ESG Clinic

ESG Clinic Nasaidia watu wenye changamoto ya KISUKARI

Ugonjwa wa Kisukari ni nini???Kisukari ni ile hali ya kuwepo kwa sukari nyingi sana kwenye mfumo wa damu, pindi baada ya...
24/06/2025

Ugonjwa wa Kisukari ni nini???

Kisukari ni ile hali ya kuwepo kwa sukari nyingi sana kwenye mfumo wa damu, pindi baada ya kula vyakula vya wanga k**a vile ( wali, ugali, chapati, maandazi n.k) ama vyakula vya sukari sukari mfano soda, juice na vingine k**a hvyo.

Sababu ya hali hii kutokea mwilini ni;
1. Uchakavu ama usugu wa seli kwa kimombo inaitwa cell resistance/ insulin resistance
2. Kudhoofu au kuzimia kwa kongosho
3. Uzito mkubwa mwilini
4. Tatizo la kukosa choo mara kwa mara kwa muda mrefu
5. Utumiaji wa sigara ama pombe kwa muda mrefu na sababu nyingine nyingi.

Angalizo: Hizi ni sababu za ugonjwa wa Kisukari mwilini ila sio CHANZO cha ugonjwa wa Kisukari mwilini.

Kwa muda mrefu sana watu wamekua wakitibu sababu hizi za ugonjwa huu mwilini.

Sababu za kitu kuwepo haimaanishi ndio chanzo chake. Embu tuchukulie mfano huu;
Mimi na wewe tunakutana hospitali wote tumeenda kutibiwa. Sababu zetu kuja hapo hospitali zinaweza kutofautina ila chanzo chetu sote ni kimoja ambacho ni hiyo Hospitali. Hivyo hyo hospitali isingekuepo wenda Mimi na wewe tusingekutana.

Karibu sana nkuhudumie mimi sijui unapitia changamoto gani kiafya sababu ya ugonjwa huu wa Kisukari ila nataka ujue kuwa Kisukari Kinatibika kabisa
kwa mawasiliano wa.me/255683822021

Ugonjwa wa Kisukari ni nini???Kisukari ni ile hali ya kuwepo kwa sukari nyingi sana kwenye mfumo wa damu, pindi baada ya...
24/06/2025

Ugonjwa wa Kisukari ni nini???

Kisukari ni ile hali ya kuwepo kwa sukari nyingi sana kwenye mfumo wa damu, pindi baada ya kula vyakula vya wanga k**a vile ( wali, ugali, chapati, maandazi n.k) ama vyakula vya sukari sukari mfano soda, juice na vingine k**a hvyo.

Sababu ya hali hii kutokea mwilini ni;
1. Uchakavu ama usugu wa seli kwa kimombo inaitwa cell resistance/ insulin resistance
2. Kudhoofu au kuzimia kwa kongosho
3. Uzito mkubwa mwilini
4. Tatizo la kukosa choo mara kwa mara kwa muda mrefu
5. Utumiaji wa sigara ama pombe kwa muda mrefu na sababu nyingine nyingi.

Angalizo: Hizi ni sababu za ugonjwa wa Kisukari mwilini ila sio CHANZO cha ugonjwa wa Kisukari mwilini.

Kwa muda mrefu sana watu wamekua wakitibu sababu hizi za ugonjwa huu mwilini.

Sababu za kitu kuwepo haimaanishi ndio chanzo chake. Embu tuchukulie mfano huu;
Mimi na wewe tunakutana hospitali wote tumeenda kutibiwa. Sababu zetu kuja hapo hospitali zinaweza kutofautina ila chanzo chetu sote ni kimoja ambacho ni hiyo Hospitali. Hivyo hyo hospitali isingekuepo wenda Mimi na wewe tusingekutana.

Karibu sana nkuhudumie mimi sijui unapitia changamoto gani kiafya sababu ya ugonjwa huu wa Kisukari ila nataka ujue kuwa Kisukari Kinatibika kwa mawasiliano wa.me/255683822021

Kisukari kinapona kabisawa.me/255683822021
24/06/2025

Kisukari kinapona kabisa
wa.me/255683822021

Chukua hatua0683822021
24/06/2025

Chukua hatua
0683822021

Wahi matibabu mapemawa.me/255683822021
24/06/2025

Wahi matibabu mapema
wa.me/255683822021

Tiba ya kisukari kwa siku 90 tuwa.me/255683822021
24/06/2025

Tiba ya kisukari kwa siku 90 tu
wa.me/255683822021

Ili kupunguza athari za  , Mgonjwa anashauriwa kufanya Mazoezi. Hii husaidia kuunguza Nishati pamoja na kupunguza usugu ...
24/06/2025

Ili kupunguza athari za , Mgonjwa anashauriwa kufanya Mazoezi. Hii husaidia kuunguza Nishati pamoja na kupunguza usugu wa Mwili katika kutumia vichocheo vya

Pia, kula Vyakula vyenye kiasi kidogo cha Mafuta na Wanga, Nafaka nzima, Nyuzi Lishe nyingi, Matunda pamoja na Mboga za Majani
wa.me/255683822021

Address

Kariakoo
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when ESG Clinic posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram