Mr Health

Mr Health Mtaalamu wa afya ya uzazi kwa wanaume na wanamke, Miongozo ya lishe bora na Ushauri wa Kisaikolojia..🩺

K**a Asubuhi Jogoo Wako Hawiki, Tatizo Sio Umri— Ni Testosterone Homoni..! Anza Chai Tiba formula hii ya Aidan Fruit Leo...
12/04/2026

K**a Asubuhi Jogoo Wako Hawiki, Tatizo Sio Umri— Ni Testosterone Homoni..! Anza Chai Tiba formula hii ya Aidan Fruit Leo..🩺

Wanaume wengi wanadhani tatizo la kuto simama asubuhi Ni upungufu wa nguvu za kiume, wengine wakikushauri Utumie dawa zao (Booster).

Broo wewe sio mgonjwa kwamba umeze dawa..👇

Hali hii ni ishara ya mwili kupoteza mzunguko wa damu na uwiano wa homoni za kiume..

— Kitaalamu hii hali tunaiita Hormonal and Circulatory Fatigue Syndrome...Sio Ugonjwa wala hutakiwi kupeza dawa..🫵

Hutokea pale mishipa ya damu ya uume inapoteza nguvu ya kusambaza damu kwa wakati, na homoni ya testosterone kushuka kimyakimya..

Na hapo ndipo tiba asili ya Aidan Fruit Tea Formula inapoleta mapinduzi.🌿

Hii ni chai tiba formula inayosaidia....👇

↳ Kuamsha mzunguko wa damu katika mfumo wa uzazi..

↳ Kuimarisha tezi za homoni za kiume (testosterone glands)..

↳ Kuondoa gesi na sumu mwilini zinazosababisha uchovu wa asubuhi..

↳ Kurejesha nguvu asilia bila dawa “BOOSTER ”..

*NB:* Siri yake iko kwenye uwezo wake wa kuamsha mfumo wa ndani wa kiume —Si kuupiga jeki kwa muda mfupi, kwa Booster..

Ukiwa mwanaume na unajijua asubuhi jogoo wako hawiki k**a zamani...

👉 Usinyamaze, Fanya maamuzi ya kiafya leo..

Neda sokoni nunua Aidan Fruit na uanze siku yako na glasi ya Aidan Fruit Tea kwa siku 14 Mfululizo...

Hakika Mwili wako utakuonyesha matokeo kabla ya mwezi huu kuisha...

By Mr Health A sound of health | Jifunze na chukua hatu kuboresha afya yako...🩺🫡

Iba Siri hii..Mambo 6 MWANAUME kuzingatia kabla ya Kumvua chupi mwanamke wako.....🍆💦Sio nguvu pekee, Ni maandalizi yanay...
11/04/2026

Iba Siri hii..Mambo 6 MWANAUME kuzingatia kabla ya Kumvua chupi mwanamke wako.....🍆💦

Sio nguvu pekee, Ni maandalizi yanayobeba ubora wa mchezo mzima...👇

1. Usafi wa mazingira Ni Confidence ya mwanamke

Kitanda kisafi, chenye harufu nzuri kinaamsha utulivu wa akili na hisia za kuvutiwa....

2. Andaa vitu vya msingi, weka Leso au taulo karibu…

Hii inaonyesha uko in control na unajali experience nzima, sio tendo tu.

3. Kunywa maji ya kutosha Dakika 30 kabla ya game...

Mwili ulio hydrated unadumisha nguvu, mzunguko mzuri wa damu na stamina.....

4. Ondoa distractions wakati wa tendo Simu, TV, Redio zima...

Mwanamke anahitaji attention yako yote— hapo ndipo connection ya kweli inaanza..

5. Andaa condom size yako mapema...

Epuka condom iliyo expire....Epuka kondo size kubwa, Nimuhimu sana kutumia condom k**a njia ya Uzazi wa mpango....

6. Maandalizi ya awali yaani Foreplay ndiyo msingi..

Dakika 15+ za awali ni maandalizi ya kusaidia Kuongezeka kwa ute ukeni na Kuimarika kwa msisimko wa kihisi...

Ukweli ni huu…👇

Mwanaume anayejua maandalizi, anatawala mchezo bila kulazimisha.

Niambie ukweli kwenye koment ni kitu gani kimewahi kukuudhi au kukukera wakati wa tendo...?

Ulipoina picha k**a hii kwa mara ya kwanza… Akili yako iliwaza nini— Tiba ya kweli au hadithi Tu..? 👀Wapo wanaoapa imewa...
10/04/2026

Ulipoina picha k**a hii kwa mara ya kwanza… Akili yako iliwaza nini— Tiba ya kweli au hadithi Tu..? 👀

Wapo wanaoapa imewasaidia na wapo wanaoiogopa bila hata kuijua......

Je, wewe uko upande gani..!? Unaamini au bado upona mashaka..?

Kabla sijaja na elimu Kamila, Nikuulize swali....👇

Unajua nini hasa kuhusu Cupping therapy… Na kwa nini watu wengi wanalalamika kuhusu hii Tiba...!?

K**a bado una hamu ya tendo, Unasisimka kawaida, na mwili wako unaitikia msisimko…🍆K**a huna kisukari, presha, matatizo ...
09/04/2026

K**a bado una hamu ya tendo, Unasisimka kawaida, na mwili wako unaitikia msisimko…🍆

K**a huna kisukari, presha, matatizo ya figo, tezi dume, wala ugonjwa wowote wa kudumu...

Lakini bado unashindwa kudumu zaidi ya dakika 30–45 unapokuwa na mwenzi wako kitandani..

Ukweli wa kitabibu ni huu...👇

Huo sio udhaifu wala sio upungufu wa nguvu za kiume, Ni msongo wa mawazo unaoshambulia mfumo wako wa neva wakati wa tendo.....

→ Kitaalamu huitwa (Performance Anxiety Sexual Disorder)...

Hali ambayo akili yako inaanza kupigana na mwili wako badala ya kufurahia tendo, unaanza kufikiria,

↳ Nitadumu kweli..?
↳ Nikishindwa je..?
↳ Atanichukuliaje..?

Nakuamsha homoni ya stress (cortisol) ambayo huua kabisa homoni ya stamina (testosterone) na mtiririko wa damu kwenye uume...☠️

Matokeo yake...👇

Unakuta mwili wako una uwezo, Lakini akili yako inakusaliti unapokuwa na mtoto mzuri kitandani..

Na cha kusikitisha zaidi, Wanaume wengi huanza kujilaumu, kujiona wameharibika, na kukimbilia “Booster” na dawa mitandaoni...🥲

Wakati tatizo lao liko kwenye mfumo wa saikolojia na wala siyo kwenye uume..

Leo nataka ujue na kujifunza ukweli huu...👇

— Wewe haujavunjika..
— Wewe hujaishiwa nguvu...
— Wewe haujachelewa..

Unahitaji tu elimu sahihi katika mwongozo sahihi marekebisho ya akili, homoni, na mfumo wa mwili..

Broo, na hilo linawezekana bila kuharibu afya yako kwa madawa au booster za nguvu za kiume...

— K**a uko tayari kuelewa ukweli wa mwili wako, badala ya kuishi kwa hofu... Comment neno (UBIDA) Kisha soma comment ya kwanza....👇

Siri Tiba ya Ukwaju Wengi Hawaijui Soma kwa makini Elimu hii...🩺Usiuchukulie powa ukwaju —Ndani ya ganda lake la kawaida...
09/04/2026

Siri Tiba ya Ukwaju Wengi Hawaijui Soma kwa makini Elimu hii...🩺

Usiuchukulie powa ukwaju —Ndani ya ganda lake la kawaida kumefichwa tiba asilia yenye nguvu zaidi kwa mwili wako....

Kitaalamu, ukwaju una asidi ya tartaric, potassium, magnesium, na polyphenols —Mchanganyiko unaosaidia...👇

↳ Kupunguza uchovu na kusafisha damu kwa kuondoa taka za metabolic waste...

↳ Kurekebisha mfumo wa mmeng’enyo wa chakula kwa kusisimua bile secretion na kupunguza gesi, kujaa, au choo kigumu....

↳ Kushusha cholesterol na sukari ya damu kupitia fiber yake inayodhibiti absorption ya glucose.

↳ Kusafisha ini (liver detox) kwa kuongeza ufanisi wa enzymes za kuondoa sumu.

↳ Kupunguza uvimbe mwilini (inflammation) — chanzo kikuu cha magonjwa sugu k**a pressure, kisukari, na uzito kupita kiasi.....

↳ Kwa wanaume, ukwaju huamsha mzunguko wa damu na kusaidia kurejesha stamina asilia bila dawa za kuongeza nguvu.

↳ Kwa wanawake, husaidia balance ya homoni na kupunguza bloating hasa kipindi cha hedhi....

NB: Anza Tiba Formula ya Ukwaju leo, Chemsha kijiko 1 cha ukwaju mbichi (au kavu) katika glasi 1 ya maji ya uvuguvugu, Ongeza asali kidogo, Kunywa asubuhi kabla ya chakula kwa siku 14.

Matokeo yake hayachelewi— Utahisi mwili wako unaamka, tumbo linatulia, ngozi inang’aa, na nguvu zinarejea...💪

Ukwaju sio ladha tu, Ni tiba ya mfumo mzima wa mwili wako, Ukianza hii formula kwa uaminifu… utakuja kusema “Daktari nilichelewa kuijua siri hii ya ukwaju"....

Je umesha wahi tumia Ukwaju k**a Tiba..? Tuambie kwenye comment.....

Kumbuka Tinaanza kwenye sahani yako, sio kwenye maduka ya dawa....🫵

K**a unapata tatizo la mbegu kuwa nyepesi k**a maji ya mchele… Anza tiba formula hii Leo....🍆💦Chukua tende 5–7, ziponde ...
08/04/2026

K**a unapata tatizo la mbegu kuwa nyepesi k**a maji ya mchele… Anza tiba formula hii Leo....🍆💦

Chukua tende 5–7, ziponde hadi ziwe laini, kisha changanya na maziwa ya moto...🥛

NB: Kunywa asubuhi kabla ya kifungua kinywa, Fanya hivi kwa siku 14 mfululizo…

Utaanza kuona mwili wako ukirudi kwenye ubora wake wa asili... 🔥💪

Hiki unachokiona kwenye picha kinaitwa TONSIL STONE (Tonsillolith)....Kwa Kiswahili rahisi huitwa (Mawe ya tonsils (koo)...
06/04/2026

Hiki unachokiona kwenye picha kinaitwa TONSIL STONE (Tonsillolith)....

Kwa Kiswahili rahisi huitwa (Mawe ya tonsils (koo)

Ni chembechembe ngumu (nyeupe au za njano) zinazotokea ndani ya mashimo ya tonsils (vinyama vilivyopo nyuma ya koo)...

→ Tonsils zina mashimo madogo (crypts), Ndani yake hukusanyika, Mabaki ya chakula, Bakteria, Makohozi na Seli zilizokufa....

Mchanganyiko huo, Hukaa kwa muda, Hukauka, Hukomaa, Hutengeneza stone (jiwe), Ndiyo hiki unachokitoa...kwenye picha....

Watu wengi wana tonsil stones bila kujua, Dalili zake ni...👇

↳ Harufu mbaya ya mdomo (HATA k**a unapiga mswaki)...

↳ Ladha mbaya mdomoni, Koo kuwasha au kuhisi kitu kimekwama...

↳ Kikohozi cha kubanja mara kwa mara, Wengine huona kitu cheupe chenye harufu mbaya hutoka..

NB: Ndiyo maana watu wengi utasikia Ninasafisha Kinywa vizuri lakini harufu haiondoki....☠️

Harufu mbaya ya mdomo siyo kila mara hutokea tumbo au kinywani, Mara nyingi tatizo lipo KOONI,

Je, Unasumbuliwa na harufu mbaya ya mdomo isiyoisha, koo kuwasha au kuhisi kitu kimekwama kooni licha ya kusafisha kinywa vizuri...?

Hatua sahihi na salama ni kuonana na DAKTARI BINGWA WA KINYWA NA MENO au BINGWA WA MASIKIO, PUA NA KOO (ENT) kwa uchunguzi wa kitaalamu na tiba sahihi.....

Afya ya kinywa ni sehemu ya afya ya mwili mzima— Chukua hatua mapema, epuka madhara yasiyo ya lazima....

Je..!? Umesha wahi kutokewa na hivyo vidonge vyeupe... Mdomoni...!?

Faida kuu za Matumizi ya Beetroot fruit na Majani yake Katika Afya yako Kila siku....!? 🩺💊Hurekebisha Homoni, Kuboresha ...
05/04/2026

Faida kuu za Matumizi ya Beetroot fruit na Majani yake Katika Afya yako Kila siku....!? 🩺💊

Hurekebisha Homoni, Kuboresha Uzazi na Kusafisha Mfumo wa Mwili– Kisayansi Zaidi ya Unavyofikiria…

K**a wewe unapambana na homone imbalance, gesi tumboni, uzito unaokataa kushuka, na changamoto za uzazi, Basi unahitaji kusoma hii kwa umakini mkubwa..

Beetroot na majani yake si chakula tu… Ni functional medicine ndani ya sahani yako.....👇

↳ Homoni zako hazihitaji dawa kila siku zinahitaji lishe sahihi.....

1. Beetroot ina virutubisho muhimu, Nitrates huongeza mzunguko wa damu....

2. Folate Vitamin B9, msingi wa uzalishaji wa homoni..

3. Antioxidants (betalains) yaani vinasa sumu mwilini..

Vinafanya kazi moja kubwa, Kurekebisha mawasiliano ya mfumo wa homoni mwilini......

↳ Gesi Tumboni Sio Kawaida— Ni Ishara ya Mfumo wa Mmeng’enyo Kufeli....

Watu wengi wanakunywa soda au dawa za gesi bila kuelewa chanzo....

1. Beetroot + majani yake, Huongeza fiber (nyuzinyuzi) husafisha utumbo.....

↳ Husaidia kukuza bacteria wazuri (gut microbiota)....

↳ Hupunguza fermentation isiyofaa tumboni (chanzo cha gesi).....

Matokeo, Tumbo linakuwa “light” Hakuna kujaa hewa hovyo na Mmeng’enyo unarudi kwenye balance....

↳ Kupunguza Uzito, Sio Kula Kidogo— Ni Kurekebisha Mfumo mzima.....

1. Beetroot, Ina calories chache lakini virutubisho vipo vingi Sana....

2. Husaidia ini (liver detox pathways) na Huboresha matumizi ya mafuta mwilini (fat metabolism)..

Hii ina maana, Mwili wako unaanza kutumia mafuta k**a nishati badala ya kuyahifadhi....

Ndiyo maana watu wanaotumia beetroot juice katika usahihi....Tumbo hupungua polepole......

↳ Majani ya Beetroot ni Sehemu Inayopuuzwa Lakini Yenye Nguvu Kubwa mno....

Watu wengi hutupa majani… wanabaki na tunda tu 😅

1. Lakini ukweli nikwamba Majani yana Iron, Huongeza damu....

2. Calcium na Magnesium (homone balance + muscle function) pamoja na Chlorophyll kwa detox ya damu..

NB: Hii ni complete package ya afya ukiona, Unachoka mara kwa mara...

↳ Una gesi mara kwa mara....

↳ Homoni zako hazipo sawa..

↳ Uzito unaongezeka bila sababu..

↳ Au una changamoto za uzazi

Usikimbilie dawa kwanza Anza kurekebisha mfumo wako kwa lishe sahihi.....

Na hapa ndipo beetroot + majani yake vinaingia k**a suluhisho la msingi.....

Tumia k**a juice (fresh) au kwenye mboga Usizidishe (glasi 1 kwa siku inatosha)...

Wagonjwa wa presha ya chini au kisukari wasiliana na daktari wako kwanza......

Je Umewahi kutumia Beetroot k**a Tiba..Imekusaidia kwa Asilimia ngapi....!? Funguka kwenye comment..👇

Ukweli Kuhusu Maumbile ya Kiume: Hakuna Haja ya Dawa za Kukuza— Ni hatari kwa afya yako...☠️🩺🍆Nisikilize kwa makini broo...
04/04/2026

Ukweli Kuhusu Maumbile ya Kiume: Hakuna Haja ya Dawa za Kukuza— Ni hatari kwa afya yako...☠️🩺🍆

Nisikilize kwa makini broo... Hii siyo story ya mitaani ni fiziolojia halisi ya mwili wa mwanaume...

Zipo Aina Kuu Mbili za Maumbile ya kiume...👇

1. Ukiwa Umelala Ni Mdogo, Laki Ukisimama Au Ukidinda. Unakuwa ni Mkubwa...

Kitaalamu Hujulikana k**a (GROWER).

2. Ukiwa umelala unakuwa nimkubwa na ukisimama Utaongezeka kidogo sana.

Kitaalamu Hujulikana k**a (SHOWER).

K**a uume wako ukilala ni mdogo na ukisimama ni mkubwa haupwai kwenye Kondomu upo vizuri— Sio tatizo...

Wanaume wengi wenue uume aina ya Grower hujikuta wanaingia kwenye msongo wa mawazo....

Wakijilinganisha na wengine hapo ndipo wanapoanza kutafuta njia za haraka—💊 BOOSTERS..za kukuza 🍆

Bila kujua matumizi holela ya dawa za kuongeza uume yanaweza kusababisha...

Uharibifu wa mishipa ya damu ya uume (vascular damage)

↳ Kupungua kwa uwezo wa kusimama bila dawa (drug dependency)...

↳ Shinikizo la damu kupanda au kushuka ghafla...

↳ Matatizo ya moyo (cardiovascular risks)....

↳ Na hata kupoteza kabisa uwezo wa tendo la ndoa...

NB: Kitaalamu, hizi dawa nyingi hazirekebishi chanzo cha tatizo—zinachochea mfumo kwa muda tu...

Jiamini Jikubali...Usiruhusu saikolojia yako itawaliwe na hisia zako broo..Ukajikuta umeingia kwenye Mtego wa BOOSTER..💔

Comment neno (MKONGA PROGRAM) Sahivi nikupatie Mwongozo wa Kuimarisha Uume wako kwa mazoezi Na Vyakula Maalumu..🔥

TIBA CHAI YA BABA🔥 — Asubuhi ya Mwanaume Rijali Zingatia Formula hii..🍆💦Mwanaume mwenye maarifa ya kiafya huanza siku ya...
02/04/2026

TIBA CHAI YA BABA🔥 — Asubuhi ya Mwanaume Rijali Zingatia Formula hii..🍆💦

Mwanaume mwenye maarifa ya kiafya huanza siku yake na CHAI YA BABA— Mchanganyiko wa nguvu unaochochea damu, kuongeza stamina na kuimarisha afya ya uzazi kwa asili kabisa..👑

Viambato (Ingredients) Muhimu kutengeneza formula Tiba hii...👇

↳ Manjaro (Tumeric) mbichi vipande 2 🫚

↳ Mdalasini wa magome (cinnamon stick) vipande 4

↳ Karafuu Punje 15

↳ Mbegu za bizari (fennel seeds) kijiko 1 cha chai 🌿

↳ Pilipili manga (black peppercorns) 5⚫

↳ Maganda 3 ya iliki (cardamom pods) 🌱

↳ Vikombe 2 vya maji safi 💧

↳ Asali kijiko 1 (Hiari, baada ya kuchemka) 🍯

Namna sahihi ya Kuandaa chai tiba formula yako Ukiwanyumbani..

1. Weka maji kwenye sufuria na tia viambato vyote isipokuwa asali.

2. Chemsha kwa dakika 10–15 hadi maji yapungue kidogo na harufu ya viungo ienee...

3. Chuja, acha ipowe kidogo kisha ongeza asali kwa ladha na faida zaidi...Usiweke sukari...🫵

4. Kunywa ukiwa na tumbo tupu asubuhi kabla ya kifungua kinywa..

Kwanini Utumie Formula hii...? Tuone Faida za kiafya za kutumia Tiba formula hii...👇*

↳ Huimarisha mzunguko wa damu (kwenye mishipa ya uume)

↳ Huongeza nguvu ya kiume kwa njia ya asili..

↳ Husaidia mmeng’enyo wa chakula na kupunguza gesi tumboni..

↳ Hupunguza uchovu na kuamsha ubongo..

↳ Huchochea homoni za kiume (testosterone booster asilia)..

NB:Anza leo, Usisubiri kushuka nguvu —Anza CHAI YA BABA iwe desturi yako kila asubuhi...🍆💦 Mwili wako, akili yako na nguvu zako zitakushukuru...💪

Nimekuandalia Miongozo Maalumu Kuimarisha Urijali Wako kwa siku 14...Ya Maumee rijali... Comment neno eBook nikupatie softy ya nakala yako...👇

VYAKULA MWANAUME UNAPASWA KUPUNGUZA AU KUACHA KABISA...SOMA KWA MAKINI...🍆💦👇Kuna vitu unakula kila siku…Unaviona vya kaw...
01/04/2026

VYAKULA MWANAUME UNAPASWA KUPUNGUZA AU KUACHA KABISA...SOMA KWA MAKINI...🍆💦👇

Kuna vitu unakula kila siku…
Unaviona vya kawaida…
Lakini ndani kwa ndani vinaua afya yako ya uzazi....

↳ Hamu ya tendo la ndoa inapungua...
↳ Muda wa kudumu unapungua..
↳ Nguvu ya kusimamisha uume inakuwa dhaifu...
↳ Mbegu za kiume zinapungua ubora...

Na mwisho…unakuja kuuliza "Daktari, tatizo ni nini..?"

Ukweli mchungu ni huu...👇

("Tatizo linaanza kwenye sahani yako ya chakula")

1. Sukari nyingi (Soft drinks, juice za viwandani, energy drink), Hizi zinaharibu mfumo wa homoni zako, hasa testosterone....

Bila testosterone ya kutosha…nguvu zako zinashuka...

2. Mafuta mabaya (Deep fried foods)k**a chipsi, kuku wa kukaanga sana..Yanasababisha kuziba kwa mishipa ya damu....

Kumbuka uume wako kusimama imara ni matokeo ya mtiririko mzuri wa damu, Ukiharibu mishipa ume wako unakuwa dhaifu.....

3. Vyakula vya viwandani (Processed foods) Pizza, sosege, burger, zina kemikali zinazo haribu mfumo wa homoni ya endocrine disruptors.....

4. Kunywa Pombe kupita kiasi, kunaua uzalishwaji wa testosterone polepole, Pia inapunguza uwezo wa ubongo kutuma signal sahihi wakati wa tendo....

5. Wanga iliokithiri k**a mikate, wali mwingi, ugali mwingi bila balance..Huchangia kuongezeka kwa mafuta mwilini na testosterone hunapungua.....

NB: Anza kupunguza hivi vyakula kuanzia leo, Ongeza vyakula halisi (natural foods) Matunda, mboga, protini safi, karanga, na mbegu.....

Hii siyo option Ni uwekezaji wa nguvu zako za kiume na Siku zote, Afya ya uzazi kwa mwanaume siyo swala la bahati…

Ni matokeo ya maamuzi ya kila siku unayofanya kuhusu chakula chako, Unapochagua kula hovyo…

Unachagua udhaifu wa kesho, Unapochagua kula kwa akili…Unajenga nguvu ya kudumu ya kiume....

Comment Neno (MWONGOZO) Nikupe mpangilio wa Mlo wako wa Kila Siku.....🍆💦

RANGI YA MKOJO WAKO INASEMA MENGI KUHUSU AFYA YAKO…USIPUUZE HILI.....🩺K**a unakojoa mkojo wa njano, hasa njano kali k**a...
01/04/2026

RANGI YA MKOJO WAKO INASEMA MENGI KUHUSU AFYA YAKO…USIPUUZE HILI.....🩺

K**a unakojoa mkojo wa njano, hasa njano kali k**a kwenye picha... Hii siyo hali ya kupuuzwa....☠️

Mkojo wa njano sana hutokana na kemikali inayoitwa Urobilin— Kiwango chake kinapoongezeka sana, Mwili wako unakuwa unajaribu kukuambia kitu......

Sasa sikiliza kwa makini…..👇

Mwili hauongei kwa maneno unaongea kwa dalili, Na moja ya lugha zake kuu ni rangi ya mkojo....

Njano iliyopauka kawaida (mwili una maji ya kutosha)
Njano kali au ya machungwa, Kuna shida mahali...

1. Upungufu wa maji mwilini, kitalamu hujulikana k**a Dehydration, Hii ndiyo sababu namba moja.....

Unapokosa maji ya kutosha mkojo, Unakuwa mzito (concentrated) Rangi inakuwa kali njano machungwa.

Hii ni hatua ya mwanzo kuelekea Dehydration kali watu wengi wanatembea na hali hii kila siku… Bila kujua.

2. Mzigo mkubwa kwa ini (Liver overload) K**a ini linafanya kazi kupita kiasi....Uzalishaji wa rangi ya mkojo unaongezeka....

Hii inaweza kuhusishwa na matatizo k**a Hepatitis au kuanza kwa Jaundice na dalili nyingine ni macho kuwa ya njano....

3. Maambukizi ya njia ya mkojo (UTI) K**a kuna harufu kali maumivu wakati wa kukojoa Au mkojo wenye ukungu, Inaweza kuwa Urinary Tract Infection.

Sasa ukweli ambao wengi hawataki kuusikia…..👇

Watu wengi hawanywi maji ya kutosha, wengi hukata kiu kwa Kunywa Soda, Juice zenye sukari na Pombe..

Hivi havibadilishi ukweli wa mwili wako....Vinauharibu zaidi. Tubadilike sasa....

↳ Kunywa maji lita 2–3 kwa siku....

↳ Angalia rangi ya mkojo wako kila siku ni kipimo rahisi kabisa cha afya...

↳ Epuka soda, pombe na vyakula vya kemikali...

↳ K**a njano kali inaendelea na dalili zingine nenda kwa Haraka hospitali fanya uchunguzi.....

NB: Mkojo wako si uchafu tu unaotoka mwilini Ni ripoti ya ndani ya mwili wako.m...

Ukiona njano kali mara kwa mara…👇

↳ Usipuuze.....
↳ Usijifariji.....
↳ Chukua hatua...

Kumbuka, Afya yako haianzi hospitali inaanzia kwenye maamuzi yako ya kila siku.....

— Mr Health | Elimu ya Afya kwa Jamii....🩺

Address

Masaki
Dar Es Salaam
14111

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mr Health posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram