ESG CARE

ESG CARE Nasaidia watu wenye changamoto za afya

Lijue tatizo la presha kuwa juu wakati wa ujauzito.⁣⁣Shinikizo la damu  ni ile nguvu  ambayo moyo wako unatumia kusukuma...
18/06/2025

Lijue tatizo la presha kuwa juu wakati wa ujauzito.⁣

Shinikizo la damu ni ile nguvu ambayo moyo wako unatumia kusukuma wakati damu inapopita kwenye mishipa ya damu. Wakati mwingine moyo utahitaji nguvu kubwa kusukuma damu katika mishipa ya mwili. Hali hii inapotea unakuwa na shinikizo la damu linakuwa juu. Hapa ndipo utaambiwa una ugonjwa wa shinikizo la juu la damu ambayo kwa kitaalam inaitwa hypertension au kwa lugha yenu huko mtaani inaitwa presha ya kupanda.⁣

Je ni wakati gani presha inakuwa juu⁣
Presha inapopimwa majibu yake huwa katika namba ya juu na ya chini(A/B). Sasa utaambiwa una presha ya kupanda iwapo namba ya juu itakuwa zaidi ya 140 au zaidi na namba ya chini iko zaidi 90 au zaidi.⁣

Shinikizo la damu la kawaida huwa kati ya mmHg 90/60 ( ‘milimita tisini kwa sitini’ za zebaki,) na chini ya mmHg 140/90 (‘milimita mia moja arubanini kwa tisini’ za zebaki). Kawaida presha huwa haiongezeki sana wakati wa ujauzito.⁣

Madhara ya kuwa na presha ya kupanda wakati wa ujauzito⁣
Ukipata tatizo la presha ya kupanda wakati wa ujauzito maana yake ni kwamba moyo unatumia nguvu kubwa kusukuma damu. Hivyo basi unaweza kupata madhara yafuatayo ⁣

▪︎Kuzaa mtoto mwenye uzito mdogo.⁣
▪︎ Kujifungua njiti, ⁣
▪︎Mtoto kufia tumboni,⁣
▪︎Mama anaweza kupata matatizo ya figo,⁣
▪︎Kondo la nyuma kuachia kabla ya kujifungua hivyo kuvuja damu nyingi ⁣
▪︎ Kupata kiharusi(stroke). ⁣
▪︎Kupata magonjwa ya moyo ⁣

Ufanye nini?⁣
▪︎Hakikisha unahudhuria clinic⁣
▪︎Iwapo umegundulika kuwa na presha ya kupanda tumia dawa utakazopewa.⁣
▪︎Fanya mazoezi⁣
▪︎Kula mlo kamili⁣
▪︎Punguza matumizi ya pombe na sigara ⁣
⁣Wasiliana nami wa.me/255683822021

Lijue tatizo la presha kuwa juu wakati wa ujauzito.⁣⁣Shinikizo la damu  ni ile nguvu  ambayo moyo wako unatumia kusukuma...
18/06/2025

Lijue tatizo la presha kuwa juu wakati wa ujauzito.⁣

Shinikizo la damu ni ile nguvu ambayo moyo wako unatumia kusukuma wakati damu inapopita kwenye mishipa ya damu. Wakati mwingine moyo utahitaji nguvu kubwa kusukuma damu katika mishipa ya mwili. Hali hii inapotea unakuwa na shinikizo la damu linakuwa juu. Hapa ndipo utaambiwa una ugonjwa wa shinikizo la juu la damu ambayo kwa kitaalam inaitwa hypertension au kwa lugha yenu huko mtaani inaitwa presha ya kupanda.⁣

Je ni wakati gani presha inakuwa juu⁣
Presha inapopimwa majibu yake huwa katika namba ya juu na ya chini(A/B). Sasa utaambiwa una presha ya kupanda iwapo namba ya juu itakuwa zaidi ya 140 au zaidi na namba ya chini iko zaidi 90 au zaidi.⁣

Shinikizo la damu la kawaida huwa kati ya mmHg 90/60 ( ‘milimita tisini kwa sitini’ za zebaki,) na chini ya mmHg 140/90 (‘milimita mia moja arubanini kwa tisini’ za zebaki). Kawaida presha huwa haiongezeki sana wakati wa ujauzito.⁣

Madhara ya kuwa na presha ya kupanda wakati wa ujauzito⁣
Ukipata tatizo la presha ya kupanda wakati wa ujauzito maana yake ni kwamba moyo unatumia nguvu kubwa kusukuma damu. Hivyo basi unaweza kupata madhara yafuatayo ⁣

▪︎Kuzaa mtoto mwenye uzito mdogo.⁣
▪︎ Kujifungua njiti, ⁣
▪︎Mtoto kufia tumboni,⁣
▪︎Mama anaweza kupata matatizo ya figo,⁣
▪︎Kondo la nyuma kuachia kabla ya kujifungua hivyo kuvuja damu nyingi ⁣
▪︎ Kupata kiharusi(stroke). ⁣
▪︎Kupata magonjwa ya moyo ⁣

Ufanye nini?⁣
▪︎Hakikisha unahudhuria clinic⁣
▪︎Iwapo umegundulika kuwa na presha ya kupanda tumia dawa utakazopewa.⁣
▪︎Fanya mazoezi⁣
▪︎Kula mlo kamili⁣
▪︎Punguza matumizi ya pombe na sigara ⁣
⁣Wasiliana nami
wa.me/255683822021

Lijue tatizo la presha kuwa juu wakati wa ujauzito.⁣⁣Shinikizo la damu  ni ile nguvu  ambayo moyo wako unatumia kusukuma...
10/06/2025

Lijue tatizo la presha kuwa juu wakati wa ujauzito.⁣

Shinikizo la damu ni ile nguvu ambayo moyo wako unatumia kusukuma wakati damu inapopita kwenye mishipa ya damu. Wakati mwingine moyo utahitaji nguvu kubwa kusukuma damu katika mishipa ya mwili. Hali hii inapotea unakuwa na shinikizo la damu linakuwa juu. Hapa ndipo utaambiwa una ugonjwa wa shinikizo la juu la damu ambayo kwa kitaalam inaitwa hypertension au kwa lugha yenu huko mtaani inaitwa presha ya kupanda.⁣

Je ni wakati gani presha inakuwa juu⁣
Presha inapopimwa majibu yake huwa katika namba ya juu na ya chini(A/B). Sasa utaambiwa una presha ya kupanda iwapo namba ya juu itakuwa zaidi ya 140 au zaidi na namba ya chini iko zaidi 90 au zaidi.⁣

Shinikizo la damu la kawaida huwa kati ya mmHg 90/60 ( ‘milimita tisini kwa sitini’ za zebaki,) na chini ya mmHg 140/90 (‘milimita mia moja arubanini kwa tisini’ za zebaki). Kawaida presha huwa haiongezeki sana wakati wa ujauzito.⁣

Madhara ya kuwa na presha ya kupanda wakati wa ujauzito⁣
Ukipata tatizo la presha ya kupanda wakati wa ujauzito maana yake ni kwamba moyo unatumia nguvu kubwa kusukuma damu. Hivyo basi unaweza kupata madhara yafuatayo ⁣

▪︎Kuzaa mtoto mwenye uzito mdogo.⁣
▪︎ Kujifungua njiti, ⁣
▪︎Mtoto kufia tumboni,⁣
▪︎Mama anaweza kupata matatizo ya figo,⁣
▪︎Kondo la nyuma kuachia kabla ya kujifungua hivyo kuvuja damu nyingi ⁣
▪︎ Kupata kiharusi(stroke). ⁣
▪︎Kupata magonjwa ya moyo ⁣

Ufanye nini?⁣
▪︎Hakikisha unahudhuria clinic⁣
▪︎Iwapo umegundulika kuwa na presha ya kupanda tumia dawa utakazopewa.⁣
▪︎Fanya mazoezi⁣
▪︎Kula mlo kamili⁣
▪︎Punguza matumizi ya pombe na sigara ⁣
⁣Wasiliana nami
+255683822021

UGONJWA WA PRESSURE (SHINIKIZO LA DAMU ) NA TIBA YAKENini maana ya shinikizo la damu?Ni msukumo wa damu ulio juu kuliko ...
10/06/2025

UGONJWA WA PRESSURE (SHINIKIZO LA DAMU ) NA TIBA YAKE

Nini maana ya shinikizo la damu?

Ni msukumo wa damu ulio juu kuliko inavyotakiwa kwa muda mrefu. Msukumo wa damu huhitajika mwilini ili kusambaza chakula, oksijeni na kutoa uchafu

Vitu vifuatavyo vinaweza kusababisha shinikizo la juu la damu:
✅Uvutaji sigara
✅ Unene na uzito kupita kiasi
✅Unywaji wa pombe
✅Upungufu wa madini ya potassium
✅ Upungufu wa vitamin D
✅ Umri mkubwa
✅Ongezeko la kemikali kwenye figo (renin)
✅Kushindwa kufanyakazi kwa kichocheo kiitwacho insulin

*Uanishaji wa shinikizo la damu
✅Presha ya kawaida

RPESHA YA KUSHUKA (HYPOTENION)Presha ya kushuka ama kitaalamu huitwa hypotension, presha ya kushuka ni hatari kwa afya k...
10/06/2025

RPESHA YA KUSHUKA (HYPOTENION)

Presha ya kushuka ama kitaalamu huitwa hypotension, presha ya kushuka ni hatari kwa afya k**a ilivyo presha ya kupanda, maana mwili unakosa nguvu kabisa. K**a ilivyo presha ya kushuka presha ya kupanda unaweza kuizuia ana kujilinda nayo kwa kula vyakula salama.

VYAKULA MUJARABU KWA MWENYE PRESHA YA KUSHUKA

1.Tumia chumvi zaidi; wataalamu wa afya wanahimiza sana kutumia chumvi zaidi kwani madini ya sodium yaliyomo kwenye chumvi husaidia katika kupandisha presha. Ila tambua kuwa kwa wazee kuzidi kula chumvu kunaweza kusababisha moyo kujashinwa kufanya kazi vyema.
2.Kunywa maji mengi ya kutosha: maji husaidia katika kuongeza hali ya umajimaji kwenye miili. Hii husaidia kukabilia na upungufu wa maji mwilini (dehydration) hali hizi ni muhimu kwa kukabiliana na presha ya kushuka.
3.Punguza ulaji wa vyakula vya wanga kwa zaidi. Kwa mfano viazi mbatata, mchele na mikate
4.Kunywa chai yenye caffein;

DALILI ZA PRESHA YA KUSHUKA

1.Kushundwa kuona vyema
2.Kuchanganyikiwa
3.Kizunguzungu
4.Kuzimia
5.Uchovu wa hali ya juu.
6.Kuhisi baridi
7.Kushindwa kufikiri kwa kina
8.Kichefuchefu
9.Kushindwa kuhema vyema
10.Kutokwa na jasho

NJIA ZA KUKABILIANA NA MRESHA YA KUSHUKA

1.Fanya mazoezi ya mwili na viungo walau kila siku kwa muda wa dakika 30 mpka 60
2.Kunywa maji mengi na ya kutosha
3.Unapokaa usikae mkao wa kukunja miguu
4.Punguza ulaji wa vyakula vya wanga k**a viazi mbatata, mchele na mikate
5.Punguza ama wach kabisa uvutaji wa sigara
6.Punguza ama wacha kabisa unywaji wa pombe.

HUDUMA YA KWANZA KWA ALIYEPATWA NA PRESHA YA KUSHUKA

1.Lala chini kwenye kitu kilicho flati.
2.Kunywa maji mengi
3.Tumia chumvi, unaweza kuilamba unaweza pia kukoroga chumvi kwenye kikombe na kunywa.
4.K**a hali inaendelea kuwa mbaya zaidi ni vyema kuwasiliana na kituo cha afya kilicho karibu nawe.
Kwa mawasiliano
+255683822021

JE WAJUA TATIZO LA PRESHA YA KUSHUKA NA SABABU ZAKE NA NINI UFANYE KUTOA HUDUMA YA KWANZA...SOMA HII *Presha ya kushuka:...
10/06/2025

JE WAJUA TATIZO LA PRESHA YA KUSHUKA NA SABABU ZAKE NA NINI UFANYE KUTOA HUDUMA YA KWANZA...SOMA HII

*Presha ya kushuka:*

Presha ya kushuka (Low Blood Pressure (BP)), au kwa lugha ya kisayansi huitwa Hypotension. Hali hii inatokea pale msukumo wa damu unapokuwa mdogo na dhaifu, hali ambayo husababisha kila kiungo katika mwili k**a vile ini, mapafu, moyo nk. Kushindwa kupokea kiasi kinachojitosheleza cha damu na Oxygen.

*Sababu za Presha ya Kushuka:*

👉 Mshtuko

👉Ukataji tama

👉 Mawazo mengi yaliyopitiliza

👉 Mlo usio kamili – vitamin, Protini na ukosefu wa madini

👉Ukosefu wa maji mwilini.

*Dalili:*

🫧Udhaifu usioutegemea (ghafla)

🫧Udhaifu au kuona ukungu.

🫧 Mdomo kukauka

🫧Kizunguzungu

🫧Kuanguka ghafla na kupoteza fahamu.

*Huduma ya kwanza:*

K**a mtu ataanza kusikia kizunguzungu, muweke akae katika kiti au mlaze chini.

👉Mnyanyue kichwa chake wakati ukiwa umemlaza chini, kwa kumuwekea mito chini ya kichwa chake.

👉Haraka mnyweshe maji uliyochanganya na chumvi au mpatie mgonjwa huyo electrolyte solution.

👉Kuwa makini unapomuinua kutoka chini au sehemu aliyokuwa amekaa. Muinuko wa ghafla unaweza kuzidi kupunguza msukumo wa damu.

👉Hali ikidumu kwa muda mfunge mgonjwa katika mguu wake umbali wa nchi k**a tano hivi chini ya goti kwa kutumia lastiki au mpira unaovutika ili kuzuia damu isiende chini ya miguu, ili kufanya damu ibakie hasa sehemu ya juu ya mwili.

👉Kunywa juisi ya kiazisukari kibichi au maziwa ya mtindi ni dawa nzuri ya presha ya kushuka.

*Onyo:*

💦Punguza kunywa Vinywaji vya alcohol au kafeini

💦Jitahidi kuwa unakula matunda freshi na mbogamboga katika mlo wako

💦 Jitahidi kunywa maji mengi ili kuepuka ukosefu wa maji

💦 Usipende kunyanyua mizigo mizito sana.

💦Chukua mazoezi kwa ratiba maalum.

Kumbuka dharura huwa hazipigi hodi zinapokuja katika maisha yako. Hivyo basi, siku zote kuwa ni mwenye kujiandaa.

Wakati mwingine matendo madogo madogo na kuwa na akili iliyotulia inaweza ikaokoa uhai, mpaka pale dharura za kitabibu zitakapofika. Na kwa mwenye changamoto hii wasiliana nami sasa upate tiba ya kudumu .
+255683822021

PRESHA YA KUSHUKA (HYPOTENION)Presha ya kushuka ama kitaalamu huitwa hypotension, presha ya kushuka ni hatari kwa afya k...
10/06/2025

PRESHA YA KUSHUKA (HYPOTENION)

Presha ya kushuka ama kitaalamu huitwa hypotension, presha ya kushuka ni hatari kwa afya k**a ilivyo presha ya kupanda, maana mwili unakosa nguvu kabisa. K**a ilivyo presha ya kushuka presha ya kupanda unaweza kuizuia ana kujilinda nayo kwa kula vyakula salama.

VYAKULA MUJARABU KWA MWENYE PRESHA YA KUSHUKA

1.Tumia chumvi zaidi; wataalamu wa afya wanahimiza sana kutumia chumvi zaidi kwani madini ya sodium yaliyomo kwenye chumvi husaidia katika kupandisha presha. Ila tambua kuwa kwa wazee kuzidi kula chumvu kunaweza kusababisha moyo kujashinwa kufanya kazi vyema.
2.Kunywa maji mengi ya kutosha: maji husaidia katika kuongeza hali ya umajimaji kwenye miili. Hii husaidia kukabilia na upungufu wa maji mwilini (dehydration) hali hizi ni muhimu kwa kukabiliana na presha ya kushuka.
3.Punguza ulaji wa vyakula vya wanga kwa zaidi. Kwa mfano viazi mbatata, mchele na mikate
4.Kunywa chai yenye caffein;

DALILI ZA PRESHA YA KUSHUKA

1.Kushundwa kuona vyema
2.Kuchanganyikiwa
3.Kizunguzungu
4.Kuzimia
5.Uchovu wa hali ya juu.
6.Kuhisi baridi
7.Kushindwa kufikiri kwa kina
8.Kichefuchefu
9.Kushindwa kuhema vyema
10.Kutokwa na jasho

NJIA ZA KUKABILIANA NA MRESHA YA KUSHUKA

1.Fanya mazoezi ya mwili na viungo walau kila siku kwa muda wa dakika 30 mpka 60
2.Kunywa maji mengi na ya kutosha
3.Unapokaa usikae mkao wa kukunja miguu
4.Punguza ulaji wa vyakula vya wanga k**a viazi mbatata, mchele na mikate
5.Punguza ama wach kabisa uvutaji wa sigara
6.Punguza ama wacha kabisa unywaji wa pombe.

HUDUMA YA KWANZA KWA ALIYEPATWA NA PRESHA YA KUSHUKA

1.Lala chini kwenye kitu kilicho flati.
2.Kunywa maji mengi
3.Tumia chumvi, unaweza kuilamba unaweza pia kukoroga chumvi kwenye kikombe na kunywa.
4.K**a hali inaendelea kuwa mbaya zaidi ni vyema kuwasiliana na kituo cha afya kilicho karibu nawe.

Kwa mawasiliano zaidi
+255683822021

JIKINGE NA KUONDOA CHANGAMOTO ZA MAGONJWA SUGU‎‎▪️ Kisukari‎▪️ Presha‎▪️ Kiharusi‎▪️ Siko Seli‎▪️ Pumu /Asthma‎▪️ Sarata...
10/06/2025

JIKINGE NA KUONDOA CHANGAMOTO ZA MAGONJWA SUGU

‎▪️ Kisukari
‎▪️ Presha
‎▪️ Kiharusi
‎▪️ Siko Seli
‎▪️ Pumu /Asthma
‎▪️ Saratani aina zote
‎▪️ Matatizo ya Mifupa
‎▪️ Homa ya ini
‎▪️ Tezi dume
‎▪️ Presha ya Macho
‎▪️ Uvimbe kwenye kizazi
‎▪️ Vidonda vya tumbo
‎▪️ Matatizo ya Mapafu
‎▪️ Matatizo ya Moyo
‎▪️ Matatizo ya Figo
‎▪️ Uvimbe kwenye Ovari
‎▪️ Kupoteza kumbukumbu
‎▪️ Matatizo ya Mgongo
‎▪️ Matatizo kwenye Ngozi
‎▪️ Matatizo ya Misuli
‎▪️ Kutomudu tendo la ndoa
‎▪️ Homa ya mapafu kwa watoto
‎▪️ Na Magonjwa mengine mengi

‎AFYA ENDELEVU KWA MATIBABU
‎.
‎WHATSAPP/PIGA SIMU +255683822021

*Sababu 3 zinazopelekea maumivu makali ya kichwa Kwa mgonjwa Wa Presha..*1. Madhara yanayotokana na aina ya dawa unayoit...
10/06/2025

*Sababu 3 zinazopelekea maumivu makali ya kichwa Kwa mgonjwa Wa Presha..*

1. Madhara yanayotokana na aina ya dawa unayoitumia (Side effect) inawezekana Moja Kwa Moja Kupelekea Kupata maumivu makali ya kichwa... Mfano Amlodipine, Doxazoni,minoxidil, losartan nk

2. Kuongezeka Kwa Shinikizo ndani ya fuvu la Kichwa.. maumivu yake unaweza kusema Kuna kiumbe ndani ya kichwa anagonga gonja na kutaka kupasua.. hali hii inatokana na Mishipa midogo ndani ya kichwa kuwa na damage..

3. Kushuka Kwa Kasi ya mzunguko Wa damu...

Njia moja wapo ya Kuanza kukabiliana na Changamoto hii ni kujizoesha tabia ya kunywa maji K**a hatua ya Kwanza...

Kudhibiti Presha ndio Utatuzi na Suluhisho la kudumu Moja Kwa Moja...

Sio kutumia dawa za kushusha Presha tu haikusaidii kuvuka katika Hali hii..

Kwa mawasiliano zaidi Nipigie sasa+255683822021

Address

Dar Es Salaam
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when ESG CARE posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram