mshauri na mtabibu wa afya

mshauri na mtabibu wa afya tunatoa ushauri na matibabu ya changamoto mbali mbali za kiafya,kwa mawasiliani zaidi piga 0655952030

17/08/2025

๐—จ๐— ๐—จ๐—›๐—œ๐— ๐—จ ๐—ช๐—” ๐—ž๐—จ๐—™๐—”๐—ก๐—ฌ๐—” ๐—ฉ๐—œ๐—ฃ๐—œ๐— ๐—ข ๐— ๐—”๐—ฅ๐—” ๐—ž๐—ช๐—” ๐— ๐—”๐—ฅ๐—” ๐—ž๐—ช๐—” ๐— ๐—š๐—ข๐—ก๐—๐—ช๐—” ๐—ช๐—” ๐—ž๐—œ๐—ฆ๐—จ๐—ž๐—”๐—ฅ๐—œ

๐Ÿฅฆ"Kujua Kiwango Chako cha Sukari โ€“ Ni Zaidi ya Taarifa, Ni uhai wako"

Kwa nini ni muhimu?

๐Ÿ‘‰Unapojua kiwango chako cha sukari, unapata nafasi ya kuchukua hatua mapema โ€“ kabla hali haijawa mbaya.

๐Ÿ‘‰Unapata uhuru wa kupanga lishe yako vizuri, kujua lini unahitaji kupumzika, au hata kubadilisha dawa kwa ushauri wa daktari.

๐Ÿ‘‰Ni njia yako ya kusema: "Nathamini afya yangu, na sitaki kuruhusu kisukari kinidhibiti."

โžก๏ธUnawezaje kufanya hivyo kwa urahisi?

1. ๐—ง๐˜‚๐—บ๐—ถ๐—ฎ ๐—š๐—น๐˜‚๐—ฐ๐—ผ๐—บ๐—ฒ๐˜๐—ฒ๐—ฟ (๐—ธ๐—ถ๐—ณ๐—ฎ๐—ฎ ๐—ฐ๐—ต๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ฝ๐—ถ๐—บ๐—ฎ ๐˜€๐˜‚๐—ธ๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ ๐—ป๐˜†๐˜‚๐—บ๐—ฏ๐—ฎ๐—ป๐—ถ):

Ni kifaa kidogo chenye uwezo mkubwa. Unaweza kukinunua kwenye maduka ya vifaa vya afya. Inakuchukua dakika chache tu kujipima โ€“ na matokeo hayo yanaweza kukuokoa maisha.

2. ๐—ง๐—ฒ๐—บ๐—ฏ๐—ฒ๐—น๐—ฒ๐—ฎ ๐—ธ๐—ถ๐˜๐˜‚๐—ผ ๐—ฐ๐—ต๐—ฎ ๐—ฎ๐—ณ๐˜†๐—ฎ ๐—ฎ๐—ป๐—ด๐—ฎ๐—น๐—ฎ๐˜‚ ๐—บ๐—ฎ๐—ฟ๐—ฎ ๐—บ๐—ผ๐—ท๐—ฎ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐˜„๐—ถ๐—ธ๐—ถ ๐—ฎ๐˜‚ ๐—ธ๐—ถ๐—น๐—ฎ ๐—ฏ๐—ฎ๐—ฎ๐—ฑ๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐˜€๐—ถ๐—ธ๐˜‚ ๐Ÿฏ:

Hata k**a huna kifaa nyumbani, bado una njia. Kituo cha afya ni sehemu salama ambapo unaweza kupima na kupata ushauri sahihi.

3. ๐—”๐—ป๐—ฑ๐—ถ๐—ธ๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—บ๐—ฏ๐˜‚๐—ธ๐˜‚๐—บ๐—ฏ๐˜‚ ๐˜‡๐—ฎ ๐˜ƒ๐—ถ๐—ฝ๐—ถ๐—บ๐—ผ ๐˜ƒ๐˜†๐—ฎ๐—ธ๐—ผ:

Andika tarehe, muda na kiwango cha sukari kila unapopima. Hii itamsaidia daktari wako kuona mwenendo na kuchukua hatua mapema.

4. ๐—๐—ถ๐—ณ๐˜‚๐—ป๐˜‡๐—ฒ ๐—ธ๐˜‚๐˜๐—ฎ๐—ณ๐˜€๐—ถ๐—ฟ๐—ถ ๐—บ๐—ฎ๐˜๐—ผ๐—ธ๐—ฒ๐—ผ

โ˜‘๏ธ4.0-7.0 mmol/L (kawaida kabla ya kula).

โ˜‘๏ธChini ya 10.0 mmol/L (saa 2 baada ya kula)
Ukiona kiwango kipo juu au chini ya hayo, wasiliana na daktari haraka.

๐Ÿ“ŒKumbuka:

Kupima sukari mara kwa mara si ishara ya udhaifu, bali ni ushahidi wa ujasiri na upendo kwa maisha yako.

๐Ÿ‘‰Kwa kila kipimo unachofanya, ni k**a unajiambia:
"Nataka kuishi zaidi, kwa furaha zaidi, na kwa afya njema."

๐—ž๐˜‚๐—บ๐—ฏ๐˜‚๐—ธ๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐˜๐—ถ๐—ฏ๐—ฎ๐—ฏ๐˜‚ ๐˜†๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐—ฝ๐—ฒ๐—บ๐—ฎ ๐—ป๐—ถ ๐—บ๐˜‚๐—ต๐—ถ๐—บ๐˜‚ ๐—ถ๐—น๐—ถ ๐—ธ๐˜‚๐—ฑ๐—ต๐—ถ๐—ฏ๐—ถ๐˜๐—ถ ๐—บ๐—ฎ๐—ฑ๐—ต๐—ฎ๐—ฟ๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐—ธ๐˜‚๐—ฏ๐˜„๐—ฎ ๐˜‡๐—ฎ๐—ถ๐—ฑ๐—ถ ๐˜†๐—ฎ๐—ป๐—ฎ๐˜†๐—ผ๐˜„๐—ฒ๐˜‡๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ท๐—ถ๐˜๐—ผ๐—ธ๐—ฒ๐˜‡๐—ฎ.

๐—จ๐—ฆ๐—›๐—”๐—จ๐—ฅ๐—œ ๐—ก๐—” ๐— ๐—”๐—ง๐—œ๐—•๐—”๐—•๐—จ ๐—ช๐—”๐—ฆ๐—œ๐—Ÿ๐—œ๐—”๐—ก๐—” ๐—ก๐—”๐—ฆ๐—œ ๐—”๐—จ ๐—™๐—œ๐—ž๐—” ๐—ข๐—™๐—œ๐—ฆ๐—œ๐—ก๐—œ.

13/08/2025

๐—›๐—”๐—•๐—”๐—ฅ๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐—”๐—ฆ๐—จ๐—•๐—จ๐—›๐—œ ๐—ช๐—”๐—ฃ๐—˜๐—ก๐——๐—ช๐—”.

๐ŸŒž Nawatakia Asubuhi Njema kwa kila mmoja wetu.

Tunapoanza siku hii mpya, nawakumbusha kwa upendo kuchukua muda mfupi kujiuliza:
โ€œHali yangu ya kiafya iko vipi leo?โ€

Je, umejitathmini kuhusu kiwango chako cha sukari?

Umepanga kula nini leo?

Na je, umejiandaa kujipa utulivu na kuupa mwili upendo unaostahili?

Kumbuka, afya yako ni msingi wa maisha yako. Tujitunze, tushirikiane, na tuendelee kuhamasishana.

๐Ÿ“Œ ๐—ง๐—ฎ๐—ณ๐—ฎ๐—ฑ๐—ต๐—ฎ๐—น๐—ถ ๐˜๐˜‚๐—ท๐˜‚๐—น๐—ถ๐˜€๐—ต๐—ฒ ๐—ต๐—ฎ๐—น๐—ถ ๐˜†๐—ฎ๐—ธ๐—ผ ๐˜†๐—ฎ ๐—น๐—ฒ๐—ผ.
Tupo pamoja katika safari hii ya afya njema.

Asanteeni sana ni mimi
๐— ๐—ฎ๐—ฑ๐—ฎ๐—บ ๐—ธ๐—ถ๐—ฏ๐—ผ๐—ป๐—ฎ

โ˜Ž๏ธ๐Ÿ“ž+255 655 952 030

10/08/2025

WAHI MAPEMA KUTIBU CHANGAMOTO YAKO KABLA YA MADHARA MAKUBWA ZAIDI HAYAJATOKEA....

Kwa ushauri na matibabu wasiliana nasi au fika ofisini.

โ˜Ž๏ธ๐Ÿ“ž+255 655 952 030

10/08/2025

Chanzo cha Diabetic Foot Ulcer kwa wagonjwa wa kisukari kinahusiana zaidi na mchanganyiko wa sababu tatu kuu:

1. Neuropathy (Kufa au kudhoofika kwa neva)
โ€ข Kisukari cha muda mrefu huathiri neva za miguu (peripheral neuropathy).

โ€ข Hii husababisha kupoteza hisia za maumivu, joto au presha kwenye miguu.
โ€ข Mgonjwa anaweza kuumia, kuchubuka au kupata malengelenge bila kuhisi, hivyo jeraha hubaki bila kutibiwa na kuendelea kuwa kidonda.

2. Mzunguko hafifu wa damu (Peripheral Arterial Disease โ€“ PAD)

โ€ข Kisukari huharibu mishipa ya damu na kusababisha damu kutofika vizuri kwenye miguu.
โ€ข Ukosefu wa damu yenye oksijeni na virutubisho hufanya majeraha kuchelewa kupona.

3. Maambukizi
โ€ข Sukari nyingi kwenye damu huchochea ukuaji wa bakteria na kudhoofisha kinga ya mwili.
โ€ข Hivyo, hata jeraha dogo linaweza kuambukizwa haraka na kugeuka kuwa kidonda kikubwa.

โžก๏ธVichocheo vya Hatari Zaidi

โ€ข Viatu visivyofaa vinavyosugua au kubana.
โ€ข Kukata kucha vibaya na kujeruhi ngozi.
โ€ข Kuungua miguu (mfano kwa maji

02/08/2025

๐‰๐ž, ๐”๐ง๐š๐ฃ๐ฎ๐šโ€ฆ?
๐Š๐ข๐ฅ๐š ๐ฎ๐ง๐š๐œ๐ก๐จ๐ฐ๐ž๐ค๐š ๐ค๐ฐ๐ž๐ง๐ฒ๐ž ๐ฌ๐š๐ก๐š๐ง๐ข ๐ฒ๐š๐ค๐จ ๐ฅ๐ž๐จ ๐ค๐ข๐ง๐š ๐ฎ๐ฐ๐ž๐ณ๐จ ๐ฐ๐š ๐ค๐ฎ๐ค๐ฎ๐ฌ๐š๐ข๐๐ข๐š ๐ค๐ฎ๐ฉ๐จ๐ง๐š ๐š๐ฎ ๐ค๐ฎ๐ค๐ฎ๐๐ก๐ฎ๐ซ๐ฎ ๐ค๐ข๐ฆ๐ฒ๐š ๐ค๐ข๐ฆ๐ฒ๐š ๐ค๐ฐ๐š ๐ฆ๐ข๐š๐ค๐š ๐ฆ๐ข๐ง๐ ๐ข ๐›๐ข๐ฅ๐š ๐ค๐ฎ๐ ๐ฎ๐ง๐๐ฎ๐š.

โžก๏ธLishe duni siyo tu inakuumiza tumboni, bali inaweza kuathiri uzazi wako na afya ya mwili kwa ujumla.

โœ…๏ธMapendekezo ya lishe bora:

1. ๐—–๐—ต๐—ฎ๐—ด๐˜‚๐—ฎ ๐˜ƒ๐˜†๐—ฎ๐—ธ๐˜‚๐—น๐—ฎ ๐—ต๐—ฎ๐—ถ (๐—ผ๐—ฟ๐—ด๐—ฎ๐—ป๐—ถ๐—ฐ ๐—ณ๐—ผ๐—ผ๐—ฑ)
vile vinavyotoka moja kwa moja ardhini bila kemikali nyingi za viwandani.

2. ๐—ข๐—ป๐—ด๐—ฒ๐˜‡๐—ฎ ๐—บ๐—ฏ๐—ผ๐—ด๐—ฎ ๐—บ๐—ฏ๐—ถ๐—ฐ๐—ต๐—ถ ๐—ป๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐˜๐˜‚๐—ป๐—ฑ๐—ฎ ๐˜€๐—ฎ๐—ณ๐—ถ
pamoja na nafaka zisizokobolewa, mbegu, njugu, na vyakula vingine vya mimea.

3. ๐—˜๐—ฝ๐˜‚๐—ธ๐—ฎ ๐˜ƒ๐˜†๐—ฎ๐—ธ๐˜‚๐—น๐—ฎ ๐˜ƒ๐˜†๐—ฎ ๐—ต๐—ฎ๐—ฟ๐—ฎ๐—ธ๐—ฎ (๐—ท๐˜‚๐—ป๐—ธ ๐—ณ๐—ผ๐—ผ๐—ฑ)
vyenye kemikali, sukari nyingi na mafuta mabaya. Hivi ni maadui wakuu wa kinga ya mwili na afya ya uzazi.

โ˜‘๏ธ๐—ž๐—ถ๐—ฑ๐—ผ๐—ธ๐—ฒ๐˜‡๐—ผ ๐— ๐˜‚๐—ต๐—ถ๐—บ๐˜‚:

Fanya detoxification mara kwa mara ili kuondoa sumu mwilini. Hii husaidia:

Kuimarisha homoni (hormone balance)

Kupunguza uzito kupita kiasi (obesity)

Kuongeza kinga ya mwili

๐Ÿ“Œ๐—ž๐˜‚๐—บ๐—ฏ๐˜‚๐—ธ๐—ฎ:

Afya yako ya kesho inaanza na sahani yako ya leo. Chagua vizuri, kwa sababu mwili wako ni kile unachokilisha kila siku.

๐—ž๐˜‚๐—บ๐—ฏ๐˜‚๐—ธ๐—ฎ ๐—บ๐—ฝ๐—ฎ๐—ป๐—ด๐—ผ ๐˜„๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐˜๐—ถ๐—ฏ๐—ฎ๐—ฏ๐˜‚ ๐˜†๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐—ฝ๐—ฒ๐—บ๐—ฎ ๐—ป๐—ถ ๐—บ๐˜‚๐—ต๐—ถ๐—บ๐˜‚ ๐—ถ๐—น๐—ถ ๐—ธ๐˜‚๐—ฑ๐—ต๐—ถ๐—ฏ๐—ถ๐˜๐—ถ ๐—บ๐—ฎ๐—ฑ๐—ต๐—ฎ๐—ฟ๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐—ธ๐˜‚๐—ฏ๐˜„๐—ฎ ๐˜‡๐—ฎ๐—ถ๐—ฑ๐—ถ ๐˜†๐—ฎ๐—ป๐—ฎ๐˜†๐—ผ๐˜„๐—ฒ๐˜‡๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ท๐—ถ๐˜๐—ผ๐—ธ๐—ฒ๐˜‡๐—ฎ.

๐—ž๐—ช๐—” ๐—จ๐—ฆ๐—›๐—”๐—จ๐—ฅ๐—œ ๐—ก๐—” ๐— ๐—”๐—ง๐—œ๐—•๐—”๐—•๐—จ ๐—ช๐—”๐—ฆ๐—œ๐—Ÿ๐—œ๐—”๐—ก๐—” ๐—ก๐—”๐—ฆ๐—œ ๐—”๐—จ ๐—™๐—œ๐—ž๐—” ๐—ข๐—™๐—œ๐—ฆ๐—œ๐—ก๐—œ.

โ˜Ž๏ธ๐Ÿ“ž+255 0655 952 030

31/07/2025

KILA UNACHOWEKA KWENYE SAHANI YAKO LEO NI DAWA AU SUMU. AMUA LEO

โ˜Ž๏ธ๐Ÿ“ž+255 0655 952 030

30/07/2025

VYAKULA VYA KUONGEZA AU KUPUNGUZA SUKARI.

> โ€œ Je unajua ugali mwingi unaweza kuongeza sukari kupita kiasi?

Lakini mboga za majani k**a mchicha na matembele husaidia kuipunguza.โ€

โœ… Orodha fupi ya vyakula vya kupunguza sukari:

Mboga za majani

Parachichi

Karanga chache (sio nyingi)

> โ€œLeo umelisha nini mwili wako mchana? Hebu taja japo mlo mmoja tu tuone k**a ulikuwa sahihi kwa afya yako.โ€

KWA USHAURI NA MATIBABU WASILIANA NASI AU FIKA OFISINI

โ˜Ž๏ธ๐Ÿ“ž+ 255 655 952 030

26/07/2025

๐—ง๐—จ๐— ๐—œ๐—” ๐— ๐—–๐—›๐—”๐—ก๐—š๐—”๐—ก๐—ฌ๐—œ๐—ž๐—ข ๐—›๐—จ๐—จ ๐—œ๐—Ÿ๐—œ ๐—ž๐—จ๐—ฃ๐—จ๐—ก๐—š๐—จ๐—” ๐—จ๐—ญ๐—œ๐—ง๐—ข ๐—ž๐—ช๐—” ๐—›๐—”๐—ฅ๐—”๐—ž๐—” ๐—ญ๐—”๐—œ๐——๐—œ ๐—•๐—œ๐—Ÿ๐—” ๐— ๐—”๐——๐—›๐—”๐—ฅ๐—” ๐—ฌ๐—ข๐—ฌ๐—ข๐—ง๐—˜.

โœ… Mtu mwenye uzito mkubwa anaweza kutumia mchanganyiko wa mlonge, tangawizi, karafuu na mdalasini kwa sababu:

๐ŸŽฏ Hivi viungo vina faida zifuatazo katika kupunguza uzito:

๐— ๐—น๐—ผ๐—ป๐—ด๐—ฒ: Huongeza kasi ya umengโ€™enyaji na kusaidia kuondoa sumu mwilini.

๐—ง๐—ฎ๐—ป๐—ด๐—ฎ๐˜„๐—ถ๐˜‡๐—ถ: Huchoma mafuta mwilini (fat burner) na hupunguza hamu ya kula kupita kiasi.

๐—ž๐—ฎ๐—ฟ๐—ฎ๐—ณ๐˜‚๐˜‚: Husaidia kudhibiti njaa na kuongeza metabolism.

๐— ๐—ฑ๐—ฎ๐—น๐—ฎ๐˜€๐—ถ๐—ป๐—ถ: Hushusha kiwango cha sukari na hupunguza kutunza mafuta tumboni.

๐—ก๐—ฎ๐—บ๐—ป๐—ฎ ๐—•๐—ผ๐—ฟ๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐—ž๐˜‚๐˜๐˜‚๐—บ๐—ถ๐—ฎ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐— ๐˜๐˜‚ ๐— ๐˜„๐—ฒ๐—ป๐˜†๐—ฒ ๐—จ๐˜‡๐—ถ๐˜๐—ผ ๐— ๐—ธ๐˜‚๐—ฏ๐˜„๐—ฎ:

โœ… Mpangilio wa matumizi kwa matokeo bora:

โžก๏ธ Asubuhi (kabla ya kifungua kinywa):

Kunywa kikombe 1 cha mchanganyiko huu ukiwa bado hujala chochote.

Subiri dakika 30 kabla ya kula chakula.

โžก๏ธ Kwenye mlo wa mchana na usiku:

Punguza wanga (ugali, wali, mikate) โ€“ badala yake tumia mboga nyingi, maharage, dagaa, au protini nyepesi k**a mayai au samaki.

๐Ÿ‘‰Epuka soda, juisi za dukani, chips, vyakula vya kukaanga.

โžก๏ธ Jioni (saa 11โ€“12 jioni):

Kunywa kikombe kingine kabla ya chakula cha jioni au badala ya chai ya maziwa.

โ˜‘๏ธ ๐— ๐˜„๐—ผ๐—ป๐—ด๐—ผ๐˜‡๐—ผ ๐˜„๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ผ๐—ป๐—ด๐—ฒ๐˜‡๐—ฎ ๐—ป๐—ด๐˜‚๐˜ƒ๐˜‚ ๐˜†๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ฝ๐˜‚๐—ป๐—ด๐˜‚๐—ฎ ๐˜‚๐˜‡๐—ถ๐˜๐—ผ

1. ๐—ข๐—ป๐—ด๐—ฒ๐˜‡๐—ฎ:

โžก๏ธLimao: Kamua nusu limao kwenye mchanganyiko wako โ€“ husaidia kuchoma mafuta kwa kasi.

โžก๏ธAsali kijiko 1 cha chai (hiari) โ€“ badala ya sukari.

โžก๏ธApple cider vinegar kijiko 1 (hiari kabisa).

2. ๐—™๐—ฎ๐—ป๐˜†๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐˜‡๐—ผ๐—ฒ๐˜‡๐—ถ ๐—บ๐—ฒ๐—ฝ๐—ฒ๐˜€๐—ถ ๐—ธ๐—ถ๐—น๐—ฎ ๐˜€๐—ถ๐—ธ๐˜‚ (๐—ฑ๐—ฎ๐—ธ๐—ถ๐—ธ๐—ฎ ๐Ÿฎ๐Ÿฌโ€“๐Ÿฏ๐Ÿฌ):

Kutembea kwa kasi, kuruka kamba, au squats hata nyumbani.

Lengo ni kusababisha jasho litoke โ€“ huongeza kasi ya kuchoma mafuta.

3. ๐—ž๐˜‚๐—ป๐˜†๐˜„๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐—ท๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐˜๐—ผ๐˜€๐—ต๐—ฎ (๐—ฎ๐—ป๐—ด๐—ฎ๐—น๐—ฎ๐˜‚ ๐—น๐—ถ๐˜๐—ฎ ๐Ÿฎ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐˜€๐—ถ๐—ธ๐˜‚)

โœ…๏ธ๐— ๐—ฝ๐—ฎ๐—ป๐—ด๐—ผ ๐˜„๐—ฎ ๐— ๐—ฎ๐˜๐˜‚๐—บ๐—ถ๐˜‡๐—ถ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐—ช๐—ถ๐—ธ๐—ถ ๐Ÿญ:

๐Ÿ‘‰Siku Asubuhi (kabla ya kula) Mchana na Jioni

โ˜‘๏ธ๐— ๐—ผ๐—ป๐—ฑ๐—ฎ๐˜†-๐—ฆ๐—ฎ๐˜๐˜‚๐—ฟ๐—ฑ๐—ฎ๐˜†

๐Ÿ‘‰Kikombe cha mchanganyiko Mlo wenye mboga na protini nyingi Kikombe kingine kabla ya saa 1 ya kulala

๐Ÿ‘‰Sunday(Jumapili) Pumzika matumizi ya mchanganyiko, endelea na maji, matunda, na mboga za majani

โš ๏ธ ๐—ง๐—ฎ๐—ต๐—ฎ๐—ฑ๐—ต๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ ๐˜‡๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐˜‡๐—ถ๐—ป๐—ด๐—ฎ๐˜๐—ถ๐—ฎ:

Epuka kutumia ikiwa una matatizo ya tumbo la kuungua au mimba changa.

Ikiwa unashuka nguvu sana au presha kushuka, acha na punguza kiwango.

Usiweke sukari wala maziwa kwenye mchanganyiko huu.

๐—ž๐˜‚๐—บ๐—ฏ๐˜‚๐—ธ๐—ฎ ๐—บ๐—ฝ๐—ฎ๐—ป๐—ด๐—ผ ๐˜„๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐˜๐—ถ๐—ฏ๐—ฎ๐—ฏ๐˜‚ ๐˜†๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐—ฝ๐—ฒ๐—บ๐—ฎ ๐—ป๐—ถ ๐—บ๐˜‚๐—ต๐—ถ๐—บ๐˜‚ ๐—ถ๐—น๐—ถ ๐—ธ๐˜‚๐—ฑ๐—ต๐—ถ๐—ฏ๐—ถ๐˜๐—ถ ๐—บ๐—ฎ๐—ฑ๐—ต๐—ฎ๐—ฟ๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐—ธ๐˜‚๐—ฏ๐˜„๐—ฎ ๐˜‡๐—ฎ๐—ถ๐—ฑ๐—ถ ๐˜†๐—ฎ๐—ป๐—ฎ๐˜†๐—ผ๐˜„๐—ฒ๐˜‡๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ท๐—ถ๐˜๐—ผ๐—ธ๐—ฒ๐˜‡๐—ฎ.

๐—ž๐—ช๐—” ๐—จ๐—ฆ๐—›๐—”๐—จ๐—ฅ๐—œ ๐—ก๐—” ๐— ๐—”๐—ง๐—œ๐—•๐—”๐—•๐—จ ๐—ช๐—”๐—ฆ๐—œ๐—Ÿ๐—œ๐—”๐—ก๐—” ๐—ก๐—”๐—ฆ๐—œ ๐—”๐—จ ๐—™๐—œ๐—ž๐—” ๐—ข๐—™๐—œ๐—ฆ๐—œ๐—ก๐—œ.

โ˜Ž๏ธ๐Ÿ“ž+255 655 952 030

24/07/2025

K**a haujui namna ya kuanza kutunza afya yako piga โ˜Ž๏ธ๐Ÿ“ž0655 952 030 kwa ushauri zaidi na matibabu...

22/07/2025

๐—ง๐—จ๐— ๐—œ๐—” ๐— ๐—–๐—›๐—”๐—ก๐—š๐—”๐—ก๐—ฌ๐—œ๐—ž๐—ข ๐—›๐—จ๐—จ ๐—ž๐—จ๐—Ÿ๐—œ๐—ก๐——๐—” ๐—”๐—™๐—ฌ๐—” ๐—ฌ๐—”๐—ž๐—ข ๐——๐—›๐—œ๐——๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐— ๐—”๐—ฅ๐—”๐——๐—›๐—œ.

Mchanganyiko wa mlonge, tangawizi, karafuu, na mdalasini ni wa asili na wenye faida nyingi kiafya. Vifaa hivi vinaweza kusaidia watu mbalimbali, hasa wale wanaokabiliwa na magonjwa yafuatayo:

โœ… 1. ๐—ช๐—ฎ๐—ด๐—ผ๐—ป๐—ท๐˜„๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ ๐—ž๐—ถ๐˜€๐˜‚๐—ธ๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ

Faida:

Mlonge husaidia kushusha sukari kwenye damu.

Tangawizi na mdalasini huongeza insulin sensitivity.

Karafuu ina uwezo wa kusaidia kuzuia kushuka au kupanda kwa ghafla kwa sukari.

๐—ข๐—ป๐˜†๐—ผ: Wanapaswa kupima sukari mara kwa mara kwani mchanganyiko huu unaweza kushusha sukari kupita kiasi.

โœ… 2. ๐—ช๐—ฎ๐˜๐˜‚ ๐˜„๐—ฒ๐—ป๐˜†๐—ฒ ๐—ฃ๐—ฟ๐—ฒ๐˜€๐—ต๐—ฎ (๐—›๐˜†๐—ฝ๐—ฒ๐—ฟ๐˜๐—ฒ๐—ป๐˜€๐—ถ๐—ผ๐—ป)

๐—™๐—ฎ๐—ถ๐—ฑ๐—ฎ:

Tangawizi na mlonge husaidia kupunguza shinikizo la damu.

Mdalasini husaidia kulainisha mishipa ya damu.

๐Ÿ“Œ๐—ข๐—ป๐˜†๐—ผ: Ikiwa mtu anatumia dawa za presha, ni vyema kushauriana na daktari kabla ya kuchanganya na tiba hizi za asili.

โœ… 3. ๐—ช๐—ฒ๐—ป๐˜†๐—ฒ ๐— ๐—ฎ๐˜‚๐—บ๐—ถ๐˜ƒ๐˜‚ ๐˜†๐—ฎ ๐—ฉ๐—ถ๐˜‚๐—ป๐—ด๐—ผ ๐—ป๐—ฎ ๐—ž๐˜‚๐˜ƒ๐—ถ๐—บ๐—ฏ๐—ฎ ๐— ๐˜„๐—ถ๐—น๐—ถ๐—ป๐—ถ

๐—™๐—ฎ๐—ถ๐—ฑ๐—ฎ:

Tangawizi na karafuu zina anti-inflammatory properties (huondoa uvimbe na maumivu).

Mlonge pia husaidia kwenye matatizo ya arthritis na gout.

โœ…๏ธ 3. ๐—ช๐—ฒ๐—ป๐˜†๐—ฒ ๐— ๐—ฎ๐—ฎ๐—บ๐—ฏ๐˜‚๐—ธ๐—ถ๐˜‡๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐— ๐—ณ๐˜‚๐—บ๐—ผ ๐˜„๐—ฎ ๐—›๐—ฒ๐˜„๐—ฎ (๐—ž๐—ถ๐—ธ๐—ผ๐—ต๐—ผ๐˜‡๐—ถ, ๐— ๐—ฎ๐—ณ๐˜‚๐—ฎ, ๐—ฃ๐˜‚๐—บ๐˜‚)

๐—™๐—ฎ๐—ถ๐—ฑ๐—ฎ:

Tangawizi, karafuu na mdalasini huua bakteria na virusi.

Hupunguza kikohozi na hufungua njia ya hewa.

Mlonge huimarisha kinga ya mwili.

โœ… 5. ๐—ช๐—ฎ๐˜๐˜‚ ๐—ช๐—ฒ๐—ป๐˜†๐—ฒ ๐—ž๐—ถ๐—ป๐—ด๐—ฎ ๐——๐—ต๐—ฎ๐—ถ๐—ณ๐˜‚ ๐˜†๐—ฎ ๐— ๐˜„๐—ถ๐—น๐—ถ

Mlonge una vitamini nyingi (C, A, E), madini na antioxidants.

Mchanganyiko huu huimarisha kinga dhidi ya maradhi.

โœ… 6. ๐—ช๐—ฒ๐—ป๐˜†๐—ฒ ๐—บ๐—ฎ๐˜๐—ฎ๐˜๐—ถ๐˜‡๐—ผ ๐˜†๐—ฎ ๐—ง๐˜‚๐—บ๐—ฏ๐—ผ (๐—š๐—ฒ๐˜€, ๐—ฉ๐—ถ๐—ฑ๐—ผ๐—ป๐—ฑ๐—ฎ ๐˜ƒ๐˜†๐—ฎ ๐—ง๐˜‚๐—บ๐—ฏ๐—ผ, ๐—ฆ๐˜‚๐—บ๐˜‚)

๐—™๐—ฎ๐—ถ๐—ฑ๐—ฎ:

๐Ÿ‘‰Mlonge na tangawizi husafisha tumbo na kusaidia digestion.

๐Ÿ‘‰Karafuu husaidia kuondoa gesi tumboni.

๐Ÿ“Œ ๐—ช๐—ฎ๐˜๐˜‚ ๐˜„๐—ฎ ๐—ž๐˜‚๐˜„๐—ฎ ๐— ๐—ฎ๐—ธ๐—ถ๐—ป๐—ถ ๐—ฎ๐˜‚ ๐—ž๐˜‚๐—ฒ๐—ฝ๐˜‚๐—ธ๐—ฎ

โžก๏ธWajawazito (hasa miezi ya mwanzo) โ€“ karafuu na mdalasini vinaweza kusababisha mikazo ya uterasi.

โžก๏ธWenye matatizo ya damu kuganda โ€“ tangawizi na mdalasini huweza kupunguza uwezo wa damu kuganda.

โžก๏ธWanaotumia dawa za kisukari au presha โ€“ washauriane na daktari kabla ya kutumia.

๐—ก๐—ผ๐˜๐—ฒโœ๏ธ: hii sio mbadala wa dawa k**a unachangamoto ni vyema ukapata na matibabu mapema ili kuweza kumaliza tatizo lako.

โ˜Ž๏ธ๐Ÿ“ž+255 655 952 030

๐—•๐˜† ๐—บ๐—ฎ๐—ฑ๐—ฎ๐—บ ๐—ธ๐—ถ๐—ฏ๐—ผ๐—ป๐—ฎ

22/07/2025

HII NI KWA WANAWAKE TU .....

โ˜Ž๏ธ๐Ÿ“ž +255 655 952 030

22/07/2025

๐—™๐—”๐—œ๐——๐—” ๐—ญ๐—” ๐—ž๐—ข๐—ฅ๐—ข๐—ฆ๐—›๐—ข ๐—ž๐—œ๐—”๐—™๐—ฌ๐—”.

Korosho ni jamii ya karanga zenye virutubisho vingi vinavyofaa afya ya mwili. Zinaweza kuliwa k**a vitafunwa au kuongezwa kwenye vyakula mbalimbali. Hapa chini ni baadhi ya faida za kiafya za korosho:

1. ๐—›๐˜‚๐˜€๐—ฎ๐—ถ๐—ฑ๐—ถ๐—ฎ ๐—ฎ๐—ณ๐˜†๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐—บ๐—ผ๐˜†๐—ผ

Korosho zina mafuta mazuri yasiyojaa (unsaturated fats) ambayo husaidia kupunguza kiwango cha cholesterol mbaya (LDL) na kuongeza cholesterol nzuri (HDL), hivyo kusaidia kupunguza hatari ya magonjwa ya moyo.

2. ๐—›๐˜‚๐—ถ๐—บ๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ๐˜€๐—ต๐—ฎ ๐—ฎ๐—ณ๐˜†๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐˜‚๐—ฏ๐—ผ๐—ป๐—ด๐—ผ

Korosho zina magnesium, copper, zinc, na antioxidants ambazo ni muhimu kwa maendeleo ya akili, kumbukumbu na utendaji wa ubongo.

3. ๐—›๐˜‚๐—ฐ๐—ต๐—ฎ๐—ป๐—ด๐—ถ๐—ฎ ๐˜‚๐—ธ๐˜‚๐—ฎ๐—ท๐—ถ ๐˜„๐—ฎ ๐—บ๐—ถ๐˜€๐˜‚๐—น๐—ถ ๐—ป๐—ฎ ๐—บ๐—ถ๐—ณ๐˜‚๐—ฝ๐—ฎ

Zina magnesiamu na fosforasi ambazo ni muhimu kwa mifupa imara na ukuaji wa misuli. Pia zina protini inayosaidia kujenga na kutengeneza tishu za mwili.

4. ๐—›๐˜‚๐˜€๐—ฎ๐—ถ๐—ฑ๐—ถ๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ฑ๐—ต๐—ถ๐—ฏ๐—ถ๐˜๐—ถ ๐˜‚๐˜‡๐—ถ๐˜๐—ผ

Ingawa zina mafuta, korosho zina protini na nyuzinyuzi (fiber) zinazosaidia mtu kushiba kwa muda mrefu na hivyo kusaidia kupunguza hamu ya kula kupita kiasi.

5. ๐—›๐˜‚๐˜€๐—ฎ๐—ถ๐—ฑ๐—ถ๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ฑ๐—ต๐—ถ๐—ฏ๐—ถ๐˜๐—ถ ๐—ธ๐—ถ๐˜€๐˜‚๐—ธ๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ

Korosho zina index ya chini ya glycemic (low glycemic index) hivyo hazisababishi ongezeko la ghafla la sukari mwilini. Pia, zinc na magnesium husaidia udhibiti wa insulin mwilini.

6. ๐—›๐˜‚๐˜€๐—ฎ๐—ถ๐—ฑ๐—ถ๐—ฎ ๐—ฎ๐—ณ๐˜†๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐—ฐ๐—ต๐—ผ

Zina antioxidants k**a lutein na zeaxanthin ambazo husaidia kulinda macho dhidi ya miale ya jua na kupunguza hatari ya matatizo ya kuona uzeeni.

7. ๐—›๐˜‚๐—ถ๐—บ๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ๐˜€๐—ต๐—ฎ ๐—ธ๐—ถ๐—ป๐—ด๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐—บ๐˜„๐—ถ๐—น๐—ถ

Zina zinc ambayo ni muhimu sana kwa mfumo wa kinga ya mwili, kusaidia mwili kupambana na maambukizi na maradhi.

8. ๐—›๐˜‚๐—ผ๐—ป๐—ด๐—ฒ๐˜‡๐—ฎ ๐—บ๐—ป๐—ดโ€™๐—ฎ๐—ผ ๐˜„๐—ฎ ๐—ป๐—ด๐—ผ๐˜‡๐—ถ ๐—ป๐—ฎ ๐—ป๐˜†๐˜„๐—ฒ๐—น๐—ฒ

Shukrani kwa copper na antioxidants, korosho husaidia katika utengenezaji wa melanin na kulinda ngozi dhidi ya uharibifu wa mazingira.

9. ๐—›๐˜‚๐—ฝ๐˜‚๐—ป๐—ด๐˜‚๐˜‡๐—ฎ ๐—บ๐˜€๐—ผ๐—ป๐—ด๐—ผ ๐˜„๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐˜„๐—ฎ๐˜‡๐—ผ (๐˜€๐˜๐—ฟ๐—ฒ๐˜€๐˜€)

Zina tryptophan, kirutubisho kinachosaidia kuzalisha serotonin โ€“ homoni inayohusishwa na furaha na utulivu wa akili.

๐—๐—œ๐—ก๐—ฆ๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐—ž๐—จ๐—ง๐—จ๐— ๐—œ๐—”:

โ—Kula korosho mbichi au zilizokaangwa bila mafuta

โ—Usizidishe: kwa watu wazima, karibu korosho 10โ€“15 kwa siku zinatosha

โ—Ziepuke zikiwa na chumvi nyingi au sukari

๐—•๐˜† ๐—บ๐—ฎ๐—ฑ๐—ฎ๐—บ ๐—ธ๐—ถ๐—ฏ๐—ผ๐—ป๐—ฎ

Address

Kimara Dar Es Salaam
Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Sunday 09:00 - 17:00

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when mshauri na mtabibu wa afya posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram