MagonjwaSugu

MagonjwaSugu Kisukari|Presha|Vidonda vya tumbo|Magonjwa ya Hedhi|Uvimbe|Mvurugiko wa homoni

“Ni wanawake wangapi wanalia kimya kimya kwa sababu ya uzazi? Je, wewe ni mmoja wao?”K**a jibu lako ni ndio ingia hapa h...
01/02/2026

“Ni wanawake wangapi wanalia kimya kimya kwa sababu ya uzazi? Je, wewe ni mmoja wao?”

K**a jibu lako ni ndio ingia hapa haraka sana

(Link kwenye comment / inbox)

WhatsApp Group Invite

Hizi Ndio Siri Rahisi na za Asili za Kubeba Mimba kwa Kutumia Mimea Hii Mitatu
10/01/2026

Hizi Ndio Siri Rahisi na za Asili za Kubeba Mimba kwa Kutumia Mimea Hii Mitatu

02/12/2025

Hii ni Kwa ajili ya Kila Mwenye Vidonda vya Tumbo Sugu hata k**a Vina Miaka zaidi ya 7
Utasahau suala la Vidonda vya Tumbo baada ya Kutumia Package hii
Nitumie Ujumbe Whatsapp Sasa
0716088626

02/12/2025

Hii Ndio Siri ambayo hujaambiwa yenye Nguvu sana ya Kutibu Vidonda vya Tumbo ndani ya Siku 20!

Utajifunza Siri za Mauzo 6+ ambazo Kila Mfanyabiashara Mkubwa Duniani huzitumia na zitakuwezesha kuongeza kipato cha zia...
19/11/2025

Utajifunza Siri za Mauzo 6+ ambazo Kila Mfanyabiashara Mkubwa Duniani huzitumia na zitakuwezesha kuongeza kipato cha ziada kuanzia 620,000+ ndani ya Siku 30 Tu! hii ina maana hata k**a una Kazi yako haitaathiriwa zaidi utajikuta mishahara yako kwa Mwezi inakuwa Miwili
Click button ya Whatsapp Sasa!
NOTE:Hakuna

19/11/2025
Hii ni kwa wakazi wa Dar na Viunga vyake,Gundua siri zaidi ya 6 za kutengeneza kipato endelevu na kikubwa hata k**a una ...
19/11/2025

Hii ni kwa wakazi wa Dar na Viunga vyake,
Gundua siri zaidi ya 6 za kutengeneza kipato endelevu na kikubwa hata k**a una Kazi yako rasmi au biashara yako
Kikubwa ni Smartphone na Kuwa tayari kufanya kazi..
NOTE:Hakuna interview wala Kokomo Cha Umri!
Click Button ya What'sApp sasa

“Tambua siri ya afya ya mwili wako wote leo — kwa bei ndogo isiyo na mfano!”Ndio “Usikubali ugonjwa ujitokeze ghafla — p...
10/11/2025

“Tambua siri ya afya ya mwili wako wote leo — kwa bei ndogo isiyo na mfano!”

Ndio “Usikubali ugonjwa ujitokeze ghafla — pata nafasi ya kujua hali ya afya ya mwili wako wote kwa gharama ndogo isiyopatikana kokote!”

Kwanini uje upime Kimara Mwisho
1.Ofa ni kubwa mno na Nafasi zimebaki chache maana hio ilikuwa kwa Watu 20 Tu! Ina maana ukichelewa inafungwa

2.Katika Kufanya Vipimo unaona Kila Mfumo ndani ya Mwili wako kwenye TV!Ina maana utafurahia kujiona namna ulivyo na utajua Mapema Mfumo wenye Shida

3.Utaokoa Gharama kubwa sana Ina maana utaepuka Gharama kubwa za Kufanya Vipimo katika Hospitali zingine ambako kwa Wao utalipia kila kipimo Cha Kila Mfumo wa Mwili

4.Vipimo vina ubora wa Hali ya juu sana Ina maana matokeo yake ni ya uhakika na huchukua Muda mfupi na huna haja ya kutoa Damu

5.Na KUBWA Kuliko zote ukiwa kati ya Watu 05 utakayetuma jina lako na kuja kupima mapema leo utapata offer zingine kubwa hapa chini

-Utaungwa Group la VVIP la Afya ambalo utakuwa unajibiwa Kila swali na kupewa ushauri Bure!
-Hakutakuwa na Gharama yoyote ya kukuona Daktari Ina maana utaokoa pesa yako(Free Consultantion)(Kawaida Huwa 40,000)
-Utapata Punguzo la Dawa mpaka 50%

Bonyeza kitufe Cha What'sApp kulia haraka utaje jina lako nikuweke kwenye Orodha kabla Ofa haijafungwa
(Ukiweza Lipia 15,000 sahizi,halafu uje umalizie ukifika Nafasi ni chache Mno!)

Jinsi Ya Kupata Mvuto Utakaomfanya Ex Wako Ajute Kukupoteza Kwa “Slim Core Program”Itakayokufanya Kupungua Hadi 11kg nda...
24/10/2025

Jinsi Ya Kupata Mvuto Utakaomfanya Ex Wako Ajute Kukupoteza Kwa “Slim Core Program”Itakayokufanya Kupungua Hadi 11kg ndani Ya Siku 29 Bila Kushinda Njaa Wala Kwenda Gym

Hivi unajua kwamba Kufanya Upasuaji kurekebisha Mwili na Kupunguza uzito ni Tshs 5,455,000!?
Ina maana Utantumia pesa nyingi sana ambazo ungefanyia mambo ya Msingi na kibaya kuna Wengine wanakutana na Maumivu ya Kutisha na Kifo,Mfano Mzuri ni Mwanadada "Morgan Rivero' aliyefia Uturuki Katikati ya Upasuaji na Akiwa na Miaka 20 tu.
Leo ni bahati kwako kwamba kuna Suluhisho la kipekee kwa tatizo lako inayoitwa "Slim Core Program" itakayokusaidia Kukupa Mwili Wenye Mvuto Wa Ndoto Zako ndani ya Siku 29 tu."Slim Core Method"Ina dawa zenye mchanganyiko wa mizizi,na mimea Tiba Pamoja na Vyakula yaani
"Gynostemma,cassia seed,lotus leaf,prepared flece flower root,virutubisho 120+ vya flavonoids,asali ya nyuki wadogo

Ungana na Wanawake Wengine 100+ kwenye Program hii ya "Slim Core Method" na utasaidika kwa namna hii:-
-Itapunguza uzito wa mwili wako na utakuwa na mwili wenye mvuto zaidi,ule wa ndoto yako na kumfanya Ex wako ajutie kukuacha
(Hint:lazima mashoga zako wakuonee wivu na mwenza wako kuvutiwa na wewe mara 10 zaidi)

-Itachonga mwili wako na kufanya uwe na umbo zuri k**a la “Hamisa Mobetto”! kwahiyo utaweza kuvaa nguo yoyote na ikakupendeza zaidi.

-Itaenda kuchonga kiuno chako na kuwa k**a cha NYIGU hata k**a nyama zimelegea pembeni hivyo utakuwa huru kuvaa kile kitopu chako!

-Inaenda kuunguza mafuta tumboni,na kumaliza kitambi kwa hiyo itakufanya uonekane k**a binti wa miaka 18! tena

-Inaenda kukaza na kuondoa nyama uzembe kiunoni,tumboni,na mikononi kwahiyo itakupa muonekano wa kistaa k**a “Wema Sepetu’🔥

Kikubwa zaidi "Slim Core" itakupa haya mengine;

-Viambata vyake vitafanya Ngozi yako kuwa nyororo na yenye muonekano mzuri hivyo utakuwa kivutio cha wanaume wenye pesa zao mjini🏧

-Mwanaume wako atajivunia kua na wewe na anakuwa huru kutembea na wewe popote huku amekushika mkono💪

-Wanawake wenzio watakuonea wivu kutokana na muonekano wa mwili wako…(mpaka ex atakupigia goti kuomba mrudiane)

-Programu ya "Slim Core Method" imegawanyika Sehemu mbili:-

Full Dozi&Nusu Dozi

Mara zote bei ya Full Dozi ya program hii huwa Tshs
270,000
Lakini Kwa Leo utaweza kuipata kwa Malipo ya Tshs 199,999 Tu

NA

Nusu dozi ni Tshs 160,000
Bei ya Ofa Leo ni Tshs 120,000

Chupa zilizobaki ni 10 za Full dose na 16 za Nusu Dozi

NB:Ofa inaisha October 25 na Ukiwa miongoni mwa Watu 20 WA kwanza kulipia utajipatia Bonus za Bure za jumla ya Tshs 329,000

01.Anti-Aging Nutrition Secrets-(Thamani=Tshs 50k)
-Hizi Ni Supplements Maalumu Zitakazokusaidia Kuondoa Sumu Zote Mwilini Mwako Na Kukufanya Uwe Kijana Daima

02.1 On 1 Consultation Na Mtaalamu Wetu Wa Uzito(Thamani=40k)-Atakupigia Simu Na Kukupa Ushauri Muda Wowote Unaohitaji Kwa Muda Wa Mwezi Mzima Unapoendelea Kutumia Dozi Ili Kupungua Uzito Haraka

Si Hizo Tu;Bado Kuna Zaidi K**a Utakuwa Miongoni Mwa Watu 15 Kulipia
"Slim Core Method" Leo…
Basi Hizo Bonasi Zote Za Hapo Juu Na Za Hapa Chini Ni Za Kwako:

Bonasi #01.
WhatsApp V.I.P Mentorship Group(Thamani =150k)
-Utaungwa Kwenye Group ya Whatsapp Ili Kupata Usimamizi Wa Muda Wote Mpaka Pale Utakapopata Matokeo

Bonasi # 02.
Red Carpet Confidence Course(Thamani =84k)
-Course Hii Itakufundisha Njia Ya Kutembea Kwa Kujiamini Na Kuongeza Mvuto Mbele Ya Watu

Ili kulipia Bofya hapa chini nitumie ujumbe Whatsapp wenye Neno "PROGRAM"

wa.me 0716 088 626

Moja ya Tiba ambazo ni Bora siku hizi ni zinazotibu chanzo Cha tatizo kwa Kuondoa chanzo,kusafisha na Ku repair bila kus...
23/08/2025

Moja ya Tiba ambazo ni Bora siku hizi ni zinazotibu chanzo Cha tatizo kwa Kuondoa chanzo,kusafisha na Ku repair bila kusahau kuzalisha Seli kwa wingi ili mtu apone haraka Wakati huo huo haziachi Madhara ya Aina yoyote kutokana na Viambata
(Ingredients) Zilizotumika kutengeneza dawa hio
Eternal Herbal Clinic tumekuja na dawa za kutibu tatizo la Pressure zilizotengenezwa kwa Viinilishe kutoka kwenye Matunda k**a Zabibu nk,majani na Mbegu za jamii ya Mimea Tiba zaidi ya 100 k**a Aloe Vera nk na vyakula k**a Asali,ngano,soya nk

Vyote hivi vimetengeneza dawa bila kuongeza chochote na dawa zetu nyingi ziko kwenye Mfumo WA Capsule (K**a Amoxicillin),Vidonge(tabs) na kimiminika(K**a Dawa nyingine za Maji)

PACKAGE YA DAWA ZA PRESSURE

-Package hizi ni Maalumu kwa ajili ya
1.Kuondoa Mafuta ndani ya Mishipa ya Damu na Kupunguza mafuta kwenye Damu

2.Kuondoa kila aina ya Sumu iliyotokana na kunywa madawa mengi na Kuongeza Kinga

3.Kuzalisha zaidi seli za Ogani zinazoathirika na pressure k**a Figo

4.Kuupa Afya Moyo&Mfumo wa Damu kiujumla

5.Kutibu Magonjwa Mengine yanayotokana na Madhara ya pressure k**a Upungufu Damu kutokana na ukosefu wa Erythropoietin hormone inayozalishwa na Figo
-Maana yake package ina dawa zinazosafisha sumu kwanza,
Zinaongeza Kinga kwa kuzalisha seli na kutibu tatizo

Package ni ya dawa tano
1.Sprulina Tablets
2.Antilipemic tea
3.Lecithin Soft capsules
4.Fish Oil Soft capsules
5.Propolis soft Capsules

KUPATA NI RAHISI BONYEZA KITUFE CHA WHATSAPP

MADHARA YA SHINIKIZO LA JUU LA DAMU1.Kwenye Mfumo WA Fahamu -Damu kuvuja kwenye Ubongo(Intracerebral hemorrhage)-Kiharus...
23/08/2025

MADHARA YA SHINIKIZO LA JUU LA DAMU
1.Kwenye Mfumo WA Fahamu
-Damu kuvuja kwenye Ubongo
(Intracerebral hemorrhage)
-Kiharusi(Stroke)
-Macho kuvilia Damu,Kuvimba,kupata uoni hafifu

2.Mfumo wa Mzunguko WA Damu
-Kuchanika kwa ukuta wa ndani WA Aorta
-Ugonjwa Sugu wa Moyo kufeli
(Congestive Heart Failure)
-Shida ya Mishipa ya Coronary
-Myocardial infarction(Kuziba kwa Mishipa ya Damu ya Moyo)

3.Mfumo WA Mkojo
-Figo Kufeli

4.Na Mingine Mengi

MATIBABU YA PRESSURE
-Siku zote Matibabu ya pressure huwa ni Kufanya vitu vifuatavyo
1.Kurekebisha(Kupunguza) Utendaji Kazi wa Moyo

2.Kupunguza ukinzani wa Mishipa ya Damu(Kutanua&Kusinyaa kwa Mishipa)

3.Na kurekebisha Kiwango Cha Maji&Madini mengine

NOTE:LENGO ni
1.Kushusha pressure mpaka chini ya 140/90 kwa wagonjwa wenye Miaka 18-59 walio na Magonjwa Mengine k**a Kisukari,Figo au yote

2.Wagonjwa walio na Miaka kuanzia 60 wasio na Magonjwa hayo,Lengo ni pressure kushuka mpaka chini ya 150/90

AINA ZA DAWA ZINAZOTUMIKA SANA

01.DIURETICS(Xretion)
-Kwa Ujumla zinazuia Maji kufonzwa kutoka kwenye Figo kuingia kwenye Damu na hivyo Maji ya ziada na Madini chumvi(Sodium) huingia kwenye ureter then kibofu Cha Mkojo then hutolewa nje na Damu hubaki na Kiwango Cha Kawaida Cha Damu
Mfano Furosemide,spironolactone

02.RENIN-ANGIOTENSIN INHIBITORS
-Hizi huzuia kubadilishwa kwa Angiotensin I kuja Angiotensin II maana Angiotensin II Husababisha Mishipa kusinyaa hivyo Mishipa hutanuka na Kupunguza Kasi ya Moyo hivyo kupunguza pressure
Mfano Losartan

03.VASODILATORS
-Hizi hutanua Mishipa kwa Kuifanya Misuli laini ya Mishipa ku relax
Mfano Hydralazine

04.CALCIUM CHANNEL BLOCKERS
-Hizi huzuia Calcium kuingia kwenye seli za misuli ya Moyo na Mishipa ya damu na kuiacha ikiwa wazi kwa ukubwa
Mfano Nifedipine, Amlodipine

05.SYMPATHETIC INHIBITORS(BETA BLOCKERS)
-Hizi huzuia zile beta receptors zilizoko kwenye Misuli ya Moyo&Misuli laini ya Mishipa na kwasab hii beta receptors huacha kufanya kazi na Kupunguza Mapigo na Moyo,Kuongezeka kwa mahitaji ya Oxygen na Pressure
Mfano Atenolol&
Propranolol

Ukiangalia hapo juu utaona dawa zote hazitibu Moja kwa Moja nyingi ziko kumfanya Mgonjwa apate nafuu kwa Muda husika na Mgonjwa anatakiwa kuzitumia mara kwa Mara na kuhudhuria Clinic ya Pressure kuchukua Dawa ili kuepusha janga la Hypertensive Crisis

Lakini baada ya Uchunguzi wa Muda Mrefu imepatikana Tiba!

Address

Kimara
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when MagonjwaSugu posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram