Dawa za uzazi&ushauri bure

Dawa za uzazi&ushauri bure JINSI YA KUHESABU SIKU ZA MZUNGUKO WA HEDHI KWA MWANAMKE �

13/05/2025

I got 50 reactions and comments on my posts last week! Thanks everyone for your support! 🎉

10/04/2025

886 followers, 590 likes, 44 comments

10/04/2025

TikTok | Make Your Day

DALILI ZA MTU MWENYE UVIMBE KWENYE KIZAZI1.Kupata maumivu wakati wa tendo la ndoa2.Kupata maumivu chini ya kitovu wakati...
03/04/2025

DALILI ZA MTU MWENYE UVIMBE KWENYE KIZAZI

1.Kupata maumivu wakati wa tendo la ndoa

2.Kupata maumivu chini ya kitovu wakati wa haja ndogo na haja kubwa

3.Maumivu ya kiuno hasa upande mmoja wakati wa kutembea au kufanya shughuli yoyote.

4.kuhisi kitu kigumu Ndani ya tumbo upande wa Chini

5.Kupata Hedhi Nzito Yenye Mabonge Yenye Rangi Nyeusi

6.Kupata hedhi nyingi Sana Kwa Muda Mrefu isivyokawaida(inayozidi siku 7)

7.Mzunguko Wa Hedhi Kubadilika Sana,kwa mwezi kupata mara mbili au Zaidi, lakini pia inaweza kupita miezi kadhaa hujapata hedhi

8.kushindwa Kupata Ujauzito

NB;KUNA VIMBE ZA AINA 3

FIBROIDS -Ni uvimbe mgumu kwenye kuta za Kizazi unaweza kuwa na ukubwa wowote,unaweza kuwa zaidi ya mmoja

CYSTS -Ni uvimbe ambao mayai ya k**e hujaa Maji hivyo kuzuia kupata mimba

ENDOMETRITIS - Ni vimbe ndogo ndogo nyingi katika kuta Za uterus(njia za uzazi)

Je Uvimbe ulionao wewe Ni Upi?

Una dalili yoyote kati ya hizo hapo?

Umetumia dawa za uvimbe lakini bado dalili unazo ?

Nina suluhisho kwa Ajili Yako

Dozi zetu ni tibalishe na zinayeyusha uvimbe taratibu bila upasuaji wala madhara,hii ni kutokana na uwepo wa viambata vya polysaccharides

Zitakutibu lakini pia zitaku kinga usipate uvimbe siku za baadae

Dose ya uvimbe inatokana na ukubwa wa uvimbe wenyewe

KARIBU KWA USHAURI NA VIRUTUBISHO TIBA.

Address

Dar Es Salaam
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dawa za uzazi&ushauri bure posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category