Afya na Dr safina

Afya na Dr safina Nasaidia kutoa huduma ya afya kwa wanawake wenye changamoto za uzazi N a infections kama UTI,matatizo ya kuto beba mimba
FANGASI.uvimbe nk.

07/05/2026

Harufu mbaya ya ukeni (hasa ile ya “shombo” k**a samaki 🐟) mara nyingi inaashiria kuna mabadiliko au maambukizi. Hizi ndizo sababu kuu:
1. Bacterial Vaginosis
Hii ndiyo sababu ya kawaida sana.
Hutokea bakteria wazuri wanapopungua na wabaya kuongezeka
Harufu huwa k**a samaki hasa baada ya tendo la ndoa
Mara nyingine huambatana na uchafu mweupe au wa kijivu
2. Maambukizi ya zinaa (STIs)
Mfano: kisonono au klamidia
Husababisha harufu, maumivu au uchafu usio wa kawaida
Huja hasa kwa kufanya ngono bila kinga
3. Kutumia sabuni kali au kemikali ukeni
Kusafisha uke kwa ndani (douching) huua bakteria wazuri
Husababisha harufu mbaya na muwasho
4. Usafi duni wa sehemu za siri
Kubadilisha chupi mara chache
Kutokausha vizuri uke baada ya kuoga
Kutumia chupi zisizopitisha hewa
5. Kusahau kitu ukeni
K**a tampon au kitambaa
Hutoa harufu kali sana isiyo ya kawaida
6. Fangasi (yeast infection)
Mara nyingi huleta muwasho na uchafu mzito
Harufu si kali sana k**a BV, lakini inaweza k

25/04/2026

Naendelea kupokea shuhuda watu wanazidi kupona uvimbe bila upasuaji inawezekana suluisho ni uhakika 💯💯 kwa msaada zaid nitafute ibox Dr safina 0743077523

14/04/2026

Hutakiwi kuichukulia poa bawasiri...nina suluhisho la kudumu usiendelee kuteseka madhara yake ni makubwa unaenda kupata kansa ya utumbo 🥹ukikata kinyama pia kinarudi unatakiwa kupata matibabu ya mapema bila kukikata my dear🙌🏼

13/04/2026

Wooow!! Watu wanaendelea kuanza matibabu popote pale ulipo unasafirishiwa dose yako na kuipokea ikiwa salama k**a unavyoona huyu dada ameshapokea dose yake hakikisha na wewe unaagiza ya kwako.
Huduma inaendelea 0743077523

11/04/2026

Hongera sana kipenzi usirie palipo na Mungu kila kitu kinawezekana🫄🏾🫄🏾🫄🏾🫄🏾

08/04/2026

Je k**a unatatizo la uzazi unamuaka 2 au 3 hushiki ujauzito nitafute kwa matibabu zaidi
Dr Safina@
0743077523

26/03/2026

Infection ni adui mkubwa sana wa mahusiano yaani inaweza kuvunja mahusiano yako kimya kimya
uchafu ukeni pamoja na harufu mbaya ni vitu ambavyo vinaondoa kujiamini kwa mwanamke lakini pia hukosesha hamu ya tendo la ndoa, mwanaume kuona kinyaa sasa usisubiri mpaka uachike njoo inbox nikupe suluisho kuna wanaume wengine hawasemi wanaona kinyaa uchafu au harufu za ukeni hawasemi wanasaliti wanawake zao kimya kimya🙌🙌

21/03/2026

K**a una changamoto yeyote ile ya homon imbalance ulienda hospital ukaambiwa una tatizo hakikisha una jitibia mapema
Nitafute kwa ushauri zaidi na tiba
0743077523
Dr Safina@

19/03/2026

Safari ya kutafuta watoto si rahisi, lakini inawezekana.

Kuna vipimo, machozi, matumaini yanayopanda na kushuka, presha kutoka kwa jamii na wakati mwingine matokeo yanayoumiza… lakini jambo moja usiliachie kamwe ni MATUMAINI.

Matumaini yanakupa nguvu ya kuamka tena baada ya kuanguka. Yanakurudishia tabasamu hata unapochoka. Yanakuonyesha kuwa kuchelewa siyo kushindwa.

Ukipoteza matumaini, unapoteza mwelekeo. Ukipoteza mwelekeo, safari inaweza kukwama njiani.

Kumbuka:
* hauko peke yako
* safari yako ina thamani
* mwili na moyo wako unastahili upendo
* muujiza unaweza kuja wakati usiotarajia
Endelea kusimama, endelea kutafuta msaada wa kitabibu, endelea kuamini — ndoto yako ya kuwa mzazi bado ina nafasi.
kwa maana kila uendapo Mungu yu pamoja nawe💗💞💗💞💗💞💗💗

23/02/2026

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya na Dr safina posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share