mbalimbali kiafya tutakuwa na Ofa ya Vipimo na MatibabuShirika la Afya kutoka CHINA/ ETE...
21/04/2025


Kwa watu wote wenye changamoto mbalimbali kiafya tutakuwa na Ofa ya Vipimo na Matibabu

Shirika la Afya kutoka CHINA/ ETERNAL HOSPITAL, Imeanza kutoa Ofa kwa wagonjwa wote wanao fika katika vituo vyake vyote, na Ofa hii niya👇👇
▪️ Vipimo vya mwili mzima, Kupimwa magonjwa yote mwilini ni Tshs 20,000/= tu
▪️ Punguzo la bei 20% kwa kila dawa( bidhaa zetu )

Magonjwa tunayo tibu ni;
🚑 🔹Presha, 🔹Matatizo ya Moyo na INI
🔹Kansa, 🔹Vidonda vya Tumbo,
🔹Kisukari 🔹Pumu
🔹Stroku. 🔹Matatizo ya uzazi kwa kina mama na kina baba
🔹Matatizo ya mifupa, 🔹Matatizo ya miguu
🔹Ngozi, 🔹Figo, 🔹Fangasi sugu
🔹Kupunguza unene, uzito, na matumbo
🔹Kuongeza kinga mwilini(CD4)
🔹U.T.I sugu, 🔹Gesi
🔹Bawasiri, 🔹Tenzi dume
🔹Heshima ya ndoa kwa kina baba. N.k

TIBA ZETU NI TIBALISHE NA VIRUTUBISHO.
Ambavyo hufanya kazi kuu nne ( 4 ) mwili
👉 Kuosha
👉 Kulinda/ Kukinga
👉 Kujenga
👉 Kutibu

Karibu sana Upate huduma yetu msimu huu wa Ofa. Tupo Dar es salaam njia panda ya kigogo na Mikoani pia tunapatikana

Wasiliana nasi kwa simu namba 0740 068 897

VIPIMO VYA MFUMO WA UZAZIOFA YA MWEZI HUU: Tsh 30,000 PEKEE!🔸 Kumwona Daktari BURE!---USITUMIE DAWA BILA VIPIMO!Kumekuwa...
02/04/2025

VIPIMO VYA MFUMO WA UZAZI

OFA YA MWEZI HUU: Tsh 30,000 PEKEE!
🔸 Kumwona Daktari BURE!

---

USITUMIE DAWA BILA VIPIMO!

Kumekuwa na ongezeko la matumizi ya dawa kiholela bila vipimo, jambo linalosababisha:
✅ Usugu wa magonjwa
✅ Kansa ya shingo ya kizazi
✅ Hali mbaya zaidi: Kutolewa kizazi!

---

DALILI ZA CHANGAMOTO ZA MFUMO WA UZAZI:

⏩ Maumivu makali chini ya kitovu au upande wa kulia/kushoto.
⏩ Kutokwa na uchafu mzito wenye harufu mbaya.
⏩ Maumivu wakati wa tendo la ndoa.
⏩ Mimba kuharibika.
⏩ Kukosa hamu ya tendo la ndoa.
⏩ Na dalili zinginezo...

---

USHAURI WETU:

⛔ Usitumie dawa yoyote bila vipimo na ushauri wa daktari.
👉 Ikiwa umeshatumia dawa na hali haijabadilika au inazidi kuwa mbaya, NJOO UFANYE VIPIMO na upate tiba sahihi!

---

WASILIANE NASI:

📞 Simu/WhatsApp: 0740 068 897

📍 Tupo Dar es Salaam na Mikoani.

---
TUNAKUPENDA, KUKUJALI NA KUKUTHAMINI
AFYA YAKO NI DHAMANA KWETU

Fanya vipimo mapema na epuka madhara makubwa.

P.I.D(Pelvic inflammatory disease)  Ni maambukizi ya bacteria kwenye shingo ya kizazi,mirija ya uzazi,uterus pamoja na o...
01/04/2025

P.I.D(Pelvic inflammatory disease)
Ni maambukizi ya bacteria kwenye shingo ya kizazi,mirija ya uzazi,uterus pamoja na ovary,pia magonjwa haya hushambulia Sanaa wanawake kwenye via vyao vya uzazi,pia ugonjwa huu huathiri wanawake wenye umri wa miaka kuanzia 15-24

SABABU
🍁KUJAMIIANA(STI'S)
🍁BAKTERIA

DALILI
🍁Maumivu ya nyonga na tumbo
🍁Maumivu wakati wa kujamiiana
🍁kutokwa na uchafu sehemu za siri
🍁Homa
🍁Kutokwa na damu nyingi wakati wa hedhi
🍁kichefuchefu na kutapika
🍁Maumivu wakati wa kujisaidia

NINI KINATOKEA K**A UNASUMBULIWA P.I.D MARA KWA MARA🤔!?
👉Kuna madhara atayapata mwanamke k**a atakuwa anasumbuliwa na ugonjwa huu mara kwa mara ikiwemo na vitu vifuatavyo;
●Makovu kwenye tumbo la uzazi
●Mimba kujenga nje ya mji wake
●Maumivu ya tumbo na nyonga
●Kuanguka kwa mimba
●kutoshika mimba
●Uvimbe
●kansa
●kifo

HUU NI UGONJWA AMBAO UNASUMBUA SANA WANAWAKE NA HUKOSA KUPONA INGAWA WANATUMIA DAWA PASIPO KUKOMA.

TATIZO LAKO LIMEISHA SASA,GCAT ETERNAL INTERNATIONAL IMEKULETEA SULUHISHO LA MAGONJWA YAKO NJOO UKUTANE NA MADAKTARI BINGWA KUTOKA CHINA NA WALIOSOMEA CHINA BUUUREEE KABISAA,NA UTACHANGIA KIASI CHA SHILINGI ELFU 30,000/= PEKEE.KWA AJILI YA VIPIMO

TUPO TANZANIA NZIMA KWA UPANDE WA DAR ES SALAAM TUKO KIGOGO ROUND ABOUT KWA MAWASILIANO ZAIDI TUPIGIE NAMBA AU WHATSAPP NO.0740 068897

TUNAKUJALI ,KUKUTHAMINI NA KUKUPENDA
AFYA YAKO NI DHAMANA KWETU

HYPOTENSION (Presha ya kushuka)  👉Ni hali ambapo shinikizo ladamu huwa chini yakiwango kisichokuwa cha kawaida,mara nyin...
30/03/2025

HYPOTENSION (Presha ya kushuka)
👉Ni hali ambapo shinikizo ladamu huwa chini yakiwango kisichokuwa cha kawaida,mara nyingi chini ya 90/60mmHg.Hii inaweza kusabbisha matatizo ya kiafya k**a haijashuhulikiwa haraka na kwa ufanisi ulio chini ya madaktari husika.

SABABU YA PRESHA YA KUSHUKA
🍀Upungufu wa maji mwilini
🍀Upungufu wa damu mwilini
🍀Mshtuko wa moyo au matatizo ya moyo
🍀kusimama kwa ghafla*postural hypotension
🍀Msongo wa mawazo na wasiwasi mwingi
🍀Magonjwa ya mfumo wa neva
🍀Matumizi ya madawa
🍀Mimba
🍀Magonjwa ya figo

DALILI ZA PRESHA YA KUSHUKA
🍀Uchovu mwingi
🍀kupumua kwa shida
🍀Kizunguzungu
🍀Mapigo ya moyo kwenda kasi
🍀Kupoteza fahamu
🍀Kuona ukungu au kiza mbele
🍀Ngozi kuwa ya baridi,unyevu au iliyofifia
🍀Maumivu ya kifua ikiwa inahusiana na matatizo ya moyo

MADHARA YA PRESHA YA KUSHUKA
🍀Kupoteza fahamu
🍀Mshtuko wa moyo
🍀Kushindwa kwa viungo kufanya kazi mf.figo,ubongo,ini nk
🍀Kuharibu ubongo mf.kupoteza kumbukumbu

NOTE;Ikiwa unapata dalili hizi mara kwa mara ,ni muhimu kumuona daktari kwa ajili ya uchunguzi zaidi na ushauri pia

Tunapatikana mikoa yote ya Tanzania ikiwemo Arusha,Moshi,Morogoro, kwa upande wa dar es salaam tunapatikana kigogo round about

Pia tunatoa huduma ya vipimo vya mwili mzima kwa bei ya offer kwa shilingi elfu 30,000/=pekee .kwa mawasiliano zaidi tupigie namba/WhatsApp namba 0740 068 897 ili upate kuongea na daktari moja kwa moja na kwa haraka.

TUNAKUPENDA, TUNAKUJALI,NA KUKUTHAMINI
AFYA YAKO NI DHAMANA KWETU

OFA YA VIPIMO VYA MWILI MZIMA MSIMU HUU WA RAMADHAN NA KWARESMAJe,Unajiuliza Wapi utapata Huduma Ya Upimaji Wa Mwili Mzi...
23/03/2025

OFA YA VIPIMO VYA MWILI MZIMA MSIMU HUU WA RAMADHAN NA KWARESMA

Je,Unajiuliza Wapi utapata Huduma Ya Upimaji Wa Mwili Mzima kwa haraka Na gharama Rahisi Zaidi
Kumbuka Afya Yako Ndio Msingi Wa Mambo Yote....

Tumekuandalia OFA Maalumu Ya Upimaji Wa Mwili Mzima Kuelekea Msimu huu wa wa ramadhan na kwaresma

Utalipia TSH 30,000/= tu k**a nawe Utakuwa Miongoni Mwa Watu 20 Wa Mwanzo

Gharama Halisi za Vipimo ni 50,000/= Lakini k**a Utakuwa Miongoni Mwa Watu Hawa Ishirini Utalipia 30,000/= tu na utaokoa Zaidi Ya Tsh 20,000/= Nzima

Note: OFA ni kwa Watu 20 tu na sababu Ya kutoa OFA ni kuthamini ibada za kwaresma na ramadhan. Usikubali umalize ibada hizi za mfungo ukiwa na maradhi.

Natumaini k**a ni Miongoni Mwa Watu wanaopenda Afya Zao Basi Huwezi Kukosa OFA hii

KIPIMO KINAONYESHA;

1.Tatizo husika
2.Chanzo Cha tatizo
3.Viashiria Vya tatizo lingine
Kipimo kinahusika zaidi na magonjwa sugu ambayo hayaambukizi

Tunafanya Vipimo vya Mwili mzima Katika Mifumo ifuatavyo;

1.Mfumo wa Ubongo
2.Mfumo wa Upumuaji
3.Mfumo wa Tumbo
4.Mfumo wa Ngozi
5.Mfumo wa Mifupa na Misuli
6.Mfumo wa Uzazi Kwa wanawake na wanaume
7.Mfumo wa Macho

Pia Tunatoa huduma ya MATIBABU Kwa Magonjwa sugu k**a Ifuatavyo
Vidonda Vya Tumbo, Presha, Kisukari,
Moyo, Figo, INI, Cholesterol, Bawasili,
Tezi dume, fangasi , Uzazi Kwa wanawake na wanaume, Figo, Macho, Allergy, Mifupa, Ngozi
Tunatibu Uvimbe Aina zote bila upasuaji, stroke (Kupooza),Miguu, Magoti, Ganzi,Uzito mkubwa na Unene , Uvimbe kwenye vyia vya Uzazi, Ukuaji mbovu Kwa watoto n.k

Ili OFA Hii Isikupite basi fanya hivi Piga Simu/Tuma Sms au WhatsApp inbox kwenda namba0740068897

Tunapatikana Tanzania nzima.

OFA YA VIPIMO VYA MWILI MZIMA MSIMU HUU WA RAMADHAN NA KWARESMA

Je,Unajiuliza Wapi utapata Huduma Ya Upimaji Wa Mwili Mzima kwa haraka Na gharama Rahisi Zaidi
Kumbuka Afya Yako Ndio Msingi Wa Mambo Yote....

Tumekuandalia OFA Maalumu Ya Upimaji Wa Mwili Mzima Kuelekea Msimu huu wa wa ramadhan na kwaresma

Utalipia TSH 30,000/= tu k**a nawe Utakuwa Miongoni Mwa Watu 20 Wa Mwanzo

Gharama Halisi za Vipimo ni 50,000/= Lakini k**a Utakuwa Miongoni Mwa Watu Hawa Ishirini Utalipia 30,000/= tu na utaokoa Zaidi Ya Tsh 20,000/= Nzima

Note: OFA ni kwa Watu 20 tu na sababu Ya kutoa OFA ni kuthamini ibada za kwaresma na ramadhan. Usikubali umalize ibada hizi za mfungo ukiwa na maradhi.

Natumaini k**a ni Miongoni Mwa Watu wanaopenda Afya Zao Basi Huwezi Kukosa OFA hii

KIPIMO KINAONYESHA;

1.Tatizo husika
2.Chanzo Cha tatizo
3.Viashiria Vya tatizo lingine
Kipimo kinahusika zaidi na magonjwa sugu ambayo hayaambukizi

Tunafanya Vipimo vya Mwili mzima Katika Mifumo ifuatavyo;

1.Mfumo wa Ubongo
2.Mfumo wa Upumuaji
3.Mfumo wa Tumbo
4.Mfumo wa Ngozi
5.Mfumo wa Mifupa na Misuli
6.Mfumo wa Uzazi Kwa wanawake na wanaume
7.Mfumo wa Macho

Pia Tunatoa huduma ya MATIBABU Kwa Magonjwa sugu k**a Ifuatavyo
Vidonda Vya Tumbo, Presha, Kisukari,
Moyo, Figo, INI, Cholesterol, Bawasili,
Tezi dume, fangasi , Uzazi Kwa wanawake na wanaume, Figo, Macho, Allergy, Mifupa, Ngozi
Tunatibu Uvimbe Aina zote bila upasuaji, stroke (Kupooza),Miguu, Magoti, Ganzi,Uzito mkubwa na Unene , Uvimbe kwenye vyia vya Uzazi, Ukuaji mbovu Kwa watoto n.k

Ili OFA Hii Isikupite basi fanya hivi Piga Simu/Tuma Sms au WhatsApp inbox kwenda namba0622499570

Tunapatikana Tanzania nzima.

Mawasiliano WhatsApp bonyeza link hii ili kuweka appointment

OFA YA VIPIMO VYA MWILI MZIMA MSIMU HUU WA RAMADHAN NA KWARESMA

Je,Unajiuliza Wapi utapata Huduma Ya Upimaji Wa Mwili Mzima kwa haraka Na gharama Rahisi Zaidi
Kumbuka Afya Yako Ndio Msingi Wa Mambo Yote....

Tumekuandalia OFA Maalumu Ya Upimaji Wa Mwili Mzima Kuelekea Msimu huu wa wa ramadhan na kwaresma

Utalipia TSH 30,000/= tu k**a nawe Utakuwa Miongoni Mwa Watu 20 Wa Mwanzo

Gharama Halisi za Vipimo ni 50,000/= Lakini k**a Utakuwa Miongoni Mwa Watu Hawa Ishirini Utalipia 30,000/= tu na utaokoa Zaidi Ya Tsh 20,000/= Nzima

Note: OFA ni kwa Watu 20 tu na sababu Ya kutoa OFA ni kuthamini ibada za kwaresma na ramadhan. Usikubali umalize ibada hizi za mfungo ukiwa na maradhi.

Natumaini k**a ni Miongoni Mwa Watu wanaopenda Afya Zao Basi Huwezi Kukosa OFA hii

KIPIMO KINAONYESHA;

1.Tatizo husika
2.Chanzo Cha tatizo
3.Viashiria Vya tatizo lingine
Kipimo kinahusika zaidi na magonjwa sugu ambayo hayaambukizi

Tunafanya Vipimo vya Mwili mzima Katika Mifumo ifuatavyo;

1.Mfumo wa Ubongo
2.Mfumo wa Upumuaji
3.Mfumo wa Tumbo
4.Mfumo wa Ngozi
5.Mfumo wa Mifupa na Misuli
6.Mfumo wa Uzazi Kwa wanawake na wanaume
7.Mfumo wa Macho

Pia Tunatoa huduma ya MATIBABU Kwa Magonjwa sugu k**a Ifuatavyo
Vidonda Vya Tumbo, Presha, Kisukari,
Moyo, Figo, INI, Cholesterol, Bawasili,
Tezi dume, fangasi , Uzazi Kwa wanawake na wanaume, Figo, Macho, Allergy, Mifupa, Ngozi
Tunatibu Uvimbe Aina zote bila upasuaji, stroke (Kupooza),Miguu, Magoti, Ganzi,Uzito mkubwa na Unene , Uvimbe kwenye vyia vya Uzazi, Ukuaji mbovu Kwa watoto n.k

Ili OFA Hii Isikupite basi fanya hivi Piga Simu/Tuma Sms au WhatsApp inbox kwenda namba0740 068897

Tunapatikana Tanzania nzima.

Mawasiliano WhatsApp bonyeza link hii ili kuweka appointment https://chat.whatsapp.com/EhX4JPO3Q2T1BKKuMqc6bl

0740 068 897

VIPIMO VYA MFUMO WA UZAZIOFA YA MWEZI HUU: Tsh 30,000 PEKEE!🔸 Kumwona Daktari BURE!---USITUMIE DAWA BILA VIPIMO!Kumekuwa...
23/03/2025

VIPIMO VYA MFUMO WA UZAZI

OFA YA MWEZI HUU: Tsh 30,000 PEKEE!
🔸 Kumwona Daktari BURE!

---

USITUMIE DAWA BILA VIPIMO!

Kumekuwa na ongezeko la matumizi ya dawa kiholela bila vipimo, jambo linalosababisha:
✅ Usugu wa magonjwa
✅ Kansa ya shingo ya kizazi
✅ Hali mbaya zaidi: Kutolewa kizazi!

---

DALILI ZA CHANGAMOTO ZA MFUMO WA UZAZI:

⏩ Maumivu makali chini ya kitovu au upande wa kulia/kushoto.
⏩ Kutokwa na uchafu mzito wenye harufu mbaya.
⏩ Maumivu wakati wa tendo la ndoa.
⏩ Mimba kuharibika.
⏩ Kukosa hamu ya tendo la ndoa.
⏩ Na dalili zinginezo...

---

USHAURI WETU:

⛔ Usitumie dawa yoyote bila vipimo na ushauri wa daktari.
👉 Ikiwa umeshatumia dawa na hali haijabadilika au inazidi kuwa mbaya, NJOO UFANYE VIPIMO na upate tiba sahihi!

---

WASILIANE NASI:

📞 Simu/WhatsApp: 0740 0740 068 897

📍 Tupo Dar es Salaam na Mikoani.

---

AFYA YAKO NI KIPAUMBELE CHETU!

Fanya vipimo mapema na epuka madhara makubwa.

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya Yangu posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Afya Yangu:

Share